Exclusive|| Mbunge aliyesema watu waingie kwa pasipoti Zanzibar "Msimamo wangu huu siwezi kuugeuza"
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- Mbunge wa Jimbo la Konde (ACT Wazalendo), Mohamed Said Issa amesema msimamo wake kuhusu watu kwenda Zanzibar kwa paspoti bado uko vilevile isipokuwa awali watu wengi hawakuelewa maneno yake lakini alichokimaanisha ni kuweka paspoti kwa lengo la kuvilinda visiwa hivyo.
Mohamed ameyasema hayo leo Jumanne, Mei 7, 2024 alipozungumza na Mwananchi Digital Bungeni jijini Dodoma ambapo amesema kumekuwa na watu wengi ambao wamekuwa wakienda Zanzibar kutoka mataifa ya jirani bila paspoti kwasababu ya utaratibu uliopo sasa hivi.
Aidha katika mahojiano haya Mbunge huyu pia ameeleza kuwa angetamani Watanzania wote wapewe pasi za kusafiria punde wanapozaliwa ili kurahisisha usafiri kwenda maeneo mbalimbali pamoja na kulinda visiwa vya Zanzibar kwani utaratibu huo unatumika nchini Uchina pamoja na Uingereza.
Haki iwe pote Tanganyika na Zanzibar tutumie posipoti.
Kazungumza vizur
Hongeraa muheshima
Good kiongozi, umeeleweka
Nakukubali Zanzibar Lazima Mlinde Nchi Yenu, Muungano ni Kesi Nyingine na Nyie Watanganyika tafuteni Nchi yenu Hakuna Tatizo na Hakuna Ubaguzi hapo.
Watanganyika tutafute nchi yetu!!!?? Ama kweli! sawa iko siku tutaipata Tanganyika yetu, jeuri hiyo isi kusahaulishe nusu ya wapemba wamelowea huku.
@@DavidSemu-gu6wpWazanzibari tupo kila eneo duniani so uwezo wao unawaruhusu bc wataishi uko
Tanganyika ndio nini
Sehemu yote ya pwani ilikuwa miliki ya Zanzibar tumenyang'anywa na Wajarumani na Waingereza wakati wa vita vya pili vya dunia, na sehemu hii ikitwa Mrima. Mpaka leo ukitokea Posta kuu, karibu na mahekalu ya Wahindu kuna kipande kidogo sana kinaitwa Mtaa wa Mrima, yaani Mrima Steet. Sijui kwanini jina hili limefichwa pale. Nadha Watanzania wasijue historia ya huu Mwambao wa Arika ya ashariki. Nalotaka kusema ni kuwa kuoana baina ya Wazanzibari na Watanganyika kulikuwa hata kabla ya huu Muungano. Nyumba nyingi hapo kitumbini karibu na Msikiti wa Ijumaa zilijengwa na watu kutoka Zanzibar. Hata bandari ya Mombasa ilikuwa Zanzibar mpaka 1963 kabla ya uhuru wa Zanzibar Kenya ilipoidai na Jemshid akaridhia iwe milki ya Kenya. Inashangaza kuona watu wakisema Wazanzibari wamejaa mpaka Katavi. Nakumnika katika miaka ya hamsini kule Kitoroni karibu na Ndagaa Wazaramu na Wanyagatwa na Wandengereko lijigawa makundi mawili, kundi moja wazawa, yaani wale mababu zao wamezaliwa Zanzibar na kundi jingine likiitwa wakatamaji. Wakatamaji walikuwa ni watu wasiozaliwa Zanzibar. Mlezi wangu alikuwa mkatamaji aliyezaliwa huko Nyamisati kabila yake ni mnyagatwa. Jifunzeni historia ya Mwambao wa Africa ya mashariki kabla ya kuropokwa, hasa Viongozi wanaotoka huko Madongoporomoka wanaoleta jeuri na kashfa.
Sisi nchi yetu ipo hatuna haja ya kuitafuta. Na ndio nchi hiyo hiyo inayokuleeni nyie.
Hujakosea,kiufupi waingie na tuingie Kwa passport kwisha kabisa.umeongea point xn
Good dear brother, umeongea vizuri sana
Good
Ssi wazanzibar tutaingiya tanganyika na pasport na watanganyika mtaingiya zanzibar kwa paaport
Ni vizur sana itakua poa
Bwege wewe ..... hata unachoongea hukijui ...... Zanzibar ina Immigration department ??!! au ina Wizara ya mambo ya nje ??!! ...... Sasa kama hawana nani atamkagua mwenzie kati yenu na sisi ??!!
