EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 июн 2021
  • Leo naripoti kutokea Kiwandani Rapha Group Limeted hapa ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya, kuna watu wameweka pesa zao, akili, na kila kitu chao kwenye kilimo, nakukutanisha na Raphael Simon Ndelwa maarifa yake na maisha yake yeye ni Kilimo cha MPUNG na uzalishaji wa mchele yaani BILIONEA WA MPUNGA, Uwezo wake wa kukopesheka na BENKI NI BILIONI 3

Комментарии • 643

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 3 года назад +169

    Kama unaamini jamaa nijembe nimfano wakuigwa like hapa

  • @mkwizoxsafarisadventures9750
    @mkwizoxsafarisadventures9750 2 года назад +5

    Huyu ndugu Raphael ni mzalendo halafu hapendi umaskini kivitendo...Mpaka kuwashika mikono wakulima wa kawaida kuwadhamini sio kitu rahisi kabisa... Mungu aweke hii spirit miongoni mwa vijana wa Tanzania pamoja na kwangu, ameeeni...💪

  • @renatuswilson1577
    @renatuswilson1577 3 года назад +40

    Vijana tuskate tamaa. Mungu niwetu chamsingi juhudi tu. Amen

    • @mgosimkome9242
      @mgosimkome9242 3 года назад +2

      Usilete story za Mungu kwenye mafanikio ya mtu, siri ya mafanikio huwa anayo Anaemiliki mali na watu msibeze elimu kwa kuona darasa la Saba kafanikiwa, akikuambia siri zake utakimbia. Usione mtu ana pesa ukatamani ukaanza kusema sijui na wewe unaweza kuwa hivyo, na sio kwamba vijana hawajishughulishi wanajitahidi Sana ili waondokane na umasikini ila ndo hivyo. Siri anaijua yeye wachache ndo wataelewa hii sms

    • @NTEMI-OBURUDANI
      @NTEMI-OBURUDANI Год назад +2

      Kijana unapotosha uma Mungu anasema fedha na sababu ni vyake anauma ameombae omeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni mtafunguliwa so kwenye mafanikio Mungu kwanza mengine mtaongezwa

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 3 года назад +69

    nimejifunza vitu vingi katika habari hii, thanx AYO TV , nawasihi vijana wezangu waisikilize hadi mwisho.

  • @supervan3717
    @supervan3717 3 года назад +13

    Asanteni sana millardayo kwa kutupia jicho uyole kwenye kiwanda cha mhele kwa hakika kila aliepata nafasi ya kuangalia hii interview amejifunza jambo kubwa sana

  • @hamidjuma2357
    @hamidjuma2357 3 года назад +21

    Pia kasema kweli tupu kwamba ukitaka kufika mbali jenga uaminifu ujanja ujanja haukufikishi mbali very true

  • @richardmwandali7722
    @richardmwandali7722 2 года назад +8

    Nimerudia mala 3 kusikiliza iyo story big up Sana sir Raphael

  • @nicholaskelion1180
    @nicholaskelion1180 2 года назад +8

    Mungu akutangulie Mkurugenzi,, mchango wako kwa Watanzania ni mkubwa, Mungu akupe zaidi ya hapo.

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 2 года назад +8

    Mungu anavichagua vinyonge kuviabisha vikubwa ili asiwepo wa kujivuna. Inapendeza Rafael anapomtukuza Mungu ktk mafanikio yake. Na kwa ajili hiyo Mungu pia amemkweza. Kila ajishushae atakwezwa na vice versa. Barikiwa ndugu umekuwa mfano rahisi na wazi kabisa kuelewa na mzuri mno kwa vijana wote ktk Taifa hili. Play your part it can be done. Hongera sana Rafa.

  • @user-ux6eq4co6i
    @user-ux6eq4co6i 3 года назад +7

    Ongera sana nimefurai sana kumuona mtanzania km ulivyo wewe mungu akubariki mim niko oman naipenda sana tanzania mungu aibariki tanzania

  • @bernadlydia296
    @bernadlydia296 3 года назад +10

    Mungu huwainua wanaomtegemea na kumuamini, vijana tuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kwa huyo kaka, Mungu akubariki Ayo tv kwa kazi nzuri ya kutuonyesha fursa vijana wenzenu.

