KIJANA WA MIAKA 23 ALIYEACHA CHUO KISA UMASKINI WA KWAO, ANAINGIZA ZAIDI YA M.1 KILA MWEZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 янв 2019

Комментарии • 623

  • @gracejoseph7005
    @gracejoseph7005 5 лет назад +191

    Millad tunataka story Kama hizi za ku inspire watu, sio unatuletea habar za Amber Ruty!!

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 лет назад +128

    Ni mpole na mnyenyekevu kwa anavyoonekana Mungu akuongeze ktk kheri na akubariki sana ufanikiwe na uendelee kuilea familia yako

  • @maticsleokas1785
    @maticsleokas1785 5 лет назад +274

    kama unakubali forex inalipa ngonga like

  • @IbrahimMohamed-yy2il
    @IbrahimMohamed-yy2il 5 лет назад +30

    Knowledge first then money will follow..
    1. Pay for training.
    2. Practice as much as you can.
    3. Look for mentors to guide you.
    4. Money will be pouring big.

    • @faithshomary7936
      @faithshomary7936 5 лет назад +2

      TRUE

    • @titus_maridhia
      @titus_maridhia 4 года назад +2

      Bro nimeipnda iyoo idea

    • @IbrahimMohamed-yy2il
      @IbrahimMohamed-yy2il 4 года назад +1

      @@titus_maridhia sure brother hii forex bila mentor ni bahari kubwa, ila ukiwa nae utaona maisha unafuu wake maana kila step unakuwa na mtu unaeweza kumwomb msaada... Kwa bongo wapo wengi unaweza kuapata contact zao hapa RUclips/instagram na bei zao kawaida..
      1. Rich Feelings Forex
      2. 255Millioniresfx
      3. Waileys fx
      Na wengine wengi etc.

    • @thobiasjared3648
      @thobiasjared3648 4 года назад +1

      Xana kaka positive mind

    • @aderickusemmanuel9126
      @aderickusemmanuel9126 4 года назад +1

      Big up

  • @macoclevercc2357
    @macoclevercc2357 5 лет назад +7

    Uyo kijana yuko vizuri pia ameonyesha kuwa kweli amefunzwa uvumilivu na KARATU boys from arusha !!!!safi sana kijana wa ANEI

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka2265 5 лет назад +64

    Avitu Rwebingira big up classmate. Hongera san

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад +3

      shukrani sana brother de son

    • @jonathannkoba3806
      @jonathannkoba3806 5 лет назад +1

      @@avituswibingire9382 Br Avitus naweza pata contacts zako ili tufahamishane vizur kuhusu hii biashara nahitaji na mim nijiunge.

    • @allyiddy6171
      @allyiddy6171 5 лет назад +1

      Samahan naomb namba zake ka unazo

    • @nyalajapaulo8469
      @nyalajapaulo8469 5 лет назад +1

      wilson nyabagaka MAPENZI

    • @nadian818
      @nadian818 5 лет назад +3

      Avitus Wibingire nipe Whatsapp yako from USA 🇺🇸

  • @ibrahimalexander4653
    @ibrahimalexander4653 5 лет назад +13

    Guys Its not easy as he explain but through heavy effort and discipline its doable

  • @RichFeelingsForex
    @RichFeelingsForex 5 лет назад +34

    HONGERA SANA

  • @martinjohn7382
    @martinjohn7382 5 лет назад +36

    Maisha ni kujua hasara na faida, ukianguka simama, tuamke vjana wezangu

  • @jorumkiungo303
    @jorumkiungo303 4 года назад +8

    One of my inspiration video iliowah kunifanya niwe trader kwa sasa hahahaa ....printing

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 5 лет назад +15

    Hongera sana kaka Mungu akupiganie ktk kazi yako hiyo unayoifanya.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 года назад +9

    Hongera sana kaka angu uko smart mno💔😭

  • @youngmmbaga2478
    @youngmmbaga2478 5 лет назад +30

    LAKINI PIA SIO KILA MMOJA ANAWEZA KUIFANYA,,,TUIELEWE HIYO

  • @mpendwalove4390
    @mpendwalove4390 5 лет назад +10

    u so humble bro, congrats and all the best...Mungu akuzidishie

  • @khadijanjama9016
    @khadijanjama9016 5 лет назад +9

    Vijana tujitume sio tusubiri kuajiriwa na serekali tutaumia akili zetu tuzifanyie kazi mambo ya kuigwa nikama haya si kuuza sura kwa mitandao na kukaa uchi hongera kijana

