😳😭😭😭😭😭🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭😭Jamaniiiiii haya Mateso huyu dada amepitia kwa kweli wafukuzwe kazi haraka sana hao manesi ni wauwaji kabisa hii Kesi ni kubwa Na mbaya sana hata Mimi nimeumia pole sana dada hawa wafanyakazi wa Hospital wanataka kuabudiwa kwa kweli hii sio haki Tumeumia sana kina mama kwa hili😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Alqfu wanasema uzazi umepungua nani akauliwe mtu unabeba mimba kwa shida kujifungua bado wakukusaidia na faraja unaotakiwa wakupe wanatutesa acha tukae bila kuxaa
Tatizo la sasa watu hawafanyi kazi kama wito bali wanafanya kama adhabu utadhani walilazimishwa kusomea hizo fani, Pole sana mwanamke mwenzangu imenigusa , Naomba hatua stahiki zichukuliwe ili iwe fundisho Kwa wengine.
Mama yangu alijifungua Mimi mwaka 1999 chini stori ni Hii Hii umepishana kidogo mie nilizaliwa chini Ila mama hajasahau ad Leo ananihadithiaga Nina miaka 25
Yani hawa wanaomba kz wanapata kz then munatudhalilishia wake zetu ila mungu nyinyi atakupeni lakukupeni pole sana dada Allah atamkuza uyo awe mwema duniani na akher
Namshukuru allah pindi nilpokuwa naumwa uchungu nilihisi aja ndogo nilivyo mwambia muhuguzi naitaji kwenda msalan kujisaidia alikataza na kunipa ndoo uku akiniangalia kwa umakini sana sjawai kukutana. Na muughudhi mshenzi ktk kipindi changu chote nilichozaa mala tatu alhadulilah
Ndio shida ya kuajiri kwa kuangalia itikadi za kisiasa wenye qualification wanazungushwa na wanachukua wanamaskani kisa wanalala maskani na wamesoma darasa la itikadi
It's just a precipitate labour with short time than expected... The possible mistakes are two. 1. Failure to consider possibility of precipitate labour (incompetence). Especially as they were informed by the mother about the urge to push. 2. Poor management of labour and lack of customer care and medical ethics. Sorry to all of them involved.
Pole san dada Mungu akulinde wewe na mwanao achana na hao washenzi hata kama mtu umezaa watoto kumi jmn uchungu hauzoeleki ata siku moja tena kila mtoto na uchungu wake
Ni kweli kila mtoto anakuja na uchungu wake tofauti hata uzae watoto iwe mimba ya ngapi, na pia kila mtoto anakuja na masaa yake wengine uchungu ukija hausimami unaumwa mpaka unazaa masaa mengi unahangaika na mtoto mwengine uchungu wake unakuja na kurudi mara unapata afadhali na unaanza tena utakuchukua masaa hujazaa, na njia inatafautiana pia kufunguka inafunguka kidogo kidogo watoto wengine utakuta njia inafunguka harakaharaka nanpia sio lazima kuzaa centimeter 9 or hizo wanazosena wao 10, mimi niliambiwa centimeter 9 inatakiwa kuzaa lakini hata 8 unazaa mimi mtoto wa mwanzo nilijifungua kwa centimeter 8 tu
@@zenaal-baalawy1953 khee jmn watu itafika mahali sasa wanaogopa kuzaa kwa hizi huduma mbovu na kauli chafu za vituo vya afya hasa manesi utadhani wao sio wanawake 😡😡
Manesi wengi wana roho mbaya..Nashukuru mm niliwai kwenda kujifungua nilihudumiwa na nesi wa kiume yule kaka sitamsahau namuombea heri kila leo alinihudumia vizuri ananipima ananiambia pole kama mtoto..wenzangu wa pembeni walihudumiwa na wa kike jaman hayo maneno waliyokua wanatolewa..
