Ukweli kuhusu forex trading | Amrisaly alivyobadili maisha kupitia biashara hii

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 мар 2024
  • Amri IFX, kijana wa Kitanzania aliyebadilisha maisha yake kupitia HELA za Mtandaoni, AFUNGUKA jinsi alivyoanza hadi kufanikiwa! #Forex #CreptoCurrency #Money #podcast
    Tazama full interview hapa uweze kujifunza mambo kibao ya kuweza kutengeneza pesa mtandaoni!
    Subscribe, Like, Comment & Share!
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 252

  • @michaelkisalisho8698
    @michaelkisalisho8698 2 месяца назад +6

    Nimependa The Way Anavyojibu Kwa Utulivu Na Anaelezea Vizuri Sana Yaani Mtu Unamuelewa BIG SANA 🙌💪💪

  • @abdulsambi9011
    @abdulsambi9011 2 месяца назад +3

    Kufunza watu namna yakufanya biashara ya forest ndio inawalipa(couching)..kitu kikubwa huwa wana elimu na uzoefu wakuweza kuingiza pesa kwa muendelezo ila sio pesa nyingi kama mnavyodhani.. pesa nyingi huwa wanakuja kuzipata kwenye classes za kufundisha watu.

  • @goyamwinuka8842
    @goyamwinuka8842 2 месяца назад +12

    One thing about any money is how you monitoring your money and keep it consistent not to loose but increase it. We call it success

  • @user-gt4dy7yt9deddiehbwoyhie58
    @user-gt4dy7yt9deddiehbwoyhie58 2 месяца назад +4

    Mpaka niomoke na forex inshallah

  • @UnjuKhan-wq5rj
    @UnjuKhan-wq5rj 5 дней назад

    nmependa hii speech

  • @taojuma3277
    @taojuma3277 3 месяца назад +7

    Psychology ( emotions), Good prediction of the markert na Good risk taker ( RM) yako kwenye game ndo itafanya forex iwe ngumu au rahisi kwako. It's very tough game kama huna roho nyepesi ❤

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 2 месяца назад

      ata uwe kwenye game 20 years bado forex itakua ngumu tu, forex sio skill ya kusomea ni gambling

  • @Christopheronzugu
    @Christopheronzugu 2 месяца назад +2

    Very clear responses from a very hardworking guy

  • @user-qw8rs3fb3n
    @user-qw8rs3fb3n 3 месяца назад +3

    Always you talk smart and truth @amrisaly, big man amri

  • @keranji95
    @keranji95 2 месяца назад +1

    Forex easy kikubwa knowledge patient na discipline una win

  • @JunktuonJulius-cv7oj
    @JunktuonJulius-cv7oj 3 месяца назад +10

    This man he is true trust him nimetok nae chuo kimoja nakumbuka mambo mengi tuliyokuwa tunasaidiana ila AMRISAY yale maisha ya chuo basi tu 😂😂😂INTELLIGENCE FX.

  • @SAMBACHEFOUNDATION
    @SAMBACHEFOUNDATION 3 месяца назад +5

    Naomba utupatie mawasiliano ya mwamba

  • @Kevoxsolver
    @Kevoxsolver 3 месяца назад +25

    Mtu anaye jua forex vizuri naomba anifundishe please niondokane na huu UMASKINI even if itachukuwa miaka 3 but cha msingi nisome kwanza coz Consistency is the key 🙏🏿

  • @chroniclesbyKB
    @chroniclesbyKB 3 месяца назад +5

    you got to have a do or die mentality to make it out in the forex markets kijana ni muda sasa wa ku badilisha mitazamo yetu ya kiuchumii nakuipa nafasi hali ya utandawazi kutufanyia kazi na kutufungulia milango ya mafanikio God bless TZ traders

  • @alamanomsungu9556
    @alamanomsungu9556 3 месяца назад +11

    Podcast nzuri Lakin I wish Tupate Host anaejua Forex Hata Kidogo Tyu

    • @IMANWILLIAM-bl2ui
      @IMANWILLIAM-bl2ui 3 месяца назад

      sure kabisa, kama host wa south Africa wanajua kabisa wanachouliza

    • @alamanomsungu9556
      @alamanomsungu9556 3 месяца назад +3

      @@IMANWILLIAM-bl2ui yeah ni professional trader kuhojiwa na Mtu hajui Hata candlestick ni nn Kidogo Sio sawa

