Full video ya Dr Slaa kuhusu Lowassa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 438

  • @joelpeter1815
    @joelpeter1815 6 лет назад +18

    This Video I will repeat watching for all of my lifetime Nice Dr Wilbroad Peter Slaa, here is really political science.

    • @owenkaden5378
      @owenkaden5378 3 года назад

      I realize I am pretty randomly asking but does anyone know of a good website to stream new movies online?

    • @cruzotto608
      @cruzotto608 3 года назад +1

      @Owen Kaden Flixportal :P

    • @owenkaden5378
      @owenkaden5378 3 года назад +1

      @Cruz Otto thanks, signed up and it seems like they got a lot of movies there =) Appreciate it !

    • @cruzotto608
      @cruzotto608 3 года назад

      @Owen Kaden glad I could help xD

    • @amossndundulu
      @amossndundulu Год назад

      {00/⁰,2s,,3vi

  • @otswardowden9785
    @otswardowden9785 7 лет назад +10

    let me put a record here, this man is going to be some one in this country. is going to be selected some where 🇲🇷🇲🇷ths is tz

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 5 лет назад +12

    Msema kweli mungu akupe maisha marefu

  • @alfredjustinian6193
    @alfredjustinian6193 5 лет назад +6

    Nmeipenda saana hiyo ndugu ww utabaki kuwa na real siasa like that

  • @evalinnkumbi4139
    @evalinnkumbi4139 6 лет назад +3

    ni Mungu anawatumia ili tujue hicho chama cha chadema ni matapeli asante Dr. slaa Mungu akubariki.

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 7 лет назад +7

    You have always been an asset...big up Slaa.

  • @joselinetibera7794
    @joselinetibera7794 2 года назад

    Kiukweli Dr. Mungu akupe maisha marefu na yenye baraka tele,ulipo ongea baadhi ya watu hawakukuelewa hata badhi ya viongozi wa dini waliopewa vijisent walikupinga lkn ulichokitoa ndani ya moyo wako kilikua dhahabu na wenye akili tulikuelewa.Chadema Sasa iko wapi na walio ingia kuharibu walishachanja mbuga now na waliopo Wana mbwera tu.Mungu akubariki maana wale bendera fwata upepo hawana option now.Pia Ako Tz tutakukumbuka daima ulikua Jembe

  • @mwampomacho6344
    @mwampomacho6344 5 лет назад +1

    Mungu aongeze idadi ya kina Dr. Slaa na Magufuli. Mungu ibariki Tanzania!

  • @emilymalembo8576
    @emilymalembo8576 6 лет назад +1

    ...siasa si uadui..ukweli utasimama daima..amani itadumu daima,viva Tanzania na watu wake wote(Hapa kazi tu...)

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 лет назад +7

    Nakupenda Dr slaa speech yako inapendeza unaonyesha uzalendo ndani nchi hii wewe unafaa kufanya kazi na rais magufuli wote wazalendo

  • @musamuhemil2802
    @musamuhemil2802 5 лет назад

    Mwenyezi mungu akuongoze katika njia iliyonyooka na akukinge na maasidi amini,nimeipenda sana hutuba ako

  • @agustinomiyangu7119
    @agustinomiyangu7119 7 лет назад +8

    hongera sana mzee wetu kwamsimamo wako.

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 7 лет назад +16

    well say dr. silaha Mungu akuzidishie hekima na maarifa na siku zote ubaki katika kweli maana ukweli ndo unaomfanya mtu kuwa huru. nchi za afrika haziendelei kwasababu tunaongozwa na viongozi vipofu kwa wananchi wengi vipofu wa fikra.

