WAZIRI AKUTANA USO KWA USO NA MBABE WA ARDHI, HAKI YATENDEKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 фев 2024

Комментарии • 245

  • @bongo39
    @bongo39 3 месяца назад +22

    Piga kazi kijana walishazoea hao kuhonga sasa imefikia mwisho mungu akulinde

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад +24

    M NDO MAANA NAPINGANA NA WATU WANAO SEMA ET VIONGOZ WOTE WA SERIKAL HAWAFAI WAPO VIONGOZ WAZUR TU KAMA HUYU GOD BLESS

    • @abuumuhammad7133
      @abuumuhammad7133 3 месяца назад +3

      Na mimi napingana na kuwa Serekali ya awamu 6 ndio Serekali sikivu na utekelezaji ila watu hawataka sasa sijui wanataka nini!

    • @laylayl5166
      @laylayl5166 3 месяца назад +1

      Hatamimi sikubaliani nao wapo viongozi waadilifu kama huyu waziri wetu MashaAllah mungu amlinde kina chalamila yaaniwapoo

    • @zulekhaponti9353
      @zulekhaponti9353 3 месяца назад

      Wachache😅

  • @user-wt7vf4uf3x
    @user-wt7vf4uf3x 3 месяца назад +12

    Mchapa kazi asie na mihemko wala jaziba ,hongera sana mkuu iwish tungekuwa na uzalendo wa kuchapa kazi namna hiii kwa mawaziri na watumishi wote wa umma. mama hajakosea kukupa nafasi hii.

  • @charlestobby6031
    @charlestobby6031 3 месяца назад +6

    Hongera sana mheshimiwa slaa binafsi sikuwahi kudhani kuwa kuna kipindi kingefika masikini waliodhulumiwa haki zao na watu wenye nguvu kubwa kiuchumi wangeweza kurudishiwa haki zao kutokana na siasa zetu na baadhi ya viongozi wetu wa kimamlaka kutokuwa waaminifu kwa wananchi wao wa hali ya chini waliodhulumiwa haki zao lakini kupitia wewe leo hii umeni-prove wrong mheshimiwa naona kila mtu sasa anaenda kupata haki yake👏👏👏

  • @saidnoumani7244
    @saidnoumani7244 3 месяца назад +14

    Hongera waziri unafanya kazi nzuri

  • @MegaAbby1010
    @MegaAbby1010 3 месяца назад +17

    Great stuff Jerry, naona umerithi mikoba ya JPM

  • @harounkiyungi7288
    @harounkiyungi7288 3 месяца назад +3

    Asante sana mheshimiwa endelea kuwatendea haki wananchi Mungu atakulipa kwa juhudi zako na hingera pia kwa Mama Samia kwa kuona umuhimu wako kuongoza zekta hii ngumu licha ya changamoto zote ila Unayaendesha kadiri unapaswa tunakuamini mkuu, Allah akulinde dhidi ya kila baya

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 3 месяца назад +14

    Kwa hakika mimi ni mpinzani na siipendi ccm ila Jerry slaa Daa Bwana Yesu akuinue na akulinde dhidi ya maadui zako nimetokea kukupenda,

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 3 месяца назад

      Kuna mawaziri expetional, hailajilish wako chama gani, japokuwa wako wachache mno

    • @MinskBelarus-il2tl
      @MinskBelarus-il2tl 3 месяца назад

      Mungu kakufedhehesha😅😅😅wachukie baadhi ya watendaji wa CCM,nasio Chama cha Mapinduzi. Hata ndani ya Chama chako wapo watendaji kama wa CCM

  • @user-vl5xv2xd6e
    @user-vl5xv2xd6e 3 месяца назад +13

    Waziri unafanya kazi kwa uaminifu bila Rushwa Mungu atakupa ya Dunia na ya Ahera nakuomba uje Arusha mimi nimedhulumiwa kiwanja changu na ni mjane nakuombea Mungu akupe Maisha marefu Amen

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 3 месяца назад +1

      Mfate ofisini kwake utapata haki yako au mfuate Makonda hawa wamebarikiwa na Mungu asaidie watu.

