TAHARUKI: MAMA ALIYEJIFUNGUA CHOONI ZNZ, MANENO MAKALI, ATAKIWA KUSAFISHA CHOO, ASIMULIA YALIYOMKUTA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 246

  • @ahmadSeif860
    @ahmadSeif860 9 дней назад +9

    Hongeren Sana waandishi kwa kutupatia taarifa, hapa zanzibar Kuna media za kipuuz tu.

  • @AfricaQueen
    @AfricaQueen 10 дней назад +29

    😳😭😭😭😭😭🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️😭😭😭😭Jamaniiiiii haya Mateso huyu dada amepitia kwa kweli wafukuzwe kazi haraka sana hao manesi ni wauwaji kabisa hii Kesi ni kubwa Na mbaya sana hata Mimi nimeumia pole sana dada hawa wafanyakazi wa Hospital wanataka kuabudiwa kwa kweli hii sio haki Tumeumia sana kina mama kwa hili😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 10 дней назад +34

    Pole Sana dada nimejisikia vbaya Sana wanawake tunateseka Sana kuwaleta watoto duniani

    • @HamdanAmli
      @HamdanAmli 10 дней назад

      Pole sana

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 8 дней назад +1

      Alqfu wanasema uzazi umepungua nani akauliwe mtu unabeba mimba kwa shida kujifungua bado wakukusaidia na faraja unaotakiwa wakupe wanatutesa acha tukae bila kuxaa

  • @SophiaAthumani-ri4lu
    @SophiaAthumani-ri4lu 9 дней назад +6

    Tatizo la sasa watu hawafanyi kazi kama wito bali wanafanya kama adhabu utadhani walilazimishwa kusomea hizo fani, Pole sana mwanamke mwenzangu imenigusa , Naomba hatua stahiki zichukuliwe ili iwe fundisho Kwa wengine.

  • @MaryamAhmed-qt5ey
    @MaryamAhmed-qt5ey 8 дней назад +5

    😢naumiiiiiiaaaaaaaaa
    Yaaani nawakumbukaaa na mimiiiii
    Nimejifungua apo apo
    Kaaah yaaa rabby tusaidie

  • @arally23
    @arally23 6 дней назад +1

    Dah imeniuma sana. pole sana dada hakika Mungu ni MKUBWA ndo maana kakusimamia mpaka hatua ya mwisho ALHAMDULILLAH

  • @Farida-k2m
    @Farida-k2m 9 дней назад +5

    Mama yangu alijifungua Mimi mwaka 1999 chini stori ni Hii Hii umepishana kidogo mie nilizaliwa chini Ila mama hajasahau ad Leo ananihadithiaga Nina miaka 25

  • @kamugishaevodius8943
    @kamugishaevodius8943 9 дней назад +4

    Pole sana Mama , Mwenyezi Mungu akulinde. Mungu akutetee.
    Hao hawana wauguzi hawana maadili

  • @user-oq2wp8oh1f
    @user-oq2wp8oh1f 10 дней назад +5

    Pole dada mwaya Allah atawalipa roho yake mbaya huyo nesi

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 10 дней назад +10

    Wamenikera Sana kwa kitendo hicho

  • @JeremiahKaliwa-h1w
    @JeremiahKaliwa-h1w 10 дней назад +12

    Wanafanyakazi kwa mazoea mpaka wanasahau wajibu wao serikali ichunguze hospitali zote nchini

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 9 дней назад +2

    Jaman uyu dada kapitia magumu😭😭😭 pole sana mamy wangu maskin hao madokta mungu awalaan na wafukuzwe

  • @KomboMakame-x8t
    @KomboMakame-x8t 8 дней назад +2

    Yani hawa wanaomba kz wanapata kz then munatudhalilishia wake zetu ila mungu nyinyi atakupeni lakukupeni pole sana dada Allah atamkuza uyo awe mwema duniani na akher