Njia ikifika centimeter 9 unazaa lakini wengine haifiki hata hiyo hata mimi mtoto wangu wa mwanzo nurses waliniambia hata centimeter 8 ikifunguka inawezekana kuzaa na kweli walinizalisha kwa centimeter 8 tu. Lakini sio huko nchi ya nyumbani kusema kweli. Pole sana wazazi tunapitia mengi. Hayo yote mzazi huwezi kufanya unakua huna nguvu na pia uchungu wamemfanyisha kazi na hali anaumwa na masimbulizi. Mimi pia yashanikuta hapo Mwembeladu kipindi nina mimba ya 3 nilikwenda kutembea nyumbani Zanzibar mimba changa walikua washaanza kunifanyia wa jeuri kweli sana kwa ushahid mpaka wale wagonjwa wanaogopa.
Kwa zanzibar hii sidhani kama watachukua hatua zaidi watatumia undugu na Hao wataendelea na kazi yaani kiufupi zanzibar wanaishi ki ujamaa 😢 😢 ingelikua hapo ni mbara na mzanzibar basi wangeshachukua hatua na kuita wabogo tabia yao ni chafu 😢 ILA POLE NYINGI KWA MAMA ALIEPITIA CHANGAMOTO 😢😢 SHUKRANI KWA MUNGU KUMLINDA NA KUJIFUNGUA SALAMA
Wauguzi Doctor na Manesi taratibu jamani hayaaaa Tutaonana wabaya hayaaaaa Kauli za wafanya kazi wengi hasa sekta za umma ni mtihani kabisa sema kama hayajakukuta huwezi kuamini kabisaaa😭 Pole Sana Dada yangu 😭💪🏽🙏🏼
Mimi niliambiwa hapo mwembe radu mapigo ya moyo ya mtoto hawayasikii na hana kichwa nes anatia mikono kama hana k kiukweli wanadharau sanaaaaa hasaaa kile kidokta cha kiarabu kifupi kishenz sanaaa
Msemaji hujasema la maana kama huamini kilichotokea jinsi unavyozumza. Mnapendeleana saba, watahamishwa hao wapelekwe mnazi mmoja au Pemba subirini mtaona.
Pole dada yangu , mm mwenyewe nilijifungua miaka saba iliyopita, mwanangu mkono una matatizo hadi leo huo wote ni uzembe wa Manursy sema sikuwa na uwelewa haki ningefungua kesi,
Manesi wana wake wana roho mbaya sana Bora uwakute wanaume mm mwenyewe nimezaa mwenyewe Kila nikemwita docta wako bize tu kazi zao mpaka mtoto alipo Toka ndo akaja niliumia sana ila nilishukuru nilijifungua Salama tatizo hili lipo sna sio uko tu ata hapa dar lipo sema tunalifumbia macho ila viongozi wakelifwatilia na hapa dar izi hospitali za serekali watakuja kubaini kiukweli wazazi tunanyanyasika sana hospitali hizi za serekali
Hiyo ndotabia yao spitali hiyo ya mwembeladu namie yalinikuta kama hayo waliniacha nikajifungua pekeyangu na mwanangu akala uchafu kakaribia kufaaa lohhh wafukuzwe hiyo ndokazi yao washenzi hao
Usiombe radhi kwa wazazi na familia tu. Bali kwa wanawake wote na kila aliyeguswa na hili. Unguja ndivyo walivyo wauguzi wote maana hizi kazi hawafanyi kwa kuwa wanazipenda. Bali hupeana kiundugu bila hata kama mtu hataki hulazimishwa na baba zao kwakuwa zipo na wao ndio wenye mamlaka wanapomaliza kusoma watu wao huwapeleka vyuoni kila mtu na mwanae. Matokeo yake ndio hayo.
