JAMAA ALIYEACHA MSHAHARA WA MILIONI 30 BENKI YA DUNIA "DIAMOND NAMVALISHA, NINA KIWANDA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Jefrey Jessy maarufu kwa jina la (Speshoz) ni kijana wa kitanzania aliyeacha kazi benki ya dunia ambapo alikuwa akilipwa zaidi ya million 30 kwa mwaka na akaamua kufungua ofisi yakushona nguo ambapo ameweza kuwavalisha watu mbalimbali nguo ikiwemo msanii Diamond Platnumz pamoja na hayti Dkt John Magufuli.
    pamoja na biashara nyingine ambazo anazifanya ameamua kufungua kiwanda cha vinywaji katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambapo amesema fedha nyingi anayoipata ameamua kuwekeza kwenye biashara

Комментарии • 356

  • @emmanuelkb366
    @emmanuelkb366 3 года назад +14

    Mtu makin Sana ........sema achana na pombe big bro jeff

  • @Donrugi
    @Donrugi 3 года назад +31

    Natamanigi sana kuwa close na aina hii ya watu. Keep it up bro, keep inspiring 💪🏽💪🏽💪🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Content kama hizi ndo mhimu zaidi kwangu 🙏🏽🙏🏽

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +2

    Hongera saana Kijana Mwenzetu, Hongera Tena maana ukiona mtu anafanya kazi na wazungu Ulaya muonee huruma saana , Wazungu wakikuajiri wanakuweka busy huwezi firikiria hata Ujasiliamali , Hongera kwa kujitoa na kujiajiri mwenyewe

  • @rumdeesonsoa1811
    @rumdeesonsoa1811 3 года назад +48

    Hawa ndio watu wa kuwasikikiza, sio wale wanawake wanaosema wanafanya kazi mtandaoni na hawasemi ni kazi gani huku wanakushawishi ujiunge nao. Hongera sana Bro ww ni mfano wa kuigwa na sisi vijana wenzako.

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 3 года назад +6

    Huyu bwana mdg ni genius aisee watu wa aina hii wanamaisha yenye vita sana.Mungu amsaidie huyu kijana

    • @ayoubmakori8680
      @ayoubmakori8680 3 года назад

      Ivi ulijuaje yaani hawa watu Mungu awe nao muda wote

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 3 месяца назад

    Big up brother, seriously u r one Ina million,uko focussed, inspirational na pia jasiri sana, vijana hapa tumepata mwalimu mwenzetu ambaye anatuhimiza na kuhamasisha katika kutia bidii maishani.brother u amazing n keep the good work going..👍🏻👍🏻

  • @msifunilazaro6225
    @msifunilazaro6225 2 года назад +2

    MUNGU akubariki my brother jeph. najua haikuwa rahisi mkono wa MUNGU ulikushika

  • @stevebupamba5009
    @stevebupamba5009 3 года назад +11

    great Inspiration bother... Hakuna mwenyebidii Mungu akamtupa. We learn more from you.

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 3 года назад +24

    Bro naomba rudia interview na jamaa kwenye uwekezaji zaidi mpe muda mrefu kama hutojali

  • @mosesedwardmagembe9657
    @mosesedwardmagembe9657 3 года назад +6

    Uko vizuri sana kaka. Ila punguza kilevi.

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 3 года назад +5

    Dah..hongerasn km ningekuweko tz ningeonana nanyi..nisingecheza mbali nanyie ..ningejifunza kwenu

  • @rehemajumamlinde9418
    @rehemajumamlinde9418 3 года назад +5

    Kariakoo kuna suti Mpk za 50 very good material... Am praying for you to do more and more than that... I believe Tanzania is growing fast... God bless you

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      Rehema mambo, can I grow fast with you? 😌

  • @mtitagirloriginal9472
    @mtitagirloriginal9472 3 года назад +9

    Sio mbaya kujivunia akili yako mungu aendelee kukupigania usishuke tujifunze pia kupitia mlio fanikiw

  • @morganrobinson3542
    @morganrobinson3542 3 года назад +16

    Kweli kabisa bro mm pia ni GIS expert na nmefanya kazi ya mkataba na world bank......wanalipa vizuri sana.

