KIJANA MDOGO BILIONEA, ANA MALORI 100, AMEAJIRI WATU 200, KUTOKA UFAGIAJI HOSPITALI MPAKA UBILIONEA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2022

Комментарии • 513

  • @suzanamushi4567
    @suzanamushi4567 Год назад +16

    Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib

  • @abdullahomar8092
    @abdullahomar8092 Год назад +10

    Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini

  • @NGOWI-TZ
    @NGOWI-TZ Год назад +6

    Kaka hongera sana umenipa somo hapo ulipo anza na lori moja na poamoja ya kwamba baba yako ni dereva lakini ukaamua kupa mtu mwingine kama derava na baba kumpa cheo cha usimamizi na kazi ikaenda vyema kabisa 🥰

  • @gradientlife
    @gradientlife Год назад +5

    Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Год назад +14

    Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie

    • @rodashadrack9474
      @rodashadrack9474 Год назад

      Malori 100 tu

    • @bennymsigwa1527
      @bennymsigwa1527 Год назад

      KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato

    • @greysonkisinda7390
      @greysonkisinda7390 Год назад

      @@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?

  • @laisamally3736
    @laisamally3736 Год назад +7

    Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Год назад +2

    Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.

  • @abdulbandidu119
    @abdulbandidu119 Год назад +13

    Mashallah.
    Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.

    • @brobabuu3973
      @brobabuu3973 Год назад +2

      Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +3

    Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 Год назад +9

    Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤

  • @thegreat.9869
    @thegreat.9869 Год назад +5

    Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂
    Ukweli hawausemagi

  • @fadhilikiyungi1741
    @fadhilikiyungi1741 Год назад +2

    Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,

  • @shabanialfani5394
    @shabanialfani5394 Год назад +52

    Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida

    • @hejmabohejhej9
      @hejmabohejhej9 Год назад +4

      Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara

    • @jabirjabir4652
      @jabirjabir4652 Год назад +1

      Kweli sioutani

    • @shabanialfani5394
      @shabanialfani5394 Год назад +2

      Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa

    • @ngwelesalu8348
      @ngwelesalu8348 Год назад +1

      @@shabanialfani5394 250M

    • @shamimuabdallah8801
      @shamimuabdallah8801 Год назад

      Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa

  • @glorylyimo_
    @glorylyimo_ Год назад +7

    Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.

  • @mosesarapkoibei9923
    @mosesarapkoibei9923 Год назад +10

    Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana

  • @halimamremi5375
    @halimamremi5375 Год назад +11

    Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 Год назад +10

    Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Год назад +1

    Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Год назад

    Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 Год назад +6

    Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa

  • @petersmart8107
    @petersmart8107 Год назад +46

    Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake
    Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana

    • @janemhangomhango5841
      @janemhangomhango5841 Год назад +1

      🤣🤣🤣 bola iwe kweri

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Год назад +2

      Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 Год назад +5

      Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana

    • @kibabumlelwa71
      @kibabumlelwa71 Год назад +3

      Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Год назад +1

      @@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 Год назад +11

    Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU

    • @Cao_ZeKai
      @Cao_ZeKai Год назад +1

      sasa hapo tena Yesu kafata nini?

    • @sadockchengula5542
      @sadockchengula5542 Год назад

      Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Год назад

      Bila kutoka jasho.mmmm,!!

    • @barakachalres9316
      @barakachalres9316 Год назад

      AMEEEN

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Год назад +2

    Masha ALLAH Tabarakallah

  • @sadiqahmed5216
    @sadiqahmed5216 Год назад +3

    Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????

  • @leonardmisalaba7946
    @leonardmisalaba7946 Год назад +2

    Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +2

    Aisee, hongera sana kwake.

  • @abdulahmadimkabakuli6342
    @abdulahmadimkabakuli6342 Год назад

    ALLAH akuzidishi pia usihau dini yako toa kwa ajiri ya ALLAH utafanikiwa

  • @NeemaKipande-hr9rz
    @NeemaKipande-hr9rz 8 месяцев назад

    Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Год назад

    God bless you bro,kijana ata mafuta ajapaka 🙌🙌🙌

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Год назад +1

    JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐

  • @patrickpazza4764
    @patrickpazza4764 Год назад

    Inatufariji Sana aisee kwa hili hongera Sana bro

  • @aishashaibu4772
    @aishashaibu4772 Год назад +1

    Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele

  • @khalidsharji2462
    @khalidsharji2462 Год назад

    Mashallah M.mungu akulinde

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Год назад +16

    Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 Год назад +25

    Kafagie na wewe sasa uone😂😂😂😂 maisha na mafanikio ya mtu ni siri kubwa sana

  • @didasseveline9013
    @didasseveline9013 Год назад +2

    Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Год назад

    Hongera Sana twaribu.