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 3 месяца назад

      🤣🤣🤣🤣​@@alamanomsungu9556

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 2 месяца назад

      wanaojua forex ni hedge funds anaything apart from that ni gambling na haina uhusiano na forex

    • @Gninetix
      @Gninetix 2 месяца назад

      Me naijua vizuri tuh tena kiundani 🙂🫶🏽

  • @anthonylukuwi1968
    @anthonylukuwi1968 2 месяца назад +2

    Appreciate

  • @babelonebarber6346
    @babelonebarber6346 3 месяца назад +2

    Clear 🤞🏿

  • @jonathannjau9129
    @jonathannjau9129 3 месяца назад +2

    Tje Goat himself 🔥🔥🔥

  • @user-ro2vn9cp8c
    @user-ro2vn9cp8c 3 месяца назад +2

    Kaka amrisaly shkuran sana

  • @user-pf1tb5ic2h
    @user-pf1tb5ic2h Месяц назад

    Kwa mbali sana anafanana na Patrick Kanumba.

  • @lakasid3860
    @lakasid3860 3 месяца назад +5

    Iko poa sana 👏

  • @KingaoMBALI-wk2gg
    @KingaoMBALI-wk2gg 2 месяца назад +1

    Patience

  • @_waijaha
    @_waijaha 3 месяца назад +5

    Realest 🐐@amrisaly

  • @ZaiKijiweNongwa-yd9zw
    @ZaiKijiweNongwa-yd9zw 2 месяца назад +2

    Jamaa yupo real sana

  • @Harounmsuyah
    @Harounmsuyah 2 месяца назад +1

    there is no easy money, invest in skills is key 🔥🔥

  • @meddy_upette9511
    @meddy_upette9511 3 месяца назад +4

    Huyo ndo Amr bwanaa 🔥

  • @holdpesa6317
    @holdpesa6317 3 месяца назад +3

    Good

  • @ramadhannjila5178
    @ramadhannjila5178 2 месяца назад +8

    brother ameiva, noma sana

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 3 месяца назад +2

    Intelligence FX 💯

  • @johnmkondola
    @johnmkondola 3 месяца назад +3

    My mentor

    • @user-to1xl1vi5v
      @user-to1xl1vi5v 2 месяца назад

      What is her name's I search on his platform

  • @user-fj7zp7ow9z
    @user-fj7zp7ow9z 2 месяца назад +3

    Tunaomba atupe sehm sahihi ya kupt maalif pia app tunayowez kutumia

  • @MizzlekingFX
    @MizzlekingFX 3 месяца назад +2

    Seen

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 3 месяца назад +8

    Intelligence fx ni 💥💥

  • @ChaulaCharles
    @ChaulaCharles 2 месяца назад

    Good😊

  • @chiefkwanza495
    @chiefkwanza495 3 месяца назад +2

    AMRISALY kaongea vizuri na uhalisia wa forex

  • @user-rh5iy3ei3g
    @user-rh5iy3ei3g 2 месяца назад

    Amrsaly na Ahmed frm Nigeria nawaeleaa Sana hawa vijana 🎉

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 месяца назад

      mfatilie na kojo forex from naija pia... u wont regret

  • @DBIRobotics
    @DBIRobotics 3 месяца назад +12

    Kama hauna kazi husi-trade forex,tafuka kazi huku ukijifunza forex,ukishakuwa masta acha kazi kafanye forex

  • @dtv6734
    @dtv6734 Месяц назад

    Kuna kitu chaitwa, Binance 🔥

  • @oscarjacobs8874
    @oscarjacobs8874 2 месяца назад +10

    I love the information and analysis you put out here, How do I invest in a profitable crypto market?

    • @danreviews8359
      @danreviews8359 2 месяца назад

      As a beginner, it's essential for you to have a mentor that is verified by finra and SEC to keep you accountable. I'm guided by a widely known crypto consultant.

    • @danreviews8359
      @danreviews8359 2 месяца назад

      She is Miss.Vozili Liam

    • @JosephMartinez-vn3cl
      @JosephMartinez-vn3cl 2 месяца назад

      WOW!!! You know her too? I'm also a proud beneficiary of her platform.

    • @kimberlycrawford2263
      @kimberlycrawford2263 2 месяца назад

      this is serious, never knew miss vozili is now this well known thought i was the only one enjoying this amazing talent.

