EXCLUSIVE: BILIONEA WA MPUNGA, MKULIMA ALIEITWA NA BILL GATE, GARI ZA KIFAHARI, JUMBA KIWANDA
HTML-код
- Опубликовано: 23 июн 2021
- Leo naripoti kutokea Kiwandani Rapha Group Limeted hapa ni Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya, kuna watu wameweka pesa zao, akili, na kila kitu chao kwenye kilimo, nakukutanisha na Raphael Simon Ndelwa maarifa yake na maisha yake yeye ni Kilimo cha MPUNG na uzalishaji wa mchele yaani BILIONEA WA MPUNGA, Uwezo wake wa kukopesheka na BENKI NI BILIONI 3
Kama unaamini jamaa nijembe nimfano wakuigwa like hapa
💯💯💯 nakukubali saana Rafa
Huyu ndugu Raphael ni mzalendo halafu hapendi umaskini kivitendo...Mpaka kuwashika mikono wakulima wa kawaida kuwadhamini sio kitu rahisi kabisa... Mungu aweke hii spirit miongoni mwa vijana wa Tanzania pamoja na kwangu, ameeeni...💪
Vijana tuskate tamaa. Mungu niwetu chamsingi juhudi tu. Amen
Usilete story za Mungu kwenye mafanikio ya mtu, siri ya mafanikio huwa anayo Anaemiliki mali na watu msibeze elimu kwa kuona darasa la Saba kafanikiwa, akikuambia siri zake utakimbia. Usione mtu ana pesa ukatamani ukaanza kusema sijui na wewe unaweza kuwa hivyo, na sio kwamba vijana hawajishughulishi wanajitahidi Sana ili waondokane na umasikini ila ndo hivyo. Siri anaijua yeye wachache ndo wataelewa hii sms
Kijana unapotosha uma Mungu anasema fedha na sababu ni vyake anauma ameombae omeni nanyi mtapewa tafuteni nanyi mtaona bisheni mtafunguliwa so kwenye mafanikio Mungu kwanza mengine mtaongezwa
nimejifunza vitu vingi katika habari hii, thanx AYO TV , nawasihi vijana wezangu waisikilize hadi mwisho.
Nice motivation story
Wewe jamaa namimi nime msikia kaka
Asanteni sana millardayo kwa kutupia jicho uyole kwenye kiwanda cha mhele kwa hakika kila aliepata nafasi ya kuangalia hii interview amejifunza jambo kubwa sana
Exellent
Pia kasema kweli tupu kwamba ukitaka kufika mbali jenga uaminifu ujanja ujanja haukufikishi mbali very true
Nimerudia mala 3 kusikiliza iyo story big up Sana sir Raphael
Mungu akutangulie Mkurugenzi,, mchango wako kwa Watanzania ni mkubwa, Mungu akupe zaidi ya hapo.
Mungu anavichagua vinyonge kuviabisha vikubwa ili asiwepo wa kujivuna. Inapendeza Rafael anapomtukuza Mungu ktk mafanikio yake. Na kwa ajili hiyo Mungu pia amemkweza. Kila ajishushae atakwezwa na vice versa. Barikiwa ndugu umekuwa mfano rahisi na wazi kabisa kuelewa na mzuri mno kwa vijana wote ktk Taifa hili. Play your part it can be done. Hongera sana Rafa.
Ongera sana nimefurai sana kumuona mtanzania km ulivyo wewe mungu akubariki mim niko oman naipenda sana tanzania mungu aibariki tanzania
Mungu huwainua wanaomtegemea na kumuamini, vijana tuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia kwa huyo kaka, Mungu akubariki Ayo tv kwa kazi nzuri ya kutuonyesha fursa vijana wenzenu.
