Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Jina lake ni Hellen Dausen na umri wake ni miaka 29 ( November 1986) ni Mrembo ambaye aliipiga chini ndoto yake aliyokaa nayo miaka kumi bila kumfanikisha lakini akaingia kwenye mbio za Ubilionea na kitu kingine kabisa maishani mwake.
Unaambiwa Jarida la FORBES ambalo limekua na nguvu duniani na kutoa ripoti mbalimbali zikiwemo za uchumi na watu na utajiri wao, lilikua na list ya idadi ya vijana takribani elfu mbili lakini Hellen akaibuka miongoni mwa vijana 30 wa Afrika wenye fikra na mikakati ambayo ni utajiri wa siku chache zijazo.
Wadada mnaweza kufanikiwa bila kutembea uchi, kuvaa vimini, kujikwangua mwili kwa vipodozi, kuda.......n..ga, na vitabia vya ovyo tunavyovishuhudia kwenu.
Chukua hatua, rudi muulize Mungu, utafanikiwa sana/ Tanzania itafanikiwa na utang`ara
hongera hellen!! alafu anakimwil kizur huewez amn kama ana miaka 29,,, ingekua msanii wa kibongo Apa angekwambia ana miaka 21au 22,,,hongera sana,,,yan hellen she looks like 20 yrs old...love u hellen.
kaka milard nimefurah sana kwa interview ya Hellen coz i learn smth from her about entrepreneurship.....Hellen alikuwa anamuamini Mungu sana na alikuwa na opportunity ambayo aliitumia vizuri maana alikuwa na support from her family and their life iko powa,,,,am mi naamini hata kama auko kwenye gud life but u fight for ur dream/VISION huku ukimshirikisha Mungu.MUNGU ataiona bidii yako and utapata wa kuku support so tusikate tamaa.....Hellen i love ur confidence and ur a good example kwa sisi wadogo zako.....may God be with naamini tayar umefikia lengo na utazidi kufanya zaidi ya hapo .......... danx so much.....I WLL BE DA NEXT(YBW)MEANS Young Billioner Woman
Hongera Sana Dada Hellen unajitaid kutoa lugha ya kiswahili vizur tofaut na vidada ambavyo havina elimu yeyote vinajifanya havijui kiswahili fasaha
Hahaaaaa
umenifunza kitu kizuri leo dada welldone and i wish kuonana ili unifunze vitu vingi vya kimafaniko congatulations to u madam, TZ youth stand up.
good hellen...nw nmelewa kua ukitaka kua na kitu chako lazma u hustle sana...ths kind of story happened to me..nw u inspired me i'll never give up.
Hakika simjui mtangazqji lakini nimefurahia Sana mahojiano yake na Hallen. Am very proud of Hallen struggle. Nipo Califonia. USA. Lakini nasema hong era Sana Hallen. Unajizungumzia unwell halisi na hi yo ni changamoto kwetu some tuliopo hapa marekani. Ningependa sana kupata contact Nayeli if possible.
Baba yako Ni Gentle Man. Nimependa sana Urafiki wenu. I wish namimi nimlee Binti yangu kama Baba yako. Nimsikilize anapendq nini na nimuwezeshe. Pia nimejikuta nimetamani kuwa mteja wa Product zako katika familia yangu. Talitafuta hilo Duka ulilotaja. Mungu awe nawe Daima na Pole sana kwa Changamoto za Vibali
support km hizo vijana wengi wanazikosa kutoka kwa wazazi maana wazazi wetu akishakusomesha huko kwengine utajua mwenyewe.
Hongera dada kwa kujidaia lugha yako ya Kiswahili mana kwa level yako ya kielimu ungekua na utamaduni wa kitumwa hapa ungekua unaongea KISWA-ENGLISH mana interview yako 99% umetumia lugha yako mama hongera sana!Hongera nyingine kwako ni kujifaia uafrika wako kwa mwonekano wako kama mwanamke wa kiafrika kila kitu upo natural HONGERA KUBWA!
