JAMAA ALIYEACHA MSHAHARA WA MILIONI 30 BENKI YA DUNIA "DIAMOND NAMVALISHA, NINA KIWANDA"
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Jefrey Jessy maarufu kwa jina la (Speshoz) ni kijana wa kitanzania aliyeacha kazi benki ya dunia ambapo alikuwa akilipwa zaidi ya million 30 kwa mwaka na akaamua kufungua ofisi yakushona nguo ambapo ameweza kuwavalisha watu mbalimbali nguo ikiwemo msanii Diamond Platnumz pamoja na hayti Dkt John Magufuli.
pamoja na biashara nyingine ambazo anazifanya ameamua kufungua kiwanda cha vinywaji katika wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro ambapo amesema fedha nyingi anayoipata ameamua kuwekeza kwenye biashara
Mtu makin Sana ........sema achana na pombe big bro jeff
Exactly
Ndio inampaakil
Natamanigi sana kuwa close na aina hii ya watu. Keep it up bro, keep inspiring 💪🏽💪🏽💪🏽🇹🇿🇹🇿🇹🇿. Content kama hizi ndo mhimu zaidi kwangu 🙏🏽🙏🏽
Hongera saana Kijana Mwenzetu, Hongera Tena maana ukiona mtu anafanya kazi na wazungu Ulaya muonee huruma saana , Wazungu wakikuajiri wanakuweka busy huwezi firikiria hata Ujasiliamali , Hongera kwa kujitoa na kujiajiri mwenyewe
Hawa ndio watu wa kuwasikikiza, sio wale wanawake wanaosema wanafanya kazi mtandaoni na hawasemi ni kazi gani huku wanakushawishi ujiunge nao. Hongera sana Bro ww ni mfano wa kuigwa na sisi vijana wenzako.
Kabisa kaka
Hahaa utapeli utapeli
Kabsa kaka umeongea point
Mshamba wewe eti mtandao kwani sio bishara mshamba mkubwa
@@azizaburudani9635 heee sa mbona hasira
Huyu bwana mdg ni genius aisee watu wa aina hii wanamaisha yenye vita sana.Mungu amsaidie huyu kijana
Ivi ulijuaje yaani hawa watu Mungu awe nao muda wote
Big up brother, seriously u r one Ina million,uko focussed, inspirational na pia jasiri sana, vijana hapa tumepata mwalimu mwenzetu ambaye anatuhimiza na kuhamasisha katika kutia bidii maishani.brother u amazing n keep the good work going..👍🏻👍🏻
MUNGU akubariki my brother jeph. najua haikuwa rahisi mkono wa MUNGU ulikushika
great Inspiration bother... Hakuna mwenyebidii Mungu akamtupa. We learn more from you.
Kweli kabisa
Bro naomba rudia interview na jamaa kwenye uwekezaji zaidi mpe muda mrefu kama hutojali
Uko vizuri sana kaka. Ila punguza kilevi.
Dah..hongerasn km ningekuweko tz ningeonana nanyi..nisingecheza mbali nanyie ..ningejifunza kwenu
Kariakoo kuna suti Mpk za 50 very good material... Am praying for you to do more and more than that... I believe Tanzania is growing fast... God bless you
Rehema mambo, can I grow fast with you? 😌
Sio mbaya kujivunia akili yako mungu aendelee kukupigania usishuke tujifunze pia kupitia mlio fanikiw
Kweli kabisa bro mm pia ni GIS expert na nmefanya kazi ya mkataba na world bank......wanalipa vizuri sana.
hongera
@@mwanaishamkindi7763 Ahsantah
Ooo
Kuna vitu nimejifunza hapa big up sana
Thanks for your inspiration jeff
we need these kind of business enterprenuer
Hkn jamaa smart mpambanaji km uyu speshoz mnyama sana nmkubali kinoouma najitajd kupambn nifikie maendeleo km yke
Alipata mtaji huyu!Verry Smart
Dhuu yupo Very smart, hawa ndo Watu wakuhojiwa kabisa.
