HIZI NDIO SIFA ZA KIPEKEE ZA DARAJA LA J.P MAGUFULI "UNAVUKA KWA DK 3 TU, NI PEKEE AFRIKA MASHARIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 125

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 10 месяцев назад +10

    Magu ndani ya miaka 5 kafanya makubwa sana Mungu angemueka tukampa miaka 20 Nnchi yetu ingefika mbali Viongozi wetu wa asa ivi kazi yao kuiba tu

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 10 месяцев назад +55

    Angekuwepo JPM daraja lingekuwa limekwisha, RIP JPM

    • @Officialvplat
      @Officialvplat 10 месяцев назад +2

      Achen kufany imagination

    • @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl
      @FrenkfrenkFrenkfrenk-sf4hl 10 месяцев назад +3

      Acha ujinga wewe unafili ilo dalaja balabala yavumbi unapitisha katapila namagali yanapita mda uo uo

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 10 месяцев назад +4

      Wewe kichaa wewe.. hata yeye alivyokuwa hai aliambiwa mpaka 2024 mwishoni au 2025 mwanzoni ndio litakamilika.. wewe vp wewe

    • @letthedeadburythedead2148
      @letthedeadburythedead2148 10 месяцев назад +2

      Unaongelea mkunduni wewe

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 10 месяцев назад +1

      ​@@Officialvplatsio imagination ndio speed Hayati Magufuli alikuwa anakwenda nao na ndio ilikuwa mpango ukamilike haraka

  • @MadilishaSimon-sb9kk
    @MadilishaSimon-sb9kk 10 месяцев назад +16

    Tulio mbali na nyumbani tunafurahi kuona maendeleo haya❤❤❤

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 10 месяцев назад +16

    We msenge nini JPM ndo kauanzisha tena kwa kasi na saa hizi angekuwa hai kama tayari limemalizika afu unaleta vijineno vyako kwamba ilikuwa asilia 25?? Daah bwege sana wewe

    • @shijandobehe4953
      @shijandobehe4953 10 месяцев назад

      kwanza alikuwa amelipa PESA nyingi mno JPM kwenye huo mradi

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 10 месяцев назад +8

    JPM angekuwepo pangekuwa pameisha rakin hapo mtajenga miaka kumi kazi kuiba vifaa vingrereza viingiii hakuna kitu

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 10 месяцев назад +13

    Kipindi Cha awamu ya 5 mkataba ulikuwa miezi36 lakini!!

  • @MasseLyale
    @MasseLyale 10 месяцев назад +6

    kweli angekuwepo mwamba lingeshaanza kutumika hata treni za sgr zingeshaanza kazi, bahati mbayaa tumerudi awamu ya 4 jamanii

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад +12

    Angekuwepo MAGUFULI lingeishaisha

  • @ubuntubantu2404
    @ubuntubantu2404 10 месяцев назад +11

    JPM asante

  • @onestkasmir4297
    @onestkasmir4297 10 месяцев назад +10

    inanichoma kama mkuki nkiona kitu kama hichi alaf leo kuna vigugula wanasema hawakuona magu alichofanya

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад

      Hawanaga shukurani hao waisilamu

    • @onestkasmir4297
      @onestkasmir4297 10 месяцев назад

      Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia

    • @onestkasmir4297
      @onestkasmir4297 10 месяцев назад

      Oooh hata wasipo shukuru masta kuna vitu ukivitengeneza lazma watu wakukumbuke hata wasipo kuwa hawa waliopo maana nmeona hataha mh kusafiri hataki kutaja j anasema mtangulizi wang 😁 ukimtaja to watu wanaumia

    • @toymadebho7048
      @toymadebho7048 4 месяца назад

      kwel kbs

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 10 месяцев назад +16

    Magu ameweza kuanzisha mengi yangu madaraja Reli ya kisasa Makao makuu Dodoma Mradi wa umeme mkubwa nk l ❤❤your job RIP

  • @shelyboyshely2928
    @shelyboyshely2928 10 месяцев назад +4

    Mungu ampumzishe mahali pema rais wangu mpendwa wangu

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 10 месяцев назад +22

    R.I.P MAGUFULI
    SASA NAONA nitakuwa natoka Zzoo naenda bukoba. Kusalimia bi mkubwa KWA basketball 🙏🙏😅😅😅

    • @allyselemani785
      @allyselemani785 10 месяцев назад +3

      Yaani umejawa na furaha mbaka umekosea kuandika😁😁😁😁baada ya baiskeri umeandika basketball,RIP magu