    • @franksmichaels609
      @franksmichaels609 2 месяца назад

      The fact that I got to learn and earn from her program is everything to me think about it, it's a win-win for both ways.

  • @kelvinramson2164
    @kelvinramson2164 3 месяца назад +3

    Imekaaa poa sana

  • @boniphacegervas8118
    @boniphacegervas8118 2 месяца назад +3

    Tc matter of time vijana wengi watajifunza fx

  • @annacyril5832
    @annacyril5832 2 месяца назад +1

    🔥🔥🔥

  • @rushidiomari2621
    @rushidiomari2621 7 дней назад

    Inshallah

  • @makeyourowndestiny
    @makeyourowndestiny 3 месяца назад +27

    Hadithi ya Amri IFX ni ushuhuda wa nguvu ya uchumi wa mtandaoni, jambo ambalo sisi ni wenye shauku nalo kwenye Make Your Own Destiny Podcast. Tunajadili kila kitu kuhusu pesa, biashara, na mikakati ya kufanikiwa katika enzi hii ya kidijitali. Kama ulivutiwa na hadithi ya Amri na unatafuta maarifa zaidi kuhusu uhuru wa kifedha, podcast yetu inaweza kukupa mitazamo ya thamani.

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 2 месяца назад

      Podcast yako ipo kwenye platform zipi?

    • @daudhabona8897
      @daudhabona8897 2 месяца назад +1

      Bora ni weke mkea powabet. Maana Nina uhakika. Hawa wezi

    • @user-ln8fy8yj5x
      @user-ln8fy8yj5x 2 месяца назад

      @@daudhabona8897 weka mikeka tu mzee hii ligi huiwezi... Hakuna biashara ya Buku buku hapa

    • @makeyourowndestiny
      @makeyourowndestiny 2 месяца назад

      @@user-ln8fy8yj5x RUclips @makeyourowndestiny

  • @forexkenya1
    @forexkenya1 2 месяца назад +2

    Ana jiita aje kwa social media

  • @gabylovestech
    @gabylovestech 3 месяца назад +2

    🎉🎉🎉

  • @InitialMatemu
    @InitialMatemu 3 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 2 месяца назад +2

    Half man sijui amazing yani nivituko hiyo kitu wala haikupendezi wala haikufai

  • @eliezerwamungu4614
    @eliezerwamungu4614 2 месяца назад +3

    Forex siy biashara rahisi kam gisi watu wanavyozani ,inawez ikachukuw hata myaka 2 had 5 ili uw successful forex trader

    • @michaelkisalisho8698
      @michaelkisalisho8698 2 месяца назад

      Exactly Ndio Maana Jamaa Kaelezea Vizuri Sana Na Kausema Kwamba Hata Yeye Huwa Hamshiwishi Mtu Ku-join Ila Ukiwa Tayari Basi Sharti Uwe Tayari Kujifunza Yaani Jipe Muda 💯📌📌

  • @thronemoneyfx9730
    @thronemoneyfx9730 2 месяца назад

    Trading ni nzuri ila ujitoe❤

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 2 месяца назад +2

    Amr hujawahi zingua

  • @jessenelson5647
    @jessenelson5647 2 месяца назад +2

    🎉🎉🎉🎉

  • @user-rk3iz5ci5z
    @user-rk3iz5ci5z 2 месяца назад

    Nikitaka kukutana na amri niongee nae what should I actually do

  • @WilliamMConnel
    @WilliamMConnel 23 дня назад

    Naam ninahatarisha 1% kwa kila biashara. Nikiwa na akaunti ya $500 ninapata $2,500 kwa mwezi, kimkakati mwongozo wa kitaalamu hulipa sana.

  • @FrankSelemani-yb1wh
    @FrankSelemani-yb1wh 19 дней назад

    Forex ukifanya manually utapata hasara kilaa sikuu ndo mana tunafanya automatic kwa kutumiaa robot

  • @user-ix3ep9fb7d
    @user-ix3ep9fb7d 3 месяца назад +2

    👊🏾👊🏾👽

  • @douglaskahwa3990
    @douglaskahwa3990 2 месяца назад +1

    Amrisaly umeongea vyema. Maarifa ndo msingi mkubwa wa kufanikiwa katika biashara hii.

