Kujenga barabara= building or constructing from scratch hadi barabara kuwekwa lami au tarmac Kutengeneza barabara ni kurekebisha au repairing cracks, potholes and resurfacing so that the road is restored to how it was
Nakubali we uwe raisi nasema Mungu ipo siku utakuwa raisi mama hawezi akapumzika nyumbn acheze na wajukuu vijana waikamate nchi inyooke kama chuma cha reli
Kwaliyo we unazani mkuu wa mkoa kweli haelewi?? Au wwe ndo huelewi hapo kiongozi wa tarula hawezi kujielezea ndo kitu makonda anashangaa kiongozi kama huyo ataweza vipi kukuelewesha wewe mtanzania wa kawaida uelewe
Apo makonda umevuka mipaka, umekuwa too much, thus is harmful. Ishu ya kunyoosha maelezo sio ishu ya kukomalia km vile mtu kuna kosa kafanya. Hayo ni maelezo tu na huwenda umemuelewa na unayajua majukum yake, haina haja ya kufanya km fimbo. Ishu ndog km hizo ignore na kuwa mwenye busara sio kuanzisha mijadara isiyo na ulazima na kuvunjia watu heshima. Labda km kungekuwa na makosa yametendeka. Si vizuri kupprove watu wrong wakati madhaifu ni ya kibinafsi na hayana madhara kwa wananchi na miradi yao.
Mependa sana ndg ulivyofafanua yaan kiongozi haitakiwi kuulza mwenzio kwa kujiskia na kujishaua kiasi hicho maana km Engineer hajui majukum yke amewezaje kufanya kazi kwa muda mrefu hivo hapana huu niuzalilishaji mwenyewe huo mjadala sjapenda namna alivyo uongoza hawatendei haki watumishi wachini yke awe nakias anapojadili mambo ya msingi mbele ya umma km huu.
Kuna Sehemu korofi pia zinahitaji madaraja Hivyo mtusaidie wanannchi tunateseka Mfano Kisongo hii Barabara ya Kwenda Bethany Tarura tunateseka Sana mjue Hilo tumechanga Kutengeneza mpaka Sasa tumechoka
Makonda akili bukwa Sana sema Kuna akili ndogo haiwezi kukuelewa huyu jamaaa maneno ya huyo jamaaa wa tarula humo humo ndani kila mtu anamuelewa tofauti Yani hapo alitakiwa kusema yeye anakarabati tu Barabara sio kutengeneza Barabara Yani makonda Yuko sahihi skabisa Huwezi ukapewa jukumu la ukarabati wa kitu alafu usijue anaetengeneza ni nani na kama ilitakiwa kuwajibika nani anatakiwa kuwajibika jamaa ndo anashindwa kuelezea hicho kitu 😂😂😂😂😂😂
Kiongozi anaysimama kwa ajili ya wananchi yaani yupo ofisini afu amekaa mle kama mwananchi blessed hon makonda
Kujenga barabara= building or constructing from scratch hadi barabara kuwekwa lami au tarmac
Kutengeneza barabara ni kurekebisha au repairing cracks, potholes and resurfacing so that the road is restored to how it was
Ila makonda upo vizuri sana brother
Baba makonda mwenyezi mungu akulinde unaijali sana nchi yetu chapa kazi tupo nyuma yako
Nakubali we uwe raisi nasema Mungu ipo siku utakuwa raisi mama hawezi akapumzika nyumbn acheze na wajukuu vijana waikamate nchi inyooke kama chuma cha reli
Tatizo kazi za kupeana na wajomba mtu lilifeli wanaachwa wenye viwango anapewa felia kazi kazi yao kunyoa vipara. Kufuga vitambi kichwani no education
Barabara inajengwa na mkandarasi,huna akili ndo maana huelewi
Kwaliyo we unazani mkuu wa mkoa kweli haelewi?? Au wwe ndo huelewi hapo kiongozi wa tarula hawezi kujielezea ndo kitu makonda anashangaa kiongozi kama huyo ataweza vipi kukuelewesha wewe mtanzania wa kawaida uelewe
Huyu kiongozi wa talula hajitambui hswa ndio waliopewa kazi kwa connection
Mbona swali ni jepesi TU 😂jmn inamaana kumbe Kila kitu lazima tufundishwe darasani hahaha 😂
Makonda jembe lazima mjue hayumbishwi hongela kwamisimamo yako
Abarikiwe MAKONFDA
Huyu injinia ana shida, anashindwa kusema kukarabati.....hovyo kabisa
Mheshimiwa kijijini wananchi wanatengeneza barabara wenyewe bila sapot yeyote
Daaa.ndio maana mambo hayaendi sawa kabisa kutokana na viongoxi kama hawa
Si aseme tu kukarabati au nakosea jamani ila mzee wa watu amedhalilika sana yan, cku yake haijaenda sawa
Makonda akili ipo yaani uko kama magufuli hutaki janjajanja
Akili matope
Makonda nakukubali sana viongozi wengine waige mfano kwako
Mwalimu wa Nidhamu😢😢
Kujenga ni kuanza upya na kutengeneza ni kuifanyia marekebisho sehemu zilizo haribika
Mheshimiwa tembea uone maajabu ya tarura wana kudanganya tu
Kumbe Kuna viongozi ambao hatambui majukumu yao aisee! Hakuna viongozi wote vilaza😂😂😂😂😂😂😂😂
Hao ndo watu wenu mnaowateua na kuwalipa mishahara mikubwa hawajui hata tofauti ya kujenga na kutengeneza
Kuna watu uelewa mdogo
Haaaa ujue hapo wamemaliza kodi zetu wamekaa ofisini tu kila kona Arusha kijijini na mji mdogo haifai tembelea Mheshimiwa
❤❤❤❤
Dah! Huyo ndio manager tarura mkoa...