  • @issabilali3539
    @issabilali3539 10 месяцев назад +7

    JPM haujafa mioyoni mwetu❤

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 10 месяцев назад +8

    Wizi ni mkubwa wa fedha za watanzania na miradi haikamiliki kwa wakati majizi nyie😮

  • @mkemia_magege5816
    @mkemia_magege5816 10 месяцев назад +5

    Sio zitalipwa wewe, rekebisha kauli. Magufuli alishatoa mpunga mapema tena mpunga wote na akatamka adhalani na lengo la kutoa pesa hizo alizisema wazi kuwa anataka Mkandarasi hasiwe na sababu sababu na aliwataka wamalize mapema.
    Msilete mambo ya ubabaishaji hapa wa kumkandya mzee wetu Magufuli. Hapo Samia anakujaje sasa.

    • @aishaalbalushaishabalush8291
      @aishaalbalushaishabalush8291 10 месяцев назад

      nikweli hata kunasiku samia aliropoka kwenye hutuba yake akasema miradi yote magu aliacha kailipia sema wezi wanaiba sasahivi wanasingizia miradi napesa zimeibiwa sana wakat wa msiba hadi leo bado wanaiba tu alisharopoka samia kasema mtangulizi wake aliacha kalipia miradi yote hakuna mradi unao daiwa pesa ila sikuhiz utasikia billion mia 700 imelipwa fidia ya kuchelewesha kulipia mradi wakat ilishalipiwa wanaiba kweli hadi wanajisifu bungeni kua pesa nyingi zinaibiwa na kupelekwa inje

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 10 месяцев назад +14

    😢😢 JPM

  • @frankymagatory1338
    @frankymagatory1338 10 месяцев назад +3

    Daraj la sarenda bridges na kigambon hayafati kwa mrad huuu mwanza is going to shine🎉🎉

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 10 месяцев назад +4

    Mchina noma aisee kitu kimesimama ndani ya maji

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 10 месяцев назад +3

    Magufuli alikuwa jembe sana.angelikuwa hai lingekuwa limeisha

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад +5

    KAZI ya MAGUFULI mseme sasa nyie ndo mmejenga

  • @mimiraia2531
    @mimiraia2531 10 месяцев назад +8

    VITUKO tu; eti ameupa nguvu, aliukuta uko 25%. Hivi bwana msemaji, angekuwepo YEYE MWENYEWE ALIYEANZISHA UJENZI HUU, angeshidwa kuutekeleza??
    KILA KITU MNALETA MISIASA MISIASA

    • @bakariamour1024
      @bakariamour1024 10 месяцев назад

      Kwa iyo wewe ulitaka wasemaje ikiwa ukweli ulikuwa 25% acheni kubeza nyinyi ,

  • @bongohackss
    @bongohackss 3 месяца назад

    We miss JPMagufuli, tungekuwa mbali kupita kawaida

  • @Sharefa-v6n
    @Sharefa-v6n 10 месяцев назад +2

    Jaman polen mimi hapa nasoma tu comment na kuchek Maana zpo za kuchekesha na zakuskitsha

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 10 месяцев назад +21

    JPM WE STILL REMEMBER 😭😭😭

  • @AmanduceFesto-nb6kh
    @AmanduceFesto-nb6kh 10 месяцев назад +5

    Mwamba jpm shm alpo MUNGU amrehem

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 10 месяцев назад +4

    Hio Yote ni juhudi za hayati Magufuli bila anko magu lisingekuepo Wala wasinge Jenga 😂

    • @MaryStambuli-r4p
      @MaryStambuli-r4p 10 месяцев назад +1

      Ni kweli kabisa yeye ndiye muasisi wa jambo hili aliona wananchi wanapata taabu akaamua pesa ziende zikafanye kazi hiyo siyo sasa hivi pesa inaliwa tu na watu hawachukuliwi hatua

    • @elibaricksadock9562
      @elibaricksadock9562 10 месяцев назад

      Nkweli kbisa wee unazani angikua bado yupo ilo daraja lingekua halijakwisha mpka sasa hakuna kama yule mwamba

  • @bongo39
    @bongo39 10 месяцев назад +7

    Hizo taa wala msioate gharama kuziweka kwakuwa tushaona huko nyuma daraja la kigamboni taa zipo ila haziwashwi hali kadhalika daraja la tanzanite pia ni hivyhivyo bora gharsma za hidontaa mtoe ili mpeleke ktk madarasa au afya hatuoni faida yake na wahusika wanaliona hilo ila wamefunga midomo basi kama ni gharama kuwasha taa kwa umeme wa tanesco tumieni solar umeme wa mungu wa bure kabisa tunaomba lifanyiwe kazi hili jambo

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 10 месяцев назад

      Ww ni mmoja wa wasio penda maendeleo unatoa sababu za kijinga ety msiweke taa hizo gharama mpeleke kwenye madarasa kwani huoni pesa kiasi gani zimepelekwa na kwa ukubwa wa barabara na ukisasa unataka pawe giza??

