Mungu akusaidie ndugu lissu kweli utaishi miaka mingi na maisha marefu eti mpaka sasa waliofanya hayo ccm wanasema kuwa hawajaonekana ila ipo siku mungu atakuja kukulipia kiukweli.
Hayo yameishapita! Lete sera zako za kujenga nchi. Umebakia kulialia tu na kutafuta huruma kwa watanzania. Huu ni ubinafsi ambao unazaa wizi na ufisadi.
HIVI WEWE MATREND YOOOTE YALIYOTOKEA BONGO WEWE BADO UNARUDIA HAYOHAYO KILA SIKU... EBU ONGEA VITU VYA KISASA HAYO MAMO ZAKO HATUZIPENDI NA WALA HATUKUONEI HURUMA ...TUNATAKA SIASA ZA MAENDELEO SIO MAKELELE NA MARADHI YAKO KAMA VILE MTU SPECIAL ACHA HIZO TUFANYE MAENDELEO. KIFUPI HATUTAKI MARADHI YAKO.
Pole sana shujaa wa watatanzania na dunia Kwa ujumla, Mungu akutunze zaidi, wewe ulikuwa mtetezi wa wanyonge, Mungu hasahau kazi ya mtu, atakuinua zaidi.
Mungu nimwema Aka amepigwa risasi 1 kafa huyu zote hizo doh! Mshukuru mungu sana mkuu
nakukubali sana mwandishi unamaswali tenchical big up
Pole sana mungu aendelee kukulinda
Kumbe ni bora umtakie mwenzio maisha marefu kuliko kumtakia u mauti, sasa alietaka lissu afe kafa yeye, kweli mungu ni wa people's ✌
Pole sana maana upo kizani.
Ni vigumu kueleweka
Kizur akidum ona mzalendo kaondoka msalit pamoja nakushambuliwa Bado afi
Dah.... ni mkono wa Mungu tu kukuweka hai mpaka leo,mshukuru sana
Daa inasikitisha Sana nikitu chakujiuliza mungu kwann amemuacha huyu mwamba anakazi gani nayeye anataka kuifanyia nn tz na Dunia
Mungu ana kusudi na maisha yako Utukufu kwa Mungu
Pole sana
Ashukuriwe Mungu Alie juu
Pole sn naomba umrudie mungu achana na siasa
Daah mungu ni mwema sana mzee wangu Allah azidi kukupa Afya njema
Asiee pole sana
Lisu. Unanifulahisha sana mungu akupe miaka mingi sana hata ukifa usioze
Alietaka ufe mungu amzidishie laana na adhabu huko Alipo popote
Pole San kaka yangu Mungu mukuuu eveee.
Polee sana lisu
Allah atazidi kukulinda. Mh Lissu
Pole sana kaka
Pole sana mheshimiwa
Mungu ni mwema
Pole
Mungu atukuzwe kwa kumponya mweshimiwa tundu lisu
Nairobi hospital ni hospitali nzuri sana.Hapo ndipo Magufuli alipofia.Wadanganyifu waliosema alifia Zena
Mungu akutunze na Aliokusudia mungu Amsamehe Tu.
Glory belong to the Lord
Hakika mungu nikuuu kuliko kituchochote ulinzi wake ni waajabu sana
Pole sana mwamba
Maisha,yapomikononi mwa muumba yeye pekee ajua mwisho wetu si wanadamu
Upo hai kweli tunamshukuru MUNGU
Kweli mungu ni mungu
Mungu.ni.mkuu.sana.alikutunza.kwanamna.yaajabu.naaendelelee.kukutunza.milele
pole sana
MUNGU ni mwema kila wakati
Mchukua camera unamshoot Sana mtangazaji.. Why
Pole kakaangu sisi tulikuombea dunia iliomba
Rais wa Kiimla John Pombe Magufuli alitaka kuua Tundu Lissu. Demokrasia ni muhimu kwa kila nchi.
Pole Sana lisu ila wore waliotekeleza wamelaaniniwa na familia zao Tena wafe
Unatakiwa umkumbuke mungu sana maana wengine risasi mmoja tu.unarudi kwa mungu wako
Pole Xn Mungu Atawalaani waliofny kitendo hicho
Amen 🙏🙏🙏🙏
🎉
Mungu mkuu
Mungu akusaidie ndugu lissu kweli utaishi miaka mingi na maisha marefu eti mpaka sasa waliofanya hayo ccm wanasema kuwa hawajaonekana ila ipo siku mungu atakuja kukulipia kiukweli.
