ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua, CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi. Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana? Jibu swali bwege we.
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
Safi sana muheshi tuko pamoja kaza kamba hataka wengine tuko Kenya but tuko wote hatutaki muungano tena wabaki na utanganyika wao tubaki na Zanzibar yetu
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
" Abrave and honest hounerable member of parliament representing the interests of this romantic, beautiful island! Hata Mombasa na Pwani ya Kenya has the same problem! Kuna ukabila, ubaguzi, ufisadi wa kila aina! Serikali zinaongozwa ni watu kutoka bara zinabagua wenyeji wa pwani na kisha sisi ndio tunautajiri/ Uchumi mzuri! Nahisi siku moja kenya itagawanyika kwani tuliunganishwa ni wakoloni na hatukutaka kamwe kuwa na ushirika na Nairobi! Isitoshe, tuliunganishwa kwa miaka 50 na mkataba ukaisha 2013!! Love from Mombasa!!
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar, Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
Wazanzibar na watanganyika sio wamoja wacheni kujipendekeza hatuwataki tena watanganyika kuja Zanzibar huyo mbunge muacheni aongee musimkatizie muda wake hatuna umoja na watanganyika na wala hatuna haja na watangika kwendendeni mbele mbele huko
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu
Lisu ni mkweli sana
ILA JAMANI WATANGANYIĶA TUNATAWALIWA KIENYEJI SANA JAMANI.WANANCHI TUAMKE KUTETEA UTAIFA WETU VINGINEVYO NCHI INAUZWA JAMANÌ na NCHI INA HALIMBAYA KIUCHUMI,, KISIASA na KIJAMII "
Ww mvutu kweli itauzwa na Nan?
inauzwa na CCM Wenzio Wasiolitakia mema Taifa Letu Rushwa na Ufisadi Huoni Vimetapakaa kila kona au ??"
Suala hili mlaumuni julius nyerere alieikataa Tanganyika kuwa na serikali yake@@JacksonFrances
@@JacksonFrances KWANI HAO MAFISADI NI CCM PEKE YAO??? WEWE UKIPATA UPENYO WA KUIBA UTAIBA NA RUSHWA UTAPOKEA USIJIFANYE MALAIKA.
@@salimmalaka256 Acha Kuchukulia Kwamba Watu Wote Wana tabia Za Kishenzi Pasipokuwajua,
CCM Wametufikisha Pabaya Sana Haijawahi kutokea Kwahiyo Ni Wakati Wao Kuachia Na Kukaa Pembeni Kabla Mabaya Hayajatokea "
Kumbe TUNDU LISU yuko sahihi kabisa kusema kuwa Wazanzibar sio Watanzania.
Kumbe tukisema kwamba Watanganyika wengi wamefanywa wajinga kuhusu kujua ukweli wa muungano huwa hatubahatishi.
Hivi unaweza ukatutajia kirefu cha Tanzania, na ilikuwaje jina la Tanzania likapatikana?
Jibu swali bwege we.
Hakuna mahali alinukuliwa Lissu akidai wazanzibari siyo watanzania, sijui hayo uliyapata wapi? Wazanzibari hawataki kuficha uasili wao, wanajivunia na kujitambulisha kwa uasili wao. Hawataki kuwa mbumbumbu walioisalimisha na kuifuta historia yao. Badala ya kuwabeza wanastahili kuigwa na kupongezwa!
Elezea wanzibari ni watanzania ila watanzania si wanzanzibar
Si kweli wazanzibari ni watamzania lakini wwabara huwa mnafanya ishu kutibagua
@@omaryjumas6327 Wa Zanzibari sio Wa Tanganyika kwani kabla ya 1964 kulikua nchi inaitwa Tanzania?
Wabunge wakishiba posho zetu wanaanza kuongea wanachojickia na sisi tunaendelea kuwatafutia kwa jasho ...
