Poleni sana. Cha muhimu tujitahidi kujitofautisha na wanaotenda maovu. Pipi hizo ndo shida zinatumiwa na watu waovu hata watu wabaya wanaitumia sana pipi na vyakula, ukisafiri jitahidi kutogawa vyakula kwa watu ni hatari. Msingegawa pipi hakuna ambaye angewashambulia
Pole sana,tanzania sasa hakuna kukalimiana ubaya ubwela utakuta mtu anasema kusaidia hata ukikuta mtu anaomba msaada usijalibu kimbia mbali msaada wako ni chukizo kubwa sana
Saiz kuwa makin sana yaan huyu jamaa Rasta na mtandio huo kama waasi tuache kuiga vitu vya nje saiz watu wanahasira kali kutokana na matendo mabovu yanayoendelea😢😢😢
Sicial psychology. Usije ukampa mtu chakula, pipi au kituchochote cha kula. Ikitokea akafa, au kawekewa sumu na mtu mwingine harafu wewe ukampa chakula akafa ni msala. Usimpe kitu mtu akala. We mwache.
Na hawa wasanii wetu hawana mchango wowote katika jamii hawakemei mauvu mauwaji,nk zamani wasaanii ilikuwa ni kioo cha jamii kukitokea jambo wanapaza sauti kwa kuimva nk wao wako kwenye mahusiano mapya kila siku wanatangaza ngono tu halafu wala hawajihusishi na jamii ila jamii ikisikia msanii kafanya hv utakuta followers kibao ijinga tu
Hakuna kitu kibaya kama kujichukulia Sheria mkononi, ndio maana mimi nikikuta mwizi anapigwa huwa sishiriki kabisa maana unaweza jikuta jela maisha yako yote
Huu ni ukatili wa hali ya just sana. Hivi ni sisi waTanzania wa enzi za Baba wa Taifa kweli? Haya maisha yanatisha. Tulizoea kusaidiana katika kila hali Chini ya Balozi na NYUMBA KUMI. Hata kama mtu ni mgini aliitwa ndugu! Jambo kubwa WaTanzania tudumisha imani na Amani. Poleni sana Watanzania wenzetu.
@@simonmalegesi414 Hata mimi, mim nikimuona mtoto wa mtu au mtoto wako anakimbilia barabarani, motoni, kisimani, shimoni, au chooni au sehemu yoyote yenye hatari simuokoi kabisa. Kwa sababu unaweza ukamuokoa wakaja kusema ulikuwa unataka kumuiba.
katika story imeniuma toka mwaka uanze nii njoo nikigoma niwape kitu serikali hapo haina msaada itaishia kusema hasira kali na kukamata uongozi tu wa eneo ila kuna kitu nataka niwape kwa kila aliewagusa
Hali ni mbaya sana mtaani asee, hili tukio tulilishuhudia, tulikuwa Manyara kufanya kazi za ufundi hospitalini na kuna mama mmoja kati yao alituomba msaada ila tulishindwa kuwasaidia kwa wakat ule kwa sababu hata sisi gari letu wananchi walikuwa wanalitilia shaka na kuna sehemu hadi wananchi walitufatilia na boda boda kwa bahati nzur waliona tunaingia hospitali, tukaamua tugeuze gari twende polisi kutoa taarifa😢
Kenya hizi hasira kali wanazitumia kupambana na selikari haini sisi tunashindwa kupambana na matukio ya utekaji ambayo polisi haioneshi msaada tunaogopa polisi tunaumizana sisi wenyewe 😢
Serikali siipo ina kusubiri uelekeze hizo asira kali zako. Ukumbuke hapa sio kwa wapumbavu Kenya. Wanaumia serikali bado inaendelea madarakani nani mjinga hapo.?