Great!Congratulations Bro
Keep up men you make me proud of my investment
Aise Mungu atusamehe kwakweli,umeona kama Mimi nimpigaji mzuri wa tungi
Safi sana na ongera sana bro ..
Jeff kama Jeff nimesoma naye CHANJALE SEMINARY JIMBO KATOLIKI LA SAME
Shida sio kusoma nae
@@kuy4011 😃😃😃
Una no zake hahaha
Wewe unamiliki nini kwa Sasa
😂😂😂😂😂
Me nltaka kuulza tu kwahyo?
Smart bro daaa God bless you
Hongeraa Sana broo
Good move Sana Ila pombe sasa mtuletee na video za kiwanda chakushonaaa
Dream Runner
Am appreciate that bro!!
Vizur sana kaka una influenc watu wengi
Brother nmekubali
Honger kaka kwa upambanaji, mimi naomba tyu ajira
Makapuku wanaona kama wanafokewa hivi 😂😂😂 guys be inspired naona mnapandisha sumu kuvu 😜😜
congratulations to you brother and keep it up 🙏🙏🇹🇿
Thanks My brother
Kutoka ndani ya moyo wangu.. i never mis speshoz interview...ukitaka kumuelewa vizuri huyu mtu angalia interview alofanya na salama... "GENIUS" tunahitaji watu wengi kama hawa katika jamii yetu...
Unatumia nguvu nyingi kuwahakikishia kitu watu usio wajua.
@@zowmemes9923 acha ushoga
Hongera kwake ila inaonekana anakunywa pombe kali sana. Ukimuangalia unaweza kuona kama una uwezo wa kumsoma mtu haraka.
Vijna wengi wakipata mafanikio hawaishi muda mrefu sababu ya life style. Ukitumia akili sana lazima utunze mwili pia
Na Mungu atusaidie kwa haya maana tunahitaji na kumpendeza Mungu
Hongera sana mr special
brother nimekuelewa sana unafaa kuwa mshauri kwa vijana namna ya kupambana na maisha
Huyu hakuwa mfanya kazi wa bank ya dunia alikuwa mfanya kazi wa mtu ndani ya bank hiyo mshahara mdogo huo kulingana na ofisi hiyo
Muongo hajafanya bank ya dunia
Nishafanya kazi company kubwa na nikalipwa 3000 per month , It depend unafanya kazi gani, mtu akikiuona unapendeza , na ukubwa wa jina la company uliyopo, hawezi amini unacholipwa inawezekana sana
@@anethjoseph4542 Nakubal dear ukubwa wa Campuny uctishe watu
@@aloycemacha9894 kamalikuwa anafagiya je
@@anethjoseph4542 hata bank kuna ufagizi small salary upo sawa
Japo umehaso sana ila Wewe una connection kubwa sana bro
Duh saf sna!
Jamaa genius sanaa
Good interview
Nimeelewa sana ngoja nipambane
Ila WB hiyo pesa ndogo sana, wapo watu wanalipwa million 6 kwa mwezi pale
Sasa wewe unasema milioni 6 kwa mwezi si ni karibia sawa na yeye anayelipwa laki na sitini kwa siku. 160,000 X 30 = 4.8 million kwa mwezi. Tofauti ndogo tu
@@alkasusjaasus7015 amesema million 30 kwa mwaka, pesa ndogo sana pale WB labda unskilled ndio hulipwa hivyo
Appreciate bana wabongo mkoje asee
Sometimes haiungii akilini ila kila mtu na MTAZAMO wake ktk maisha
Kivipi mtazamo ama?