duh kwanza BIG UP kukataa kuajiliwa thats good thinking, ku hustle wakati una sura nzuri + we ni miss sio kitu nilitegemea kutoka kwa ma sister wakibongo they will choose kuuza sura na kiki za kishamba town,kuuza gari yako kwaajili ya bizness ambayo hukuwa hata na uhakika itakutoa duuh we ni MWANAMKE JASIRI i will never do that ingawa ka gari kangu ni corolla mmmh no no kwa biashara ambayo sina huakika nisingeweza kabisaa.... kuhusu jamaa wa aliye kutapeli bandarini never mind msamehe coz bila yeye husingeamia zanzbar na wala hii story isinge kuwepo......... all in all nimepata kitu kutoka kwako wish ntakitumia kufikia mafanikio...... ASANTE SANAAA
Well done your resilience is second to none.Mungu akubariki sana kwa kila unachofanya.You are a very thoughtful young lady and you never gave up.Hongera!
hapo pasingekuwepo #team wa kishua# hayo mambo yasingeweZekana
Yasingewezekana kabisa na tena hapo nyumbani ndio kuzidi , tuache maneno maneno
Kidogo alitoka kwenye familia ya maisha Safi, lakni alikuwa akijtahidi kufanya kazi, Safi Sana Helen
Hongera Sana Hallen 👍 Fail and Over Rejected is the right time to reflect, refuel and refocus. I really Proud of your passionate initiative😊
One of the Best interview ever.!! Millard Ayo..!! I'm so inspired by this,makes me believe that,anything is possible once you put your mind into it. I gotta double my effort b'coz I feel so down with my life.Thank you Millard.!!
Wasichana watanzania nawatambua sana lakini huyu ako juu zaidi.....The way she talk abt her failures wengi never like to talk abt that part but that's the part that make her story and success beautiful
🙏👍👏👏👏👏👏👏👏👍Mungu akubariki hln kweny kazi zako nakukbal sana. Millard shkrn sana mkaka kwa habar tofaut tofaut God bl......,
Im Inspired- umenisaidia kutowa Woga wa kurudi Nyumbani. - lesson learned: find what you will be passionate about - it takes times to get there- set a goal - dont waste too much time doing what u dont love, don't give up pray and work hard at ur goal
Nina ndoto kama yako I want to be a veeeeery big business woman. Mungu anisaidie nitimize malengo
Yan Dada Helen, nimekupenda Bure.. Kwanza ni mwanamke Ambaye hukubali kukata tamaa na pia ni mwanamke jasiri Sana, I mean unaweza kubadilisha mind za vijana, Coz vijana wengi wanaamini kuajiriwa ni kila kitu na wakimaliza Shule hakuna kitu kingine wanafikiria zaidi ya kuajiriwa so vijana ambao wametambua wanatakiwa kuitumia vipi elimu like u, mnatakiwa kubadilisha mind za vijana na I hope Tanzania itafika mbali coz Ina a lot of resources.... Big up Dia..... Endelea kuwaamsha vijana wenzako!
am so happy I get to listen to this..... it's like hearing the Future me Jesus, I have no patience yet I want to do my own thing.... God bless you miss and millard yo the best bruh
She is so inspirational. Hongera sana my dear, Mungu akutangulie in all you do, and keep up the hard work.
Nilivyokuwa naisubiria kwa hamu hebu niandae chai mie Asante Millard
😂😂😂😂😂
this Girl comes from a rich family enough support from parents pocket despite the falls .....but wat I learnt is she doesn't give up .... keep up.
The issue of coming from a rich family i don't think kama ndio sababu i think amekuwa imara coz hakukata tamaa
hongera dada
Mnakataa nn . Support ya familia Ni msingi mzuri Sana . Amesoma marekani japo alifeli .safar za nje kila uchao. Unadhani watoto wa charambe hawana ndoto Kama hizo? Familia yake imefanya makubwa Sana behind her success . Wengi wanakwama because of poor background huo ndio ukweli
she inspired me alot.
