#TBC1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 8

  • @Amanofpeople-p5t
    @Amanofpeople-p5t Месяц назад

    Ningpnd kuon kiwnd ch Automobile cha ku assemble vehicle au magar yet kingekua either gvt owned au mtanzania
    Tz even in food processing & pharmaceutical

  • @jamesmwita2995
    @jamesmwita2995 6 месяцев назад

    Mnatuharibia bando,, mnachokisema hatukioni hapo ,,tunaona vichaka vimejengewa geti la ulinzi

  • @abdulpagali7476
    @abdulpagali7476 6 месяцев назад

    Hongereni sana kwa huu udalali 'unaojiweza kipesa'. Lakini naona Mzaramo wa Disunyala hayumo katika dhana ya "local content". Mkoa wa viwanda ambao wakazi wake hawanufaiki na mitaji iliyowekezwa zaidi ya Serikali kuu ukusanyaji mapato. Mkuu wa Mkoa andaa utaratibu wa kuratibu CRS na Service Levy kwa halmashauri husika, jumuiya zilizopo na wanajamii wa mkoa Pwani.

  • @spitfiremusicproducer9623
    @spitfiremusicproducer9623 6 месяцев назад

    Hivyo viwanda viko wapi au hivyo vichaka ndo viwanda?

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 6 месяцев назад

      Serikali zote hutenga maeneo ya viwanda ili kuondoa usumbufu kwa wawekezaj na viwanda kutochangamana na makazi baada ya mda utaona mwenyewe hapo patakuwa ndo ajira kuu kwa wenyeji na wala hapata tosha

  • @alfinmbilinyi5985
    @alfinmbilinyi5985 6 месяцев назад

    Mie naona uharibifu wa ardhi hapa mmeparua mabarabara viwanda havionekani.Hii biashara ya kumshikia mtu wa nje kiwanja tunakosa maeneo ya kupanda minazi na matunda yakulisha watanzania sijapenda.