Mbona likija swala la muungano
Zanzibar tukipata wabunge kama hawa kumi tu bungeni muungano ungevunjika 😂😂😂😂😂😂😂😂
Watafuteni 😂😂😂
Kwanini msijitenge tuu,mnangoja nini.
Yaani Umeenda kwa wananchi kusikiliza shida zao, na wamekutuma, wamekuchagua uwawakilishe hoja zenyewe Ndio Kama hizo ,hata mpangilio wa kuongea huna ,hii nchi ni ngumu Sana.
Ubaguzi mnao. Kweli wazanzibari. Leo umefanyiwa wewe unaona uchungu. Mnayotufanyia huku hamuoni kama ubaguzi. Shilingi Ina pande mbili mweshimiwa. Leo shilingi imekugeukia umeumia😂😂
Safi sana muheshi tuko pamoja kaza kamba hataka wengine tuko Kenya but tuko wote hatutaki muungano tena wabaki na utanganyika wao tubaki na Zanzibar yetu
Mtu wa Bara haruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar! Ila Wazanzibar wanamiliki ardhi Bara! Mbona huo ni ubaguzi wa wazi tu!?
Siyo kitu cha ajabu mwanza kabla wewe hukuzaliwa watu wa Zanzibar walikuwa wakiingia Dar es salam kwa passport. Na yuko alokuwa mshenzi mmoja wa Zanzibar ndio alosema wa Bara waingie Zanzibar bila ya passport na wengi walikuwa hawajataka jambo hilo.
UNAJUA KUWA ZANZIBAR INAINGIA KWA TZ BARA MARA NGAPI? INAMEZWA NA BARA ZAIDI YA MARA LAKI TATU !! NA TANZANIA YOTE BARA NA VISIWANI HUMILIKI ARDHI KAMA YAKO ILA UNAPEWA LIZI NA HIYO LIZI INATEGEMEA NI MIAKA MINGAPI AIDHA 33 ,66, AU 99 LAKINI ARDHI SIO YAKO LAU KWENYE HIYO ARDHI KWAPATIKANA MAFUTA BASI SERIKALI WANACHUKUA WENYEWE, LAKINI NCHI ZA WENZETU ARDHI MALI YAKO KIKIPATIKANA CHOCHOTE MALI YAKO!!!!
Tatizo lipo ila wanapotezea kwa kuwa wanapenda sana pesa kuliko ubinaadamu wa binaadamu.
Hakika lisu na mbowe naona wako sahihi kabisa na ss watanganyika tudai uhuru wetu
Yani ww ndio mwenye akili nyingi ktk watu 100 niliowasikiliza ni kweli coz u haven't government so struggle ur cntry.. am srry umoja ni nguvu..
Bora mudai uwo Uhuru wenu wazanzibar angalau tunywe maji hatuna Raha kwA nyie nahaya yote kayataka karume kuitoa nchi kw warabu kuipeleka kw wanyAmwez
😂😂😂😂😂😂endeleeni tu kujiita Watanzania
@@SalumJuma-iz2gjmmejazana bara
@@FridayMwassa sindio tuna watajirisha
" Abrave and honest hounerable member of parliament representing the interests of this romantic, beautiful island! Hata Mombasa na Pwani ya Kenya has the same problem! Kuna ukabila, ubaguzi, ufisadi wa kila aina! Serikali zinaongozwa ni watu kutoka bara zinabagua wenyeji wa pwani na kisha sisi ndio tunautajiri/ Uchumi mzuri! Nahisi siku moja kenya itagawanyika kwani tuliunganishwa ni wakoloni na hatukutaka kamwe kuwa na ushirika na Nairobi! Isitoshe, tuliunganishwa kwa miaka 50 na mkataba ukaisha 2013!! Love from Mombasa!!
Amka ukojoe bana
Viongozi walioko madarakani wanajifanya hawaoni tatizo kwa sababu ya maslahi binafsi.Halafu wanaanza kuwalaumu Akina Lissu kwa kivuli Cha ubaguzi...
