TUNDU LISSU: NINA MAKOVU YA KUTOSHA/ UTAKIMBIA/ NINA KIRAKA KWENYE 'KALIO'/ HUTATAMANI KUONA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 96

  • @mjukuumoraa8491
    @mjukuumoraa8491 Год назад +19

    Mungu nimwema Aka amepigwa risasi 1 kafa huyu zote hizo doh! Mshukuru mungu sana mkuu

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 Год назад +7

    nakukubali sana mwandishi unamaswali tenchical big up

  • @fransiscajohn4373
    @fransiscajohn4373 2 дня назад

    Pole sana mungu aendelee kukulinda

  • @fredyshirima8594
    @fredyshirima8594 Год назад +8

    Kumbe ni bora umtakie mwenzio maisha marefu kuliko kumtakia u mauti, sasa alietaka lissu afe kafa yeye, kweli mungu ni wa people's ✌

    • @Muda27
      @Muda27 Год назад +1

      Pole sana maana upo kizani.

    • @fredyshirima8594
      @fredyshirima8594 Год назад +1

      Ni vigumu kueleweka

    • @CalsonMbisha-iw4co
      @CalsonMbisha-iw4co 7 месяцев назад

      Kizur akidum ona mzalendo kaondoka msalit pamoja nakushambuliwa Bado afi

  • @graceanalukinga7551
    @graceanalukinga7551 Год назад +6

    Dah.... ni mkono wa Mungu tu kukuweka hai mpaka leo,mshukuru sana

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 2 дня назад

    Daa inasikitisha Sana nikitu chakujiuliza mungu kwann amemuacha huyu mwamba anakazi gani nayeye anataka kuifanyia nn tz na Dunia

  • @loishiyemollel8071
    @loishiyemollel8071 Год назад +3

    Mungu ana kusudi na maisha yako Utukufu kwa Mungu

  • @daudndunguru2856
    @daudndunguru2856 Год назад +4

    Pole sana

  • @lemausontz3513
    @lemausontz3513 Год назад +4

    Ashukuriwe Mungu Alie juu

  • @stellakagemlo8095
    @stellakagemlo8095 Год назад +1

    Pole sn naomba umrudie mungu achana na siasa

  • @mjungatv8172
    @mjungatv8172 Год назад +1

    Daah mungu ni mwema sana mzee wangu Allah azidi kukupa Afya njema

  • @DoricasJeremia
    @DoricasJeremia Месяц назад

    Asiee pole sana

  • @batwelimahenge7850
    @batwelimahenge7850 Год назад +3

    Lisu. Unanifulahisha sana mungu akupe miaka mingi sana hata ukifa usioze

  • @zuwenaomar4201
    @zuwenaomar4201 Год назад +1

    Alietaka ufe mungu amzidishie laana na adhabu huko Alipo popote

  • @rehemadaudi4390
    @rehemadaudi4390 Год назад +1

    Pole San kaka yangu Mungu mukuuu eveee.

  • @maigathomas2353
    @maigathomas2353 Год назад +3

    Polee sana lisu

  • @AP-uk3mq
    @AP-uk3mq Год назад

    Allah atazidi kukulinda. Mh Lissu

  • @MwanahamisiJumanne-v4g
    @MwanahamisiJumanne-v4g 5 месяцев назад

    Pole sana kaka

  • @tabithasalimu3617
    @tabithasalimu3617 Год назад

    Pole sana mheshimiwa

  • @faustinejemsi1488
    @faustinejemsi1488 Год назад +1

    Mungu ni mwema

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 Год назад +2

    Pole

  • @officialkinghimself2637
    @officialkinghimself2637 Год назад

    Mungu atukuzwe kwa kumponya mweshimiwa tundu lisu

  • @vitalgiddy04
    @vitalgiddy04 5 месяцев назад

    Nairobi hospital ni hospitali nzuri sana.Hapo ndipo Magufuli alipofia.Wadanganyifu waliosema alifia Zena

  • @swadatimmbaga7435
    @swadatimmbaga7435 Год назад

    Mungu akutunze na Aliokusudia mungu Amsamehe Tu.

