Weee bibi kaa kimya huna cha maana. Kama hawana uzoefubona mlitoa kibali. Nyie mliotoa kibali mnamakosa hamkuzingatia idadi ya watoto na walimu wasiamamizi pia. Kama kulikuwa nanusimamizi mtoto asingepotea.
Mungu amlinde mtoto huko alipo,, nimependa huyo mama uongeaji wake anaongea kwa hekma sana na upole, unyenyekevu ,, kingine hawezi ruhusu walimu waliopoteza mtoto wawepo anajua amani hawezi kuepo wanaweza kupigwa,, subhanallah mungu amlinde mtoto😢😢😢😢
Mungu wetu ulie muaminifu sana hujawahi kushindwa,mie nisiewajua hawa watu wote mpaka mtoto simjui lkn naona naumia sana mungu, naomba tusaidie Mungu kijana apatikane salam
Joel hayuko mlimani, kuna mama alimwona akishuka akiwa na backpack, kuna mahali kajificha pengine alikuwa hataki kurudi shule, watoto wa umri huo huwa na matukio sana
Pole sana wazazi mungu awape subra ktk kipindi hiki kigumu inshallah kwa uwezo wa mungu atapatikana akiwa mzima.jamani dini zetu zote mbili tumuombee huyu mtoto apatikane
Inauma Sana Ila nashauri kwa wenye uwezo wa Kutoa DRONES zikatumika kusaidia kumtafuta mtoto zingetumika kwasababu zina uoni wa eneo kubwa.Niushauri tu sjui kama inawezekana kwasababu Sina uzoefu wa Drone.Millad ayo Anza na ya kwako.
Mungu wa mbinguni hakuna jambo gumu la kukushinda, wateteee wazazi hawa , tuokoe Tanzania yetu iwe na amani, turehemu Bwana Yesu Kristo uliye hai ingilia kati,
Huyu mzee pamoja na anaimia lakini ana asili ya hasira,hiki sio kipindi cha kukasirika ni cha kushirikiana ,si kwamba waalimu hawaumii hawawezi kuwa na furaha kwa kitendo kama hicho hata kama wasingekuwa nae akapotea kivyake wangeumia tu.Maneno ya hasira hayasaidii baba mshirikishe Mungu acha kuwalaumu waalimu haisadii na wala hawana makosa wana uchungu pia
Poleni sana wazazi ,walimu na jamaa wote , lakini tumuombe sana mungu maana kwake hakuna jambo gumu ,mungu amsaidie sana mtot huyo popote alipo aonekane
@@GraciuosGeofrey kuna maswali mengi ila natamani mwalimu au mwanafunzi au rafiki zake waeleze walimkosa wakiwa wapi?? Kwenye huo mlima wakati wanaanza safari wale waongoza mlima walihakiki kwa majina watoto?? Ndugu naona kuna uzembe umefanyika afu hiyo shule inasifika kwa ukali walimu wakali iweje walishindwa kutumia ukali wao kulinda watoto kwenye mambo hayo,, mwaka juzi mtoto wa anko alichelewa lisaa limoja kufika shule kafika saa 11 jioni akarudishwa hawakujali katokea mkoa wa mbali au wanamrudisha huyo mtoto atalala wapi wanauupuzi mwingi mtoto alilala guest kungoja mzazi ili ampeleke shule na wakatozwa faini elfu 30 kisa kachelewa mwalimu mkuu anaambiwa ni sababu ya usafiri lakini hakuelewa kabisa,,, shule la ovyo sana
Eee Mungu wa Rehema na Upendo tusaidie mtoto apatikane akiwa hai, tunajua wewe unaweza kufanya njia pasipo njia, Yesu jitukuze ktk hili ili jina lako litukuzwe, Amen
Ee Mungu na mwombezi wetu, tunakuomba Mungu baba umlinde huyu mtoto na aweze kupatikana akiwa hai, ee Mungu wewe hakuna linalo kushinda Mungu itetee familia hii yenye uchungu mwingi, mtoto mpendwa apatikane akiwa hai. Mungu sikia kuomba kwetu Amina
Inauma Kwa kweli ukifikilia kwann mwalimu na uyo askali aliluhusu mtt kuhama grop tumuombee tu jaman lkn inauma pia tukifunze SKU zingne walimu tuwe makin na watt watt wanauma jaman naendelea kuwaombea jaman YESU amlejeshe vizuri