@@MrishoMindu-zq7mzkwel kabisaa wakenya wanapenda kusifiwa fujo na hawabadilishi chochote rais bado ni Yule Yule njaa hiko pale pale Zaid wamepoteza ndg zao tu kwa kuuwawa kijinga
Nchi hii jamani tutashindwa kusaidiana pia hata kumsaidia mtt wa mtu, yaani hii nchi Bora ukutane na mnyama anaweza kukusamehe Ila binadamu atakumaliza .😢
Mngeuwawa nyinyi ndo mnaofanya mauwaji ya watoto pipi za nini na uku watu wana hasila yani ningekuwepo ningekuchinja kabisa mana tuna hasila kabisa mnauwa watoto wetu
Kutokana na huu ujinga eti usimsaidie usiyemjua leo kaja mama na mtoto mlemavu aliniomba hela nikamwambia ninazo lakini naogopa naweza kukupa huyu mtoto akafa usiku nikatafutwa yawezekana wakahisi nimewapa Jini. Kwahiyo kila mtu ajipange😂😂😂
Hao ni majambazi walitumia mtoto kama kisingizio ili wawaibie hao wenye gari. Kama nyama walisema ni za binadamu kwnn wazichukue na kugawana? Wanazipeleka wapi sasa kama ni za binadamu? Kwn wao wanakula nyama za binadamu?
Pole sana tunaomba serekali itusaidiye kwasababu tasisi tulifika sehemu hiyo tukasema tule chakula tulipomalisa tukato tukaigia kwenye gari letu akaja kijana anaye hendesha baskeli akago gari akapasua taa ya nyuma ya gari kusama tukamta wanachi wakajawegi watakatakutupiga bati mzuri mtendaji akatokea akatusaidi
Hadithi za pipi zimeenea kila mahali. Kwamba watoto hutekwa kwa kugawiwa pipi na wewe rasta unatisha bora mngekaa kimya kwenye gari lenu pipi imewaponza
Matukio ya wananchi kutoheshimu sheria.na kujichukulia maamuzi ya kikorofi.ni matokeo ya wanasiasa wachache wanaojaza chuki wananchi na serikali.na kuamini ndio njia sahihi.hebu tubadili.mitazamo.walao viongozi ngazi ya mtaa.wapatikane walio na elimu ya kiwango.kikubwa..isiwe.umaarufu TU.jamii ikielimishwa huku chini.serikali inakuwa.kwenye nafasi nzuri ya kuleta maendeleo.
Yaani huko tunakoelekea hata ukimkuta mtoto wa mtu anakufa barabarani tutashindwa kumsaidia sababu unawezaambiwa ni ww umpe dawa ya usingizi umbebe.Mungu atusaidie.
Watu wanaiba watto kwa kuwapa pipi so kama sio watekaji hacheni kujifanya wasamaria mwema nchi imeingia vitan ssi kwa ssi hatuaminiani sasaiv watto wanatekwa na kuriwa,,,ivyo wananch wanamaumivu sana,,,mnajua kabsaa pipi ndio chanzo kinacho kamatisha watto ivyo mkiwapa pipi watajua kabsaa ndio ware ware aisee nchi imearibka hii
Utaamini tu siku ikikutokea. Mim kuna siku tulikuwa kwenye daladala tumebanana nikawa natoa simu yangu mfukoni kwa shida kuna mzee alikuwa tumekaa siti moja akasema nampapasa nataka nimuibie
Hao njiwa nao mnapeleka wapi Tena majogoo nao nihitihani sana harafu wewe Rasta unauliza unakotoka hatamkoa wenyewe umeusau mbona havieleweki uchunguzi ufanyike zaid sikuhizi Dunia imeharubika sana usimuamini mtu hata kidogo sio kwamba namhukumu mtu laaa mungu ndio mjuzi wayote🙏🙏🇹🇿
Mnajibu comenti kifara sana imajin ungekua wewe Hawa walikodiwa kwenyeshuhuli yaupishi kwenda kupika nyumbani sio kwaajili ya kusave Hawa walienda kupika kwahiyo vituvyote walivikuta Kyle huwez jaji mtu, et mbona hawakuwa wamebeba masufuria ,, coz Hawa wamehama mkoa mmoja kwenda mwingine ,,acheni kuwatia doa
Iko iv ili tukio lilio tokea mm nimpo shida ya wilaya ya mbulu kua ukabila Sana alafu na watu wauku wako nyuma Sana wauwelewa kichani awo watu awako kosea ata kidogo ila uku watu wako nyuma Sana japo kua kana baazi yao niwaelewa Sana Ila wengi nawana uwelewa naata Kiswahili atujuh sasa mtu kama uyo utamueleza nn akuelew wakati uelewa ana na Kiswahili ajuh
WATEKAJI HAWAWEZI KUA HAO INATAKIWA WANANCHI TUNUNUE MISHALE WATEKAJI HAWAKOSI RISASI YANI TUKIONA TUKIO MTU ANACHUKULIWA NA GARI ISIYOJULIKANA NI MISHALE KAMA YOTE WATAACHA TU UJINGA WAO
Laiti mambo kama haya yangemkuta ndugu wa Tulia Ackison, ndipo Tulia angejua kwamba hii Nchi imefika pabaya. Huwezi kuumiza watu hivi kwa hisia zako zisizo na uhakika. Poleni sana ndugu.
