DUUH!! SHEIKH PONDA AJILIPUA AMKOSOA VIKALI RAIS SAMIA/ASEMA HALI NI MBAYA HAKUNA NAFUU YA MAISHA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июн 2024

Комментарии • 982

  • @fabby1181
    @fabby1181 9 дней назад +12

    Huyu Shekhe siyo kiongozi wa kidini tuu lakini ni katika jamii kiujumla, Hongera sana mzee wangu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @fadhilyassin5772
    @fadhilyassin5772 11 дней назад +35

    Angalau shekhe wetu umetusemea Allah akuhifadhi inshaallah

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад +2

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 9 дней назад

      Unashindwa kuitikia Dua kazi asante kwa kutufatilia tu au unaogopa ​@@ICONTVTZ

    • @user-dw6uy7tv9o
      @user-dw6uy7tv9o 8 дней назад

      Huyu ndo mufti wa dunia

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 2 дня назад

      Mungu skutunze mufti tunakuombea hali mbaya mnoo mlo mmoja watu kwa ss kila mmoja magojwa ni madonda ya tumbo aside kutema mlo usio na vitamins magojwa tu kutokana na kukola mlo lishee 😢

  • @pascalsafari3476
    @pascalsafari3476 11 дней назад +44

    Shehe ponda mwenyezi mungu muumba wa mbingu ardhi akupe maisha marefu kwenye uso wa ardhi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA 9 дней назад +4

      Samahani ndugu Jitahidi sana Unapoandika MUNGU ANDIKA kwa herufi kubwa hususani Herufi ya kuanzia.

  • @josephmbeya5973
    @josephmbeya5973 9 дней назад +12

    Daima nimeendelea KUKUPENDA SHEKHE Ponda Issa Ponda hakika Mungu aendelee kukupa afya njema kwa kuendelea kuwa mkweli kama mjumbe wa Mwenyezi Mungu❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 10 дней назад +30

    SIJAWAHI KUKUCHOKA WEWE MZEE ...NAKUPENDA SANA JAPO NI DINI TOFAUTI LAKINI I ALWAYS SALUTE YOU..NAPENDA JINSI ULIVYO MKWELI NAPENDA MAONO YAKO NAPENDA MISIMAMO ULIYONAYO...HUPENDI UNAFIKI WALA KUJIPENDEKEZA .WEWE NI ZAO LA WAISLAMU WA KWELI WASIOYUMBISHWA...

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @akramissa3393
      @akramissa3393 10 дней назад +3

      Alhamdulilaah! Huwezi kuja ni jinsi gani your statement touched me. Hakika nawe si mbaguzi wa dini bali msimamia kweli na haki

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 10 дней назад +1

      Viongozi wetu wa Dini wengekua na misimamo ya kweli na haki Nchi yetu ingekuwa na maisha bora kwa raia wake

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 10 дней назад

      @@bennymochiwa4800🤝Tanzania ni Nchi ya kupigiwa mfano kwenye Dunia lakini uongozi na siasa mbaya bila ya kujali Wananchi wao. Watalii ni Bora kuliko Wananchi.

    • @mrishotufu6859
      @mrishotufu6859 9 дней назад

      Kuhusu chakula niduniya nzima chakula kimepanda apanilipo unga wasembe 10kg dola5$

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 10 дней назад +14

    Huyu ndiye kiongoz sasa unaangalia ndan na inje she mimi ni mkirsto hua nakufatilia sana na nakukubali sana hakika mungu akupe maisha marefu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @thomastemu3332
    @thomastemu3332 11 дней назад +32

    I like sheekh ponda. You allways talk the truth

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 11 дней назад +28

    Shukran sana sheikh wetu ponda M.mungu akubariki

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-nz8bv6xn9r
    @user-nz8bv6xn9r 9 дней назад +8

    Shehe ponda mm ni mkristo nakukubali sana huna unafiki kabsa kama walivyowengi viongozi wa dini ufanyiwe heri na mnyezi Mungu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @IbrahimuAmiry
    @IbrahimuAmiry 10 дней назад +9

