MAKONDA AMBANA MENEJA WA TARURA, ASHINDWA KUONGEA AONDOLEWA, KUJENGA NA KUTENGENEZA YAIBUA HOJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 73

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 5 месяцев назад +1

    Kiongozi anaysimama kwa ajili ya wananchi yaani yupo ofisini afu amekaa mle kama mwananchi blessed hon makonda

  • @zamunda_king
    @zamunda_king 5 месяцев назад

    Kujenga barabara= building or constructing from scratch hadi barabara kuwekwa lami au tarmac
    Kutengeneza barabara ni kurekebisha au repairing cracks, potholes and resurfacing so that the road is restored to how it was

  • @MussaMabula-vs4ju
    @MussaMabula-vs4ju 5 месяцев назад +3

    Ila makonda upo vizuri sana brother

  • @AbuuKilave
    @AbuuKilave 5 месяцев назад

    Baba makonda mwenyezi mungu akulinde unaijali sana nchi yetu chapa kazi tupo nyuma yako

  • @AbasiMadege-ot2of
    @AbasiMadege-ot2of 5 месяцев назад +2

    Nakubali we uwe raisi nasema Mungu ipo siku utakuwa raisi mama hawezi akapumzika nyumbn acheze na wajukuu vijana waikamate nchi inyooke kama chuma cha reli

  • @hermanmtalo6340
    @hermanmtalo6340 5 месяцев назад +4

    Tatizo kazi za kupeana na wajomba mtu lilifeli wanaachwa wenye viwango anapewa felia kazi kazi yao kunyoa vipara. Kufuga vitambi kichwani no education

  • @innocentandrea6482
    @innocentandrea6482 5 месяцев назад +5

    Barabara inajengwa na mkandarasi,huna akili ndo maana huelewi

    • @perfectpixelsstudio3603
      @perfectpixelsstudio3603 5 месяцев назад +2

      Kwaliyo we unazani mkuu wa mkoa kweli haelewi?? Au wwe ndo huelewi hapo kiongozi wa tarula hawezi kujielezea ndo kitu makonda anashangaa kiongozi kama huyo ataweza vipi kukuelewesha wewe mtanzania wa kawaida uelewe

    • @ShadowScreamStudio
      @ShadowScreamStudio 5 месяцев назад

      Huyu kiongozi wa talula hajitambui hswa ndio waliopewa kazi kwa connection

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 5 месяцев назад +2

    Mbona swali ni jepesi TU 😂jmn inamaana kumbe Kila kitu lazima tufundishwe darasani hahaha 😂

  • @CharlesMgulambwa
    @CharlesMgulambwa 5 месяцев назад

    Makonda jembe lazima mjue hayumbishwi hongela kwamisimamo yako

  • @ramadhanaldawiyya8659
    @ramadhanaldawiyya8659 5 месяцев назад +1

    Abarikiwe MAKONFDA

  • @josephshija4322
    @josephshija4322 5 месяцев назад

    Huyu injinia ana shida, anashindwa kusema kukarabati.....hovyo kabisa

  • @immajohnas5940
    @immajohnas5940 5 месяцев назад

    Mheshimiwa kijijini wananchi wanatengeneza barabara wenyewe bila sapot yeyote

  • @ShadowScreamStudio
    @ShadowScreamStudio 5 месяцев назад

    Daaa.ndio maana mambo hayaendi sawa kabisa kutokana na viongoxi kama hawa

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 5 месяцев назад

    Si aseme tu kukarabati au nakosea jamani ila mzee wa watu amedhalilika sana yan, cku yake haijaenda sawa

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад +2

    Makonda akili ipo yaani uko kama magufuli hutaki janjajanja

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 5 месяцев назад +1

    Akili matope

  • @edisonemmanuel-
    @edisonemmanuel- 5 месяцев назад

    Makonda nakukubali sana viongozi wengine waige mfano kwako

  • @Mfarisayo-k1e
    @Mfarisayo-k1e 5 месяцев назад

    Mwalimu wa Nidhamu😢😢

  • @SangetNgoirien
    @SangetNgoirien 5 месяцев назад

    Kujenga ni kuanza upya na kutengeneza ni kuifanyia marekebisho sehemu zilizo haribika

  • @immajohnas5940
    @immajohnas5940 5 месяцев назад

    Mheshimiwa tembea uone maajabu ya tarura wana kudanganya tu

  • @johnchrisbrown-b5g
    @johnchrisbrown-b5g 5 месяцев назад

    Kumbe Kuna viongozi ambao hatambui majukumu yao aisee! Hakuna viongozi wote vilaza😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @shabanabdalatupa
    @shabanabdalatupa 5 месяцев назад

