BABA AVUNJA NYUMBA ZAKE 2 ILI WATOTO WAKE WASIISHI, ADAI WALITAKA KUMUUA "WALINIFUNGIA NDANI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024

Комментарии • 564

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 2 года назад +17

    Safi sana ,baba umeweza..ila ungeziuza zote halafu ukahama mkoa/nchi ukaenda zako mbali kula bata na bebez🤣🤣🤣🤣

    • @misswilson7135
      @misswilson7135 2 года назад

      Jaman😂😂😂😂

    • @franklukazula
      @franklukazula 2 года назад

      From MALAWI 🇲🇼 home Burundi 🇧🇮 yani mwenyew nawez fany hivy

  • @maisarah6819
    @maisarah6819 2 года назад +12

    Mtoto akiwa na miaka 5,7 n mwanao,akifikisha miaka 20 sio mwanao tena nimwenzio...nmejifunza kitu babaangu apa🙆

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 2 года назад

      Hata mm nimejifunza Jambo kubwa Sana kwahuyu mzee mtoto akifikisha miaka 20 anakua mwenzio😭😭so,sad

    • @aminamavura6834
      @aminamavura6834 2 года назад

      Nimependa hiyo big ap kwa babuu

    • @valeriaally6584
      @valeriaally6584 2 года назад

      Mai sarah 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwa keel

    • @NgaizaKimbeNgaizakimbe
      @NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 месяцев назад

      Sawa Mzee Nimekubali

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 2 года назад +37

    Mzee alichukua hatua/uamzi mkali mno! Hata hivyo,nyumba ni yake. Hiyo iwe fundisho kwa watoto makatili/fedhuli wanao subiri kurithi kwa nguvu mali za wazazi wao.Nahofia watamuandama,walaaniwe wote na wasipate afueni mpaka ahera,washenzi hawa!!

    • @زيتونتنزانيا
      @زيتونتنزانيا 2 года назад +2

      Asilimia 90 ndivyowalivyo. Halafu itakuwa watoto wakiume ndio wakorofi sana

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 года назад

      @@زيتونتنزانيا mtihan kwel

    • @veronicajoseph2675
      @veronicajoseph2675 2 года назад

      Kabisaaaa yaniii

    • @aishambise6529
      @aishambise6529 2 года назад +1

      Kwel baba pole pia mm yamenikuta hayo fukuza kabisa wakajipage na vyao umewakuza bas inatosha watajuta Sana 🇰🇪🇰🇪 mzazi ni nguzo kuu lakini hawajui nyoo

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 года назад

      @@aishambise6529 hawajui kwamba tupo tuliokosa Cha kurisi isipokua majina ya ukoo.

  • @isunga1964
    @isunga1964 3 месяца назад +1

    Hapo kwenye maviiiiiiiii hongera sana babu uamuzi mzuri na uza kiwanja kabisa kula pesa zako

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 2 года назад +8

    Baba kwanza pole.ila kwenye kula mavi umetupiga. Na kitu kizito kichwani🤣🤣🤣🤣🤣.na ghafla amekuwa mwandishi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nimecheka lkn pole baba angu

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад +1

    Babu wewe ni mwanajeshi hongera. Ila ungeuza ulebata na mwanao .Asie fanya kazi na asile mbwa awo mashetani

  • @hadijahassan6467
    @hadijahassan6467 2 года назад +2

    Mzee anaongea Kwa uchungu,jmn huyo kaka badala ya kutafuta vya kwake unakaa unawaza vya baba

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 года назад +1

    Subhannahllah pole sana baba angu

  • @kulwarahmu5031
    @kulwarahmu5031 2 года назад +3

    Safi Sana babu nimecheka 😁Bora ulivyoivunja iyo nyumba wakome

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 2 года назад

    Mzee pole ,kikubwa ni kuwa Mali ulivyo ipata ndivyo itakavyo ondoka na ndivyo itakavyo kutesa lakini pia inaonyesha Mzee anaroho mbaya

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 2 года назад +2

    Hahahahahaaaaa nimechekaa kafanya vizuri

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 2 года назад +12

    Duuuuu mungu wangu

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 2 года назад +24

    🤣🤣🤣 Heshima yako mzee wangu

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 2 года назад

    Allah Akusimamie Baba yetu....In sha Allah.