    • @ClementinaHabineza
      @ClementinaHabineza 2 месяца назад

      Amen utasaidiwa

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 3 месяца назад +7

    Aibu kwa walio mshindwa Mush, miaka yote hiyo alikuwa anapeta tu kwa raha zake hamna wa kumgusa du. Waziri hongera, God bless you.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 месяца назад +4

    Mhe. Waziri huyu mzee mwizi na ni majanja sana anamdhulumu baba wa watu.Waziri ongera sana❤❤❤❤

  • @muhammadvirjee
    @muhammadvirjee 3 месяца назад +3

    Mweheshimiwa waziri anafanya kazi yake kwa uaminifu na kwa haki kabisa mungu amsaidie aendelee kuchapa kazi 🙏🙏

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 3 месяца назад +14

    Huyu waziri siku 1 nilimsikia akisema yeye hanywi pombe wala havuti sigara na usiku yuko nyumban nikasema hapa nimepata kiongoz,hongera sana wazir wangu

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 3 месяца назад +7

    Waziri nakupongeza sana kwa kazi unayofanya,unastahili kuteuliwa nafasi ya juu zaidi,viongozi wengi ni mizigo kwa serikali hawawajibiki

    • @emmanuelmwakyoma5746
      @emmanuelmwakyoma5746 3 месяца назад +1

      Ateuliwe nafasi ya juu alafu hii achukue nani? Maoni hayatoshi

    • @ngambikomsu64
      @ngambikomsu64 3 месяца назад

      Nafasi hiyo inatosha apambane kwanza na hao mazandiki wa ardhi, akitoka hapo aingie wizara ya ujenzi apambane na makandarasi uchwara.

  • @nyakatongongo4292
    @nyakatongongo4292 3 месяца назад +2

    Asante baba nakufuatilia sana japo niko nje kidogo ya tanzania ila unapigania haki wanyonge wamenyanyashwa sana natamani waziri wote wachukue mfano sababu hata jela kuna waliohukumiwa bila hatia na hata kuhukumiwa kunyonga bila hstia kisa haku haki ma kama familia haina pesa basi tena

  • @nassercurtis9579
    @nassercurtis9579 3 месяца назад +3

    Muheshimiwa, Mungu akulinde bro uendelee kusimia haki hasa kwa wanyonge usitishwe na nguvu za wanaojiona mapapa wala ushirikina vipite mbali kabisa, Mungu akulinde akuweke mpaka uzeeke na busara zako upendo unyenyekevu vikutawale, usiache kuabudu maana ndio ngao pekee ya ulinzi juu yako na familia yako na kwa watanzania kwa ujumla. Napenda sana utumishi wako wa kujitolea maana ungeweza kukaa tu ofisini ukapigwa na kiyoyozi ukaachia wasaidizi wako ndio wafanye kazi za site, ambao mara nyingi japo si wote lakini hutumika vibaya kwa mapapa (wanaojina asali ya Tanzania ni yao peke yao)

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll 3 месяца назад +1

    Waziri Silaa ongela kwa kazi zito Mungu Akubaliki sheria ni musomeno ongela sana Silaaa

  • @user-ul1co9kw4c
    @user-ul1co9kw4c 3 месяца назад

    Hongera Mehshiva Waziri wa ardhi kweli una fanya kazi za haki na kwa Imani, Tanzania Kuna mchezo huu kuwa nyanganya ardhi kwa nguvu za paisa na karatasi za bandia (feki). Mungu aaveke Salaam na kwa Imani pamoja na familiya. Aameen.

  • @jomba6514
    @jomba6514 3 месяца назад +3

    Ubarikiwe sana kiongozi kazi nzuri

  • @hatibbaraka3956
    @hatibbaraka3956 3 месяца назад +1

    Waziri hukupewa kwa kubahatisha wizara upo vizuri na unaijua hasa sheria maana unavyowachalenji matapeli asee!
    Hongera zako!