Wazanzibari wabaguzi sana
Ulikuja Zanzibar ukabaguliwa
Nyinyi wtnganyika munongoza kwakubaguliwa duniani 😂😂😂wzungu wbguzi wkenya wbguzi wznzbar wbguzi ondokeni duniani bc
SAFI SANA, KILA MMOJA ASHIKE NJIA YAKE. UKOLONI UMESHAPITWA NA WAKATI. TWATAKA NCHI YETU
Hata tukiwa wabaguzi.......ni heri kwetu na nyie bakini na utanzania wenu
Kweli Wabaguzi kwa ajili ya Nchi yetu si Mukaungane na Machogo wezenu Kenya Uganda Congo Burundi nyie Wa Tanganyika sisi Wa Zanzibari na Timu yetu ya Taifa Zanzibar Heroes
Achen ujinga nyiee hii nchi ina amani kulko nchi nyngne yyote ndio kitu tunachotkiwa kujivunia iv mushafkiria kuh vitukuu vyenu hao wabunge wengne wavurugaji tu..ss n wamoja❤Ilove u Tanzania
Mh mohd issa yupo sawa
Safii mbunge
Tanzania ina mazombi sio watu
Kwanini
Kwa hiyo Zanzibar ni mkoa?????
Hiyo ndio demokrasia ya kweli na Uhuru wa maoni
Tunadai Tanganyika yeti! Wazanzibari wasitutanie
Leteni hoja za kulijenga Taifa acheni kucheza na Kodi za Wanzania bungeni, unapoteza muda kwa sababu hauna cha kuchangia. Jamani😳!!!
Hii ni dharau na ni kejeli ya kiwango ati na yeye ana fikra ya kuja kututawala watanganyika. Aah halafu waheshimiwa wetu wa bara wanashangilia.aah sijui afya ya akili wanayo kweli.
Kuna shida kubwa kwenye huu muungano, Kuna kesho na kesho hiyo Kuna watakaokaa na kuangalia maslahi ya muungano kwa pande zote mbili
Huna lote limekuganda hilo Passport ni lazima ipo zamani
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Co passport ht mkitaka 2gawane fresh 2 cc 2nataka nn kwenu marais wt wawil wazanzibar na cc ha2semi nyinyi wazanzibar mnajitambua kwer mm naona samia na mwinyi akir zao zingekuwa km nyinyi ingekuwa vurugu mechi
Huyu asikilizwe vizuri huenda ana hoja za msingi kama tunaingia Zanzibar Kwa passport basi lije suala la vibali Kazi, kila upande uombe vibali vyote vya makazi na Kazi, na si ruhusa kumiliki ardhi upande wowote hadi Uwe mzawa
Hivi tukisema kila watu warudi kwao; Zanzibar patatosha?
Huku Tanganyika wazanzibali wapo wachache sana kama polisi wataanza wao,sisi tutawagawana wasisahau hilo.tutafanya kama Nigeria kujibu ubaguzi waliofanya South Africa tunawakumbusha
Mimi mzazibar, kiukweli Wazanzibar wabaguzi sana! Mungu awahifadhi, wanachuki na watu wa bara for no reason!
Hatuna Imani na wanyamwezi
Reason no kuwa wazanzibari wanahujumiwa na watanganyika na watanganyika wamepora haki za wazanzibari na haki ya nchi yao.
Muuongo wewe Si mzanzibari Chuki yetu tunataka nchi yetu kwani mtu kudai chake ndio hua Chuki
Muongo wewe si mzanzibar wewe mbongo nyoso unaechangia kutunyang'anya haki zetu pumbavu yako
Mzanzibar gan weye
Mimi mwenyewe siwapendi wa znz kwa kuuzaa bandari zetu bara mmeanza ubaguzi na mwanzirishi wa ubaguzi ni Mh samia na limote yake ya msoga tutamzomea samia wakati wa kampeni zake
Safi Sanaa mbungunge w konde
Kwa nn serikari 3 inakigugumizi??
