MAJIBIZANO MAKALI, WAZAZI WA WANAFUNZI, WALIMU NA MUHIFADHI "SIMUACHI MWANANGU PORINI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 567

  • @PeninaMlaponi
    @PeninaMlaponi 11 часов назад +65

    Bwana Yesu fanya njia pasipo na njia, umefanya mengi na hili utatenda Bwana

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 8 часов назад +2

      Weee bibi kaa kimya huna cha maana. Kama hawana uzoefubona mlitoa kibali. Nyie mliotoa kibali mnamakosa hamkuzingatia idadi ya watoto na walimu wasiamamizi pia. Kama kulikuwa nanusimamizi mtoto asingepotea.

    • @officialmanji4438
      @officialmanji4438 8 часов назад

      Amina

    • @khadejakhadeja9713
      @khadejakhadeja9713 7 часов назад

      Ameen Ameen

    • @AverinaShirati
      @AverinaShirati 4 часа назад

      Shule za private mtoto akipata matatizo hawana ushirikiano

    • @Kutaila99
      @Kutaila99 Час назад

      Badala kumuomba mungu ety yesu fanya yesu atafanya nini

  • @jemimabakari
    @jemimabakari 9 часов назад +53

    Imani yangu inaniambia huyu mtoto ametoka kwenye huo msitu,yupo mahala na Mungu amlinde tu awe salama.

    • @PendoMatemba
      @PendoMatemba 9 часов назад

      Inaumiza 😢

    • @paulajoho2223
      @paulajoho2223 8 часов назад

      Ameeen! Ameeen! Hallelujah!

    • @moriskadungula9353
      @moriskadungula9353 7 часов назад +2

      Kikubwa waendelee kujituma wamtafute ili kama amepotea wanusuru na njaa.

    • @winnievincent9063
      @winnievincent9063 6 часов назад +2

      Amina, hata mimi naamini ivyo. Mungu asimame kwenye hili.

    • @magrethmollel1078
      @magrethmollel1078 6 часов назад

      Na iwe hivyo Bwana Yesu fanya njia

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan 12 часов назад +46

    Mungu amlinde mtoto huko alipo,, nimependa huyo mama uongeaji wake anaongea kwa hekma sana na upole, unyenyekevu ,, kingine hawezi ruhusu walimu waliopoteza mtoto wawepo anajua amani hawezi kuepo wanaweza kupigwa,, subhanallah mungu amlinde mtoto😢😢😢😢

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 11 часов назад +18

    Mungu wetu ulie muaminifu sana hujawahi kushindwa,mie nisiewajua hawa watu wote mpaka mtoto simjui lkn naona naumia sana mungu, naomba tusaidie Mungu kijana apatikane salam

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 11 часов назад +29

    Mimi naona serikali iingilie hili swala waletwe wanajeshi wasambae mlima wote kwa uwezo wake mungu atapatikana akiwa hai inshhaallah

    • @NeemaSamueli
      @NeemaSamueli 10 часов назад +3

      Wazo zuri maskin daaa

    • @bintalmasi2393
      @bintalmasi2393 9 часов назад +4

      Joel hayuko mlimani, kuna mama alimwona akishuka akiwa na backpack, kuna mahali kajificha pengine alikuwa hataki kurudi shule, watoto wa umri huo huwa na matukio sana

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 9 часов назад +2

      ​@@bintalmasi2393Kuna mtu kaongea aliona mtoto anashuka na begi???km ni hivyo basi yupo sehemu salama

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 9 часов назад +2

      @@bintalmasi2393 mmh kumbe alionekana inawezekana unalosema mungu amuongoze jamani maana anawanyima usingizi wazazi wake.

    • @nishaabdula5015
      @nishaabdula5015 8 часов назад

      ​@@bintalmasi2393we nae ck zote ajifiche porini na kuna wanyama wkali ss nakula. Nn ck zote izo

  • @Jokha1Jokha
    @Jokha1Jokha 10 часов назад +14

    Pole sana wazazi mungu awape subra ktk kipindi hiki kigumu inshallah kwa uwezo wa mungu atapatikana akiwa mzima.jamani dini zetu zote mbili tumuombee huyu mtoto apatikane

  • @victoriapatrick9840
    @victoriapatrick9840 11 часов назад +24

    Jamani msibishane tuendelee kutafuta na kuomba Mungu kitu kibaya kisimpate mtoto afu watembee na kipaza sauti sio kuzunguka tu mbuyu😔😔

