DR. MAGUFULI AKIFAFANUA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Hapa alikuwa akimjibu Mh.Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti aliyetaka sheria ipindishwe ili watu walipwe fidia lakini Kamanda Magufuli alimtolea uvivu - tuungane kuangalia hii clip!

Комментарии • 72

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 3 года назад +8

    Ulale salama baba ang, Mungu akuweke mahala panapostahili

  • @seifibrahim3883
    @seifibrahim3883 3 года назад +8

    Genius man ever happened 🙏🙏rest well father

  • @neemaabeli4172
    @neemaabeli4172 2 года назад +4

    Mungu ana makusudi huyu Mzee kuzaliwa Tanzania 😭😭😭😭

  • @clementk.2561
    @clementk.2561 9 лет назад +8

    Tingatinga huyo. Hana mchezo. Big up Mheshimiwa Magufuli. Mungu akikusaidia ukishinda uchaguzi. Hakikisha wembe huo huo. Tunachotaka watanzania ni maendeleo.

    • @lshayo1658
      @lshayo1658 8 лет назад +2

      +Paul N. Na imebaki kuwa hivyo. Speed ile ile

  • @husseinlutambi9247
    @husseinlutambi9247 8 лет назад +11

    We are more than being lucky to have Magufuli as a Tanzania president. Hongereni sana kwenu mliofanya maombi kumpata kiongozi bora.

  • @MzeeMoja1
    @MzeeMoja1 9 лет назад +11

    Tanzanians you are lucky to be led by this man. In Kenya we dream for this kind of leadership.

    • @BBCFintl
      @BBCFintl 8 лет назад +1

      Change in Kenya will begin with you and me...the person who can influence a village voter. When salt, sugar and kangas donated around voting day are what you consult to determine your vote, we will never get a Magufuli leading Kenya.
      Zabde-Ezra Ayienga, www.villageinmotion.ca, Toronto, Ontario, Canada.

    • @inocentnjau5836
      @inocentnjau5836 2 года назад

      Fffc

  • @kombedavis4056
    @kombedavis4056 2 года назад +4

    R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!

  • @emmanuelsende1349
    @emmanuelsende1349 3 года назад +7

    Tutakukumbuka Sana JPM😭😭😭😭

  • @nassormasoud2784
    @nassormasoud2784 3 года назад +3

    Rest In paradise My favorite PRESIDENT Ever your soul is in heaven Always We believe in You our lovely friend. #CHUMA JPM.

  • @joelkahuya8356
    @joelkahuya8356 3 года назад +5

    Jamaa alikuwa mashine tata dah! Tupate wap tena kama huyu jmn?

  • @ezekiahdeyah4456
    @ezekiahdeyah4456 3 года назад +4

    Baba wew atutakuxahau kumbe ulianza zaman xana 😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @zuhuraibrahimu7098
    @zuhuraibrahimu7098 3 года назад +1

    Dah. Tangulia jembe langu Mungu akipenda tutaonana. Inshaallah.

  • @fredyrobert8751
    @fredyrobert8751 3 года назад +1

    Mungu ailaze Roho yako pema peponi my President JPM.

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 2 месяца назад

    Hata mimi ukuta wa nyumba ya baba nimebomoa nani abaki sasa R. I. P baba😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @paschalekagito3507
    @paschalekagito3507 3 года назад +2

    Napenda sana jinsi ulivyokuwa shujaa . next na mimi nikija kufikia hapo ulipokuwa umefika .ulikuwa unawatumikia wananchi kweli kweli

  • @elishaobadia8829
    @elishaobadia8829 Год назад +1

    Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba

  • @pastoralexanderarthur
    @pastoralexanderarthur 9 лет назад +7

    MR. President

  • @ombeninnko1800
    @ombeninnko1800 4 месяца назад

    Hii clip sichokag kuitazama
    RIP comrade

  • @claymond1261
    @claymond1261 6 лет назад +1

    2kea zamani,magufuli alikuwa noma ss ndio,moto kbs safi muheshiwa kwa kuwanyooosha👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @hassankaapu8904
    @hassankaapu8904 8 лет назад +6

    mr presedent unatisha kama simba baba 'ni rais pekee uliewah kutimiza falsafa yako hile ya hapa kaz tu'

  • @raymondndaizele8801
    @raymondndaizele8801 5 лет назад +2

    Haina sauti bila earphone mkuu

  • @makara6671
    @makara6671 Год назад

    I will love u jpm forever ❤️❤️❤️

  • @vince_vinson.2083
    @vince_vinson.2083 5 лет назад +1

    Chuma hicho walikua wanakijaribu enzi hizo. Sasa mnataka nini, "Anafuata sheria zenu mlizoziweka wenyewe".