Haiwezekan anachokisema
@@ilynpayne7491 we mtu akaache mamilioni ya mshahara
Pia mtazamo wako ndio ulipoishia,kama umeona milion 30 nyingi mwingine anajiajiri anapata milioni 100 unadhani suti zake anavalisha wangapi na kwa bei gani?je kiwanda hicho kinaingiza bei gani?hesabu muhmu sana
@@mosesmaembe1528 kivipi
Wewe ni mtu kwenye watu..hiki ndo muwe mnaohoj tunapata kitu..
Good for east Africa bro❤️🔥
That is appropriating things that have been already been named, maana Faru John tayari kwa sifa yake asingeruhusiwa ku-trade mark jina hilo. Hayo ni makosa makubwa sana kwenye trade mark. Hao waliomruhusu naona hawakujua.
Nakubali
Very simple but so amazing kind of people
Nice vision, great person but the alcohol drinking may shorten his life span or make his health fail him. Watch out, your success story needs your health.
YES I AGREE WITH YOU HEALTH IS WEALTHY. IF U HAVE VISSION AND BIG DREAM U MUST MAKE SURE UR ALSO LOOK AFTER YOUR SELF NICELY N CARE MIND WHAT U DRINK N WHAT UR EATING AND EVERYTHING PROTECT UR PEACE, N MANYMORE
Exactly my dear
Ela ya pombee..!! Aya lez goo the destn comes soon
Hongera brother
Sasa hawa wasanii mbona hawamtangazi huyu jamaa wa watu maskini ya Mungu
Kawalipa watangaze. Au na yey awashonee bure
Hahàa ndio ulimshonea jeje diamond?
😂😂😂🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣cjui umewaza nn ww
😁😁😁
Jamaa anafunguka mpaka basi atakuwa muhaya huyu matajiri hatuko ivo 🤣🤣🤣
Huyo mchaga bob
Jamaa kasoma marketing, na hivyo ndio marketing inavyotaka
Niajiri Basi tajiri niwe hata mlinzi kwako
Haha
@@flova7022 una cv gani? Jieleze tuone tunafanyaje
Kilimanjaro ndo walevi snaaa distributor wengi.....
Rafiki yake sana sabaya huyu 😂😂
Mara ya kwanza kabla cjamckiliza nilisema huyu fala ambaye kaacha milioni30 ni mgonjwa wa akili kumbe hmn, jamaa ni genius anafikilia vitu vikubwa sana huyu ni mmojawapo ambae anatumia akili zake vizuri baada ya muda huyu atakuwa tajiri mkubwa namuona mbali
Chukueni positivity yake tu,negativity yake kama umeiona iache ,uckeshe kucomplain,sega la muwa kwako ni chakula kwa sisimizi
Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏
Issack duuuuh maneno yk mazito.👏👏👏👏👏👏
Watu tujitaid kutambua sote ni kazi za Mungu,udhaifu ni sehemu ya maisha yetu,Aliyeumba wema ndiye kaumba ubaya
Huyu chalii anajikweza Sana mpaka amenikata mood.
Yan
He deserve
Content anayo ila ndo hivo how to present it
Hajikwezi but ndio the way anavyoongea lazma uone hivyo
Tafuta hela ukiwa nazo hautaona km anajikweza, ni kaka yangu ndio ongea yake tangu anasoma, USIMJAJI MTU USIE MJUA KIHARAKA HIVYO
Icho kiwanda ﹰSabaya hajakiona kweli angeamlishwa awe anamshonea bule suti zake zote
Alishawah kumzngua eti achangie milioni kumi sherehe za ccm na akakifungia kwa tuhuma za uongo ila tra wakafuatilia wakasema kifunguliwe
HUYU SA MBOVU NAMSHUKU MASAI WA KENYA 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@idavastaborn1818 Duh jamaa alikua msenge sana amefilisi watu wengi sana jamaa alafu utakuta mtu hata alipotokea uko anamtetea et wanamuonea
😂😂😂😂😂
Haha... Sabaya mtuBAD Sasa huyo ndio FARUJOHN mwenyewe
I need this confidence 🙌🏼
Biashara ya Pombe eti MUNGU anasaidia Da!! Dunia na majaabu yke
The Roman seminarists never fail how to catch up life
100%
I have got you brother ure a real risk taker.