  • @mariamfataki8025
    @mariamfataki8025 12 часов назад +67

    Daaah! Hili jambo linaninyima usingizi mimi sina raha kabisa japo simjui huyu mtoto lkn imeniumiza sana. Eee Mungu mtetee mja wako😭😭

    • @MwanaHamis-y4e
      @MwanaHamis-y4e 11 часов назад +1

      Sana inauma kwelii aingii aiikilini kwann awakuwa makini walimu na walizi wa ifadhi

    • @RodaMaganga-ye6ye
      @RodaMaganga-ye6ye 10 часов назад +1

      Daaah inauma Sasa jamani kakijana kazuri kweli

    • @AlHamra-k4u
      @AlHamra-k4u 10 часов назад

      Yani walimu hapo inatakiwa muwe wapole msitake kujibizana na mzazi makosa mnayo nyinyi kwanini hamkuwa makini na wanafunzi. Heee uwiii Dunia simama

    • @gamgangweesechota3589
      @gamgangweesechota3589 10 часов назад +2

      Ukiwa mzazi lazima uumie tu

    • @HusnaMtitiko-yt4ru
      @HusnaMtitiko-yt4ru 10 часов назад

      Ila mm iman yangu Inaniambia yupo ni kapotea tu huko aliko yupo salama​@@MwanaHamis-y4e

  • @ShabaniMsati-f9j
    @ShabaniMsati-f9j 11 часов назад +13

    Ahsante mama mungu kakujalia hekima mungu atafanya njia

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 10 часов назад +10

    Mama una hekima ❤
    Mungu mkuu wa mbinguni aendelee kuongoza

  • @JossephMsumeno
    @JossephMsumeno 9 часов назад +21

    Huyo Mhifadhi ana hekima Sana

  • @apostlemussaonlinetv
    @apostlemussaonlinetv 12 часов назад +14

    Hili jambo nigum kwa hii familia hii Mungu awatie nguvu kwakweli

  • @yousuphnzira3209
    @yousuphnzira3209 11 часов назад +23

    Inauma Sana Ila nashauri kwa wenye uwezo wa Kutoa DRONES zikatumika kusaidia kumtafuta mtoto zingetumika kwasababu zina uoni wa eneo kubwa.Niushauri tu sjui kama inawezekana kwasababu Sina uzoefu wa Drone.Millad ayo Anza na ya kwako.

  • @victormwageni1551
    @victormwageni1551 10 часов назад +17

    Mtoto atapatikana salama kwa jina la Yesu

  • @PeninaMlaponi
    @PeninaMlaponi 11 часов назад +10

    Mungu wa mbinguni hakuna jambo gumu la kukushinda, wateteee wazazi hawa , tuokoe Tanzania yetu iwe na amani, turehemu Bwana Yesu Kristo uliye hai ingilia kati,

  • @user-fe8cu4xw3w
    @user-fe8cu4xw3w 9 часов назад +9

    Mungu mwema atamjaliya mtoto atapatikana 2 ishalah

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 9 часов назад +7

    Nimpenda Uyoo Mama Wa Ifadhi Wa Misitu Amejua Kuwatuliza Na Kuwashusha Pressha Inajulisha Uyuu Mama wa Ifadhi Ana Busara Sana

  • @elizabethmassi7327
    @elizabethmassi7327 11 часов назад +17

    Huyu mzee pamoja na anaimia lakini ana asili ya hasira,hiki sio kipindi cha kukasirika ni cha kushirikiana ,si kwamba waalimu hawaumii hawawezi kuwa na furaha kwa kitendo kama hicho hata kama wasingekuwa nae akapotea kivyake wangeumia tu.Maneno ya hasira hayasaidii baba mshirikishe Mungu acha kuwalaumu waalimu haisadii na wala hawana makosa wana uchungu pia

    • @CosmasErnest-i3t
      @CosmasErnest-i3t 10 часов назад +1

      Walimu kutokuwepo ni njia y usalama unafikiri kw hasira Hy c watawapga. Baba acha hasira mungu akusaidie

    • @zamzanimakundi2546
      @zamzanimakundi2546 10 часов назад

      Walimu wana uchungu kuliko wazazi

    • @bintmrisho3526
      @bintmrisho3526 10 часов назад +3

      Hapana hata ingekua ni wewe kwa kipindi cha sasa hivi hali ilivyo weeh unweza sema wamesha muuza mtoto wako hali ni mbaya sasa hivi