  • @butoyihenis1389
    @butoyihenis1389 9 дней назад

    Mueshimiwa waziri Silas Mungu akulinde ajaliye ujaliye ujage kuwa rayisi wa tanzania

  • @HamzaGaudence
    @HamzaGaudence 2 месяца назад

    Safi sana waziri mchapa kazi hodari so kinyonge an unaijuwa kazi ako na unaifanya vyema so👏👏👏👏👏👏💪

  • @user-ks7zc6kd7u
    @user-ks7zc6kd7u 2 месяца назад +1

    Mungu akutunze na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako unawatetea wananakandamizwa

  • @mohdmood9726
    @mohdmood9726 3 месяца назад

    Hongera sana Waziri kwa kufanya kazi kwa vitendo

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 3 месяца назад +1

    Nimekupenda mpka mungu amesikia.Mm SIPENDI uonevu kwenye nchi hii,ila slaa mungu akupe heri.Watoto wako wawe nahkma kma zakwako,Huna hraka huna hsira huna hk hka yamajibu.Unafanya kitu kwaumakini unaheshma nahkma.Mam akuache jmn uwanyoishe wenye mabavu,hpo mama hkukosea kukuweka hpo.Kwi umesomea ardhi mkuu.

  • @chemstry409
    @chemstry409 2 месяца назад

    Mh SLAA ABSOLUTELY YOUR AMAZING BRO' PIGA KAZI WE ARE BEHIND YOU 100%

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Месяц назад

    Unafanya kazi nzuri mbunge wangu,Mungu akubariki

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp 3 месяца назад +3

    Mushi wewe mwogope mungu utasababisha watoto wako na wajukuu zako kupata laana

  • @elizabethtenge152
    @elizabethtenge152 3 месяца назад +1

    Hongera kiongozi Mungu akulinde

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 3 месяца назад +4

    Mwisho wake umefika Mzee mzima unakula Bata mjini kwakudhulumu mpka wajane,watoto wanasomea pesa zadhulma,Rudi kanisani umatubu Mzee mushi.Huu ukoo Wa mushi unapenda sana hla nautajiri wadhulma.

    • @apolleorevocatus8577
      @apolleorevocatus8577 3 месяца назад

      Kuna ndugu wa ukoo wake anaitwa Ryodes Mushi naye ni mdhulumati wa viwanja na nyumba Arusha kama huyu wa Mbezi Dsm

    • @kwzjkwz3532
      @kwzjkwz3532 2 месяца назад

      ukilikuta kanisani kitambi mbele kutoa sadaka huku likisema vijna hawajui kutafuta hela ila wachaga duh

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

      Kuna mmasi pia yaani ni aibu jmn
      Mpk wajane jmn,🙌😭

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

      ​@@apolleorevocatus8577basi atakua yule aliyekutana na makonda
      Ndo maana nashangaa mbona Majina yaleyale kumbe ni ukoo 1
      Aisee Kuna koo sio kabisa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

      ​@@kwzjkwz3532kabisa tena unakuta lizee la kanisa

  • @victoriamazula5592
    @victoriamazula5592 3 месяца назад +1

    Peter nakuona lo ni miaka mingi sana enzi za NBC. Hongera kwa kupata haki yako

  • @zablonnyanda6095
    @zablonnyanda6095 3 месяца назад +2

    Da?! Huyu mzee Mushi ni noma, Mungu amhurumie kama anafanya Mambo haya bila aibu?! Hii ni dhambi kubwa kwakweli. Watanzania tumuogope Mungu! Utakufa utaziacha mali zote, unatafuta nn binadamu??