Huyu mama very smart anaongea kwa busara iliyo pitiliza nazani wazo lake la kupambana kuendelea kutafuta waendelee kutafuta mwisho atapatikana akiwa salama
Ni wakati mgum sana kwa pande zote mbili walim, wazazi niombe sote muwekitu kimoja kushilikiana kumtafuta kijana wetu na tumtangulize mungu mbele tuwe na subra
Kwa ushauri tu, kwa kuwa Ayo tv mmeweka kambi hapo basi mungerusha ndege nyuki(drones) pengine MUNGU akatenda jambo hapo. Kwa ushauri tu. Upendo Daima❤
Inauma sana sema walimu lazima waendelee na majukumu ndomana Kuna mwakilishi inauma sana sana tuombe mungu ila ange kua sio mzima mngemkuta lazima atakua salama
Eeee mwenyezi mungu ninakuomba kwa unyenyekevu mkubwa nikiwa mbele zako uwasikie haja ya moyo wao wazazi hawa nawe yesu kristo mwenye mamraka yote ulimwenguni nawe kwa uwezo wako unajuwa mahali alipo huyo mtoto ninakuomba bwana umrudishe kwa uwezo wako na utukuzwe daima AAMEN
Mungu asaidie Joel apatikane akiwa hai, maana najua n miaka mingi hiyo shule inapeleka watoto hapo, lakin leo lawama zote zitakuwa kwa shule na walimu lakin hakuna siri chini ya jua, naamini walimu walikuwa hawana nia mbaya kabisa, ila likitokeaga alokutwa na ngozi ndio mwizi wa ngombe
Pia walimu ata wawil wawe na uyo baba inauma sana baba anaona walimu awaw karibu nae awampi ushilikiano na kaul zao waziangalie walimu hao wasijibu kawaida walimu ludin Kwa MUNGU na wazaz walud magotin mtt atakuja naamin kabsa YESU atamlejesha kabsa
Kila mmoja aliyeguswa Atamke neno kumuombea Mtoto apatikane akiwa salama.Maombi ya pamoja .Mungu anajibu.NATAMKA MTOTO MUNGU AMUWEKEE ULINZI WA MALAIKA .NDANI YA SIKU CHACHE ATAPATIKANA AKUWA MZIMA.ASANTE MUNGU
Eee Mungu wangu naomba umsaidie Joeli apatikane wazazi wanaumia inauma sana Mungu saidia wewe ndio mkuu wakila jambo Mungu nakuomba tujalie fanya wepesi Mola wangu nakupenda
Mzazi awe mpole tu inawezekana kweli haikuwa lengo baya kuwapeleka huko basi katika kipindi hiki kigumu mungu awe katikati yenu shetani asipate nafasi mtoto bado yupo kwahiyo ataonekana tu
Jamani Maoni yangu serikali ituongeze nguvu na jicho laziada kwakutumia Helcopter, wawakilishi wa serikalini waliopo apo wasaidie kufikisha ujumbe katika kitengo husika helcopeter ipatikane izunguke mlimani na maeneo jirani ata kama niwanyama wamemjeruh basi ataonekana na kama afya ilienda vibaya akadondoka pia anaweza onekana kisha helcopter izunguke maeneo hatarish zaid kubaini kama kuna lolote linaonekana, lakini pia tangazo la serikali zamitaa watangaze mtaa kwa mtaa na kipaza sauti endapo kuna yyt amepata fununu kuusu habar ya mtoto Joel.. asanteni na poleni sn kwayalio wakuta. Inauma sana Mungu awatie nguvu
Bwana Yesu fanya njia pasipo na njia, umefanya mengi na hili utatenda Bwana
Weee bibi kaa kimya huna cha maana. Kama hawana uzoefubona mlitoa kibali. Nyie mliotoa kibali mnamakosa hamkuzingatia idadi ya watoto na walimu wasiamamizi pia. Kama kulikuwa nanusimamizi mtoto asingepotea.
Amina
Ameen Ameen
Shule za private mtoto akipata matatizo hawana ushirikiano
Badala kumuomba mungu ety yesu fanya yesu atafanya nini
Imani yangu inaniambia huyu mtoto ametoka kwenye huo msitu,yupo mahala na Mungu amlinde tu awe salama.
Inaumiza 😢
Ameeen! Ameeen! Hallelujah!
Kikubwa waendelee kujituma wamtafute ili kama amepotea wanusuru na njaa.
Amina, hata mimi naamini ivyo. Mungu asimame kwenye hili.