  • @RehemaUngando
    @RehemaUngando 8 дней назад +2

    Namshukuru allah pindi nilpokuwa naumwa uchungu nilihisi aja ndogo nilivyo mwambia muhuguzi naitaji kwenda msalan kujisaidia alikataza na kunipa ndoo uku akiniangalia kwa umakini sana sjawai kukutana. Na muughudhi mshenzi ktk kipindi changu chote nilichozaa mala tatu alhadulilah

  • @nuruyahaya8965
    @nuruyahaya8965 9 дней назад +1

    Pole sana dada nimeumia sana yan hawa watu wanakosa Sana utu utadhani wao sio wanawake Mungu akulinde na awajaalie afya tele ww na mwanao

  • @Farida-k2m
    @Farida-k2m 9 дней назад +2

    Adi nimelia Jaman sie kina mama tunapitia mengi Leba Sina ham 😢 Alhamdulillah umejifungua salama ❤

    • @NuruZebedayombise-ie5zb
      @NuruZebedayombise-ie5zb 8 дней назад

      Nasikia uchungu sana jamani mtoto wangu alifia tumboni alafu huyu kapata bahati jamani alafu doctor anamsababisha mauwaji

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 10 дней назад +7

    dah mtihani sana pole mama mtu hao wamewekwa Nandugu zao Ndio mana hawajali

  • @zahormohammed4476
    @zahormohammed4476 10 дней назад +5

    Ndio shida ya kuajiri kwa kuangalia itikadi za kisiasa wenye qualification wanazungushwa na wanachukua wanamaskani kisa wanalala maskani na wamesoma darasa la itikadi

  • @chinedu255
    @chinedu255 10 дней назад +8

    daah mama mungu awaweke milele acha masela tusote tuu 🤐🤐🤐

  • @EliaMangwela
    @EliaMangwela 10 дней назад +3

    It's just a precipitate labour with short time than expected... The possible mistakes are two.
    1. Failure to consider possibility of precipitate labour (incompetence). Especially as they were informed by the mother about the urge to push.
    2. Poor management of labour and lack of customer care and medical ethics.
    Sorry to all of them involved.

    • @MomG-d6o
      @MomG-d6o 10 дней назад

      Labour huwa na range time ukicheki huyo ni grandmultipara labour huwa fupi

  • @MirajiMiraji-yu4gg
    @MirajiMiraji-yu4gg 6 дней назад +1

    Pole sana dada . .allah atakulipia

  • @saynabmohammed6263
    @saynabmohammed6263 10 дней назад +4

    Samia na Dr mwiny
    Muna tembea nchi tofauti angalien madocter na manes muweje uchunguz wa juu

    • @AgustaZaile
      @AgustaZaile 9 дней назад

      Jifunze kuandika kwanza

    • @petro8010
      @petro8010 9 дней назад +1

      Siyo ajifunze msg sent

  • @Magrethw-xp4ru
    @Magrethw-xp4ru 10 дней назад +6

    Watimuliwe hao hapo hakuna uchunguzi mnasubiri kuhongwa to,wanyonge tunaonewa sana .

  • @aminachoga9266
    @aminachoga9266 10 дней назад +6

    Pore dada naumia sana ❤❤❤

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 10 дней назад +4

    Subhanallah hata paka akizaaa unamuonea huruma

  • @AnnaMallya-on2qj
    @AnnaMallya-on2qj 8 дней назад +1

    Pole san dada Mungu akulinde wewe na mwanao achana na hao washenzi hata kama mtu umezaa watoto kumi jmn uchungu hauzoeleki ata siku moja tena kila mtoto na uchungu wake

