TIMBWILI KALI BUNGENI, MZOZO WA KUTISHA/ MBUNGE WA PASSPORT KUINGIA ZANZIBAR AKATAA SIO MTANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 май 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 593

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 28 дней назад +18

    Lisu ni mkweli sana

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 29 дней назад +26

    ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "

    • @user-nt3my1jf9t
      @user-nt3my1jf9t 28 дней назад

      Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances 28 дней назад +2

      inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir 27 дней назад

      Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake​@@JacksonFrances

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 25 дней назад +1

      @@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.

    • @JacksonFrances
      @JacksonFrances 25 дней назад +3

      @@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua,
      CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 29 дней назад +35

    Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.

    • @omaryjumas6327
      @omaryjumas6327 29 дней назад +5

      Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi.
      Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana?
      Jibu swali bwege we.

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 29 дней назад +3

      Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!

    • @user-xe1im9tt1z
      @user-xe1im9tt1z 28 дней назад +2

      Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar

    • @talibsaid8096
      @talibsaid8096 28 дней назад

      Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 28 дней назад

      @@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 29 дней назад +17

    Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...

  • @shaviercharvinho18
    @shaviercharvinho18 28 дней назад +12

    Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 29 дней назад +5

    Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.

  • @celestinaregi
    @celestinaregi 29 дней назад +10

    Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂

  • @hassanhass1721
    @hassanhass1721 20 часов назад

    Safi sana muheshi tuko pamoja kaza kamba hataka wengine tuko Kenya but tuko wote hatutaki muungano tena wabaki na utanganyika wao tubaki na Zanzibar yetu

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 22 дня назад +4

    Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 12 дней назад

      Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.

    • @huriyaomar3313
      @huriyaomar3313 12 дней назад

      UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!

  • @jumasaid2792
    @jumasaid2792 29 дней назад +5

    Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.

  • @erickchaula5084
    @erickchaula5084 28 дней назад +13

    Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu

    • @faridmohammad3801
      @faridmohammad3801 24 дня назад

      Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj 12 дней назад +1

      Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez

    • @Pemba680
      @Pemba680 8 дней назад

      😂😂😂😂😂😂endeleeni tu kujiita Watanzania

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 15 часов назад

      ​@@SalumJuma-iz2gjmmejazana bara

    • @SalumJuma-iz2gj
      @SalumJuma-iz2gj 15 часов назад

      @@FridayMwassa sindio tuna watajirisha

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 День назад

    " Abrave and honest hounerable member of parliament representing the interests of this romantic, beautiful island! Hata Mombasa na Pwani ya Kenya has the same problem! Kuna ukabila, ubaguzi, ufisadi wa kila aina! Serikali zinaongozwa ni watu kutoka bara zinabagua wenyeji wa pwani na kisha sisi ndio tunautajiri/ Uchumi mzuri! Nahisi siku moja kenya itagawanyika kwani tuliunganishwa ni wakoloni na hatukutaka kamwe kuwa na ushirika na Nairobi! Isitoshe, tuliunganishwa kwa miaka 50 na mkataba ukaisha 2013!! Love from Mombasa!!

  • @IsidoreMakutu
    @IsidoreMakutu 28 дней назад +5

    Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 26 дней назад +15

    Wazanzibari wabaguzi sana

    • @SoudShuraim
      @SoudShuraim 25 дней назад +1

      Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa

    • @kassim1262
      @kassim1262 24 дня назад +1

      Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 23 дня назад +2

      SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU

    • @bellalygeomecky1145
      @bellalygeomecky1145 16 дней назад +2

      Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 14 дней назад +1

      Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes

  • @khanifamussa2554
    @khanifamussa2554 23 дня назад +1

    Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania

  • @Pemba680
    @Pemba680 8 дней назад +1

    Mh mohd issa yupo sawa

  • @HafidhKhamis-ph8qg
    @HafidhKhamis-ph8qg 22 дня назад +2

    Safii mbunge

  • @user-xe1im9tt1z
    @user-xe1im9tt1z 29 дней назад +5

    Tanzania ina mazombi sio watu

  • @bikoolaizer2737
    @bikoolaizer2737 4 дня назад +1

    Kwa hiyo Zanzibar ni mkoa?????