Mwanzo mbn umekubali kuwa ni mzanzibari mbn unajikataa
Mheshimiwa presha yako iko juu sana fanya mazoezi broo.
Kalewa posho
Ivi huu muungano nyie wabunge wa ccm mmeung'ang'ania wa nini
Huyo mwenzenu kashasema yeye ni mzanzibar,
Sasa kama pana mzanzibar kwenye bunge la muungano kwanini mbunge wa mtu wa bara hawezi kuwa mbunge wa zanzibar??..?..?????
Watanganyika wanatung'ang'ania wazanzibar sijui kwanini
Zanazibar, Tanzania , Tanganyika iko wapi apo hatutaki muongano imetosha apo bc kila mtu achukue ubao wake ishaAllah vunjika shetani muongano toka na uwende Zako
Yaani huyu mbunge imekuaje anaongea lsfudhi ya kibara kamavile haja zaliwa na ku kukulia Pemba. Au ndio wale ambao makaazi yao yapo Bara ila jimbo liko Pemba 😅😅😅
TUNATAKA WAJE PEMBA KWA PARSPOT HAWA WANYAMWEZI😂😂😂
Siyo Nchi mmoja ni Nchi mbili. Wacheni ubaguzi.
Sisi wazanzibar hatutaki Muungano hauna faida na sisi, tatizo lenu mkiitwa watanganyika ndo mnasema mnabaguliwa
Mwinyi.magufuli.mkapa. wangekuwepo hii hoja isingetokea kabisa heshima ya muungano inaelekea kukosa nidhamu😢
Wazanzibar na watanganyika sio wamoja wacheni kujipendekeza hatuwataki tena watanganyika kuja Zanzibar huyo mbunge muacheni aongee musimkatizie muda wake hatuna umoja na watanganyika na wala hatuna haja na watangika kwendendeni mbele mbele huko
Ni kweli sijui Nyerere alikua na nia Gani mpaka anatuajia bomu kubwa namna hii ambaye Leo tunafarakana
KWASABABU NYERERE ALIKUWA MLAFI NA ULAFI WAKE ALIFIKIRI ATAIFANYA ZANZIBARI NI JIMBO LAKE NDIO MAANA BARA MKAINGIZWA MKENGE 😂😂😂. TAMAA MBAYA ZA MWALIMU WENU MJINGA NDIO WAZANZIBARI BARI TUNAPATA FURSA YA KUUZA BANDARI ZENU KWA WARABU WETU NA MBUGA ZENU ZA WANYAMA MPAKA TUMALIZE. HATA WABARA MKIPATA UHURU UJUE ZANZIBARI TUSHAWALA KISHUNDU 😂😂😂
Mashallah
Kaa chini
Mtaelewa tuu maana hamjui kitu mpaka msikie
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo coz Tanzania imeundwa ili kusudi kuidhibiti Zanzibar na wazanzibari wameamka sasa
Mimi sio Mzanzibar ila nakubali hili Muungano huu upo kwa ajiri ya kutawala Zanzibar
Yote ni tanzani ni sawa nitakavotoka mwanza kwenda dar sa passport ya nni na nchi ni moja ye mwenyewe apo alipo hana paspoti afu yupo bara mpuuzi kwel,,, ukitaka urais gombea tukupe kura acha upuuzi
Mpuuz babaako
Hivi kumbe wa Zanzibar ndiyo wanachangia hivi?
Mna nini ambacho mnajivunia huko zanzibar,mbaki pekeyenu baharini muone.Someni history ya zanzibar kiundani na location yake.Kama hamtavuliwa nguo
Juzi nolimsikia Mh Warioba. Nilimuelewa sana. Ukweli kuna changamoto za Muungano ambazo kila upande unalalamika. Ila Tanganyika ndo imeonewa zaidi. Kwa vitu vingi tu. Inafaa kukaa chini na kuziondoa changamoto hizi.