    • @zenaal-baalawy1953
      @zenaal-baalawy1953 8 дней назад

      Ni kweli kila mtoto anakuja na uchungu wake tofauti hata uzae watoto iwe mimba ya ngapi, na pia kila mtoto anakuja na masaa yake wengine uchungu ukija hausimami unaumwa mpaka unazaa masaa mengi unahangaika na mtoto mwengine uchungu wake unakuja na kurudi mara unapata afadhali na unaanza tena utakuchukua masaa hujazaa, na njia inatafautiana pia kufunguka inafunguka kidogo kidogo watoto wengine utakuta njia inafunguka harakaharaka nanpia sio lazima kuzaa centimeter 9 or hizo wanazosena wao 10, mimi niliambiwa centimeter 9 inatakiwa kuzaa lakini hata 8 unazaa mimi mtoto wa mwanzo nilijifungua kwa centimeter 8 tu

    • @AnnaMallya-on2qj
      @AnnaMallya-on2qj 8 дней назад

      @@zenaal-baalawy1953 khee jmn watu itafika mahali sasa wanaogopa kuzaa kwa hizi huduma mbovu na kauli chafu za vituo vya afya hasa manesi utadhani wao sio wanawake 😡😡

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa2258 10 дней назад +6

    Hadi sasa bado wapo kazini? Huku kuna madoctor wanatafuta kazi. Fukuza hao wamejaa uuaji.

  • @Kelvinjoseph-jz7kq
    @Kelvinjoseph-jz7kq 10 дней назад +4

    Ndio tatizo la vi2 vya bure,,mie ishatokea kwa mam mtot wang dah Zanzibar noma,,badilikeni maboss ze2

  • @khatimabdallah8143
    @khatimabdallah8143 10 дней назад +1

    pole sana ila shukuru mungu allaah akuhifadhi wewe na wanao amin😊

  • @FaridaAlita-jx6lt
    @FaridaAlita-jx6lt 5 дней назад

    Subhanallah pole sana ndugu yetu uongozi ujitahidi kulifuatilia hili na kulichukulia khatua

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 3 дня назад

    Wanahatari yani umezaa unaweza kupiga deki watanzania tubadilike kuna maisha mengine baada ya dunia

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 10 дней назад +1

    Manesi wengi wana roho mbaya..Nashukuru mm niliwai kwenda kujifungua nilihudumiwa na nesi wa kiume yule kaka sitamsahau namuombea heri kila leo alinihudumia vizuri ananipima ananiambia pole kama mtoto..wenzangu wa pembeni walihudumiwa na wa kike jaman hayo maneno waliyokua wanatolewa..

  • @zenaal-baalawy1953
    @zenaal-baalawy1953 8 дней назад

    Njia ikifika centimeter 9 unazaa lakini wengine haifiki hata hiyo hata mimi mtoto wangu wa mwanzo nurses waliniambia hata centimeter 8 ikifunguka inawezekana kuzaa na kweli walinizalisha kwa centimeter 8 tu. Lakini sio huko nchi ya nyumbani kusema kweli.
    Pole sana wazazi tunapitia mengi. Hayo yote mzazi huwezi kufanya unakua huna nguvu na pia uchungu wamemfanyisha kazi na hali anaumwa na masimbulizi.
    Mimi pia yashanikuta hapo Mwembeladu kipindi nina mimba ya 3 nilikwenda kutembea nyumbani Zanzibar mimba changa walikua washaanza kunifanyia wa jeuri kweli sana kwa ushahid mpaka wale wagonjwa wanaogopa.

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 3 дня назад

    Kwa zanzibar hii sidhani kama watachukua hatua zaidi watatumia undugu na Hao wataendelea na kazi yaani kiufupi zanzibar wanaishi ki ujamaa 😢 😢 ingelikua hapo ni mbara na mzanzibar basi wangeshachukua hatua na kuita wabogo tabia yao ni chafu 😢 ILA POLE NYINGI KWA MAMA ALIEPITIA CHANGAMOTO 😢😢 SHUKRANI KWA MUNGU KUMLINDA NA KUJIFUNGUA SALAMA