  • @abdulwadi8667
    @abdulwadi8667 3 года назад +4

    Kuna vitu nimejifunza hapa big up sana

  • @lugikoenterpriseslugiko3050
    @lugikoenterpriseslugiko3050 3 года назад +4

    Thanks for your inspiration jeff

  • @husseinmlonja3365
    @husseinmlonja3365 3 года назад +6

    we need these kind of business enterprenuer

  • @jumanenga271
    @jumanenga271 3 года назад +2

    Hkn jamaa smart mpambanaji km uyu speshoz mnyama sana nmkubali kinoouma najitajd kupambn nifikie maendeleo km yke

  • @moringelangas7276
    @moringelangas7276 3 года назад +15

    Alipata mtaji huyu!Verry Smart

  • @itNeza
    @itNeza 3 года назад +4

    Dhuu yupo Very smart, hawa ndo Watu wakuhojiwa kabisa.

  • @iddibarwani8859
    @iddibarwani8859 Год назад +1

    Great!Congratulations Bro

  • @wilongobioebwa8329
    @wilongobioebwa8329 3 года назад +7

    Keep up men you make me proud of my investment

    • @winniewairimu3822
      @winniewairimu3822 3 года назад

      Aise Mungu atusamehe kwakweli,umeona kama Mimi nimpigaji mzuri wa tungi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 Год назад +1

    Safi sana na ongera sana bro ..

  • @johnwenceslausmmbaga3917
    @johnwenceslausmmbaga3917 3 года назад +29

    Jeff kama Jeff nimesoma naye CHANJALE SEMINARY JIMBO KATOLIKI LA SAME

  • @jacobstephanonaziadi4724
    @jacobstephanonaziadi4724 3 года назад +2

    Smart bro daaa God bless you

  • @tajirihalisi823
    @tajirihalisi823 Год назад +1

    Hongeraa Sana broo

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 3 года назад +1

    Good move Sana Ila pombe sasa mtuletee na video za kiwanda chakushonaaa

  • @busegamediatanzania
    @busegamediatanzania 3 года назад +6

    Dream Runner

  • @issakitenya5375
    @issakitenya5375 3 года назад +3

    Am appreciate that bro!!

  • @joydan249
    @joydan249 3 года назад +1

    Vizur sana kaka una influenc watu wengi

  • @joelmakelele8179
    @joelmakelele8179 3 года назад +1

    Brother nmekubali

  • @elinzaissa1018
    @elinzaissa1018 3 года назад +2

    Honger kaka kwa upambanaji, mimi naomba tyu ajira

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 3 года назад +6

    Makapuku wanaona kama wanafokewa hivi 😂😂😂 guys be inspired naona mnapandisha sumu kuvu 😜😜

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад +1

    congratulations to you brother and keep it up 🙏🙏🇹🇿

  • @philemonnestory4239
    @philemonnestory4239 3 года назад +1

    Thanks My brother

  • @salminjuma9411
    @salminjuma9411 3 года назад +2

    Kutoka ndani ya moyo wangu.. i never mis speshoz interview...ukitaka kumuelewa vizuri huyu mtu angalia interview alofanya na salama... "GENIUS" tunahitaji watu wengi kama hawa katika jamii yetu...

    • @zowmemes9923
      @zowmemes9923 3 года назад

      Unatumia nguvu nyingi kuwahakikishia kitu watu usio wajua.

    • @salminjuma9411
      @salminjuma9411 3 года назад

      @@zowmemes9923 acha ushoga

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 3 года назад +3

    Hongera kwake ila inaonekana anakunywa pombe kali sana. Ukimuangalia unaweza kuona kama una uwezo wa kumsoma mtu haraka.
    Vijna wengi wakipata mafanikio hawaishi muda mrefu sababu ya life style. Ukitumia akili sana lazima utunze mwili pia

    • @ayoubmakori8680
      @ayoubmakori8680 3 года назад

      Na Mungu atusaidie kwa haya maana tunahitaji na kumpendeza Mungu

  • @gaitanokamage7366
    @gaitanokamage7366 3 года назад +3

    Hongera sana mr special

  • @charayohana1942
    @charayohana1942 Год назад

    brother nimekuelewa sana unafaa kuwa mshauri kwa vijana namna ya kupambana na maisha

  • @bensonmgaya5693
    @bensonmgaya5693 3 года назад +9

    Huyu hakuwa mfanya kazi wa bank ya dunia alikuwa mfanya kazi wa mtu ndani ya bank hiyo mshahara mdogo huo kulingana na ofisi hiyo

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 3 года назад

      Muongo hajafanya bank ya dunia

    • @anethjoseph4542
      @anethjoseph4542 3 года назад +2

      Nishafanya kazi company kubwa na nikalipwa 3000 per month , It depend unafanya kazi gani, mtu akikiuona unapendeza , na ukubwa wa jina la company uliyopo, hawezi amini unacholipwa inawezekana sana

    • @priscahussein6790
      @priscahussein6790 3 года назад +1

      @@anethjoseph4542 Nakubal dear ukubwa wa Campuny uctishe watu

    • @musahmichael3480
      @musahmichael3480 2 года назад

      @@aloycemacha9894 kamalikuwa anafagiya je

    • @haidhabushiri9558
      @haidhabushiri9558 Год назад

      @@anethjoseph4542 hata bank kuna ufagizi small salary upo sawa

  • @dottomsegu9162
    @dottomsegu9162 3 года назад +1

    Japo umehaso sana ila Wewe una connection kubwa sana bro

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 Месяц назад

    Duh saf sna!

