Mtangazaji mimi ni Defensive driving trainer na masuala ya barabarani pamoja safe trainer in General. Nimeona ulinyo kua unaingia kwenye LIFT uliweka MKONO ili LIFT itambue uwepo wako hiyo ni hatari sana sometimz lift inaweza ku misbehave isi sense ikafunga ukabanwa mkono harafu ikaanza kushuka au kupanda isee mkono umeenda. So tuwe makini sana na kwenye milango au lift kuzuiya kwa mkono very dangerous. Big up sana bro 🙏
Broh @snash Kuna kitu umesahau hapo toilet,kuhusu huo mstari wa njano chini .. Yaani hiyo alama ya njano chini iliyoingia na toilet nikwaajili ya watu wenye ulemavu wakuona (vipofu).. Yaani inaalama maalumu ambayo kipofu akaifika tu akiikanyaga anajua maana yake ninini, kwahiyo anaifuata kwakutembea Juu yake na itamfikisha Hadi toilet🤝🤝🔥
Kaka nimeikubari review yako na unajaribu viti kwa ukaribu ad kugonga, That's so good tunatazama na uimara maana mainjinia wa bongo hawachelewagi kutuletea midosho
Kazi iendelee tunasubiri reli ya mama Samia Dar lindi mtwara songea speed300km/h kila la heri mama Samia Tanzania yako zidi kuing'arisha ipendeze hongera sana.
Yani hilo ndilo tatizo letu watanzania. We think globally but we act locally, ikianza matumizi baada ya wiki utakuta mifuniko ya vyoo imeng'olewa, Koki na mabomba ya chooni yanavuja ndio za plastiki na makopo kama yote vyooni, machinga wamekaa mpaka kwenye korido na kwenye sehemu za kusubiria abiria wanaouza maji, machungwa, biskuti na kila kitu...😂
Kiukweli huu mradi umeingia gharama nyingi sana nashauri tuulinde na tuupende maana ni kodi zetu wenyewe hazijayoka kwa wahisani wala hao viongozi hawajatoa mifuko i mwao so tuwe wazalendo tuulnde
😂😂😂 Ingekuwa ipo Kenya hii station tusingelala nawakumbusha wakenya ipo kama hii nyingine Dodoma halafu boraa zaidi sasa zipo Mwanza mbili kaliii mbona tutaelewana tu Safari hii
Kaka miaka yote raisi akipita anapongezwa aliyopo ata kama miladi ilianzia nyuma atuwezi Kila siku mzungumzia mtu aliepita sawa alianzisha ila samia kamalizia maana samia angekuwa afai asingemalizia miladi kwa wakati ko pongezi kwa mama kwa kumaliza miladi iliyoanzishwa
Hivi kwa nini watanzania mna tabia ya kushikashika ukuta? Angalia huyu mtangazaji, finishing ikikuvutia ni lazima ushike? Kuna ulazima wa kugonga gonga mlango kuonyeshwa uimara? 😮
wacha kukariri bhana, wazungu wenyewe wapo mbele kitechnolojia ila wakivutiwa na kitu wanagusa kabisa ivyo ivyo adi kutaka kutumia ikibid. sembuse kugusa ukuta, watazame wale wanaoReview magari wanavyofanya, au wale wa simu sometimes adi wanazigongesha
We unasema hauna cha kumlipa mama samiha kwa sababu ya hiyo station hujui kwamba hiyo imejengwa kwa kodi zetu au unafikir mama samiha katoa pesa zake mfukoni
Hapo ndio hua nauona ubaguzi wa watanzania dhidi ya watanzania wengine. Kwanini kigoma tu kama njia ya wageni na sio maeneo mengine yanayopakana na nchi nyingine? Huwezi kumsikia mtu au kiongozi akiongelea mikoa kama, mbeya, kagera, mara, Arusha, Kilimanjaro, mtwara au ruvuma, kuhusu wahamiaji haramu zaid inatajwa kigoma tu. Huo ujinga hua naupinga sana kwakua hiyo ililetwa na wakoloni. Waliokua wakiziona nchi zilizotawaliwa na wabelgiji na wafaransa kua kama adui kwa nchi za kiingereza, kijerumani na nyungnezo. Muendelezo huo unaendelea hadi sasa ndio sababu watu wamefanya kuinekana kigoma kama mkoa wa kiukimbizi. Wilaya ya ngara imekuzwa na watu kutoka rwanda, hakuna anaeongea lakini kwakua ni moja kati ya watu wenye nguvu za kimaamuzi serkalini
Dunia hii kila mtu ni muhamiaji...cha muhimu ni kufuata sheria za nchi tuu Familia ya kiingereza ...Queen elizabeth na mumewe ...sio waingereza halisi...lkn walikubalika Sembuse ss kajamba nani...africa inatakiwa iwe free movement...soon inakuja Kenya na Rwanda wameanza...watu wanazuiana wakati sote tu masikini😂
Kazi ya jpm ndiyo tunaona matunda yake leo dah😢 R .I.p shujaaa wang
Mbona hatupandi hata miti na maua, inakuwa concrete jungle! Curb appeal na landscaping ni vitu vya muhimu, mimea hu-absorb radiant heat!