Kwa maelezo,yanayo semwa na mlalamikaji, ni maleno yanayoitaji majibu ,kwanza kutakuwa na changamoto mbande mbili ether za kisiasa ,au zakijamii ,wahojiwe wote pande zote mara moja, na majibu yatapatikana na atua uchikuliwe
Mm ndiomana cpital ya serekali kumpeleka mkewangu kwa kujifunguwa sithubutu kmkm hospital ni sehem nxuri sana ya kujifungulia na bei yao ni nafuu sana nendeni mutapata huduma nzur sana
Ndo Tabia zao wana dharau na mimi limenikuta kama hilo lakini ila niliingia kwenye chumba cha kujifungulia nikajifungia peke yangu ,wakaingia wanafunzi nikamwita mmoja wale wanafunzi nimwambia amkate mtoto kitovu akamkata nikabeba mwanangu nikaondoka sikuwajibu wakabaki wanashangaa na kusema kumbe ulikua unaumwa ,naona hupigi zogo kama wenzio umetulia kama huumwi .
ukitaka kujua nurse au doctor anawito na hiyo kaz yake kutoka kwa MUNGU utaona tu jinsi anavyomhudumia mtu kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu unakuta..me mamaangu nurse lkn cwafichi watu wakija hospitol wacpomkuta mama wanakataa kuhudumiwa na wengine mpaka awepo mama
Hayo ndo Mambo yanayotokea Kwa wanawake yaani ukipata ujauzito huwazi hiyo miezi Tisa ila muda ukifika wa kujifungua ndo unawaza matusi na kauli mbaya utakazopata hospital.
Hongeren Sana waandishi kwa kutupatia taarifa, hapa zanzibar Kuna media za kipuuz tu.
😳😭😭😭😭😭🙆🏽♀️🙆🏽♀️🙆🏽♀️😭😭😭😭Jamaniiiiii haya Mateso huyu dada amepitia kwa kweli wafukuzwe kazi haraka sana hao manesi ni wauwaji kabisa hii Kesi ni kubwa Na mbaya sana hata Mimi nimeumia pole sana dada hawa wafanyakazi wa Hospital wanataka kuabudiwa kwa kweli hii sio haki Tumeumia sana kina mama kwa hili😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Pole Sana dada nimejisikia vbaya Sana wanawake tunateseka Sana kuwaleta watoto duniani
Pole sana
Alqfu wanasema uzazi umepungua nani akauliwe mtu unabeba mimba kwa shida kujifungua bado wakukusaidia na faraja unaotakiwa wakupe wanatutesa acha tukae bila kuxaa
Tatizo la sasa watu hawafanyi kazi kama wito bali wanafanya kama adhabu utadhani walilazimishwa kusomea hizo fani, Pole sana mwanamke mwenzangu imenigusa , Naomba hatua stahiki zichukuliwe ili iwe fundisho Kwa wengine.
😢naumiiiiiiaaaaaaaaa
Yaaani nawakumbukaaa na mimiiiii
Nimejifungua apo apo
Kaaah yaaa rabby tusaidie
Dah imeniuma sana. pole sana dada hakika Mungu ni MKUBWA ndo maana kakusimamia mpaka hatua ya mwisho ALHAMDULILLAH
Mama yangu alijifungua Mimi mwaka 1999 chini stori ni Hii Hii umepishana kidogo mie nilizaliwa chini Ila mama hajasahau ad Leo ananihadithiaga Nina miaka 25
Pole sana Mama , Mwenyezi Mungu akulinde. Mungu akutetee.