  • @globalcontents3697
    @globalcontents3697 3 года назад +9

    Jamaa genius sanaa

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 Год назад +1

    Good interview

  • @jurakijuraki8870
    @jurakijuraki8870 3 года назад +3

    Nimeelewa sana ngoja nipambane

  • @nilansaid2927
    @nilansaid2927 3 года назад +7

    Ila WB hiyo pesa ndogo sana, wapo watu wanalipwa million 6 kwa mwezi pale

    • @alkasusjaasus7015
      @alkasusjaasus7015 3 года назад +1

      Sasa wewe unasema milioni 6 kwa mwezi si ni karibia sawa na yeye anayelipwa laki na sitini kwa siku. 160,000 X 30 = 4.8 million kwa mwezi. Tofauti ndogo tu

    • @nilansaid2927
      @nilansaid2927 3 года назад

      @@alkasusjaasus7015 amesema million 30 kwa mwaka, pesa ndogo sana pale WB labda unskilled ndio hulipwa hivyo

    • @fadhili255mark2
      @fadhili255mark2 3 года назад

      Appreciate bana wabongo mkoje asee

  • @ramahamis5793
    @ramahamis5793 3 года назад +8

    Sometimes haiungii akilini ila kila mtu na MTAZAMO wake ktk maisha

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 3 года назад

      Kivipi mtazamo ama?

    • @mosesmaembe1528
      @mosesmaembe1528 3 года назад

      Haiwezekan anachokisema

    • @ramahamis5793
      @ramahamis5793 3 года назад

      @@ilynpayne7491 we mtu akaache mamilioni ya mshahara

    • @idavastaborn1818
      @idavastaborn1818 3 года назад +2

      Pia mtazamo wako ndio ulipoishia,kama umeona milion 30 nyingi mwingine anajiajiri anapata milioni 100 unadhani suti zake anavalisha wangapi na kwa bei gani?je kiwanda hicho kinaingiza bei gani?hesabu muhmu sana

    • @ALIMOHD-bk9lr
      @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад

      @@mosesmaembe1528 kivipi

  • @yahayanelem336
    @yahayanelem336 3 года назад +2

    Wewe ni mtu kwenye watu..hiki ndo muwe mnaohoj tunapata kitu..

  • @owlbig
    @owlbig 3 года назад +2

    Good for east Africa bro❤️🔥

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Год назад

    That is appropriating things that have been already been named, maana Faru John tayari kwa sifa yake asingeruhusiwa ku-trade mark jina hilo. Hayo ni makosa makubwa sana kwenye trade mark. Hao waliomruhusu naona hawakujua.

  • @ommyblessed6609
    @ommyblessed6609 3 года назад +1

    Nakubali

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr 3 года назад

    Very simple but so amazing kind of people

  • @filbertakaro3739
    @filbertakaro3739 3 года назад +38

    Nice vision, great person but the alcohol drinking may shorten his life span or make his health fail him. Watch out, your success story needs your health.

    • @yama_virginhairthequeen1065
      @yama_virginhairthequeen1065 3 года назад +3

      YES I AGREE WITH YOU HEALTH IS WEALTHY. IF U HAVE VISSION AND BIG DREAM U MUST MAKE SURE UR ALSO LOOK AFTER YOUR SELF NICELY N CARE MIND WHAT U DRINK N WHAT UR EATING AND EVERYTHING PROTECT UR PEACE, N MANYMORE

    • @innocentgodwin5855
      @innocentgodwin5855 3 года назад +2

      Exactly my dear

  • @hamudseif
    @hamudseif 3 года назад +1

    Ela ya pombee..!! Aya lez goo the destn comes soon

  • @suleimansadalla5606
    @suleimansadalla5606 3 года назад

    Hongera brother

  • @fx-farm6888
    @fx-farm6888 3 года назад +9

    Sasa hawa wasanii mbona hawamtangazi huyu jamaa wa watu maskini ya Mungu

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 3 года назад +10

    Hahàa ndio ulimshonea jeje diamond?