    • @isackkimaryo8637
      @isackkimaryo8637 10 часов назад +1

      Mara paap mtoto yupo Ngulelo anajifunza Ku raap. Kizazi cha sasa kimebadilika sana tuombe kijana apatikane

    • @rahema1992
      @rahema1992 9 часов назад +4

      Jmn kupotelewa kwa mtt ckilizieni tu huyo mzee lazima awe na jazba anaumia jmn

  • @ireneshao7950
    @ireneshao7950 11 часов назад +10

    Mungu unaona vile wazazi wanavyo ummia baba wasaidie Joel apatikane akiwa mzima

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 11 часов назад +8

    Mwalimu Ka ongea vzr jamn nimempenda ❤

  • @basumegheMbotwa
    @basumegheMbotwa 8 часов назад +5

    Mama anaongea kwa hekima sana Mungu amulinde mtoto apatikane🙏🙏

  • @SALOMESEKIJA
    @SALOMESEKIJA 11 часов назад +17

    huyu mama wa hifadhi anaongea kwa ustaarabu sana jamani

  • @FATHIYA002
    @FATHIYA002 10 часов назад +6

    Hongera mama Kwa hekma zako tuombe Dua apatikane mzima

  • @neemamsuya6098
    @neemamsuya6098 10 часов назад +10

    Wazazi mungu awaongoze unaweza kuwa mtoto kaamua maisha mengine asijewatia aibu tu muweke akiba ya maneno anaweza kuwa karudi mtaani huko

  • @lilmojr7
    @lilmojr7 11 часов назад +6

    Mimi naomba serikali iingilie hili swala waletwe askari jeshi wasambae mlima wote kijana atapatikana kwa uwezo wa mungu.

  • @gloryleonard1563
    @gloryleonard1563 11 часов назад +6

    Ooh! Mungu saidia watoto wetu shirikisheni pia watumishi wa Mungu waombe jamani inauma.

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 11 часов назад +7

    Hili jambo limenigusa sana mungu awafanyie wepesi

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 часа назад +1

    Dada anahekima sana nimempenda sana wazazi poleni sana mungu wetu aliye juu atamfanyia wepes mtt huyu apatikane awe hai mwenyezi mungu amrinde

  • @fridageorge2809
    @fridageorge2809 6 часов назад +1

    Mwenyezi Mungu tutie Nguvu!wazazi tunaumia sana kuona mambo kama haya! Yaani ukifikiria inaumiza.

  • @AgnelaMapunda
    @AgnelaMapunda 10 часов назад +2

    Poleni sana wazazi ,walimu na jamaa wote , lakini tumuombe sana mungu maana kwake hakuna jambo gumu ,mungu amsaidie sana mtot huyo popote alipo aonekane

  • @WinnieKasambala
    @WinnieKasambala 4 часа назад +1

    Ahsante Mwalimu❤,Atapatikana,tuwe na imani hiyo hiyo

  • @SalhaRamadan
    @SalhaRamadan 11 часов назад +10

    Nahofia asije kua kamezwa na chatu yarrab😢😢😢😢

    • @GraciuosGeofrey
      @GraciuosGeofrey 11 часов назад +4

      Wengine si wamerudi jamani ina maana walikuwa hawaongozani

    • @SalhaRamadan
      @SalhaRamadan 11 часов назад +2

      @@GraciuosGeofrey kuna maswali mengi ila natamani mwalimu au mwanafunzi au rafiki zake waeleze walimkosa wakiwa wapi??
      Kwenye huo mlima wakati wanaanza safari wale waongoza mlima walihakiki kwa majina watoto??
      Ndugu naona kuna uzembe umefanyika afu hiyo shule inasifika kwa ukali walimu wakali iweje walishindwa kutumia ukali wao kulinda watoto kwenye mambo hayo,, mwaka juzi mtoto wa anko alichelewa lisaa limoja kufika shule kafika saa 11 jioni akarudishwa hawakujali katokea mkoa wa mbali au wanamrudisha huyo mtoto atalala wapi wanauupuzi mwingi mtoto alilala guest kungoja mzazi ili ampeleke shule na wakatozwa faini elfu 30 kisa kachelewa mwalimu mkuu anaambiwa ni sababu ya usafiri lakini hakuelewa kabisa,,, shule la ovyo sana

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 9 часов назад

      Yaan wewe una mawazo mazuri kwa huyu mtoto unamuwazia tu mawazo mabaya..