  • @iddyvedastus8457
    @iddyvedastus8457 2 месяца назад +9

    We jifunze forex hata miaka laki 8 lakini kama hujaizoea pesa, narudia tena kama HUJAIZOEA PESA huwezi ku trade forex NEVAAAAAAAA

  • @user-ln8dh3oi1n
    @user-ln8dh3oi1n 2 месяца назад

    hi

  • @MEDSONRFX
    @MEDSONRFX 2 месяца назад

    FOREX biashara nzur sana

  • @MUDYMUSSA-pr2gr
    @MUDYMUSSA-pr2gr Месяц назад

    Mbona CreptoCurrency😂😂

  • @user-fj7zp7ow9z
    @user-fj7zp7ow9z 2 месяца назад +2

    Tunaomb tujue makampun na appy tunayowez kutumia pia sehm sahh ya kupt maalif

  • @hustlersworld93
    @hustlersworld93 2 месяца назад +3

    Tunaomba utuletee liqudator kaka atupe story

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 месяца назад

      utamtoa wapi yule jamaa amna anaejua sura yake!!😂😂😂... kwanza sidhan kama now yupo TZ.. anakula sana bata yule

  • @ErickMkumbwa
    @ErickMkumbwa Месяц назад

    Madarasa ya online yapo mzee

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 3 месяца назад +11

    Fx ngumu jamani bila kufungua jicho la 3 utoboi lazima utenge muda na miaka 5 zaidi kulifungua

    • @morisstambuli90
      @morisstambuli90 3 месяца назад +4

      Hapan 6 months is enough

    • @officialgreenpipsfx
      @officialgreenpipsfx 3 месяца назад

      Check our channel for free forex training

    • @JamesMussa-od8hm
      @JamesMussa-od8hm 3 месяца назад +5

      Sio kweli unaweza tumia miaka mitano na usitoboe na unaweza kutumia miezi mitatu na ukawa professional Trader

    • @user-ml3zl1wi3w
      @user-ml3zl1wi3w 3 месяца назад +3

      Mwaka mmoja unatosha kua guru kwenye forex

    • @daviddonatus8121
      @daviddonatus8121 3 месяца назад

      😂😂😂 we jamaa upo serious kwel​@@user-ml3zl1wi3w

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 2 месяца назад +4

    Tangu march 2023 najifunza fx na sijaanza Kupata profit Bado nachoma akaunt

    • @fan_art_
      @fan_art_ 2 месяца назад +1

      Tupo pamoja 😅

    • @ephraimndelwa4073
      @ephraimndelwa4073 2 месяца назад

      @@fan_art_ 😄fx ngumu asikwambie mtu! Sijakata tamaa..🙏

    • @rogath_silayo
      @rogath_silayo 2 месяца назад

      ​@@fan_art_Soma Sana, ingia RUclips mtafute the inner circle trader ICT utanishukuru...Alafu achana na live account, nunua evaluation challenge kwenye prop firm.

    • @beliasjacob6024
      @beliasjacob6024 2 месяца назад

      Usikate tamaa.mm mwaka4 ndio mavuno nayaona

    • @jifunzeforextrading
      @jifunzeforextrading 2 месяца назад

      ukijifunza forex unatumia demo account chief ukishajua ndo unatumia real account

  • @prosper4037
    @prosper4037 Месяц назад

    Bist of forex

  • @MJ-eo9tb
    @MJ-eo9tb 2 месяца назад +1

    Wanapa pesa kwa kufundisha na sio kutrade 😂

  • @SmartMoneyForexUniversity
    @SmartMoneyForexUniversity 2 месяца назад

    Oiiiiiiiiii

  • @ezekiaamos
    @ezekiaamos 3 месяца назад +3

    Podcast ilikuwa kali sana ila adds nyingi sana try to manage brother zisiwe nyingi sana

    • @MizzlekingFX
      @MizzlekingFX 3 месяца назад +1

      Adds ndo zinafanya alipwe,haez kataa

  • @patrickandrew6822
    @patrickandrew6822 2 месяца назад

    Mimi na hitaji broker

  • @IsmaelHussein-ek8bh
    @IsmaelHussein-ek8bh 2 месяца назад +1

    It's not about get rich quick

  • @amosmutunga7555
    @amosmutunga7555 2 месяца назад +1

    Can i do forex without brokers.