Hakika kuna habari unaweza ukaiona ukaamini kweli suala la habari ni taaruma na sio wanaodhani wakiingia kwakumweka modo wake furani wakati wanashindwa kufata masharti sheria taratibu na kanuni za taaruma ni dhahiri hakustahiri kuwa mwanahabari ninamakunyanzi moyoni mwangu juu ya wanahabari wanaoifarakanisha habari na wadau ila basi tu wameniita mlawiti muuaaji mara 2 mvamizi tena kwa vichwa vikuubwa vya habari iweje hapo
Miladi Ayo habari zenu si kitoto hongereni sana
Mingu akubariki na watu wako wote. Kama una watoto wasomeshe kwa kiwango cha juu. Nakupongeza Unaweza na Mungu awe nawe. Amina
Jamaa nimemkubali saana na mungu na wazee wetu wambariki lakini akae mbali na bill na ma gmo hawa matajiri wa ulaya hawana lolote ni mashetani wanataka kukontro mazao duniani na kufanya biashara na nchi za nje ni tishio kwao mimi nakaa sauzi na mchele huku ni mbovu tunakula maplaastiki sizani kama watapenda kuona mchele mzuri hivi ni vita vyakiuchumi
This is guy is genius, akili yake kubwa sana. Very inspiring. @Raphael Ndelwa Hongera sana
Mungu akubariki sana ndg. M.Ayo, wewe unatoa habari zinazoeleweka kwa anahitaji habari zenye mafundisho.
Safi sana mtanzania mwenzetu kwa mapambano mazuri, Mungu aendelee kukutunza na kusimama imara katika kampuni yako,ufike mbali zaidi ya hapo ulipo.
Mashallah nami nimeelimika kufanya kaz kwa bidii na kumtanguliza Muumba
Mimi mtu wa uyole tunakua na tunaona mafanikio yako hongera sana unatumotivate
Interview bora zaidi ambayo nimewahi kuitazama.
Mungu katika kila sentensi huyu mtu amebarikiwa sana.
I like the attitude of this billionare for acknowledgement of Almighty Allah in his success.
Masha Allah ukimueka mungu mbele kila kitu kinawezekana insha Allah keep it up Mr Rafael
Asante Ayo kwa kutuletea huyu jamaa ,nimejufunza sana mungu aendelee kuwapa nguvu ya kutuletea stori zenye mafunzo kama hii.
Big up Kaka Raphael ukimtanguliza Mungu hakika hakutupi Mkono.
Jamaaaa liko vizuri hongera Raphael serekali wasupport yeni Hawa jamaaa watusaidia tu create ajira mungu akubariki
Nimefarijika sana🙏🙏🙏 Mungu Ahsante Kwa zawadi ya watu kama Hawa dunian
I love that kila sentence Mungu yupo kwenye kichwa chake
kama ulikuwa kwenye akili yangu vile
Even me iam amazed at the way he begins with God in every thing. Nashukuru saana from Uganda
Brother nimependa jinsi unavyojieleza vzr hongera kaka na ss tutajifunza kupitia jitihada zako mungu awe pamoja na ww pia nimependa kaka jinsi unavyotembea majendo yako
Mzee ukishakuwa na hela hakunaga kutetemeka, tutafute pesa tuu yaan
Respect broo Millard ayo
And much more respect to mr Rafa group
Ayo we ni insperation ya kwanz then uncle mchele ur the best
Nimekuelewa kaka
Mungu akubariki niliwahi nunua kwako mchele n mzuri good package mchele mzuri safi ur my role modal
Big up professor keep grinding you deserve god will do the rest
Nawapongeza pia Ayo Tv, mko vizuri kwakweli. Huwa nikitaka habari za kweli na za maana naitafuta Ayo TV
Huyu kijana hata kama ameishia Darasa la Saba kwa sasa ana elimu ya kiwango cha digrii ya Chuo Kikuu katika biashara na uongozi. Hata anavyoongea kwa kujiamini na ufasaha ni wazi biashara anaijua vilivyo. Hongera sana Bw Rafaeli...!!
Mungu amlinde jmn...maana ukitafuta shida..ukikaa bure shida...mungu akulinde
I read his story 2yrs ago. He is a hard working man with humanity in him
WOW NAJIKUTA NAFURAHI KAMA NI MIMI VILE. Hongera sana kwake wacha na sisi tupambane 🙏🏽
Dar jamaa namkubali sana napenda sana maendeleo Ila vizingiti vya wanadamu aisee wewe unapambana peke yako wao wanapambana na wewe aisee watu bwana
Nimeshangaa sana jinsi ulivyo na uwezo mkubwa wa kujieleza kuliko Profesa wa chuo kikuu.
