MKULAZI YAANZA MAJARIBIO YA MITAMBO KWA AJILI YA KUANZA UZALISHAJI WA SUKARI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 9

  • @husnmjuba4978
    @husnmjuba4978 10 месяцев назад +3

    Watanzania Tumepiga hatua kubwa sana. Huu nao niuekezaji wetu mwingine mkubwa sana wa kisasa. Hongereni sana walio kaa kifua mbele kuanzia mwanzo hadi kinasimama kuanza kufanya kazi. Mungu awabariki sana

  • @emilianaandrew3648
    @emilianaandrew3648 7 месяцев назад

    Hongeren sana mtatujali watanzania

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 10 месяцев назад +4

    Tufanye kazi kwa maslahi ya watanzania na tusije tukaanza kuwa na longolongo kubwa na wizi na uhujumu wa raslimali zetu.

    • @nsajimwasege68
      @nsajimwasege68 10 месяцев назад +1

      Shida ndiyo hiyo kaka,watanzania kila tunachoanzisha baadae kinakufa sababu ya kukosa umakini na uzalendo na kuingiza siasa za kijinga sehemu ya biashara!!!

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 10 месяцев назад +1

    Keep it up. Hongereni sana

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 10 месяцев назад +1

    Good job guys

  • @ibrahimmagoti2734
    @ibrahimmagoti2734 10 месяцев назад +1

    Kila lakheri Mkulanzi katika uwajibikaji utaotukuka

  • @ramaaman4020
    @ramaaman4020 4 месяца назад

    Hiyondio maanayake watuwapatekazi iliwasiibe, Tanzania oyee😂

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 9 месяцев назад

    Bei ya sukari ishuke