Dakika 30 za Mtanzania Hallen aliyetajwa FORBES kuwa Bilionea ajae

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Jina lake ni Hellen Dausen na umri wake ni miaka 29 ( November 1986) ni Mrembo ambaye aliipiga chini ndoto yake aliyokaa nayo miaka kumi bila kumfanikisha lakini akaingia kwenye mbio za Ubilionea na kitu kingine kabisa maishani mwake.
    Unaambiwa Jarida la FORBES ambalo limekua na nguvu duniani na kutoa ripoti mbalimbali zikiwemo za uchumi na watu na utajiri wao, lilikua na list ya idadi ya vijana takribani elfu mbili lakini Hellen akaibuka miongoni mwa vijana 30 wa Afrika wenye fikra na mikakati ambayo ni utajiri wa siku chache zijazo.

Комментарии • 362

  • @amonamos7188
    @amonamos7188 5 лет назад +10

    Wadada mnaweza kufanikiwa bila kutembea uchi, kuvaa vimini, kujikwangua mwili kwa vipodozi, kuda.......n..ga, na vitabia vya ovyo tunavyovishuhudia kwenu.
    Chukua hatua, rudi muulize Mungu, utafanikiwa sana/ Tanzania itafanikiwa na utang`ara

  • @teddysamuel2534
    @teddysamuel2534 6 лет назад +2

    hongera hellen!! alafu anakimwil kizur huewez amn kama ana miaka 29,,, ingekua msanii wa kibongo Apa angekwambia ana miaka 21au 22,,,hongera sana,,,yan hellen she looks like 20 yrs old...love u hellen.

  • @neemammbaga9093
    @neemammbaga9093 7 лет назад +20

    kaka milard nimefurah sana kwa interview ya Hellen coz i learn smth from her about entrepreneurship.....Hellen alikuwa anamuamini Mungu sana na alikuwa na opportunity ambayo aliitumia vizuri maana alikuwa na support from her family and their life iko powa,,,,am mi naamini hata kama auko kwenye gud life but u fight for ur dream/VISION huku ukimshirikisha Mungu.MUNGU ataiona bidii yako and utapata wa kuku support so tusikate tamaa.....Hellen i love ur confidence and ur a good example kwa sisi wadogo zako.....may God be with naamini tayar umefikia lengo na utazidi kufanya zaidi ya hapo .......... danx so much.....I WLL BE DA NEXT(YBW)MEANS Young Billioner Woman

  • @luhigoemmanuel8720
    @luhigoemmanuel8720 6 лет назад +2

    Hongera Sana Dada Hellen unajitaid kutoa lugha ya kiswahili vizur tofaut na vidada ambavyo havina elimu yeyote vinajifanya havijui kiswahili fasaha

  • @theworldeventstv
    @theworldeventstv 6 лет назад +1

    umenifunza kitu kizuri leo dada welldone and i wish kuonana ili unifunze vitu vingi vya kimafaniko congatulations to u madam, TZ youth stand up.

  • @paulinauisso7602
    @paulinauisso7602 8 лет назад +6

    good hellen...nw nmelewa kua ukitaka kua na kitu chako lazma u hustle sana...ths kind of story happened to me..nw u inspired me i'll never give up.

  • @shafesshafes
    @shafesshafes 8 лет назад +7

    Hakika simjui mtangazqji lakini nimefurahia Sana mahojiano yake na Hallen. Am very proud of Hallen struggle. Nipo Califonia. USA. Lakini nasema hong era Sana Hallen. Unajizungumzia unwell halisi na hi yo ni changamoto kwetu some tuliopo hapa marekani. Ningependa sana kupata contact Nayeli if possible.

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 8 лет назад +23

    Baba yako Ni Gentle Man. Nimependa sana Urafiki wenu. I wish namimi nimlee Binti yangu kama Baba yako. Nimsikilize anapendq nini na nimuwezeshe. Pia nimejikuta nimetamani kuwa mteja wa Product zako katika familia yangu. Talitafuta hilo Duka ulilotaja. Mungu awe nawe Daima na Pole sana kwa Changamoto za Vibali

  • @salimusuleimani7798
    @salimusuleimani7798 8 лет назад +16

    support km hizo vijana wengi wanazikosa kutoka kwa wazazi maana wazazi wetu akishakusomesha huko kwengine utajua mwenyewe.