    Nilibahati kukaa na Sheikh PONDA zaidi ya mara moja,Kuna vitu niliviona kwake ambavyo vilinifanya nione kuwa Sheikh ana uwezo mkubwa na ktk SERIKALI YETU anweza kufit nafasi yyte ile,hongera sana baraza la Maimam kutuwakilisha vyema ktk walaka uu, MUNGU ajaalie niwe km Sheikh PONDA,ALLAH akuweke zaidi Sheikh wetu akuzidishie ulinzi zaidi 🤲

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz 11 дней назад +42

    Sheikh ponda Mungu akubariki sana umeongea ukweli mtupu.Tatizo linaloisumbua serikali hii ni ufisadi,rushwa na ubadhirifu.ufisadi,rushwa na ubadhirifu ni kama umehalalishwa na ni sifa.Mafisadi wanaimaliza sana nchi hii na wanaiba waziwazi bila kuchukuliwa hatua kana kwamba hakuna serikali na vyombo vya usalama vinavyohusika.

    • @allymganga3223
      @allymganga3223 11 дней назад +3

      Apo msumali ni katiba ikiluusiwa laisi kushtakiwa mawazili kushtakiwa Kwa makosa ya makusudi na ata uzembe kutakuwa na uwoga lkn hii kuchekeana chekea kulindana U ccm umaskini Tanzania itakuwa ndoto

    • @respiciousbishubo1158
      @respiciousbishubo1158 11 дней назад +2

      Upo sawa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 10 дней назад

      Asante sanaaa Shekhe, Mungu akubariki.

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 10 дней назад

      Serikali inayopenda kusifiwa Tu hata Kwa mambo yanayokwenda hovyo kabisa

  • @serengetishipping2196
    @serengetishipping2196 10 дней назад +6

    Great speech ! Tuondoeni VAT kwenye bidhaa za chakula cha mchele na dona ..!!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 10 дней назад +28

    Mimi ni mkrisoto lakini Mh shekhe Mungu akutunze sana sana , kwani nikiongozi unaongea kwaniaba ya wote bila kujali dini yeyote, kiukweli watanzania hawajawahi kuwa na nafuu ,nakuongea wanaogopa, huku tukiambiwa tumeingia uchumi wa kati huo uchumi wa kati kwaajili ya kuwa nufaisha vingozi wa serikali, watu wana teseka sana hakuna wakuwasemea , hongera sana shekhe, nahapo unatoa elimu ya kutosha juu yao, lakini sio wasikivu kabisa,

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @joejohn8115
      @joejohn8115 9 дней назад

      Wewe usiwe mjinga, Hawa Waislam wote ni wanafiki. Tatizo lenu Wakiristo huwa mnanaswa kijinga na Taqqya yao. Hapo unachofanya ni kwa maslahi ya wao Waislam tu. Usifikiri atakuweka wewe mkristo kwenye interest zao

    • @charlesboniphace2249
      @charlesboniphace2249 9 дней назад

      Mkristo gani wewe ujinga unakusumbua tu soma biblia uamke kifikra

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 9 дней назад +1

      @@charlesboniphace2249 hongera wewe usie na akili kwa wizi ulio nao sasa unaumia mbona utakoma mwakahuu

    • @ShaabanAbubakar-nx4vk
      @ShaabanAbubakar-nx4vk 8 дней назад

      Hiidunia tu. Napita tu

  • @YangaNews
    @YangaNews 10 дней назад +5

    Mimi ni mkristo but leo nimeamini wapo watu duniani nje ya dini yaani100 shekh asante

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @elimborandewario8922
    @elimborandewario8922 9 дней назад +5

    Msemakweli ni mpenzi wa Mungu, ubarikiwe sana baba

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kajanksimon7432
    @kajanksimon7432 10 дней назад +10

    shekhe ponda gombea mzee wetu unauwezo mkubwa sana na nimsema kweli huangalii anaeongoza ni mkristu au ni muislam hata kipindi cha magufuli ulikuwa unaongea ukweli mzee wangu Mungu akulinde sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @YusuphRajabu-hz3pv
    @YusuphRajabu-hz3pv 10 дней назад +6

