Kaka hongera sana umenipa somo hapo ulipo anza na lori moja na poamoja ya kwamba baba yako ni dereva lakini ukaamua kupa mtu mwingine kama derava na baba kumpa cheo cha usimamizi na kazi ikaenda vyema kabisa 🥰
Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂 Ukweli hawausemagi
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake. Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏 barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori. TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI
Nachojifunza hapa, ni kuanza kutembea na watoto wetu katika mazingira ya kazi zetu, watoto wanajifunza kwa kuona. Hongera sana Mr Twalib
Huyu jamaa ana best ideas 💡 na zote zinasogeza urahisi wa ufanyaji biashara nchini
Kaka hongera sana umenipa somo hapo ulipo anza na lori moja na poamoja ya kwamba baba yako ni dereva lakini ukaamua kupa mtu mwingine kama derava na baba kumpa cheo cha usimamizi na kazi ikaenda vyema kabisa 🥰
Twalib ana akili sana, mtangazaji umejitahidi lakini Twalib is just a genius guy. Hakuna habari ya 20Billions hapa, utajiri mkubwa ni charity. Hongera mpambanaji mwenzangu Twalib.
Maashaallah tabarrak allah 🙏, kutoka 2017 kuanzia Lori moja mpka 2022 Lori 200 kwa kweli mungu akutangulie
Malori 100 tu
KUNUNUA malori mfululizo mi cjaridhika na chanzo Cha mapato
@@bennymsigwa1527 kipato cha mtu unataka ulidhike nacho? We ni mchawi nn unataka kujua kipato chake chann?
Namuomba m\mungu amzidishie kheri ili aweze kuajiri watu wengi zaid na pia namuomba mungu anijalie na mimi kufikia malengo ya kaka twalib
Dah! Hongera. Kazi ya baba ni dereva na wewe hukuwaza kuja kuwa dereva bali ulienda mbali sana ukawaza kuja kuwamiliki ajira ya madereva. Pia hukuwaza kuja kuwa CO wa kampuni za watu. Big up sijui dogo nadhani dogo.
Mashallah.
Allah azidi kumbaarik huyu jamaa,ni inspiration kubwa kwetu vijana wa kiTanzanzania.
Umesema vizuri sana.. wala hana majivuno
Mwenyezi Mungu azidi kumuongeza na kumlinda na kuzid kumpa njema, Mwenyezi amuongezee zaid ili azidi kuwaajiri wengi zaidi, aaaaammin
Mashaallah Mashaallah ☝️ mnyazi mungu azidi kukuongoza 🤲🤲🤲❤
Biashara na mafanikio ni siri. Sio kila tajiri alitafuta kwa bidii kuliko maskini waliopo pia sio kila maskini unaowaona walikuwa ni wavivu kuliko matajiri waliopo. Hivyo. Mafanikio ni siri guys. Hongera kwa twalib ila baadhi ya matajiri wengi ni ni ma motivational speaker😂😂
Ukweli hawausemagi
Amesoma shule ya msingi kinondoni,mahali nilipo mimi hivi sasa, jirani na hiyo shule,hongela kijana, wacha namimi nipambane,
Kwao kulikuwa na Pesa bro. Sisi tupo Nje pia kupata Hela ya kununua Lori kama hilo siyo rahisi hivyo! Hata Mimi ukinianzishia Basi naweza kufika alipo. Watanzania wengi tunaweza sema Mitaji ndiyo shida
Kwakoufupi wazee wake ndio wanapesa wamempeleka dogo ili awe na ujuzi kibiashara
Kweli sioutani
Kabisa maana Lori ni Kama Milion Mia kwenda Juu kwa Mishahara ipo bila kuhaso kisawasawa
@@shabanialfani5394 250M
Upo sahihi ndugu yangu shabani alfani penye pesa ndipo panapatikana pesa
Hongera sana bro unatupa moyo wa kupambania ndoto zetu Kama vijana.