  • @fidelmbai3642
    @fidelmbai3642 2 года назад

    2021 naangalia kama unaangalia gonga like yako

  • @latifasaid2535
    @latifasaid2535 9 лет назад +5

    lof*z tunapenda ushabiki jman.....tnx mzee....mwnye macho haambiwi tazama mwny akili hafikirishwi ila anafikiria mwnyew....shukran sana mzee an shukran sana millard

    • @hamadmaulid4101
      @hamadmaulid4101 6 лет назад

      Latifa Said

    • @davidbalele7501
      @davidbalele7501 6 лет назад

      Siasa ni uongo usimwamini mwanasiasa yeyote Kwan hatakupeleka Kama gari bovu. Huyu mzee kwanini hakwenda takukuru kuripoti anataka kupewa rushwa

    • @meshaester2827
      @meshaester2827 6 лет назад

      Latifa Said good

    • @urbandigitaltz
      @urbandigitaltz 5 лет назад

      Hahaha

  • @lucaskitego6311
    @lucaskitego6311 5 лет назад +3

    msema kweli ni mapenzi wa mungu......!!!!

  • @tvyetu4884
    @tvyetu4884 4 года назад +1

    Mzee uliona mbali sana

  • @musaabubakary7711
    @musaabubakary7711 6 лет назад +6

    Big up doctor nakuaminia

  • @paschalmartin7714
    @paschalmartin7714 6 лет назад +5

    Uko vizuri Dr wilbroard slaa hupendi unafki mwanasiasa mzalendo unafaa kufanyakazi na rais JPM

  • @samwelndatta8453
    @samwelndatta8453 7 лет назад +10

    he was the icon of upinzani Tanzania

  • @nas153
    @nas153 9 лет назад +4

    Shukran sana.....unatuokoa sana kwa taarifa na high quality vidoes

  • @joselinetibera7794
    @joselinetibera7794 2 года назад

    Miladiayo hongera Sana kwa taarifa hii iwe kumbukumbu kwa wale waliobeza

  • @saidalumuli4938
    @saidalumuli4938 5 лет назад +10

    Miaka yote Dr. Slaa sasa Leo nimekuelewa vizur hongera Dr slaa

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 4 года назад +2

    Dr Slaa ni mmoja ya wabunge wa upinzani waliokua wanamuumga mkono JPM akiwa waziri kwakuwa JPM alikua smart

  • @jesaminzo
    @jesaminzo 5 лет назад

    Sasa mpo nyumba moja baba, naona mtaishi vizuri sana. Ukombozi wa nchi hii utafanywa na watanzania wenyewe na si mtu mmoja.

  • @nsindeemilian2950
    @nsindeemilian2950 9 лет назад +5

    nakupongeza sana Millard ayo kwa kujitahidi kutujuza kila linalotokea.

  • @johnmwambungu7434
    @johnmwambungu7434 5 лет назад +3

    Lowassa ni liability ndo maana hata ccm waliengua jina lake na sasa imedhihirika wazi...hongera sana Dr slaa wewe ulikuwa mkweli sana lakini wenzako walikuwa wasaka tonge tu.

  • @salumjonas7636
    @salumjonas7636 2 года назад

    One among our legend politicians in our country, God bless you Dr. Slaa

  • @renaldakamugishazeramulake940
    @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад +1

    Uko vizuri, Mh, MAGUFULI anapenda watu makini km Slaha. Nakutabiria Neema km Mama Anna RC KILIMANJARO.

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад

    éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @faustinedudiyek9141
    @faustinedudiyek9141 5 лет назад +2

    God bless you Dr wherever you are.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 2 года назад

      Mungu akupe nguvu sanaaaa kwa sababu wenzio walitaka wamkombe pesa tu wakati walikuwa wanamtuhumu kwa richmond sasa ilikuwaje wakampokea wasaka tonge hao

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 года назад

    Kwa kweli ulikuwa una maono ya mbali sana mungu akupe nguvu sana

  • @michaeltv9008
    @michaeltv9008 5 лет назад +6

    Kweli Leo nimeamini ulikuwa sahihi kabisa

  • @hafidhyousuph7592
    @hafidhyousuph7592 5 лет назад +19

    Dr Slaa uliyo yasema wakati ule leo yametimia ulikuwa sahii. Lowasa kweli karudi ccm

    • @josephatmartin3449
      @josephatmartin3449 5 лет назад

      Nyote mnanyima vijana haki ya kuwa viongozi. Miaka ya mwisho ya kulitumikia Taifa ni miaka 60 sasa nini mnachongangani katika uongozi kama sio wizi.