  • @bullsandbearstz
    @bullsandbearstz 3 месяца назад +1

    Amrisal kaamua kuwaambia tu ukwelii no short cut

  • @emmanuellwinga5686
    @emmanuellwinga5686 3 месяца назад +2

    Kwenye swala la kwanini kufundisha kwa pesa watu wabaki na msemo kwamba "there is no such thinh as something for nothing" bas

  • @samuelseverua3715
    @samuelseverua3715 2 месяца назад

    Mbona concept rahisi sana ila Bro kaielezea kigumu……?!

  • @g_forcemusician4242
    @g_forcemusician4242 2 месяца назад

    Izi vitu watu wanalia wanakuwa masiki hakunaga hela rahisi

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 3 месяца назад +3

    Forex ngoma ingine hii baba

  • @juliusmarwa4840
    @juliusmarwa4840 Месяц назад

    Tickmil hazingui

  • @user-ti1yp8ib7e
    @user-ti1yp8ib7e 2 месяца назад +1

    Forex forever

  • @Profshab_Company
    @Profshab_Company 2 месяца назад +1

    watu wa forex jifunzeni binary Option trading, Tembeleeni channel ya Tanzanian Trader

  • @syntaxsaintezzer5547
    @syntaxsaintezzer5547 2 месяца назад

    Nashangaaa watu wanasema FOREX ngumu ila wana sahau cryptocurrencies kam BITCOIN ambayo moja ni 130M tzs na ethereum 1 ni $2,667 usd yeni kule ndo sio pw market ni high volatile yeni risk balaaaa !

    • @amanitanzar
      @amanitanzar 2 месяца назад

      bitcoin ipo kwenye sector ya forex pia ujue

    • @yutech2091
      @yutech2091 2 месяца назад

      Naomba msaada, km umepata faida, m nmepoteza san ela

  • @michaelkisalisho8698
    @michaelkisalisho8698 2 месяца назад

    Ni Kweli Kabisaa Vitu Avyosema Hasa Hapo Kwenye Kujifunza Vijana Wengine Huwa Hawataki Kujifunza Wanataka Tu Pesa Za Chap Chap Ndio Wanapigwa 😂

  • @makilimsimu2451
    @makilimsimu2451 2 месяца назад

    Kila kitu ni uvumilivu

  • @Maprofx
    @Maprofx 2 месяца назад

    Intelligence fx nina miezi7 nawafatilia mko vzuri na Mungu aendelee kuwaongoza pengine mkawa kioo cha nchi hii tano bora kwa hapa bongo mmo kwa hapa ndani namaanisha📈📉

  • @lecuprannivveeverything9925
    @lecuprannivveeverything9925 2 месяца назад

    podcast kali but weka hat background music kwa mbali...

  • @paulconrad7091
    @paulconrad7091 2 месяца назад

    Nili tapeliwa 100000...sto sahau

  • @crackerkkaka2034
    @crackerkkaka2034 3 месяца назад +3

    mwamba anauliza maswali ambayo sio sahihi hata kidogo, kunauhitaji wa kua na host wa podcast anaejua forex au trading

    • @daviddonatus8121
      @daviddonatus8121 3 месяца назад

      Sema mtangazaji kauliza maswali marahisi kabisa ila hakuingia na kuhoji kiundanin

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 2 месяца назад

      huezi mpata huyo mtu, forex inafanywa na hedge funds anything outside that ni utapeli

  • @jamesodatt9014
    @jamesodatt9014 3 месяца назад +2

    What broker do u ,use bro am having difficulties with most brokers who link themselves with Tanzania, am just a currency, indicies day trader

    • @ashrafnadhir4698
      @ashrafnadhir4698 3 месяца назад

      Exness

    • @officialgreenpipsfx
      @officialgreenpipsfx 3 месяца назад

      Check our channel for free forex training

    • @isackrichard6356
      @isackrichard6356 3 месяца назад

      Pepperstone

    • @jamesodatt9014
      @jamesodatt9014 3 месяца назад

      ​how long have tou use this broker , and what experiance do you have upon good and uggly

    • @gibbs1320
      @gibbs1320 3 месяца назад

      Dont use Exness. Atleast Tickmill or Pepperstone.

  • @meshacklekie4002
    @meshacklekie4002 2 месяца назад

    Huyo tapeli shauri yenu alipita na dollar 100 zangu

    • @Maprofx
      @Maprofx 2 месяца назад

      Acha uongo wewe tutakuaminije Tako kabsa wewe acha kupotosha vijana km hujui au huelewi kalale

    • @fxmeddy9567
      @fxmeddy9567 2 месяца назад

      Amini anachokisema real traders never promote forex. They make money in silence

  • @gibbs1320
    @gibbs1320 3 месяца назад +2

    Kama una taka jifunza Forex nitafute ila uwe tayari kujifunza kwa muda hakuna short cut.
    UWE NA LAPTOP NA MTAJI KAMA LAKI 3.