  • @annawinstone6075
    @annawinstone6075 5 лет назад +3

    Millard thanks for this hujui tu inasaidia wangapi

  • @irenedamas4806
    @irenedamas4806 Год назад +1

    Mungu akubariki sana bro umeongeza maarifa Kwa kichwa yangu big up 🙏🙏🙏

  • @franckierububura5625
    @franckierububura5625 5 лет назад +19

    Nmekukumbuka mwamba ulipoteaga duce Mzee kumbe zilikua mishe izo.wazee tulijuaga umedisco

  • @hishamjonas3810
    @hishamjonas3810 5 лет назад +4

    unavyooneka ni myenyekevu kutoka moyoni na unauchungu na jasho
    lako ,,,pole na hongera sana

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 5 лет назад +71

    Hongera sana mdogo wng lakin huku mtaani tunawenzio tena wana D'gree 1 wanaume na wanawake' kaz yao nikumlaumu raic na kudangatu. Hawataki kujiajiri wao wanataka kuajiriwa walipwe kuanzia mil' 3 hadi'5 kwa mwezi. Mi nawaambia mtasubiri sana

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад +4

      shukrani bro ,umeongea ukweli mtupu ni mda sasa tuamke vijana tujiajiri

    • @eliahedward7761
      @eliahedward7761 5 лет назад +3

      lucas juma kusoma level ya chuo sio kuajiliw ni kpta uwezo wa kjipambanua kwa kujiajil na ndo maana kila chuo ck hiz kuna somo LA entrepreneur

    • @thegreat5000
      @thegreat5000 5 лет назад +2

      @@avituswibingire9382 good bro mungu akuongoze

    • @Suleimansalum
      @Suleimansalum 5 лет назад +3

      eliah edward huyu jamaa amepayuka tu hawa ndio wale wakiona mtu kasoma wanaanza kumtenga mtaani na kumuitmsomi

    • @sharonenson9107
      @sharonenson9107 5 лет назад +2

      Nimpole aisee daah

  • @sakinasheidhan4642
    @sakinasheidhan4642 5 лет назад +4

    Hongera hii ndio elim inayotakiwa kujiwezesha kuliko mtu kutwa kucha kutembea na vyeti kuomba kazi kazi zenyewe hakuna hongera sana vijana tunatakiwa kuiga mfano huu

  • @sophianuru9360
    @sophianuru9360 5 лет назад +45

    Nimejifunza katika maisha hakuna kukata tamaaa

  • @iddishabaranks6067
    @iddishabaranks6067 5 лет назад

    Big up Millard! hii interview imenifundisha kitu katika maisha.

  • @PesaDownloaders
    @PesaDownloaders 5 лет назад +48

    Kwa mtu yoyote ambae angependa kujua biashara hii. Nakukukaribisha kwenye channel yangu. Nitakuwa nafundisha kila siku alafu tutakuwa tunatrade live ukiwa na demo account yako. Ukielewa vizuri utaamua mwenyewe kufungua real account. Mafunzo yanaanza mwezi 1/2/2019. Fanya kuweka notification on. Nipo naandaa video kwa sasa. Karibu sana kwenye forex.

  • @ladykimnan902
    @ladykimnan902 5 лет назад +23

    hongera bro vijana wachache sana wenye mawazo kama yako inshalah mungu akutangulie amin

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад +2

      asante sana dada

    • @jessicabrown5885
      @jessicabrown5885 4 года назад

      @@avituswibingire9382 hahaa😂 naona unaangalia comment za speech yako
      Sema milard alikufwata au uliwafwata

  • @Mturuma
    @Mturuma 5 лет назад +72

    Not everyone is a trader,have that in mind,and you’ll thank me later

    • @babalois7240
      @babalois7240 5 лет назад +5

      Hahaaaaa... 100% your correct... But any one can be a trader too

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад +2

      sure brother the struggle is real

    • @fredyedward3401
      @fredyedward3401 5 лет назад +2

      But anyone can invest in trading.