    Mzee unahitaji Mauwa yako nimekupa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mzee leo kulasiku der eva anatungiwa shelia hali yakuwa wao hawajawai kumpambania masilai yake mzee sema tu japo watakusumbua ila kwasababu unalisemea taifa mungu atakulipa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 8 дней назад +3

    Asante sana Shekh Ponda MUNGU akubariki sana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @asiaasia2908
    @asiaasia2908 10 дней назад +5

    Shekh ponda issa ponda Mungu akujalie maisha marefu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 9 дней назад +2

    Asante sana shehe unaejitambua,usiye na unafiki wala ubaguzi, Umeongea ukweli na maneno yako ya hekima ,Mungu akulinde daima,akupe maisha marefu, Amen

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 11 дней назад +45

    Huyu mzee ninampenda sana japo mimi ni mkristo ,lakini huyu Baba kichwa

    • @lwagamwakalinga8038
      @lwagamwakalinga8038 11 дней назад

      Saana

    • @abuukarata9653
      @abuukarata9653 10 дней назад +3

      Nadhani anachoongelea hakinaga dini. Hukuwa na haja ya kuweka mkristo. Anaongea maisha kwa jumla

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @DumishaTanzania
      @DumishaTanzania 10 дней назад +1

      Kwanini umeona kuna umuhimu wa kusema "japo mimi ni mkristo"? Si unaweza kumpenda kwa matendo yake tu

    • @shadrackwilfred2606
      @shadrackwilfred2606 10 дней назад +1

      Wachache sana wako hivyo. Huyu ndugu kajitahidi

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 10 дней назад +6

    Hongereni Shura ya Maimamu kwa kusimamia kweli ---- Hivi hawa mafisadi " Tunawafuga au Wanafugana ? "

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py 9 дней назад +3

    Shukrani sana shekhe umetusaidia wanyonge, na mola atasimama na wewe mpaka tupate ufumbuzi inshaallah, Tabarak Allah ashan halyqeen, Jazzak Allah kheri shekhe.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @amadally5837
    @amadally5837 10 дней назад +5

    Nakuomba ALLAH umhifadhi sheikh ponda

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-mn2et2pf6z
    @user-mn2et2pf6z 11 дней назад +38

    Mzee hongera sana .viongozi wa dini mkiungana mkaamua kusema ukweri hawa mafisadi kinaereweka mapema tu.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @chandeyusufu9570
      @chandeyusufu9570 10 дней назад +1

      Asante shekher wetu kwa kusema ukweli

  • @lwakainaza
    @lwakainaza 11 дней назад +18

    Umekumbusha jambo muhimu shehe.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @irambadc5167
      @irambadc5167 9 дней назад

      Huyu sheikh hana lolote,hakuna mta
      nzania aliyeshindwa kununua sembe,unatudhalilisha,watania wanafanya kazi,we mnafik

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 10 дней назад +6

    Mungu akubariki sana mzee wetu shehe ponda Hakika umeongea ukweli tunaomba viongozi wa dini kama wewe

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 10 дней назад +4

    Kumbe Shekhe uko vizuri Hata Mkaguzi mmoja alipoteza nafasi kutoa maono yake

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @salimabdul4424
    @salimabdul4424 10 дней назад +4

    Vizuri kwa taarifa nzuri..

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @YussufPandu-es7ou
    @YussufPandu-es7ou 10 дней назад +8

    Sijapata kuona sheikh madhubuti na ambaye si mnafiki kama sheikh ponda ,,hongera sheikh ponda wewe ni msema kweli na ni kipenzi cha watanzania wote na ni kipenzi cha mwenyezi mungu,mashehe wengi wa Tanzania ni wanafiki

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ibrahimhodabaksh3939
      @ibrahimhodabaksh3939 10 дней назад

      KWELI MAISHA NI MAGUMU VITU BEI JUU SANA

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 10 дней назад

      Hakuna kitu kizuri kama Wananchi kuwa kitu kimoja msimamo mmoja. Siyo kusimama kwenye majukwaa na kuwadanganya Wananchi maskini.