    • @yusufukazamba2391
      @yusufukazamba2391 5 лет назад

      sasa km Leo hii amekukuta huko ccm ulikohamia je utarudi tena chadema? tunahitaji majibu;

    • @samwellwiza5339
      @samwellwiza5339 5 лет назад +1

      YUSUFU KAZAMBA slaa alishaachana na siasa kwani ukumbuki..

  • @mkanduzmussaz2288
    @mkanduzmussaz2288 5 лет назад +1

    Lowasa alikuwa aset kubwa sana kwa mwaka ule kwakuwa ishu ilikuwa ni urais ndo mvurugano ukazaliwa ila kwa kuondoka kwake lowasa upinzani ni dhahiri kuwa sasa wapinzani hawatakuwa na aset nyingine zaidi ya lisu pekee sasa kazi upinzani munayo kwa mwaka 2020

  • @hollojuma9538
    @hollojuma9538 Год назад

    Hakika natamani 2025 ugombee Kula yangu nawafus wangu 30 tukopamoja 🤝 nawe

  • @MohdRashid-cu9qb
    @MohdRashid-cu9qb 5 лет назад

    Hongera Dr Slaa umedanga mpaka umepata cheo asante baba

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 5 лет назад

    NILIKUA IGUNGA.KIPINDI CHA KAMPENI BAADA YA ROSTAM KUJIUDHURU.NILISHINDA NJAA KWA KUKUPENDA DK SLAA.ULIVOONDOKA CHADEMA NAMI NIKAANZA KUDHARAU MAMBO YA MACHADEMA.NIPO NZEGA KAMA VIPI POW.(I LOVE U)SILAA

  • @aminaayoub6400
    @aminaayoub6400 9 лет назад +1

    Mrudie mungu siasa wachie makada💪💪✌✌

  • @mawazotarimo1838
    @mawazotarimo1838 6 лет назад

    Padri ana mke et!!!!!!! Muogope Mungu wako Dk Slaa

    • @erastomichael1632
      @erastomichael1632 2 года назад

      Hakuna mahali popote ktk Biblia Mungu amemkataza mwanadamu kuwa na mke

  • @ibraobed8273
    @ibraobed8273 5 лет назад +3

    Uncle magu mtafute silaa akupe ukwel wa nchi uyu jamaa anayo siri kubwa sana.

  • @isayalalika6189
    @isayalalika6189 5 лет назад +1

    pole sana katibu wetu Mstaafu!!

  • @kiharasadiki7009
    @kiharasadiki7009 7 лет назад +33

    Mimi ni CCM,ila mzeeukopoasana,barikiwa

    • @renaldakamugishazeramulake940
      @renaldakamugishazeramulake940 7 лет назад +1

      Kihara Sadiki huyu Slaha , MAGUFULI atakuwa yuko anampangia Neema yuko vizuri sana.

    • @arendethomas3695
      @arendethomas3695 6 лет назад

      Kihara Sadiki unachengwa

    • @kafumugaspal477
      @kafumugaspal477 6 лет назад

      enderea kua ccm

    • @dinomorea7453
      @dinomorea7453 6 лет назад

      Kihara Sadiki wakati mlipokuwa mnamtukana Kuwa kaiba mke Wa mtu hukumkubali?

    • @mariyamzuheir6255
      @mariyamzuheir6255 5 лет назад +3

      Kihara Sadiki CHADEMA SIYO CHAMA CHA KUWEZA KUONGOZA NCHI hawana ubavu huo , maana hawako na msimamo thabiti . VIZURI Dr. SLAA ulivolitambuwa hilo na UKASEPA MAPEEMA , na kuwachia kina-TL , Mbw na wengine watafunane

  • @allyshabanishabani8909
    @allyshabanishabani8909 5 лет назад +4

    Mtanzaniyaaaa mwenzanguuu, ebu fikiria lowasa akigombeyaa ccm je chadema watamwambiajeeee???????