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 5 лет назад +2

      @@babalois7240 Sure

    • @petroaugust6133
      @petroaugust6133 5 лет назад +5

      everyone can trade forex , but not everyone can make a profit because of emotional na tamaa b cause in forex there is a tones of money ,na hakuna dunia biashara yoyote ile yenye mzunguko wa pesa mkubwa km forex , so watu wakisikia mtu ana tengeneza milion moja kwa mwezi kwa kukuaa tu kwenye pc au simu wapo wanao kuwa exited sana na wapo ambao wanaona ni km story tu za wizi wizi sasa hizo alizo sema jamaa milioni moja watu wana zitengeneza ndani ya dakika tano kulingana na mitaji yao

  • @arthurfesto9026
    @arthurfesto9026 5 лет назад +8

    Shule hasara kwa kipindi hiki shule haina faida zaidi ya kutoa ujinga ningeona kuwa mambo yatakuwa hivi ningeacha shule form 4 kudadadeki nimepoteza time yangu ni mwalim hapa ila kwasasa ni dereva wa roli ningeliona hili ningeingia kwenye maroli 2008 nisingejuta bachelor ya education GPA ya 3.8 ipo Zambia mda huu inasubiri kuvuka mpakaaa

    • @allan29adam43
      @allan29adam43 5 лет назад +2

      Arthur Festo shule kwa tz inachelewesha tuu na sifa tuu mwenyew najuta mda niliopoteza

    • @arthurfesto9026
      @arthurfesto9026 5 лет назад

      Japhet fracis ndio elimu ni muhim ila ya form 4 zaidi zaid 6 baada ya hapo pambana kwa system ilivokaa kwasasa

    • @johnsapati103
      @johnsapati103 5 лет назад

      japhet francis elimu isiyo na msaada ya nin we soma forex ujiajili tyu

  • @bekatza6947
    @bekatza6947 5 лет назад +7

    Ume ni inspire bird 🙏🙏

  • @aliusanthony9158
    @aliusanthony9158 5 лет назад +2

    Avitus wibingire hongera sana, maisha yanahitaji uthubutu kama wako. Nataman uwe roll model Wangu
    Please nisaidie nipate mawasiliano yako uniongoze wap naweza kupata mentor mzur wa kunisaidia

  • @tasbibiabdullah9560
    @tasbibiabdullah9560 5 лет назад +9

    Aise mm nagombana na mume wangu huwa nazani anapoteza hela ila hakati tamaa najua na yy atakuwa kama ww mumgu saidie

  • @raphaelbruno2743
    @raphaelbruno2743 5 лет назад +1

    Ur a gud broza coz niwachache wanaoweza kuangalia na kufanya maamuzi magum juu yakulea mama na wadogo zake mungu awez kukuacha ukiwa na moyo kama huo!

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 5 лет назад +10

    Nimejifunza kitu kizuri kwa interview hii

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 5 лет назад +8

    "your life begins the day it nearly ends"

  • @zakeishengomaeward5918
    @zakeishengomaeward5918 5 лет назад +12

    Good sana home boy ,,,,Be blessed

  • @wollytdiller8067
    @wollytdiller8067 5 лет назад +13

    you make one million tsh a month here(here we make 1 million dollar south africa) but big up

    • @belamicheal3353
      @belamicheal3353 5 лет назад +1

      Ashuo🙄

    • @manaratv1628
      @manaratv1628 5 лет назад

      Nawezaje kujiunga basi

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад +3

      will be there soon my guy

    • @venamlowe3556
      @venamlowe3556 5 лет назад

      You have got to start from somewhere, and keep growing!! You can't become a millionaire overnight.

