DR. MAGUFULI AKIFAFANUA KUHUSU HIFADHI YA BARABARA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Hapa alikuwa akimjibu Mh.Chenge a.k.a Mzee wa Vijisenti aliyetaka sheria ipindishwe ili watu walipwe fidia lakini Kamanda Magufuli alimtolea uvivu - tuungane kuangalia hii clip!
Ulale salama baba ang, Mungu akuweke mahala panapostahili
Genius man ever happened 🙏🙏rest well father
True
Mungu ana makusudi huyu Mzee kuzaliwa Tanzania 😭😭😭😭
Tingatinga huyo. Hana mchezo. Big up Mheshimiwa Magufuli. Mungu akikusaidia ukishinda uchaguzi. Hakikisha wembe huo huo. Tunachotaka watanzania ni maendeleo.
+Paul N. Na imebaki kuwa hivyo. Speed ile ile
We are more than being lucky to have Magufuli as a Tanzania president. Hongereni sana kwenu mliofanya maombi kumpata kiongozi bora.
Tanzanians you are lucky to be led by this man. In Kenya we dream for this kind of leadership.
Change in Kenya will begin with you and me...the person who can influence a village voter. When salt, sugar and kangas donated around voting day are what you consult to determine your vote, we will never get a Magufuli leading Kenya.
Zabde-Ezra Ayienga, www.villageinmotion.ca, Toronto, Ontario, Canada.
Fffc
R.I.P JOHN JOSEPH MAGUFULI.....mzalendo wa kwel na msema kweli daima!
Tutakukumbuka Sana JPM😭😭😭😭
Rest In paradise My favorite PRESIDENT Ever your soul is in heaven Always We believe in You our lovely friend. #CHUMA JPM.
Jamaa alikuwa mashine tata dah! Tupate wap tena kama huyu jmn?
Baba wew atutakuxahau kumbe ulianza zaman xana 😭😭😭😭😭😭😭😭
Dah. Tangulia jembe langu Mungu akipenda tutaonana. Inshaallah.
Mungu ailaze Roho yako pema peponi my President JPM.
Hata mimi ukuta wa nyumba ya baba nimebomoa nani abaki sasa R. I. P baba😢😢😢😢😢😢😢😢
Napenda sana jinsi ulivyokuwa shujaa . next na mimi nikija kufikia hapo ulipokuwa umefika .ulikuwa unawatumikia wananchi kweli kweli
Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba
MR. President
Hii clip sichokag kuitazama
RIP comrade
2kea zamani,magufuli alikuwa noma ss ndio,moto kbs safi muheshiwa kwa kuwanyooosha👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
mr presedent unatisha kama simba baba 'ni rais pekee uliewah kutimiza falsafa yako hile ya hapa kaz tu'
Haina sauti bila earphone mkuu
I will love u jpm forever ❤️❤️❤️
Chuma hicho walikua wanakijaribu enzi hizo. Sasa mnataka nini, "Anafuata sheria zenu mlizoziweka wenyewe".
Kumbe ukweli uliusema na tunaendelea kuisema. # unashusha data vibaya mno
My presdent❤ rest in peace
Rip anko magu
❤❤❤❤❤❤❤
Na ignorance of law is No defence.
Always wearing African badge left side of his chest
Jembe
Wanaisraeli walimlilia Mussa siku Arobaini na Kukiri mioyoni na midomoni mwao Hawatapata Mtu kama yeye .....@John P.J. magufuli daima Umoyoni na fikra zangu. 17th.March.
Duuuu baba lala salama
kweli tumepoteza chuma ambacho Mungu alituletea
Rip
Rip true son of soil
Sisikii sauti lakini kwa kumuangalia tu mudi yake hapo unaelewa moyo wake wa kuwatumikia watu
RIP JPM
Mbona amna sauti
😭😭😭😭😭
Watanzania tunamkosaje Magufuli??
Lala salama baba
Chuma hicho dah
Rip JPM
Da! Huyu jamaa bhana!
Pale hawalipwi
Usagara kisesa hawatalipwa fidia 😂😂😂😂rip baba
Mmekata sauti hahaaa
Daaah mkuu kumbe alikua jembe
Mbona hakuna sauti
MUNGU PEKEE alikuona Wewe.
Mbona sauti Haitoki ?
Mwita Nyangwe use headphone
OK ngoja nijaribu tuone
Daah huyu jamaa huyu
Allah amlaze mahala pema alisimamia msimamo wake
Uyu jembe
Kwanini Haina sauti aaaaaaaah
Restart simu yako na uplay upya sauti utaipata
Daaah hakuna saut ila unataman kuangalia hata actions zake
Tutakumisi sana
Sana aise
RIP
😭😭😭😭😭
Mbona sauti haitoki?
Tumia headphone 🎧
@@StephenMJohn-hx8gu mwambie