    • @rosemarysweya2875
      @rosemarysweya2875 7 часов назад

      Anammeza na nguo?

    • @HabibuHoseni-sv8hd
      @HabibuHoseni-sv8hd 5 часов назад +1

      Me najiuliza pia kama uyu dg hana rafiki ama ni vip

  • @stephanokanyika6321
    @stephanokanyika6321 10 часов назад +1

    Eee Mungu wa Rehema na Upendo tusaidie mtoto apatikane akiwa hai, tunajua wewe unaweza kufanya njia pasipo njia, Yesu jitukuze ktk hili ili jina lako litukuzwe, Amen

  • @ERICAHMWAKILUNGU
    @ERICAHMWAKILUNGU 2 часа назад +1

    Mungu amfichue huyu mtoto Kwa jina la Yesu...Mungu utusikie

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 11 часов назад +6

    Ee Mungu na mwombezi wetu, tunakuomba Mungu baba umlinde huyu mtoto na aweze kupatikana akiwa hai, ee Mungu wewe hakuna linalo kushinda Mungu itetee familia hii yenye uchungu mwingi, mtoto mpendwa apatikane akiwa hai. Mungu sikia kuomba kwetu Amina

  • @muhidinally3460
    @muhidinally3460 8 часов назад +1

    Poleni sana wazazi mungu atafanya wepesi.mtoto wetu atapatikana angali mzima..

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 2 часа назад +2

    Wapendwa, hebu tuamini huyu moto yupo mahali, watu huko alipo hakuna mawasiliano, tumuombe Mungu amlinde...wazazi jipeni moyo huku mkiendelea kuomba.

  • @mwanaishamasoud
    @mwanaishamasoud 11 часов назад +2

    Eeh mungu mjalie huyu mtoto alipo awe salama mama ana maumivu makali mno mungu awape subra

  • @Hakuzwe
    @Hakuzwe 11 часов назад +2

    Mungu wangu saidia uyu mutoto apatikane.Kutoka Zambia.

  • @geraldsenkondo4334
    @geraldsenkondo4334 10 часов назад +3

    Pole sana mzazi. Lakini punguza hasira . Kila mwalimu anaumia kama wewe jitahidi kijizuia.

  • @AnnaFelix-p1z
    @AnnaFelix-p1z Час назад +1

    Safi sana dada imani yako itawaponya tuwena imani

  • @lujekomtawa328
    @lujekomtawa328 3 часа назад +1

    Eeeh Mungu,najaribu kuvaa viatu vya hawa wazazi nahisi machozi hadi ndani ya moyo wangu.Mungu awatie nguvu

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 10 часов назад +1

    Poleni wazazi, study tour Kuna mengi yanaweza tokea. Tuwe na subra tumtafute atapatikana tuu.

  • @ChristinaOnditi-el3xo
    @ChristinaOnditi-el3xo 11 часов назад +2

    Poleni wazazi, na feel mnavojiskia., unmeasurable pain so sad 😭

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 11 часов назад +3

    Inauma Kwa kweli ukifikilia kwann mwalimu na uyo askali aliluhusu mtt kuhama grop tumuombee tu jaman lkn inauma pia tukifunze SKU zingne walimu tuwe makin na watt watt wanauma jaman naendelea kuwaombea jaman YESU amlejeshe vizuri

  • @alumonkisinda4574
    @alumonkisinda4574 11 часов назад +2

    mungu amlinde na wanyama wakali huko huko mabugani huko

  • @lymsannouncement2321
    @lymsannouncement2321 11 часов назад +3

    Wenzake wanasemaje kwani jamani
    Maana si walikua wanatembea kwa group au Kila mtu alijigawa kutafuta utafiti wake 😢😢😢😢😢

  • @sabteectanzaniaLimited
    @sabteectanzaniaLimited 5 часов назад +1

    Huyu mama very smart anaongea kwa busara iliyo pitiliza nazani wazo lake la kupambana kuendelea kutafuta waendelee kutafuta mwisho atapatikana akiwa salama

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 7 часов назад +2

    Mama unajibu kwa hekima sana sana unafaa kua kiongozi

  • @mwanahamisiswedi3093
    @mwanahamisiswedi3093 9 часов назад +1

    Maombi yetu wote, mtoto apatikane tena akiwa na afya njema. Mungu wetu msikivu, unayejibu tenda makuu zaid