GOD is Great ✨
Mungu nimwema 😮😮
Ungetibiwa na madoctor wa heshima wa bongo tungekusahau.
Duh!
Camera. Man crazy
Kidonda Cha kuingiza mkono halafu upone,ACHA siasa Mzee.
Wange kuua kabsa msalit wataifa ww sema kitukibovu akipotei
Kikulacho unakijua, Wenyewe huko chamani mnajuana...
Duh
QR 😭
Msifufue mambo tena
Ndo uokokeee
Sasa kwanini.unaupenda ushoga.unasapoti
Maumivu uko nayo ndio mpka sai uko na asira.2baridi ikija lzima usikie
Ilo tako kwenye kava mzee
Itoahe kusema mungu ni mkubwa Na mungu ni Fundi
TAYARI
Bora wewe ulipona je ulowasababishis mauaji Zanzibar huna hakili wewe kibalaka wa mabebelu
Afrika iko wapi tanzania amka dah! Mzee huyu anaongea ujinga gani na watu wanamuamini , elimu elimu elimu hatuna ndo mana mmefungwa akili zenu,
Hayo yameishapita! Lete sera zako za kujenga nchi. Umebakia kulialia tu na kutafuta huruma kwa watanzania. Huu ni ubinafsi ambao unazaa wizi na ufisadi.
Fara sana kuma la mamaako
Kwakuwa huna roho ya huruma na kibinadamu
Ila ingekuwa ni wewe ungesahau kusimulia anvyosimulia lissu
Kuwa na huruma je ingekuwa wewe je au familiya yako
Si anajibu anachoulizwa mwandishi amemuuliza hivyo yeye ajibu sela wew mwenyewe tena utasema hajielewi
Kwanini viongoozi mnategemewa nauma halafumna mnapenda kuzungumzia uzaifu mlionao wananchi tunawatengemeanyie
HIVI WEWE MATREND YOOOTE YALIYOTOKEA BONGO WEWE BADO UNARUDIA HAYOHAYO KILA SIKU...
EBU ONGEA VITU VYA KISASA HAYO MAMO ZAKO HATUZIPENDI NA WALA HATUKUONEI HURUMA ...TUNATAKA SIASA ZA MAENDELEO SIO MAKELELE NA MARADHI YAKO KAMA VILE MTU SPECIAL ACHA HIZO TUFANYE MAENDELEO.
KIFUPI HATUTAKI MARADHI YAKO.
Mjinga wewe usiokua na utu wala ubinadamu. Wala hujielewi.
Umelaaniwa hekima na busara omba Sana hekima
Wewe hujitabuwi
@@faustinejemsi1488 wewe unaejitambua tueleze atasimulia hadi lini ili tusubiri sera tusimalize mb kwa historia
@@mamboshepea8888 wewe unataka sele zipi hama poiti zake huzielewi ana kisema utajuwa kipi
Pole sana
Mungu ni mwema.
Pole Sana kaka umepitia mazito Sana ila jua mlipaj hafi atabaki milele hatar yaani unamfanyia mwenzio unyama kama huu utafikir mtu ataish milele😢😢😢😢
Pole sana
Pole sana shujaa wa watatanzania na dunia Kwa ujumla, Mungu akutunze zaidi, wewe ulikuwa mtetezi wa wanyonge, Mungu hasahau kazi ya mtu, atakuinua zaidi.
Mungu amekutetea lisu
Duh viongoz waliohusika sijui huwa wanajisikiaje Mungu awarehemu😢😢😢😢
HUYU SIASA ZAKE ZA KIBWEEEGE TUPE MIKAKATI ACHA MASTORY YAMEOITWA HAYO ... UNAJIOYA GANI LA MARNDELEO TUKUSIKILIZE?
Sio kwamba wew ndio bwege ndg yangu
Mungu mkubwa kaka
M
Pole sanaaaaaaaaaa Alie kufanya Ivo alishakufa mkundu yuleeee
😂😂😂😂
Duhhhhh!!!!