  • @lenardwanjala4836
    @lenardwanjala4836 Год назад +4

    Glory belong to the Lord

  • @BarakaZakayo-o4l
    @BarakaZakayo-o4l 6 месяцев назад +1

    Hakika mungu nikuuu kuliko kituchochote ulinzi wake ni waajabu sana

  • @BarakaGilbart
    @BarakaGilbart 5 месяцев назад

    Pole sana mwamba

  • @emanuelbukhay8790
    @emanuelbukhay8790 Год назад +4

    Maisha,yapomikononi mwa muumba yeye pekee ajua mwisho wetu si wanadamu

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Год назад +1

    Upo hai kweli tunamshukuru MUNGU

  • @BARAKARNDEPESIMUIMBAJI-zj7fo
    @BARAKARNDEPESIMUIMBAJI-zj7fo 3 месяца назад

    Kweli mungu ni mungu

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 Год назад +1

    Mungu.ni.mkuu.sana.alikutunza.kwanamna.yaajabu.naaendelelee.kukutunza.milele

  • @azuwaniriziwani2695
    @azuwaniriziwani2695 Год назад

    pole sana

  • @msafirizakayo539
    @msafirizakayo539 Год назад +3

    MUNGU ni mwema kila wakati

  • @mamaabduly
    @mamaabduly Год назад +3

    Mchukua camera unamshoot Sana mtangazaji.. Why

  • @rebecashumbi3450
    @rebecashumbi3450 Год назад

    Pole kakaangu sisi tulikuombea dunia iliomba

  • @rodgersashioya3710
    @rodgersashioya3710 Год назад +1

    Rais wa Kiimla John Pombe Magufuli alitaka kuua Tundu Lissu. Demokrasia ni muhimu kwa kila nchi.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Год назад

    Pole Sana lisu ila wore waliotekeleza wamelaaniniwa na familia zao Tena wafe

  • @seifali780
    @seifali780 Год назад +1

    Unatakiwa umkumbuke mungu sana maana wengine risasi mmoja tu.unarudi kwa mungu wako

  • @aminatasaid8531
    @aminatasaid8531 Год назад

    Pole Xn Mungu Atawalaani waliofny kitendo hicho

  • @zephaniamoson3632
    @zephaniamoson3632 Год назад +1

    Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @UwezoMponda
    @UwezoMponda Месяц назад

    🎉

  • @AmosRugaimukamu
    @AmosRugaimukamu 6 месяцев назад

    Mungu mkuu

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u 20 часов назад

    Mungu akusaidie ndugu lissu kweli utaishi miaka mingi na maisha marefu eti mpaka sasa waliofanya hayo ccm wanasema kuwa hawajaonekana ila ipo siku mungu atakuja kukulipia kiukweli.

  • @andrewshustle1331
    @andrewshustle1331 Год назад

    GOD is Great ✨

  • @jasminehaland-ko4qs
    @jasminehaland-ko4qs Год назад

    Mungu nimwema 😮😮

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Год назад +1

    Ungetibiwa na madoctor wa heshima wa bongo tungekusahau.

  • @zachariakishaluli4234
    @zachariakishaluli4234 Год назад

    Duh!

  • @GodfreyLukoo-c4y
    @GodfreyLukoo-c4y 7 месяцев назад

    Camera. Man crazy

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 Год назад

    Kidonda Cha kuingiza mkono halafu upone,ACHA siasa Mzee.

  • @CalsonMbisha-iw4co
    @CalsonMbisha-iw4co 7 месяцев назад

    Wange kuua kabsa msalit wataifa ww sema kitukibovu akipotei

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz Год назад

    Kikulacho unakijua, Wenyewe huko chamani mnajuana...

  • @shabanisudy6493
    @shabanisudy6493 Год назад

    Duh

  • @fatamaaktar2359
    @fatamaaktar2359 Год назад

    QR 😭

  • @kiboshokibosho-ou6um
    @kiboshokibosho-ou6um Год назад

    Msifufue mambo tena

  • @tullyseth
    @tullyseth Год назад

    Ndo uokokeee

  • @ismailyaru679
    @ismailyaru679 Год назад

    Sasa kwanini.unaupenda ushoga.unasapoti

  • @mdalamgir-gu9hu
    @mdalamgir-gu9hu Год назад

    Maumivu uko nayo ndio mpka sai uko na asira.2baridi ikija lzima usikie

  • @BON357
    @BON357 Год назад

    Ilo tako kwenye kava mzee

  • @danielmgeni1703
    @danielmgeni1703 Год назад

    Itoahe kusema mungu ni mkubwa Na mungu ni Fundi

  • @frankmbwilo
    @frankmbwilo Год назад

    TAYARI

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Год назад

    Bora wewe ulipona je ulowasababishis mauaji Zanzibar huna hakili wewe kibalaka wa mabebelu

  • @samweljikxo9259
    @samweljikxo9259 Год назад

    Afrika iko wapi tanzania amka dah! Mzee huyu anaongea ujinga gani na watu wanamuamini , elimu elimu elimu hatuna ndo mana mmefungwa akili zenu,

  • @machaggechacha3422
    @machaggechacha3422 Год назад +1

    Hayo yameishapita! Lete sera zako za kujenga nchi. Umebakia kulialia tu na kutafuta huruma kwa watanzania. Huu ni ubinafsi ambao unazaa wizi na ufisadi.