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 2 года назад +1

    Mzee yupo sawa mafala hao watafute zao

  • @azizaabeid2055
    @azizaabeid2055 2 года назад +13

    Daa inahuzunisha jamani kweli unamfungia ndani Mzee wako afe kwa ajili ya Mali nyie watoto kwa kweli. Hamna huruma kabisa Mzee ni sawa kabisa ulivyobomoa uza nyengine kula nyengine pelekeka sadaka misikitini hawa watoto wanamna hii hata ukifa sidhani km hata duwaa watakusomea wakatili mno mama Samia msaidie huyu baba ulinzi hawa watoto wasije tuma watu wakamuua bure

  • @kimaronemes5689
    @kimaronemes5689 2 года назад +9

    Dah hao watoto wa kiume wamekosa subra kabisa ona sasa dada yao anaenda kula mavumba na mumewe kiulani baada kuuzwa hiyo nyumba na ikiwezekana washtakiwe kwa jaribio la kuua..huyo mzee ana akili nyingi sana ni legend

  • @rukiaiddyyahaya9506
    @rukiaiddyyahaya9506 2 года назад

    Asante Sana mzee bomoa na uwanja uza

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 4 месяца назад

    Wanatakiwa kuomba msamaha kabla hajaondoka hapa Duniani na maumivu hayo moyoni mwake.

  • @nourannouuran3514
    @nourannouuran3514 2 года назад +1

    Aiseeh!kauli tata sana hii nimejifunza mola wangu nipe moyo w huruma niwahurumie wazee wangu
    "Mtoto miaka 7 "20 ni mwenzako

  • @JAY-YTZ
    @JAY-YTZ 10 месяцев назад

    Baba pole Sana

  • @abdulsalamiissa9503
    @abdulsalamiissa9503 2 года назад

    Naisi atakualia Kwa uchungu anamaa dah inaumaaaaa Laitika hiyo abdala kk yngu mm napya hata kukata kichwaaa

  • @NgaizaKimbeNgaizakimbe
    @NgaizaKimbeNgaizakimbe 6 месяцев назад

    Sàwa Mzee Naunga Mkono Hoja..

  • @madpusher2036
    @madpusher2036 2 года назад

    Kula mavi tena 😂😂😂😂 mzee huvuti bangi kwel na upo mkoan arusha..ila utan tu heshima yako mzee wang na pole sana..kizaz kibaya hiki..wakajenge za kwao mbwa hao

  • @zulekhakhassun730
    @zulekhakhassun730 2 года назад

    Subhanallah,,,YaaRabbi Subhanallah

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 2 года назад

    Aliye sema Huyu mzee hayuko timamu yeye ndiye hayuko timamu. Anacho ongea anakielewa . Ongera baba

  • @zaitunisinamenye1799
    @zaitunisinamenye1799 2 года назад

    Mwenye alizaa analiya na Mwenye hakuza analiya, bora uwuze nyumba yako

  • @kulthumbashiru864
    @kulthumbashiru864 2 года назад

    Babu Sanam linakuhusu

  • @aishakhamis2996
    @aishakhamis2996 2 года назад

    Vizur Sana mzazi

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 2 года назад

    Mmmh kuna mambo duniani 🤔🤔🤔🤔

  • @omarmussa2325
    @omarmussa2325 2 года назад +1

    Bora aiuze

  • @jimmyevarist6342
    @jimmyevarist6342 2 года назад

    Mzee masta huyu😂

  • @kherymaganga4107
    @kherymaganga4107 2 года назад

    Watoto wanapambania baba yao asidhulumiwe na wala si kwamba wanataka kurithi nyumba hv mzee km huyo afungiwe ndan wiki nzima?ni jambo ambalo ni la uongo