    • @emmanuelsanga7583
      @emmanuelsanga7583 2 года назад

      Hakika kuna habari unaweza ukaiona ukaamini kweli suala la habari ni taaruma na sio wanaodhani wakiingia kwakumweka modo wake furani wakati wanashindwa kufata masharti sheria taratibu na kanuni za taaruma ni dhahiri hakustahiri kuwa mwanahabari ninamakunyanzi moyoni mwangu juu ya wanahabari wanaoifarakanisha habari na wadau ila basi tu wameniita mlawiti muuaaji mara 2 mvamizi tena kwa vichwa vikuubwa vya habari iweje hapo

  • @edwardemmanuel5552
    @edwardemmanuel5552 3 года назад +39

    Miladi Ayo habari zenu si kitoto hongereni sana

  • @dorcasseruhere6875
    @dorcasseruhere6875 3 года назад +22

    Mingu akubariki na watu wako wote. Kama una watoto wasomeshe kwa kiwango cha juu. Nakupongeza Unaweza na Mungu awe nawe. Amina

    • @peterbillas9131
      @peterbillas9131 Год назад

      Jamaa nimemkubali saana na mungu na wazee wetu wambariki lakini akae mbali na bill na ma gmo hawa matajiri wa ulaya hawana lolote ni mashetani wanataka kukontro mazao duniani na kufanya biashara na nchi za nje ni tishio kwao mimi nakaa sauzi na mchele huku ni mbovu tunakula maplaastiki sizani kama watapenda kuona mchele mzuri hivi ni vita vyakiuchumi

  • @gradientlife
    @gradientlife 2 года назад +4

    This is guy is genius, akili yake kubwa sana. Very inspiring. @Raphael Ndelwa Hongera sana

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 года назад +5

    Mungu akubariki sana ndg. M.Ayo, wewe unatoa habari zinazoeleweka kwa anahitaji habari zenye mafundisho.

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 Год назад +3

    Safi sana mtanzania mwenzetu kwa mapambano mazuri, Mungu aendelee kukutunza na kusimama imara katika kampuni yako,ufike mbali zaidi ya hapo ulipo.

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 3 года назад +6

    Mashallah nami nimeelimika kufanya kaz kwa bidii na kumtanguliza Muumba

  • @benjaminsamwel5059
    @benjaminsamwel5059 3 года назад +10

    Mimi mtu wa uyole tunakua na tunaona mafanikio yako hongera sana unatumotivate

  • @Regan_
    @Regan_ 2 года назад +5

    Interview bora zaidi ambayo nimewahi kuitazama.
    Mungu katika kila sentensi huyu mtu amebarikiwa sana.

  • @Guled3
    @Guled3 Год назад +5

    I like the attitude of this billionare for acknowledgement of Almighty Allah in his success.

  • @hassanhusseinally9805
    @hassanhusseinally9805 3 года назад +15

    Masha Allah ukimueka mungu mbele kila kitu kinawezekana insha Allah keep it up Mr Rafael

  • @saidifadhil7397
    @saidifadhil7397 2 года назад +3

    Asante Ayo kwa kutuletea huyu jamaa ,nimejufunza sana mungu aendelee kuwapa nguvu ya kutuletea stori zenye mafunzo kama hii.

  • @Maggie-yx8pw
    @Maggie-yx8pw 2 года назад +5

    Big up Kaka Raphael ukimtanguliza Mungu hakika hakutupi Mkono.