  • @augustinemainde
    @augustinemainde 29 дней назад +1

    Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni

  • @user-nm5sn2vr8c
    @user-nm5sn2vr8c 28 дней назад +1

    Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie

  • @christinamselle4490
    @christinamselle4490 6 дней назад

    Leteni hoja za kulijenga Taifa acheni kucheza na Kodi za Wanzania bungeni, unapoteza muda kwa sababu hauna cha kuchangia. Jamani😳!!!

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc 29 дней назад +4

    Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.

    • @camilomassao8971
      @camilomassao8971 29 дней назад

      Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili

  • @ashahamad-mq3iz
    @ashahamad-mq3iz 29 дней назад +5

    Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 22 дня назад

      Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi

    • @babazizu1255
      @babazizu1255 22 дня назад

      Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 29 дней назад +4

    Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa

  • @MsanangoMwalabu-rx1oo
    @MsanangoMwalabu-rx1oo 12 дней назад

    Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 29 дней назад +25

    Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!

    • @ibrahimame9805
      @ibrahimame9805 29 дней назад +4

      Hatuna Imani na wanyamwezi

    • @user-pm7yo3xi3h
      @user-pm7yo3xi3h 29 дней назад +2

      Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 29 дней назад +1

      Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki

    • @alihaji215
      @alihaji215 28 дней назад

      Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako

    • @user-cq4lp5rv1l
      @user-cq4lp5rv1l 25 дней назад +2

      Mzanzibar gan weye

  • @BonaBonala-bp5qm
    @BonaBonala-bp5qm 21 день назад +1

    Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake

  • @JumaSalim-bd1ff
    @JumaSalim-bd1ff 22 дня назад +1

    Safi Sanaa mbungunge w konde

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g 29 дней назад +5

    Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 28 дней назад +1

    Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l 29 дней назад +10

    Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini
    Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar,
    Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????

    • @shaviercharvinho18
      @shaviercharvinho18 28 дней назад

      Watanganyika wanatung'ang'ania wazanzibar sijui kwanini

  • @abdultour1647
    @abdultour1647 28 дней назад +1

    Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 28 дней назад +4

    Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 23 дня назад

      TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 12 дней назад

    Siyo Nchi mmoja ni Nchi mbili. Wacheni ubaguzi.

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 16 дней назад

    Sisi wazanzibar hatutaki Muungano hauna faida na sisi, tatizo lenu mkiitwa watanganyika ndo mnasema mnabaguliwa

  • @soundmale
    @soundmale 3 дня назад

    Mwinyi.magufuli.mkapa. wangekuwepo hii hoja isingetokea kabisa heshima ya muungano inaelekea kukosa nidhamu😢

  • @hassanhass1721
    @hassanhass1721 20 часов назад

    Wazanzibar na watanganyika sio wamoja wacheni kujipendekeza hatuwataki tena watanganyika kuja Zanzibar huyo mbunge muacheni aongee musimkatizie muda wake hatuna umoja na watanganyika na wala hatuna haja na watangika kwendendeni mbele mbele huko

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 27 дней назад +1

    Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 23 дня назад

      KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 21 день назад +1

    Mashallah

  • @hassansingano1150
    @hassansingano1150 11 дней назад

    Kaa chini

  • @RawsonNkini
    @RawsonNkini 3 дня назад

    Mtaelewa tuu maana hamjui kitu mpaka msikie

  • @adamyussuf1678
    @adamyussuf1678 27 дней назад +2

    ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa

    • @abdullahmanalex2306
      @abdullahmanalex2306 22 дня назад

      Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar

  • @Mmdttt6653
    @Mmdttt6653 22 дня назад +2

    Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 29 дней назад +2

    Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?

  • @AguliSimchimba-fq7ep
    @AguliSimchimba-fq7ep 4 дня назад

    Mna nini ambacho mnajivunia huko zanzibar,mbaki pekeyenu baharini muone.Someni history ya zanzibar kiundani na location yake.Kama hamtavuliwa nguo

  • @zengomikomangwa9264
    @zengomikomangwa9264 29 дней назад +3

    Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.