Mtangazaji mimi ni Defensive driving trainer na masuala ya barabarani pamoja safe trainer in General. Nimeona ulinyo kua unaingia kwenye LIFT uliweka MKONO ili LIFT itambue uwepo wako hiyo ni hatari sana sometimz lift inaweza ku misbehave isi sense ikafunga ukabanwa mkono harafu ikaanza kushuka au kupanda isee mkono umeenda. So tuwe makini sana na kwenye milango au lift kuzuiya kwa mkono very dangerous. Big up sana bro 🙏
Broh @snash Kuna kitu umesahau hapo toilet,kuhusu huo mstari wa njano chini .. Yaani hiyo alama ya njano chini iliyoingia na toilet nikwaajili ya watu wenye ulemavu wakuona (vipofu).. Yaani inaalama maalumu ambayo kipofu akaifika tu akiikanyaga anajua maana yake ninini, kwahiyo anaifuata kwakutembea Juu yake na itamfikisha Hadi toilet🤝🤝🔥
Mama samia hahusiki hapo ni magufuli
basi unahusika ww😅
Yuko wapi uyo magufuli anaehusika apo, wacha ushabiki wa kijinga.
Roho mbaya tu, ukitaka anahusika hutaki anahusika
Mkuu mama anahusika, kwani si walikuwa wote!
@@hamzakhamis1575usimjibu hivyo kwani mjinga hajibiwi ujinga.
Mueleweshe tu kuwa hii milada mama anahusika kwa kuwa walikuwa wote na mzee full stop 🛑
Sijashangaa Steshenie... huyu host anafaa sana , ata asiejua sentamisungwi uko anamuelewa kwa wepesi
Iyo sehem ya kukata ticket zipo 6 ila utakuta mfanyakazi mmoja anayeingia na kutoka😂😂😂😂😂
Hata pale mbezi mlisema kama airport ndogo leo hii kupo kama zizi la malisho 😂😂
safi sana kaka snash unafanya vyema sana Mungu akubariki sana katika karia hii
nakubali mzee uwaga nakufatilia sana
Hongera sana mama samia
Kaka nimeikubari review yako na unajaribu viti kwa ukaribu ad kugonga, That's so good tunatazama na uimara maana mainjinia wa bongo hawachelewagi kutuletea midosho
Hongera sana magufuri wew ndio ulio tujengea pumzika kwa aman uncle magu
Ila we jamaa ni mkorofi Yan ndio uanze kugonga gonga ung'ate ng'ate viti
Umenifanyaa nimecheka kijingaa
Nzuri iyo, unajua wajibu wako kijana
Kazi iendelee tunasubiri reli ya mama Samia Dar lindi mtwara songea speed300km/h kila la heri mama Samia Tanzania yako zidi kuing'arisha ipendeze hongera sana.
Baba upo vizuri unavyochambua halafu unajuwa kuvaa mwnngu mwili henga
Asante kwa Tour...tunaomba urudi tena utuonyeshe station yetu baada ya mwaka mmoja...kama utakuta toilet seat na mabomba kama yapo maana tunajuana😂
Mwaka mmoja mbali ikianza kazi wiki 2 aende akapige picha tena. Na vile viti vya treni ndani utavikuta vingunguti mtu anakalia home
@@slowclimbertothetop4572😂
@@slowclimbertothetop4572 🤣🤣🤣🤣
Yani hilo ndilo tatizo letu watanzania. We think globally but we act locally, ikianza matumizi baada ya wiki utakuta mifuniko ya vyoo imeng'olewa, Koki na mabomba ya chooni yanavuja ndio za plastiki na makopo kama yote vyooni, machinga wamekaa mpaka kwenye korido na kwenye sehemu za kusubiria abiria wanaouza maji, machungwa, biskuti na kila kitu...😂
Nakumbuka mwendokasi kipindi inaanza unatangaziwa, kituo kinacho fantastic manresa, kituo kinacho fantastic tikitop, nanda sasa, unapitiliziswa, utashukia kimara. Asante!