Kichwa kisicho na a kilo ni mzigo kwa shingo
sasa ukiangalia uku Tanganyika wazanzibar wapo wengi Sana na wamejiwekeza Sana apa inakuwaje
Wewe mnyamwezi utaludi kwenu kisiwa hicho hakikua nawatu zaidi ya wakoloni kiliitwa kisiwa ausio
Tanganyika irudi ili ku ondoa yote hayo
Mimi sioni ubaya Tanganyika ni kubwa mara 470 kuliko Zanzibar ni muhimu kuweka utaratibu.
Utaratibu ni kuwa na serikali tatu, hivi ni watanganyika wangapi wanaingia Zanzibar? Mambo ya funika kombe mwanaharamu apite hayana tena nafasi!
Wale Wa Mpango Mkakati haqatamuelwa/watampinga
Wazungu kutembea na vichupi jee? hawaharibu tamaduni zenu huko?
Nyie watanganyika hamtembei na vichupi, bora hao watembea na vichupi. Nyie mnavaa nusu utupu na kuuza utupu kwa bei rahisi, angalau wazungu hawauzi utupu
@@Sheba4651ulijuaje sie watanganyika hatuvaagi chupi?
Unatutukana?, labda wewe ni mzoefu wa haya mambo
@@Sheba4651 we ulijuaje kwamba sie wabara hatuvai vichupi?
Upo sawa kwa hilo.Ila Tanvanyika ni pakubwa na pia tupo wengi.
Mmbunge mzuri sana Allah akuweke
Tope tupu
Kwa hoja hizi nadhani Tanganyika kama Nchi inahitajika.!!!
Big up kaka
asalam alaiku muheshimiwa mbunge nakusapoti uko sahihi
Kwa ujinga wangu tu nikitoka Arusha kwenda kilimanjaro lazima niwe na passport kwasababu wanalinda mlima wao
Kweli kwa ujinga,maana muungano wa nchi,ni arusha na Kilimanjaro,
Mh keep it up
Ndio mie mtanganyika lkn ss watanganyika tumezid kuharibu tabia na huruka ya kizanzibar inasikitisha kweli Bora aseme tyuu.
Jamani wana CCM wenzangu kwa nini tusiwape hawa watu nchi yao. Ili tuone hayo maendeleo wanayo sema wameyakosa kwa sababu ya muungano.
Sawa
Hili swala la ushoga nilishangaa nchi kama Zanzibar kuna mashoga
Shoga babu yako
Nikweli mh ana Manisha z ni nchi uko vizuri Tanganyika yetu jamn
Lakini je kitambulisho kinamaanidha nini?
Wabara zanzibar yetu ndogo mnatujz t
Harafu nyie mbona mnapojazana hawasem
@@user-qj2fz8uq3jbakini kwenu
Wazanzibari wote ni kutoka bara sasa sijui unaongelea kitu gani wewe mbwiga.
Halafu karibu wazenji wote wapo bara hadi mikoani huko mkiitwa wapemba, Zanzibar bila bara hacienda na ndio maana chakula kikuu ni MAPEMBE Michele uliopitwa na wakati (expired) halafu ndio kitovu cha mashoga mkifuatiwa na Mombasa.
Passport nyie ndio itawaathiri sana kuliko bara.
Achana na bara ni maji marefu.
Tangu mapinduzi ni kiongozi yupi ambae ni mzanzibar asilia?
Sahihi
Huyu mbunge mpuuzi na aliyejaa chuki! Eti mwanamke kufunua nyweke ni sawa na mwanamke kuwa uchi na anavutia zinaa. Sasa kwa nini anaingia kwenye vikao vya bunge, maana humo Bunge i kumejaa wabunge wanawake wenye kuacha kichwa wazi, hivyo kila siku kwa kuwaona wanawake hao anafanya nao zinaa, mpuuzi kabisa! 18:03
Ujue unalipwa kwa kodi zetu watanganyika
Passport ianzie pemba na unguja kwanza
Bora iwehivo
Kama anazungumzia tabia za kizanzibar ni mzuri kuliko za wa bara bas vunja muungano hii ishakuwa nchi moja aina ajwya kuingia kwa paspot uo ni ubaguzi
Kweli Mitanganyika mingi ni mikiristo ikija Zanzibar inajifanya waislam na hili pia tatizo
BRO KAULI YAKO POTOFU KABISA YAANI UMEFELI
@@aliferuzi1537 Ndio Ubaguzi wao Mkubwa 🤔Na Wamesahau Kama Sio Muungano wangekuwa na Hali mbaya Zaidi nyambavu huyu mwache mungu ampige makofi 🫣
UKRISTO UMEANZIA ZANZIBAR UKAENDA TANGANYIKA.