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin7090 4 года назад +1

    Kumbe ukweli uliusema na tunaendelea kuisema. # unashusha data vibaya mno

  • @ThomasMagoti-it4ty
    @ThomasMagoti-it4ty Год назад

    My presdent❤ rest in peace

  • @omaryjamaly
    @omaryjamaly Год назад

    Rip anko magu

  • @makara6671
    @makara6671 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @johnmathenge3406
    @johnmathenge3406 3 года назад

    Na ignorance of law is No defence.

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba821 3 года назад +1

    Always wearing African badge left side of his chest

  • @fredinandmarcel3327
    @fredinandmarcel3327 9 лет назад +2

    Jembe

  • @tonyi6807
    @tonyi6807 3 года назад

    Wanaisraeli walimlilia Mussa siku Arobaini na Kukiri mioyoni na midomoni mwao Hawatapata Mtu kama yeye .....@John P.J. magufuli daima Umoyoni na fikra zangu. 17th.March.

  • @Joseph-l9r2l
    @Joseph-l9r2l 7 месяцев назад

    Duuuu baba lala salama

  • @bzablonsenior9368
    @bzablonsenior9368 3 года назад

    kweli tumepoteza chuma ambacho Mungu alituletea

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад

    Rip

  • @sonkosolembasimba821
    @sonkosolembasimba821 3 года назад

    Rip true son of soil

  • @lucasmogoile7097
    @lucasmogoile7097 3 года назад

    Sisikii sauti lakini kwa kumuangalia tu mudi yake hapo unaelewa moyo wake wa kuwatumikia watu

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 7 месяцев назад

    RIP JPM

  • @godluckmwandumbya8648
    @godluckmwandumbya8648 4 года назад

    Mbona amna sauti

  • @peterisdory8844
    @peterisdory8844 3 года назад

    😭😭😭😭😭

  • @samsonkaboko5137
    @samsonkaboko5137 2 года назад

    Watanzania tunamkosaje Magufuli??

  • @robertchristian4010
    @robertchristian4010 3 года назад

    Lala salama baba

  • @richardkayuguyugumasalu2594
    @richardkayuguyugumasalu2594 7 месяцев назад

    Chuma hicho dah

  • @charahabilrachadi210
    @charahabilrachadi210 2 года назад

    Rip JPM

  • @mwemezinnosentrwamafa6088
    @mwemezinnosentrwamafa6088 4 года назад

    Da! Huyu jamaa bhana!

  • @issayamshana3750
    @issayamshana3750 3 года назад +1

    Pale hawalipwi

    • @elishaobadia8829
      @elishaobadia8829 Год назад

      Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba

  • @abdallahhamza9689
    @abdallahhamza9689 3 года назад

    Mmekata sauti hahaaa

  • @jonathanmlinda2580
    @jonathanmlinda2580 4 года назад

    Daaah mkuu kumbe alikua jembe

  • @millitarybattalion7515
    @millitarybattalion7515 3 года назад

    Mbona hakuna sauti

  • @gideonkalumbu5220
    @gideonkalumbu5220 4 года назад

    MUNGU PEKEE alikuona Wewe.

  • @mwitanyangwe7206
    @mwitanyangwe7206 6 лет назад

    Mbona sauti Haitoki ?

  • @jamesthomas390jj
    @jamesthomas390jj 4 года назад

    Daah huyu jamaa huyu

    • @mayaally2512
      @mayaally2512 3 года назад

      Allah amlaze mahala pema alisimamia msimamo wake

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 4 года назад

    Uyu jembe

  • @jimsjoelwisdom88
    @jimsjoelwisdom88 5 лет назад

    Kwanini Haina sauti aaaaaaaah

  • @nadhirusadick7446
    @nadhirusadick7446 3 года назад

    Daaah hakuna saut ila unataman kuangalia hata actions zake

  • @jumaigoti8638
    @jumaigoti8638 2 года назад +1

    Tutakumisi sana

  • @lordsmenas3267
    @lordsmenas3267 3 года назад

    RIP

  • @asueddy1465
    @asueddy1465 3 года назад

    😭😭😭😭😭

  • @mwansasu
    @mwansasu 6 лет назад

    Mbona sauti haitoki?