Daaah 😁
Mungu akupe nguvu zaidi na maarifa Na zaidi mm nimekuwa pamoja na ww kaka nimeona hekima na busara zako.Mungu akupe zaidi afya na hekima.
Hongera sana mjomba wangu namuomba Mungu azidi kukulinda na kukufanikisha zaidi
What an Excellent patriotic investor!
Hongera sana ndelwa ubarikiwe na yesu mpaka ushangae.
very good entrepreneur, you are smart in talking....inspirational man ever happened 2021
Naomba namba zako Raphael tufanye biashara ya mchele
Busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Anatembea vizuri 😊 hongera sana Kaka👍
Mwendo wa pesa 😆😆😆
Hongera sana kk Raphael Mungu akufanyie sawasawa na maombi yako
Kazi nzuri, lakini Bill Gate siyo mtu wa kuamini. Msiweke GMO tafadhali🙏🏽
GMO Ninini ndugu
Kweli nimeamini Akili si elimu. Huyu jamaa anajua kujieleza, anajibu maswali yote vizuri
Kweli usemavyo,,, kwasababu wasomi wengi wanatumia ufundi wa kupanga maneno matamu,lkn wenyewe wanakua na malengo yao ya siri,huyu jamaa anaongea kwa uwazi na kwaushahidi,,,hadanganyi.
Na sio msomi imagine
Sema shule sio akili lakini elimu ni Bora tofauti ni elimu ya aina gani elimu ya wazazi ni Bora Sana
Sasa ndiyo ujue busara na elimu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Ukiwa na pesa lakizima uwe na confidence
Ni matajiri wachache wanaoamini kuwa si huwezo wao bali ni uwepo wa Mungu katika kutenda miujiza wengi huamini ni uwezo wao ila huyu kamuweka sana mbele Mungu am proud of him.
Namjua jamaa yuko simple Sana na roho nzuri Sana, kazini kwake kajenga mpaka sehemu ya ibada
Kumbe aseeeeh ndo mana anabarikiwa
Hakikaa amejua kumtafuta Mungu Kwa bidii zote. Nimejifunza kikubwa mno Leo.🙏 imebarikiwa mikono isiyotenda Kwa ulegevu + na juhudi + unyenyekevu. Mungu atusaidie sana asee.
Hongera sana Raphar unaonekana hunamajivuno umejibu maswali vizuri sana, MUNGU akulinde na watu wenyenia mbaya.
Big up Sana Mr Ndelwa ,pambana ufikie ndoto yako, Mungu akupe ulinzi Hakika.
Safi sana
Kuna kitu nimekinukuu kwa Raphael, ni ukiamka sa mbili au sa tatu huwez kufanikiwa kwenye haya maisha kamwe❤
Iam so inspired by this determined person to uplift mtu wa chini
Hongera sana Mr Raphael, mungu akujaalie zaid kuna kitu nimejifunza kwako.
Marafki sometimes wanakuwa Ni zaidi ya Ndugu Ni vema kumuheshimu kila mtu..ktk haya maishaa..
Kweli umetoka mbali sana ,Tena unaroho ya huruma ulikuwa unatugawia hata sisi wakiwango cha chini unatupatia debe moja tunadunduliza maisha yanaenda, Ndio maana Mungu hajakuacha
The guy is Soo Bright, kweli subira yavuta heri.Tz inahitaji watu Kama hawa 2 kila mkoa Tz itakuwa imenoga mno
Big up. big boss. salute kwako pamoja na watendaji wako wote. Kazi iendelee
Safi sana ndugu. Wewe ni mfano wa kuigwa katika biashara
Millard Ayo uwa namkubali..much love from Kenya
Mungu aibariki Tanzania mungu mlinde mamma yetu raisi wetu nä shari za kila kitu
Kaka mungu azidi kukubariki kwani unaitanzania tanzania kwa kuwasaidia vijana
Mungu ni mwema wakati wote 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
🍒💪pga kaz brother
Mungu akitaka Kupa hakuletey barua
Hongera sana. Mungu Azidi Kukutangulia. Umewafungua Vijana Macho. Hongera Ayo.