We ni mkundu unaefirwa na babaako,umezaliwa na kahaba aliyepandikizwa na hanisi,choko wewe
Mwambie mungu wako mwarabu,maku wewe
Muheshimiwa umezungumza maneno mazima kwa utetezi juu ya wazanzibari tunateseka sana juu ya wageni waliojazana zanzibar mabaa hayasemeki machangu dowa kila kona
We umeona ma bar tu hujaona swala watoto wa kike kuingiliwa nyuma ya maumbioe ety kisa kutunza bikra mpk kuolewa, kwann iwe nyuma ya maumbile ongeleeni hilo ndo Jambo la msingi sio muongelee bar,
Wanaelewa vizuri hawataki tu
Wewe unae sema Zanzibar Kuna njaa mbona mmejazana tele munauza njugu kwaiyo kwenye njaa wapi kati ya Zanzibar na tanganyika
Safi
Mmhh
Watu wa vijisiwa hivi vidogo vidogo dunia nzima wagumu sana .
Ahaaaa😅
Hata shujaaa wao pia alisema hivo hivo watu hawa wavijisiwa hivi vidogo vidogo bila ya kujua ni nchi kamili yenye mamlska yake
Huyu mmakonde mtumwa huru ana shida sana,luck of education
safi sana,wabara wanaivamia zanzibar
Tunataka Tanganyika naninyi nje kwa pasipoti
Tanganyika tumelala usingizi wa bono...watu wa Zanzibar ndiyo wenye faida kubwa na Tanganyika
Uongo
Mbona uzungumzii wazanzibar wanaomiliki ardhi bara na wanaoishi maisha yao ya kudumu bara unazungumzia upande moja na kutolea mfano nchi zingine
Huo upande mwengine zungumza ww
Hilo suala la kumilik ardh syo hoja la msingi na wala syo ubaguz bali hilo linatokana kwa mujibu wa sheria katiba ya Zanzbar inasema asokuwa mwenyeji haruhusiwi kumiliki ardh na katiba ya Tanganyika inaruhusu mgeni kumilik sasa ubaguz uko wp
watizame hawa wazanzibar msiupende utumwa nia yenu kuwarudisha Warabu hili muwatumikie
Mnailinda zanzibar mbona wale wanawake wanawake wa kizungu wsnapkuja kufanya ukahaba hamuwafukuzi
Waulize kinachowakuta au na wewe ni Kahaba na hujapatwa na chochote. Basi subiri makagaba au wenzako tunawapiga bakora.
Znz wazungu watembea na vichupi, wamechukuluwa hatua gani? Lete ushahidi
Bwege
Tukubali TU kuwa mzanzbar sio mtanzania na mtanganyika sio mtanzania tukiwaita watanzania ni makosa kwakuwa upande matinabu Bure na mwingine kwa malipo utanzania unasimama wapi?
Nimekuelewa kiongozi
England, Scottland Yard, Wales ni nchi za Uingereza zimeungana! Pole sana. Rudi darasani urudie masomo na mtihani wa Historia na Jiografia ili uwe vizuri zaidi.
Scotland Yard?do you know what's?
Huyu Mbunge asitutukane kwani hawo madada poa wengi wametoka Tanzania bara(Tanganyika)mbona madada poa kutoka Zanzibar wamejaa Daresalam.tafadhali aombe msamaha kwa matusi kwa kiongozi kama huyu.
Uongo
Hujakosea kabisa muheshimiwa passport muhimu kwa tanganyika na Zanzibar. Kwahiyo ssa ni wakati sahihi wa kuidai tanganyika
Wenye Nia Ovu/Wapotoshaji watajifanya hawamuelewi/watampinga🙌
Mh.mbunge anajenga maswali mengi sana dhidi ya maelezo yako,
Zanzibar ilikuwa na passport kabla ya Muungano. Kwani kuna tatizo gani na ni visiwa vyao. Wapeni haki yao Tanganyika ibaki kuwa Tanganyika na Zanzibar ibaki Zanzibar muungano utakuja kwa mambo maalumu. Leo Zanzibar imekua jaa kila baya unalikuta watu wabaya wanapenda wakafanyie kule. Kwanini hamkutaka kuungana na kenya uko au burundi mkataka Zanzibar?