  • @khamisjuma1278
    @khamisjuma1278 Месяц назад

    Hongera sana Mr slaa kwa kazi iliyotukuka

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t 3 месяца назад +1

    Hongera Wazir kwa maswali mazur yenyekueleweka

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 2 месяца назад

    Mh Waziri naomba haya maswala ya ardhi heru uyamalize wewe mwenyewe kuliko kuwaambia wananchi waende mahakani wakapate haki yao itakuwa umewaua kwa sababu mahakani ni rushwa kwenda mbele mwenye nazo ndiyo atapewa haki na mwenye haki halisi hapewi kwa sababu hana hela Mungu akibariki mh waziri kwa kazi nzuri

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

    Kwann mataoel wengi wa ardhi ni mushi,mmasi, yaani majina yaliyotrend humu 🙌

  • @ahmadseaman3487
    @ahmadseaman3487 Месяц назад

    masha Allah
    thanks so much

  • @user-fv4zw5ki3x
    @user-fv4zw5ki3x 3 месяца назад

    Nimependa sana mungu akupe maisha marefu mtetezi wa wanyonge

  • @musayosia4081
    @musayosia4081 3 месяца назад

    Mungu akulinde muheshimiwa uendelee kutetea wananchi🙏

  • @shaamemchauru1365
    @shaamemchauru1365 2 месяца назад

    BIG UP JERRY PIGA KAZI HAKUNA UOGA,KUFA MTU ANAKUFA MARA MOJA....

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 2 месяца назад

    Asant waziri mungu akubariki naomba uje arusha

  • @jumaayubumohamedi4813
    @jumaayubumohamedi4813 2 месяца назад

    Bigg up mheshimiwa waziri hon Jerry Slaa

  • @rashiditembo1574
    @rashiditembo1574 3 месяца назад

    Mwenyezi mungu akutangulie waziri,

  • @simulizitanzania2571
    @simulizitanzania2571 3 месяца назад +1

    Sasa Nchi ilivyo ya kipekee,utasikia Jerry amebadilishwa wizara

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc 3 месяца назад

    Asante mama samia

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation 3 месяца назад

    Waziri mzuri sana , muisho mzee Meole amepata hati yake , mzuri sana

  • @salumchoma8731
    @salumchoma8731 3 месяца назад +1

    Kwa ukweli mawaziri wanaoteuliwa na rais ktk wizara hii mungu awajaalie sana kz zenu zinaonekana tangia Lukuvi,na Sasa Jerry silaa

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 3 месяца назад +1

    Yule waziri mabula aliyeondoka ndio alikuwa anapewa hongo na kina mushi! Hongera slaa

  • @brightnjau651
    @brightnjau651 3 месяца назад

    Safi sana Slaa🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 3 месяца назад +1

    Hii ndio awamu bora na ya utendaji na haki Mh. Rais Samia hana mbwembwe ni mtkelezaji na haswa akipata Mtendaji kama alivyo Waziri wake wa Ardhi Mh. Dr. Slaa na wengine.

  • @nkenemalulu1330
    @nkenemalulu1330 3 месяца назад

    Mh. Waziri unawajibika vizuri sana. Kaa ukijua waharifu katika hii Wizara ni wale waliochini yako bila kuwawajibijisha kazi bado. Sababu wao ndio wasabishi wakubwa mwananchi wa kawaida hawezi

  • @laylayl5166
    @laylayl5166 3 месяца назад

    Mama yetu samiha umetupa kiongozi huyu niwaziri mashaallah

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 3 месяца назад

    Waziri mungu akusimamie .umeweza wako wengi kama uyo yaani ni balaaa.

  • @jamhurilibawa6505
    @jamhurilibawa6505 3 месяца назад +1

    Mungu ni mwema kila wakati.

  • @amontv8628
    @amontv8628 3 месяца назад

    Wizara ya aridhi inakufaa mh. Waziri ❤❤❤

  • @user-xo4cs9eu4o
    @user-xo4cs9eu4o 3 месяца назад

    Tanzania inatakiwa kuwa na kina waziri Silaa kila mkoa na wilaya. Hongera waziri Silaa

  • @salummbarouk4216
    @salummbarouk4216 3 месяца назад

    Muheshimiwa mungu akulinde

  • @leahivan6915
    @leahivan6915 2 месяца назад

    Mwenyezi Mungu akutunze waziri.