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 8 дней назад +2

    Sheikh Asante kwakutusrmea watanzania wahali yachini.Kwasasa tunakula mlo mmoja kwasiku ,Kiukweli viongozi wetu hawaangalii kbisa maisha yamtanzania wahali yachini.Hla imekuwa ngumu sana,lakini wapo machawa wanaoshiba kupitia uchawa wao wanapinga hya nakutuletea siasa kwenye jmbo lauhai.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shakaurembo477
    @shakaurembo477 5 дней назад +1

    Asante sana mzee umetisha 🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 11 дней назад +20

    Wezi na mafisadi ni viongozi wa juu wa selikari nani atakae washughulikia .

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shabanimbenu2163
    @shabanimbenu2163 10 дней назад +6

    ALLAH AKUPE UMRI MREFU SHEKH WETU UZIDI KUSIMAMIA HAKI.

  • @user-ni4zc7hp3i
    @user-ni4zc7hp3i 5 дней назад +1

    Mwenyezi Mungu awe pamoja nawe katika maisha Yako nimeipenda hii sanaaaa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @omargargaar5611
    @omargargaar5611 9 дней назад +2

    MashaAllah MashaAllah MashaAllah TabarakAllah Allah awahifadhi wte mlio jumuika

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 11 дней назад +7

    Matatizo ya nchi yetu yanasababishwa na wezi waliochukua madaraka,kodi wanakusanya kila sehemu lakini wanashindwa kuisimamia kuboresha maisha ya watu.CCM ni tatizo kwa maisha yetu maana wameshindwa kututoa kwenye umasikini,

  • @RehemaSalum-vp6rf
    @RehemaSalum-vp6rf 10 дней назад +4

    Asalaam Alekyum warahmatullah wabarakatuh... Asante sana kiongozi kwa kutetea maskini na wanyonge ... Kikubwa tujipange kwa uchaguzi wa mwakani

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 11 дней назад +12

    The only one 😇 shekhe ponda Allah akuweke miaka mingi ww sio mnafki...tujitahid kuwezavyo kuwaondoa ccm

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kingngojea
    @kingngojea 8 дней назад +8

    Mimi ni mkristo lakini wewe ni shehee wangu nakupenda buree mungu akupe miaka mingi sanaaaaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @chezariboy
      @chezariboy 5 дней назад

      Hazungumziii mtu wa itikadi gani hampendi au anampenda,, ufahamu wako 0' kweli elimu haipo kichwani, SHEKHE ANAZUNGUZA UKWELI NA EVIDENCE KUPITIA REPORT ZA CAG, SHERIA ZILIVVYO, SHEKHE ANAZUNGUMZIA MALI ZA TAIFA ZINAVYOPOTEA bila huruma na ushahidi upo lakini hakuna hatua inayochukuliwa na wenye mamlaka,, japo mali za umma SIO ZA WAISLAM AU WAKRISTO zinaibwa huku mifumo nayo ikiwa ni mibovu tangu miaka yote.

  • @lasttrumpettv1784
    @lasttrumpettv1784 10 дней назад +4

    Barikiwa mtumishi kwa maneno ya hekima kwa jinsi ulivyowasilisha. Tumepokea

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @stephenndagalla8183
    @stephenndagalla8183 11 дней назад +16

    Sheikh Mponda umekuwa mtetezi wa HAKI mara zote. Kuhusu ufisadi kutamalaki nchi, SIO tatizo la Serikali (kama ulivyosema). Ufisadi umehalalishwa Kikatiba. Rais wa Nchi hafunguliwi mashtaka hata akifanya ufisadi wa aina yoyote. Rais akiwa FISADI (Kama ilivyoisha/ inavyoendelea kutokea), ripoti ya CAG haina nguvu ya kuwashtaki Viongozi mafisadi. Ktk mazingira haya nchi itaendelea kuingia kwenye Umasikini wa kutupwa..