Na iwe hivyo Bwana Yesu fanya njia
Mungu amlinde mtoto huko alipo,, nimependa huyo mama uongeaji wake anaongea kwa hekma sana na upole, unyenyekevu ,, kingine hawezi ruhusu walimu waliopoteza mtoto wawepo anajua amani hawezi kuepo wanaweza kupigwa,, subhanallah mungu amlinde mtoto😢😢😢😢
Kwa kweli
Mungu wetu ulie muaminifu sana hujawahi kushindwa,mie nisiewajua hawa watu wote mpaka mtoto simjui lkn naona naumia sana mungu, naomba tusaidie Mungu kijana apatikane salam
Mimi naona serikali iingilie hili swala waletwe wanajeshi wasambae mlima wote kwa uwezo wake mungu atapatikana akiwa hai inshhaallah
Wazo zuri maskin daaa
Joel hayuko mlimani, kuna mama alimwona akishuka akiwa na backpack, kuna mahali kajificha pengine alikuwa hataki kurudi shule, watoto wa umri huo huwa na matukio sana
@@bintalmasi2393Kuna mtu kaongea aliona mtoto anashuka na begi???km ni hivyo basi yupo sehemu salama
@@bintalmasi2393 mmh kumbe alionekana inawezekana unalosema mungu amuongoze jamani maana anawanyima usingizi wazazi wake.
@@bintalmasi2393we nae ck zote ajifiche porini na kuna wanyama wkali ss nakula. Nn ck zote izo
Pole sana wazazi mungu awape subra ktk kipindi hiki kigumu inshallah kwa uwezo wa mungu atapatikana akiwa mzima.jamani dini zetu zote mbili tumuombee huyu mtoto apatikane
Jamani msibishane tuendelee kutafuta na kuomba Mungu kitu kibaya kisimpate mtoto afu watembee na kipaza sauti sio kuzunguka tu mbuyu😔😔
Daaah! Hili jambo linaninyima usingizi mimi sina raha kabisa japo simjui huyu mtoto lkn imeniumiza sana. Eee Mungu mtetee mja wako😭😭
Sana inauma kwelii aingii aiikilini kwann awakuwa makini walimu na walizi wa ifadhi
Daaah inauma Sasa jamani kakijana kazuri kweli
Yani walimu hapo inatakiwa muwe wapole msitake kujibizana na mzazi makosa mnayo nyinyi kwanini hamkuwa makini na wanafunzi. Heee uwiii Dunia simama
Ukiwa mzazi lazima uumie tu
Ila mm iman yangu Inaniambia yupo ni kapotea tu huko aliko yupo salama@@MwanaHamis-y4e
Ahsante mama mungu kakujalia hekima mungu atafanya njia
Mama una hekima ❤
Mungu mkuu wa mbinguni aendelee kuongoza
Huyo Mhifadhi ana hekima Sana
Kabisa katumia ubinadamu amueke
Hili jambo nigum kwa hii familia hii Mungu awatie nguvu kwakweli
Inauma Sana Ila nashauri kwa wenye uwezo wa Kutoa DRONES zikatumika kusaidia kumtafuta mtoto zingetumika kwasababu zina uoni wa eneo kubwa.Niushauri tu sjui kama inawezekana kwasababu Sina uzoefu wa Drone.Millad ayo Anza na ya kwako.
Mtoto atapatikana salama kwa jina la Yesu
Amen
AMINA
Mungu wa mbinguni hakuna jambo gumu la kukushinda, wateteee wazazi hawa , tuokoe Tanzania yetu iwe na amani, turehemu Bwana Yesu Kristo uliye hai ingilia kati,
Mungu mwema atamjaliya mtoto atapatikana 2 ishalah
Nimpenda Uyoo Mama Wa Ifadhi Wa Misitu Amejua Kuwatuliza Na Kuwashusha Pressha Inajulisha Uyuu Mama wa Ifadhi Ana Busara Sana
Huyu mzee pamoja na anaimia lakini ana asili ya hasira,hiki sio kipindi cha kukasirika ni cha kushirikiana ,si kwamba waalimu hawaumii hawawezi kuwa na furaha kwa kitendo kama hicho hata kama wasingekuwa nae akapotea kivyake wangeumia tu.Maneno ya hasira hayasaidii baba mshirikishe Mungu acha kuwalaumu waalimu haisadii na wala hawana makosa wana uchungu pia
Walimu kutokuwepo ni njia y usalama unafikiri kw hasira Hy c watawapga. Baba acha hasira mungu akusaidie
Walimu wana uchungu kuliko wazazi
Hapana hata ingekua ni wewe kwa kipindi cha sasa hivi hali ilivyo weeh unweza sema wamesha muuza mtoto wako hali ni mbaya sasa hivi
Mara paap mtoto yupo Ngulelo anajifunza Ku raap. Kizazi cha sasa kimebadilika sana tuombe kijana apatikane
Jmn kupotelewa kwa mtt ckilizieni tu huyo mzee lazima awe na jazba anaumia jmn
Mungu unaona vile wazazi wanavyo ummia baba wasaidie Joel apatikane akiwa mzima
Amina
Mwalimu Ka ongea vzr jamn nimempenda ❤
Huyo n afsa misitu
Mama anaongea kwa hekima sana Mungu amulinde mtoto apatikane🙏🙏
huyu mama wa hifadhi anaongea kwa ustaarabu sana jamani
Kwel
Hongera mama Kwa hekma zako tuombe Dua apatikane mzima
Wazazi mungu awaongoze unaweza kuwa mtoto kaamua maisha mengine asijewatia aibu tu muweke akiba ya maneno anaweza kuwa karudi mtaani huko
Nikweli kabsa
Mimi naomba serikali iingilie hili swala waletwe askari jeshi wasambae mlima wote kijana atapatikana kwa uwezo wa mungu.