Baraka zake Mwenyezi Mungu zikushukie Brother. Kwani ni wengi tu wanapata kula sababu ya kazi ulizowapa. I wish ningepata job ya dereva gari kubwa kampuni yako naomba......Shukran sana
MASHA.ALAH
Asalam Aleykum Mwanangu MASHALLAH MUNGU Akuzidishie nakuona una ulendo wa binadamu wenzio wasaidi tuu na utoe sadaka kwa ALLAH!! Ili uzidi kuendelea zaid na zaid mm nakuo.ba unipe kazi nami nipate rizk
Jamani utajiri hauna umriii! Qadar ya Allah
Swadaqta
Kweli mafanikio yanachangamoto nyingi kwa kiasi tunajifunza bro Asante wakati mwingine unaweza semalabda nibadili kazi kumbe nisuala la muda asante
Maashallah tabarakallah mm Sina mengi kaka zidisha ibada Allah kakupa u tajili usi pumbazike nao kuwa makini na Dunia . Allah akulinde na Maadui wakilaaina🤲
Hakika vijana wa kitanzania tunaweza, kikubwa ni kupambana tuu Kila kitu kinawezekna kabisa hakuna uganga Wala kuogopa
Hongera kwa kudra za Allah, lakini atupe ukweli wa mafinikio yake
Kutoka 2017 kwa lori moja mpaka 2022 malori 100, inamaana ni miaka 5 sasa,yaani kila mwaka labda malori 20, kiakili ni ngumu yapo yaliyofichikana
🤣🤣🤣 bola iwe kweri
Hio ni approximation labda na kama ni kweli ni zile used tz Bei ya mnada
Vinawezekana kumbuka alikuwa anafanya kazi uingereza na mshahara ulikuwa ni pound na Bado alikuwa na nafasi ya kukopa Kwa ajili alikuwa ni mfanyakazi . So it is possible, hakuna maswali hapo Kwa sisi tunaoishi nje ya nchi tunajua . Keep up kijana
Kumbuka amesema amefanya kazi kwenye moja ya Big 4 Accounting and finance companies in the world ambazo ni kati ya Ernest & Young, Delloitte, PWC au Moody. So mshahara wake ulikuwa mkubwa na ndio uliombeba kufika hapo alipo. Inaonekana ni kichwa kwemye Uhasibu huyu dogo.
@@marykennedymarwa1641 anasema kwa kipindi anacho sema alikuwa Uingereza,na sometimes akisoma na kufanya kazi ktk restaurant kama weiter na cleaner Sio kweli aliweza kupata £500 kwa week,hapo amedanganya,even now hupati pesa hiyo kwa full time job, iweje yeye part time job after UN time apate hiyo?si kweli
Hongera sana Mr.Twalib nimefurahi na kujifunza mengi kupitia Biashara na juhudi zako , ENDELEZA MAPAMBANO LAZIMA TUFANIKIWE KWA JINA LA YESU
sasa hapo tena Yesu kafata nini?
Huwezi jua mpaka uwe tayari kujua. Neno linasema aliyetayari kupona na apone. Huko tayari kumjua Yesu ukiwa tayari hutauliza ulicho uliza.
Bila kutoka jasho.mmmm,!!
AMEEEN
Masha ALLAH Tabarakallah
Masha alah mungu akujaliye bwana twalibu, ndo kweli kama una ndoto una weza kukamilisha ndoto yako kwa hiyo vijana wezangu tubambane tu kamilishe ndoto yetu tunayo, kama kaka yetu twalibu alivyo kamilisha ndoto yake na mwenyezi mungu amjaliye yeye na familiya yake , salamu zenu kutoka 🇬🇧🇬🇧🇬🇧🇬🇧 one love 💕 my brother and sisters?????
Hongera saana kaka ,nami nakaza buti ipo siku nitafika level za juu kibiashara
Aisee, hongera sana kwake.
ALLAH akuzidishi pia usihau dini yako toa kwa ajiri ya ALLAH utafanikiwa
Twalibu hongera Sana na Bado kwakudra za mwenyezi mungu utafika mbali Sana maana huna majivuno atakidogo MUNGU akubariki sana
God bless you bro,kijana ata mafuta ajapaka 🙌🙌🙌
JAMAA TAJIRI ALAFU HUMBLE ANI..IMAGINE LOL👐👐👐👐👐♥️♥️♥️🇹🇿👐👐👐
Inatufariji Sana aisee kwa hili hongera Sana bro
Daaah mungu akutangulie uzid kuwaajir watu ambao wanapata mkate kupitia wewe kumbe tz kuna watu wanapesa lkn hawapigi makelele
Mashallah M.mungu akulinde
Kiongozi, nimefurahishwa sana na ubunifu na uthubutu wako wa kuimarisha biashara za Kimataifa. Naomba pia uweze kunipatia mawasiliano yako nikupatie wazo langu la kimaendeleo.