  • @IssaJulius-x3v
    @IssaJulius-x3v 8 часов назад +1

    Ni wakati mgum sana kwa pande zote mbili walim, wazazi niombe sote muwekitu kimoja kushilikiana kumtafuta kijana wetu na tumtangulize mungu mbele tuwe na subra

  • @putilegamagama6049
    @putilegamagama6049 37 минут назад +1

    Kwa ushauri tu, kwa kuwa Ayo tv mmeweka kambi hapo basi mungerusha ndege nyuki(drones) pengine MUNGU akatenda jambo hapo. Kwa ushauri tu. Upendo Daima❤

  • @TausiMokiwa
    @TausiMokiwa 11 часов назад +3

    Ewe mwenyezi mungu msimamie mtoto wetu tumpate jaman inauma sana nikiwa kama mzazi

    • @Zaburi-
      @Zaburi- 11 часов назад +1

      Mungu/MUNGU sio mungu

    • @TausiMokiwa
      @TausiMokiwa 7 часов назад

      Acha usenge kenge we

  • @mohammedalishamis9405
    @mohammedalishamis9405 11 часов назад +1

    In shaa Allah Mola atajalia mtoto atapatikana kwa Rehma zake Mola
    Ni vizuri serikali itume jeshi la wananchi lina uzoefu mkubwa porini

  • @FaithOluouch75
    @FaithOluouch75 10 часов назад +1

    Inauma sana sema walimu lazima waendelee na majukumu ndomana Kuna mwakilishi inauma sana sana tuombe mungu ila ange kua sio mzima mngemkuta lazima atakua salama

  • @Dorka12-n7b
    @Dorka12-n7b 10 часов назад +1

    God relocate the boy wherever he is protect the boy with the blood of Jesus

  • @yuahahmad6651
    @yuahahmad6651 9 часов назад +1

    Nimependa huyo dada anaongea kwa upole sana ❤

  • @FatmaHamad-g6s
    @FatmaHamad-g6s 11 часов назад +2

    Mtoto anauma jamani bora afe uzike kuliko hivi Mungu wape subra wazazi hawa wanapitia magumu

  • @ZainbAbubakary
    @ZainbAbubakary 11 часов назад +1

    Inaumiza sana MUNGU awatie nguvu familia na atulindie mtoto wetu popote pale alipo

  • @HappynessSoli
    @HappynessSoli 6 часов назад +1

    Daah yaan wazaz wanayopitia kuhusu kupotelewa na mtoto wao inaumiza sana vaa viatu vya wazazi hawa daah inauma sana

  • @gladnessfinda7534
    @gladnessfinda7534 4 часа назад +2

    Hili ni gumu kwa wote jamani.
    Wapendwa tuombe Mungu alifanyie wepesi hili kwa lote

  • @johnsangida5158
    @johnsangida5158 6 часов назад +1

    Jambo gani uziloliweza Ee Mungu mdgo wangu Joely upatikane😢

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 11 часов назад +2

    Mm nahisi ingekuwa vizur waingie mtaani wakishirikiana na uongozi wa mtaa wafanye msako nyumba kwa nyumba 😢😢

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 7 часов назад

    MILLARD AYO WAANDISHI WAKE WAPO VIZURI KWELI KWELI YANI. YANI WAME TRAINING WA VIZURI SANA safiii sanaa Millard 🙌🙌

    • @TunauzaSimu-fn2ff
      @TunauzaSimu-fn2ff 6 часов назад

      In shallah atapatikana. Mm nipo znz lkkn ni machozi. Inaumiza lkn tusubiri

  • @ChristinaHabiye-el3ni
    @ChristinaHabiye-el3ni 5 часов назад

    Mwenyezi mungu fanya uwepesi was hili jambo ,fungus njia mtt apatikani

  • @MsNajma-j7e
    @MsNajma-j7e 11 часов назад +3

    Kanti ya wanafundi mia kapotea mtto Moja tu sio kweri kunanamna hapo wanashindwa kutumia mbwa na edicopta