    Hao ndo watu wenu mnaowateua na kuwalipa mishahara mikubwa hawajui hata tofauti ya kujenga na kutengeneza

  • @ramadhaniseifuledi513
    @ramadhaniseifuledi513 5 месяцев назад

    Kuna watu uelewa mdogo

  • @immajohnas5940
    @immajohnas5940 5 месяцев назад

    Haaaa ujue hapo wamemaliza kodi zetu wamekaa ofisini tu kila kona Arusha kijijini na mji mdogo haifai tembelea Mheshimiwa

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855 5 месяцев назад

    ❤❤❤❤

  • @KhalfanShaban-x4x
    @KhalfanShaban-x4x 5 месяцев назад

    Dah! Huyo ndio manager tarura mkoa...

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 5 месяцев назад

    5:01 nipewe mimi hii idara hajui huyu mjinga sana.Jukumu kubwa kujenga na kukarabati aliejenga nani.Watakuma kwa makonda

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад +1

    Makonda kwakeeli umecheleea

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад

    Makonda unatufaidisha sana kwamaswali

  • @ibrahimame9805
    @ibrahimame9805 5 месяцев назад

    Viongozi wa ccm wapiga dili

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 5 месяцев назад

    Nyinyi mnasimamia,mnatengeneza?

  • @SaidiKidika
    @SaidiKidika 5 месяцев назад

    Tarura ingefutwa tu,barabara zote nchini zihudumiwe na tanroad.

  • @JamesMasicho
    @JamesMasicho 5 месяцев назад

    Kiswahili kigumu

  • @deonatusdaud4640
    @deonatusdaud4640 5 месяцев назад

    huwa nashindwa kuelewa n kwanni watu wanamchukia makonda...

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 5 месяцев назад

    Makonda makonda

  • @masoudsalum
    @masoudsalum 5 месяцев назад

    Et kidiwani mh jamaa anadharau sana

  • @perfectpixelsstudio3603
    @perfectpixelsstudio3603 5 месяцев назад

    Kutengeneza ni kukarabati kujenga ni kuanza tangu hakuna Barabara mpaka pawe panapitika Sasa wanababaika Nini wizi tu unewajaaa mpaka haelewi

  • @georgeoberlin4667
    @georgeoberlin4667 5 месяцев назад

    Kama namfeel uyo meneja wa tarura jamanii

  • @mosesmzakwe7774
    @mosesmzakwe7774 5 месяцев назад

    Huyu meneja Wa Tarura ni Box kabisa

  • @alexvenas2699
    @alexvenas2699 5 месяцев назад

    Kama huyo ndo manager anajichanganya hivyo je wachini yake?😂😂

  • @AbuuKilave
    @AbuuKilave 5 месяцев назад

    Mama hajakosea kabisa mama kaona mbali

  • @lushiligolegwa4025
    @lushiligolegwa4025 5 месяцев назад

    Huyu mzee WA tarura ni kichwanaji😅😅

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 5 месяцев назад +1

    Mimi niko tofauti . Nahisi ni namna mtu unavotaka kuelewa . Sioni kosa la mtaalamu wa tarura

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 5 месяцев назад

    Kidiwani.mtakoma kwa makonda meneja utakoma.Nani anajenga barabara na nani anakarabati hahaha

  • @jumayamlongakahabi4960
    @jumayamlongakahabi4960 5 месяцев назад

    nafas alchomekwa na namjomba wake hao ndo wasomi wa nchihii

  • @evansokemwa6587
    @evansokemwa6587 5 месяцев назад

    makonda kuwachanganya hawa viongozi😅😅😅

  • @nth3512
    @nth3512 5 месяцев назад +4

    Apo makonda umevuka mipaka, umekuwa too much, thus is harmful. Ishu ya kunyoosha maelezo sio ishu ya kukomalia km vile mtu kuna kosa kafanya. Hayo ni maelezo tu na huwenda umemuelewa na unayajua majukum yake, haina haja ya kufanya km fimbo. Ishu ndog km hizo ignore na kuwa mwenye busara sio kuanzisha mijadara isiyo na ulazima na kuvunjia watu heshima. Labda km kungekuwa na makosa yametendeka. Si vizuri kupprove watu wrong wakati madhaifu ni ya kibinafsi na hayana madhara kwa wananchi na miradi yao.