Watu wa arusha bana mnawapa pipi watoto wa wenzenu kwa sababu zipi embu kuweni kama watu wa dar watoto wa wenzetu kwanza ukimkuta njian na gar unamgonga
Hao jamaa ukichunguza kwa makini utaelewa kitu,,, 1, cm zote haziwez kuzima kwa pamoja,, hyo cm walimpgiaje mleta tairi,,,, 2, haiwezkan husielew lugha inayoongelka kijiji cha jilani yako😂😂 hao ni wenyewe
Wema umewaponza ndugu zangu mimi kuna siku nilimuita mtoto albino kule bukoba mjini tukasalimiana nae vzr yupo na mwenzake na nilikua na gari la ges tunrboy akampa elfu moja ila sintorudia tena 😢
Na hizo pipi kuna nyingine wanachanganya na madawa ya kuleva mtoto akipewa tu anaanza kulewa kwa hiyo inakuwa raisi kumbeba kama vile amelala tuwe macho hakuna cha mwanamke wala mwanaume hii biashara inafanywa na mwanaume na mwanamke kuweni machooooo
Poleni sana. Cha muhimu tujitahidi kujitofautisha na wanaotenda maovu. Pipi hizo ndo shida zinatumiwa na watu waovu hata watu wabaya wanaitumia sana pipi na vyakula, ukisafiri jitahidi kutogawa vyakula kwa watu ni hatari. Msingegawa pipi hakuna ambaye angewashambulia
Msiwape watoto wa watu pipi maana hatua ya kwanza ya kuwateka watoto ni kwa pili.
Ila nanyie kuna kosa huezi pita barabarani tu ukatoa pipi kwa mtoto usiye mjua ukizingatia Hali tuliyo nayo sasa
Pole sana,tanzania sasa hakuna kukalimiana ubaya ubwela utakuta mtu anasema kusaidia hata ukikuta mtu anaomba msaada usijalibu kimbia mbali msaada wako ni chukizo kubwa sana
Saiz kuwa makin sana yaan huyu jamaa Rasta na mtandio huo kama waasi tuache kuiga vitu vya nje saiz watu wanahasira kali kutokana na matendo mabovu yanayoendelea😢😢😢
Njiwa wa nini sasa hapana kuna jambo hapa nyie sio watu wazuri
Una akili zingine au unazo hizo tu sasa njiwa si ni mfugo😂@@user-cv7vm1mx9d
😂😂😂😂
Sicial psychology. Usije ukampa mtu chakula, pipi au kituchochote cha kula. Ikitokea akafa, au kawekewa sumu na mtu mwingine harafu wewe ukampa chakula akafa ni msala. Usimpe kitu mtu akala. We mwache.
Sicial ndo nini?
Poleni Sana..Ali sio nzuri. Wananchi wapewa Elimu kuhusu ili.
😢😢😢huko kwetu watoto wanatekwa sana kwahiyo lazima wangefanya hivo...watoto wanapewa pipi na nyama choma ....ila ndugu zangu wairaqw duh
Poleni sana hawana makosa mnachotakiwa sasa hivi nikutambuwa alama za myakati watu wana hofu ya kupotelewa na watoto kuweni makini sana
Asee hali ni mbaya sana nchini
Je,sababu ni nini? Hakuna wa kukemea undamaged huu? Ee Mungu tusaidie. Amina
Na hawa wasanii wetu hawana mchango wowote katika jamii hawakemei mauvu mauwaji,nk zamani wasaanii ilikuwa ni kioo cha jamii kukitokea jambo wanapaza sauti kwa kuimva nk wao wako kwenye mahusiano mapya kila siku wanatangaza ngono tu halafu wala hawajihusishi na jamii ila jamii ikisikia msanii kafanya hv utakuta followers kibao ijinga tu
Haswa hawana msaada katika jamii kazi kubwa ni singeli, nyimbo za malovelove na ujinga mtupu ila kuelimisha walaaa
Poleni kweli sasa Hali ni mbaya sana lkn
Haya yote serikali isifumbue macho kwakweli sasa Iv kweli hatuaminiani Imani hakuna kbsaa
Poleni ila kwanini na nyie mnawapa watoto pipi wakati mnajua kabisa sahivi hali siyo nzuri nchini? Tujifunze kusoma alama za nyakati jamani
Yaan wema wako unakuponza iviivi
Hawako serious unatoaje pip au chakula kwa watoto bila ufahamu wa wazazi au walezi wao.HAMNA wa kumlaumu kwa trend hii unatoa pipi serious 😢😢
Hakuna kitu kibaya kama kujichukulia Sheria mkononi, ndio maana mimi nikikuta mwizi anapigwa huwa sishiriki kabisa maana unaweza jikuta jela maisha yako yote
Sasa unawapaje watoto wa watu pipi,kila mtu na tyme zake sa hv ,mi nikipita barabarani siongei hata na mtu wala mtoto yoyote ,wanapia nami napita
Na ndio mkome kwakuwa nchi imeharibika tuone hao police watafanya nin kwakuwa wakipewa taarifa watt wanapotea hawashtuk
Huu ni ukatili wa hali ya just sana. Hivi ni sisi waTanzania wa enzi za Baba wa Taifa kweli? Haya maisha yanatisha. Tulizoea kusaidiana katika kila hali Chini ya Balozi na NYUMBA KUMI. Hata kama mtu ni mgini aliitwa ndugu! Jambo kubwa WaTanzania tudumisha imani na Amani. Poleni sana Watanzania wenzetu.
Kweli kuilinda amani ni jukumu letu lakini wanaotuuwa hatuwajui shida ni hiyo.
Poleni sana ndugu zetu
Kazi imeanza
Wachunguzwe vizuri,,
Wewe mwenyewe uchunguzwe
Haya ni madhara ya wananchi kujichukulia sheria mkononi. Watu wengi sana wameuawa bila hatia
@@rumdeesonsoa1811 soma nyakati hata mimi nikikuta unampa mtoto wangu pipi nakuzingua wewe huoni hali ilivyo kwasasa binadamu tumekuwa wanyama.
Kwanini wampe mtoto pipi gari yenyewe tinted rasi mwenyewe macho yanatisha ku kitu hapa
@@simonmalegesi414 Hata mimi, mim nikimuona mtoto wa mtu au mtoto wako anakimbilia barabarani, motoni, kisimani, shimoni, au chooni au sehemu yoyote yenye hatari simuokoi kabisa. Kwa sababu unaweza ukamuokoa wakaja kusema ulikuwa unataka kumuiba.
katika story imeniuma toka mwaka uanze nii njoo nikigoma niwape kitu serikali hapo haina msaada itaishia kusema hasira kali na kukamata uongozi tu wa eneo ila kuna kitu nataka niwape kwa kila aliewagusa
Kwa kweli mtihani sana
Poleni sana mungu wa mbinguni awaponye
Hali ni mbaya sana mtaani asee, hili tukio tulilishuhudia, tulikuwa Manyara kufanya kazi za ufundi hospitalini na kuna mama mmoja kati yao alituomba msaada ila tulishindwa kuwasaidia kwa wakat ule kwa sababu hata sisi gari letu wananchi walikuwa wanalitilia shaka na kuna sehemu hadi wananchi walitufatilia na boda boda kwa bahati nzur waliona tunaingia hospitali, tukaamua tugeuze gari twende polisi kutoa taarifa😢
Kenya hizi hasira kali wanazitumia kupambana na selikari haini sisi tunashindwa kupambana na matukio ya utekaji ambayo polisi haioneshi msaada tunaogopa polisi tunaumizana sisi wenyewe 😢
Serikali siipo ina kusubiri uelekeze hizo asira kali zako. Ukumbuke hapa sio kwa wapumbavu Kenya. Wanaumia serikali bado inaendelea madarakani nani mjinga hapo.?
@@MrishoMindu-zq7mzkwel kabisaa wakenya wanapenda kusifiwa fujo na hawabadilishi chochote rais bado ni Yule Yule njaa hiko pale pale Zaid wamepoteza ndg zao tu kwa kuuwawa kijinga
Kuna fahari gani kufanya vurugu na kuondoa amani? Iwe kwa Serikali au mtu yeyote? Ni upumbavu tu. Njia yenye kujenga Amani ni mazungumzo.
Nchi hii jamani tutashindwa kusaidiana pia hata kumsaidia mtt wa mtu, yaani hii nchi Bora ukutane na mnyama anaweza kukusamehe Ila binadamu atakumaliza .😢
Poleni lkn hata mimi simwamini mtu aliye jifunika km huyu rasi waasi ndo wanajifunika vitambaa.
Kwanini wawape pipi wakome hawajui hali ilivyo kwa sasa ama nawaho nishida???
Unajuwa watoto unapokula kitu wanavyokushangaa unatakiwa uwe na roho ngumu kumnyima
Spka wa bunge haskii hii taharuki,
Hana muda
Mngeuwawa nyinyi ndo mnaofanya mauwaji ya watoto pipi za nini na uku watu wana hasila yani ningekuwepo ningekuchinja kabisa mana tuna hasila kabisa mnauwa watoto wetu
Poleni sana ndugu zangu ,hili hiro kabira hawanaga elimu kabisa yani wao nikuhisi hisi tu
Wamburu?? eeh😢
Wambulu ndio walivyo. Hawana elimu kabisa hasa wale wanaoongea kikwao tu
Yaani we achatu mi hukunakaa nao nikuwavumilia waswahili sana@@rumdeesonsoa1811 mitihani hili kabila linashida jmn😢😢
Kutokana na huu ujinga eti usimsaidie usiyemjua leo kaja mama na mtoto mlemavu aliniomba hela nikamwambia ninazo lakini naogopa naweza kukupa huyu mtoto akafa usiku nikatafutwa yawezekana wakahisi nimewapa Jini. Kwahiyo kila mtu ajipange😂😂😂
Polen sana Uyu Dada alivaa kofia nyeusi namuonea uluma sana mpole
Kwa nini muwape watoto ugenini pipi,na sio kijijini kwenu? Wachunguzwe kwenye mawasiliano yao angalau ya siku ya tukio na kurudi nyuma mwezi 1.
Acha upumbavu ni vile aijakukuta wewe na familia yakoo mbwa wewe
Hao ni majambazi walitumia mtoto kama kisingizio ili wawaibie hao wenye gari. Kama nyama walisema ni za binadamu kwnn wazichukue na kugawana? Wanazipeleka wapi sasa kama ni za binadamu? Kwn wao wanakula nyama za binadamu?
Pole sana tunaomba serekali itusaidiye kwasababu tasisi tulifika sehemu hiyo tukasema tule chakula tulipomalisa tukato tukaigia kwenye gari letu akaja kijana anaye hendesha baskeli akago gari akapasua taa ya nyuma ya gari kusama tukamta wanachi wakajawegi watakatakutupiga bati mzuri mtendaji akatokea akatusaidi
lakini kwann umpe pipi?
Wewe una akili kubwa.
Mtu hawezi kumpa mtoto wa mtu mwingine zawadi bila taarifa ya mwenye mtoto kwa sababu wanaweza kuua au kuteka mtoto
Shida ya rasta wanapenda kujali watoto hata kama sio wa kwao
Arusha BANGI sana
Sasa hapo hakuna akila kabisa wote akili kama makonda
Hadithi za pipi zimeenea kila mahali. Kwamba watoto hutekwa kwa kugawiwa pipi na wewe rasta unatisha bora mngekaa kimya kwenye gari lenu pipi imewaponza
Poleni sana ,,why watu wa kwetu wamekuwa wakatili hivi,dahh mmetuangusha sana
Matukio ya wananchi kutoheshimu sheria.na kujichukulia maamuzi ya kikorofi.ni matokeo ya wanasiasa wachache wanaojaza chuki wananchi na serikali.na kuamini ndio njia sahihi.hebu tubadili.mitazamo.walao viongozi ngazi ya mtaa.wapatikane walio na elimu ya kiwango.kikubwa..isiwe.umaarufu TU.jamii ikielimishwa huku chini.serikali inakuwa.kwenye nafasi nzuri ya kuleta maendeleo.
Ningekua namlaka ningeua kijiji kozima icho kilowavamia watu wametoka kwenye shughuli zao
Janga limezua majanga.. poleni sana wahanga wa tukio
Haya nimadhara yakutokana na ile kauli yakusema kila mtu ajilinde mwenyewe. Ila poleni sana wahanga innshaallah molla atawalipa msife moyo
Kwa akili yangu naondoka zangu na makovu yangu baada ya kupona ntarudi na sumu ya panya ☠️
Polen sana ndugu zetu..
😢duh
Yaan barabaran unampa mtoto wa mtu pipi?
Jamani wkt huu usithubutu kusaidia mtu hasa mtoto ktk mazingira ambayo watu hawakujui bora utoe taarifa kwanza kwa watu walio karibu
Kwann mpe mtoto usiye mjua pipi
?
We hujawahi kumpa mtu usiyemjua?
Acheni hizo sio nzuri.
Kwani kibaya kipi? Hujawahi kumpa mtoto kitu chchote?
@@Khadija-ne8ul haifai kbs
Yaani huko tunakoelekea hata ukimkuta mtoto wa mtu anakufa barabarani tutashindwa kumsaidia sababu unawezaambiwa ni ww umpe dawa ya usingizi umbebe.Mungu atusaidie.
