We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema. Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza?? KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea
Magu ndani ya miaka 5 kafanya makubwa sana Mungu angemueka tukampa miaka 20 Nnchi yetu ingefika mbali Viongozi wetu wa asa ivi kazi yao kuiba tu
nikweli ndugu 😢
Angekuwepo JPM daraja lingekuwa limekwisha, RIP JPM
Achen kufany imagination
Acha ujinga wewe unafili ilo dalaja balabala yavumbi unapitisha katapila namagali yanapita mda uo uo
Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe
Unaongelea mkunduni wewe
@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka
Tulio mbali na nyumbani tunafurahi kuona maendeleo haya❤❤❤
We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe
kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi
JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu
Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!
kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii
Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha
JPM asante
inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya
Hawanaga shukurani hao waisilamu
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia
kwel kbs
Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP
Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu
R.I.P MAGUFULI
SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅
Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu
JPM haujafa mioyoni mwetu❤
Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮
Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema.
Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.
nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje
😢😢 JPM
😢
Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉
Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji
Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha
KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga
VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza??
KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA
Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,
We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida
Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha
JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭
Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem
Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂
Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua
Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba
Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo
Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??
Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu
Kweli kabisa
Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM
Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo
Kuhusu daraja sawa
Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu
JPM alikuwa ni mtu na robo tatu
RIP Magufuli😢😢😢
Hawana jipya mungu anawaona
Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako
Hongera mama Samia kazi iendelee ❤
Khaaaaa
ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA
Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi
halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?
Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo
Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga
Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!
hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂
Safi sana
Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana
R.I.P Magufuli
Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤
Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza
@@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom
Asanteni
Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu
KAZI iendeleee
20, 18 ndio nini
Nyooka mjomba
Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi
Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi
Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha
Rudiiiiii JPM. Rudi tu.
Daraja Hilo ni bala
Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh
Kazi nzuri 🎉
Watu ni wakatili sana. 😢
Daraja bado halijaisha hilo
Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu
Nachukia kwa ucheleweshaji
Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima
HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO
Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu
😂😂😂
B700 hela itarud?!
Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.
Usituambukize ujinga
Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?
Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?
Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?
Maputo mambo
Salamanga katembe
Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢
Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea