Mheshimiwa Bwana Mohammed Said Ongera sana. MwenyeziMungu anazo sababu za kukuweka hai mpaka leo kwa hakika tunamshukuru. Kama siyo kitabu chako hii Leo tungedanganywa sana kuhusu historia ya kweli kuhusu tanganyika na sasa tanzania.wote wanaopotosha historia hii adhim ukweli wanaujua ! Familia ya Mheshimiwa Bwana Abdulwahid Sykes ndiyo kinara wa mapambano ya kupigania uhuru wa tanganyika huo ndiyo ukweli wapende wasipende ukweli huo haufutiki. Siku zote uongo hauna mrefu na wazee walisema (Ukweli ukidhihiri uongo ujitenga ) Kwa hiyo Bwana Mohammed Said tuanakupongeza sana kwa kutuandikia historia ya kweli. Aksante sana. Na kingine wanachosahau wapotoshaji nikwamba WAJUKUU WA WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA BADO WAPO. SHUKRAN.
Ila waislamu Mungu awasamehe, huyu video zake ni kumbukumbu tosha, ayo anayoropoka ipo siku atawaliza wajukuu zake. Tanzania udini asahau, labda ahamie uarabuni kwa wakoloni wake.
Barikiwa mzee Mohammed Niko upande wako historia ya nchi yako haitakusahau na ukweli siku zote haupotei 😂😂 na mdundo uliouweka ndo unaniliza mzalendo 😂😂
Historia ni sawa lakini udini unatoka wapi? Kama yanga haikuhusika si aseme tu, sasa kulalamikia kuwa uislamu hautajwi kwani ukristo umetajwa wapi kuwa ndio umehusika?
@@comsmkemwa2671Sio uislam kutajwa au ukristo, kuna ubaguzi ktk dini za watu baada ya uhuru,huo ndo ukweli watu walio saidia uhuru wengi walikua ni Islam na baada ya uhuru walisahaulika nahata kutajwa hawa kutajwa,polepole wakasahauluka, kuandika historia huyu bwana amewatoa wengi gizani,historia zimebadilishwa kwa nia Ovu
Ukipenda kusikia unachotaka huwezi kuchoka kamwe, iwe kweli au isiwe kweli Cha msingi masikio yako ndio yanachokitaka. Tusiopenda kusikia udini anatuchosha Ile mbayaa....
Nyerere alikuwa na Maono ya taifa la Tanzania likae pamoja Bila Udini Bila ukabila, watu waishi kwa umoja na upendo ila wewe maono yako ni waislamu tuh..... Akili ndogo sanaa
Ni kweli kabisa. Nimewasikiliza Mashehe wengi wakisimulia historia ya nchi hii wanakuwa wanalenga maono ya uislamu tuu. Ndo maana hata historia wanazotoa zinakuwa zinaegemea upande mmoja
Mohamed yuko sawa shida iubwa waliondika historia ya uhuru wanamuonyesha Mwal Peke yake,haya ni makosa makubwa sana,hakuwa peke yake na pia ina onyesha uelewa mdogo sana
Baadhi ya mikutano ya kudai uhuru ilifanyika misikitini. Historia inaonesha msikiti wa ahmadiyya uliopo mnazi mmoja ni moja ya misikiti iliyotumika chini ya uongozi wa sheikh mubaraka ahmad amabye alikuwa ni miongoni mwa washauri wa namna ya kupata uhuru. Pia nyumba ya marehemu sheikh amri abeid kaluta ilitumika zikiwemo na kina abdul sykes na wengine Na hata jina la tanzania lilitokana na mashindano ambapo muislam mmoja wa ki asia wa ahmadiyya alishinda na jina alilopendekeza Tanzania likapita. Hofu imewatawala kiasi cha kupotosha hata ya kidunia. Nchi ilikaliwa na kanisa isingekuwa rahisi kuupata uhuru na lazima kuunda mbinu nje ya kanisa na ikumbukwe uislamu ndio pekee unaofundisha uhuru na namna ya kuuishi. Viva islam
Hehehe nyie watu mnanongwa na chuki na kanisa ....siku zote kokote kuna mmoja anakuwa kichwa inawauma Sana kuhusu Nyerere, popote pale duniani awe revolutionary awe politician, awe Nani sijuwi kuna mmoja atashini zaidi ya wengine inakuwaga hivyo, Uhuru watu wengi waliupighania ila hii ni Tanzania sio Macca
@@nasseralhatmi1762Na Uislam ndio Dini pekee iliyojaa washika Dini safi waliojaa matusi na maneno ya kashfa midomoni dhidi ya binadamu wengine - Inaitwa Dini ya haki - VERY FUNNY😅
@@wadeelegbogun3015 ukweli haujifichi katu mutaumia sana baada ya kuona ukweli unazungumzwa, Nyerere ameficha mambo mengi, ameua sana waliompinga, na adui mkubwa wa waislam.
@@wadeelegbogun3015JIULIZE KUNA CHAMA KINACHOENDESHWA NA MTU MMOJA?! YANI MTU HUYO HANA NAIBU WALA KATIBU, MWEKAHAZINA NA KADHALIKA?!HAWA WOTE WAMEPIGWA BOMU AU VIPI NDIYO MAANA MAJINA YAO HAYAONEKANI KTK HISTORIA NA JINA LINALOONEKANA LA ALIYEILETEA TANGANYIKA UHURU NI JINA MOJA TU?! JIONGEZE BABA ACHA USHABIKI 😂😂😂
@@wadeelegbogun3015huo ndo ukweli,hata leo serikalini wanaamua wenyewe kujiendesha bila kuwashirikisha raia,na habari nyingi ndani zinabadilishwa na raia hawajui kitu
Tatizo kubwa la uislam ni sheria zao na misimamo yao huwezi kuwapeleka kama nguruwe.mbona tunaona na tunasikia wenzetu wa kwajina la baba wameambiwa ruksa kuoana wanaume kwa wanaume na wana manabii na mitume sasa kwa muislam upuuzi huo hakuna watu wanafuata mungu anavyotaka sio shetani anavyotaka kwahyo kwa haraka tu shetani ndio anaepinga uislam duniani sio tz na kwa uwezo wa allah inshallah tutakua juuu
Ukitaka kujuwa Nyerere alikuwa kichwa we tafuta wapighania Uhuru wa mataifa ya Africa uone big role ya huyu jamaaa Nyerere. The guy was brilliant mkubali tuh kwa hilo aliwazidi maarifa watanzania wengi sanaa .. Pia tunakubali watu wengi walimsaidia au walijihusisha na harakati za uhuru wa Tanzania....Ila hii ni Tanzania sio Macca, Tanzania ni inchi ambayo ina watu wenye dini mbali mbali na makabila mbalimbali acheni kupotosha na kupandikiza shuki
Mzee Mohamed smhn sana mengi umeyazungumza na ni ukweli ulofichwa mpk leo hii bado tunaona mwl Nyerere ndiye aliyeanzisha Tanu na kila kitu ni yeye tu. Kwa maana hiyo pia inaonesha wazi hata umoja wa Tanganyika bila kujali kabila na ukabila na utumiaji wa lugha ya kiswahili ulikuwepo na si mwl Nyerere aliwaunganisha
Mwalimu nyerere anastahiki kuoewa heshima yake kwa sababu pamoja na kwamba alishikwa mkono na wazee wa kiisilamu lakini nae jitihada yake imesaidia kwa kisai kikubwa
Mzee achana na udini kwasababu uhuru wa Tanganyika haukuletwa na dini flani bali harakati za watanganyika wote walionuia kujikomboa kutoka kwa utawala wa wageni. Makundi ya kidini hasa wakristo na waislamu pamoja na vikundi mbalimbali vya michezo na utamaduni vina mchango mkubwa katika harakati za uhuru wa Tanganyika. Mwl. Nyerere mwenyewe aliwahi kukiri mara nyingi kusaidiwa na masheikh wa kiislamu na hata maaskofu katika harakati zake za kutafuta uhuru, vivyo hivyo kawahi kusema kuhusu michango ya makundi mbalimbali ya kijamii kwenye harakati za uhuru wa nchi hii. Badala ya kutoa povu msikilize vizuri Madaraka anaposema Mwl. Nyerere alifanya mikutano yake klabu ya Yanga na hata kwenye taarabu ilikua kipindi gani. Usipotoshe ukweli kwa kulilia sifa za udini kwasababu wanaharakati wa uhuru waliendesha kampeni zao kwa kificho na katika platforms tofauti tofauti ikiwemo mikusanyiko ya michezo na burudani ikiwemo klabu ya Yanga hasa kwasababu kipindi hicho mikusanyiko ya kisiasa ilipigwa marufuku. Hoja yako kwamba kuna hofu juu ya mchango wa uislamu kwenye harakati za uhuru ni hoja dhaifu ambayo ni aibu kutolewa na mtu kama wewe unayejinasibu kama mwanahistoria kwasababu historia inajulikana wazi kwamba miongoni mwa wanaharakati wa kwanza wenye mchango mkubwa katika uhuru wa Tanganyika walikua ni waislamu. Kingine unaonekana unaumia sana Mwl. Nyerere (Mkristo) kuongoza harakati hizo hasa pale unaposema endapo Sykes angemchagua mtu mwingine basi Mwl. Nyerere asingeenda UN. Kwa akili zako unahisi Mwl. Nyerere alichukuliwa tu barabarani akaambiwa nenda UN🤔. Hujiulizi kwanini alichaguliwa Mwl. Nyerere na sio mtu mwingine? Hutaki kukubali walichoona wanaharakati kutoka kwa Mwl. hadi wakamkabidhi jukumu la kwenda kudai uhuru kwa Mwingereza. Pole sana!
WAISLAM HUA TUNAVUMILIA LAKINI IKIFIKA WAKATI TUKIZUNGUMZA NYINYI WAKIRISTO KWANINI MUNAUMIA HISTORIA KAMA NI ZA UWONGO MBONA WAKIRISTO MUNAOGOPA , SISI WAISLAM UPUUZI HATUTATI TUMECHOKA
Nyerere ndo baba yetu watanzania na kiongozi mashuhuri si tu Africa bali duniani wote sisi wakristo na waislamu tanzania tunaishi kindugu nyerere ndo baba wa Taifa hili imeshaandikwa
Hii youtube channel yenu inayosambaza udini, ipo siku mtaijua vizuri serikali ya Tanzania. Subirini uongozi wa uyu mama upite, upotofu wenu hautoacha upite bure.
Hayo yote ni ya kweli kabisa lakini amemsahau kaka yangu Saadani Abdu Kandoro aliyekua katibu mwenezi wa TAA sijamsikia kumtaja na wala kukitaja kitabu chake kiitwacho Wito au Mwito wa UHURU
Historia Afrika % kubwa ni mkusanyiko wa masimulizi na pia tusisahau binadamu ana hulka ya "biased" upendeleo upande fulani. Tunaposimuliwa jambo tuwe makini . Mwamba ngoma ngozi huvutia kwake. Hakuna binadamu 2 watakaofanana ktk masimulizi 100%. .
Ww sasa ndo unatakataa historia ya kweli na fuvu lako limejaa udini basi yaan apo kichwa chako kinakutuma mzee anasema ukweli anavutia upande wa waislam ndo ulichonacho ktk kichwa chako hakuna lingine mzee hajavutia kwake mzee anaelezea bila kupendelea kokote anasema ilivyokuwepo sahihi na siyo kudanganya danganya watu
Huyu mtoto wa Nyerere Madaraka simuamini sana maana kama aliweza kukubali kuwa Sanamu la Baba wa Taifa MJK Nyerere liliojengwa ETHIOPIA kuwa sura ya mzee wake kbs wakati SI kweli halinanii kbs🙄🤔
Umuamini, usimuamini, yeye anatoka jikoni na anajuwa ukweli. Mohammed ni mwanaharakati. Siku zote huandika anayotaka yaaminike kuwa kweli. Yeye msimamo wake ni wa kidini na kila chochote kinachosemwa huandikwa tofauti. Hii misimamo yake ameisambaza kwenye mitandao mingi iliyo hai na iliyokufwa. Yeye ni wale wa itikadi kali wanaotaka kupindua historia ili isomeke wanavyotaka.
@@CC-yo4oq Naona umekulupuka mdau soma comment mimi sina neno na mzee Mohammed juu ya uwandisho wale ila mtoto wa MJK Nyerere tokea aliposema lile Sanamu ni kweli amesababisha wananchi wengi wasinuamini sasa amekuwa Muongo muongo tu
Ile sanamu ya Addis ata mtoto Mdogo anakuambia siyo Nyerere. Hataaminika tena baada ya kashifa hiyo. Madaraka ansema hii sanamu ya baba yangu kabisa. Nyie mnamjua kuliko Mimi. Du sikumwelewa.
Wewe ndo bwege hizo picha zina uhusiano gani na uhuru? Hivi kweli kabisa jambo kubwa kama mapambano ya kupigania uhuru linatolewa ushahidi wa picha za watu wamekaa wanapiga soga ?🤔 Inajulikana wazi mchango mkubwa wa masheikh kwenye harakati za uhuru lakini acheni kulazimisha ukweli uwe uongo, historia ya nchi hii ipo na itabaki kuwa hivyo ilivyo na hakuna wakuibadirisha na kuleta uongo wake kisa udini au tamaa ya sifa za kijinga@@kidaumtumbwi1128
Madaraka hakueleweka kihivyo na mheshimiwa huyu. Na labda Madaraka anashindwa kijieleza ipasavyo, lakini mimi nadhani hakueleweka au kutafsiriwa vema. Kuhusu kukutana kwenye uwanja wa mpira au taarabu mimi sijui ila najua kuna wakati fulani mikutano ilifanyika ofisi ya Yanga waliokodi mtaa wa Mafia na Sukuma. Ni mikutano mingapi sijui lakini nadhani ni michache. Na viongozi wengi wa Yanga walikuwa wanachangia. Hii haiondoi kabisa ushiriki mkubwa wa akina Sykes. Kuhusu TAA/TANU kuanzishwa Tosamaganga hiyo cijui lakini kuna wakati familia ya Nyerere walikaa Tosamaganga ila sikumbuki ni miaka gani. Mzee huyu anapointi nyingi sana sahihi na Madaraka pia anazo ambazo inawezekana hajaeleweka. Vyote ni vema tuu, historia yetu wenyewe.
Historia haitajulikana unless inaingizwa ipasavyo kwenye mitaala. Kwa hiyo Bwana Said unaweza kulaumu watu ukidhani wanafanya makusudi kupindisha historia, ila kiukweli ni kwamba hawaijui hiyo historia!!
Nadhani huyu bwana anakosea kuislamisha jambo hilo badala ya kutambua kuwa walikuwa ni watu binfasi walioshirikiana katika kufanikisha hilo. Hao waanzilishi walitambua kuwa Nyerere ndiyo alikuwa na uwezo wa kuwaongoza wengine. Hivi hakuna wakristo walioshiriki? Mbona akina rupia na mbowe hawatajwi. Huyu mtu ni hatari sana
Ashukurie na nani hakuwa nalolote alikuwa anatisha watu tuuu kama hitler ukizingua ndani na nafasi yake ya kuwa Rais ndio ilimfanya mpaka wazee wetu wamuogope, walikuwa wakitudanganya eti kirungu chake hata watu mia hawawezi kukiinua😂😂😂
Mzee mohamedi madaraka anapotosha ukweli kubwa mtoto wa Mzee Nyerere hakumpi nafasi ya kusema uwongo awadanganye watoto yanga na tanu wapi na wapi makuli wale hawangeweza kafanya mkutano ,Mzee sykess na wenzie ndio nembo ya uhuru ,nawajua majina wazee Hawa ukitaka nitakutajia madaraka aniambie yupi kati ya hao alikuwa kiongozi wa yanga
Kwasababu asilimia kubwa ya hao viongozi hawaijui history ya uhuru kwakuwa wazazi wao hawakuona harakari za uhuru kwani walikuwa vijijini, na vijiji vya kipindi cha mkoloni vilikuwa vipo ki primitive.
@@MuuYascohy-oc7os Usikurupuke,Yanga ni waume zako wewe na unawajua wewe. Tunapokuja kwenye swala la nchi mimi sidhani kama tumapaswa kuwe habari za Uislam na ukristo ama yanga na simba. Af naona kama hujielewi Mke wa kenge wewe.
Madaraka aliyezungumuzia yanga, na Huyo Mjinga anaezungumza habari ya u-shetani wa kiarabu pamoja na wewe mke wa kenge mnapashwa kuzungumza reel story bila kuweka itikadi zenu za kipumbavu wajinga ninyi
@@danielevangelismtv3795 Evangelism matako sana ww endelea kumtumikia Paulo alafu uendelee kuleta usenge wako apa matako bar ww na ukijibu tena kwa matusi shuhuli unayo choko wa Paulo ww
Maana unauliza "nani asiyejua" hili na lile, wakati unayejua ni mwenyewe!! Machapisho unayotaja inabidi yaingizwe kwenye mitaala, la sivyo utaendelea kulaumu ukidhani watu wanafanya makusudi ila hawajui!!!
Hivi leo Tanganyika tunagombana kujua ni kina nani wa dini gani walishiriki kutafuta uhuru? Nilidhani wote walikuwa Watanganyika. Tukimaliza kuangalia udini si tutaulizana makabila? Tukimaliza makabila tutarudi katika koo! Kubwa tuache kupotosha kuwa Nyerere alikuwa kila kitu katika kutafuta uhuru. Kazi ya kuongoza harakati hizo haikufanywa na Nyerere hata kwa robo ya namna inavyotafsiriwa ama tunavyoaminishwa sasa.
Tumuombe Mama Samai uandike kitabu cha historia ya nchi hii kitumike shule za msingi italeta maana zaidi hadi secondary wajifunze,ndio njia sahihi ya kufuta kuto elewa huku
MZEE WANGU HESHIMA YAKO KWANZA: WALA USIHOFU JISTORIA YAKO YA UKWELI ITAKUJA KUSANYWA TU NA ITAKUWA WAZI ILIMRADI HAYO UMEYAANDIKA ASANTE SAAAANA KWA UKWELI HUO.
Masha Allah Allah akuweke mzee wetu akulinde na hasad na chuki za wasiopenda ukweli hapana sio udini hapa tunaongelea uongo na dhuluma. Someni ndugu zetu msiokuwa waislam mohd said anatoa reference za vitabu wengine wameandika hata sio waislam. PROPAGANDA PROPAGANDA PROPAGANDA!!!!
Kweli uzee sio hekima, kuna wazee wengine ni wapumbavu na wapotoshaji. Uyu babu hana ata moja la kusifia juu serikali yake wala Mwalimu Nyerere aliemfanya leo anaropoka ujinga wote kutokana na nchi yake kuwa huru. Mpuuzi uyu mzee, Uislam pelekeni syria au iran sio Tanzania yetu. Dini na makabila hayana nafasi.
TANU, NIMJUKUU WA WAISLAMU NA TANGANYIKA NI MJUKUU WA WAISLAMU.Ndio maana hawataki kuielezea historia halisi ya TANU Nyerere aliipata TAA,na akawashauri waislamu wabadili jina waite TANU.
Halafu swala la kimsaidia Uhuru na Nyerere,waliofanya hawakufanya kutokana na uislamu wao. Walifanya kama watanganyika wakaaji wa Pwani ambao wengi walikuwa waislam. Hawakukaa msikitini wakawaitisha waislam wajitokeze kusaidia uhuru.
Historia ya kwetu hapa inaonyesha tu kuwa Mkoloni(mwingereza) hawakuacha chochote,walikuwa wakatili,wanyonyaji na wauwaji tu. Kumbe waliacha shule za maana,barabara za lami mijini,walijenga majengo.
Ali iddi kutoka Zanzibar mm nasema maono ya Muhammed said kama ni ya kweli kuhusu history ya Tanganyika basi apewe kongole yake maana sio rahisi kuandika vitabu vingi vyenye ukweli. Uzuri wa bwana said Mohammed anatoa reference za waliomtangulia kwa kuwahojibyy mwenyewe anafatilia . Sasa anapoibua ukweli kwa juhudi zake watu wasikasirike.
Lakini Mz Mohamed,ukiandika historia ukafunga kitabu,siyo kweli kuwa hakuna jambo ambalo wewe lililokupita na hukuliandika. Sasa usiwashangae wanaofahamu usichokifahamu wewe
Ukweli Historia nyingi sana hapa nchini zimepotoshwa kwa makusudi mazima ya kuwapamba wasiosyahili na kuwafunika waliostahili .Kuanzia Mapambano yabkuleta Uhuru,Mapunduzi ya Zanzibar,Vita vya Kagera n.k.Ni wakati muafaka sasa watu wanaojua Historia hizi kujitokeza kusema ukweli ili kuinusuru Historia halisi
@@nevermind4789hususan kuhusu mwisho wake wanasema alijiuwa ila mm naamini Hitler yu hai ujerumani anakula kuku kwani wajerumani wanampenda sana ila mayahudi na wafuasi wao ndio hawampendi..!
Acha kubadili upepo wa historia kwa kutumbukiza habari za Deportivo de Utopolo. Wapigania uhuru wote walikuwa Simba ali Sykes Abbas Sykes na kaka yao wote hao simba sports Club achana na madaraka Nyerere na Deportivo deUtopolo yake..!😅😅😅
MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU AJIULIZE TAA IMEUNDWA 1929 NA WAISLAMU NA MWALIMU NYERERE ALIZALIWA 1922,.HIVI MTOTO WA MIAKA SABA ANAWEZA KUUNDA CHAMA? NYERERE ALIINGIZWA NA WAISLAMU MIAKA YA 50,NA AKAFANYWA KIONGOZI WA TANU 1954 .
Madaraka mbona hapingi Hilo,maana yake kati ya sehemu ya hayo walikuwa wanaendesha mikutano hata club za starehe.ni kama campaign Haifanyiki sehemu Moja.
Kama mitandao inavyo Sema Sema mambo ya mashoga hamyazuii ila ndo manayachochea tu. Mikemeo huwa inakemewa kwa Neno la Mungu nje ya hapo ni kuchochea tu
History ya Tanganyika inawahusu mashujaa wakiongozwa na Abdul Sakis na kundi lake,haitajwi kutokana na kukosa Fadhira kwa kujifaharisha kwa walioikombowa Tanganyika kwa kweli Aibu hatuna hata huruma hatuna wala fadhira hatuna,jamani hata Nishani za ukombozi kwanini hamuwapi kuweni na fadhira kwa watu hawo
Madaraka haja sema ubaya wowote....ana ekeza kwa taratibu..kama una ona ambavyo UNA JUA...kazi yako.
Mheshimiwa Bwana Mohammed Said Ongera sana.
MwenyeziMungu anazo sababu za kukuweka hai mpaka leo kwa hakika tunamshukuru.
Kama siyo kitabu chako hii Leo tungedanganywa sana kuhusu historia ya kweli kuhusu tanganyika na sasa tanzania.wote wanaopotosha historia hii adhim ukweli wanaujua !
Familia ya Mheshimiwa Bwana Abdulwahid Sykes ndiyo kinara wa mapambano ya kupigania uhuru wa tanganyika huo ndiyo ukweli wapende wasipende ukweli huo haufutiki.
Siku zote uongo hauna mrefu na wazee walisema (Ukweli ukidhihiri uongo ujitenga ) Kwa hiyo Bwana Mohammed Said tuanakupongeza sana kwa kutuandikia historia ya kweli.
Aksante sana.
Na kingine wanachosahau wapotoshaji nikwamba WAJUKUU WA WALIOPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA BADO WAPO.
SHUKRAN.
Sema mzee kabla hujaondoka kwenye uso wa dunia historia ya kweli tujue
Nyerere hawezi kufutika Africa,Duniani.
Allah akulipe kila heri mzee wetu
Mashallah sheikh Mohammad naneno yako mazuri na ya ukweli kabisa❤❤❤❤
Ila waislamu Mungu awasamehe, huyu video zake ni kumbukumbu tosha, ayo anayoropoka ipo siku atawaliza wajukuu zake. Tanzania udini asahau, labda ahamie uarabuni kwa wakoloni wake.
WAISLAMU NDIO WAPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA, NYERERE ALIIANDALIWA TUU ILI TANU ISIONEKANE CHAMA CHA DINI.
Waislam kila kitu wao, 😅😅
Kwa hiyo Nini kifanyike???
TULI gawanywa na MWINGEREKA..go DEEP On This SUBJECT..in your NEXT EPISODE.Ahsante.BRITISH.
Hongera mzee kwa kutuambia ukweli na tunaomba ututengenezee kitabu cha ukweli 💯. Mungu akubariki
itabu kipo alishaandika siku nyingi
Naona una anzaa kwenda ..MAZITONI.
Barikiwa mzee Mohammed Niko upande wako historia ya nchi yako haitakusahau na ukweli siku zote haupotei 😂😂 na mdundo uliouweka ndo unaniliza mzalendo 😂😂
Allah akupe Umri Mrefu na haya yote unayosema Allah akujaalie uyaweke katika maandishi
Huyu bb nampenda sana anavyoelezea historia ya nchi yetu napenda kumsikiliza hachoshi
Historia ni sawa lakini udini unatoka wapi? Kama yanga haikuhusika si aseme tu, sasa kulalamikia kuwa uislamu hautajwi kwani ukristo umetajwa wapi kuwa ndio umehusika?
@@comsmkemwa2671Sio uislam kutajwa au ukristo, kuna ubaguzi ktk dini za watu baada ya uhuru,huo ndo ukweli watu walio saidia uhuru wengi walikua ni Islam na baada ya uhuru walisahaulika nahata kutajwa hawa kutajwa,polepole wakasahauluka, kuandika historia huyu bwana amewatoa wengi gizani,historia zimebadilishwa kwa nia Ovu
@@comsmkemwa2671Huna mpango wowote umasikini tu unakusumbua tumbili jeusiiiiii hilooo 😂😂
Ukipenda kusikia unachotaka huwezi kuchoka kamwe, iwe kweli au isiwe kweli Cha msingi masikio yako ndio yanachokitaka.
Tusiopenda kusikia udini anatuchosha Ile mbayaa....
Mzee mohammed nakuelewa sana .andika kitabu cha historia halisi kuhusu jambo hili.tunaongopewa
Kitabu alikwisha andika siku nyingi na kipo madukani,tafuta kitabu kinaitwa "MAISHA YA ABDULWAHID SYKES,utapata histroria yoote.
Nyerere alikuwa na Maono ya taifa la Tanzania likae pamoja Bila Udini Bila ukabila, watu waishi kwa umoja na upendo ila wewe maono yako ni waislamu tuh..... Akili ndogo sanaa
Ni kweli kabisa. Nimewasikiliza Mashehe wengi wakisimulia historia ya nchi hii wanakuwa wanalenga maono ya uislamu tuu. Ndo maana hata historia wanazotoa zinakuwa zinaegemea upande mmoja
Ndugu hawa waislamu ni wa kuwasamehe tu, na huyu mzee ni mamluki shetani anaemtumikia anamjua peke yake
Acha udini Mzee
Mohamed yuko sawa shida iubwa waliondika historia ya uhuru wanamuonyesha Mwal Peke yake,haya ni makosa makubwa sana,hakuwa peke yake na pia ina onyesha uelewa mdogo sana
Nia yao Ovu kupoteza ukweli wa historia ya nchi
Baadhi ya mikutano ya kudai uhuru ilifanyika misikitini. Historia inaonesha msikiti wa ahmadiyya uliopo mnazi mmoja ni moja ya misikiti iliyotumika chini ya uongozi wa sheikh mubaraka ahmad amabye alikuwa ni miongoni mwa washauri wa namna ya kupata uhuru. Pia nyumba ya marehemu sheikh amri abeid kaluta ilitumika zikiwemo na kina abdul sykes na wengine Na hata jina la tanzania lilitokana na mashindano ambapo muislam mmoja wa ki asia wa ahmadiyya alishinda na jina alilopendekeza Tanzania likapita. Hofu imewatawala kiasi cha kupotosha hata ya kidunia. Nchi ilikaliwa na kanisa isingekuwa rahisi kuupata uhuru na lazima kuunda mbinu nje ya kanisa na ikumbukwe uislamu ndio pekee unaofundisha uhuru na namna ya kuuishi. Viva islam
Hehehe nyie watu mnanongwa na chuki na kanisa ....siku zote kokote kuna mmoja anakuwa kichwa inawauma Sana kuhusu Nyerere, popote pale duniani awe revolutionary awe politician, awe Nani sijuwi kuna mmoja atashini zaidi ya wengine inakuwaga hivyo, Uhuru watu wengi waliupighania ila hii ni Tanzania sio Macca
@@AmanMediaTzNenda kanisani jumapili mkafirane wenyewe kwa wenyewe Kanisani Magorila meusi yaliotoka Tanzania hujui chochote maviiiii kunuka Wewe
@@nasseralhatmi1762Na Uislam ndio Dini pekee iliyojaa washika Dini safi waliojaa matusi na maneno ya kashfa midomoni dhidi ya binadamu wengine - Inaitwa Dini ya haki - VERY FUNNY😅
Nyerere Ali ondowa istori ya kweli kila mahala alijiweka yeye mwenyewe
#NONSENSE
@@wadeelegbogun3015 ukweli haujifichi katu mutaumia sana baada ya kuona ukweli unazungumzwa, Nyerere ameficha mambo mengi, ameua sana waliompinga, na adui mkubwa wa waislam.
@@wadeelegbogun3015JIULIZE KUNA CHAMA KINACHOENDESHWA NA MTU MMOJA?! YANI MTU HUYO HANA NAIBU WALA KATIBU, MWEKAHAZINA NA KADHALIKA?!HAWA WOTE WAMEPIGWA BOMU AU VIPI NDIYO MAANA MAJINA YAO HAYAONEKANI KTK HISTORIA NA JINA LINALOONEKANA LA ALIYEILETEA TANGANYIKA UHURU NI JINA MOJA TU?! JIONGEZE BABA ACHA USHABIKI 😂😂😂
@@wadeelegbogun3015huo ndo ukweli,hata leo serikalini wanaamua wenyewe kujiendesha bila kuwashirikisha raia,na habari nyingi ndani zinabadilishwa na raia hawajui kitu
@@wadeelegbogun3015nonsense Bibi yako mbwaaaa koko 🐄🐄🐄
Nyerere alivunja chama cha kiislamu Al jamiyatul islamiya akaanzisha bakwata kwa nn avunje chama cha kiislam halafu aanzishe chama cha kiislamu
Alifanya vizuri sana kufuta chama cha udini bila hivyo tungekuwa tunachinjana kama wanyama.
@@Joe-tr2vk mbona kulikuwa vyama vya kikristo pia mpaka leo zipo jumuiya za kikristo
@@ahz6907 Vipi hivyo,unaweza kuvitaja kwa majina? Jumuiya ni sawa na vyama?
Allah akulipe kheri mzee wetu
Tatizo kubwa la uislam ni sheria zao na misimamo yao huwezi kuwapeleka kama nguruwe.mbona tunaona na tunasikia wenzetu wa kwajina la baba wameambiwa ruksa kuoana wanaume kwa wanaume na wana manabii na mitume sasa kwa muislam upuuzi huo hakuna watu wanafuata mungu anavyotaka sio shetani anavyotaka kwahyo kwa haraka tu shetani ndio anaepinga uislam duniani sio tz na kwa uwezo wa allah inshallah tutakua juuu
Ukitaka kujuwa Nyerere alikuwa kichwa we tafuta wapighania Uhuru wa mataifa ya Africa uone big role ya huyu jamaaa Nyerere. The guy was brilliant mkubali tuh kwa hilo aliwazidi maarifa watanzania wengi sanaa .. Pia tunakubali watu wengi walimsaidia au walijihusisha na harakati za uhuru wa Tanzania....Ila hii ni Tanzania sio Macca, Tanzania ni inchi ambayo ina watu wenye dini mbali mbali na makabila mbalimbali acheni kupotosha na kupandikiza shuki
Sio kweli, hakuna mtu ana nia ya kuifanya Tanzania kuwa macca,umepitiliza kifikra
🦍🦍🦍🐒🐒🐒🐄🐄🐄💯😂😂😂 hujui chochote maviiiii kunuka tumbili jeusiiiiii wewe na Wala hujui Asili Yako na History yako mbwaaaa koko 🐄🐄🐄 wewe
Mzee Mohamed smhn sana mengi umeyazungumza na ni ukweli ulofichwa mpk leo hii bado tunaona mwl Nyerere ndiye aliyeanzisha Tanu na kila kitu ni yeye tu.
Kwa maana hiyo pia inaonesha wazi hata umoja wa Tanganyika bila kujali kabila na ukabila na utumiaji wa lugha ya kiswahili ulikuwepo na si mwl Nyerere aliwaunganisha
Hii nchi Ina shida sana history inapotoahwa
Mwalimu nyerere anastahiki kuoewa heshima yake kwa sababu pamoja na kwamba alishikwa mkono na wazee wa kiisilamu lakini nae jitihada yake imesaidia kwa kisai kikubwa
Tatizo kubwa watu hawa wengi wengi wao hawapendi ukweli na ndio sababu watanzania wengi mbumbumbu wanaburuzwa na wanasiasa wanavyotaka.
Waambie ukweli mzee , waongo sana hawa hakuna alilolifanya zaidi ya dhuluma ya wazazi wetu na mwenzie kawawa
Mzee achana na udini kwasababu uhuru wa Tanganyika haukuletwa na dini flani bali harakati za watanganyika wote walionuia kujikomboa kutoka kwa utawala wa wageni. Makundi ya kidini hasa wakristo na waislamu pamoja na vikundi mbalimbali vya michezo na utamaduni vina mchango mkubwa katika harakati za uhuru wa Tanganyika. Mwl. Nyerere mwenyewe aliwahi kukiri mara nyingi kusaidiwa na masheikh wa kiislamu na hata maaskofu katika harakati zake za kutafuta uhuru, vivyo hivyo kawahi kusema kuhusu michango ya makundi mbalimbali ya kijamii kwenye harakati za uhuru wa nchi hii. Badala ya kutoa povu msikilize vizuri Madaraka anaposema Mwl. Nyerere alifanya mikutano yake klabu ya Yanga na hata kwenye taarabu ilikua kipindi gani. Usipotoshe ukweli kwa kulilia sifa za udini kwasababu wanaharakati wa uhuru waliendesha kampeni zao kwa kificho na katika platforms tofauti tofauti ikiwemo mikusanyiko ya michezo na burudani ikiwemo klabu ya Yanga hasa kwasababu kipindi hicho mikusanyiko ya kisiasa ilipigwa marufuku. Hoja yako kwamba kuna hofu juu ya mchango wa uislamu kwenye harakati za uhuru ni hoja dhaifu ambayo ni aibu kutolewa na mtu kama wewe unayejinasibu kama mwanahistoria kwasababu historia inajulikana wazi kwamba miongoni mwa wanaharakati wa kwanza wenye mchango mkubwa katika uhuru wa Tanganyika walikua ni waislamu. Kingine unaonekana unaumia sana Mwl. Nyerere (Mkristo) kuongoza harakati hizo hasa pale unaposema endapo Sykes angemchagua mtu mwingine basi Mwl. Nyerere asingeenda UN. Kwa akili zako unahisi Mwl. Nyerere alichukuliwa tu barabarani akaambiwa nenda UN🤔. Hujiulizi kwanini alichaguliwa Mwl. Nyerere na sio mtu mwingine? Hutaki kukubali walichoona wanaharakati kutoka kwa Mwl. hadi wakamkabidhi jukumu la kwenda kudai uhuru kwa Mwingereza. Pole sana!
ELIMU sio UMRI.
Tatizo unaweka udini na ukabila,nyerere aliwaza taifa zima
Madaraka kweli UNAIPENDA YANGA POKEA🎉🎉🎉 YAKO KUPOTOSHA. DUUUUH
WAISLAM HUA TUNAVUMILIA LAKINI IKIFIKA WAKATI TUKIZUNGUMZA NYINYI WAKIRISTO KWANINI MUNAUMIA
HISTORIA KAMA NI ZA UWONGO MBONA WAKIRISTO MUNAOGOPA , SISI WAISLAM UPUUZI HATUTATI TUMECHOKA
Story teller Blessed
Nyerere ndo baba yetu watanzania na kiongozi mashuhuri si tu Africa bali duniani wote sisi wakristo na waislamu tanzania tunaishi kindugu nyerere ndo baba wa Taifa hili imeshaandikwa
Baba yako peke yako na kanisani kwenu.
Bado hujamuelewa Bwana Mohammed said. Inaonyesha Mwalimu wako wa shule alipata tabu sana kwa kichwa hicho.
Hii youtube channel yenu inayosambaza udini, ipo siku mtaijua vizuri serikali ya Tanzania. Subirini uongozi wa uyu mama upite, upotofu wenu hautoacha upite bure.
Na Abdul Sykes alikufa kwa tatizo Gani mwaka huo 1968
Naona una weza kusema KARUME na TAARABU ni sio Tanzania...SAMAHANI..wache watoto..nenda BUTIAMA kufundiswa.
MANTINKI
Kuna watanganyika walisahaulika katika historia ya uhuru wa nchi hii.
Udini hauleti MANTINKI kwenye uwasilishaji.
Hayo yote ni ya kweli kabisa lakini amemsahau kaka yangu Saadani Abdu Kandoro aliyekua katibu mwenezi wa TAA sijamsikia kumtaja na wala kukitaja kitabu chake kiitwacho Wito au Mwito wa UHURU
Masikini Mzee Mohammed Said, hadi namhurumia anavyowapambania kina Sykes 😂😂
Sio anawapambania ndio ukweli wewe kwenye picha zato za kudai uhuru wa nchi hii umeona wapi baba askofu
acha ufala John rupia alikuwa sheikh ?@@Magotimwteregina
@@alexlugembe4816Sio sheikh John rupia lkn ni mmoja wao kati ya wengi walio Islam masheikh
Huyu madaraka sijawahi kumuelewa.kumbe yanga waongo sana
Sasa waongo yanga au historia tuliyosimuliwa ndio waongo?
@gweaukihshoo5120 ukisha kuwa mshabiki wa Yanga, ujue kuna tatizo
Historia Afrika % kubwa ni mkusanyiko wa masimulizi na pia tusisahau binadamu ana hulka ya "biased" upendeleo upande fulani. Tunaposimuliwa jambo tuwe makini . Mwamba ngoma ngozi huvutia kwake. Hakuna binadamu 2 watakaofanana ktk masimulizi 100%. .
Ww sasa ndo unatakataa historia ya kweli na fuvu lako limejaa udini basi yaan apo kichwa chako kinakutuma mzee anasema ukweli anavutia upande wa waislam ndo ulichonacho ktk kichwa chako hakuna lingine mzee hajavutia kwake mzee anaelezea bila kupendelea kokote anasema ilivyokuwepo sahihi na siyo kudanganya danganya watu
Inshu sio udini tunata historia ya kweli ya tanganyika
😂😂unapigania dini sio taifa
Huyu mtoto wa Nyerere Madaraka simuamini sana maana kama aliweza kukubali kuwa Sanamu la Baba wa Taifa MJK Nyerere liliojengwa ETHIOPIA kuwa sura ya mzee wake kbs wakati SI kweli halinanii kbs🙄🤔
Umuamini, usimuamini, yeye anatoka jikoni na anajuwa ukweli. Mohammed ni mwanaharakati. Siku zote huandika anayotaka yaaminike kuwa kweli. Yeye msimamo wake ni wa kidini na kila chochote kinachosemwa huandikwa tofauti. Hii misimamo yake ameisambaza kwenye mitandao mingi iliyo hai na iliyokufwa. Yeye ni wale wa itikadi kali wanaotaka kupindua historia ili isomeke wanavyotaka.
@@CC-yo4oq Naona umekulupuka mdau soma comment mimi sina neno na mzee Mohammed juu ya uwandisho wale ila mtoto wa MJK Nyerere tokea aliposema lile Sanamu ni kweli amesababisha wananchi wengi wasinuamini sasa amekuwa Muongo muongo tu
@@CC-yo4oq wewe kweli bwege mwenzio anaonyesha mpaka proof huoni picha hizo .
Huyo alotoka jikoni alternatively ushahidi sio maneno tu.
Ile sanamu ya Addis ata mtoto Mdogo anakuambia siyo Nyerere. Hataaminika tena baada ya kashifa hiyo. Madaraka ansema hii sanamu ya baba yangu kabisa. Nyie mnamjua kuliko Mimi. Du sikumwelewa.
Wewe ndo bwege hizo picha zina uhusiano gani na uhuru? Hivi kweli kabisa jambo kubwa kama mapambano ya kupigania uhuru linatolewa ushahidi wa picha za watu wamekaa wanapiga soga ?🤔 Inajulikana wazi mchango mkubwa wa masheikh kwenye harakati za uhuru lakini acheni kulazimisha ukweli uwe uongo, historia ya nchi hii ipo na itabaki kuwa hivyo ilivyo na hakuna wakuibadirisha na kuleta uongo wake kisa udini au tamaa ya sifa za kijinga@@kidaumtumbwi1128
Yote unayosema ni kweli kabisa, ni kweli kabisa kabisa lakin imetokea nyerere akaonekana
Ulikuwepo???😢
Madaraka hakueleweka kihivyo na mheshimiwa huyu. Na labda Madaraka anashindwa kijieleza ipasavyo, lakini mimi nadhani hakueleweka au kutafsiriwa vema. Kuhusu kukutana kwenye uwanja wa mpira au taarabu mimi sijui ila najua kuna wakati fulani mikutano ilifanyika ofisi ya Yanga waliokodi mtaa wa Mafia na Sukuma. Ni mikutano mingapi sijui lakini nadhani ni michache. Na viongozi wengi wa Yanga walikuwa wanachangia.
Hii haiondoi kabisa ushiriki mkubwa wa akina Sykes.
Kuhusu TAA/TANU kuanzishwa Tosamaganga hiyo cijui lakini kuna wakati familia ya Nyerere walikaa Tosamaganga ila sikumbuki ni miaka gani.
Mzee huyu anapointi nyingi sana sahihi na Madaraka pia anazo ambazo inawezekana hajaeleweka. Vyote ni vema tuu, historia yetu wenyewe.
Historia haitajulikana unless inaingizwa ipasavyo kwenye mitaala. Kwa hiyo Bwana Said unaweza kulaumu watu ukidhani wanafanya makusudi kupindisha historia, ila kiukweli ni kwamba hawaijui hiyo historia!!
Nadhani huyu bwana anakosea kuislamisha jambo hilo badala ya kutambua kuwa walikuwa ni watu binfasi walioshirikiana katika kufanikisha hilo. Hao waanzilishi walitambua kuwa Nyerere ndiyo alikuwa na uwezo wa kuwaongoza wengine. Hivi hakuna wakristo walioshiriki? Mbona akina rupia na mbowe hawatajwi. Huyu mtu ni hatari sana
Siku Zote uongo hauwezi kushinda. Iko siku ukweli utaibuka hadharani.
Mwalimu aliona hatari kubwa sana. Na ashukuriwe kwa kuizuia. Hii ni Tanzania. Ya Watanzania. Udini, ukabila havina nafasi Tanzania.
Mbona nyie mwaleta udini kwenye nchi waislam tulii ww uliona wap waislam wakipingana na serekal ila nyie sasa kma nchi ni ya kwenu
Soma brother.
Nonesense
Ashukurie na nani hakuwa nalolote alikuwa anatisha watu tuuu kama hitler ukizingua ndani na nafasi yake ya kuwa Rais ndio ilimfanya mpaka wazee wetu wamuogope, walikuwa wakitudanganya eti kirungu chake hata watu mia hawawezi kukiinua😂😂😂
@@machintangachibwena5922huo ndo ukweli,wakubali wasikubali, wazee wetu waliogopa sana serikali yao
Mzee mohamedi madaraka anapotosha ukweli kubwa mtoto wa Mzee Nyerere hakumpi nafasi ya kusema uwongo awadanganye watoto yanga na tanu wapi na wapi makuli wale hawangeweza kafanya mkutano ,Mzee sykess na wenzie ndio nembo ya uhuru ,nawajua majina wazee Hawa ukitaka nitakutajia madaraka aniambie yupi kati ya hao alikuwa kiongozi wa yanga
Je Mzee Mohamed ktk kufanya utafiti wako huo uliwahi kuihoji familia ya Mwalimu Nyerere na ukipata nini huko kuhusu historia ya Mwl Nyerere?
Hajui kitu madaraka
Hata viongozi wenyewe hawajui kwa undani historia ya mwalimu na vugu vugu la uhuru
Kwasababu asilimia kubwa ya hao viongozi hawaijui history ya uhuru kwakuwa wazazi wao hawakuona harakari za uhuru kwani walikuwa vijijini, na vijiji vya kipindi cha mkoloni vilikuwa vipo ki primitive.
BRO-KWA WEWE KUANDIKA KITABU..HAINA MAANA NDIYO FACT,,,,HIZO NI STORY-TUNAJUA STORY YA NYERERE-ACHA MAMBO YAKO HAYO...
Haya mambo basi tu.
Acha udini mjinga mmoja tuu.
Ww ndo fuvu lako limejaa udini kenge ww!! yaan Nyerere akakae vikao na wachezaji wa Yanga ndo kutafuta uhuru acha upuuz
@@MuuYascohy-oc7os Usikurupuke,Yanga ni waume zako wewe na unawajua wewe. Tunapokuja kwenye swala la nchi mimi sidhani kama tumapaswa kuwe habari za Uislam na ukristo ama yanga na simba. Af naona kama hujielewi Mke wa kenge wewe.
Madaraka aliyezungumuzia yanga, na Huyo Mjinga anaezungumza habari ya u-shetani wa kiarabu pamoja na wewe mke wa kenge mnapashwa kuzungumza reel story bila kuweka itikadi zenu za kipumbavu wajinga ninyi
@@danielevangelismtv3795 kuma la mamaako ujielewi ww na wazee wako kuma ww
@@danielevangelismtv3795 Evangelism matako sana ww endelea kumtumikia Paulo alafu uendelee kuleta usenge wako apa matako bar ww na ukijibu tena kwa matusi shuhuli unayo choko wa Paulo ww
Maana unauliza "nani asiyejua" hili na lile, wakati unayejua ni mwenyewe!! Machapisho unayotaja inabidi yaingizwe kwenye mitaala, la sivyo utaendelea kulaumu ukidhani watu wanafanya makusudi ila hawajui!!!
Hapa kinatakiwa historia ya kweli ya nchi si udini
Hivi leo Tanganyika tunagombana kujua ni kina nani wa dini gani walishiriki kutafuta uhuru?
Nilidhani wote walikuwa Watanganyika.
Tukimaliza kuangalia udini si tutaulizana makabila?
Tukimaliza makabila tutarudi katika koo!
Kubwa tuache kupotosha kuwa Nyerere alikuwa kila kitu katika kutafuta uhuru. Kazi ya kuongoza harakati hizo haikufanywa na Nyerere hata kwa robo ya namna inavyotafsiriwa ama tunavyoaminishwa sasa.
Hatari sana huyu
Tumuombe Mama Samai uandike kitabu cha historia ya nchi hii kitumike shule za msingi italeta maana zaidi hadi secondary wajifunze,ndio njia sahihi ya kufuta kuto elewa huku
MZEE WANGU HESHIMA YAKO KWANZA:
WALA USIHOFU JISTORIA YAKO YA UKWELI ITAKUJA KUSANYWA TU NA ITAKUWA WAZI ILIMRADI HAYO UMEYAANDIKA ASANTE SAAAANA KWA UKWELI HUO.
Masha Allah Allah akuweke mzee wetu akulinde na hasad na chuki za wasiopenda ukweli hapana sio udini hapa tunaongelea uongo na dhuluma. Someni ndugu zetu msiokuwa waislam mohd said anatoa reference za vitabu wengine wameandika hata sio waislam. PROPAGANDA PROPAGANDA PROPAGANDA!!!!
Kweli uzee sio hekima, kuna wazee wengine ni wapumbavu na wapotoshaji. Uyu babu hana ata moja la kusifia juu serikali yake wala Mwalimu Nyerere aliemfanya leo anaropoka ujinga wote kutokana na nchi yake kuwa huru. Mpuuzi uyu mzee, Uislam pelekeni syria au iran sio Tanzania yetu. Dini na makabila hayana nafasi.