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @IdrisFelician
    @IdrisFelician 5 дней назад +1

    Tunashku kwa kutusemea shekh allah akubariki akuhifadhi akulinde na madhara ya aina yeyote na akujaalie mwisho mwema. Nehema na rehem zimshukie mtume wetu Muhammad swallallah alayh wasallam

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-kq7in8gd9o
    @user-kq7in8gd9o 10 дней назад +2

    Thank you very much Shekh wetu Mungu akubariki Sana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ismailhassan5209
    @ismailhassan5209 10 дней назад +3

    Shukran sheikh Ponda ni wakati muafaka kuwaombea kuachiwa walioko mahabusu kwa mda mrefu kwa tuhuma za ugaid

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 10 дней назад +3

    Katika. Mashekhe naoamini kabisa kutoka moyoni kwamba Mwenyezi Mungu kawatuma kusimamia ukweli na HAKI basi huyu kwangu ni namba moja. Nasema Alhamdulilahi, Inshalaah upewe baraka na Nguvu nyingi kusimamia yaliyoyakweli Inshalaah🙏

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @josephudoba5563
    @josephudoba5563 10 дней назад +3

    Asante shekhe huo ndio ukweli watanzania tutafakari viongozi wetu ni waaina hani

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ds6cj4md6m
    @user-ds6cj4md6m 6 дней назад

    Shekhe Mw.mungu akuweke sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MirajiOmary-jm7wc
    @MirajiOmary-jm7wc 10 дней назад +3

    shekhe ahsante sana kwa kuliona hili na siyo kumpamba mtu halafu hakuna chochote kinacho fanyika

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @hamzamajenja4891
    @hamzamajenja4891 10 дней назад +2

    Hongera Sana shekhe Wangu Hakika wewe msema ukweli na umeletwa na mwenyezimungu akulinde na maadui Zako wote

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 10 дней назад +2

    WELL SAID OUR LEADER SHEIK PONDA 👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @titus_maridhia
    @titus_maridhia 10 дней назад +3

    Barikiwa Sana Sheikh Ponda

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 дней назад +10

    Sasa hivi maji yaneanza kukatika hovyo sijui kwanini wakati mito ilikuwa imejaa mpaka mvua inauwa watu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 10 дней назад

      Tusemage tuu ukweli .Tuache unafïki wa kupigapiga makofi hata pasipofaa.

    • @piusrweyemamu3900
      @piusrweyemamu3900 9 дней назад

      Kweli😢

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 9 дней назад

      Jiulize makosa mnayo yafanya kwenye Nchi yenu. Mengi anokataza Mungu nyiye ndio mnayo yafanya.

  • @shabanizayumba5432
    @shabanizayumba5432 11 дней назад +3

    Asante sana mzee,shekh Ponda,mungu akupe nguvu na akulinde n'a yote mabayo wanayokusudia mafisadi,umesema ukweli n'a. Mungu atakulinda,nchi yetu inamahali panapwaya katika suala zima la uongozi,kuna kulindana kwa viongozi wa juu.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @SheheUdambu
    @SheheUdambu 10 дней назад +2

    Asante sana she mungu akulinde

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @BashiruRashid-pk4ge
    @BashiruRashid-pk4ge 10 дней назад +2

    Allah akulinde Sheikh

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mtigandibori7244
    @mtigandibori7244 10 дней назад +3

    Mungu akupe maisha marefu na sauti yako isitoke masikioni kwao pengine wanaweza kuwa na hofu mioyoni mwao

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 10 дней назад

      Mashehe wetu tafuteni vyanzo vya pesa ili mjikwamue kimaisha iwapohuna vyanzo vya pesa utaona hali ya maisha ngumu shehe ponda

    • @daudykasherente8667
      @daudykasherente8667 10 дней назад

      ACHA unafi​@@adamlubawa1281

    • @daudykasherente8667
      @daudykasherente8667 10 дней назад

      ​@@adamlubawa1281ACHA unafiki

  • @user-kn5bv3qj8p
    @user-kn5bv3qj8p 11 дней назад +3

    Maumar Gaddafi tu ndie alikuwa akijali wananchi wake. Hongera kwa statistic nzuri sheikh,,hata kwetu Kenya ni zaidi saana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад +1

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 9 дней назад

      Mungu amraham Gaddafi. Ndio ukaona wa Libya hawatoki sana kutafuta maisha njee ya Nchi yao.