  • @mkambamaulid447
    @mkambamaulid447 10 дней назад +3

    Wauguzi Doctor na Manesi taratibu jamani hayaaaa
    Tutaonana wabaya hayaaaaa
    Kauli za wafanya kazi wengi hasa sekta za umma ni mtihani kabisa sema kama hayajakukuta huwezi kuamini kabisaaa😭
    Pole Sana Dada yangu 😭💪🏽🙏🏼

  • @ashajoj5786
    @ashajoj5786 4 дня назад

    pole dada baadh y manes na wahudumu hawana huruma wal hawajal wanawke wenzao

  • @rahmamct
    @rahmamct 10 дней назад +18

    Manesi wa znz wanajeur sana

    • @hamidahamad1905
      @hamidahamad1905 10 дней назад +3

      Tena wanajeuri unatamani uwapige kibao

    • @mwanas2
      @mwanas2 10 дней назад +1

      Aisee sio Zanzibar tu kila Mahali yani laiti watu wangejua kuzaa kulivyo kugumu wasingetesa wenzao

    • @MaryamAhmed-qt5ey
      @MaryamAhmed-qt5ey 8 дней назад +1

      Yaaani wazanzibar tena unguja mm nilijigungua apo apooo mpaka unawaogopa manesi hiiiish

    • @zenaal-baalawy1953
      @zenaal-baalawy1953 8 дней назад

      @@hamidahamad1905Kweli

  • @zaharangonyani814
    @zaharangonyani814 10 дней назад

    Aisee pole sana Allah atakulipia pia ulikosea kwenda kujisaidia chooni wakt uchungu umekaza ulitakiwa uchukue ndoo au kibeseni

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 4 дня назад +1

    Mungu wang pole saaan uzebe wamaneshi

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 10 дней назад +1

    Hizo ndo kauli za manesi hapa zanzibar wanajeuri sana halafu wanamaneno ya hovyo daah pole sana dada

  • @MbarakHaruna
    @MbarakHaruna 10 дней назад +3

    Kamati inaundwa baada ya tokeo,kweli African is African

    • @olivernyange2349
      @olivernyange2349 9 дней назад

      Umeongea,eeh na tume zao za uchunguzi ndo zao

  • @SungesuAngelina-id4tj
    @SungesuAngelina-id4tj 10 дней назад

    Mwenyezi Mungu atawalipa hawa wanawake kwa roho mbaya waliyomfanyia mwanamke mwenzao,Mungu atusaidie wanawake huko Lebba, imeniuma sana😢😢😢😢😢

  • @annahfidelis4566
    @annahfidelis4566 10 дней назад +4

    😢dunia ina watu wakatilii hii

  • @MamodelPark
    @MamodelPark 10 дней назад +2

    Ivi kweli ukamfanyie mwanamke mwezio mambo kama hayo duuh!! Imeniuma kwakwel

  • @ShamsaFahad-n8v
    @ShamsaFahad-n8v 9 дней назад +1

    Pole dada mungu anakupenda ndiomaana upohai hadi sasa pole sana wasamee buree mungu ndio atawalipa kwa kila walioyafanya

  • @nasraswakala
    @nasraswakala 8 часов назад

    Yaani wanawake tunateseka sana mim iliwai nitoke hii ila alitokea mmoja wapo alinisaidia pole sana dada

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 9 дней назад +1

    Wamama leba tunakutanaga na maneno mengi sana,bora ukutane na mwanaume wanahuruma ila cc wanawake mmmh

  • @xxxl-jf2ji
    @xxxl-jf2ji 10 дней назад +2

    Mimi niliambiwa hapo mwembe radu mapigo ya moyo ya mtoto hawayasikii na hana kichwa nes anatia mikono kama hana k kiukweli wanadharau sanaaaaa hasaaa kile kidokta cha kiarabu kifupi kishenz sanaaa

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 10 дней назад +2

    Hao manesi kama mashetwani😢 au ni mashetwani kweli

  • @AdamOman-n2s
    @AdamOman-n2s 10 дней назад +2

    Mamaetu samia kashakusikia mamaangu imeniumiza sana😭😭😭😭

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 10 дней назад +2

    Wasifukuzwe kazi tu washitakiwe na wafungwe kwa kutaka kusababisha mauwaji.

