MKULAZI KUANZA UZALISHAJI WA SUKARI MWAKA HUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 фев 2025
  • Kiwanda cha Sukari kilichopo Mbigiri Wilaya ya Kilosa Mkoa wa Morogoro kiko mbioni kukamilika na kinatarajiwa kuanza uzalishaji mwaka huu. Kiwanda hiki kinamilikiwa na Kampuni Hodhi ya Mkulazi.

Комментарии • 13

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +1

    Kazi iendelee, Hongera SSH kwa kuendeleza miradi yote kwa umakini, Ubarikiwe saana na Mwenyezi azid kukupa Afya njema

  • @gesambamaisori8781
    @gesambamaisori8781 Год назад +3

    Kazi ya Magufuli the Great....viva the Legend.

  • @tashone7884
    @tashone7884 Год назад

    Project kubwa sana

  • @kiliantereba6502
    @kiliantereba6502 Год назад

    Hongera kwa magufuli, alikuwa jembe kwa kubuni miradi na kusimamia utekelezaji

  • @jacobmsigwa383
    @jacobmsigwa383 Год назад

    Well done

  • @aloycekarlum3702
    @aloycekarlum3702 Год назад

    Hongera Eng. Flavian

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 Год назад

    RIP mzee baba Magufuli we ndio RAISI WANGU WA MILELE 🙏😭😭😭

  • @LisunguKipigapasi
    @LisunguKipigapasi Год назад

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Год назад

    Ktk siasa tunahitaji uwajibikaji kama huu

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Год назад

    Hii ni neema kubwa tuwe na ufanisi mzuri kikazi hongereni wote mliohusika

  • @gesambamaisori8781
    @gesambamaisori8781 Год назад

    Viongozi ignition mfano ni lazima tuamue na tuwe na mkakati wa kukuza viwanda...badu tunahitaji viwanda...ktk kila sekta

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Год назад

    Tanzania inaweza lisha East Africa na sadic ila watu wetu wavuvu wanafikili kuwa matajili kwa miujiza wakati ni ndoto za ajabu.

  • @LisunguKipigapasi
    @LisunguKipigapasi Год назад

    .