  • @hamismamba7668
    @hamismamba7668 5 лет назад +1

    Hongera dada kwa kujidaia lugha yako ya Kiswahili mana kwa level yako ya kielimu ungekua na utamaduni wa kitumwa hapa ungekua unaongea KISWA-ENGLISH mana interview yako 99% umetumia lugha yako mama hongera sana!Hongera nyingine kwako ni kujifaia uafrika wako kwa mwonekano wako kama mwanamke wa kiafrika kila kitu upo natural HONGERA KUBWA!

  • @chezatv9457
    @chezatv9457 8 лет назад +16

    duh kwanza BIG UP kukataa kuajiliwa thats good thinking, ku hustle wakati una sura nzuri + we ni miss sio kitu nilitegemea kutoka kwa ma sister wakibongo they will choose kuuza sura na kiki za kishamba town,kuuza gari yako kwaajili ya bizness ambayo hukuwa hata na uhakika itakutoa duuh we ni MWANAMKE JASIRI i will never do that ingawa ka gari kangu ni corolla mmmh no no kwa biashara ambayo sina huakika nisingeweza kabisaa.... kuhusu jamaa wa aliye kutapeli bandarini never mind msamehe coz bila yeye husingeamia zanzbar na wala hii story isinge kuwepo......... all in all nimepata kitu kutoka kwako wish ntakitumia kufikia mafanikio...... ASANTE SANAAA

  • @zenith8798
    @zenith8798 6 лет назад +2

    Well done your resilience is second to none.Mungu akubariki sana kwa kila unachofanya.You are a very thoughtful young lady and you never gave up.Hongera!

  • @alexanderntonge7519
    @alexanderntonge7519 8 лет назад +34

    hapo pasingekuwepo #team wa kishua# hayo mambo yasingeweZekana

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme 5 лет назад

      Yasingewezekana kabisa na tena hapo nyumbani ndio kuzidi , tuache maneno maneno

  • @officialnuh7217
    @officialnuh7217 6 лет назад +3

    Kidogo alitoka kwenye familia ya maisha Safi, lakni alikuwa akijtahidi kufanya kazi, Safi Sana Helen

  • @mohamedabdallah9567
    @mohamedabdallah9567 6 лет назад +2

    Hongera Sana Hallen 👍 Fail and Over Rejected is the right time to reflect, refuel and refocus. I really Proud of your passionate initiative😊

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 8 лет назад +3

    One of the Best interview ever.!! Millard Ayo..!! I'm so inspired by this,makes me believe that,anything is possible once you put your mind into it. I gotta double my effort b'coz I feel so down with my life.Thank you Millard.!!

  • @grashakibb6778
    @grashakibb6778 5 лет назад +3

    Wasichana watanzania nawatambua sana lakini huyu ako juu zaidi.....The way she talk abt her failures wengi never like to talk abt that part but that's the part that make her story and success beautiful

  • @salimatuyahhaya5772
    @salimatuyahhaya5772 8 лет назад +3

    🙏👍👏👏👏👏👏👏👏👍Mungu akubariki hln kweny kazi zako nakukbal sana. Millard shkrn sana mkaka kwa habar tofaut tofaut God bl......,

  • @MrSijuiboy
    @MrSijuiboy 8 лет назад +6

    Im Inspired- umenisaidia kutowa Woga wa kurudi Nyumbani. - lesson learned: find what you will be passionate about - it takes times to get there- set a goal - dont waste too much time doing what u dont love, don't give up pray and work hard at ur goal

    • @jackkangero6418
      @jackkangero6418 6 лет назад

      Nina ndoto kama yako I want to be a veeeeery big business woman. Mungu anisaidie nitimize malengo

  • @witnessmallya5114
    @witnessmallya5114 6 лет назад +2

    Yan Dada Helen, nimekupenda Bure.. Kwanza ni mwanamke Ambaye hukubali kukata tamaa na pia ni mwanamke jasiri Sana, I mean unaweza kubadilisha mind za vijana, Coz vijana wengi wanaamini kuajiriwa ni kila kitu na wakimaliza Shule hakuna kitu kingine wanafikiria zaidi ya kuajiriwa so vijana ambao wametambua wanatakiwa kuitumia vipi elimu like u, mnatakiwa kubadilisha mind za vijana na I hope Tanzania itafika mbali coz Ina a lot of resources.... Big up Dia..... Endelea kuwaamsha vijana wenzako!