  • @ThobiasAlexander
    @ThobiasAlexander 10 дней назад +2

    Wakristo mnajidhihirisha kuwa mmepewa ufahamu mkubwa,kwani hamuangalii ni nani anaongea,bali mnaangalia ni kipi kinaongelewa.Komenti nyingi sana nimeona hapo.Nitofauti kabisa kama angekuwa anaongea mkristo,tusingeona shukrani zikitoka upande mwingine namna hii.Mzee wangu nakupongeza sana kwa ukumbusho juu ya viongozi wetu.Ni kweli tuna wakati mgumu.Mungu akubariki.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @user-ui4oh8gf8n
      @user-ui4oh8gf8n 9 дней назад

      🙏

    • @JumaGwae-qw2qk
      @JumaGwae-qw2qk 3 дня назад

      Kaka magufuli alipendwa sana na waislam sana soma koment za klip za magufuli tuone kama hamna koment nyingi za waislam sasa nikuulize magufuli alikua muislam acha udini kaka sote ni wahanga wa maisha magumu

  • @panadomadola3064
    @panadomadola3064 3 дня назад +1

    Shekh Ponda kwa kweli hali ya maisha ya watu huku mtaani ni mbaya sana na ufisadi na rushwa ndivyo vilivyo shamiri kwa sasa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @HawangaMohamed
    @HawangaMohamed 11 дней назад +6

    Asante sana shekhe endelea kutusemea kwa kweli hali ni mbaya sana nchi hii usichoke tunakuombea

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DamasKihungu
    @DamasKihungu 11 дней назад +5

    Hii inatokana na kuwa na bunge dhaifu lisilo na naono

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 10 дней назад

      Kazi yao NI kusifiasifia serikali Tu.Nonsensw

  • @user-sl1ko9me7u
    @user-sl1ko9me7u 9 дней назад +1

    BRAVO SHEKH PONDA NA SHURA YA MAIMAMU....MMEWAWAKILISHA MAMILIONI YA WATANZANIA BILA KUJALI DINI ZAO....MMEKUWA WAKWELI....MWENYEZI MUNGU MTUKUFU AKUBARIKI.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @charlesmtangi9046
    @charlesmtangi9046 4 дня назад

    Tuko pamoja shekhe wangu Allah azidi kujuongoza amina

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 11 дней назад +11

    Sheikh Ponda,gombea nafasi za ya uongozi siasa,nimekusikia sana na nimechoka.una uwezo.watu wanataka kukuona kuwa mbunge au Waziri 😂

    • @abunajreenELSESANY
      @abunajreenELSESANY 10 дней назад

      Sio sehem yake hiyo, nafasi aliyonayo ni kubwa mnoo.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 10 дней назад +13

    paka hawezi kumkamata paka mwenzie wakati wa magufuli mlisema yy katili hana ubinadam ngoja tuone hii movie

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo 3 дня назад

    Mungu akuweke shekhr❤🎉

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 10 дней назад +4

    Bakwata wataambiwa na serikal wakujibu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @DamasKihungu
    @DamasKihungu 11 дней назад +3

    Damasi mdudumbe nashukuru sana nikweli tunamaumivu makubwa sisi watu watchin. Tunaumizwa sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Donyo-rh8do
    @Donyo-rh8do 5 дней назад

    Hongera Sana shrhe.. unaongea point tupu kisha kwa utulivu mkubwa. Una utulivu kwa kweli 👏👏👏

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 4 дня назад

    Asante sana sheikh. Tanzania tumekuwa ombaomba kwaajiri ya uongozi mbaya. Tanzania ni tajiri, lakini fedha zinazoibiwa, ni nyingi sana na serikali haichuiuwi hatuwa. Tusidanganywe mambo hayaendi sawa. Basi hii ombaomba ya mikopo itapunguwa. Viongozi wa dini, musikae kijmya. Mukikaa kimya wananchi wa kawaida kwa kacha yetu ndiyo hawatasema kitu. Asante sana Sheikh kwa statement yako.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  4 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @humphreymkony8915
    @humphreymkony8915 11 дней назад +10