Hongera umeshinda vikwazo vingi na pia tumejifunza vingi kutoka kwa huyu dada
Very Inspiring,Thanks Millard for bringing us such inspirations
*
li
L
Kùtombana
God bless you more & more Madame, To the all hardest things which you past, it's because always God gives his hardest battles to his strongest soldiers
But after hardest passes u must enjoy as well
Huwa nafurahi sana unaponipa ushauri in my business
God's bless with you forever sis Hellen
I'm very impressed with how your parents supported you, and have the believe in you, Few African parents can support their children like that, Secondly Its amazing how you keep clinging to your dream, many peoples tend to giving up on business they established once the face difficulties , you are "IRON LADY"
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Mashhallah mamy wengine mama zet wamefikia kuuza mpka mashamba laikn bado tu savaiv mwambie Asante mungu😭😭
A good Start. Keep it up! Hapo fanya kama upo 2% ya unachotaka fikia.
Pongezi kwake Hellen, hata hivyo wako wengi wenye ndoto na hawafanikiwi kwa umaskini. Hellen aliweza kuishi; kula kuvaa bila ajira kwa msaada wa wazazi. wengine ndoto zinapotea kwa kukosa pa kushika na kulazimika kufanya chochote au lolote ili maisha yaende.
Hiyo sio kigezo cha kushindwa kufikia ndoto zako, too much excuse
true sana umeongea fact mno.
tuache visingizio. tuchape kazi bila hofu. tutafanikiwa tu. wapo vijana wengi wenye support kama Helen lakini hawafanyi chochote.
wako watu wengi sana ambao hawakuwa na support kama ya Hellen lakini wamepata mafanikio makubwa kuliko Hellen. tuwe na mawazo chanya. tumia ulivyo navyo. acha kulilia usivyo navyo.
Nimependa sana story fupi na tamu sana kutoka kwa Hellen. walau ntajaribu kumtafuta niweze kupata ujuzi zaidi.
congratulations hellen
Thank you lady, you have inspired me a lot, mm Nina miaka 23 tu lakini nilikua nahisi ni too late kufika kule nataka.
Nimejifunza kutokukata tamaa, kuzidisha juhudi katika ubunifu na utafutaji wa nini nifanye katika maisha nimependa sana hii interview
millard kama kuna kipande ulikiacha basi tupia hapa tuendelee kupata elim ya Hallen kwakweli
I have been so moved with the tell. Inspiring; True beyond doubt lies the truth of life. Sababu nyingi kuto-give up, at all.
G
This is so inspirational,Conguratulation Hellen, for sure God is able .
You are such an inspiration Helen,may God keep on blessing you more and more.
Tanzania needs ladies like you. much appreciation lady
Furahini Michael am the next
Wise word n interview, watching 2024 june9
nimeipenda Sana hii... asante Sana
story za rich kids pia ziko touchy
Miradi uzuli wa huyo dada kwao wako vizuri kupewa mtaji wa dora 6000 si kitu kidogo.Lakini nimpongeze kwa kuonyesha juhudi za kutafuta bila ya kukata tamaa,naamini kabisa kuwa atafikia malengo na fundisho kwa dada zetu walioko vyuo wanaotegemea kuajiliwa na serikali.
Helen I am inspired with your commitent no matter how hard it got!!!! entrepreneurial minded. lack of resources couldn't determine reachness to yourmdestiny. big up
Wow we have the same birthday 😘😘and having the same dream,same combination 💃
Wow, an interesting narrative. An inspiration!
Hellen was my next door neighbour in Nairobi, Safari Park.
USIU
I love you girl!!.... You motivate me.
kutombs
Duuh babake ni jiran yngu hapa Marangu Kilimanjaro 😎😎😎
huyu dada she is too passion to enter in business without to lose hope but unfortunately she was inspired me alot because she was pass in different stages of challenges when she begin her business.
True true
wazanzibari wameshakurithisha "enheee" 😁😊
I have noticed that it is the first word ambao most people get common with unconsciously... enheee 😀
came back again after a year, inspired even more! Hellen Thank you 💚
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌
Appreciated. Zanzibar hakuna matata!
Safi sana kila kitu nikupambana na kumtegemea Allah utafanikiwa bila kusahau kutumia mtandao wa kijamii kwa ufasaha
The best University ever, United state university in Kenya, all the best Hellen Dausen- You will make it as you expected
Mr countdown the hii haina part2, nice sister umeni changanua akili, Mashallah
Hongera sana dadangu 👏👏🤝😘😘💕💕🙏🏾
yan story yako ni kama maisha yetu halis jins tunavohangaika sema we angalau ulikua una sapport ya hela
- very impressive. Veery impressive....