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 года назад +7

    Jamaa anafunguka mpaka basi atakuwa muhaya huyu matajiri hatuko ivo 🤣🤣🤣

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu2676 3 года назад +3

    Kilimanjaro ndo walevi snaaa distributor wengi.....

  • @JayJay-qc1ky
    @JayJay-qc1ky 3 года назад +7

    Rafiki yake sana sabaya huyu 😂😂

  • @ellywillisgotora1473
    @ellywillisgotora1473 Год назад

    Mara ya kwanza kabla cjamckiliza nilisema huyu fala ambaye kaacha milioni30 ni mgonjwa wa akili kumbe hmn, jamaa ni genius anafikilia vitu vikubwa sana huyu ni mmojawapo ambae anatumia akili zake vizuri baada ya muda huyu atakuwa tajiri mkubwa namuona mbali

  • @issackjoseph6436
    @issackjoseph6436 3 года назад +3

    Chukueni positivity yake tu,negativity yake kama umeiona iache ,uckeshe kucomplain,sega la muwa kwako ni chakula kwa sisimizi

    • @khatwabisadathil3423
      @khatwabisadathil3423 3 года назад

      Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏

    • @khatwabisadathil3423
      @khatwabisadathil3423 3 года назад

      Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏

    • @issackjoseph6436
      @issackjoseph6436 3 года назад

      Watu tujitaid kutambua sote ni kazi za Mungu,udhaifu ni sehemu ya maisha yetu,Aliyeumba wema ndiye kaumba ubaya

  • @mrmangetown4323
    @mrmangetown4323 3 года назад +5

    Huyu chalii anajikweza Sana mpaka amenikata mood.

    • @deelissa2746
      @deelissa2746 3 года назад

      Yan

    • @Saitabau99
      @Saitabau99 3 года назад +1

      He deserve

    • @kawangajumaa7741
      @kawangajumaa7741 3 года назад

      Content anayo ila ndo hivo how to present it

    • @alexandernyimbi8186
      @alexandernyimbi8186 3 года назад

      Hajikwezi but ndio the way anavyoongea lazma uone hivyo

    • @belak999
      @belak999 3 года назад +2

      Tafuta hela ukiwa nazo hautaona km anajikweza, ni kaka yangu ndio ongea yake tangu anasoma, USIMJAJI MTU USIE MJUA KIHARAKA HIVYO

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 3 года назад +6

    Icho kiwanda ﹰSabaya hajakiona kweli angeamlishwa awe anamshonea bule suti zake zote

    • @idavastaborn1818
      @idavastaborn1818 3 года назад +3

      Alishawah kumzngua eti achangie milioni kumi sherehe za ccm na akakifungia kwa tuhuma za uongo ila tra wakafuatilia wakasema kifunguliwe

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 3 года назад

      HUYU SA MBOVU NAMSHUKU MASAI WA KENYA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @kennyrogers4734
      @kennyrogers4734 3 года назад +1

      @@idavastaborn1818 Duh jamaa alikua msenge sana amefilisi watu wengi sana jamaa alafu utakuta mtu hata alipotokea uko anamtetea et wanamuonea

    • @dausondaniel7103
      @dausondaniel7103 3 года назад

      😂😂😂😂😂

    • @29Savag
      @29Savag 3 года назад

      Haha... Sabaya mtuBAD Sasa huyo ndio FARUJOHN mwenyewe

  • @peterlujuo1640
    @peterlujuo1640 3 года назад +5

    I need this confidence 🙌🏼

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 года назад +1

    Biashara ya Pombe eti MUNGU anasaidia Da!! Dunia na majaabu yke

  • @flova7022
    @flova7022 3 года назад +17

    The Roman seminarists never fail how to catch up life

  • @toyedward7475
    @toyedward7475 3 года назад

    I have got you brother ure a real risk taker.

  • @hizamp1827
    @hizamp1827 3 года назад +1

    Safi Sana

  • @officialkimaro5001
    @officialkimaro5001 3 года назад +4

    Anaakilii mno

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles7194 3 года назад +9

    Umekosea sana kaka hii interview itakupunguzia mauzo hasa hao viongozi wa serikal uliowataja, wanaogopa Sana kuweka mambo Yao private kuyaweka public mfano mtu mbaya au muuaji mwenye Nia mbaya na wazir yyte au mbunge yyte anaweza kukutumia wewe kuweka sumu kwenye nguo ya kiongoz yyte Bob maley aliuawa na wazungu kwa kuwekewa sindano kwenye kiatu so next tym don't mention the name of leaders.