Hao hawana wauguzi hawana maadili
Pole dada mwaya Allah atawalipa roho yake mbaya huyo nesi
Wamenikera Sana kwa kitendo hicho
Wanafanyakazi kwa mazoea mpaka wanasahau wajibu wao serikali ichunguze hospitali zote nchini
Jaman uyu dada kapitia magumu😭😭😭 pole sana mamy wangu maskin hao madokta mungu awalaan na wafukuzwe
Yani hawa wanaomba kz wanapata kz then munatudhalilishia wake zetu ila mungu nyinyi atakupeni lakukupeni pole sana dada Allah atamkuza uyo awe mwema duniani na akher
Namshukuru allah pindi nilpokuwa naumwa uchungu nilihisi aja ndogo nilivyo mwambia muhuguzi naitaji kwenda msalan kujisaidia alikataza na kunipa ndoo uku akiniangalia kwa umakini sana sjawai kukutana. Na muughudhi mshenzi ktk kipindi changu chote nilichozaa mala tatu alhadulilah
Pole sana dada nimeumia sana yan hawa watu wanakosa Sana utu utadhani wao sio wanawake Mungu akulinde na awajaalie afya tele ww na mwanao
Adi nimelia Jaman sie kina mama tunapitia mengi Leba Sina ham 😢 Alhamdulillah umejifungua salama ❤
Nasikia uchungu sana jamani mtoto wangu alifia tumboni alafu huyu kapata bahati jamani alafu doctor anamsababisha mauwaji
dah mtihani sana pole mama mtu hao wamewekwa Nandugu zao Ndio mana hawajali
Ndio shida ya kuajiri kwa kuangalia itikadi za kisiasa wenye qualification wanazungushwa na wanachukua wanamaskani kisa wanalala maskani na wamesoma darasa la itikadi
daah mama mungu awaweke milele acha masela tusote tuu 🤐🤐🤐
It's just a precipitate labour with short time than expected... The possible mistakes are two.
1. Failure to consider possibility of precipitate labour (incompetence). Especially as they were informed by the mother about the urge to push.
2. Poor management of labour and lack of customer care and medical ethics.
Sorry to all of them involved.
Labour huwa na range time ukicheki huyo ni grandmultipara labour huwa fupi
Pole sana dada . .allah atakulipia
Samia na Dr mwiny
Muna tembea nchi tofauti angalien madocter na manes muweje uchunguz wa juu
Jifunze kuandika kwanza
Siyo ajifunze msg sent
Watimuliwe hao hapo hakuna uchunguzi mnasubiri kuhongwa to,wanyonge tunaonewa sana .
Pore dada naumia sana ❤❤❤
Subhanallah hata paka akizaaa unamuonea huruma
Pole san dada Mungu akulinde wewe na mwanao achana na hao washenzi hata kama mtu umezaa watoto kumi jmn uchungu hauzoeleki ata siku moja tena kila mtoto na uchungu wake
Ni kweli kila mtoto anakuja na uchungu wake tofauti hata uzae watoto iwe mimba ya ngapi, na pia kila mtoto anakuja na masaa yake wengine uchungu ukija hausimami unaumwa mpaka unazaa masaa mengi unahangaika na mtoto mwengine uchungu wake unakuja na kurudi mara unapata afadhali na unaanza tena utakuchukua masaa hujazaa, na njia inatafautiana pia kufunguka inafunguka kidogo kidogo watoto wengine utakuta njia inafunguka harakaharaka nanpia sio lazima kuzaa centimeter 9 or hizo wanazosena wao 10, mimi niliambiwa centimeter 9 inatakiwa kuzaa lakini hata 8 unazaa mimi mtoto wa mwanzo nilijifungua kwa centimeter 8 tu
@@zenaal-baalawy1953 khee jmn watu itafika mahali sasa wanaogopa kuzaa kwa hizi huduma mbovu na kauli chafu za vituo vya afya hasa manesi utadhani wao sio wanawake 😡😡
Hadi sasa bado wapo kazini? Huku kuna madoctor wanatafuta kazi. Fukuza hao wamejaa uuaji.
Wameshasimamishwa
Ndio tatizo la vi2 vya bure,,mie ishatokea kwa mam mtot wang dah Zanzibar noma,,badilikeni maboss ze2
pole sana ila shukuru mungu allaah akuhifadhi wewe na wanao amin😊
Subhanallah pole sana ndugu yetu uongozi ujitahidi kulifuatilia hili na kulichukulia khatua
Wanahatari yani umezaa unaweza kupiga deki watanzania tubadilike kuna maisha mengine baada ya dunia
Manesi wengi wana roho mbaya..Nashukuru mm niliwai kwenda kujifungua nilihudumiwa na nesi wa kiume yule kaka sitamsahau namuombea heri kila leo alinihudumia vizuri ananipima ananiambia pole kama mtoto..wenzangu wa pembeni walihudumiwa na wa kike jaman hayo maneno waliyokua wanatolewa..