  • @salhabeautybashiru8393
    @salhabeautybashiru8393 5 дней назад

    Wanatunyanyasa jamani mie sitaki ata kusimulia nikikumbuka😢 na ndo ilikua mara yangu ya kwanzaa

  • @eshasaid3258
    @eshasaid3258 6 дней назад

    P0le dadangu kila anaona ataumiya kwa kitendo walicho kufanyiya😢😢😢😢❤❤❤❤

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q 10 дней назад +1

    Wallah sijui hii ni serikar au Dunia ipo kilelen mhhhh,raisi na viongoz waseme neno nasisi tuswali San jaman🤭🤭🤭

  • @JazraMwanamsangu
    @JazraMwanamsangu 10 дней назад +2

    😭😭😭pole saana mamaa

  • @ZuhuraMuarabu
    @ZuhuraMuarabu 4 дня назад

    Pole sana dada Allah atakulupia

  • @kampotkanangila9647
    @kampotkanangila9647 10 дней назад

    Jamani sijuwi hawa watu wanamatatizo gani mahishani mwao yani kila sehemu nahuku nilipo sauth ,Africa mungu mwenyewe☝💪🙏

  • @happykipeya8516
    @happykipeya8516 10 дней назад +1

    Kwani haya mambo yote selekali hawasikii au inakuwaje? mbona kumekuwana na matukiyo mengi hata hawasemi kitu😡😭

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 10 дней назад +1

    Msemaji hujasema la maana kama huamini kilichotokea jinsi unavyozumza. Mnapendeleana saba, watahamishwa hao wapelekwe mnazi mmoja au Pemba subirini mtaona.

  • @user-mw5xs2wx8n
    @user-mw5xs2wx8n 10 дней назад +2

    Wauguzi wanao zalisha wengi wao wajeuri tena wajeuri hasa km wamelazimishwa vile wakat wanataka ajira ni wema ngoja wapate ss

  • @JeskerMasawe
    @JeskerMasawe 10 дней назад +2

    Pole dada yangu , mm mwenyewe nilijifungua miaka saba iliyopita, mwanangu mkono una matatizo hadi leo huo wote ni uzembe wa Manursy sema sikuwa na uwelewa haki ningefungua kesi,

  • @AminaAhmed999
    @AminaAhmed999 10 дней назад +2

    Pole dada angu hawana huruma kabisa hao

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 5 дней назад

    Alafu utakta wanakwambia proud to be Islam ☪

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 5 дней назад

    Jamani huyu dada umepita magumu sana, yaani uzalie chooni na deki upigishwe baada ya kuzaa😭😭😭,hii siyo haki wanawake wana roho mbaya sana

  • @JascoIbrahimo
    @JascoIbrahimo 10 дней назад +2

    Kwan wao wanalipwa KwaKaz gan manes kamahao ndo wanatakiwa Maje ukubala tuwa nyooshe

  • @user-fd8ce8ct2m
    @user-fd8ce8ct2m 4 дня назад

    Mungu atalipa hapahapa duniani kwani kila unalo mfanyia mwenzio nawe litakufika tu kwa njia yoyote

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 10 дней назад +1

    mama Samia,hatutaki,mama,hatutaki,tunaomba waondolewe wapelekwe kwingine,hapana hapana mama,jamaniiiii,nimelia kwakweli,

  • @SaudaOmary-pi9si
    @SaudaOmary-pi9si 6 дней назад

    Manesi wana wake wana roho mbaya sana Bora uwakute wanaume mm mwenyewe nimezaa mwenyewe Kila nikemwita docta wako bize tu kazi zao mpaka mtoto alipo Toka ndo akaja niliumia sana ila nilishukuru nilijifungua Salama tatizo hili lipo sna sio uko tu ata hapa dar lipo sema tunalifumbia macho ila viongozi wakelifwatilia na hapa dar izi hospitali za serekali watakuja kubaini kiukweli wazazi tunanyanyasika sana hospitali hizi za serekali