  • @absolutevisualz5248
    @absolutevisualz5248 3 года назад +2

    absolute

  • @sameerlema9954
    @sameerlema9954 3 года назад

    Jamaa kweli sawa hatukatai ila uwongeaji wake ni kama anajisifu yeye mjanja sana kumanina just inspire watu sio kutamba aise

    • @elimidakashumba2422
      @elimidakashumba2422 3 года назад

      kama unataka mwamko wa maendeleo unahitaji watu kama hawa. kama unataka umaskini bali na upotoro wako.

    • @janethjoshua6869
      @janethjoshua6869 2 года назад

      Kilaaaa mtyuu na uongeaj wakeee kajisifuu na wew kama ni rahs

  • @blueeyes5952
    @blueeyes5952 3 года назад +3

    If you want more succes in your business then you have stop drinking to much; my advice for you alcool kills the liver in your body and destroy your energy together with your lungs. You have great vision and hard working but be carefull for alcoolic style.

  • @ezekielmosha3894
    @ezekielmosha3894 3 года назад +5

    Kwani amehama pale MWENGE

  • @cathelinemichael7325
    @cathelinemichael7325 3 года назад +6

    bro vipi ajira kwa vijana wenzako

    • @leahmagaiwa9099
      @leahmagaiwa9099 3 года назад

      Amesema ameajiri watu kwa Sasa hawezi kushona mwenyewe ndo ajira hizo

  • @musasaid559
    @musasaid559 Год назад

    Ivi ml.30 tumaijua au maana kinua mgongo cha mwalimu kinafika ml.100 ad 1200 ambayo nimiez 4 kwake acha uwongo nakama kwer basi kalogwa ili aludi kwao

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 3 года назад +6

    Jamaa yupo Maji hatari hapo,,

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 Год назад

    Umefanikiwa ktk umri mdogo sana lakini ushauli tu acha Pombe ili uinvest nguvu

  • @zowmemes9923
    @zowmemes9923 3 года назад +7

    Kuna watu kazi zao ni kuandika kuna kitu nimejifunza kila siku ila wanavyojifunza vinapotea video ikiisha...

  • @emanueltimoth4523
    @emanueltimoth4523 3 года назад +2

    Daaah

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 Год назад +1

    Walevi wote wanakuhusu brooo na tabia zao

  • @AyubuMwalongo
    @AyubuMwalongo 3 года назад +3

    Kuna mtu anataka hata elfu 10 kwa siku

  • @ramadhaninyangasa7275
    @ramadhaninyangasa7275 Год назад

    Kweli kizuri hakikosi kasoro,😁kwani katika vyote ulivyowekeza bila pombe haiwezekani!!

  • @stellajames4971
    @stellajames4971 3 года назад

    Jamani kaka umenifulahisha sana nawomba ukienda malawikuwekeza nawomba nikawe mwajiliwa hapo

  • @isayasway4892
    @isayasway4892 3 года назад +4

    Jamaa kapiga tungi kweli😂😂😂

    • @winniewairimu3822
      @winniewairimu3822 3 года назад

      Aisee Mungu atusamehe ukweli,mpigaji tungi mzuri,uliloliona wewe ndo na Mimi nimeliona jamani

  • @ezekielloylepayon5042
    @ezekielloylepayon5042 3 года назад +1

    Upo vizuri ila punguza vidimbwi

  • @jasinebaitu396
    @jasinebaitu396 3 года назад +4

    Tuletee huku makambako

  • @reginakisanga9308
    @reginakisanga9308 3 года назад +4

    Duuuh

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 7 месяцев назад

    Good

  • @MTUWATV
    @MTUWATV Год назад

    Good channell

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 3 года назад

    Interview ya Rafael hadi sasa ndio naiona ni interview yenye viwango kuliko zote sababu alikuwa anajibu kulingana na maswali anayoulizwa hana story nyingi

  • @taslimanyange2850
    @taslimanyange2850 3 года назад +5

    Maneno mengi adi tunaumizana roho

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 3 года назад +2

    Tatizo lahuyu jamaa anatumia nguvu nyingi kujieleza
    Pía anaongea kwakupanik
    Em aongee taratibu ili ituhamasishe vzr

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 3 года назад +2

    Chamechaa msachaa

  • @noelkamuli116
    @noelkamuli116 3 года назад

    Big up bro

  • @nestorymafuru4772
    @nestorymafuru4772 3 года назад +1

    Vizuli sana

  • @innocentgodwin5855
    @innocentgodwin5855 3 года назад

    Great

  • @dullymsafi3149
    @dullymsafi3149 Год назад

    Shot out broo Keep it up

  • @peterjonathan5681
    @peterjonathan5681 3 года назад

    Endelea kunitafutia Hawa watu ndo nawasikilizaga nimepata na bilionea wa mpunga kutoka mbea wapo vizur