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 3 месяца назад

    Hongera kiongozi

  • @dotnatajoseph2620
    @dotnatajoseph2620 3 месяца назад

    Huyu wazir ni hazina yetu ya baadae ya nnchi yetu mwenyez mungu amtunze inshallah 🙏

  • @user-jb7nh5pp2e
    @user-jb7nh5pp2e 3 месяца назад

    Magufuli wa pilii Asante waziri

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 3 месяца назад +3

    Wachaga bhana dunia ilishabadilika! Ujanja ujanja wa kuiba ardhi za watu kushirikiana na ndugu zenu walioko wazarani umeisha kaeni kwa kutulia! Pumbavu kabisa!

    • @johnmamuya5398
      @johnmamuya5398 2 месяца назад

      Ndugu@sambulugu9988, huyu Mushi ni mhalifu na anatakiwa ashughulikiwe kama mhalifu na sio kama mchaga

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 4 дня назад

      Aisee too much

  • @user-cy5ck8lh4j
    @user-cy5ck8lh4j 3 месяца назад

    safi sana wazili haki itendeke nawanao tumiya pesa zao wakomeshwe

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 месяца назад

    Mungunni.mwema sana Mungu pekee atakulinda waziri wetu

  • @mohamedimuyugi6249
    @mohamedimuyugi6249 3 месяца назад

    Ongera sana kakaangu

  • @WatsonMwaigaga-uy5jk
    @WatsonMwaigaga-uy5jk 3 месяца назад

    Kijana anafanya kazi. Mama usimwache uyu.

  • @naibalasamoralukumay332
    @naibalasamoralukumay332 2 месяца назад

    Waziri ni genius 🎉

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 месяца назад +2

    SHUKRAN WAZIRI

    • @matukutajuma156
      @matukutajuma156 3 месяца назад

      ASANTE KIJANA HUYO MUSHI ANAONEKANA MJANJAMJANJA WA MAHAKAMA!

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 26 дней назад

    Wachaga ktk ubora wao wa dhuruma za Mali za watu, Huyo ni sehemu Mdogo tu ya dhuruma zao, Sababu kubwa watumishi wengi wa Kichaga wapo wizara ya Ardhi kwa Nini usiwe lahisi kwao kufanya mipango ya kutwaa maeneo kwa udanganyifu!

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 2 месяца назад +1

    Mchagga MWIZI Mpare BAHILI.

  • @EliaEgbert
    @EliaEgbert 3 месяца назад

    Huyu mzee anatowaga rusha silaa mungu akulinde

  • @HannanSomaiyah-wp7ny
    @HannanSomaiyah-wp7ny Месяц назад

    Halafu wanasema yesu wangu,unajimilikisha Ardhi za watu 😮

  • @salimamri6738
    @salimamri6738 3 месяца назад

    Sio Mushi peke yake,wapo Wachaga wengi wavamizi wa ardhi za watu kwa kutumia ubabaishaji na jeuri ya pesa.Asante Waziri Slaa.

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 3 месяца назад +2

    Wachaga ukicheka nao ni wazulumishi balaa 😂

  • @user-px6il1tk9k
    @user-px6il1tk9k 3 месяца назад

    Kwa kweli mungu asimame na wewe hayo yapo mengi sana

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 3 месяца назад +1

    Huyo Mzee Tapel tuuu

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 2 месяца назад

    HONGERA MH.WAZIRI JERRY SLAA.

  • @jumaayubumohamedi4813
    @jumaayubumohamedi4813 2 месяца назад

    Too much background noise, learn how to filter background noise

  • @hassannasir4561
    @hassannasir4561 8 дней назад

    Alafu kwa nini Ni mabwashee Kwa Asilimia Kubwa Ndio Wanaongozaga ktk Utapeli Wa Ardhi

  • @user-rn6ft5yz2l
    @user-rn6ft5yz2l 3 месяца назад

    Ndo viongozi tunaowataka mungu akubariki sana waziri

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 месяца назад +1

    Mpeni ulinzi huyu mtu

  • @karimhasham8259
    @karimhasham8259 3 месяца назад

    Safi sana mimi lkn namsikia huyo mtu anasumbua sana,
    Na hapo ameogopa tu anazo hati zimetiwa kwenye maji ya chai zionekane zilitolewa zamani,
    Hongera sana waziri