Mzee mtukome nyerere
Ukweli nikwamba hawawezi kuuongelea ukweli kwakuwa wataoneakana waislaam ndo walishiriki kwa asilimia kubwa.
TANU, NIMJUKUU WA WAISLAMU NA TANGANYIKA NI MJUKUU WA WAISLAMU.Ndio maana hawataki kuielezea historia halisi ya TANU Nyerere aliipata TAA,na akawashauri waislamu wabadili jina waite TANU.
Hata Dini iko hivyo hivyo Vitabu vime andikwa lakini kuna Madheebu. Hizo ni Porojo za Saigon Club hizo una tuletea
Mzee, napenda madini yako. Ila unatumia muda mrefu kulalamika na kulaume. Nashauri utumie muda mrefu kutoa hiyo historia sahihi.
Halafu swala la kimsaidia Uhuru na Nyerere,waliofanya hawakufanya kutokana na uislamu wao. Walifanya kama watanganyika wakaaji wa Pwani ambao wengi walikuwa waislam. Hawakukaa msikitini wakawaitisha waislam wajitokeze kusaidia uhuru.
Historia ya kwetu hapa inaonyesha tu kuwa Mkoloni(mwingereza) hawakuacha chochote,walikuwa wakatili,wanyonyaji na wauwaji tu. Kumbe waliacha shule za maana,barabara za lami mijini,walijenga majengo.
tuletee historia ya Cecil Matola hatumjui kabisa
HAMIS MFARANYAKI HAKUA NYUMA
Kaka...ankuomba uliza vizuri..tulikuwa wadogo wote..in 50/60s..sasa..ulikuwa una kula sahani moja na Baba ya Nchi?
Ali iddi kutoka Zanzibar mm nasema maono ya Muhammed said kama ni ya kweli kuhusu history ya Tanganyika basi apewe kongole yake maana sio rahisi kuandika vitabu vingi vyenye ukweli. Uzuri wa bwana said Mohammed anatoa reference za waliomtangulia kwa kuwahojibyy mwenyewe anafatilia . Sasa anapoibua ukweli kwa juhudi zake watu wasikasirike.
Sawa
Lakini Mz Mohamed,ukiandika historia ukafunga kitabu,siyo kweli kuwa hakuna jambo ambalo wewe lililokupita na hukuliandika. Sasa usiwashangae wanaofahamu usichokifahamu wewe
Shida huwa inakuja hapo, nimemfuatilia sana huyu Mzee...anaamini yeye tu ndio yupo sahihi na anajua vyote, pia hataki kurekebishwa 🤣🤣
Ukweli Historia nyingi sana hapa nchini zimepotoshwa kwa makusudi mazima ya kuwapamba wasiosyahili na kuwafunika waliostahili .Kuanzia Mapambano yabkuleta Uhuru,Mapunduzi ya Zanzibar,Vita vya Kagera n.k.Ni wakati muafaka sasa watu wanaojua Historia hizi kujitokeza kusema ukweli ili kuinusuru Historia halisi
Sio nchini sema duniani kwa sababu historia huandikwa na walioshika madaraka hata historia ya Hitler haina usahihi 100% pia
@@nevermind4789hususan kuhusu mwisho wake wanasema alijiuwa ila mm naamini Hitler yu hai ujerumani anakula kuku kwani wajerumani wanampenda sana ila mayahudi na wafuasi wao ndio hawampendi..!
Kwanza nyerere ni mdogo kimri wapo watu mpaka sasa wapo hai ambao walimuona nyerere wakati huo akiwa bado mdogo na chimbuko lake na kila kitu
Alikuwa anafunga swaumu na waislam
Shekhe mohamed said waeleze ukweli tu sasa twataka nchie hawatuelezi kitu nchie ya kwetu
Inawezekana akifanya yote: Yaani kwenye mikusanyiko ya mpira na pia kwa kina Sykes. Kuna mikutano ya hadhara na ya siri, ya ndani.
Huyu bwana Mohammed ni msomi lakini ni kolo mengine yupo sawa lakini ni kolo
Acha kubadili upepo wa historia kwa kutumbukiza habari za Deportivo de Utopolo. Wapigania uhuru wote walikuwa Simba ali Sykes Abbas Sykes na kaka yao wote hao simba sports Club achana na madaraka Nyerere na Deportivo deUtopolo yake..!😅😅😅
@@hassanmfaume4522achana nao huyo kolo yeye mwenyewe
Waislam watanzania lakin mzee said,waislam kama watanzania mi naona sawa iwekwe sawa tu hatuna haja ya kubishana jaman
Miziki ya maombolezo niyanini
Fuvu lako akili zimeondoka na nguruwe udini umekujaa mtu anaelezea historia ya kale ww umebaki na ujinga wako wa Paulo tu
Mshume Kiate wanamjua hao?
Kusoma na kuelewa ni changamoto sana hasa kama mwandishi au msikilizaji amekumbwa na "Bias".
Uto watapinga na hili
Acheni unafiki walioleta uhuru na kudai uhuru wanajulikana tafuta waanzilishi wa taa na tanu hao yanga watutajie viongozi wa yanga happ
MTANZANIA MWENYE AKILI TIMAMU AJIULIZE TAA IMEUNDWA 1929 NA WAISLAMU NA MWALIMU NYERERE ALIZALIWA 1922,.HIVI MTOTO WA MIAKA SABA ANAWEZA KUUNDA CHAMA? NYERERE ALIINGIZWA NA WAISLAMU MIAKA YA 50,NA AKAFANYWA KIONGOZI WA TANU 1954 .
huyu madaraka hajui chochote kuhusu historia ya wapigania uhuru wa tanganyika!!
Anajua ila anafanya kusudi tu kwani unafikiri hajuwi uongo uongo huu wamezoea wazanaki kuwaongopea watanganyika
Dini waislam wahanga na kabila wahaya wahanga wa historia ya nchi hii
Madaraka mbona hapingi Hilo,maana yake kati ya sehemu ya hayo walikuwa wanaendesha mikutano hata club za starehe.ni kama campaign Haifanyiki sehemu Moja.
Kama mitandao inavyo Sema Sema mambo ya mashoga hamyazuii ila ndo manayachochea tu. Mikemeo huwa inakemewa kwa Neno la Mungu nje ya hapo ni kuchochea tu
History ya Tanganyika inawahusu mashujaa wakiongozwa na Abdul Sakis na kundi lake,haitajwi kutokana na kukosa Fadhira kwa kujifaharisha kwa walioikombowa Tanganyika kwa kweli Aibu hatuna hata huruma hatuna wala fadhira hatuna,jamani hata Nishani za ukombozi kwanini hamuwapi kuweni na fadhira kwa watu hawo
Wanaficha ukweli
Mzee usiondoke mpaka ukweli ujulikane.
Mwambie asiachie hapo hapo maana kuna watu wanataka kuipandisha Utopolo waione ni Club ya wananchi kweli kumbe wakwezi tu wa minazi ..😅😅😅