  • @h.rukuba7464
    @h.rukuba7464 2 года назад +3

    Jamaaaa liko vizuri hongera Raphael serekali wasupport yeni Hawa jamaaa watusaidia tu create ajira mungu akubariki

  • @michaelmakaranga5877
    @michaelmakaranga5877 Год назад +2

    Nimefarijika sana🙏🙏🙏 Mungu Ahsante Kwa zawadi ya watu kama Hawa dunian

  • @agreyaloyce432
    @agreyaloyce432 3 года назад +37

    I love that kila sentence Mungu yupo kwenye kichwa chake

    • @elisantej5512
      @elisantej5512 3 года назад +1

      kama ulikuwa kwenye akili yangu vile

    • @wafulatom104
      @wafulatom104 2 года назад

      Even me iam amazed at the way he begins with God in every thing. Nashukuru saana from Uganda

  • @alikhamis6326
    @alikhamis6326 3 года назад +8

    Brother nimependa jinsi unavyojieleza vzr hongera kaka na ss tutajifunza kupitia jitihada zako mungu awe pamoja na ww pia nimependa kaka jinsi unavyotembea majendo yako

    • @TijoMediaCom
      @TijoMediaCom 2 года назад +1

      Mzee ukishakuwa na hela hakunaga kutetemeka, tutafute pesa tuu yaan

  • @rajabmartojr3302
    @rajabmartojr3302 3 года назад +32

    Respect broo Millard ayo
    And much more respect to mr Rafa group

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 3 года назад +5

    Mungu akubariki niliwahi nunua kwako mchele n mzuri good package mchele mzuri safi ur my role modal

  • @adophndelwa4885
    @adophndelwa4885 2 года назад +17

    Big up professor keep grinding you deserve god will do the rest

  • @elisantej5512
    @elisantej5512 3 года назад +7

    Nawapongeza pia Ayo Tv, mko vizuri kwakweli. Huwa nikitaka habari za kweli na za maana naitafuta Ayo TV

  • @africaendlesscruising
    @africaendlesscruising 3 года назад +7

    Huyu kijana hata kama ameishia Darasa la Saba kwa sasa ana elimu ya kiwango cha digrii ya Chuo Kikuu katika biashara na uongozi. Hata anavyoongea kwa kujiamini na ufasaha ni wazi biashara anaijua vilivyo. Hongera sana Bw Rafaeli...!!

  • @gracerossiejohnny9887
    @gracerossiejohnny9887 3 года назад +9

    Mungu amlinde jmn...maana ukitafuta shida..ukikaa bure shida...mungu akulinde

  • @evelyneokwiri6344
    @evelyneokwiri6344 Год назад +5

    I read his story 2yrs ago. He is a hard working man with humanity in him

  • @Donrugi
    @Donrugi 3 года назад +5

    WOW NAJIKUTA NAFURAHI KAMA NI MIMI VILE. Hongera sana kwake wacha na sisi tupambane 🙏🏽

    • @hamisinjuga8573
      @hamisinjuga8573 2 года назад

      Dar jamaa namkubali sana napenda sana maendeleo Ila vizingiti vya wanadamu aisee wewe unapambana peke yako wao wanapambana na wewe aisee watu bwana

  • @kavishe2009
    @kavishe2009 3 года назад +7

    Nimeshangaa sana jinsi ulivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko Profesa wa chuo kikuu.

  • @immanuelkalleshi6153
    @immanuelkalleshi6153 3 года назад +11

    Mungu akupe nguvu zaidi na maarifa Na zaidi mm nimekuwa pamoja na ww kaka nimeona hekima na busara zako.Mungu akupe zaidi afya na hekima.

  • @getrudeambilinyi4505
    @getrudeambilinyi4505 3 года назад +9

    Hongera sana mjomba wangu namuomba Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi

  • @mwlpierre
    @mwlpierre 3 года назад +18

    What an Excellent patriotic investor!

  • @alex_james8244
    @alex_james8244 2 года назад +9

    very good entrepreneur, you are smart in talking....inspirational man ever happened 2021

    • @papaahansmo1129
      @papaahansmo1129 Год назад

      Naomba namba zako Raphael tufanye biashara ya mchele

  • @yusufumajinge59
    @yusufumajinge59 2 года назад +10

    Busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.