Raphael brother keep going..naufaham moyo wako wewe ni mtu napo sema mtu na maanisha.hongera brother 🙏🙏
Umeeleweka vizuri.
Asante sana.
Hivi ndio vitu vya kuweka kwenye Chanel sasa
Kiukweli kaanza viizuli namuombea kwa MUNGU wetu amalize vizuli zaidi nami naomba kazi.
Mr. Raphael.... uko smart akilini..... very smart... yaan unaongea vizur we baba.... uko na furaha wakati wote, unaongea kwa sauti ya ujasiri Sana......nimetambua juhudi zako baba...... endelea na safari, Mungu akawe kiongoz wako
Nimekubali Sana brother.. nimejifunza mengi kaka.. TANZANIA FUNGUKA...
Mwamba anachokitu cha ziada ndio kimemfikisha alipo Kitu uaminifu kujiamni, na Ana nyota yakupendwa kuaminiw kujituma na anandoto kubwa pia anamoyo wakusaidia wengine na ndiomaana anazid kupata baraka za mungu
Hongera Sana. Nimependa namna unaongea. Nimejifunza Mambo mengi
Shukrani sana, nimemwelewa sana Rafael Group
Brother God bless you
Nimejifunza kitu hapa, kwamba boss wetu amesafiri. Yaani wafanyakazi wote mnakua sawa kabisa kama ni vumbi vumbi juingia kazini wa kwanza kutoka wa mwisho.
Maisha ni bidii ya mtu big up sana brother kwa bidii yako.
Wow cograts heko kwako bundah ...cheers from kenya
Big up kaka umejibu vizuri swali LA sangoma kama ulivyosema ukweli wavivu hawakosi sababu Mara watasema kafanikiwa sababu ya sangoma Mara watadai hela ya kukopa ilimradi hamshushe mtu
Mr Rapha uko powa Sana bro daaaah nimejifunza Mengi Sana
Am sorry to say this..but Bw Rafael ana ukakamavu, uzalendo, maono ,na msisitizo chanya kama ya Rais Magufuli
Nipo botswana kaka nakula Mchele wa Raphael kazi nzuri Sana nimejifunza mnoo kupitia huyu kaka Raphael
😂😂😂 ya kwer hayoooooo
mmmh wewe😂😂
Hongera mno Ndugu
Such an inspiration🍾🍾
Hongera Sana Mungu AKUBARIKI SANA
Nimependa sana jinsi anavyomtanguliza MUNGU Kwa Kila jambo lake..... Am inspired to him
Anamwamini Mungu and that's good.
Rapher group yuko vizuri sana hasahasa kwenye mahusiano (lugha)na wakulima na wafanyabiashara wa mazao wote anastahili kupewa zaidi na zaidi kwani ni msaada kwa wengi ukifika ofisini kwake huwezi amini ni milioner
Ubarkiwe brother
NMERUDIA KUSIKILIZA MARA 3,HABARI IMENITIA MOYO SANA KATIKA MAPAMBANO YANGU
Mungu kwanza nimependa hii asee hongera mtu mkuu
Hongera sana brother nimeona kuna kitu nilichojifunza hapo inatakiwa kufanya kazi kwa bidii,ushirikishaji,na maarifa makubwa na bila kushindwa changamoto ni moja ya kujifunza,hongera bro.
Maelezo yamenyooka ila huyo muhindi kaku push sn. Hongera
Hongera sana mungu anaitumia nuru yako
Mafanikio hayahusiani na elimu..hongera sana wasomi wengi wanayo njaa wape mchele wakale
nikweli unachosema ila dunia inabadilika enzi hizo sw lakini sasahivi sizani
Hahah
😂😂😂😂
😂😂😂😂
Safiiii
Allah akbrk inshlh
I'm very inspired for sure I wanna be a bilionea
Mungu azidi kukuinua kaka yangu
Tunajivunia wewe mtanzania mwenzetu
Mungu akuinue
Hongera sana 👏👏👏👏👏 natamani kujifunza kutoka kwake
Hii ni habari nzuri Sana hongera Sana milad ayo
best interview 2021
Salute to you Brother.