  • @arqamibnarqam.7185
    @arqamibnarqam.7185 Год назад +31

    Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽

  • @lawrencmagwaja9480
    @lawrencmagwaja9480 Год назад +6

    Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao

  • @janechristophermkumbi9046
    @janechristophermkumbi9046 Год назад

    Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah

  • @jimmykitura5803
    @jimmykitura5803 Год назад +2

    Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother

  • @peterkasenga8404
    @peterkasenga8404 Год назад +7

    Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️

  • @bahatiagape731
    @bahatiagape731 Год назад +1

    Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏

  • @richardkajembe6939
    @richardkajembe6939 Год назад

    Great brother 🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏congratulations

  • @hgltv5336
    @hgltv5336 Год назад +2

    Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake.
    Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏
    barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Год назад +1

    Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.

  • @ip_header
    @ip_header Год назад +1

    Biashara ukisikiliza ni kama kuangalia movies utaona nyepesi lkn ukiingia ndio utajua changamoto zake.

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 Год назад +21

    Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.

    • @alexchungu6263
      @alexchungu6263 Год назад +1

      Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize

    • @sarafinaoscar1360
      @sarafinaoscar1360 Год назад +1

      @@alexchungu6263 🤣🤣

    • @andiqueantonio3377
      @andiqueantonio3377 Год назад +1

      Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa

  • @user-th1il3zt7o
    @user-th1il3zt7o Месяц назад

    Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako

  • @hadithizetutv
    @hadithizetutv Год назад +1

    Asante kwa hadithi

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 Год назад +10

    Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏

  • @machajeremia7870
    @machajeremia7870 Год назад

    Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako

  • @barakanicholaus7507
    @barakanicholaus7507 Год назад +5

    Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 Год назад

    Mashaaallah

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Год назад +3

    Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini

    • @gabrielkimario3160
      @gabrielkimario3160 Год назад

      Ni kweli anaoneka wazazi wake walikuwa na uwezo wa kifedhaa

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Год назад

    Hongera sana br utafika mbali

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Год назад +1

    Jamaa Yuko vzrii.sio rahis kama a mnavo fikriaa

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад

    Mashaallah 🙏

  • @janatiitungo7338
    @janatiitungo7338 Год назад +1

    Masha'Allah

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 Год назад +2

    Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Год назад +2

    Baba taja jina la kampuni ulifanya Kazi ingland campany yakoo ww ndio ulisimamia msiba wa Albee magwea bada yakusikia amefaliki ulikuwa Zambia

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Год назад +1

    Awesome

  • @jerichomwandenje3657
    @jerichomwandenje3657 Год назад +3

    Naomba kazi mwee

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 Год назад

    MashaAllah 👍🏽

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    Ujumbe Mzuri sana Hongela Sana

  • @prosperkiluwa8184
    @prosperkiluwa8184 Год назад +4

    Mungu akutunze. Je sisi watu wnye uemavu wa kujongea na tuna ujuzi au ideas ni vipi

    • @amenuhu9268
      @amenuhu9268 Год назад

      hongera ndugu yangu wewe ni mpampambanaji

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Год назад +1

    Hongera sana kaka.

  • @zawadisospeter827
    @zawadisospeter827 Год назад

    Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Год назад +1

    Hongera sana bro

  • @zahariasongolo9362
    @zahariasongolo9362 Год назад +2

    Afu jamaa Wala hujisikii mashaallah

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Год назад +3

    mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu

    • @yahyaiddi5782
      @yahyaiddi5782 Год назад

      Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania

  • @thomassalvatory8303
    @thomassalvatory8303 Год назад +1

    amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    Kaka naomba kazi. Nitakua muaminifu

  • @binally1alkindy511
    @binally1alkindy511 Год назад +1

    Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee

  • @iddiali8057
    @iddiali8057 Год назад

    BarakaLLAHU LAKA

  • @mzeengoma9395
    @mzeengoma9395 Год назад

    Mungu nakuombea kinajana kuwapenda jamii inayo watanzania

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад +1

    Huyu amekubali kuwa alikuwa mfagiagi,wengine wamefanikiwa walikuwa wachungi,hawasemi walikotokea