  • @ritaabduel4368
    @ritaabduel4368 8 лет назад +2

    am so happy I get to listen to this..... it's like hearing the Future me Jesus, I have no patience yet I want to do my own thing.... God bless you miss and millard yo the best bruh

  • @khwanslay
    @khwanslay 8 лет назад +2

    She is so inspirational. Hongera sana my dear, Mungu akutangulie in all you do, and keep up the hard work.

  • @rukiahussein9737
    @rukiahussein9737 8 лет назад +11

    Nilivyokuwa naisubiria kwa hamu hebu niandae chai mie Asante Millard

  • @kinubiking2873
    @kinubiking2873 8 лет назад +41

    this Girl comes from a rich family enough support from parents pocket despite the falls .....but wat I learnt is she doesn't give up .... keep up.

    • @georgelyimo1632
      @georgelyimo1632 6 лет назад

      The issue of coming from a rich family i don't think kama ndio sababu i think amekuwa imara coz hakukata tamaa

    • @neemajuma2205
      @neemajuma2205 6 лет назад

      hongera dada

    • @ahmadnassor7375
      @ahmadnassor7375 5 лет назад +2

      Mnakataa nn . Support ya familia Ni msingi mzuri Sana . Amesoma marekani japo alifeli .safar za nje kila uchao. Unadhani watoto wa charambe hawana ndoto Kama hizo? Familia yake imefanya makubwa Sana behind her success . Wengi wanakwama because of poor background huo ndio ukweli

  • @hoodnegro1
    @hoodnegro1 7 лет назад +9

    she inspired me alot.

  • @sitymohd3818
    @sitymohd3818 7 лет назад +3

    Hongera umeshinda vikwazo vingi na pia tumejifunza vingi kutoka kwa huyu dada

  • @japhetmashauri2615
    @japhetmashauri2615 8 лет назад +6

    Very Inspiring,Thanks Millard for bringing us such inspirations

  • @yuliimaige548
    @yuliimaige548 8 лет назад +7

    God bless you more & more Madame, To the all hardest things which you past, it's because always God gives his hardest battles to his strongest soldiers
    But after hardest passes u must enjoy as well
    Huwa nafurahi sana unaponipa ushauri in my business
    God's bless with you forever sis Hellen

  • @dauditheking1312
    @dauditheking1312 8 лет назад +12

    I'm very impressed with how your parents supported you, and have the believe in you, Few African parents can support their children like that, Secondly Its amazing how you keep clinging to your dream, many peoples tend to giving up on business they established once the face difficulties , you are "IRON LADY"

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @zawadihaji4844
    @zawadihaji4844 5 лет назад +1

    Mashhallah mamy wengine mama zet wamefikia kuuza mpka mashamba laikn bado tu savaiv mwambie Asante mungu😭😭

  • @daudimkwela
    @daudimkwela 8 лет назад +3

    A good Start. Keep it up! Hapo fanya kama upo 2% ya unachotaka fikia.

  • @clt9914
    @clt9914 8 лет назад +48

    Pongezi kwake Hellen, hata hivyo wako wengi wenye ndoto na hawafanikiwi kwa umaskini. Hellen aliweza kuishi; kula kuvaa bila ajira kwa msaada wa wazazi. wengine ndoto zinapotea kwa kukosa pa kushika na kulazimika kufanya chochote au lolote ili maisha yaende.

    • @beautyflora8416
      @beautyflora8416 5 лет назад +1

      Hiyo sio kigezo cha kushindwa kufikia ndoto zako, too much excuse

    • @dextech2023
      @dextech2023 5 лет назад +1

      true sana umeongea fact mno.

    • @shau78
      @shau78 5 лет назад +3

      tuache visingizio. tuchape kazi bila hofu. tutafanikiwa tu. wapo vijana wengi wenye support kama Helen lakini hawafanyi chochote.
      wako watu wengi sana ambao hawakuwa na support kama ya Hellen lakini wamepata mafanikio makubwa kuliko Hellen. tuwe na mawazo chanya. tumia ulivyo navyo. acha kulilia usivyo navyo.