  • @magrethelisha5460
    @magrethelisha5460 2 года назад +5

    Anatembea vizuri 😊 hongera sana Kaka👍

  • @abochejuniorhutingwa223
    @abochejuniorhutingwa223 2 года назад +3

    Hongera sana kk Raphael Mungu akufanyie sawasawa na maombi yako

  • @rubebandihai6207
    @rubebandihai6207 2 года назад +8

    Kazi nzuri, lakini Bill Gate siyo mtu wa kuamini. Msiweke GMO tafadhali🙏🏽

  • @christianchando7041
    @christianchando7041 3 года назад +55

    Kweli nimeamini Akili si elimu. Huyu jamaa anajua kujieleza, anajibu maswali yote vizuri

    • @maalimjaffar5563
      @maalimjaffar5563 3 года назад +5

      Kweli usemavyo,,, kwasababu wasomi wengi wanatumia ufundi wa kupanga maneno matamu,lkn wenyewe wanakua na malengo yao ya siri,huyu jamaa anaongea kwa uwazi na kwaushahidi,,,hadanganyi.

    • @kawawamamaya8543
      @kawawamamaya8543 3 года назад +1

      Na sio msomi imagine

    • @fundamengo7970
      @fundamengo7970 3 года назад +1

      Sema shule sio akili lakini elimu ni Bora tofauti ni elimu ya aina gani elimu ya wazazi ni Bora Sana

    • @yusufumajinge59
      @yusufumajinge59 2 года назад +2

      Sasa ndiyo ujue busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.

    • @wisperfect5320
      @wisperfect5320 2 года назад +2

      Ukiwa na pesa lakizima uwe na confidence

  • @kdpretoria780
    @kdpretoria780 3 года назад +5

    Ni matajiri wachache wanaoamini kuwa si huwezo wao bali ni uwepo wa Mungu katika kutenda miujiza wengi huamini ni uwezo wao ila huyu kamuweka sana mbele Mungu am proud of him.

  • @dannywiston6391
    @dannywiston6391 2 года назад +17

    Namjua jamaa yuko simple Sana na roho nzuri Sana, kazini kwake kajenga mpaka sehemu ya ibada

    • @marylubuv8202
      @marylubuv8202 2 года назад

      Kumbe aseeeeh ndo mana anabarikiwa

    • @hellenmawere9284
      @hellenmawere9284 Год назад

      Hakikaa amejua kumtafuta Mungu Kwa bidii zote. Nimejifunza kikubwa mno Leo.🙏 imebarikiwa mikono isiyotenda Kwa ulegevu + na juhudi + unyenyekevu. Mungu atusaidie sana asee.

  • @marylyimo7546
    @marylyimo7546 2 года назад +3

    Hongera sana Raphar unaonekana hunamajivuno umejibu maswali vizuri sana, MUNGU akulinde na watu wenyenia mbaya.

  • @severinmbanza4950
    @severinmbanza4950 Год назад +1

    Kuna kitu nimekinukuu kwa Raphael, ni ukiamka sa mbili au sa tatu huwez kufanikiwa kwenye haya maisha kamwe❤

  • @wafulatom104
    @wafulatom104 2 года назад +2

    Iam so inspired by this determined person to uplift mtu wa chini

  • @SHUFEJOGROUP
    @SHUFEJOGROUP 2 года назад +1

    Hongera sana Mr Raphael, mungu akujaalie zaid kuna kitu nimejifunza kwako.

  • @amaniomballa1855
    @amaniomballa1855 3 года назад +6

    Marafki sometimes wanakuwa Ni zaidi ya Ndugu Ni vema kumuheshimu kila mtu..ktk haya maishaa..