    • @alamanomsungu9556
      @alamanomsungu9556 3 месяца назад +2

      Acha utapeli

    • @patrickemanuel3105
      @patrickemanuel3105 2 месяца назад

      ​@@alamanomsungu9556😂😂😂😂

    • @CHIKAKA01
      @CHIKAKA01 2 месяца назад +1

      Laki tatu kaka 😂😂😂

    • @jifunzeforextrading
      @jifunzeforextrading 2 месяца назад +1

      Dooh! ndo scammers wenyewe nyie mtu hajui alaf aje na mtaji tena? Fundisha mtu kwanza ajue ajipe miez mitatu then ndo aguswe kutafta mtaji atrade

    • @simutengene4730
      @simutengene4730 2 месяца назад +1

      😂😂😂ata mtu hajajua forex ni nini tayar aje na mtaji😂😂😂

  • @IceChampakaWolf888
    @IceChampakaWolf888 2 месяца назад

    Forex is legit you people.

    • @barbarasara4033
      @barbarasara4033 2 месяца назад

      Ukiona kitu chochote unaambiwa uje ufundishwe means wanachofanya hakilipi ila kufundisha Ndo kuna lipa. Wamshapigwa watu kibao

  • @hakeemiddy8890
    @hakeemiddy8890 2 месяца назад

    IM COMING FOR MY SEAT AT THE TOP

  • @MiaTheLathini
    @MiaTheLathini 3 месяца назад +2

    Ni CRYptocurrency sio CREPtocurrency

    • @officialgreenpipsfx
      @officialgreenpipsfx 3 месяца назад

      Check our channel for free forex training

    • @charlesjohn5792
      @charlesjohn5792 3 месяца назад

      😊

    • @ezraezyofx
      @ezraezyofx 3 месяца назад

      Zingatia kuna neno CRY apo mwanzo😂😂😂

    • @MiaTheLathini
      @MiaTheLathini 2 месяца назад

      @@ezraezyofx Ndio Maana nikaweka herufi KUBWA😂

  • @jeremiahmasanja8185
    @jeremiahmasanja8185 3 месяца назад +2

    Kununua coz ako inagharimu shingapi brow na naipatake online

  • @user-ln8dh3oi1n
    @user-ln8dh3oi1n 2 месяца назад

    hawa majamaa ni matapeli wakubwa,ushawahi ona wap mtu anayepiga hela hela anajitatanganza? kama anapata hela si akae kimya apige yeye na familia yake?? hawa ni matapeli mtapigiwa sana wabongo

    • @troffie
      @troffie 2 месяца назад

      acha ujinga kama hujui kile waongelea sema ...wivu utakusumbua ...forex inalipa wewe mdio huna elimu tafta simu

    • @christophermwambona32
      @christophermwambona32 2 месяца назад

      😄akili mgando mnasumbua sana....kwan matajir huwaon wanvyopiga kelel mitaan kwenye jiji hili na magari na majumba yao ya kifahari?? Au kwa sabu hawajshka vpaza sauti mnawaona tu, na au sabu hamuwajui???!!!!! Mo, bakhresa, watt zao, na mabilionea wengne huwaon na biashara zao zinavopga kelele???
      Funguka bro acha kuukumbatia ufukara ukadhan umeumbiwa nao. Wenzako washapata hela na familia zao maisha yamebdlka, wanaambieni fursa za kuchkua, we unaendlea kuuona utapeli. 🚮 🚮🚮

    • @JohnsonJasper-mv7kh
      @JohnsonJasper-mv7kh Месяц назад

      😂​@@troffie

  • @jumarwambo7420
    @jumarwambo7420 2 месяца назад

    😢ndo ututajie na miaka

  • @pikipiki_market
    @pikipiki_market 2 месяца назад +2

    Maswali anayo uliza dah 😢

  • @paulonyenza3841
    @paulonyenza3841 3 месяца назад +1

    Good

  • @361NEWS
    @361NEWS Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @ErickMkumbwa
    @ErickMkumbwa Месяц назад

    Madarasa ya online yapo mzee