  • @othuonjohnbrighton532
    @othuonjohnbrighton532 8 лет назад +2

    Nimependa sana story fupi na tamu sana kutoka kwa Hellen. walau ntajaribu kumtafuta niweze kupata ujuzi zaidi.

  • @furahinimichael5034
    @furahinimichael5034 6 лет назад

    Thank you lady, you have inspired me a lot, mm Nina miaka 23 tu lakini nilikua nahisi ni too late kufika kule nataka.

  • @lusekelodaison8159
    @lusekelodaison8159 5 лет назад +1

    Nimejifunza kutokukata tamaa, kuzidisha juhudi katika ubunifu na utafutaji wa nini nifanye katika maisha nimependa sana hii interview
    millard kama kuna kipande ulikiacha basi tupia hapa tuendelee kupata elim ya Hallen kwakweli

  • @bernardmasambaji466
    @bernardmasambaji466 8 лет назад +5

    I have been so moved with the tell. Inspiring; True beyond doubt lies the truth of life. Sababu nyingi kuto-give up, at all.

  • @edwardnatharyblessed7067
    @edwardnatharyblessed7067 5 лет назад

    This is so inspirational,Conguratulation Hellen, for sure God is able .

  • @kelvinkalume4963
    @kelvinkalume4963 8 лет назад

    You are such an inspiration Helen,may God keep on blessing you more and more.

  • @furahinimichael5034
    @furahinimichael5034 7 лет назад +3

    Tanzania needs ladies like you. much appreciation lady

  • @fatumaomary6945
    @fatumaomary6945 3 месяца назад

    Wise word n interview, watching 2024 june9

  • @deborameshack4274
    @deborameshack4274 6 лет назад +1

    nimeipenda Sana hii... asante Sana

  • @mjtv3887
    @mjtv3887 7 лет назад +20

    story za rich kids pia ziko touchy

  •  8 лет назад +1

    Miradi uzuli wa huyo dada kwao wako vizuri kupewa mtaji wa dora 6000 si kitu kidogo.Lakini nimpongeze kwa kuonyesha juhudi za kutafuta bila ya kukata tamaa,naamini kabisa kuwa atafikia malengo na fundisho kwa dada zetu walioko vyuo wanaotegemea kuajiliwa na serikali.

  • @gospelthusiast
    @gospelthusiast 6 лет назад

    Helen I am inspired with your commitent no matter how hard it got!!!! entrepreneurial minded. lack of resources couldn't determine reachness to yourmdestiny. big up

  • @hanifamadenge2337
    @hanifamadenge2337 5 лет назад +3

    Wow we have the same birthday 😘😘and having the same dream,same combination 💃

  • @Agembo
    @Agembo 5 лет назад +1

    Wow, an interesting narrative. An inspiration!

  • @blasiosefu3605
    @blasiosefu3605 8 лет назад +38

    Hellen was my next door neighbour in Nairobi, Safari Park.

    • @Gikash
      @Gikash 6 лет назад +1

      USIU

  • @linnetmbotto7212
    @linnetmbotto7212 8 лет назад +6

    I love you girl!!.... You motivate me.

  • @walterngowi5835
    @walterngowi5835 2 года назад +1

    Duuh babake ni jiran yngu hapa Marangu Kilimanjaro 😎😎😎

  • @gilbertrauya3159
    @gilbertrauya3159 8 лет назад +5

    huyu dada she is too passion to enter in business without to lose hope but unfortunately she was inspired me alot because she was pass in different stages of challenges when she begin her business.

  • @nadyarashid
    @nadyarashid 7 лет назад +2

    wazanzibari wameshakurithisha "enheee" 😁😊
    I have noticed that it is the first word ambao most people get common with unconsciously... enheee 😀

  • @mumuhassan1166
    @mumuhassan1166 7 лет назад +11

    came back again after a year, inspired even more! Hellen Thank you 💚

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

    • @patienternelweso
      @patienternelweso Год назад

      ⛔⛔🚫🚫🚫🚭🚭⁉⁉⁉⁉❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥📛📛📛📛❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❗❗❗❗❗❗❗🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌

  • @noorbazaar9063
    @noorbazaar9063 Год назад

    Appreciated. Zanzibar hakuna matata!