  • @piusmgeni1434
    @piusmgeni1434 9 лет назад +4

    mm kazi kweli kweli politics is a clean job!

  • @leonardkigutu7716
    @leonardkigutu7716 5 лет назад +2

    Jamani huyu mtu anaakili sana,achoshi kumsikiliza...anaongea point tu....huyu ni kiongozi makini sana...nampenda sana.

  • @mpokimwaseba2301
    @mpokimwaseba2301 8 лет назад +9

    nimeupenda ukwel na hotuba ya mheshmiwa

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 7 лет назад +10

    slaa uko vzr, natamani Sana uje CCM usaidiane na mh magu kutumbua majipu!

    • @sylviaernest7422
      @sylviaernest7422 6 лет назад

      Ephraim Ndelwa mimi pia nataman aje

    • @mkabesamaashao6805
      @mkabesamaashao6805 5 лет назад

      Kwa kuwa ni balozi wa sweden tayari ni mwana ccm. Maana anafanya kazi na serekali ilio madarakani. Ameteuliwa na Rais wa nchi inayoongozwa na CCM

    • @mkabesamaashao6805
      @mkabesamaashao6805 5 лет назад

      Awe mmbo ya ndani

  • @ramadhanikaita9672
    @ramadhanikaita9672 5 лет назад +3

    Mimi nasema hivi huyu Mzee ana akili nyingi ni mkweli hayumbishwi na anafaa kua raisi ndo maana magufuli alimteua kua balozi namkubali sana DK slaa

  • @mhhaji7321
    @mhhaji7321 5 лет назад +4

    Duh. Gwajiboy kumbe anapiga deal kote kote!! Deal ahera na deal Dunia.

  • @daudshaza1221
    @daudshaza1221 5 лет назад +3

    Wee mzee unakili sana

  • @mugesibenedict2722
    @mugesibenedict2722 7 лет назад +9

    slaa anafaa hata hii serikali ya sasa hapwai hata kidogo. kumbe mengi hatujui ee

  • @dicksonbundala8608
    @dicksonbundala8608 7 лет назад +16

    dah kweli huyu mzee ni mtakatifu

  • @jamesswai1683
    @jamesswai1683 Год назад

    Hii siku mzee aliumiza wengi Sana..ila Mungu mkubwa chadema inazidi kumea

  • @jumajaffary9698
    @jumajaffary9698 6 лет назад +3

    Huyu jamaa yuko sawa sawa

  • @obby5863
    @obby5863 7 лет назад +11

    Rudi nyumbani tujenge nchi Dr,
    Tunahitaji busara zako ukiwa chama chochote.

  • @omariliwikila1979
    @omariliwikila1979 5 лет назад +3

    Dk silaa ni kweli ulikuwa mpinzani wa kweli lakn kina mbowe na lisu walikuwa wapiga deal tu.

    • @alexrichardmgonela539
      @alexrichardmgonela539 4 года назад

      Sana tena wanatia aibu ndio mana wanaenda kuomba omba nchi za watu ili walete machafuko kwetu, wanashindwa kusimamia taifa kwenye mambo ya msingi wanalikandamiza ..kama lisu hawatufai kabisa

  • @jastinistivini9687
    @jastinistivini9687 2 года назад

    Mkuu kamanda wetu tusamehe baba rudi ktk chamachako

  • @issahkibona9146
    @issahkibona9146 9 лет назад

    Ahsante millardayo we tujuze

  • @shafiihakeem1016
    @shafiihakeem1016 5 лет назад +2

    we mzee nomaa xana uliona mbali leo lowasa kaenda ccm duh!

  • @noellyamuya556
    @noellyamuya556 5 лет назад +1

    Tatika wanasiasa waongo Tanzania docter slaa nae yumo

  • @amalakh1990
    @amalakh1990 9 лет назад +18

    oh poor Tanzania,, tunapoteza viongozi mashuhuri kama hawa kwa kung'ang'ania wezi ...thats why nchi yetu hatuendelei .. tuamkeni watanzania ...ili nchi iendelee lazima tupate kiongozi anaepigana na rushwa ... angalia nchi za wenzetu ,, kiongozi akionekana kala rushwa ananyongwa ... china, korea etc wangalieni leo hii wako wapi ?