  • @bernadetaemmanuel1824
    @bernadetaemmanuel1824 5 часов назад

    Dahhh inaumiza sana Mwenyezi Mungu naomba huyu mtoto apatikan

  • @EmmanuelNdahya-ud5nj
    @EmmanuelNdahya-ud5nj 11 часов назад +2

    Huyo mzee hawezi kuelewa koz saikologie yake haiko sawa d poleni sana

  • @AsiphiwePhilemon
    @AsiphiwePhilemon 7 часов назад

    Joeeeliiiiiiiiiii njooo baba ako anateseka na mama Yesu Fanya muujiza

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania 10 часов назад +1

    Poleni sana kuna maswali mengi yakujiuliza kwenye hili tukio ila mungu ndo mjuzi wallah maumivu yake si yakitoto.😢😢😢

  • @AgnesMiyi
    @AgnesMiyi 5 часов назад

    Mwenyezi mungu amfanyie wepesi kijana huko alipo awe na na nguvu na afya kwa mkono wa mungu unanguvu atapatikani

  • @jemimabakari
    @jemimabakari 9 часов назад +2

    Baba usilaumu,walimu walikua na nia njema, bahati mbaya imetokea,shirikianeni mtoto apatikane.Mungu atasaidia.Wekeni akiba ya maneno wazazi.

  • @GetrudeMekere
    @GetrudeMekere 8 часов назад +1

    Mimi naamini mtoto yuko Mwenyezi Mungu amtangulie tu huko aliko

  • @maryobedi6807
    @maryobedi6807 10 часов назад +2

    MUNGU mlinde huyo mtoto popote alipo,,arudi mikononi mwa wazazi wake inshallah

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 8 часов назад

    Amina baba uliekamata chupa, imani yako inakwenda kumrejesha Joel amina

  • @pielefrank4087
    @pielefrank4087 10 часов назад +3

    Mama ana element zote za uongoz

  • @FridawoyaAgustini
    @FridawoyaAgustini 7 часов назад

    Polen sana dada unaelewesha vizur sana mungua awape wepisi apatikane kwa wakati

  • @emanuelnassoro1973
    @emanuelnassoro1973 10 часов назад +1

    Eeee mwenyezi mungu ninakuomba kwa unyenyekevu mkubwa nikiwa mbele zako uwasikie haja ya moyo wao wazazi hawa nawe yesu kristo mwenye mamraka yote ulimwenguni nawe kwa uwezo wako unajuwa mahali alipo huyo mtoto ninakuomba bwana umrudishe kwa uwezo wako na utukuzwe daima AAMEN

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be Час назад

    Mungu asaidie Joel apatikane akiwa hai, maana najua n miaka mingi hiyo shule inapeleka watoto hapo, lakin leo lawama zote zitakuwa kwa shule na walimu lakin hakuna siri chini ya jua, naamini walimu walikuwa hawana nia mbaya kabisa, ila likitokeaga alokutwa na ngozi ndio mwizi wa ngombe

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 11 часов назад +4

    Pia walimu ata wawil wawe na uyo baba inauma sana baba anaona walimu awaw karibu nae awampi ushilikiano na kaul zao waziangalie walimu hao wasijibu kawaida walimu ludin Kwa MUNGU na wazaz walud magotin mtt atakuja naamin kabsa YESU atamlejesha kabsa

    • @neemamdami7466
      @neemamdami7466 10 часов назад +2

      Bora wakae mbali huyu Baba anahasira anaweza akadhuru mtu

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 10 часов назад +1

    Dada umeongea kwa unyenyekevu nimependa mungu asaidie mtoto apatikane

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 2 часа назад

    Tunamuombea mtt wetu awe mzima mungu amrinde popote alipo amkinge na kila shali

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 6 часов назад +1

    masikini walimu eehe Mungu fanya apatikane

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 9 часов назад +1

    Umeongea vizuri sana dada angu ni kweli cha msingi ni kufocus kumtafuta mtoto,kwa uwezo wa MUNGU atapatikani,tuko pamoja kwenye maombi.