Ooh! Mungu saidia watoto wetu shirikisheni pia watumishi wa Mungu waombe jamani inauma.
Hili jambo limenigusa sana mungu awafanyie wepesi
Mungu/MUNGU sio mungu
Amina
Dada anahekima sana nimempenda sana wazazi poleni sana mungu wetu aliye juu atamfanyia wepes mtt huyu apatikane awe hai mwenyezi mungu amrinde
Mwenyezi Mungu tutie Nguvu!wazazi tunaumia sana kuona mambo kama haya! Yaani ukifikiria inaumiza.
Poleni sana wazazi ,walimu na jamaa wote , lakini tumuombe sana mungu maana kwake hakuna jambo gumu ,mungu amsaidie sana mtot huyo popote alipo aonekane
Ahsante Mwalimu❤,Atapatikana,tuwe na imani hiyo hiyo
Nahofia asije kua kamezwa na chatu yarrab😢😢😢😢
Wengine si wamerudi jamani ina maana walikuwa hawaongozani
@@GraciuosGeofrey kuna maswali mengi ila natamani mwalimu au mwanafunzi au rafiki zake waeleze walimkosa wakiwa wapi??
Kwenye huo mlima wakati wanaanza safari wale waongoza mlima walihakiki kwa majina watoto??
Ndugu naona kuna uzembe umefanyika afu hiyo shule inasifika kwa ukali walimu wakali iweje walishindwa kutumia ukali wao kulinda watoto kwenye mambo hayo,, mwaka juzi mtoto wa anko alichelewa lisaa limoja kufika shule kafika saa 11 jioni akarudishwa hawakujali katokea mkoa wa mbali au wanamrudisha huyo mtoto atalala wapi wanauupuzi mwingi mtoto alilala guest kungoja mzazi ili ampeleke shule na wakatozwa faini elfu 30 kisa kachelewa mwalimu mkuu anaambiwa ni sababu ya usafiri lakini hakuelewa kabisa,,, shule la ovyo sana
Yaan wewe una mawazo mazuri kwa huyu mtoto unamuwazia tu mawazo mabaya..
Anammeza na nguo?
Me najiuliza pia kama uyu dg hana rafiki ama ni vip
Eee Mungu wa Rehema na Upendo tusaidie mtoto apatikane akiwa hai, tunajua wewe unaweza kufanya njia pasipo njia, Yesu jitukuze ktk hili ili jina lako litukuzwe, Amen
Mungu amfichue huyu mtoto Kwa jina la Yesu...Mungu utusikie
Ee Mungu na mwombezi wetu, tunakuomba Mungu baba umlinde huyu mtoto na aweze kupatikana akiwa hai, ee Mungu wewe hakuna linalo kushinda Mungu itetee familia hii yenye uchungu mwingi, mtoto mpendwa apatikane akiwa hai. Mungu sikia kuomba kwetu Amina
Poleni sana wazazi mungu atafanya wepesi.mtoto wetu atapatikana angali mzima..
Wapendwa, hebu tuamini huyu moto yupo mahali, watu huko alipo hakuna mawasiliano, tumuombe Mungu amlinde...wazazi jipeni moyo huku mkiendelea kuomba.
Eeh mungu mjalie huyu mtoto alipo awe salama mama ana maumivu makali mno mungu awape subra
Mungu wangu saidia uyu mutoto apatikane.Kutoka Zambia.