    • @FeymaarOfficially-uu4nr
      @FeymaarOfficially-uu4nr 29 дней назад +1

      Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru

    • @LUBAINAMOHDRAJAB
      @LUBAINAMOHDRAJAB 28 дней назад +1

      Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane

    • @hilalalhabsi2047
      @hilalalhabsi2047 23 дня назад

      KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 20 дней назад

      Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.

    • @TheresiaAndrea-hv9dg
      @TheresiaAndrea-hv9dg 20 дней назад

      ​@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino 28 дней назад +1

    Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.

    • @AhmedZahor
      @AhmedZahor 14 дней назад

      Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gj 14 дней назад

    Lakini kweli sisi wazanzibar tunawabagua sana wanyamwezi tunawalimisha tuu halafu hatukubali watoto wetu kuolewa na wanyamwez

  • @madoiedo_nalis
    @madoiedo_nalis 29 дней назад +4

    Nyie ndio mna tubagua sisi

  • @johnalto2619
    @johnalto2619 23 дня назад +1

    Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 дня назад

    NAHAPO HAMGUNDUI CCM hamuoni Kama mnajipendekeza?

  • @epaphraslugendo8790
    @epaphraslugendo8790 29 дней назад

    😂😂😂 aisee nimecheka sana Leo.

  • @EarnestMwangombola-iv7hr
    @EarnestMwangombola-iv7hr 14 дней назад

    Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.

  • @RajabKhamis-il5to
    @RajabKhamis-il5to 16 дней назад

    Ww mbunge Malaya wa Tanganyika Kwa nn msingie na passport sisi hatumutaki huku Zanzibar watanganyika kumamazenu manyamwezi

  • @nabilasaidkhalfan4401
    @nabilasaidkhalfan4401 22 дня назад +1

    Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo

    • @JIWE-G-UNIT
      @JIWE-G-UNIT 21 день назад

      Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana

    • @BennyJumah-hd8yf
      @BennyJumah-hd8yf 18 дней назад

      Akili hunaa

  • @user-hn6kv6xe7m
    @user-hn6kv6xe7m 25 дней назад

    Mbunge huraaaa 💪👏👏👏

  • @MkatorikiOg
    @MkatorikiOg 18 дней назад

    Wanamkopi sana Roma mkatoriki

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 12 дней назад

    Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.

  • @HamisiMwalimu-pp9ci
    @HamisiMwalimu-pp9ci 12 дней назад

    Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine

  • @user-mk6my3gb4s
    @user-mk6my3gb4s 21 день назад

    Kweliii

  • @user-vk4zb8fo9u
    @user-vk4zb8fo9u 14 дней назад

    Uyu sio mbunge uyo msengetu

  • @AbdulrahmanSalum-vs4jd
    @AbdulrahmanSalum-vs4jd 12 дней назад

    Muungano usivunjike lakin passport muhim

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 21 день назад

    Dada umetisha sana juu ya passport

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu 29 дней назад +1

    Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike

  • @user-pn7fk7xx5x
    @user-pn7fk7xx5x 10 дней назад

    Wewe mwenyewe mbaguzi mbunge mpumbavu tu.

  • @user-mk6my3gb4s
    @user-mk6my3gb4s 21 день назад

    Paspoti muhimu bwanaaa

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 21 день назад

    Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 дня назад

    Risu Yuko sahihiiiiii kumbee

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 28 дней назад +1

    Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shehafa
    @shehafa 18 дней назад

    Tanganyika sis mazuzu 😅😅😅😅 wale wako na rais wao kwanin hatuna rais wa watanganyika😅😅😅

  • @issakwisamwasanjobe541
    @issakwisamwasanjobe541 28 дней назад +1

    Msipoachana na sera ya uwekezaji mtaliangamiza taifa kwasababu ni aibu kutuletea wawekezaji na wabia watuletee ufanisi kwakisingizio wtz hawana