  • @NADUAonlineTV
    @NADUAonlineTV 2 года назад

    Hapo mtoto wa kike kasaidia mzee kuonekana

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 2 года назад

    Dah

  • @sandyvoicevevo
    @sandyvoicevevo 15 дней назад

    😂😂😂😂😂😂😂wiki nzima uishi

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 2 года назад

    Subuhanallah

  • @madooog6067
    @madooog6067 2 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😢😢😢😢tutamueleza Nini muumba wetu dunia hii watoto tuache hiii tabia

  • @pilichuli4449
    @pilichuli4449 2 года назад

    Mimi siingiliii kwani sijui undani wake

  • @mwamedypwemu6117
    @mwamedypwemu6117 2 года назад

    duuuuuuuuuuuu inauma san yan mzazi wakoo wamueka ndan wiki mali zake alaf anakulaa mavi msiba mkubwa san yan inauma 😭😭😭😭😭😭😓😓

  • @hafidhissa4405
    @hafidhissa4405 2 года назад

    Watu wabaya kweli

  • @josengumbi4029
    @josengumbi4029 2 года назад

    Wamekosa akili hao ,nishida kweli🤔🤔wanataka kumfowadi mzee,😄😄😱😱

  • @rehemamwamundela2717
    @rehemamwamundela2717 2 года назад

    Duh jamani watu hawana huruma kwa baba yao kweli

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 2 года назад +100

    Hongera sana baba! Majitu hayataki kutafuta vyao

  • @hamsikrasheedi1796
    @hamsikrasheedi1796 2 года назад +54

    Alhamdulillah 😢daah pole sana mzee hakika kuzaa siyo kupata kama leo hii mtu unataka kumuuwa baba yako kwaajili ya mali alizo zitafuta yeye mwenyewe kweli dunia imekwisha 😢😢

  • @leilahhassanomary7189
    @leilahhassanomary7189 2 года назад +42

    Jaman kuzaa sio kupata ! so sad 😢

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад +23

    Subhanallah maskini baba wa watu mungu akusaidie nyie watoto mtizameni baba yenu imani hamna wallahi

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 2 года назад +6

    Saiz uko kwa mtoto wakike iyo mitoto yakiume inakulisha kinyes kwa mtu mwenye akili utajifunza kitu watot wakike wana loh nzul

  • @olivajoseph1697
    @olivajoseph1697 2 года назад +11

    Congratulations baba 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nanyie watoto mmekuwa mijitu mizima mtoke hapo ndani

  • @abdoulyousoufsaloom8601
    @abdoulyousoufsaloom8601 2 года назад +9

    Vijana wengi wa Arusha roho Zao zipo kwenye urithi kutafuta hawajui wamekalia bange n'a kiswahili kisicho n'a kichwa Wala miguu ndo maana kumkuta kijana WA Arusha mikoa mingine anatafuta maisha labda apelekwe na mtu sio kujitoa ye mwenyewe ni waoga sana wa maisha Ila wababe wa mambo ya kijinga

  • @AminaMkumba-u3z
    @AminaMkumba-u3z 25 дней назад

    Babu Yuko sahihi sana. Kuacha kutafuta vya kwao. Mimi ndio maana kipata sent nakula vixuri Kwa kwenda mbele. Maanake ujinga kama siutaki kabisa,fedha Yako,nyumba Yako wanataka kukuua.