  • @oliverkyando9897
    @oliverkyando9897 2 года назад +3

    Kweli umetoka mbali sana ,Tena unaroho ya huruma ulikuwa unatugawia hata sisi wakiwango cha chini unatupatia debe moja tunadunduliza maisha yanaenda, Ndio maana Mungu hajakuacha

  • @anselmokidaboma9328
    @anselmokidaboma9328 2 года назад +4

    The guy is Soo Bright, kweli subira yavuta heri.Tz inahitaji watu Kama hawa 2 kila mkoa Tz itakuwa imenoga mno

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki6038 3 года назад +1

    Big up. big boss. salute kwako pamoja na watendaji wako wote. Kazi iendelee

  • @leverimlaki5667
    @leverimlaki5667 3 года назад +3

    Safi sana ndugu. Wewe ni mfano wa kuigwa katika biashara

  • @jameskitheka5702
    @jameskitheka5702 2 года назад +1

    Millard Ayo uwa namkubali..much love from Kenya

  • @fatmakombo7584
    @fatmakombo7584 2 года назад +3

    Mungu aibariki Tanzania mungu mlinde mamma yetu raisi wetu nä shari za kila kitu
    Kaka mungu azidi kukubariki kwani unaitanzania tanzania kwa kuwasaidia vijana

  • @jhonchege7258
    @jhonchege7258 2 года назад +2

    Mungu ni mwema wakati wote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @hassanmasoud2113
    @hassanmasoud2113 3 года назад +6

    🍒💪pga kaz brother

  • @fadhilahussein3581
    @fadhilahussein3581 3 года назад +4

    Mungu akitaka Kupa hakuletey barua

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 Год назад

    Hongera sana. Mungu Azidi Kukutangulia. Umewafungua Vijana Macho. Hongera Ayo.

  • @RaymondMahundi
    @RaymondMahundi 8 месяцев назад

    Raphael brother keep going..naufaham moyo wako wewe ni mtu napo sema mtu na maanisha.hongera brother 🙏🙏

  • @alexedward7709
    @alexedward7709 3 года назад +3

    Umeeleweka vizuri.
    Asante sana.

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 3 года назад +6

    Hivi ndio vitu vya kuweka kwenye Chanel sasa

  • @getrudewillson308
    @getrudewillson308 2 года назад +2

    Kiukweli kaanza viizuli namuombea kwa MUNGU wetu amalize vizuli zaidi nami naomba kazi.

  • @agnessmkoma1761
    @agnessmkoma1761 2 года назад +1

    Mr. Raphael.... uko smart akilini..... very smart... yaan unaongea vizur we baba.... uko na furaha wakati wote, unaongea kwa sauti ya ujasiri Sana......nimetambua juhudi zako baba...... endelea na safari, Mungu akawe kiongoz wako

  • @luganomwaigomole8849
    @luganomwaigomole8849 3 года назад +1

    Nimekubali Sana brother.. nimejifunza mengi kaka.. TANZANIA FUNGUKA...

  • @selekiwande64
    @selekiwande64 3 года назад +5

    Mwamba anachokitu cha ziada ndio kimemfikisha alipo Kitu uaminifu kujiamni, na Ana nyota yakupendwa kuaminiw kujituma na anandoto kubwa pia anamoyo wakusaidia wengine na ndiomaana anazid kupata baraka za mungu

    • @fideahyera2599
      @fideahyera2599 2 года назад

      Hongera Sana. Nimependa namna unaongea. Nimejifunza Mambo mengi

  • @amosicronery7730
    @amosicronery7730 Год назад

    Shukrani sana, nimemwelewa sana Rafael Group

  • @agustinocharles2650
    @agustinocharles2650 3 года назад +14

    Brother God bless you

  • @monicaluziro1288
    @monicaluziro1288 2 месяца назад +1

    Nimejifunza kitu hapa, kwamba boss wetu amesafiri. Yaani wafanyakazi wote mnakua sawa kabisa kama ni vumbi vumbi juingia kazini wa kwanza kutoka wa mwisho.

  • @juliussaibulujuliussaibulu5740
    @juliussaibulujuliussaibulu5740 2 года назад +2

    Maisha ni bidii ya mtu big up sana brother kwa bidii yako.

