Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend
Kula mavi tena 😂😂😂😂 mzee huvuti bangi kwel na upo mkoan arusha..ila utan tu heshima yako mzee wang na pole sana..kizaz kibaya hiki..wakajenge za kwao mbwa hao
Watoto wanapambania baba yao asidhulumiwe na wala si kwamba wanataka kurithi nyumba hv mzee km huyo afungiwe ndan wiki nzima?ni jambo ambalo ni la uongo
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
Vijana wengi wa Arusha roho Zao zipo kwenye urithi kutafuta hawajui wamekalia bange n'a kiswahili kisicho n'a kichwa Wala miguu ndo maana kumkuta kijana WA Arusha mikoa mingine anatafuta maisha labda apelekwe na mtu sio kujitoa ye mwenyewe ni waoga sana wa maisha Ila wababe wa mambo ya kijinga
Babu Yuko sahihi sana. Kuacha kutafuta vya kwao. Mimi ndio maana kipata sent nakula vixuri Kwa kwenda mbele. Maanake ujinga kama siutaki kabisa,fedha Yako,nyumba Yako wanataka kukuua.
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
Nimekaa ndani wiki nimekaa wiki nzima nakula maviiiiiiii😂😂😂inachekesha na kuhuzunisha kwa pamojaa,usiposhiba huwezi kupata choo yeye hajala wiki alipata wapi hajakubwa?😂
Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako
Mi nisingevunja nyumba ningewaweka ndani kwa kujaribu kuniua nitafute mteja taratiiibu kabisa nikiuza nyumba yangu naingiza hela zote bank nakula maisha🤣🤣🤣 na nnaandika nikifa hizo pesa zijenge hata msikiti na kidogo apate mwanangu anaenizingatia hao wengine wakitoka hawana chao
Kuna mzee Moja alkuw na nyumbn nzuri wakati anakaribia kufa akawapa wtt wake wosia akawaambia jamani hii nyumbn ni dhahabu tosha chini ya sakafu ukutani mzee akafariki asbhi ya nyumba ikabomolewa wameikuta karatasi chini y sakafu, Emeindikwa KAMA NA NYIE NI VIDUME jengeni ya kwenu pumbavu nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸
Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....
Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️
Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako
Baadh ya wachaga badilikeni tafteni vyenu sio mpka kumwaga damu mana m2 anae muua m2 kisa mali n sawa na jambaz tu, tofaut (baadhi lakn) mnamalza wa2 wakalibu hasa wa familia kisa mali tena wenye tabia hiyo n bora na jambazi anamuua asie mjua nyie wenye tabia mbaya mnamuua m2 wa ndan ya familia baba,mama,mtt,mke,mume
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam
Watoto wakike ni bora kuliko watoto wa kiume lakini wanawake tunazarauliwa na baba zetu sasa tizama mtoto wakiume anataka kumuua baba yake ili apate nyumba
Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣
Jaman😂😂😂😂
From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy
Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆
Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad
Nimependa hiyo big ap kwa babuu
Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel
Sawa Mzee Nimekubali
Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!
Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana
@@زيتونتنزانيا mtihan kwel
Kabisaaaa yaniii
Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo
@@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.
Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako
Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu
Babu wewe ni mwanajeshi hongera. Ila ungeuza ulebata na mwanao .Asie fanya kazi na asile mbwa awo mashetani
Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba
Subhannahllah pole sana baba angu
Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome
kumbe hii story inachekesha ???
Mzee pole ,kikubwa ni kuwa Mali ulivyo ipata ndivyo itakavyo ondoka na ndivyo itakavyo kutesa lakini pia inaonyesha Mzee anaroho mbaya
Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri
Duuuuu mungu wangu
🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu
mzee ana akili sana pongezi kwake
🤣🤣🤣🤣🤣
Wazeee kama hawa ndio tunawahitaji wawanyoooshw watoto kqmq hao
Allah Akusimamie Baba yetu....In sha Allah.
Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao
Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure
Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend
Asante Sana mzee bomoa na uwanja uza
Wanatakiwa kuomba msamaha kabla hajaondoka hapa Duniani na maumivu hayo moyoni mwake.