Umeanza kuelewa ila endelea kufanya research ujue nani anaeonewa zaid zengo sisi tunaupenda muungano ila vitu vingi tunaumizwa sie leo imekua mtu wa Kenya akija na mzigo kutoka kwao kuingia tanga halipi we njo undue TV upitishe apo wanataka pesa ulipie ushuru
Muhimu Hata huu muungano hatuutaki tena sote kila upande iwe kivyake lakin ccm ndio wanalazimisha tufanane
KWANINI TUNAUNGANA PARSPOT?. WANYAMWEZI MJE NA PARSPOT ZENU PEMBA😂😂😂
Mi natamani hoja hii ifanyiwe kazi, wabara waridi bara ili wazanzibar viwanja vya kujenga wapate, and vice versa wazanzibari warudi kwao halafu tuone kama kile kisiwa kitawatosha. Lakini pia tutawauzia chakula kama tunavyowauzia Kenya na kwingineko nione kama hamtakula......yenu.
@LUBAINAMOHDRAJAB kila watu wajitegemee, maana sisi tunaoumia hata hatusemi, ila wao wanaotunyonya kelele juu baada ya kushiba kiporo cha ugali wa mtama.😅😅😅
Yeye anataka serikali 3, ya Muungano na serikali ya Zanzibar na Tanganyika. Pia anahangaika na Uzanzibari ambao hawezi kumsadidia.
Sisi Muhimu kwetu ni Zanzibar yenye Mamlaka kamili sio Tanzania tunajua Tanzania ni Tanganyika ni kivuli tu cha kuikalilia Zanzibar
Lakini kweli sisi wazanzibar tunawabagua sana wanyamwezi tunawalimisha tuu halafu hatukubali watoto wetu kuolewa na wanyamwez
Nyie ndio mna tubagua sisi
Dooooh hao wanaoishi visiwani hawataki muungano muungano uvunjwe tuu watanganyika tubaki kwetu na wao warudi kwao na walipr Kodi ya makazi kama wageni
NAHAPO HAMGUNDUI CCM hamuoni Kama mnajipendekeza?
😂😂😂 aisee nimecheka sana Leo.
Muungano utakapozingatia matakwa ya wananchi kama walivyojieleza katika rasimu zote za katiba, kwa kutaka serikali 3, ndio utakuwa mwisho wa mtifuano wa wabunge wazanzibari na watanganyika. Huo ni mwanzo tu wa muungano wa Lazima serikali 2.
Ww mbunge Malaya wa Tanganyika Kwa nn msingie na passport sisi hatumutaki huku Zanzibar watanganyika kumamazenu manyamwezi
Safi sana , naunga mkono wazanzibar tunataka passport yetu , hatutaki kuwa na machogo
Nadhani ni vizuri sana tukitengana coz Tanganyika tuna kila kitù sioni maana ya kuungana, wazanzibar wakae na zanzibar Yao na Tanganyika tukae Tanganyika yetu ltakuwa poa sana
Akili hunaa
Mbunge huraaaa 💪👏👏👏
Wanamkopi sana Roma mkatoriki
Hamwishi na hizo taarifa. Mwecheni akamilishe.
Huo ni ubaguzi mzee mwwnzangu wapemba acheni siasa musiikaange mbuyu mukaja walisha wengine
Kweliii
Uyu sio mbunge uyo msengetu
Muungano usivunjike lakin passport muhim
Dada umetisha sana juu ya passport
Muungano mnaungangania wa nini au mna manufaa gani kwa huo Muungano. Ipitishwe referrendum wakati wa uchaguzi mkuu, ili tujue kama Muungano uendelee au uvunjike
Wewe mwenyewe mbaguzi mbunge mpumbavu tu.