Kazi nzuri Sana Snash 🙌💯👑, ( Sim Ipi ilio tumika ku Shoot ? )
kwanini umengata viti dakika ya 9:00. tofauti na hapo good work brother
Snash Tafadhali
Naomba Review Nyingine Ukiwa ndani Ya Mabehewa
hongera sana tanzania one love kutoka kenya
Pamoja sana!
We are one pple.
Mama samia umetishaa sanaa mama munguu akulinde.
Magufuli alitisha sana
Nakubar Snashitz
Kweli kwa watu mashughuri hata kuingia umeshindwa umeishia kuangalia kwa mbali na kusifia tuu😂😂😂
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
Hongera sana brother. Kazi nzuri, safi.
Superb video Quality, and with a phone, am impressed, kudos to the color grading as well.. looking forward to more coverage on this subject
Kiukweli huu mradi umeingia gharama nyingi sana nashauri tuulinde na tuupende maana ni kodi zetu wenyewe hazijayoka kwa wahisani wala hao viongozi hawajatoa mifuko i mwao so tuwe wazalendo tuulnde
Magufuli the best
UTAMU UTAMU
Namba 1 leo
ushamba mwingi sana mara vip mara imagination , mazingira mazuri sana shida shida ushamba mwingi
Kwani ushamba ni kosa mkuu
Ww ustaarabu wako nn?
Umeelezea vizuri Sana
Safi sana viongozi wetu
😂😂😂 Ingekuwa ipo Kenya hii station tusingelala nawakumbusha wakenya ipo kama hii nyingine Dodoma halafu boraa zaidi sasa zipo Mwanza mbili kaliii mbona tutaelewana tu Safari hii
Mkiruhusu abiria wa Treni ya MGR waingie humo ndani patakua kama jalalani
Kazi iendelee
Kama kuna mkono wa mtu kwenye kifo cha anko Magu aiseee afe vibaya sana
Kazi nzuri
Hivyo viti vitavunjwa vunjwa vyote wabongo hawa aisee ni kipengele...wengine wataleta kunguni hapo 😅😅
😂😂😂
Best review ever 🔥
Sasa watu wanafanya Kaz manyumbu yapo kuandamana😂😂
Jina la Mama Litukuzwe, ameeena.❤
Sio mama ni magu😢
Mzee wangu magufuli nakukubali milele mungu akusamee makosa yako 🙏🙏
Good job
nasubiri picha za Termnibus ya kulee
Safi sanaaaa
Jaman muwe munamkumbuka magufuli mbona hamumutendei haki
Kaka miaka yote raisi akipita anapongezwa aliyopo ata kama miladi ilianzia nyuma atuwezi Kila siku mzungumzia mtu aliepita sawa alianzisha ila samia kamalizia maana samia angekuwa afai asingemalizia miladi kwa wakati ko pongezi kwa mama kwa kumaliza miladi iliyoanzishwa
Rest in happy daddy jhoni we will not forget you our love
Mambo mazuri kama haya huwezi ona comments za Wakenya coz wanajua station ya reli yao ilivyo kama ukumbi
😂😂😂😂 exactly 💯 👏 🙌 👌 🤣
Kweli kabisa wakenya wanawivu mchafu sana dhidi ya Tz😂😂😂😂😊
Hivi kwa nini Waafrika tunachukiana wenyewe kwa wenyewe?
Magufuli kwa nini umetuacha mapema baba tungepata mambo mengi mazuri kama haya okay kazi ya Mungu haina makosa Rip chuma
Hivi kwa nini watanzania mna tabia ya kushikashika ukuta? Angalia huyu mtangazaji, finishing ikikuvutia ni lazima ushike? Kuna ulazima wa kugonga gonga mlango kuonyeshwa uimara? 😮
wacha kukariri bhana, wazungu wenyewe wapo mbele kitechnolojia ila wakivutiwa na kitu wanagusa kabisa ivyo ivyo adi kutaka kutumia ikibid. sembuse kugusa ukuta, watazame wale wanaoReview magari wanavyofanya, au wale wa simu sometimes adi wanazigongesha
@@hallin9561 Wazungu wa wapi hao wana test kwa meno? Watakuwa wale wa Ukrainie labda.