    • @LORDRICKNKYA
      @LORDRICKNKYA 10 месяцев назад

      Ukiendelea na fikra zako hizo nchi haifatafanya maendeleo maana huwezi kujenga madarsa ya kutosheleza kabisa nchi nzima lazima pesa ziende kwe maendeleo mengine ili zirudi na faida kufanya maendeleo mengine tumia akili usiropoke tuu

    • @sagulesalehe6203
      @sagulesalehe6203 10 месяцев назад

      Kweli kabisa

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 10 месяцев назад +2

    Hili daraja wamelifanya la kisiasa,limechelewa kumalizika, RIP JPM

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 10 месяцев назад +2

    Hawaja uza nondo kwer tusje tumbukia maana saizi kra mtu anajipigia arpo

  • @rashidmakame7068
    @rashidmakame7068 10 месяцев назад +1

    Kuhusu daraja sawa
    Ila kuhusu barabara za kuingia mkoa wa mwanza kwa pande zote mwanza haina barabara na meneja wa TANROAD yupo?hii ni aibu

  • @servantofalmightygoddranth2511
    @servantofalmightygoddranth2511 10 месяцев назад +3

    JPM alikuwa ni mtu na robo tatu

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 10 месяцев назад +3

    RIP Magufuli😢😢😢

  • @Aida-qh3jq
    @Aida-qh3jq 10 месяцев назад +6

    Hawana jipya mungu anawaona

  • @masudymanju6062
    @masudymanju6062 10 месяцев назад +1

    Magufuli Alikuwa ni Raisi bora ukipinga shauli yako

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 10 месяцев назад

    Hongera mama Samia kazi iendelee ❤

  • @drgeofreykupaza7707
    @drgeofreykupaza7707 9 месяцев назад

    ANGEKUWEPO INGEKUWA IMEISHA

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 10 месяцев назад +2

    Magu alale tu kwa Amani alifanya mengi

  • @toymadebho7048
    @toymadebho7048 4 месяца назад

    halijaisha tu kwn mpk sasa😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 5 месяцев назад

    Meli inapita kwenda wapi tena huko Mwanza Gulf, watu hawaangalii geografia nini?

  • @damianmakala2913
    @damianmakala2913 10 месяцев назад +4

    Tunaomba pia serikali ijenge barabara ya kutoka mjini kupitia mkolani , buhongwa usagara mpaka darajani iwe njia nne hii itasaidia kuondoa foleni katika njia hiyo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 9 месяцев назад

    Asiyemkumbuka magufuli atakua na kichaa chake japo mwamba alikua hataki ujinga ujinga

  • @Ibrah287
    @Ibrah287 7 месяцев назад

    Acheni siasa fanyeni kazi daraja likamilike.. regardless nani kaanzisha mradi au nani anasimamia kwa sasa, wajibikeni siasa mziweke pembeni!

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 10 месяцев назад +3

    hilo daraja kuja kuisha lote nguzo za mwanzoni zita kua zimeoza 😂😂😂

  • @FaridaAlita-jx6lt
    @FaridaAlita-jx6lt 9 месяцев назад

    Safi sana

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 10 месяцев назад

    Angekuwepo yy ungekuwa lilitosha sku mingi sana

  • @edwingideon3606
    @edwingideon3606 10 месяцев назад +1

    R.I.P Magufuli

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx 10 месяцев назад +3

    Inabd mwez wa12 nikatembee Mwanza jmn❤

    • @MadilishaSimon-sb9kk
      @MadilishaSimon-sb9kk 10 месяцев назад +1

      Mie mwenyewe nimeanza kutamani kurudi mwanza

    • @SuleAmber-lw2tx
      @SuleAmber-lw2tx 10 месяцев назад

      @@MadilishaSimon-sb9kk Me nmewah kufka mara 1 tu 2020 mwez wa 12 lazma niende kutembea tena mm naish Dom

  • @juniorwiseprophet1240
    @juniorwiseprophet1240 10 месяцев назад +1

    Asanteni

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 10 месяцев назад

    Hvi mpaka reo wanajenga duuuuuuuuuuu mpaka reo hariiishi tuuuu

  • @maskatiglobaltv
    @maskatiglobaltv 10 месяцев назад

    KAZI iendeleee

  • @MohamedMbaraka-b2d
    @MohamedMbaraka-b2d 10 месяцев назад +1

    20, 18 ndio nini
    Nyooka mjomba

  • @allysalum-nd5fd
    @allysalum-nd5fd 10 месяцев назад

    Hili pia lilikua liitwe daraja la nyerere muasisi

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 6 месяцев назад

    Magufuli aliacha amelipa pesa yote tunawadai kazi

  • @MasungaMasaka
    @MasungaMasaka 10 месяцев назад

    Mungu amsaidie tu hii yaan hakuna rais atakae kuwa Kama jpm dunian ha

  • @edwardomodest9297
    @edwardomodest9297 10 месяцев назад

    Rudiiiiii JPM. Rudi tu.