Kafagie na wewe sasa uone😂😂😂😂 maisha na mafanikio ya mtu ni siri kubwa sana
Hahahhaha mamae!
Kweli kabisa umenena neno la maana
Kwel kabisaa
Siri ya utajiri wa mtu anaijua yeye na mungu! Hayo maelezo mengine ni kutulisha imani2
Hahahahahha
Hongera Sana twaribu.
Maashaa Allah Tabaarakar Rahmaan 🤲🏽 Allah akuhifadhi na hasadi.amiina yaa Rabbiy 🤲🏽
Hawa ndio wakubwa anawapa biashara zao
Manshalaah manshalaah subuhanalaah akufunike nambawa zake naomba mawasiliano yako nikupatie usia wangu wahenga wanasema ukubwa dawa Inshaalah
Mola ndio mpango mzima na jinsi unavyo sema moyoni riziki kwa wengine ndio mungu ibaliki brother
Hongera Sana brother maisha yanasiri kubwa Sana anaejua vema ni Mungu ✝️
Nawewe ufate izo siri
Hongera
Naomba umwajiri ndugu yangu jmn..ni dereva mzur sana.🙏
Great brother 🎊🎊🎊🎊🎊👏👏👏congratulations
Amepambana sana but ukishakuwa na mali unaongezewa we jiulize gari moja ni TSH ngap?? m500-700 utaipata wap?? Kwa kuwa alianza vizuri kielimu na akapata nafasi ya kufanya kazi wingereza 🙏 Kuna watu hawana hata pakuanzia alipata pound 500 sawa na 1.3m Kwa week lazima utoboe kama unaakili kama zake.
Aanzisha Hilo dawati la kusaport idea za vijana, ukomboe Tz 🙏
barikiwa sana 🌅🌅🌅🌅
Kabisa
Alafu uko halisi angekuwa mwingine hapa tungesikia una bana pua mara you know etc. Ila uko halisi safi sana.
Biashara ukisikiliza ni kama kuangalia movies utaona nyepesi lkn ukiingia ndio utajua changamoto zake.
Kipindi kizuri sanaaa. Ila mtangazi maswali yako yametunyima fursa kubwa ya kujifinza kibiashara bro.
Tatizo , wewe una maswali yako, na yeye ana maswali yake. Cha msingi mtafute huyo tajiri, umuulize
@@alexchungu6263 🤣🤣
Millard ayo angeweza kumuuliza vzur kbsa
Twaribu kulaga uhangame nyanda,,, Mungu akupiganie kwenye kazi zako
Asante kwa hadithi
Congrats bro.Mungu akutangulie🙏🙏🙏🙏
Hongera sana
Pongezi kwake mungu akupe Maisha marefu Ili tuvune matunda kutoka kwako
Maelezo yake yapo easy sana na anakwepa maswali ya msingi ila nampongeza kwa alichofanya na kumsihi kwa maslahi ya watanzania asije kununua magari ya kichina, atawatia vilema wafanyakazi wake wa maroli.
Mashaaallah
Vijana sidanganyike na story za watu ambazo zinasiri nyingi sio mtu wa kawaida na wala familia yake haiwezi kuwa yakawaida kosoma Oxford sio kitu kidogo. Huyo sio mtu wachini
Ni kweli anaoneka wazazi wake walikuwa na uwezo wa kifedhaa
Hongera sana br utafika mbali
Jamaa Yuko vzrii.sio rahis kama a mnavo fikriaa
Mashaallah 🙏
Masha'Allah
Hongera sana kk nımeıpenda hıyo jaman naomba ushaurı wako
Baba taja jina la kampuni ulifanya Kazi ingland campany yakoo ww ndio ulisimamia msiba wa Albee magwea bada yakusikia amefaliki ulikuwa Zambia
Awesome
Naomba kazi mwee
MashaAllah 👍🏽
Ujumbe Mzuri sana Hongela Sana
Mungu akutunze. Je sisi watu wnye uemavu wa kujongea na tuna ujuzi au ideas ni vipi
hongera ndugu yangu wewe ni mpampambanaji
Hongera sana kaka.