    • @priscillatumwesige4525
      @priscillatumwesige4525 8 часов назад

      Kila mmoja aliyeguswa Atamke neno kumuombea Mtoto apatikane akiwa salama.Maombi ya pamoja .Mungu anajibu.NATAMKA MTOTO MUNGU AMUWEKEE ULINZI WA MALAIKA .NDANI YA SIKU CHACHE ATAPATIKANA AKUWA MZIMA.ASANTE MUNGU

    • @priscillatumwesige4525
      @priscillatumwesige4525 8 часов назад

      Akiwa vs. AKUWA

  • @yasminjuma9146
    @yasminjuma9146 5 часов назад

    Ya Allah mjaalie mtoto aonekane na wazazi Tuzidi kuomba dua. . Kwa kweli mungu ndie anaejua yote

  • @neemalwiza4340
    @neemalwiza4340 10 часов назад +2

    Tafuteni kwa kutumia kipaza sauti ili uko aliko asikie sauti mtoto yupo sema atakuwa amekosa njia ya kutokea ,Mungu awawezeshe

  • @BahatiMateru-us7zt
    @BahatiMateru-us7zt Час назад

    Mungu akatende mema huyu mtoto apatikane inshaallah

  • @user-be4wt9ng2u
    @user-be4wt9ng2u 8 часов назад

    Eee Mungu wangu naomba umsaidie Joeli apatikane wazazi wanaumia inauma sana Mungu saidia wewe ndio mkuu wakila jambo Mungu nakuomba tujalie fanya wepesi Mola wangu nakupenda

  • @AnisaA-v4v
    @AnisaA-v4v 5 часов назад

    Mungu awatangulie asije akawa amekutana na anakonda yaraby fanya njia pasipo na njia

  • @aminaShabani-ox2kf
    @aminaShabani-ox2kf 6 часов назад +1

    Mama ana hekima sana,,naimani mtoto atapatikana

  • @AminaMfikwa
    @AminaMfikwa 5 часов назад +1

    Mungu yupo nanyi,dada nimekuelewa,tafuteni mtoto

  • @kennedyjohn8900
    @kennedyjohn8900 7 часов назад

    Mzazi awe mpole tu inawezekana kweli haikuwa lengo baya kuwapeleka huko basi katika kipindi hiki kigumu mungu awe katikati yenu shetani asipate nafasi mtoto bado yupo kwahiyo ataonekana tu

  • @user-cd8ge8mx7p
    @user-cd8ge8mx7p 7 часов назад

    Mungu utusaidieeee, Mungu huyu mtoto unamjua vixur na unajua alipo wape faraja wazazi wao, ndgu jamaa na marafiki

  • @aganolamotoeliya2027
    @aganolamotoeliya2027 11 часов назад +2

    Nikweli mwalimu hata mimi niko sumbawanga picha nimeiyona ikitokea namuona mtoto nitatoa ushirikiano.

  • @AnethElias-s9r
    @AnethElias-s9r 6 часов назад

    Pole sana Baba Joel maskini wa Mungu tayali umeshapungua yani umekonda kweli baba.. Mungu awatie nguvu wazazi wa mtoto Joel 😢

    • @samtin.
      @samtin. 6 часов назад +1

      Kwani uliona mwili wake wa awali mpaka useme hivyo dah nimejua kucheka japo tuna majonzi Joel hajapatikana

    • @hindusullu3900
      @hindusullu3900 3 часа назад

      😅😅​nnamasikitiko lkn nimecheka pia wallah@@samtin.

  • @AnethElias-s9r
    @AnethElias-s9r 6 часов назад

    Jamani Maoni yangu serikali ituongeze nguvu na jicho laziada kwakutumia Helcopter, wawakilishi wa serikalini waliopo apo wasaidie kufikisha ujumbe katika kitengo husika helcopeter ipatikane izunguke mlimani na maeneo jirani ata kama niwanyama wamemjeruh basi ataonekana na kama afya ilienda vibaya akadondoka pia anaweza onekana kisha helcopter izunguke maeneo hatarish zaid kubaini kama kuna lolote linaonekana, lakini pia tangazo la serikali zamitaa watangaze mtaa kwa mtaa na kipaza sauti endapo kuna yyt amepata fununu kuusu habar ya mtoto Joel.. asanteni na poleni sn kwayalio wakuta. Inauma sana Mungu awatie nguvu

  • @hellenmteki1863
    @hellenmteki1863 7 часов назад +1

    Mama umaomgeq vzr sana na kwa Hakika BWANA AKUBARIKI

  • @user-jn6ec7qv5p
    @user-jn6ec7qv5p 8 часов назад

    Daaaaah inaniuma meme 😢😢mungu fanya kitu tafadhal Mungu wangu huyu mtoto aonekane

  • @stonetown578
    @stonetown578 5 часов назад

    Mungu atajaalia aonekane akiwa salama. Poleni wazazi wa mtoto.

  • @deborahamisi9294
    @deborahamisi9294 3 часа назад

    Jamani poleni sana daaaaa