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 6 лет назад

    Safi sana kila kitu nikupambana na kumtegemea Allah utafanikiwa bila kusahau kutumia mtandao wa kijamii kwa ufasaha

  • @pascalntunda7469
    @pascalntunda7469 5 лет назад

    The best University ever, United state university in Kenya, all the best Hellen Dausen- You will make it as you expected

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +4

    Mr countdown the hii haina part2, nice sister umeni changanua akili, Mashallah

  • @twilaisaac7118
    @twilaisaac7118 6 лет назад

    Hongera sana dadangu 👏👏🤝😘😘💕💕🙏🏾

  • @ashasaid3828
    @ashasaid3828 6 лет назад +6

    yan story yako ni kama maisha yetu halis jins tunavohangaika sema we angalau ulikua una sapport ya hela

  • @danieliskander9680
    @danieliskander9680 7 лет назад +1

    - very impressive. Veery impressive....

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 8 лет назад

    Ooh jamani,what an inspiring story!Mungu azidi kukulinda.Thanks for inspiring me too!

  • @daudinyaruhucha6200
    @daudinyaruhucha6200 3 года назад

    Hongera sana pia kupata option ya zbr kumbe dar mazishi sana bandari umesaidia sana kujua hili

  • @jamesmushi7492
    @jamesmushi7492 3 года назад +1

    Kama unaangalia hii 2021 gonga like

  • @donaldmwangasa852
    @donaldmwangasa852 7 лет назад +3

    So inspiring though she is from an Affluent family.

  • @robertbudodi
    @robertbudodi 5 лет назад

    Duuuuuh!hongera sana na pia tumezaliwa siku moja

  • @nsiamassawe3075
    @nsiamassawe3075 5 лет назад +1

    Hongera Helen, ni vizuri ufungue darasa usaidie wengine pia kupata utalaam wako. Vipi nitapataje bidhaa zako? Kwa Dar unauzia wapi na jina la bidhaa yako ni lipi?

  • @SalwaSalim-z7o
    @SalwaSalim-z7o 6 месяцев назад

    Nimefurahi sana kwa hii story aisee

  • @elizabethbalele6544
    @elizabethbalele6544 8 лет назад

    vizuri sana Helen mungu atakusaidia I pray for u go helen

  • @aloycemkwizu8697
    @aloycemkwizu8697 6 лет назад +3

    She is so positive, Her dream will become a reality, sema Billionare sijaelewa in dollars au in tz shillings.

  • @nelibaba
    @nelibaba 7 лет назад +3

    hongera sana dada

  • @lightnessmori6485
    @lightnessmori6485 7 лет назад +3

    hongera ... Mungu akufanikishe zaidi

  • @samsamyoo3689
    @samsamyoo3689 8 лет назад +10

    Wa Zanzibar hawana ukiritimba kama Bara. Dada unastahili pongezi

  • @angellamwanri8414
    @angellamwanri8414 7 лет назад +4

    Zanzibar ni nchi kwa kweli

  • @mwanahella9650
    @mwanahella9650 8 лет назад +9

    😟😟haya haya Watanzania fanyeni mrudi nyumbani haraka fursa zipo nyiiingi sana ouwkeyyy💃💃💃💃💃

    • @aliali189
      @aliali189 8 лет назад +1

      thanx

    • @saumusalimuhassan3041
      @saumusalimuhassan3041 8 лет назад +1

      Yani we acha tu, tatizo Education nayo ziro mamy.

    • @mwanahella9650
      @mwanahella9650 8 лет назад +3

      +Saumu Salimu Hassan 😂😂😂miaka hii usiseme tatizo slimy,
      elimu ukiihitaji ipo hata km una miaka 70 ni ww tuu na ndoto zako usijaribu kujiona ww si kitu na hutaweza fanya kitu.jiulize Joyce kiria alikua nani na leo yuko wapi na anafanya nini💪💪💪

    • @saumusalimuhassan3041
      @saumusalimuhassan3041 8 лет назад

      +Mwanahamisi Hella kweli lakini

    • @AnitaBekka
      @AnitaBekka 7 лет назад +1

      Mwanahamisi Hella 😂😂

  • @evanswilliam3459
    @evanswilliam3459 8 лет назад +3

    yes i now know that everything is possible and yes i can also.