5:01 nipewe mimi hii idara hajui huyu mjinga sana.Jukumu kubwa kujenga na kukarabati aliejenga nani.Watakuma kwa makonda
Makonda kwakeeli umecheleea
Makonda unatufaidisha sana kwamaswali
Viongozi wa ccm wapiga dili
Nyoosha hao
Nyinyi mnasimamia,mnatengeneza?
Tarura ingefutwa tu,barabara zote nchini zihudumiwe na tanroad.
Kiswahili kigumu
huwa nashindwa kuelewa n kwanni watu wanamchukia makonda...
Makonda makonda
Et kidiwani mh jamaa anadharau sana
Kutengeneza ni kukarabati kujenga ni kuanza tangu hakuna Barabara mpaka pawe panapitika Sasa wanababaika Nini wizi tu unewajaaa mpaka haelewi
Kama namfeel uyo meneja wa tarura jamanii
Huyu meneja Wa Tarura ni Box kabisa
Kama huyo ndo manager anajichanganya hivyo je wachini yake?😂😂
Mama hajakosea kabisa mama kaona mbali
Huyu mzee WA tarura ni kichwanaji😅😅
Mimi niko tofauti . Nahisi ni namna mtu unavotaka kuelewa . Sioni kosa la mtaalamu wa tarura
Kidiwani.mtakoma kwa makonda meneja utakoma.Nani anajenga barabara na nani anakarabati hahaha
nafas alchomekwa na namjomba wake hao ndo wasomi wa nchihii
makonda kuwachanganya hawa viongozi😅😅😅
Apo makonda umevuka mipaka, umekuwa too much, thus is harmful. Ishu ya kunyoosha maelezo sio ishu ya kukomalia km vile mtu kuna kosa kafanya. Hayo ni maelezo tu na huwenda umemuelewa na unayajua majukum yake, haina haja ya kufanya km fimbo. Ishu ndog km hizo ignore na kuwa mwenye busara sio kuanzisha mijadara isiyo na ulazima na kuvunjia watu heshima. Labda km kungekuwa na makosa yametendeka. Si vizuri kupprove watu wrong wakati madhaifu ni ya kibinafsi na hayana madhara kwa wananchi na miradi yao.
Acha Makonda afanye kazi
Mependa sana ndg ulivyofafanua yaan kiongozi haitakiwi kuulza mwenzio kwa kujiskia na kujishaua kiasi hicho maana km Engineer hajui majukum yke amewezaje kufanya kazi kwa muda mrefu hivo hapana huu niuzalilishaji mwenyewe huo mjadala sjapenda namna alivyo uongoza hawatendei haki watumishi wachini yke awe nakias anapojadili mambo ya msingi mbele ya umma km huu.
😅😅
ila jamaa wa talura ana roho ngumu .ingekuwa mm ningesusa
😂😂😂😂
ruclips.net/video/AirjxNk9O0A/видео.htmlfeature=shared
Makonda yamkuta mazito tazama ujionee
😂
Anawapima akili
Makonda watakukoma kwakwel kazi wanayo
Hujampaa nafasi ya kueleza had mwisho badala yake umeanza kumtafutia makosa hapo sio sawa sijaona kosa kwa manager hapo
hapo wanajadili.sioni kosa
Inawezekana we ndo walewale kama huyo tu
Style ya magu kudhalilisha sio dili wazee mtakufa na presha
Kuna Sehemu korofi pia zinahitaji madaraja Hivyo mtusaidie wanannchi tunateseka Mfano Kisongo hii Barabara ya Kwenda Bethany Tarura tunateseka Sana mjue Hilo tumechanga Kutengeneza mpaka Sasa tumechoka
Huyu mkuu wa mkoa arudishwe shuleni.
Zero brain
Acha ujinga wewe kakojoe ulale inshu za wakubwa huziwezi
Vitu vinavyouliza ndugu yangu hata wewe huvielewi kabisa,nibora utulie sio kusema ana zero brain
Kaa kimya
Makonda akili bukwa Sana sema Kuna akili ndogo haiwezi kukuelewa huyu jamaaa maneno ya huyo jamaaa wa tarula humo humo ndani kila mtu anamuelewa tofauti
Yani hapo alitakiwa kusema yeye anakarabati tu Barabara sio kutengeneza Barabara Yani makonda Yuko sahihi skabisa
Huwezi ukapewa jukumu la ukarabati wa kitu alafu usijue anaetengeneza ni nani na kama ilitakiwa kuwajibika nani anatakiwa kuwajibika jamaa ndo anashindwa kuelezea hicho kitu 😂😂😂😂😂😂
Nakukubali kaka Ipo siku ambao hawakielewi watakukumbuka
We watukane tu hawoo mambumbuu
Duuuu