Watu kama nyie ndo mnaonaga wazungu miungu wakati wana ujinga mpk we mwenyewe unashagaa huyu mtu au mdudu@@egdldm4981
@@jayharryson4913Naona washamba mmealikana kuzindua treni kwa mtindo wa kishamba mlioukariri kutoka kwa wazungu ... kazi iendelee.
@@hallin9561wazungu gani wanashika shika vitu Na kung’ata viti na meno ? Huyo mtangazaji sio mstaarabu
kwenye tren la umemewaweke king'amuzi cha azam
Badala useme Dstv unasema Azam duuh
Magufuri ❤❤❤
Kak umetisha katik ukaguz upo vzr 😂
We unasema hauna cha kumlipa mama samiha kwa sababu ya hiyo station hujui kwamba hiyo imejengwa kwa kodi zetu au unafikir mama samiha katoa pesa zake mfukoni
1:33 snash hii content imepigwa kwa smartphone S24 ama camera
Iko wap station na nauli sh ngap Moro??
Sisi tunajua ni JPm sasa izo story zingine zakuchangamsha uchaguz
R.i.p JPM haya ni matunda uliyoyaanzisha japo hayajakamilika Kwa wakati
Wakenya mje muone station ya kisasa siyo nje mnapanga mabenchi ya kukalia watu!.
Kenya watu wa kidheri onyesha yenyu😅😅😅
Hapo ndio hua nauona ubaguzi wa watanzania dhidi ya watanzania wengine.
Kwanini kigoma tu kama njia ya wageni na sio maeneo mengine yanayopakana na nchi nyingine?
Huwezi kumsikia mtu au kiongozi akiongelea mikoa kama, mbeya, kagera, mara, Arusha, Kilimanjaro, mtwara au ruvuma, kuhusu wahamiaji haramu zaid inatajwa kigoma tu.
Huo ujinga hua naupinga sana kwakua hiyo ililetwa na wakoloni. Waliokua wakiziona nchi zilizotawaliwa na wabelgiji na wafaransa kua kama adui kwa nchi za kiingereza, kijerumani na nyungnezo.
Muendelezo huo unaendelea hadi sasa ndio sababu watu wamefanya kuinekana kigoma kama mkoa wa kiukimbizi.
Wilaya ya ngara imekuzwa na watu kutoka rwanda, hakuna anaeongea lakini kwakua ni moja kati ya watu wenye nguvu za kimaamuzi serkalini
Naungana na ww kaka ni upumbavu wa hali ya juu sana
Spati pcha magufuli angekuwepo
Me naona miradi mingi kaacha jpm tu😂😂😂
iko wapi?
Hivyo vyoo sasa vitachafuka balaa
😂😂😂na wabongo tulivyo wachafu
Kwani na uko umeme unakata viuno kama huku
kigoma 😂😂 ila kiukweli wamuah sio watanzania ila basi tu
Dunia hii kila mtu ni muhamiaji...cha muhimu ni kufuata sheria za nchi tuu
Familia ya kiingereza ...Queen elizabeth na mumewe ...sio waingereza halisi...lkn walikubalika
Sembuse ss kajamba nani...africa inatakiwa iwe free movement...soon inakuja
Kenya na Rwanda wameanza...watu wanazuiana wakati sote tu masikini😂
Nauli ipoje ?
Sio mama Samia ni magufuli jamani da!
Ahsante Mama, wewe ni jembe
Magu hoyooooo
Mama samia mingine 5
Magufuli oyee
❤❤❤❤
PROJECT ZA MJOMBA MAGU IZI
kama mbele yan
❤❤
EMBU AJITOKEZE MTU APIGE SHOTS APO , KUNA VIEW FLANI NIMEONA KAMA UNACHUNGULIA TWIN TOWERS NI NOMA😂
Restin peace Magufuli
Magufuli
Msituchanganye magufur ndo Kaz yake
R I P ,, J P M😢
Huyu jamaa anaroho ya hasad hataki😢tuendelee mbona Aiir port ya JK nzuri
J p m💪🇹🇿
Sio mama samia ni Magufuli
Mbona saiz sion miradi mipya au mwenye akili ameshakufa
Kamanimtu amemuuwa magu bsa mungu ndie mwenye hukumu
Magufuli