Njia ikifika centimeter 9 unazaa lakini wengine haifiki hata hiyo hata mimi mtoto wangu wa mwanzo nurses waliniambia hata centimeter 8 ikifunguka inawezekana kuzaa na kweli walinizalisha kwa centimeter 8 tu. Lakini sio huko nchi ya nyumbani kusema kweli.
Pole sana wazazi tunapitia mengi. Hayo yote mzazi huwezi kufanya unakua huna nguvu na pia uchungu wamemfanyisha kazi na hali anaumwa na masimbulizi.
Mimi pia yashanikuta hapo Mwembeladu kipindi nina mimba ya 3 nilikwenda kutembea nyumbani Zanzibar mimba changa walikua washaanza kunifanyia wa jeuri kweli sana kwa ushahid mpaka wale wagonjwa wanaogopa.
Kwa zanzibar hii sidhani kama watachukua hatua zaidi watatumia undugu na Hao wataendelea na kazi yaani kiufupi zanzibar wanaishi ki ujamaa 😢 😢 ingelikua hapo ni mbara na mzanzibar basi wangeshachukua hatua na kuita wabogo tabia yao ni chafu 😢 ILA POLE NYINGI KWA MAMA ALIEPITIA CHANGAMOTO 😢😢 SHUKRANI KWA MUNGU KUMLINDA NA KUJIFUNGUA SALAMA
Wauguzi Doctor na Manesi taratibu jamani hayaaaa
Tutaonana wabaya hayaaaaa
Kauli za wafanya kazi wengi hasa sekta za umma ni mtihani kabisa sema kama hayajakukuta huwezi kuamini kabisaaa😭
Pole Sana Dada yangu 😭💪🏽🙏🏼
pole dada baadh y manes na wahudumu hawana huruma wal hawajal wanawke wenzao
Manesi wa znz wanajeur sana
Tena wanajeuri unatamani uwapige kibao
Aisee sio Zanzibar tu kila Mahali yani laiti watu wangejua kuzaa kulivyo kugumu wasingetesa wenzao
Yaaani wazanzibar tena unguja mm nilijigungua apo apooo mpaka unawaogopa manesi hiiiish
@@hamidahamad1905Kweli
Aisee pole sana Allah atakulipia pia ulikosea kwenda kujisaidia chooni wakt uchungu umekaza ulitakiwa uchukue ndoo au kibeseni
Mungu wang pole saaan uzebe wamaneshi
Hizo ndo kauli za manesi hapa zanzibar wanajeuri sana halafu wanamaneno ya hovyo daah pole sana dada
Sio Zanzibar tu
Da kweli baadhi yao material sn
Kamati inaundwa baada ya tokeo,kweli African is African
Umeongea,eeh na tume zao za uchunguzi ndo zao
Mwenyezi Mungu atawalipa hawa wanawake kwa roho mbaya waliyomfanyia mwanamke mwenzao,Mungu atusaidie wanawake huko Lebba, imeniuma sana😢😢😢😢😢
😢dunia ina watu wakatilii hii
Ivi kweli ukamfanyie mwanamke mwezio mambo kama hayo duuh!! Imeniuma kwakwel
Pole dada mungu anakupenda ndiomaana upohai hadi sasa pole sana wasamee buree mungu ndio atawalipa kwa kila walioyafanya
Yaani wanawake tunateseka sana mim iliwai nitoke hii ila alitokea mmoja wapo alinisaidia pole sana dada
Wamama leba tunakutanaga na maneno mengi sana,bora ukutane na mwanaume wanahuruma ila cc wanawake mmmh
Mimi niliambiwa hapo mwembe radu mapigo ya moyo ya mtoto hawayasikii na hana kichwa nes anatia mikono kama hana k kiukweli wanadharau sanaaaaa hasaaa kile kidokta cha kiarabu kifupi kishenz sanaaa
Hao manesi kama mashetwani😢 au ni mashetwani kweli
Mamaetu samia kashakusikia mamaangu imeniumiza sana😭😭😭😭
Wasifukuzwe kazi tu washitakiwe na wafungwe kwa kutaka kusababisha mauwaji.