Ooh jamani,what an inspiring story!Mungu azidi kukulinda.Thanks for inspiring me too!
Hongera sana pia kupata option ya zbr kumbe dar mazishi sana bandari umesaidia sana kujua hili
Kama unaangalia hii 2021 gonga like
So inspiring though she is from an Affluent family.
Duuuuuh!hongera sana na pia tumezaliwa siku moja
Hongera Helen, ni vizuri ufungue darasa usaidie wengine pia kupata utalaam wako. Vipi nitapataje bidhaa zako? Kwa Dar unauzia wapi na jina la bidhaa yako ni lipi?
Nimefurahi sana kwa hii story aisee
vizuri sana Helen mungu atakusaidia I pray for u go helen
She is so positive, Her dream will become a reality, sema Billionare sijaelewa in dollars au in tz shillings.
billionaire ni billionaire it doesn't matter.
hongera sana dada
hongera ... Mungu akufanikishe zaidi
Wa Zanzibar hawana ukiritimba kama Bara. Dada unastahili pongezi
Zanzibar ni nchi kwa kweli
😟😟haya haya Watanzania fanyeni mrudi nyumbani haraka fursa zipo nyiiingi sana ouwkeyyy💃💃💃💃💃
thanx
Yani we acha tu, tatizo Education nayo ziro mamy.
+Saumu Salimu Hassan 😂😂😂miaka hii usiseme tatizo slimy,
elimu ukiihitaji ipo hata km una miaka 70 ni ww tuu na ndoto zako usijaribu kujiona ww si kitu na hutaweza fanya kitu.jiulize Joyce kiria alikua nani na leo yuko wapi na anafanya nini💪💪💪
+Mwanahamisi Hella kweli lakini
Mwanahamisi Hella 😂😂
yes i now know that everything is possible and yes i can also.
dak 24:50 Raum ya mwaka 2017 interview ya mwaka 2016, ehh aya twende
Nimekupenda Helen
Naomba naomba za dada Helen
She is doing great, keep it up.
much congrats Hellen,keep doing your best..we are together
Umeni incourage saana.... Na ninafanania mapito nawewe. Japo sijatoboa ila na hustle ntakufikia
hongera Dada umepambana mno
I believe that,neither science subjects nor arts subjects,success of a person is flowing or planned by Allah.
congratulations keep it up
I like hellen wow
Tanzania ni moja ya nchi ngumu sana kwa mtu wa kawaida kufaulu. Natumaini mambo yatabadilika kwa ujio wa Maghufuli, lakini huko tulikotoka, kila unachofanya watu wanataka rushwa tu. Hawajali kabisa maslahi ya mtu ala taifa. Hao maafisa aliowataja huyu bibie waliotaka kumkwamisha wakamatwe na wasailiwe. Pia kutolewe tamko rasmi la rais kuwa yeyote atakayemkwamisha mtu anayeanza ujasiriamalia akishtakiwa atakiona. Pumf
Hongera mwaya
Milladi Ayo yuko vizuri sana kwa mahojiano
Great interview
ana toa mwangaza kwa waliokata tamaa,
kutokea familia tajiri au maskin haina nafasi na mafanikio yako,bidii,Mungu na kuchangamkia fursa, ndio kila kitu
very nice dada
Daah nakukubali Sana Home Boy milard ayo
huyu dada ame tokelezea bila ya kuvaa wigi au mkia wa farasi
Yuko vizur
😁😁😁
Excellent mrembo wangu Hell
Impressive....
Hongera
you have Big wish
mwenye nacho atazidishiwa hilo ndio somo wale kajamba nani huko tutaonaga tuu.
Kitu kimenivutia sana kuhusu huyu siste ni kwamba licha ya changamoto zote hizo hakukubali kujiangusha chini! kama mademu wengi wafanyavyo kwa sasa. Laiti ningepata nafasi nikamtembelea akanipa maujanja,nikapotezea muda mwingi wa kukimbizana na kutuma macv.Tanzania ya leo kila mtu anadegree lakini hazina tija kwa aliyesoma.
uko vizuri dear
tupo pamoja watz wenzangu
Umetoa somo zuri Sana kwangu