Paspoti muhimu bwanaaa
Yeye Anasema Apokei Sio Mtanzania Sasa Yupo Apo Bungeni Kama Nani Amevamia Bunge Au Amefika Vipi Apo Mana Mbunge Wa Apo Ndani Ni Mbunge Wa Tanzania Akutakiwa Aendelee Kujieleza Uyo
Risu Yuko sahihiiiiii kumbee
Mwenyewe kasema yeye ni mzanzibar nyie mnamlazimisha awe mtanzania, kwakua nyie hajitambui kuukana utanganyika wenu,lisu hana mpinzani kwenye hoja yake,tumpe maua yake lisu🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tanganyika sis mazuzu 😅😅😅😅 wale wako na rais wao kwanin hatuna rais wa watanganyika😅😅😅
Msipoachana na sera ya uwekezaji mtaliangamiza taifa kwasababu ni aibu kutuletea wawekezaji na wabia watuletee ufanisi kwakisingizio wtz hawana
Nikwli mbunge asnt mungu akulinde na watanganyika wanasema kwl
Ikiwezekana waufute tu muungano tmechoka wazanzibar kwa maneno ya watu wabara
Bwiga kabisa huyo fala…tena choko
Zama za giza ziliisha kitambo, it is just the matter of time
Haiwezikua mtanganyika na mzanzibar sawa numbingly na ardhi watanganyikaniwashenzi nushenziwaowameufikishahadi zanzibar wiziwalevimalaya zanzisasakunanukakwasababuyawatanganyika
Wazanzibari ni wabaguzi kwanini hata kipindi chauchaguzi ukiwa kitambulisho cha Zanzibar ila ukigundulika ni mtanganyika unawekwa ndani? Na kwanini asilimali zetu tunawakatia fungu ila wao hawajawai jaman mfikirie apo viongozi na mlitatue
Sisi Wazanzibari Muungano sio kipa umbele chetu.
Sisi Wazanzibari tunataka mamlaka kamili.
Me ni Mtanganyika kwanzia leo
Nayeye aonyeshe pasipoti
Siyo mtanganyika we
Kumbe wazanzibar ndivyo walivyo ndio maana
Ccm ndo uwelewa wao umeishia hapo
Huyu mbunge mjinga sana
mbona hana hoja anavioja
Ndiyo mwakilishi wa wananchi na hoja za hovyo
Hawa waunguja hawajielewi kumbe! 😂😂😂😂
Siku hizi sina haja ya kuangalia au kwenda kubana movie, nasubiri kipindi cha bunge kikinipita nafungua RUclips natafuta episode mpya ya Bunge.😂😂😂.
Ubaguzi upo sana tena ukichukua kitu kutoka Mzanzibari kuingia nacho hapa kwetu ni taabu kweli bora uingie na dawa za kulevia
Uhuru niwenu Nyinyi qatanganyika
Naona wazanzibari wanasema wanadhulumiwa
Nataka kujua wanafhuliwa wapi
Tuachane muungano wa nn kama watu awataki wa nn kuwang'ang'ania
Sio ktu kimoja nyinyi mnazaa ovyo halafu halafu mnaowana
Masauni hatoshi nimbabaishaji
Huyu mbunge nikuma kweli
Huyu mbunge ana akiri kwer mbona watanzania hawachukii maraic wote kuwa wa zanzibar huyu mpumbavu nn huyu nimependa sanaaaa wabunge wa ccm walivyo na mcmamo vzr sanaaaa mm nilijua watamuunga mkono na ujinga wake kumbe wamemkataa mpuuzi huyu
passport iwepo ndio leo znz imeoza watu waingia tuu umalaya pombe wizi
Munajiita wazanzibar tukiwaita sisi tunawabagua
Mbona viti Bungeni viko wazi sanaaa.
Wazanzibar ndo wabaguz Sana koo mm Zanzibar siipend kabisayan bora muungano uvunjike tu
Hakuna kitu ninachokichukia ktk maisha yang km watanganyika mana ni matapel wezi washenz Wana Killa aina ya ushenz
WA ZANZIBAR TUNAANZA UPYAAAAAAAAAAAAAAAA.