Hauna Story.Muulize karume
umeongea point hata mimi mtanganyika sipendi muungano na Zanzibar na kiukweli nachukia muungano
Huyu ndo kiongozi hodar
Nanyie kamanihivyo nanyie wazanziba muingie na pasipoti tanganyika
Hatuji haswa huko tuje kufanyia nini tukishavunja muungano hatuji
Nanyie mkija tanganyika mje kwa paspot
Acheni ubaguzi una lengo baya kwani hao aliowaona Zanzibar hawana passport kwa nini ana mashaka na watanganyika???
Wewe ni mpuuzi na mwendawazimu!Lete hoja juu ya hoja zake
iv wazanziba wana mashamba je waende shambani na paspot mtu ulie na paspot unarusiwa kua nashamba sehemu unayoenda na paspot je hakuna kitu chakumtalisha mtanzania . Lahasha kama Zanzibar nikuzur sana kaa pekeenu wazanziba kusanya wazanziba mukae huko. Muje kwapaspot Kwan paspot nn. Kwani tabia ya madadapoa hiyo tabia wameitoa WP na nitabia ya wap ko nitabia ya watanganyika. Ww jamaa unamaneno matamu Zanzibar kilakitu bule mafuta beichn petroli dzel yataa oo
Huyo mbunge ni mbaguzi kwasababu yy hajui kwamba tumekuw kwajina Moja Tanzania. Ahojiwe selikari ni moja, hakuna T bira Z nahakuna Z bira T . Yuyo ni mdini .Ajui kama Afrika tuna dini yetu, na tunatumwa na dini . Kuna nchi nyingi Afrika waass walikataa sana unini
Tazama mifano ya nchi za kiarabu oman na dubai watu wanasafiri na vitambulisho tu sio pasport najivunia kua mtanganyika huyu yupo lama netanyau
Aysha:Natanyahu ni muuaji na mkorofi.huwezi kumlinganishe mbunge wa Konde na Natanyahu.Wazo la kuingia Zanzibar kwa kitambulisho kama passport ni jambo la maana na lenye misingi ya kiusalama wa WaZanzibari
Huyu Mbunge yuko sahii Hila anakwepa kunyooka
Mi naitaji kuwa kwenye huo mdaalo please Naomba hukiwepo Nami nikaribishwe
ID VERY IMPORTANT zanzibar tokea mwaka 1976 watu walikuwa wanaigia zanzibar kutoka tanzania bara walikuwa wanakuja na vitambulisho na walikuwa wa kiripoti kwa Balozi wa nyumba 10 wabunge dodoma waweke kumbukumbu kuwa kulikuwa na passport za mchele walikuwa zinatumiwa kwa pande zote mbili yani ya karatasi na ipo na picture ya mtumiaji miaka ya 1976 yani wanataka kutujazia majambazi immigration tanzania bara na zanzibar muhimu kuzibiti uhamiaji
Hayo ni maoni yako ni mpaka serikali ikubali maoni yako.
Mtanganyika kwenda Zanzibar hakuhitaji passpot ila huyu jamaa itabidi hata mzanzibari waje Tanganyika na Passport .
Hilo sio tatizo.
Huyu jamaa point ress kweli
Huyu kabugia
😂😂🤣🤣 Binti akiwa kichwa wazi... Anapata hamu ya kufanya ngono 😅😅😅. niaJabu (nywele tu unatamani ngono duuu!!)
Usllete udini
Wew huna ujualo Bora unyamaze
Katika vishawishi vya kufanya mapenzi vipo vya aina nyingi,na hivi vishawishi vipo kwa mwanamke na kwa mwanamme katika miili Yao,Leo nitakupa kwa upande wa mwanamke tu,kumbuka kwenye kupenda Kuna sababu nyingi zinazokushawishi uanze uhusiano na mpenzi wako,kwa mfano umempenda mtu kwa nywele yake imekuvutia uwe na yeye kimapenzi au kwa macho yake au bodi yake jinsi alivyo,na ndio maana tukahimizwa kufunika miili ili kuepusha kutamania kwa haraka
Kwani kaz ya kitambulisho ulaia kaz yake nini?