    • @rek118
      @rek118 5 лет назад

      Avitus Wibingire Iam so proud of you my man...makofi mengi kwako mzee baba

  • @filbertnashon7160
    @filbertnashon7160 5 лет назад +2

    Good,keep it up, brother

  • @reubenmwakalundwa7881
    @reubenmwakalundwa7881 5 лет назад +5

    Wow nice.. Utupage madini kama haya mara kwa mara brother..! Inatupa changamoto

  • @deniselias9897
    @deniselias9897 5 лет назад +27

    Hii ni kwa wale wenzangu watakoingia na mihemuko ya kupiga pesa kwa muda mufupi. Forex trading ni biashara kama biashara zingine na pia ni kazi kam a kazi zingine. Sio shortcut ya maisha hivo inahitaji kujifunza kusiko-isha, hardworking na discipline na uvumilivu wa hali ya juu. Nakufuata mashariti yake yote . Kama hutoweza kufanya vitu hivi ni bora ukawekeza sehemu nyingine kuliko kupoteza pesa zako bure. Utakula za uso utapata depression na utakufa buree🤣🤣

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 5 лет назад

      fact

    • @annachales9623
      @annachales9623 5 лет назад

      Umeongea but ngoja tujaribu kila kitu ni imani wangu ngoja tujaribu maisha.

    • @veronicacharles4527
      @veronicacharles4527 5 лет назад

      Anna Chales wajina kweli nikukomaa tu hakuna kisicho na changamoto

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 5 лет назад

      @@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?

    • @flackomasterbaddest4155
      @flackomasterbaddest4155 5 лет назад

      @@annachales9623 his point sio kukukatisha tamaa its a good thing i can advice you ukakifanye ila usiingie na expectations kubwa hio ni kama biashara nyingne tu unapata pesa kubwa ukiweka pesa kubwa au uki weka risk kubwa kwa pesa ndogo na since kufundisha watu ni biashara pia hauta oneshwa negative side zake sasa jiulize kama mtu anaweza tengeneza mill 20 hata kwa miez mitatu kwa forex tu ....laki moja yako anaibembeleza ya nn?

  • @DaudiNungwana
    @DaudiNungwana 5 лет назад

    Top notch traders wamenisaidia Sana kujua hii kitu. Ushauri wangu, chukua muda wa kujifunza na utaweza forex

  • @yanayojirimitaaniTV
    @yanayojirimitaaniTV 5 лет назад +2

    subra ina kheri bidii pia imo ndani mwenyezi mungu akubariki

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 4 года назад +1

    Gonga like vijana wenzangu kama hii video imekugusa.

  • @hamismwinyi3723
    @hamismwinyi3723 4 года назад +3

    Daaaah awesome salute

  • @dayana5513story
    @dayana5513story 5 лет назад +30

    Wana kagera wote weken likes zenu hapa

  • @maggiemichael1621
    @maggiemichael1621 4 года назад +1

    Nimejifunza Kitu..... Asante

  • @Dm-yd1tl
    @Dm-yd1tl 5 лет назад +1

    God bless you guy

  • @bayoTV1
    @bayoTV1 5 лет назад

    Job well

  • @lameckclement2804
    @lameckclement2804 5 лет назад +3

    Vitus mambo vp hongera kw kupiga hatua kimaisha lkn sasa MTU aombae msaada husaidiwa ndugu basis naomba namba za cm tufanye mawasiliano hata mm pia nahtaji kutengeneza maisha maana sasa ww n mwalmu kwetu ss.

  • @nelsonsimtowe4268
    @nelsonsimtowe4268 5 лет назад +21

    Dogo kweliii uwalimu nikibaruaa kazi ya YESU sirikalin uko sawa njaa tu madaraja akuna haki zao loooh bado kikokotozi bora kutema namimi natema week hii

    • @eddyjunior7821
      @eddyjunior7821 5 лет назад

      Nelson Simtowe 0757906119 nichek tuongee

    • @avituswibingire9382
      @avituswibingire9382 5 лет назад

      hahaha sio hvo bro ni kutokana na malengo ya mtu siwezi kuiponda kazi ya mtu.