  • @khamissubira9411
    @khamissubira9411 24 дня назад

    Mimi nipo. Zanzibar Mwalimu. Hassan. Ali. Panga. Imamu. Mkuu. Masjid. Shuura. Uliopo. Wilaya. Ya. Mjini. Kijiji. Cha. Muembe. Makumbi. Sheia. Ya. Masumbani. Inshaallah nahitajia. Nambari. Ya. Simu. Ya. Twalib. Abdull. Hussein

  • @suleimansultan3333
    @suleimansultan3333 Год назад

    Mashaallah

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Год назад +1

    Big up bro. I appreciate

  • @abdullyathuman1425
    @abdullyathuman1425 Год назад +6

    He's so innocent but anyway congratulation brother

  • @rosekaiza2716
    @rosekaiza2716 Год назад +3

    Hongera sana mungu mwema

  • @petersmart8107
    @petersmart8107 Год назад +21

    Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute
    mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori.
    TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI

    • @karyori69
      @karyori69 Год назад

      kuna kitu kinaitwa mikopo!

    • @charlesmweta6950
      @charlesmweta6950 Год назад +2

      Ww maisha hupanga Mungu acha wivu wakishamba pambana na ww upate zako wak discuss

    • @charlesmokiwa6323
      @charlesmokiwa6323 Год назад +3

      Kwa hapa UK Kazi masaa 20 ya waitress ulipwe £500 kwa wiki sio kweli,hapa katutengeneza

    • @abdullahomar8092
      @abdullahomar8092 Год назад +1

      Una bifu kijana

    • @collinsambwene9563
      @collinsambwene9563 Год назад +1

      Sasa wewe unafikiri pesa kazitoa wapi?Mijitu mingine bhana.unafikiria kuiba tu

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 Год назад +2

    Ni vzrii kusikilizaa watu walio fanikiwaa.lakin ndugu zanguu ningumuu mtu kusemaa njia alizotumiaa akafanikiwaaa .matajiri wenyewee wanatoaa ushaurii kwaa masikinii.lakin aslimiaa kubwaa sis tunaskilizaa watuu walio fanikiwaa na kudhalau ushaur wa maskin.atujuii kwambaa maskini ndioo ana. Idea nzriii bila wivuu wowotee

  • @mohamedsalum378
    @mohamedsalum378 Год назад +1

    Safi sana bro,Mimi namawazo namba ntapataje,tatizo mtaji

  • @kelvin8831
    @kelvin8831 Год назад

    Hongera brother

  • @adamathumani7737
    @adamathumani7737 Год назад

    Hongera broo mungu mkubwa tutafika huko japo robo

  • @ziyandamhlana8776
    @ziyandamhlana8776 Год назад +2

    Ww kipindi mtoto wakiongozi abakutuma Zambia kuchukuwa mwili wa ngwea ulikuwa ushakuwa na loli????duuuuu Tanzania noma

  • @ShamsiMikdad-bj7me
    @ShamsiMikdad-bj7me 6 месяцев назад

    Mashaallah mungu azidi kukuinua nasisi pia ameen

  • @ramadhanichilumba3610
    @ramadhanichilumba3610 Год назад +1

    nimeipenda hii alafu anaonekana hana mambo mengi

  • @husnasamdia4176
    @husnasamdia4176 Год назад

    MashaAllah

  • @zainab8251
    @zainab8251 Год назад

    Hongera sana kaka

  • @alphoncekihwili
    @alphoncekihwili Год назад

    Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana

  • @mchunguziclemenc4678
    @mchunguziclemenc4678 Год назад

    daa ama kweli Mungu mkubwa

  • @hedwigjohn6276
    @hedwigjohn6276 Год назад

    Hongera sana Twalib

  • @leoncjohn4515
    @leoncjohn4515 Год назад

    Mtangazija sio professional

  • @hakunamatataznz5508
    @hakunamatataznz5508 Год назад

    Kongore kaka, Allah bless you and Ayo Tv

  • @fredma21x
    @fredma21x Год назад +2

    Ameshindwa kujibu Networth yake ni kiasi gani...Hapo tu ndipo ameninyima raha🤣🤣🤣

  • @bahatikazungu7657
    @bahatikazungu7657 Год назад +3

    Kwenye mambo ya utajiri mtu asikuhadithie tu eti ilikuwa hivi na hivi,utajiri una mambo mengi

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 Год назад

    Mashallah