  • @MuemedeManinga
    @MuemedeManinga 10 месяцев назад

    Daraja Hilo ni bala

  • @onekisstv8412
    @onekisstv8412 10 месяцев назад +1

    Darja alijakamilika mpka leo Duuuuhh

  • @tato8979
    @tato8979 10 месяцев назад +1

    Kazi nzuri 🎉

  • @candidoderosa
    @candidoderosa 10 месяцев назад

    Watu ni wakatili sana. 😢

  • @aloycesteven5998
    @aloycesteven5998 10 месяцев назад

    Daraja bado halijaisha hilo

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 10 месяцев назад

    Ila pia mama samia wewe nijembe kuendeleza kazi ambayo hukuianza ni ngumu sanaaaa ngumu mnooo yani ni ngumu sana mama nakuunga mkono sana ila japo kuna watendaji wako wanaenda tofauti na matakwa yako lakini naamin wataumbuka siku moja tu

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 10 месяцев назад

    Nachukia kwa ucheleweshaji

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 10 месяцев назад

    Ameishi mda.mfupi lakini ameweka.kumbukumbu ya daima

  • @mirajimwango5763
    @mirajimwango5763 10 месяцев назад

    HAO JAMAA WANAITWA CCECC NDO WALIJENGA UBUNGO, NI WACHINA WA MOTO

  • @omarysaid8725
    @omarysaid8725 10 месяцев назад

    Hapo kwenye njia ya waenda kwa miguu haitakuwa na maana maana kama nawaona ndugu zangu bodaboda kwenye hizo njia za waenda kwa miguu

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 10 месяцев назад

    B700 hela itarud?!

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 10 месяцев назад +2

    Ni kweli Watanzania wengi mnasema ni Kazi ya Magufuli ila ukweli ni Kazi nzuri iliyofanya na Chama cha Mapinduzi kupitia Ilani ya Uchaguzi katika kuleta Maendeleo Nchini. Kidumu Chama cha Mapinduzi. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @emmanuelmkama3000
      @emmanuelmkama3000 10 месяцев назад +2

      Hili Daraja, Reli ya SGR na mengi tu hayakuwa kwenye ilani ya awamu yeyote ile kutokana na gharama ambazo watangulizi wake waliukwepa kabisa. Hata kina Nape walikiri hivyo. Kongole JPM.

    • @MACHOYATAI-jk6fu
      @MACHOYATAI-jk6fu 10 месяцев назад +2

      Usituambukize ujinga

    • @abrahamkibona7038
      @abrahamkibona7038 10 месяцев назад +3

      Chama kipi kwani tangu mwanzo hakikuwepo? Magu woyee?

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 10 месяцев назад +4

      Ulisema chama.chama kilikuwepo tangu uhuru kwanini ifanyike ktk utawala wake. Chama kilikuwe tangu uhuru marais wangapi walipita bila kugundua hilo? Lazima asifiwe magufuli cy chama.chqma mbona kipo halafu hakifanyi mambo mapya hata yazamani hayakamiliki?

    • @emmanuelmlowe-ew7gx
      @emmanuelmlowe-ew7gx 10 месяцев назад

      Kama unabisha siyo magufuli mbona hayupo hayafanyiki tena? Magufuli ameondoka na chama? Au ameondoka na ilani ya chama chamapinduzi?

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 10 месяцев назад

    Maputo mambo

  • @DerickRinwa
    @DerickRinwa 10 месяцев назад

    Shida mnapenda kuongeza chumvi et kuvuka apo ni masaa mawili jaman as if hatupajui apo au hatujawah kuvuka apo wakat kuvuka apo ni dk 30 mpka 45 mwisho😂😂😂ila siasa jaman 😢

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 10 месяцев назад

    Mama anafanya kazi ila ufuatiliaji ndio unao tuangusha kipindi cha JPM ilikua ni ngumu ufike site uskute watu wanafanya kazi these days watu wanafanya kazi kwa mazoea