    • @husseinmillinga
      @husseinmillinga Год назад +1

      Fara sana kuma la mamaako

    • @boniphacewambura1427
      @boniphacewambura1427 Год назад +1

      Kwakuwa huna roho ya huruma na kibinadamu
      Ila ingekuwa ni wewe ungesahau kusimulia anvyosimulia lissu

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Год назад

      Kuwa na huruma je ingekuwa wewe je au familiya yako

    • @makobamasawemangu4122
      @makobamasawemangu4122 Год назад

      Si anajibu anachoulizwa mwandishi amemuuliza hivyo yeye ajibu sela wew mwenyewe tena utasema hajielewi

  • @hashimuntunda7405
    @hashimuntunda7405 Год назад

    Kwanini viongoozi mnategemewa nauma halafumna mnapenda kuzungumzia uzaifu mlionao wananchi tunawatengemeanyie

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Год назад +1

    HIVI WEWE MATREND YOOOTE YALIYOTOKEA BONGO WEWE BADO UNARUDIA HAYOHAYO KILA SIKU...
    EBU ONGEA VITU VYA KISASA HAYO MAMO ZAKO HATUZIPENDI NA WALA HATUKUONEI HURUMA ...TUNATAKA SIASA ZA MAENDELEO SIO MAKELELE NA MARADHI YAKO KAMA VILE MTU SPECIAL ACHA HIZO TUFANYE MAENDELEO.
    KIFUPI HATUTAKI MARADHI YAKO.

    • @mohamededdi7527
      @mohamededdi7527 Год назад +1

      Mjinga wewe usiokua na utu wala ubinadamu. Wala hujielewi.

    • @Oboss_billharvester
      @Oboss_billharvester Год назад +1

      Umelaaniwa hekima na busara omba Sana hekima

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Год назад +1

      Wewe hujitabuwi

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Год назад +2

      @@faustinejemsi1488 wewe unaejitambua tueleze atasimulia hadi lini ili tusubiri sera tusimalize mb kwa historia

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Год назад

      @@mamboshepea8888 wewe unataka sele zipi hama poiti zake huzielewi ana kisema utajuwa kipi

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa7223 Год назад +2

    Pole sana

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 Год назад

    Mungu ni mwema.

  • @SaidOmar-iw9kk
    @SaidOmar-iw9kk 19 часов назад

    Pole Sana kaka umepitia mazito Sana ila jua mlipaj hafi atabaki milele hatar yaani unamfanyia mwenzio unyama kama huu utafikir mtu ataish milele😢😢😢😢

  • @nzaukavutu9177
    @nzaukavutu9177 Год назад +3

    Pole sana

    • @selinalawala2270
      @selinalawala2270 Год назад

      Pole sana shujaa wa watatanzania na dunia Kwa ujumla, Mungu akutunze zaidi, wewe ulikuwa mtetezi wa wanyonge, Mungu hasahau kazi ya mtu, atakuinua zaidi.

    • @lwitikomusa1712
      @lwitikomusa1712 Год назад

      Mungu amekutetea lisu

  • @ElinahStephano
    @ElinahStephano День назад

    Duh viongoz waliohusika sijui huwa wanajisikiaje Mungu awarehemu😢😢😢😢

  • @mohamedhamsini9106
    @mohamedhamsini9106 Год назад

    HUYU SIASA ZAKE ZA KIBWEEEGE TUPE MIKAKATI ACHA MASTORY YAMEOITWA HAYO ... UNAJIOYA GANI LA MARNDELEO TUKUSIKILIZE?

  • @MwanahamisiJumanne-v4g
    @MwanahamisiJumanne-v4g 5 месяцев назад

    Mungu mkubwa kaka

  • @jumakika6285
    @jumakika6285 11 часов назад

    M

  • @fiudikasitu3560
    @fiudikasitu3560 Год назад +2

    Pole sanaaaaaaaaaa Alie kufanya Ivo alishakufa mkundu yuleeee

  • @leonardsasita4634
    @leonardsasita4634 Год назад +2

    Duhhhhh!!!!