Watanzania Tumepiga hatua kubwa sana. Huu nao niuekezaji wetu mwingine mkubwa sana wa kisasa. Hongereni sana walio kaa kifua mbele kuanzia mwanzo hadi kinasimama kuanza kufanya kazi. Mungu awabariki sana
Shida ndiyo hiyo kaka,watanzania kila tunachoanzisha baadae kinakufa sababu ya kukosa umakini na uzalendo na kuingiza siasa za kijinga sehemu ya biashara!!!
Watanzania Tumepiga hatua kubwa sana. Huu nao niuekezaji wetu mwingine mkubwa sana wa kisasa. Hongereni sana walio kaa kifua mbele kuanzia mwanzo hadi kinasimama kuanza kufanya kazi. Mungu awabariki sana
Hongeren sana mtatujali watanzania
Tufanye kazi kwa maslahi ya watanzania na tusije tukaanza kuwa na longolongo kubwa na wizi na uhujumu wa raslimali zetu.
Shida ndiyo hiyo kaka,watanzania kila tunachoanzisha baadae kinakufa sababu ya kukosa umakini na uzalendo na kuingiza siasa za kijinga sehemu ya biashara!!!
Keep it up. Hongereni sana
Good job guys
Kila lakheri Mkulanzi katika uwajibikaji utaotukuka
Hiyondio maanayake watuwapatekazi iliwasiibe, Tanzania oyee😂
Bei ya sukari ishuke