  • @laynerngole2119
    @laynerngole2119 2 года назад +10

    😭😭😥😥😥jamani watoto khaaa,unamfanyiaje mzazi mmmh 🙌,bora umebomoa tu,watafute zao

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 2 года назад +2

      Sasa wewe unajenga kwasababu gani ? na je siku ukifa hiyo nyumba uliyoijenga ataishi nani ? . Sasa kwanini ubomoe nyumba uliyoijenga kwa nguvu zako kwasababu ya mtu mmoja tu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@Mpakauseme hujaelewa alichoongea mzee

    • @rukaiyamohamed1764
      @rukaiyamohamed1764 2 года назад

      @@Mpakauseme sasa si wangoje mpaka pale khatma yake itakapofika ndio wachukue nyumba kwann watake kumuua mtu kwa mali zake mwenyewe 🥺🥺🥺

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 года назад

      @@Mpakauseme Bora kubomoa utata uishe.make kati ya watoto 6 ametokea 1 ndio kiherehere ataka kumuua babake Kwaajili ya nyumba aliyoijenga mwenywe na nguvu zake,jaribu uvae kiatu chake kama kitakutosha au kitakuminya mguu.

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 2 года назад +10

    Afu lile Toto lilikua lnahojiwa lkadai halijui knachoendelea kumbe wao ndo wauwaji wapuuz kabisa! Safi mzee kwa uamuz wakatafute vyao

  • @isabelanjesa8117
    @isabelanjesa8117 2 года назад +23

    Anaegombania Mali za wazazi ana akili finyu sana

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 7 месяцев назад

    Nimekaa ndani wiki nimekaa wiki nzima nakula maviiiiiiii😂😂😂inachekesha na kuhuzunisha kwa pamojaa,usiposhiba huwezi kupata choo yeye hajala wiki alipata wapi hajakubwa?😂

  • @sethstiven3393
    @sethstiven3393 2 года назад +11

    Makubwa hii Dunia imeisha,,, upendo wa wengi utapoa ndo tushafka ivo

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +4

    Huyu mzee hanywi bia kweli nikamchomee na nyama kwa mworombo watoto wa siku hizi ukimuona mvivu tu analala hovyo ujue anapanga plani ya kukuua ni kuwafukuza tu mzee heshima yako

    • @marychris8224
      @marychris8224 2 года назад

      Yani mzee anastahili pongezi💪

  • @bongorecaps3558
    @bongorecaps3558 2 года назад

    Mi nisingevunja nyumba ningewaweka ndani kwa kujaribu kuniua nitafute mteja taratiiibu kabisa nikiuza nyumba yangu naingiza hela zote bank nakula maisha🤣🤣🤣 na nnaandika nikifa hizo pesa zijenge hata msikiti na kidogo apate mwanangu anaenizingatia hao wengine wakitoka hawana chao

  • @succesjabari4618
    @succesjabari4618 2 года назад +10

    Da nimekupenda bure wewe baba!......much respect 🙏 👏

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 7 месяцев назад

    Yarabii watt tunaendea wap mzazi wako duuh pepo kuion ni ngum alivo najin nzur abdallah mjinga san

  • @itNeza
    @itNeza 2 года назад +33

    Mzee Heshima Yako Kabisa. ❤️

  • @aminatijuba8252
    @aminatijuba8252 2 года назад

    Wtto wasahii n wabaya kuna wtto wa ustadh flan watamuua babayao hawaskii wanavuta bangi pombe mpka hyo ustadh kla mara sukar presha ..wtto wasahii hawana adabu unawalea vzr lkn wanaiga tabia za mitandao

  • @MigomgoMigali-ky1jl
    @MigomgoMigali-ky1jl 3 месяца назад

    Huyu abdalah hana akili badala amlee baba yake adi pale mungu atakapo mpenda zaidi ndo arithi jamani hii dunia ina watu wajinga sana😢

  • @floramarinyo3517
    @floramarinyo3517 2 года назад +1

    Uza baba Julie pesa wakatafte uko madam mpenzi wako alishafariki hahaha

  • @janekichonge4957
    @janekichonge4957 2 года назад

    Du we Abdullah unamtesa hivyo Baba yako na nyumba kajenga yeye subiri yatakugeukia kama umezaa