Wanatunyanyasa jamani mie sitaki ata kusimulia nikikumbuka😢 na ndo ilikua mara yangu ya kwanzaa
P0le dadangu kila anaona ataumiya kwa kitendo walicho kufanyiya😢😢😢😢❤❤❤❤
Wallah sijui hii ni serikar au Dunia ipo kilelen mhhhh,raisi na viongoz waseme neno nasisi tuswali San jaman🤭🤭🤭
😭😭😭pole saana mamaa
Pole sana dada Allah atakulupia
Jamani sijuwi hawa watu wanamatatizo gani mahishani mwao yani kila sehemu nahuku nilipo sauth ,Africa mungu mwenyewe☝💪🙏
Kwani haya mambo yote selekali hawasikii au inakuwaje? mbona kumekuwana na matukiyo mengi hata hawasemi kitu😡😭
Msemaji hujasema la maana kama huamini kilichotokea jinsi unavyozumza. Mnapendeleana saba, watahamishwa hao wapelekwe mnazi mmoja au Pemba subirini mtaona.
Wauguzi wanao zalisha wengi wao wajeuri tena wajeuri hasa km wamelazimishwa vile wakat wanataka ajira ni wema ngoja wapate ss
Pole dada yangu , mm mwenyewe nilijifungua miaka saba iliyopita, mwanangu mkono una matatizo hadi leo huo wote ni uzembe wa Manursy sema sikuwa na uwelewa haki ningefungua kesi,
Pole dada angu hawana huruma kabisa hao
Alafu utakta wanakwambia proud to be Islam ☪
Jamani huyu dada umepita magumu sana, yaani uzalie chooni na deki upigishwe baada ya kuzaa😭😭😭,hii siyo haki wanawake wana roho mbaya sana
Kwan wao wanalipwa KwaKaz gan manes kamahao ndo wanatakiwa Maje ukubala tuwa nyooshe
Mungu atalipa hapahapa duniani kwani kila unalo mfanyia mwenzio nawe litakufika tu kwa njia yoyote
mama Samia,hatutaki,mama,hatutaki,tunaomba waondolewe wapelekwe kwingine,hapana hapana mama,jamaniiiii,nimelia kwakweli,
Manesi wana wake wana roho mbaya sana Bora uwakute wanaume mm mwenyewe nimezaa mwenyewe Kila nikemwita docta wako bize tu kazi zao mpaka mtoto alipo Toka ndo akaja niliumia sana ila nilishukuru nilijifungua Salama tatizo hili lipo sna sio uko tu ata hapa dar lipo sema tunalifumbia macho ila viongozi wakelifwatilia na hapa dar izi hospitali za serekali watakuja kubaini kiukweli wazazi tunanyanyasika sana hospitali hizi za serekali
Pole sana dada Mungu atakulipia
MUNGU wangu mama ukapiga na deki, kuna watu ubinadam awana
Dr leonard nnakupenda mnoo yaan kama malaika jaman cjawah kuona daktar anajal kama yule dada,bado nakutafta had leo cjakupata
Pole mdd kwa yaliyokukuta
Magnesium mungu anawsona
Hiyo ndotabia yao spitali hiyo ya mwembeladu namie yalinikuta kama hayo waliniacha nikajifungua pekeyangu na mwanangu akala uchafu kakaribia kufaaa lohhh wafukuzwe hiyo ndokazi yao washenzi hao
Yes wangu nimeumie sana
Usiombe radhi kwa wazazi na familia tu. Bali kwa wanawake wote na kila aliyeguswa na hili. Unguja ndivyo walivyo wauguzi wote maana hizi kazi hawafanyi kwa kuwa wanazipenda. Bali hupeana kiundugu bila hata kama mtu hataki hulazimishwa na baba zao kwakuwa zipo na wao ndio wenye mamlaka wanapomaliza kusoma watu wao huwapeleka vyuoni kila mtu na mwanae. Matokeo yake ndio hayo.