  • @sanifumedia9614
    @sanifumedia9614 4 года назад +2

    Malengo F unalipwa million 1 anapanga nyumba ya laki 3 Kama umejua huyu ngombe gonga like

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 4 года назад +1

      SUNSET TZ Ng’ombe ni ww sio yeye ww ndo ng’ombe unateseka na maisha ya mwenzako na mapovu yako kafulie nguo mbwa ww

  • @francisngwale4567
    @francisngwale4567 5 лет назад +10

    Tumejifunza Apa nikusonga mbele

  • @GeorgeEdward-mu1xg
    @GeorgeEdward-mu1xg 16 дней назад

    Sema vdo waga anaoji maswali ya msing sana in short vido ni the best sanaa

  • @malikijuma2759
    @malikijuma2759 2 года назад +1

    hongera sana,ila jamaa mpaka akimaliza kuelezea ushachoka

  • @nichummputo516
    @nichummputo516 5 лет назад +1

    Mwenyezi mungu akupe afya njema na aibariki kaz yako

  • @issanaseeb7699
    @issanaseeb7699 5 лет назад +1

    Never give up💪✊

  • @joycemashikolo9096
    @joycemashikolo9096 5 лет назад +1

    hongera kijana mpambanaji

  • @teeanna2060
    @teeanna2060 5 лет назад

    Family mzima ni wasomi 😍😍😍.
    Ongera huna maringo

  • @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326
    @hyzuhuranaombanoyakoplzhus3326 5 лет назад +9

    Mpole mwenyewe

  • @shabanisaalum1148
    @shabanisaalum1148 4 года назад

    Safi sana bro nimeipenda hii. Je? Naweza Pata direction pls bro. Tusaidiane.

  • @shamsaismail7707
    @shamsaismail7707 5 лет назад +2

    Hongera kaka

  • @raphaelmagani8540
    @raphaelmagani8540 4 года назад +3

    Nakumbuka niliingia bitclub nikapoteza 2ml zangu SIJUI KM NTADHUBUTU TENA

  • @de-crownde-crown3573
    @de-crownde-crown3573 5 лет назад

    safi sana bro ...umenipatia hsmasa sana ..congrats

  • @moniedwese5778
    @moniedwese5778 5 лет назад +2

    Ongera mwaya👋😘😘

  • @mussaelikana2897
    @mussaelikana2897 2 года назад

    Hongera sana broo uko vizur sana na una mawazo mazur

  • @projestusprosper1626
    @projestusprosper1626 5 лет назад

    Hongera Mwanangu

  • @emmypaul7455
    @emmypaul7455 5 лет назад +2

    Aiseeeeeee

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 5 лет назад +3

    Br naomba nisaidie namba yaki plz

  • @gloryisaac1477
    @gloryisaac1477 3 года назад

    Wooh nmepata KTU apo ...hongera sana kaka

  • @sudyslaa8278
    @sudyslaa8278 5 лет назад +3

    Alichosema kwa kiasi ni kweli hata mm nafanya forex lakini asilimia 95% ya traders hasa bongo wana loose. Siku zote usikurupuke na usipelekwe na emotions kaa chini jipange elewa forex ni nini. Maana nje na mafanikio kuna changamoto kubwa sana. Hakuna wa kukwambia ukweli kuhusu forex na huyu mbn bado sana???? Milion 15 ni hela ya chai tu.