  • @mwananganzi
    @mwananganzi 10 дней назад

    Pole sana dada Mungu atakulipia

  • @TirifinaFesto
    @TirifinaFesto 3 дня назад

    MUNGU wangu mama ukapiga na deki, kuna watu ubinadam awana

  • @Tanzaniayangu1
    @Tanzaniayangu1 8 дней назад

    Dr leonard nnakupenda mnoo yaan kama malaika jaman cjawah kuona daktar anajal kama yule dada,bado nakutafta had leo cjakupata

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 10 дней назад

    Pole mdd kwa yaliyokukuta
    Magnesium mungu anawsona

  • @EddyRere-h6h
    @EddyRere-h6h 10 дней назад +1

    Hiyo ndotabia yao spitali hiyo ya mwembeladu namie yalinikuta kama hayo waliniacha nikajifungua pekeyangu na mwanangu akala uchafu kakaribia kufaaa lohhh wafukuzwe hiyo ndokazi yao washenzi hao

  • @happygombe1969
    @happygombe1969 10 дней назад

    Yes wangu nimeumie sana

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 дня назад

    Usiombe radhi kwa wazazi na familia tu. Bali kwa wanawake wote na kila aliyeguswa na hili. Unguja ndivyo walivyo wauguzi wote maana hizi kazi hawafanyi kwa kuwa wanazipenda. Bali hupeana kiundugu bila hata kama mtu hataki hulazimishwa na baba zao kwakuwa zipo na wao ndio wenye mamlaka wanapomaliza kusoma watu wao huwapeleka vyuoni kila mtu na mwanae. Matokeo yake ndio hayo.

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 10 дней назад +1

    Wafukuzwe kazi. Wallah imeniuma sana yani mzazi apige deki ilihali bado hajatolewa kondo?? Hao manesi tuseme hawajazaa?? Walaaniwe kabisa

    • @user-bl4vy5bo4f
      @user-bl4vy5bo4f 10 дней назад

      Madaktar wa Zanzibar wengi ni wari hawajaolewa wanachagua waume wenye pesa

    • @user-xk7vy4gb6g
      @user-xk7vy4gb6g 10 дней назад

      @@user-bl4vy5bo4f pole yao watasubiri sana hao waume wenyewe pesa wasubiri Mungu atawaumbia wenye pesa

    • @petro8010
      @petro8010 9 дней назад

      Washenzi kabisa waleteni huko bongo kanda ya ziwa tuwanyooshe

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 7 дней назад

    Kwa maelezo,yanayo semwa na mlalamikaji, ni maleno yanayoitaji majibu ,kwanza kutakuwa na changamoto mbande mbili ether za kisiasa ,au zakijamii ,wahojiwe wote pande zote mara moja, na majibu yatapatikana na atua uchikuliwe

  • @PhilomenaUrio
    @PhilomenaUrio 10 дней назад

    Pole zako nyingi Mungu ni mkubwa

  • @SKY-fk3fz
    @SKY-fk3fz 10 дней назад +2

    Loh hatari wanaroho mbaya unaingia shifti ya usiku halafu unataka kulala, kwanini mnatafuta kazi wasoziweza

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 10 дней назад +3

      Ety si wangepika mama lishe usiku wakalake nyumbani manesi wengine ni maajenti wa shetani wapo kazini

  • @Tanzaniayangu1
    @Tanzaniayangu1 8 дней назад

    Jaman hiki kipindi madaktar muwe tu mnatusaidia na kutuvumilia jaman,yaan😢😢

  • @KomboMakame-x8t
    @KomboMakame-x8t 8 дней назад

    Mm ndiomana cpital ya serekali kumpeleka mkewangu kwa kujifunguwa sithubutu kmkm hospital ni sehem nxuri sana ya kujifungulia na bei yao ni nafuu sana nendeni mutapata huduma nzur sana