Safi Sana
Anaakilii mno
Umekosea sana kaka hii interview itakupunguzia mauzo hasa hao viongozi wa serikal uliowataja, wanaogopa Sana kuweka mambo Yao private kuyaweka public mfano mtu mbaya au muuaji mwenye Nia mbaya na wazir yyte au mbunge yyte anaweza kukutumia wewe kuweka sumu kwenye nguo ya kiongoz yyte Bob maley aliuawa na wazungu kwa kuwekewa sindano kwenye kiatu so next tym don't mention the name of leaders.
Duh
Lutengano umesema kweli.hakupaswa kuwataja.sio gud kabisa.
absolute
Jamaa kweli sawa hatukatai ila uwongeaji wake ni kama anajisifu yeye mjanja sana kumanina just inspire watu sio kutamba aise
kama unataka mwamko wa maendeleo unahitaji watu kama hawa. kama unataka umaskini bali na upotoro wako.
Kilaaaa mtyuu na uongeaj wakeee kajisifuu na wew kama ni rahs
If you want more succes in your business then you have stop drinking to much; my advice for you alcool kills the liver in your body and destroy your energy together with your lungs. You have great vision and hard working but be carefull for alcoolic style.
Kwani amehama pale MWENGE
bro vipi ajira kwa vijana wenzako
Amesema ameajiri watu kwa Sasa hawezi kushona mwenyewe ndo ajira hizo
Ivi ml.30 tumaijua au maana kinua mgongo cha mwalimu kinafika ml.100 ad 1200 ambayo nimiez 4 kwake acha uwongo nakama kwer basi kalogwa ili aludi kwao
Jamaa yupo Maji hatari hapo,,
Anaonekana 😀
Upo nyuma ya mtu mbona faru John tu hapo ndo katangazwa
Umefanikiwa ktk umri mdogo sana lakini ushauli tu acha Pombe ili uinvest nguvu
Kuna watu kazi zao ni kuandika kuna kitu nimejifunza kila siku ila wanavyojifunza vinapotea video ikiisha...
😆😆😆😆
Umeona ee
😂😂😂😂😂😂😂 umewaza nn jmn
Daaah
Walevi wote wanakuhusu brooo na tabia zao
Kuna mtu anataka hata elfu 10 kwa siku
Kweli kizuri hakikosi kasoro,😁kwani katika vyote ulivyowekeza bila pombe haiwezekani!!
Jamani kaka umenifulahisha sana nawomba ukienda malawikuwekeza nawomba nikawe mwajiliwa hapo
Jamaa kapiga tungi kweli😂😂😂
Aisee Mungu atusamehe ukweli,mpigaji tungi mzuri,uliloliona wewe ndo na Mimi nimeliona jamani
Upo vizuri ila punguza vidimbwi
Tuletee huku makambako
Duuuh
Good
Good channell
Interview ya Rafael hadi sasa ndio naiona ni interview yenye viwango kuliko zote sababu alikuwa anajibu kulingana na maswali anayoulizwa hana story nyingi
Maneno mengi adi tunaumizana roho
Hahahahahahahahaa
Unaumiaje 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣kwel yan
Tatizo lahuyu jamaa anatumia nguvu nyingi kujieleza
Pía anaongea kwakupanik
Em aongee taratibu ili ituhamasishe vzr
Hilo halijaw tatz bdo
Ndio aina yake ya uongeaji, hatuwezi kufanana
Unateseka kutokea wapi
Chamechaa msachaa
Big up bro
Vizuli sana
Great
Shot out broo Keep it up
Endelea kunitafutia Hawa watu ndo nawasikilizaga nimepata na bilionea wa mpunga kutoka mbea wapo vizur