    • @starjafarisaidi.mungunimuw1880
      @starjafarisaidi.mungunimuw1880 7 лет назад +1

      Doctor.slaa we ni nomaaaa!!!! nilienda siasa kwa ajili yako na zito kabwe hawa wengine ni vilaza tu na wamekalia maslahi binafsi

    • @barrackbarrack2171
      @barrackbarrack2171 5 лет назад

      amalakh aak una akilisanawewe safisana gd

    • @makameabdalla8928
      @makameabdalla8928 5 лет назад +1

      Ulipokosea ni kutaka ukombozi wa Taifa. Tayari ukombozi Dr. Slaa ulishafanyika kupitia TANU kwa Tanganyika na ASP kwa Zanzibar chini ya Mwl Nyerere na Mzee Karume. Viongozi hao wakaunganisha nchi za Tanganyika na Zanzibar kuunda Taifa la Tanzania.
      Kwahivyo kosa ni dhamira mbovu ya ukombozi. Usahihi hapa ni kutaka kuongoza nchi.
      Mengine yote uliyoyazungumza uko sawa Dr. Slaa. Unafaa kuwa Rais wa nchi kwani una uthubutu na unasimamia unachokiamini. Aidha inaonekana unachokisema moyoni ndio kilicho moyoni mwake. Hana unafiki. Hongera kwa Rais Magufuli kukuteua kuwa Balozi wetu nchini Sweden. Uko vizuri sana Dr Slaa

    • @abassalehe6371
      @abassalehe6371 5 лет назад

      Hiyo sheria utaambiwa tanzania hatuna utu

    • @ernestsinje9532
      @ernestsinje9532 5 лет назад

      ILA NCHI INAENDELEA WE RUDI BONGO UONE MMH!

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 7 лет назад +16

    Mkweli huchukiwa na wapumbavu na kupendwa na werevu. Dr silaha nakukubali siku zote unabaki kama kiongozi mwenye nia njema na wananchi ndo maana unasema ukweli huku ukionesha msimamo kwa kile unachokifahamu tangu zamani hata kumbukumbu zako zinaonesha hivyo, wenye tamaa na fedha wamebadili msimamo wao kwa tamaa zao bila kujali maslahi ya wananchi na wapumbavu stil wanawashangilia bila kujali hatma ya maisha yao hapo baadae.

    • @emanuelfransis8637
      @emanuelfransis8637 6 лет назад

      Timoth Mwakakusyu mheshimiwa umetuangusha. Uuuuuuuuuuu

  • @emanuelshula6030
    @emanuelshula6030 7 лет назад +7

    Dr.alikuwa na hoja ya msingi

  • @innocentnicholus3264
    @innocentnicholus3264 9 лет назад +2

    They say everybody has got a price I wander how much his was.
    No body is perfect slaa no body I didn't know one has to be a saint to join chadema and run for the presidency haha

  • @jamesbalele3522
    @jamesbalele3522 7 лет назад +14

    mzee, uko saw Kabisa, Hakika unamuogopa mungu, president MAGUFULI! mwingize kwenye serikali yako huyu mzee, ili tuvune hekima zakee,

    • @sylviaernest7422
      @sylviaernest7422 6 лет назад

      James Balele kwel jpm achelewi tayari mzee

    • @teresiaasenga5142
      @teresiaasenga5142 6 лет назад

      James Balele huyu tomekubali sana raid wetu mwelewa

    • @kafumugaspal477
      @kafumugaspal477 6 лет назад

      Mimi mwenyewe namkubar Mzee magufur

    • @daudimfinanga6312
      @daudimfinanga6312 5 лет назад

      Acha ujinga upo nchi gan ww unakurupuka kwan haujui yupo kitengo huyo!