Watu wanaiba watto kwa kuwapa pipi so kama sio watekaji hacheni kujifanya wasamaria mwema nchi imeingia vitan ssi kwa ssi hatuaminiani sasaiv watto wanatekwa na kuriwa,,,ivyo wananch wanamaumivu sana,,,mnajua kabsaa pipi ndio chanzo kinacho kamatisha watto ivyo mkiwapa pipi watajua kabsaa ndio ware ware aisee nchi imearibka hii
Poleni sana ndugu zetu ulimwengu huu jamani
Pipi za Nini,na alipata wapi pipi,kidhibiti gani kwani ukiteka unatakiwa uwe na kidhibiti gan
Kweli kabisa wachunguzwe vizuri kwani hali siyo nzuri kabisa
Pole sana shemela wangu
Ukifika kwa watu uliza wanaishije wairagw hawatoei chakula kwa mtoto wa mtu hata kama ni jirani yako.sasa hamulizi hawa wanaishije
Pol
Mhh hii mbona mm siamini
Hiyo habari niya kweli kbs
Utaamini tu siku ikikutokea. Mim kuna siku tulikuwa kwenye daladala tumebanana nikawa natoa simu yangu mfukoni kwa shida kuna mzee alikuwa tumekaa siti moja akasema nampapasa nataka nimuibie
Hao njiwa nao mnapeleka wapi Tena majogoo nao nihitihani sana harafu wewe Rasta unauliza unakotoka hatamkoa wenyewe umeusau mbona havieleweki uchunguzi ufanyike zaid sikuhizi Dunia imeharubika sana usimuamini mtu hata kidogo sio kwamba namhukumu mtu laaa mungu ndio mjuzi wayote🙏🙏🇹🇿
Kuna jambo hapa
kwa ufupi ni kwamba rasta alipigwa hadi amesahau hata alipotoka.siyo kosa lake.tusiwe wepesi wa kulaumu na kuhukumu.tumwachie muumba
Mnajibu comenti kifara sana imajin ungekua wewe Hawa walikodiwa kwenyeshuhuli yaupishi kwenda kupika nyumbani sio kwaajili ya kusave Hawa walienda kupika kwahiyo vituvyote walivikuta Kyle huwez jaji mtu, et mbona hawakuwa wamebeba masufuria ,, coz Hawa wamehama mkoa mmoja kwenda mwingine ,,acheni kuwatia doa
Acha ukuma ww
Iko iv ili tukio lilio tokea mm nimpo shida ya wilaya ya mbulu kua ukabila Sana alafu na watu wauku wako nyuma Sana wauwelewa kichani awo watu awako kosea ata kidogo ila uku watu wako nyuma Sana japo kua kana baazi yao niwaelewa Sana Ila wengi nawana uwelewa naata Kiswahili atujuh sasa mtu kama uyo utamueleza nn akuelew wakati uelewa ana na Kiswahili ajuh
WATEKAJI HAWAWEZI KUA HAO INATAKIWA WANANCHI TUNUNUE MISHALE WATEKAJI HAWAKOSI RISASI YANI TUKIONA TUKIO MTU ANACHUKULIWA NA GARI ISIYOJULIKANA NI MISHALE KAMA YOTE WATAACHA TU UJINGA WAO
Hakuna haja ya kuwa mkalimu saaana hapa duniani ,zama za mwisho hizi.
Zama za mwisho kwako na kizazi chako.umeshakata tamaa ww na kizaz chako
Laiti mambo kama haya yangemkuta ndugu wa Tulia Ackison, ndipo Tulia angejua kwamba hii Nchi imefika pabaya.
Huwezi kuumiza watu hivi kwa hisia zako zisizo na uhakika.
Poleni sana ndugu.
@@EmmanueliZani-ur9bi Hao ni majambazi walitumia mtoto kama kisingizio ili wawaibie hao wenye gari.
Utawajuaje
Watu wa arusha bana mnawapa pipi watoto wa wenzenu kwa sababu zipi embu kuweni kama watu wa dar watoto wa wenzetu kwanza ukimkuta njian na gar unamgonga
Mungu rehema zako ziwe juu yetu Tz😭😭
Mh Rasta pole maana kunyolewa rasta tena na panga kweli .poleni
Ukiwa na gari usishangae shangae mitaani mtakufa unagawa pipi mtoto kakuomba pipi mtakufa
Hao jamaa ukichunguza kwa makini utaelewa kitu,,, 1, cm zote haziwez kuzima kwa pamoja,, hyo cm walimpgiaje mleta tairi,,,, 2, haiwezkan husielew lugha inayoongelka kijiji cha jilani yako😂😂 hao ni wenyewe
Nimependa maana tumechoka na matukio nchi hii,Wenda wakiona hv wataogopa
Sasahivi hatupaswi kuwapa watoto chochote hata kwa upendo kwamaana kuna taharuki kubwa
Poleni ndugu zangu ilikuwa hatari
Hiyo.yooote ni vile serikali inakaa kimy kuhusu utekaji watu wataumizwa sana i seeee😢😢😢😢
Takuwa nikweli mnateka watoto kwanin uumpe pipi mtoto?? Kwan alikuomba ??