    • @gadafimasoud310
      @gadafimasoud310 4 года назад +1

      Kweli hela ya chai kwako lkn kwake na wengine masikini nafikili ni mzigo mrefu

  • @salehmasunga5147
    @salehmasunga5147 5 лет назад +1

    Ahsante milad

  • @piliwisman7020
    @piliwisman7020 5 лет назад +5

    kaka naomba mwongozo plz na mm natamani sana kufanya hiyo biashara

  • @Rams660
    @Rams660 5 лет назад +3

    Hizi ndo habari ,, zinazoatkiwa ktk ulimwengu wa kileo,,

  • @damasigenga4835
    @damasigenga4835 5 лет назад

    Bro big up sana

  • @ezekiafilbert4896
    @ezekiafilbert4896 5 лет назад

    honger sana kijana

  • @chumanondochuma8012
    @chumanondochuma8012 3 года назад

    Nimeipenda Sana hiyo motivation

  • @jacklinamani7519
    @jacklinamani7519 4 года назад

    Hongera Sana broo

  • @rutakihama7599
    @rutakihama7599 5 лет назад

    Hongera sana mdogo wangu rwebingira

  • @mabulaezekielmd7723
    @mabulaezekielmd7723 4 года назад +1

    Pamoja sana brother nazikubar sana story zako

  • @dennistarimo5125
    @dennistarimo5125 5 лет назад

    hongera kwake

  • @salymkitumbika8644
    @salymkitumbika8644 5 лет назад +5

    Yaaani this is the real meaning of being you. Vijana msisome kufuata mkumbo baadae mjemtujazie wasomi ombaomba na lawama kilaleo ajira ajira ajira I wish tungekuwa na kiongozi kama Hitler awashurutishe kuifanya mapinduzi katika nyanja mbali mbali japo najua haiwezekani hapo ndipo ninapomuomba Mungu tupate uelewa wa sisi tutaifanyia nini Tanzania sio Tanzania itatufanyia nini big up kijana wewe ndomsomi hasaaa.

    • @lovelife227
      @lovelife227 5 лет назад

      Penda sana, the point you made over there, great

  • @haseanatnsanya2079
    @haseanatnsanya2079 3 года назад

    Maashaallaa uko vizur sana pambana

  • @talantamhanga6961
    @talantamhanga6961 5 лет назад +1

    Nimeipenda hii,ubunifu ni mhimu.Kukata tamaa mwiko.

  • @hejopansimon5217
    @hejopansimon5217 5 лет назад +1

    Eh uko sawa namm kiumri honger kwakua xhujaa

  • @bamurwakana5452
    @bamurwakana5452 3 года назад +1

    Kutoka igurwa karagwe nakupateje bro ili tuweze share mawazo

  • @greyuliki8027
    @greyuliki8027 2 года назад +1

    Dah! Maisha hayana formula

  • @hedentv6756
    @hedentv6756 Год назад

    Tunaomba Mawasiliano yake ili sisi tulio na ndoto ya kufanya hiyo biashara tuweze kupata ujuzi zaidi kutoka kwake!🙏

  • @godwillseverine3863
    @godwillseverine3863 5 лет назад

    Big up brother

  • @kasesecompany3187
    @kasesecompany3187 4 года назад

    Aseeeh safi sana trader

  • @youngtwite7580
    @youngtwite7580 5 лет назад +27

    vijana tuamken sio kukaa maskan tu

  • @drfrankfaustine5469
    @drfrankfaustine5469 2 года назад +1

    Uyu n wa nyumbn kabsa karagwe oyeee

  • @saidishabani6802
    @saidishabani6802 5 лет назад +4

    Hongera kk

  • @ibrahimlikonga5676
    @ibrahimlikonga5676 4 года назад

    Jamaa anatumia jina gan insta?

  • @MARY-bt1zm
    @MARY-bt1zm 5 лет назад +3

    these are the news we want...... others its gossip

  • @domtv518
    @domtv518 5 лет назад +1

    Karibun bitcon nayo Ni biashara nzuri kwan ukiwekeza 40$ ndan ya mwaka inakulidishia 200% ya pesa uliyoweka hii dollar ipande au ishuke we unavuna mafaida tuu na unaweza kuwekeza hadi 100000$

    • @shijaamini4939
      @shijaamini4939 5 лет назад

      Dom TV
      nicheki 0714429434
      au Facebook nitumie ombi la urafiki jina langu denis marciale kato

  • @nyamushalaparfait4154
    @nyamushalaparfait4154 5 лет назад +2

    Ndo muna washauri vijana waache chule Riziki popote nenda kauze bangi police kama Riziki popote

  • @mariasofiapeter3220
    @mariasofiapeter3220 5 лет назад +1

  • @prudencejeremiah8083
    @prudencejeremiah8083 5 лет назад +4

    Hongera sana home boy

  • @stephanomoses7694
    @stephanomoses7694 2 года назад

    Hii biashara unatakiwa uwe umetulia sana kiakili . Elimu ya hali ya juu inahitajika sana.

  • @gracepius9762
    @gracepius9762 2 года назад

    Hongera sana kakaaa

  • @k2channel94
    @k2channel94 4 года назад

    🔥

  • @alfarsiali2779
    @alfarsiali2779 5 лет назад

    Naomba nkutafte WhatsApp tuongee coz npo mbal kidogo na Tanzania ila nkirud nataka nijarbu hko kitu brother kama hautojar ntumie namba yko please