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 5 месяцев назад

      Acha Makonda afanye kazi

    • @zacharialameck1980
      @zacharialameck1980 5 месяцев назад +1

      Mependa sana ndg ulivyofafanua yaan kiongozi haitakiwi kuulza mwenzio kwa kujiskia na kujishaua kiasi hicho maana km Engineer hajui majukum yke amewezaje kufanya kazi kwa muda mrefu hivo hapana huu niuzalilishaji mwenyewe huo mjadala sjapenda namna alivyo uongoza hawatendei haki watumishi wachini yke awe nakias anapojadili mambo ya msingi mbele ya umma km huu.

  • @joycemshana4028
    @joycemshana4028 5 месяцев назад

    😅😅

  • @prosperkonokono9385
    @prosperkonokono9385 5 месяцев назад

    ila jamaa wa talura ana roho ngumu .ingekuwa mm ningesusa

  • @officialfestochimulimuli9426
    @officialfestochimulimuli9426 5 месяцев назад

    ruclips.net/video/AirjxNk9O0A/видео.htmlfeature=shared
    Makonda yamkuta mazito tazama ujionee

  • @king_maik6375
    @king_maik6375 5 месяцев назад

    😂

  • @careenworksgroup
    @careenworksgroup 5 месяцев назад

    Anawapima akili

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx 5 месяцев назад

    Makonda watakukoma kwakwel kazi wanayo

  • @mwitoremwita3567
    @mwitoremwita3567 5 месяцев назад

    Hujampaa nafasi ya kueleza had mwisho badala yake umeanza kumtafutia makosa hapo sio sawa sijaona kosa kwa manager hapo

    • @kasimhaji8639
      @kasimhaji8639 5 месяцев назад

      hapo wanajadili.sioni kosa

    • @shabanabdalatupa
      @shabanabdalatupa 5 месяцев назад

      Inawezekana we ndo walewale kama huyo tu

  • @nikundiweamosi5087
    @nikundiweamosi5087 5 месяцев назад

    Style ya magu kudhalilisha sio dili wazee mtakufa na presha

  • @barikimollel7890
    @barikimollel7890 5 месяцев назад

    Kuna Sehemu korofi pia zinahitaji madaraja Hivyo mtusaidie wanannchi tunateseka Mfano Kisongo hii Barabara ya Kwenda Bethany Tarura tunateseka Sana mjue Hilo tumechanga Kutengeneza mpaka Sasa tumechoka

  • @MohammedAlnaamani-vu2zr
    @MohammedAlnaamani-vu2zr 5 месяцев назад

    Huyu mkuu wa mkoa arudishwe shuleni.

  • @lushiligolegwa4025
    @lushiligolegwa4025 5 месяцев назад +1

    Zero brain

    • @MadilishaSimon-sb9kk
      @MadilishaSimon-sb9kk 5 месяцев назад +1

      Acha ujinga wewe kakojoe ulale inshu za wakubwa huziwezi

    • @bulugubujashi6378
      @bulugubujashi6378 5 месяцев назад

      Vitu vinavyouliza ndugu yangu hata wewe huvielewi kabisa,nibora utulie sio kusema ana zero brain

    • @janethpallangyo3855
      @janethpallangyo3855 5 месяцев назад

      Kaa kimya

    • @perfectpixelsstudio3603
      @perfectpixelsstudio3603 5 месяцев назад

      Makonda akili bukwa Sana sema Kuna akili ndogo haiwezi kukuelewa huyu jamaaa maneno ya huyo jamaaa wa tarula humo humo ndani kila mtu anamuelewa tofauti
      Yani hapo alitakiwa kusema yeye anakarabati tu Barabara sio kutengeneza Barabara Yani makonda Yuko sahihi skabisa
      Huwezi ukapewa jukumu la ukarabati wa kitu alafu usijue anaetengeneza ni nani na kama ilitakiwa kuwajibika nani anatakiwa kuwajibika jamaa ndo anashindwa kuelezea hicho kitu 😂😂😂😂😂😂

  • @AndreaDaud-k2c
    @AndreaDaud-k2c 5 месяцев назад

    Nakukubali kaka Ipo siku ambao hawakielewi watakukumbuka

  • @ClaudCarlos
    @ClaudCarlos 5 месяцев назад

    We watukane tu hawoo mambumbuu

  • @deodathrobertquacker3879
    @deodathrobertquacker3879 5 месяцев назад

    Duuuu