    • @patrickherman1906
      @patrickherman1906 4 года назад

      Ivi we Daudi uko sawa kweli? Ujinga gani sasa kama hajui asiongeee!? We ndo mjinga ila kuuliza au kuongea co ujinga bali ungemuelewesha tu ndo jambo jema

  • @dastanmagogwa5214
    @dastanmagogwa5214 5 лет назад +6

    muzee uliyaona lakini mwenyekiti wetu mbowe akapuuza!

  • @mchomvuthuma8329
    @mchomvuthuma8329 7 лет назад +13

    Magufuli
    mpe
    kazi
    Silaha
    awanyooshe
    hao

  • @SQaedSharaffSQS
    @SQaedSharaffSQS 5 лет назад +1

    Mh Dr Slaa,Sema chochote kuhusu, mh Lowasa kurudi nyumbani, nyumba ambayo Lowasa aliihama, na kuomba hifadhi mahali ulipokuwepo, lakini wakati anapokelewa ulipokuwepo, ukatoka mbio kukwepa ujio wake ulipokuwepo!! Je ule uzalendo wako uliotuaminisha kuwa wewe ni mtu Safi na mwenye msimamo bado unao huo msimamo, wa kutokukubali kuwepo alipokuwepo usiyemtaka

  • @rweyemamueustace1706
    @rweyemamueustace1706 5 лет назад +4

    Viongozi wangu wa chadema kama hayo ni kweli hebu jisafisheni,

    • @utukufumatengenezo4809
      @utukufumatengenezo4809 5 лет назад +1

      Tatizo wanaendekeza njaa kuliko kua viongoz wazalendo

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 5 лет назад

      @@utukufumatengenezo4809 Yako na ccm kuliko hayo kuendekeza njaa zao kwa migongo yenu

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Kwasasa wanajisafisha nn wakati too late.Mimi hili sakata toka nimeliona mwanzoni kabisa wakati Chadema wanamkaribisha Lowassa.Niliona kuwa kuna shida ndani ya chama chao kwakuwa watu maarufu chadema walikuwa kama wamepigwa butwaa.Mdee alikaa kimya,Lissu pia na Mnyika pia.Nikapata picha makubaliano si ya wote.Na hata Dr.Slaa wakati anaondoka nilisema kuwa ni kiongozi mwenye misimamo sahihi kwani hakukubali kumnadi Lowassa baada ya kumchafua majukwaan.Lakini watu walimpinga na kusema ni msaliti.

  • @katekistabussongocharles4058
    @katekistabussongocharles4058 6 лет назад +1

    Sawa baba Slaa,umenena vema, Gwajima ni mwanachedema,na si Askofu wa kanisa,maana hata mahubiri yake ni ya kichama na si yanayomhusu Mungu.

  • @modestamboya9382
    @modestamboya9382 5 лет назад

    Aaah wapi? Mkishapewa fungu mnaingilia kwingine. Mnajuana bhana.

  • @sadikidaudi1223
    @sadikidaudi1223 5 лет назад +1

    Mzee uliongea Maneno yanayo Ishi maana yashatokea kweli Dr uliona mbali.

  • @mealankosilvester2857
    @mealankosilvester2857 6 лет назад

    Your good

  • @justinejamangwa5979
    @justinejamangwa5979 6 лет назад

    Ukweli daima utakuweka huru,mzee uko vizuri

  • @francismapugilo4099
    @francismapugilo4099 6 лет назад +1

    Umesema kweli kabisa ,huo ni utapeli kwa Mbowe!!

  • @gordondavid6063
    @gordondavid6063 5 лет назад +2

    MZee na mkubar sana

  • @peterlema1604
    @peterlema1604 5 лет назад +16

    Baba hapa ndo naanza kuona ulikuwa unaangalia mbali.

  • @alexrichardmgonela539
    @alexrichardmgonela539 4 года назад

    Waoooo, hii inatuonesha uovu ulivyo

  • @goodlucksemba1145
    @goodlucksemba1145 5 лет назад

    Wanasiasa wa Kiafrika ni shida tupu !!! Wote mpo sawa tu.