Wafukuzwe kazi. Wallah imeniuma sana yani mzazi apige deki ilihali bado hajatolewa kondo?? Hao manesi tuseme hawajazaa?? Walaaniwe kabisa
Madaktar wa Zanzibar wengi ni wari hawajaolewa wanachagua waume wenye pesa
@@user-bl4vy5bo4f pole yao watasubiri sana hao waume wenyewe pesa wasubiri Mungu atawaumbia wenye pesa
Washenzi kabisa waleteni huko bongo kanda ya ziwa tuwanyooshe
Kwa maelezo,yanayo semwa na mlalamikaji, ni maleno yanayoitaji majibu ,kwanza kutakuwa na changamoto mbande mbili ether za kisiasa ,au zakijamii ,wahojiwe wote pande zote mara moja, na majibu yatapatikana na atua uchikuliwe
Pole zako nyingi Mungu ni mkubwa
Loh hatari wanaroho mbaya unaingia shifti ya usiku halafu unataka kulala, kwanini mnatafuta kazi wasoziweza
Ety si wangepika mama lishe usiku wakalake nyumbani manesi wengine ni maajenti wa shetani wapo kazini
Jaman hiki kipindi madaktar muwe tu mnatusaidia na kutuvumilia jaman,yaan😢😢
Mm ndiomana cpital ya serekali kumpeleka mkewangu kwa kujifunguwa sithubutu kmkm hospital ni sehem nxuri sana ya kujifungulia na bei yao ni nafuu sana nendeni mutapata huduma nzur sana
Nisingepiga deki huyo odali anakazi gani heee washezi kweli
Ndo Tabia zao wana dharau na mimi limenikuta kama hilo lakini ila niliingia kwenye chumba cha kujifungulia nikajifungia peke yangu ,wakaingia wanafunzi nikamwita mmoja wale wanafunzi nimwambia amkate mtoto kitovu akamkata nikabeba mwanangu nikaondoka sikuwajibu wakabaki wanashangaa na kusema kumbe ulikua unaumwa ,naona hupigi zogo kama wenzio umetulia kama huumwi .
Akinimejiskya vibaya sana pole sana Dada yangu wanawake tunaptiya Mengi sana jamanii 😢😢😢
Hao hawapaswi kuwemo ndani ya hiyo ajira ya udaktari hawafai ...wachunguzwe nini hiyo sio ZANZIBAR yetu
Ni kawaida wazazi hasa wanaozalia hospitali za serikari wanateseka sana watanzania hospitali nyingi ni mateso matupu
ukitaka kujua nurse au doctor anawito na hiyo kaz yake kutoka kwa MUNGU utaona tu jinsi anavyomhudumia mtu kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu unakuta..me mamaangu nurse lkn cwafichi watu wakija hospitol wacpomkuta mama wanakataa kuhudumiwa na wengine mpaka awepo mama
Maskini pole dada nimejikuta nalia kwa waliyokufanyia😢
Eeeeeenh jaman mambo ganii ayooooo kwa manesiii mnafanyia wanawak wenzio nimelia sana i seee😢😢😢😢😢😢
Wanawake tunapitia magum sana kweli mtu amejifungua ukamdekisha ma nesi wengine hawana uwito wachukuliwe hatua
Pole sana
Daah 💔😭
😭😭😭😭😭 duuuh!
Mungu atawalaani hao madoctor na wakose kazi
Manasi wanalala kazini?
Ndio serikali yetu ambayo ina viongozi... Sio kuwasimamisha tuu.. hawana maadili ya kazi..
Hayo ndo Mambo yanayotokea Kwa wanawake yaani ukipata ujauzito huwazi hiyo miezi Tisa ila muda ukifika wa kujifungua ndo unawaza matusi na kauli mbaya utakazopata hospital.
Sikumoja menolipiga kofi nes mmoja ivi anachoma sindano uku anachart
Pole sn dada
Hii pole wee .