Huyu Mbunge ameonyesha dhamira yake ya kutumiya Passport kuingiya Zanzibar kama ni hivyo basically kuwe na Passport tafauti ya Zanzibar na ya Tanzania Bara(Tanganyika).it will be impossible to enter and exist within your own country. With the same Passport.
Mbona wakati Bunge Wakijadili mambo yasiyokua ya Muungano hamutoki nje ya Bunge na Posho munachukua? Kama huo sio Wizi ni nini?
Hakuna sheria inazuia wabunge wa Zanzibar wasijadili mambo yasiyokuwa ya Muungano
La pili hiyo bajeti inayotumika kwa mambo yasiyokuwa ya Muungano ni bajeti ya Muungano pia sio bajeti ya Tanganyika
Juzi wazungu wamenunua nyumba na wamepewa kibali cha kuishi LKN WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA NYUMBA ZNZ
Una uwezo wa kununua nyumba wee mwehu si utfute kiwanja uko elf 50
@@user-cq4lp5rv1l mmedai wenyewe kuwa "wabara wanne tu wanaweza kununua kisiwa cha zan,ibar, ila km mie nanunua eneo huko znz wewe ntakujengea kibanda cha uani na hiyo elfu 50 uliyotaja, mi ntakulipia bili ya maji na umeme, waonaje?
Ww muongo wabara pia wanajenga
Huyo ni msaliti kama wasaliti wengine
Mfate Nyerere uko
Huo Muungano wa Englnk havinauhusiano na Muungano wetu. Huyu ni 100% mubaguzi. Naukweli hautaki Muungano. Anaudini nk.
Na uwe ubaguzi 100% Zanzibar. Waachiyeni Wenyewe Zanzibar na mambo Yao. Kwa nini inakukereni sanaaaa. Imekuwa kila kitu wanacho taka kufanya ubaguzi ubaguzi. Imekuwa hamna kazi ya kufanya.
Jinga wew kwani x mnatanganyika yenu vp nyinyi mbumbu tafteni tanganyika yenu
Passport irudi Zanzibar ni ndogo mno inahitaji kulindwa.
Naww ukija huku bala uingie na passport
Nchi Moja paspot yanini
Nchi moja ingekuwa na maraisi wa wili
nini kakuambia nchi moja¿
Kumsikiliza huyu jamaa ni kupoteza muda, anapenda kulinda chake lakini vya watu anavitaka... Hapa anaongea akiwa Tanzania bara na hataki watu waende kwao.
Mh. Usirudi nyuma tuko pamoja passport ni muhimu sana
Hiyo zanzibar kuna njaaa alafu mnataka watanzania waigie na paspot
Sio watanzania sema vichogo
Alhamdulillah Zanzibar hatuna njaa licha ya kuwa hatulimi yaan hata mafuta bei chee mfano petrol Tanganyika ni 3800 na Zanzibar ni 3200 ona maisha yalivyo mepesi kwa Zanzibar 😂 hata magari huku Alhamdulillah
Uko sahihi kaka mimi wa bara, nakuunga mkono
Zanzibar inavutiya kuweni na nchi yenu
Mimi ni mtanganyika naunga mkono Zanzibar waru waende na passport sababu ni 1/kulinda visiwa vya Zanzibar 2/kuongeza thamani hasa sehemu za beach maana uhuni umekithiri baharini. 3/kusafisha madada poa maana asilimia 99wanatokea tanganyika. Visiwa vinatakiwa kulindwa kwa wivu mkubwa mno mno. Tuache mihemko ya kisiasa zanzibar inapaswa kulindwa.
kwa koment hii wewe sio mtanganyika watu sasa hivi wanaalibika Ata kupitia social media ndio inaalibu jamii zetu
@@jumannemumbi9911 nimezaliwa Tanga hospital ya Bombo nimekulia tanga chumbaageni na Dar es salaam kinondoni district/ kijitonyama nimesoma tanga na Dar pia, then nimesafiri na mpaka sasa nipo nje lakini nitarudi nyumbani nimejenga dar na sasa ninajenga tanga huko Zanzibar sina hata kiwanja wala biashara ila ndugu wapo wanaoishi huko na wao pia hulalamika kuwa siku hizi zanzibar sio kama zamani uhuni ni mwingi mno na hasa husema wanaofanya uhalifu nyumbani wote wanakimbilia huku na hata waliokosa soka haramu la kuuza miili yao nyumbani sasa wapo huku wengi wao wakijaribu kupata bahati za kupata wazungu so bro mimi ni mtanga mtanganyika, hatupendwi kuambiwa ukweli zaidi hupenda kusifiwa sifa za kijinga kuwa bongo ulaya sio! Tuwe wazalendo tuilinde zanzibar ni faida kwa wote iwe i mzenji au mtanganyika sisi wote ni wamoja na ndio maana passport yenu ni moja na lugha yetu ni moja, usiwe kama mama mwenye mtoto mwizi akiambiwa mwanae muizi anasema haiwezekani siku amepigwa ameuwawa kwa wizi anasema mwanae ameuwawa na majambazi au ameonewa ila ndani yake hulia nilikwambia mwanangu za mwizi arobaini sasa unaona. Kuwa jasiri kuusema ukweli au kukabiliana na kweli tupu, ikitokea useme amepata alichokipanda kwa muda mrefu na kifo ndio mavuno yake. Haitakuumiza sana ukiwa mkweli.