  • @nsimbepaul3719
    @nsimbepaul3719 2 года назад

    Miladauyo unagoweka hicho kibox chekundu MTU Unadhani umeiangalia kumbe bado

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 2 дня назад

    mmmmh dunia hii jmn kwel urithi mwenyew Yuko hai taften nanyie vyenu

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 года назад +1

    Kuna mzee Moja alkuw na nyumbn nzuri wakati anakaribia kufa akawapa wtt wake wosia akawaambia jamani hii nyumbn ni dhahabu tosha chini ya sakafu ukutani mzee akafariki asbhi ya nyumba ikabomolewa wameikuta karatasi chini y sakafu, Emeindikwa KAMA NA NYIE NI VIDUME jengeni ya kwenu pumbavu nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 года назад +2

    Abdalah tafuta pesa usitafute laana kwa mzazi utakuja ujutie haya maisha broo haya mie napita nshasema omba msamaha angali hai🙏🏽 🙋‍♀️🚶‍♀️

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 2 года назад +11

    DUNIA IMEISHA
    WATOTO WAMEKUWA WANYAMA WAOVU KULIKO HATA SIMBA!!
    TUNAOMBA ALLAH ATUNUSURU NA VITIMBI VYAO!!
    POLE SANA MZEE WETU,!INATIA HUZUNI!!

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 2 года назад +1

      Watoto Ni wema.. Ila ikitokea wamekuwa wanyama kimbia.. kajifiche. Na watoto wanaofanya hayo inawezekana Ni wale waliopendwa saana na mzazi.

  • @macharosandra9467
    @macharosandra9467 2 года назад +13

    Vijana tufanyeni kazi, tutafute vya kwetu

  • @omaryonga1776
    @omaryonga1776 2 года назад +2

    Wengi tunatamani baba zetu waendelee kuishi tupate busara zao na pia baba zetu waliotangulia mbele ya haki warudi .... lakini wengine ndio wanataka kuwauwa jamani....

  • @zakariajoseph5351
    @zakariajoseph5351 2 года назад

    Kiukweli watoto wa kike huwa Wana huruma mnoo wa kiume wanasubiri tu mzee anakufa lini dahh

  • @bizzleadam9895
    @bizzleadam9895 2 года назад

    2tafte PESA ......2ACHE KUWAOMBEA VIFO Wazaz Wetuu.....

  • @ramadhanimkude5744
    @ramadhanimkude5744 2 года назад +4

    Allah alishatuonya, hakika Mali zenu wake zenu na watoto wenu ni mtihani kwenu.

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 года назад +1

    huyu mzee katoa funzo kubwa Sana! nadhani kijana wake hana hamu 😂

  • @magiehermess9949
    @magiehermess9949 2 года назад

    Ujinga tuu,angeuza apate pesa ndio akaishi kwingine. Kuvunja ni hasara

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 2 года назад

    uza kabisa mzee watoto wanashindwa kujitaftia vyao wanasubiri wazazi wafe

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +1

    😢Mtihani sana ninavyo angaika kujenga IYO Nyumban huk! omani muscat Alfu badaee watoto waje kunifanyia hvy 😭

  • @janethmichael4690
    @janethmichael4690 2 года назад +12

    Mimi ninavyotamani baba yangu angekuwa hai daah rest in peace my daddy engineer Michael 😢I still remember you six years now Ni Kama Jana ungekuwa hai akika ningekutuza baba tunakukumbuka and tunakupenda Sana ❤️❤️

    • @HatibuHhh
      @HatibuHhh 5 месяцев назад

      safi sana

    • @NeemaMateleka
      @NeemaMateleka 4 месяца назад

      Pole sana wanakichezea kwa sababu kipo kikitoweka he watajajutia

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 2 года назад +10

    Safi sana babu amemwaga mboga umemwaga ugali tafuteni vyenu acheni kukaa kusubiri vya urithi tafuta mtu uza viwanja vyako kapambane mbele watakuua hao watoto.