Jamani poleni sana huyu kaka hananga makuu kwanini watu wajichukulia Sheria mkononi
Na diwani ni mlizi waamani iweje asimamie uvunjifu wa sheria
Nyie wairak acheni ushamba mnapiga watu wasio nakosa yani uzeni ng'ombe watu wapone na jela muende
Poleni
Mnawapa watoto wawatu oili za nini momeshwe.
Hii yote inasababishwa na uongozi unaposhindwa kuweka usalama kny maeneo yetu
Kwahiyo watu wanaamua kuchukua tahadhari wenyewe ili hali sio sahihi
Mi ndo maana sipendi kutenda wema kabisa
Wema umewaponza ndugu zangu mimi kuna siku nilimuita mtoto albino kule bukoba mjini tukasalimiana nae vzr yupo na mwenzake na nilikua na gari la ges tunrboy akampa elfu moja ila sintorudia tena 😢
Tena husirudie😢,tena huko bukoba ndo MTOTO wetu mzuri ASIMWE,walimuuwa huko,yani acha kabisa😢
Leo ndio nimejuwa kuna neno (kushangaliwa)
Poleni sana
Na hizo pipi kuna nyingine wanachanganya na madawa ya kuleva mtoto akipewa tu anaanza kulewa kwa hiyo inakuwa raisi kumbeba kama vile amelala tuwe macho hakuna cha mwanamke wala mwanaume hii biashara inafanywa na mwanaume na mwanamke kuweni machooooo
Hayo ni majizi hakuna cha kuteka watoto wahuni
Kwaiyo walimpa mtoto pipi sio? Na simu zote zikazima chaji sio? Basi hamna shida
Allah atustiri yaarab siku hizi watu wana ogopa mambo yame haribika
Na Arusha Kwa laana tue mbk taarifa zao nishazichoka kabla ya kuendelea na habar
Tunataka hiyo arusi.ambayo.mlienda kupiika
Ww kaka umewaponza wenzio kwa kumpa mtoto pipi wakati unajua hali ilinvokwa Sasa
Mm nasema kwel huyo Rasta ndo kawaponza mpaka mnapigwa ni mcheza mpira au ni msanii unafuga Rasta huna kipaji chcht unaonekana muhuni tu😅
😅😅😅😅jaman nacheka kma mazuri
Aaaah jamani nimecheka kama zuzu vile
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Hizi zama jmn mi sishangai haya kutokea , kila cku watu wanachukuliwa na watu wasiojulikana , watt wanapotea ko watu hawana amani
nchi sasahiv inatakiwa iwe ivii bado wale walawiti na wabakaji
Ubaya ubwela poleni Sana ndugu zangu kila mtu anageuka polisi jamii
Duuuh mama Samia wasaidie Hawa wananchi wako wasaidie uwape hata gari nyingine
Muwe mnasikiliza mitandao wanaoteka watoto wanawapa pipi kwa nini mnawapa pipi watoto msiowajua? Poleni sana
Kw. Nn muwape watoto pipi? Hali imeshakuwa mbaya ,
Mh poleni sana kwasasa hatuaminiani jamani Mungu saidia
Kwann mnampa mtoto pipi? Usirudie tena, hata kutoa lifti ni dhambi kubwa
Saizi haitakiwi kumwamini mtu kutokana na matukio yanayo endelea tanzania ,kwasababu saizi kila mtu ajilinde mwenyewe .
Poleni sana
Washamba tu hao
Njiwa....daah sasa njiwa kwenye gari mnapeleka wapi hzo pipi si mngewapelekea watoto wenu
poleni sanaa
Huyo kaka akacheck afya ya inni
Yaani hata mimi mwenyewe ukimpa mtoto wangu pipi sitakuelewa maana hizo pipi ndo zinatumiwa kuteka watoto
NA NYIE MLIKUWA MNAWAPA PIPI ZANN?HAO WACUNGUZWE HY ARUSI KM NI KWELI.