    Shekhe Ponda umeongea ukweli mtupu. Mungu aendelee kukutunza.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 10 дней назад +4

    TUKO PAMOJA SANA SHEIKHE WANGU...SHEHE MSEMA KWELI...WEWE NI KIONGOZI ❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 2 дня назад

    Allah akulipe sheikh
    Hizi ndio kazi za viongozi wa dini

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  2 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @enockgogy5458
    @enockgogy5458 11 дней назад +5

    Asant mzee wang kpitia ayo mauzui itanibidi nisilimu kabisa napenda ukweli sana asa mtu anasimama kuongea ukweli inapendeza sana .. awa wengine wamebaki kuzikomba nakjikosa ili waonekane nawakat mnaviki wakbwa sana .. inchi awezi kpata unafuu uku mafuta yakiwa zuuu wee ptroli paka iko juu paka tunajiuliza tnaenda wap naviongozi wapo wamenyamaza au ndio nchi imeizwa kama inavyo daiwa

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 11 дней назад +4

    Sheikh ponda tuko pamoja sema kweli.
    Msaidie mama samia.
    Hao viongozi wengi wanamuangusha mama samia.
    Wana kula.pesa tu.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 10 дней назад +1

      Salim, ndugu yangu usimtete mtu mwovu hats kama ni WA Dini yako wala ndugu yako ni dhambi mbaya!!! Rais Kwa mujibu wa katiba yetu ana mamlaka yote, sasa unaposema anaangushwa asaidiwe anaangushwaje na watu walio Chini yake na ndiye mwenye mamlaka nao!!! Salim ogopa Sana kuwa MDINI penda sana kuwa MWANADI!!!

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @CharlesAlly-jp1ms
    @CharlesAlly-jp1ms 10 дней назад +2

    Kwa hili uko vizuri sana shida watanzania tunakazi yakushangilia simba na yanga hongera sana😂😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @poolkingservices6928
    @poolkingservices6928 7 дней назад

    Hongera sana kiongozi Shekh Ponda. Mungu akubariki sana kwa kutufunulia yote hayo. kwa kuwa wanao fanya ufisadi na ukiukaji wa haki za watanzania wanakijua vizuri kitabu cha Qumran Tukufu na wengine Biblia Takatifu na huapa kwavyo, Hukumu ya Mungu itawajia ghafla. Vyakula wanavyokula vilivyo patiala kwa fedha haramu wanavyolisha familia zao, elimu na majengo ya kifahari

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  7 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @nicholauskilosa5336
    @nicholauskilosa5336 11 дней назад +3

    Mama anakopa kila siku alafu fedha zinaibiwa na wachache

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @MasoudSnani
    @MasoudSnani 10 дней назад +3

    hio title na anachoongea sheikh mbona haviendani? neno kukosoa au kukemea na hio sound ya Sheikh no tofauti sana.
    yeye kama kiongozi wa dini katoa maoni yake na sio hio tittle yenu.

    • @allymusira2153
      @allymusira2153 10 дней назад

      Yaani hawa jamaa walishatuona wajinga ni vichwa vyao vya habari

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l 11 дней назад +1

    Jazaaka llaahu kheir shekh,Allah akubarik sana,kiukweli hali huku mtaani ni ngumu sana

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 дня назад

    Huyu mzee yuko makini sana, big up, mimi nimekuwa kila siku najiuliza hivi hizi sheria zimetungwa na watanzania au wazungu?, mfano wewe mgombea halafu unateua wasimamizi wa uchaguzi ambao na wewe unashirika, pili mtu anapewa madaraka ya kufuta chama cghenye mamilioni ya watu, hongera sana.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  2 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 11 дней назад +3

    Leo shekh PONDA nipo na wewe hapo kwenye ufisadi.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @KiagoBakari
    @KiagoBakari 10 дней назад +3

    Huyu aache usheikh aende tu kwenye siasa hamna sheikh hapa huyu ni sheikh siasa au sheikh ubwabwa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 10 дней назад