  • @ilovejesus666
    @ilovejesus666 2 года назад +1

    Mzee anavituko 🤣🤣🤣😂😂 ety anavuta sauti kama anasoma habari 😂😂😂😂😂😂

  • @marrysamweli833
    @marrysamweli833 2 года назад

    Babu kawakomesha hiyo ndio daqa yao mijitu yenye tamaa,tuma greda tu

  • @science_fact93
    @science_fact93 2 года назад +1

    Dah ni htr Sana aise mzee amechukua maamuzi mzr kbs waende wakatafute vitu vyao hao hawana utu kbs

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 года назад +2

    Amezeeka ila ana maamuzi magumu je alipokua kijana.big up sana mzee wangu kilichobaki sasa ukiona umeezeka sana hujiwezi tena na mitoto ndo kama hio uza kula vyote vikiisha kunywa sumu ufe na vyako

  • @Tee-King
    @Tee-King 2 года назад

    Baadh ya wachaga badilikeni tafteni vyenu sio mpka kumwaga damu mana m2 anae muua m2 kisa mali n sawa na jambaz tu, tofaut (baadhi lakn) mnamalza wa2 wakalibu hasa wa familia kisa mali tena wenye tabia hiyo n bora na jambazi anamuua asie mjua nyie wenye tabia mbaya mnamuua m2 wa ndan ya familia baba,mama,mtt,mke,mume

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka 2 года назад +1

    daah kumbe yanatamaa mbaya sana vunja kabisa baba wakawe makapurwa

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 5 месяцев назад

    Ombeni msamaha jamani kabla mzee anafika mwisho litawakuta jambo

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 2 года назад

    Hawa wazee wa kiswahili hawathamini watoto ila wanataka pesa kutoka kwa watoto hao

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 2 года назад +1

    Subhanaallah mungu wangu tusitili yaarabi na vizazi vyetu yaarabi. Mungu akusamehe kwa hilo neno ulio sema wewe NI maskini jeuri mwenyezi mungu hapendi neno hilo ingawa wewe NI mwisilam

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +2

    Huyu mzee ni moto wa kuotea mbali kwanza anavyo ongea tu utadhania reporter wa BBC radio 📻📻😀😀😀😀

  • @christinachriss9231
    @christinachriss9231 2 года назад +1

    Uamuzi mzuri Sana watafute vyao,pumbavu wanangoja urithi Safi Sana baba

  • @JerusaMkuyu-pw1zo
    @JerusaMkuyu-pw1zo 4 месяца назад

    Watoto wa kiume wanatamaa sana ila wakike wanapenda sana baba zao

  • @khadijachacha3156
    @khadijachacha3156 2 года назад +1

    Watoto wakike ni bora kuliko watoto wa kiume lakini wanawake tunazarauliwa na baba zetu sasa tizama mtoto wakiume anataka kumuua baba yake ili apate nyumba

    • @laylamohamed5015
      @laylamohamed5015 2 года назад

      Kweli Dada yangu usemayo hata kutuzaa hawatutaki Kwa kufuru zao.

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 2 года назад +4

    Ama kweli tuko siku za kiama hizi😪. Pole sana mzee wetu.

  • @mohamedmuhajiribakari
    @mohamedmuhajiribakari 2 года назад +1

    Fukuza kabisa shenzi

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 2 года назад

    Uzaa ukatunie na mtoto wako na mume wake hadi rahaaa hawabaki na kitu

  • @fatumakassimu6904
    @fatumakassimu6904 2 года назад +1

    Safi Sana sasa tuone ataijenga au vipi mjinga mkubwa unataka kuuwa mzazi wako kisa nyumba yake

  • @husseinnkuna4260
    @husseinnkuna4260 2 года назад

    Daah huyo Abdallah ni mvivu sana si atafute yake jamani

  • @krizofrancisco1287
    @krizofrancisco1287 2 года назад

    Du! Mzee kafanya maamzi magumu ila bora angemrithisha huyo Binti yake

    • @maisarah6819
      @maisarah6819 2 года назад

      Subuthuuuu...mwenye mali walitaka kumuua,dadayao ndio nani wasimuue