Matatizo ya aridhi na makazi ni meengi mnooooo waziri unajitahidi ila uwezi kuyamaliza kwa njia hii lazima uongeze waasaidizi na vikosi maalum kusikiliza matatizo yao nchi nzima na wakuletee yale ambayo yanahitaji nguvu ya waziri …. Ila nawe endelea , kazi nzuri saana 👏👏👏👏👏👏
We nae, wadhani kila mtu ni muislamu? Mi mwenyew ni muislam ila inabidi ufaham huyu sio muislam, unayoyajua ww haina maana kila mtu anayajua. Em tumieni akili na uhalisia wa mazingira
Matatizo ya aridhi na makazi ni meengi mnooooo waziri unajitahidi ila uwezi kuyamaliza kwa njia hii lazima uongeze waasaidizi na vikosi maalum kusikiliza matatizo yao nchi nzima na wakuletee yale ambayo yanahitaji nguvu ya waziri ….
Ila nawe endelea , kazi nzuri saana 👏👏👏👏👏👏
Clip za slaa sy tam we nambie mi niko hapa mawazo
Anafanya kama makonda ila zamakonda tamu sana zinasikika vizur
Na sisi tumeiona Hii shida ya Sauti Next time tutalifanyia kazi
Ulishindwa kutunga sheria bungeni nawewe mwenyewe unaumia komesha huyo mbunge
Silaa ya drone hinapiga mabomu kwa Mazuluma ya mali za masikini😂😂😂
Mpiga picha ubalipwa nunua boom tupate sauti nzuri. Video ni sauti kama hamna unaaribu kazi za watu na unatupa makelele
kumbe na wewe umeliona hili
Ndugu bunge
Mheshimiwa umekosea sana ungetakiwa usimamishe mahujiano mpaka azana hiishe alaf ndio uendelee mazungumzo yen
We nae, wadhani kila mtu ni muislamu? Mi mwenyew ni muislam ila inabidi ufaham huyu sio muislam, unayoyajua ww haina maana kila mtu anayajua. Em tumieni akili na uhalisia wa mazingira
Tumia akili, usifananishe kitambi na mimba
Wewe unajua sheria za liturugia? imani yako ni yako wengine haituhusu.
Umekalili
Huyu mwenye upala sina imani naye
Mjanja mjanja au ha ha
Kweli kabisa mwandishi mfikishie ujumbe slaa awe makini na huyo kamishina
Halafu kama anatumia dumba huyo anaonekana mwizi
HAO NDO WANAOTUMIA VYEO KUJILIMBIKIZIA MALI. 😂😂😂. VIONGOZI WETU WA KITANZANIA NI MIMI, MIMI, MIMI. WENGINE WAJIJUWE.
Wewe usileti mambo ya udini hapa
Azana ndo nini wewe
Ni uwito kwa waislam pindi wanapotaka kufanya ibada.