  • @ahangfaith1180
    @ahangfaith1180 13 дней назад

    Nikwli mbunge asnt mungu akulinde na watanganyika wanasema kwl

    • @ahangfaith1180
      @ahangfaith1180 13 дней назад

      Ikiwezekana waufute tu muungano tmechoka wazanzibar kwa maneno ya watu wabara

  • @issaakena1970
    @issaakena1970 22 дня назад

    Bwiga kabisa huyo fala…tena choko

  • @danielonyango7234
    @danielonyango7234 29 дней назад +1

    Zama za giza ziliisha kitambo, it is just the matter of time

  • @AbeidMabrouk-yu7iy
    @AbeidMabrouk-yu7iy 13 дней назад

    Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika

  • @user-vz3bb3ch3z
    @user-vz3bb3ch3z 18 дней назад

    Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 14 дней назад

    Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu.
    Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r 28 дней назад

    Me ni Mtanganyika kwanzia leo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 4 дня назад

    Nayeye aonyeshe pasipoti

  • @user-yw5ix9gg4d
    @user-yw5ix9gg4d 25 дней назад

    Siyo mtanganyika we

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 29 дней назад +2

    Kumbe wazanzibar ndivyo walivyo ndio maana

  • @BonifasiAmosi
    @BonifasiAmosi 28 дней назад +1

    Ccm ndo uwelewa wao umeishia hapo

  • @paulmbogela5147
    @paulmbogela5147 28 дней назад +1

    Huyu mbunge mjinga sana

  • @charlesvitukohaviishimadal2958
    @charlesvitukohaviishimadal2958 29 дней назад +3

    mbona hana hoja anavioja

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 29 дней назад +1

      Ndiyo mwakilishi wa wananchi na hoja za hovyo

  • @mosesjacksonkarashani2642
    @mosesjacksonkarashani2642 28 дней назад

    Hawa waunguja hawajielewi kumbe! 😂😂😂😂

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 18 дней назад

    Siku hizi sina haja ya kuangalia au kwenda kubana movie, nasubiri kipindi cha bunge kikinipita nafungua RUclips natafuta episode mpya ya Bunge.😂😂😂.

  • @wakayakaya6
    @wakayakaya6 23 дня назад

    Ubaguzi upo sana tena ukichukua kitu kutoka Mzanzibari kuingia nacho hapa kwetu ni taabu kweli bora uingie na dawa za kulevia

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 22 дня назад

    Uhuru niwenu Nyinyi qatanganyika

  • @fredducaunt
    @fredducaunt 20 дней назад

    Naona wazanzibari wanasema wanadhulumiwa
    Nataka kujua wanafhuliwa wapi

  • @abiudkarume938
    @abiudkarume938 29 дней назад +1

    Tuachane muungano wa nn kama watu awataki wa nn kuwang'ang'ania

  • @AbduliHalim
    @AbduliHalim 23 дня назад

    Sio ktu kimoja nyinyi mnazaa ovyo halafu halafu mnaowana

  • @AbrahamSekuza
    @AbrahamSekuza 8 дней назад

    Masauni hatoshi nimbabaishaji

  • @user-gv8kv2zd6x
    @user-gv8kv2zd6x 22 дня назад

    Huyu mbunge nikuma kweli

  • @babazizu1255
    @babazizu1255 22 дня назад

    Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu

  • @allymsellem5353
    @allymsellem5353 18 дней назад

    passport iwepo ndio leo znz imeoza watu waingia tuu umalaya pombe wizi

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 11 дней назад

    Munajiita wazanzibar tukiwaita sisi tunawabagua

  • @apostlejacksonkalinga5191
    @apostlejacksonkalinga5191 23 дня назад

    Mbona viti Bungeni viko wazi sanaaa.

  • @KijahboyChita
    @KijahboyChita 28 дней назад

    Wazanzibar ndo wabaguz Sana koo mm Zanzibar siipend kabisayan bora muungano uvunjike tu

    • @user-nt3my1jf9t
      @user-nt3my1jf9t 28 дней назад

      Hakuna kitu ninachokichukia ktk maisha yang km watanganyika mana ni matapel wezi washenz Wana Killa aina ya ushenz

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 28 дней назад +1

    WA ZANZIBAR TUNAANZA UPYAAAAAAAAAAAAAAAA.