Unaliwa nini wamapokuja Bala nawao waje na paspt
Huu uzanzibar na utanganyika tusipokuwa makini utavunja muungano kwa sababu upande mmoja unanufaika sana na muungano huu na upande wa pili unatumika kunufaisha upande mwingine suala hili litazamwe kwa kina sana kuleta matokeo chanya
Ndo maana sisi watanganyika tunamakodi mengi yanayotuumiza watanganyika,kumbe upande mwingine wanatunyonya watanganyika bila hata huruma, viongozi wetu mna zambi ninyi!!!
Kututesa watanganyika kwa Kila kitu,kwa Mungu mtaenda kujibu
Kumbe muheshimiwa unaitambua Tanganyika!? Iko wapi sasa ndo mana wadau wanaidai Tanganyika yao
Maji Zanzibar ilikua bure sasa sio bure tena leo tunalipa kila mwisho wa mwezi
Zanzibar tukifanya masihara bas muda usio mrefu itazamishwa na wageni
Mh, M'bunge upo sahihi tena ww ndo unasimamia makubaliano ya Muungano
Kwahiyo unachallenge NIDA?, kwamba watu wanapata NIDA kienyeji??
Wajifunze somo la historia kwanza ndo wataelewa nini ni kipi😂
Wa Zanzibar wako zaidi ya milioni 6 lakini wengi hawa ishi zanziba
Yeye anaingia bila passport, wabara tuingie na passport!
Mimi ni Mzanzibari nasema passport irudi ❤
Hivi ilikuwepo eeeeh.... kweli bora irudi maana hata mimi ni mtanganyika
Mkumbuke kuwa mjenga huku Tanzania
Hatutaki Muunganoooo
Hakuna tatizo lakini hoja ingekuwa kwa pande mbili. Pande zote waingie kwa passport. Mimi sioni maajabu ya mimi kwenda Zanzibar na hata ikibidi wapewe passport yao. Kila mtu akae kwake. Tumechoka na malumbano ya muungano. Mtu wa kawaida hawezi kuona faida za muungano. Sasa tumepata bahati ya marais wa Zanzibar ni rahisi kwao kufanya maamuzi magumu ya Tanganyika na Zanzibar.
Hata kama watalipuuzia leo liaibuka kesho, kesho kutwa na siku zijazo na baadae watasubiri tuwe wengi ili tudai tanganyika yetu halafu wakubali kwa aibu.
Mwandishi muulize hapo yupo Tanganyika anatumia kodi za Watanganyika je Dodoma kaingia kwa kutumia Passport?
Acheni ujinga paspoti ikiwepo ni amani kwa wa Tanzania wote kwani tuliacha hivi itakua shida kwani kila mtu nayejua kiswahili ataingia tu Zanzibar hata akitoka Burundi kwa vile anatoka Tanzania upande wa Tanzania bara
Sio kweli hakuna passport control withing UK.
Uhitaji passport toka Scotland kwenda England, Wales or Nethen island.
Usidanganye
Ww acha ushambaa tembeya uwone hivi unaijuwa united kingdom
ila nyerere alisema hii kitu kitambo sana
ni sawa na zanzibar wakija bara wabebe passport
Wazungu hawana ruksa kutembea na vichupi hata mashamba vijijini hawaruhusiwi ila kwenye hotel zao
Cheza na maneno lakin ukumbuke wanao kusikiliza wanauelewa
Nyie msiingie kabisa .
Nyie hampo zanzibar .
Nyie Kwenu ulaya na oman.
Na arabuni.
Ndiyo mnatuchekesha mkiongelea ubaguzi na visiwa kuchukuliwa.