  • @livingsonjr
    @livingsonjr 9 лет назад

    Shukrani sana, lakin mbona imeishia kati au una mpango wa kuiweka kipande kingine kilichobaki?

  • @atusheatushe7038
    @atusheatushe7038 5 лет назад +12

    Gwanjima ameanza zamani ee uhuni wasiasa masikofu waleo nishida sana

  • @abelianraphili5150
    @abelianraphili5150 3 года назад

    Dooh!! Leo Chadema imekufa, aisee dah!!

  • @maxmbotta5734
    @maxmbotta5734 5 лет назад

    Uko sawa kabisa baba

  • @sanyengekiyumba1417
    @sanyengekiyumba1417 6 лет назад

    Mungu yumwema

  • @philimonkiyanga4513
    @philimonkiyanga4513 5 лет назад +5

    Nchi yetu haitapata mpinzani wa kweli kama Dk slaa

    • @immamlowe7151
      @immamlowe7151 5 лет назад

      Philimon Kiyanga Hapana yeye pia nimlaghai maana alikuwa ana kadi ya Ccm mpaka mwisho naanailipia

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 5 лет назад

      @@immamlowe7151 Umeona een watu huwa hawaweki kumbukumbu wao hujipeleka kama midumu

  • @chichiboy7954
    @chichiboy7954 5 лет назад

    vizuri sana baba hakika wewe ni mteule

  • @meckymwandambo3977
    @meckymwandambo3977 5 лет назад +9

    Kumbe uongo chadema ulianza zamani

  • @goldgod9963
    @goldgod9963 6 лет назад +3

    sasa Tanzania mpya inajengwa tuwe wavumilivu titaxhinda

  • @simonjonas9592
    @simonjonas9592 5 лет назад +3

    Hotuba hii sio ya leo ni yasiku nyingi.. Milardo anatukumbusha yanayoenderea leo kwamatokeo ya zamani..

    • @ernestrafaeli1980
      @ernestrafaeli1980 5 лет назад

      Kwa hiyo utaondoka tena kwasababu usiee taka kajatena huko utaondoka tena

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca 2 года назад

    MWENDELEZO TAFADHALI... 🙏🙏

  • @samwellwiza5339
    @samwellwiza5339 5 лет назад +3

    Chadema mkiacha hisia za kiupinzani Mtamkumbuka huyu mzee...alijivua kiana na sababu zake zimetimia...

  • @Manassehpm
    @Manassehpm 5 лет назад

    Good remark Sir

  • @michakazojet1146
    @michakazojet1146 6 лет назад +1

    mbeba box huku canada mungu amekuonaa ila upo kwenye mtego baada ya 2020 au kabla watakutimua tuu ila umeongea point

  • @barrackbarrack2171
    @barrackbarrack2171 5 лет назад +4

    soo wakina mbowe tunduli walikula lushwa

  • @yunusmtonga2257
    @yunusmtonga2257 5 лет назад

    mzee anangaa kuku time kubali hongera slaa

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 5 лет назад +8

    Baada ya lowassa kurudi ccm nimesikiliza hii kwel silaa ulikuwa na mapenz na nch

    • @ukhtyalpha1344
      @ukhtyalpha1344 5 лет назад

      Nyie mnatekwa akili mara moja mh ndio maana mnanulika haraka kwa kudumazwa kiakili

  • @christianlutind1133
    @christianlutind1133 5 лет назад +2

    Aaaaaa Usiye mpenda kaja huko huko uliko je utaondoka tena?

    • @saimonmanyerezi7169
      @saimonmanyerezi7169 4 года назад

      Upande wa pili amekuwa mwanachama wakawaida tu,hapewi nafasi ya uongozi.

  • @2007_FA
    @2007_FA 9 лет назад +3

    thanks Milard

  • @kayenzemzynzyo3393
    @kayenzemzynzyo3393 9 лет назад +2

    Nanakupongeza Sana milladiayo