Nimekupenda Bure una bidii sana Mimi Nina bidii lkn sijafanikiwa.hongera sanaa.
Hongera sana bro
Afu jamaa Wala hujisikii mashaallah
mwango huyooo sana Mtoto wa mheshimiwa kutoka Tanzania na Zambia ndio wenye mzigo huyooo mwulize Kondowani ndio msimamizi Zambia abaishii Avondelo msimamizi wa Tanzania ana itwa zubeli ndio mumiliki wa golofa lile kubwa makumbusho anataka😂kiki mwamba hana😂kituuu
Kweli binadam happening kuona mtu ana maendeleo sasa mimi namjuwa vizuri huyo ndio mwenye hizo mali naijuwa hata familia yake Kabla hata ajarudi tanzania
amesoma oxford, unasema ameanzia chini kuwa serious ila hongera kaka
Kaka naomba kazi. Nitakua muaminifu
Maisha yanafactors nyingi Sana ,keep the spirit up ,mashallah na Allah akunyosheee
BarakaLLAHU LAKA
Mungu nakuombea kinajana kuwapenda jamii inayo watanzania
Huyu amekubali kuwa alikuwa mfagiagi,wengine wamefanikiwa walikuwa wachungi,hawasemi walikotokea
Mimi nipo. Zanzibar Mwalimu. Hassan. Ali. Panga. Imamu. Mkuu. Masjid. Shuura. Uliopo. Wilaya. Ya. Mjini. Kijiji. Cha. Muembe. Makumbi. Sheia. Ya. Masumbani. Inshaallah nahitajia. Nambari. Ya. Simu. Ya. Twalib. Abdull. Hussein
Mashaallah
Big up bro. I appreciate
He's so innocent but anyway congratulation brother
Hongera kijana kweli Manisha nikupambana kaza buti
Hongera sana mungu mwema
Uingereza kafanya kazi miaka mingapi kwenye financial institute
mpaka sasa yupo Tanzania?, Hata kama alikuwa akilipwa £50000 kwa mwezi bado hawezi kununua kiasi hicho cha malori.
TUNAHITAJI KUJIFUNZA KAMA NI KWELI
kuna kitu kinaitwa mikopo!
Ww maisha hupanga Mungu acha wivu wakishamba pambana na ww upate zako wak discuss
Kwa hapa UK Kazi masaa 20 ya waitress ulipwe £500 kwa wiki sio kweli,hapa katutengeneza
Una bifu kijana
Sasa wewe unafikiri pesa kazitoa wapi?Mijitu mingine bhana.unafikiria kuiba tu
Ni vzrii kusikilizaa watu walio fanikiwaa.lakin ndugu zanguu ningumuu mtu kusemaa njia alizotumiaa akafanikiwaaa .matajiri wenyewee wanatoaa ushaurii kwaa masikinii.lakin aslimiaa kubwaa sis tunaskilizaa watuu walio fanikiwaa na kudhalau ushaur wa maskin.atujuii kwambaa maskini ndioo ana. Idea nzriii bila wivuu wowotee
Fact🙄
Safi sana bro,Mimi namawazo namba ntapataje,tatizo mtaji
Hongera brother
Hongera broo mungu mkubwa tutafika huko japo robo
Ww kipindi mtoto wakiongozi abakutuma Zambia kuchukuwa mwili wa ngwea ulikuwa ushakuwa na loli????duuuuu Tanzania noma
Mashaallah mungu azidi kukuinua nasisi pia ameen
nimeipenda hii alafu anaonekana hana mambo mengi
MashaAllah
Hongera sana kaka
Napenda sana hii kampuni nije kuwa fund kwenye hii kampuni nampenda sana
daa ama kweli Mungu mkubwa
Hongera sana Twalib
Mtangazija sio professional
Kongore kaka, Allah bless you and Ayo Tv
Ameshindwa kujibu Networth yake ni kiasi gani...Hapo tu ndipo ameninyima raha🤣🤣🤣
Kwenye mambo ya utajiri mtu asikuhadithie tu eti ilikuwa hivi na hivi,utajiri una mambo mengi
Na tajiri kukuambia siri ya mafanikio ni ngumu
Mashallah