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 4 года назад +1

    dak 24:50 Raum ya mwaka 2017 interview ya mwaka 2016, ehh aya twende

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 5 лет назад +1

    Nimekupenda Helen

  • @EsterKimambo
    @EsterKimambo 4 месяца назад

    Naomba naomba za dada Helen

  • @petermkandamoshy4939
    @petermkandamoshy4939 8 лет назад +1

    She is doing great, keep it up.

  • @beatricemakundi5312
    @beatricemakundi5312 6 лет назад

    much congrats Hellen,keep doing your best..we are together

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 6 лет назад +3

    Umeni incourage saana.... Na ninafanania mapito nawewe. Japo sijatoboa ila na hustle ntakufikia

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 6 лет назад +1

    hongera Dada umepambana mno

    • @dullykaka8615
      @dullykaka8615 6 лет назад

      I believe that,neither science subjects nor arts subjects,success of a person is flowing or planned by Allah.

  • @joelnassari105
    @joelnassari105 7 лет назад +1

    congratulations keep it up

  • @husseinabdulrahman3602
    @husseinabdulrahman3602 3 месяца назад

    I like hellen wow

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 8 лет назад +6

    Tanzania ni moja ya nchi ngumu sana kwa mtu wa kawaida kufaulu. Natumaini mambo yatabadilika kwa ujio wa Maghufuli, lakini huko tulikotoka, kila unachofanya watu wanataka rushwa tu. Hawajali kabisa maslahi ya mtu ala taifa. Hao maafisa aliowataja huyu bibie waliotaka kumkwamisha wakamatwe na wasailiwe. Pia kutolewe tamko rasmi la rais kuwa yeyote atakayemkwamisha mtu anayeanza ujasiriamalia akishtakiwa atakiona. Pumf

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere5160 3 года назад

    Hongera mwaya

  • @OmbeniLuka
    @OmbeniLuka 6 месяцев назад

    Milladi Ayo yuko vizuri sana kwa mahojiano

  • @blackmwenga3787
    @blackmwenga3787 11 месяцев назад

    Great interview

  • @alphoncekagoshi1754
    @alphoncekagoshi1754 7 лет назад +2

    ana toa mwangaza kwa waliokata tamaa,
    kutokea familia tajiri au maskin haina nafasi na mafanikio yako,bidii,Mungu na kuchangamkia fursa, ndio kila kitu

  • @victorngaile1097
    @victorngaile1097 6 лет назад

    very nice dada

  • @tysonwillson568
    @tysonwillson568 7 лет назад +2

    Daah nakukubali Sana Home Boy milard ayo

  • @oyay2821
    @oyay2821 8 лет назад +47

    huyu dada ame tokelezea bila ya kuvaa wigi au mkia wa farasi

  • @denicejonhson7215
    @denicejonhson7215 6 лет назад

    Excellent mrembo wangu Hell

  • @williamtech8210
    @williamtech8210 Год назад

    Impressive....

  • @innocentlongino5664
    @innocentlongino5664 Год назад

    Hongera

  • @atigonaugustino4581
    @atigonaugustino4581 7 лет назад +4

    you have Big wish

  • @dicksonmauki3604
    @dicksonmauki3604 7 лет назад +17

    mwenye nacho atazidishiwa hilo ndio somo wale kajamba nani huko tutaonaga tuu.

  • @deongalo2034
    @deongalo2034 8 лет назад +3

    Kitu kimenivutia sana kuhusu huyu siste ni kwamba licha ya changamoto zote hizo hakukubali kujiangusha chini! kama mademu wengi wafanyavyo kwa sasa. Laiti ningepata nafasi nikamtembelea akanipa maujanja,nikapotezea muda mwingi wa kukimbizana na kutuma macv.Tanzania ya leo kila mtu anadegree lakini hazina tija kwa aliyesoma.

  • @saimontaganyamgeta6276
    @saimontaganyamgeta6276 8 лет назад

    uko vizuri dear

  • @petermashimi7111
    @petermashimi7111 8 лет назад +5

    tupo pamoja watz wenzangu

  • @fulgancenjau4735
    @fulgancenjau4735 5 лет назад

    Umetoa somo zuri Sana kwangu