  • @alextercisio5477
    @alextercisio5477 2 года назад +1

    Wow cograts heko kwako bundah ...cheers from kenya

  • @khadeejaalmahri6217
    @khadeejaalmahri6217 2 года назад +2

    Big up kaka umejibu vizuri swali LA sangoma kama ulivyosema ukweli wavivu hawakosi sababu Mara watasema kafanikiwa sababu ya sangoma Mara watadai hela ya kukopa ilimradi hamshushe mtu

  • @justokweka2340
    @justokweka2340 2 года назад +1

    Mr Rapha uko powa Sana bro daaaah nimejifunza Mengi Sana

  • @maleojoseph5272
    @maleojoseph5272 2 года назад +7

    Am sorry to say this..but Bw Rafael ana ukakamavu, uzalendo, maono ,na msisitizo chanya kama ya Rais Magufuli

  • @agnesndetaramo7209
    @agnesndetaramo7209 2 года назад +2

    Nipo botswana kaka nakula Mchele wa Raphael kazi nzuri Sana nimejifunza mnoo kupitia huyu kaka Raphael

  • @judithvicenty3410
    @judithvicenty3410 Месяц назад

    Hongera mno Ndugu

  • @consoafrica1350
    @consoafrica1350 2 года назад +4

    Such an inspiration🍾🍾

  • @yusuphmkapa934
    @yusuphmkapa934 2 года назад

    Hongera Sana Mungu AKUBARIKI SANA

  • @godfreymsendo5812
    @godfreymsendo5812 Год назад

    Nimependa sana jinsi anavyomtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo lake..... Am inspired to him

  • @buye5436
    @buye5436 3 года назад +34

    Anamwamini Mungu and that's good.

  • @katigeneralenterprises2348
    @katigeneralenterprises2348 3 года назад +7

    Rapher group yuko vizuri sana hasahasa kwenye mahusiano (lugha)na wakulima na wafanyabiashara wa mazao wote anastahili kupewa zaidi na zaidi kwani ni msaada kwa wengi ukifika ofisini kwake huwezi amini ni milioner

  • @abedysteven5397
    @abedysteven5397 2 года назад +2

    Ubarkiwe brother

  • @gipsonmmehwa1637
    @gipsonmmehwa1637 2 года назад +6

    NMERUDIA KUSIKILIZA MARA 3,HABARI IMENITIA MOYO SANA KATIKA MAPAMBANO YANGU

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 3 года назад +7

    Mungu kwanza nimependa hii asee hongera mtu mkuu

  • @kennethngoleka517
    @kennethngoleka517 3 года назад +6

    Hongera sana brother nimeona kuna kitu nilichojifunza hapo inatakiwa kufanya kazi kwa bidii,ushirikishaji,na maarifa makubwa na bila kushindwa changamoto ni moja ya kujifunza,hongera bro.

  • @otmarmkali8883
    @otmarmkali8883 2 года назад +2

    Maelezo yamenyooka ila huyo muhindi kaku push sn. Hongera

  • @titomhagama5545
    @titomhagama5545 2 года назад +2

    Hongera sana mungu anaitumia nuru yako

  • @danielamosi2553
    @danielamosi2553 3 года назад +19

    Mafanikio hayahusiani na elimu..hongera sana wasomi wengi wanayo njaa wape mchele wakale

  • @elvislutabingwa4270
    @elvislutabingwa4270 2 года назад +3

    Safiiii

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 года назад +2

    Allah akbrk inshlh

  • @happyfoya546
    @happyfoya546 2 года назад +2

    I'm very inspired for sure I wanna be a bilionea

  • @user-gf3gn4qh2q
    @user-gf3gn4qh2q 2 месяца назад

    Mungu azidi kukuinua kaka yangu
    Tunajivunia wewe mtanzania mwenzetu

  • @ariceandshinelivearse5359
    @ariceandshinelivearse5359 3 года назад +2

    Mungu akuinue

  • @abdonmassawe49
    @abdonmassawe49 2 года назад

    Hongera sana 👏👏👏👏👏 natamani kujifunza kutoka kwake

  • @silyvya2408
    @silyvya2408 3 года назад +2

    Hii ni habari nzuri Sana hongera Sana milad ayo

  • @JamalJamal-ol5js
    @JamalJamal-ol5js 3 года назад +3

    best interview 2021

  • @amanimaeda6304
    @amanimaeda6304 2 года назад +2

    Salute to you Brother.