  • @mchelekwanza
    @mchelekwanza Месяц назад

    🙌

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 3 месяца назад

    Kuiba kiwanja cha watu ni sio haki kisa una pesa na ujanja ujanja hongera waziri

  • @Worldunite
    @Worldunite 3 месяца назад

    Naomba Mungu tupate viongozi hasa vijana km hawa wenye ari ya kutetea raia km alivyokuwa hayati JPM.
    Huyu anafaa kabisa kutia nia ya kugombea urais miaka ijayo 6:23

  • @mlatambuu6364
    @mlatambuu6364 2 месяца назад

    Sifa ya kwanza ya tapeli, ni kupekua pekua daftari au kuchezea simu wakati akihojiwa 😂😂

  • @sheilamarandu2750
    @sheilamarandu2750 3 месяца назад

    Mungu yupo tumeteseka mno

  • @ismailmuna1604
    @ismailmuna1604 2 месяца назад

    Waziri Ufanyayo Ndio Uwongozi Utakiwavyo Shukran Sana Kwa Utendaji Wako Mola Ndio Atakae Kulipa LAKINI TEMBELEA MIKOWANI UJIONE VIONGOZI WENZAKO WANAVYO DHULUMU WATU ARDHI ZAO NA KUWAPA MABEBERU NA AKITOKEA KIONGOZI MWENZI WAO HAYUKO PAMOJA NA WAO ATAHAMISHWA MARAMOJA ILI WATU WAENDELE KUFANYA YAO WATU WANANYANGANYWA WANADHULUMIWA UKIWEZA KUTEMBEA MIKOANI UTAWASAIDIA SANA WANYONGE ASANTE KWA UTENDAJI WAKO

  • @zafarmohamedy3013
    @zafarmohamedy3013 2 месяца назад

    Huyu jamaaa namkubal sana 😂😂

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад

    uyu mzee katuangaisha sanaaaaa sanaaaaa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 3 дня назад

    Silaaaaa DADEKI

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 месяца назад +1

    Matapeli wanababanishwa

  • @ondieckotoyo1143
    @ondieckotoyo1143 3 месяца назад

    Hii Sawa lakini pia ufike tarime uone malalamiko ya waliyoporwa ardhi zao na wababe na wengine kwa kutumia Baraza la ardhi kilio ni kwa wengi wengine wanazo hati lakini nyumba wanamiliki wengine Hadi eneo iliyokuwa ya kituo cha mafuta ya serekali na shirika la kahawa zote ni mifano Tu ya maeneo yaliyoporwa na matajiri wezi

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 3 месяца назад +1

    The wachaga system popote walipo

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5d 3 месяца назад

    Tusiseme mengi, tusubiri kama kweli atatiwa hatiani na kama waliodhulumiwa viwanja watarudishiwa. Hii ni nchi ya chochote chaweza kutokea.

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 3 месяца назад

    Wale wanaopenda dhuruma utasikikia kwann wasiende mahakani na wakati wanyonge huko mahakaman ndipo wanapodhurumiwa wakiona ni tajiri anaeshitakiwa, mm naona wazir uko sahihi inch hii watu wanaonewa sana ,mungu awe pamoja katika kutetea haki za wenyewe

  • @BahatiMaduhu-jp3cb
    @BahatiMaduhu-jp3cb 3 месяца назад

    Mungu awe nawe waziri

  • @abdirizakibrahim1975
    @abdirizakibrahim1975 3 месяца назад

    Moja kati ya vijana wazalendo katika Taifa letu MUNGU akulinde kijana wetu mzalendo tunakupenda na tunakuombea tunaona maana ya kua kiongozi

  • @ChristopherKiwanga
    @ChristopherKiwanga 2 месяца назад

    Jerry slaa mwamba WA ardhi......mbez,,bagamoyo Kuna mitapeli kama hayo mengi sana

  • @johnmamuya5398
    @johnmamuya5398 2 месяца назад

    Mungu mlinde huyu mja wako ukipenda awe mrithi wa mama SAMIA 2025 tutafika mbali