Aiseeh!kauli tata sana hii nimejifunza mola wangu nipe moyo w huruma niwahurumie wazee wangu
"Mtoto miaka 7 "20 ni mwenzako
Baba pole Sana
Naisi atakualia Kwa uchungu anamaa dah inaumaaaaa Laitika hiyo abdala kk yngu mm napya hata kukata kichwaaa
Sàwa Mzee Naunga Mkono Hoja..
Kula mavi tena 😂😂😂😂 mzee huvuti bangi kwel na upo mkoan arusha..ila utan tu heshima yako mzee wang na pole sana..kizaz kibaya hiki..wakajenge za kwao mbwa hao
Subhanallah,,,YaaRabbi Subhanallah
Aliye sema Huyu mzee hayuko timamu yeye ndiye hayuko timamu. Anacho ongea anakielewa . Ongera baba
Mwenye alizaa analiya na Mwenye hakuza analiya, bora uwuze nyumba yako
Babu Sanam linakuhusu
Vizur Sana mzazi
Mmmh kuna mambo duniani 🤔🤔🤔🤔
Bora aiuze
Mzee masta huyu😂
Watoto wanapambania baba yao asidhulumiwe na wala si kwamba wanataka kurithi nyumba hv mzee km huyo afungiwe ndan wiki nzima?ni jambo ambalo ni la uongo
Hapo mtoto wa kike kasaidia mzee kuonekana
Dah
😂😂😂😂😂😂😂wiki nzima uishi
Subuhanallah
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢tutamueleza Nini muumba wetu dunia hii watoto tuache hiii tabia
Mimi siingiliii kwani sijui undani wake
duuuuuuuuuuuu inauma san yan mzazi wakoo wamueka ndan wiki mali zake alaf anakulaa mavi msiba mkubwa san yan inauma 😭😭😭😭😭😭😓😓
Watu wabaya kweli
Wamekosa akili hao ,nishida kweli🤔🤔wanataka kumfowadi mzee,😄😄😱😱
Duh jamani watu hawana huruma kwa baba yao kweli
Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao
safi sana sana
Safi mzee
Safi maamuzi mazuli pole sana
Wangoja wazazi wafe
Umeona eeh.unalikuta limtu zima mindevu kama osama ila kutoka hom halitaki
Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢
Hakika kuzaa sio kupata, kwa hili lililotokea.
Eti jamn imagine ivi mtu ajenge nyumba yake kwa pesa zake wewe mugombanie kwer ivi watu wakoje
Laana Hii...
Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢
Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi
Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul
Ni kweli...
Congratulations baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyie watoto mmekuwa mijitu mizima mtoke hapo ndani
Vijana wengi wa Arusha roho Zao zipo kwenye urithi kutafuta hawajui wamekalia bange n'a kiswahili kisicho n'a kichwa Wala miguu ndo maana kumkuta kijana WA Arusha mikoa mingine anatafuta maisha labda apelekwe na mtu sio kujitoa ye mwenyewe ni waoga sana wa maisha Ila wababe wa mambo ya kijinga
Wengi saaaaana nimeona pia
Babu Yuko sahihi sana. Kuacha kutafuta vya kwao. Mimi ndio maana kipata sent nakula vixuri Kwa kwenda mbele. Maanake ujinga kama siutaki kabisa,fedha Yako,nyumba Yako wanataka kukuua.
😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao
Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu
@@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee
@@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺
@@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.
Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao
Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana
Nimekaa ndani wiki nimekaa wiki nzima nakula maviiiiiiii😂😂😂inachekesha na kuhuzunisha kwa pamojaa,usiposhiba huwezi kupata choo yeye hajala wiki alipata wapi hajakubwa?😂
Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo
Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako
Yani mzee anastahili pongezi💪
Mi nisingevunja nyumba ningewaweka ndani kwa kujaribu kuniua nitafute mteja taratiiibu kabisa nikiuza nyumba yangu naingiza hela zote bank nakula maisha🤣🤣🤣 na nnaandika nikifa hizo pesa zijenge hata msikiti na kidogo apate mwanangu anaenizingatia hao wengine wakitoka hawana chao
Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏
Yarabii watt tunaendea wap mzazi wako duuh pepo kuion ni ngum alivo najin nzur abdallah mjinga san
Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️
Wtto wasahii n wabaya kuna wtto wa ustadh flan watamuua babayao hawaskii wanavuta bangi pombe mpka hyo ustadh kla mara sukar presha ..wtto wasahii hawana adabu unawalea vzr lkn wanaiga tabia za mitandao
Huyu abdalah hana akili badala amlee baba yake adi pale mungu atakapo mpenda zaidi ndo arithi jamani hii dunia ina watu wajinga sana😢
Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha
Du we Abdullah unamtesa hivyo Baba yako na nyumba kajenga yeye subiri yatakugeukia kama umezaa
Miladauyo unagoweka hicho kibox chekundu MTU Unadhani umeiangalia kumbe bado
mmmmh dunia hii jmn kwel urithi mwenyew Yuko hai taften nanyie vyenu
Kuna mzee Moja alkuw na nyumbn nzuri wakati anakaribia kufa akawapa wtt wake wosia akawaambia jamani hii nyumbn ni dhahabu tosha chini ya sakafu ukutani mzee akafariki asbhi ya nyumba ikabomolewa wameikuta karatasi chini y sakafu, Emeindikwa KAMA NA NYIE NI VIDUME jengeni ya kwenu pumbavu nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸
😁😁😁😁😁
😃😃😃🤭😁
Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋♀️🚶♀️
KBS🚶🚶
DUNIA IMEISHA
WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!!
TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!!
POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!
Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.
Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu
Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....
Kiukweli watoto wa kike huwa Wana huruma mnoo wa kiume wanasubiri tu mzee anakufa lini dahh
2tafte PESA ......2ACHE KUWAOMBEA VIFO Wazaz Wetuu.....
Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.
huyu mzee katoa funzo kubwa Sana! nadhani kijana wake hana hamu 😂
Ujinga tuu,angeuza apate pesa ndio akaishi kwingine. Kuvunja ni hasara
uza kabisa mzee watoto wanashindwa kujitaftia vyao wanasubiri wazazi wafe
😢Mtihani sana ninavyo angaika kujenga IYO Nyumban huk! omani muscat Alfu badaee watoto waje kunifanyia hvy 😭
Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️
safi sana
Pole sana wanakichezea kwa sababu kipo kikitoweka he watajajutia
Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.
Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂
Babu kawakomesha hiyo ndio daqa yao mijitu yenye tamaa,tuma greda tu
Dah ni htr Sana aise mzee amechukua maamuzi mzr kbs waende wakatafute vitu vyao hao hawana utu kbs
Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako
Nimecheka😃
Baadh ya wachaga badilikeni tafteni vyenu sio mpka kumwaga damu mana m2 anae muua m2 kisa mali n sawa na jambaz tu, tofaut (baadhi lakn) mnamalza wa2 wakalibu hasa wa familia kisa mali tena wenye tabia hiyo n bora na jambazi anamuua asie mjua nyie wenye tabia mbaya mnamuua m2 wa ndan ya familia baba,mama,mtt,mke,mume
Sio mchaga wewe
daah kumbe yanatamaa mbaya sana vunja kabisa baba wakawe makapurwa
Ombeni msamaha jamani kabla mzee anafika mwisho litawakuta jambo
Hawa wazee wa kiswahili hawathamini watoto ila wanataka pesa kutoka kwa watoto hao
Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam
Huyu mzee ni moto wa kuotea mbali kwanza anavyo ongea tu utadhania reporter wa BBC radio 📻📻😀😀😀😀
Uamuzi mzuri Sana watafute vyao,pumbavu wanangoja urithi Safi Sana baba
Watoto wa kiume wanatamaa sana ila wakike wanapenda sana baba zao
Watoto wakike ni bora kuliko watoto wa kiume lakini wanawake tunazarauliwa na baba zetu sasa tizama mtoto wakiume anataka kumuua baba yake ili apate nyumba
Kweli Dada yangu usemayo hata kutuzaa hawatutaki Kwa kufuru zao.
Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.
Fukuza kabisa shenzi
Uzaa ukatunie na mtoto wako na mume wake hadi rahaaa hawabaki na kitu
Safi Sana sasa tuone ataijenga au vipi mjinga mkubwa unataka kuuwa mzazi wako kisa nyumba yake
Daah huyo Abdallah ni mvivu sana si atafute yake jamani
Du! Mzee kafanya maamzi magumu ila bora angemrithisha huyo Binti yake
Subuthuuuu...mwenye mali walitaka kumuua,dadayao ndio nani wasimuue