      Mbona wafalme wa Sadia Arabia ni wanasiasa ponda hanakasa ktk hili Wacha asemeukweli

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 10 дней назад

      Huyo ni mwananchi na Ana haki,kikatiba, kuongea mambo ya dini na siasa.Kama humuungi mkono kwa hayo basi ni hiyari yako,nawe una uhuru

    • @adamlubawa1281
      @adamlubawa1281 10 дней назад +1

      Hana ukweli
      Tatizo la mashehe wetj baadhi yao hawana vyanzo vya pesa wanategemea pesa za ibada ziwaendeshe kimaisha

    • @bakarifakih4228
      @bakarifakih4228 10 дней назад

      hayo ni maoni yako, tena inaonesha ulivokuwa mbinafsi kwa shekh wetu

  • @DdAs-ti5bo
    @DdAs-ti5bo 3 дня назад

    Mungu akuweke shekhr

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  3 дня назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @StevenMeck-pm8pq
    @StevenMeck-pm8pq 11 дней назад +2

    Mzee upo vizuri sana hukubali kupiga makofi wakati unateketea

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 10 дней назад +1

    Safi sana sheikh ponda we n msema kweli miaka yote ujawah kuongopa Wala kusingizia jambo na ndio maana mungu anakusimamia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @Issanuru83o
    @Issanuru83o 8 дней назад

    Allah akupe umri mref na afya njema sheikh wet

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @shamtenyambega2944
    @shamtenyambega2944 8 дней назад

    Allah akulinde sheikh wetu

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @BeatriceJoas-vs4ld
    @BeatriceJoas-vs4ld 5 дней назад

    Safi sana vionggozi wa namna hii, napongeza sana Kwa uongozi wako, mungu akulinde, nawapongeza na waumini wote, kuchanguwa jembe,safiiii wewe ni jembe

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  5 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @bakarimmbaga2344
    @bakarimmbaga2344 9 дней назад

    Shekh mwenyezi mungu akupe kheri katika dunia insha allah. Ni kweli ufisadi unaofanywa na waliopewa dhamana ni muda sasa unakuwa ni suala la kawaida, ila wapo waliokamatwa na kilo 4 za nyama ya swala walisha hukumiwa vifungo na kama khisan za baadhi ya mawakili wangeozea magerezani😢😢

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @johnboscomasumbuko1073
    @johnboscomasumbuko1073 10 дней назад +1

    Asante na hongera kwa kusimama kwenye nafasiyako

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 10 дней назад +1

    Mungu akulinde sana. Sheikh ponda. Huu ndio ukweli serikali yetu imekuwa ndio fisadi mkubwa wa kuhiujumu nchi

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @paulremigiuspaul3293
    @paulremigiuspaul3293 11 дней назад +2

    Stand up with Justice being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @chanikaexerciseclub
    @chanikaexerciseclub 9 дней назад

    Asanteee

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  9 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 8 дней назад +1

    She Ponda Kwa hakika Bila unafiki moyoni mwnangu Mwenyenzi MUNGU akujalie baraka,Ww ni mzalendo halizi nakweli ni nani WA Mnyanzi MUNGU.Ahla akujalie Rehema kubwakubwa nandogondogo Baba yeti.

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @abdallahmtula9467
    @abdallahmtula9467 11 дней назад +1

    Allah akuhifadhi.
    N kwel hali n mbaya mtaani,yaani uku hatuelewi kabisaaa

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @EmanuelIdd
    @EmanuelIdd 10 дней назад +2

    Hongereni sana mnaotusemea Ivo mwenyezi mungu awalinde

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  10 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @user-ml9oe2ex4p
    @user-ml9oe2ex4p 7 дней назад

    Alah amlinde sherkh ponda issa ponda rafiki wa kamanda lissu❤❤❤

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  6 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia

  • @ShabaShaab
    @ShabaShaab 8 дней назад

    Allah akulinde sheikh wetu...wananchi wa hali ya chini tunateseka na hakuna anaetuona

    • @ICONTVTZ
      @ICONTVTZ  8 дней назад

      Asante Kwa Kutufuatilia