  • @rizikiabdalla2501
    @rizikiabdalla2501 7 дней назад

    Nisingepiga deki huyo odali anakazi gani heee washezi kweli

  • @Fatma-wi2co
    @Fatma-wi2co 9 дней назад

    Ndo Tabia zao wana dharau na mimi limenikuta kama hilo lakini ila niliingia kwenye chumba cha kujifungulia nikajifungia peke yangu ,wakaingia wanafunzi nikamwita mmoja wale wanafunzi nimwambia amkate mtoto kitovu akamkata nikabeba mwanangu nikaondoka sikuwajibu wakabaki wanashangaa na kusema kumbe ulikua unaumwa ,naona hupigi zogo kama wenzio umetulia kama huumwi .

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 10 дней назад

    Akinimejiskya vibaya sana pole sana Dada yangu wanawake tunaptiya Mengi sana jamanii 😢😢😢

  • @KhalfanSaid-v1h
    @KhalfanSaid-v1h 8 дней назад

    Hao hawapaswi kuwemo ndani ya hiyo ajira ya udaktari hawafai ...wachunguzwe nini hiyo sio ZANZIBAR yetu

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 3 дня назад

    Ni kawaida wazazi hasa wanaozalia hospitali za serikari wanateseka sana watanzania hospitali nyingi ni mateso matupu

  • @femidayahaya9293
    @femidayahaya9293 10 дней назад

    ukitaka kujua nurse au doctor anawito na hiyo kaz yake kutoka kwa MUNGU utaona tu jinsi anavyomhudumia mtu kwa upole na unyenyekevu wa hali ya juu unakuta..me mamaangu nurse lkn cwafichi watu wakija hospitol wacpomkuta mama wanakataa kuhudumiwa na wengine mpaka awepo mama

  • @ashurakiaga7812
    @ashurakiaga7812 8 дней назад

    Maskini pole dada nimejikuta nalia kwa waliyokufanyia😢

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 10 дней назад

    Eeeeeenh jaman mambo ganii ayooooo kwa manesiii mnafanyia wanawak wenzio nimelia sana i seee😢😢😢😢😢😢

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy 7 дней назад

    Wanawake tunapitia magum sana kweli mtu amejifungua ukamdekisha ma nesi wengine hawana uwito wachukuliwe hatua

  • @MumyGifty-rs7yx
    @MumyGifty-rs7yx 8 дней назад

    Pole sana

  • @Kuruthum-tf1vr
    @Kuruthum-tf1vr 10 дней назад +1

    Daah 💔😭

  • @shellwqueen1852
    @shellwqueen1852 7 дней назад

    😭😭😭😭😭 duuuh!

  • @NuruZebedayombise-ie5zb
    @NuruZebedayombise-ie5zb 8 дней назад

    Mungu atawalaani hao madoctor na wakose kazi

  • @aasatt78
    @aasatt78 10 дней назад +1

    Manasi wanalala kazini?

  • @ShoseSekei
    @ShoseSekei 7 дней назад

    Ndio serikali yetu ambayo ina viongozi... Sio kuwasimamisha tuu.. hawana maadili ya kazi..

  • @SophiaAthumani-ri4lu
    @SophiaAthumani-ri4lu 9 дней назад

    Hayo ndo Mambo yanayotokea Kwa wanawake yaani ukipata ujauzito huwazi hiyo miezi Tisa ila muda ukifika wa kujifungua ndo unawaza matusi na kauli mbaya utakazopata hospital.

  • @DivaMsukuma
    @DivaMsukuma 4 дня назад

    Sikumoja menolipiga kofi nes mmoja ivi anachoma sindano uku anachart

  • @rainfridakokuhabukilwa3610
    @rainfridakokuhabukilwa3610 8 дней назад

    Pole sn dada

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo 7 дней назад

    Hii pole wee .