Pole sana mzazi. Lakini punguza hasira . Kila mwalimu anaumia kama wewe jitahidi kijizuia.
Safi sana dada imani yako itawaponya tuwena imani
Eeeh Mungu,najaribu kuvaa viatu vya hawa wazazi nahisi machozi hadi ndani ya moyo wangu.Mungu awatie nguvu
Poleni wazazi, study tour Kuna mengi yanaweza tokea. Tuwe na subra tumtafute atapatikana tuu.
Poleni wazazi, na feel mnavojiskia., unmeasurable pain so sad 😭
Inauma Kwa kweli ukifikilia kwann mwalimu na uyo askali aliluhusu mtt kuhama grop tumuombee tu jaman lkn inauma pia tukifunze SKU zingne walimu tuwe makin na watt watt wanauma jaman naendelea kuwaombea jaman YESU amlejeshe vizuri
mungu amlinde na wanyama wakali huko huko mabugani huko
Wenzake wanasemaje kwani jamani
Maana si walikua wanatembea kwa group au Kila mtu alijigawa kutafuta utafiti wake 😢😢😢😢😢
Huyu mama very smart anaongea kwa busara iliyo pitiliza nazani wazo lake la kupambana kuendelea kutafuta waendelee kutafuta mwisho atapatikana akiwa salama
Mama unajibu kwa hekima sana sana unafaa kua kiongozi
Maombi yetu wote, mtoto apatikane tena akiwa na afya njema. Mungu wetu msikivu, unayejibu tenda makuu zaid
Ni wakati mgum sana kwa pande zote mbili walim, wazazi niombe sote muwekitu kimoja kushilikiana kumtafuta kijana wetu na tumtangulize mungu mbele tuwe na subra
Kwa ushauri tu, kwa kuwa Ayo tv mmeweka kambi hapo basi mungerusha ndege nyuki(drones) pengine MUNGU akatenda jambo hapo. Kwa ushauri tu. Upendo Daima❤
Ewe mwenyezi mungu msimamie mtoto wetu tumpate jaman inauma sana nikiwa kama mzazi
Mungu/MUNGU sio mungu
Acha usenge kenge we
In shaa Allah Mola atajalia mtoto atapatikana kwa Rehma zake Mola
Ni vizuri serikali itume jeshi la wananchi lina uzoefu mkubwa porini
Inauma sana sema walimu lazima waendelee na majukumu ndomana Kuna mwakilishi inauma sana sana tuombe mungu ila ange kua sio mzima mngemkuta lazima atakua salama
God relocate the boy wherever he is protect the boy with the blood of Jesus
Nimependa huyo dada anaongea kwa upole sana ❤
Mtoto anauma jamani bora afe uzike kuliko hivi Mungu wape subra wazazi hawa wanapitia magumu
Inaumiza sana MUNGU awatie nguvu familia na atulindie mtoto wetu popote pale alipo
Daah yaan wazaz wanayopitia kuhusu kupotelewa na mtoto wao inaumiza sana vaa viatu vya wazazi hawa daah inauma sana
Hili ni gumu kwa wote jamani.
Wapendwa tuombe Mungu alifanyie wepesi hili kwa lote
Jambo gani uziloliweza Ee Mungu mdgo wangu Joely upatikane😢
Mm nahisi ingekuwa vizur waingie mtaani wakishirikiana na uongozi wa mtaa wafanye msako nyumba kwa nyumba 😢😢
MILLARD AYO WAANDISHI WAKE WAPO VIZURI KWELI KWELI YANI. YANI WAME TRAINING WA VIZURI SANA safiii sanaa Millard 🙌🙌
In shallah atapatikana. Mm nipo znz lkkn ni machozi. Inaumiza lkn tusubiri
Mwenyezi mungu fanya uwepesi was hili jambo ,fungus njia mtt apatikani
Kanti ya wanafundi mia kapotea mtto Moja tu sio kweri kunanamna hapo wanashindwa kutumia mbwa na edicopta
Dahhh inaumiza sana Mwenyezi Mungu naomba huyu mtoto apatikan
Huyo mzee hawezi kuelewa koz saikologie yake haiko sawa d poleni sana
Joeeeliiiiiiiiiii njooo baba ako anateseka na mama Yesu Fanya muujiza
Poleni sana kuna maswali mengi yakujiuliza kwenye hili tukio ila mungu ndo mjuzi wallah maumivu yake si yakitoto.😢😢😢
Mwenyezi mungu amfanyie wepesi kijana huko alipo awe na na nguvu na afya kwa mkono wa mungu unanguvu atapatikani
Baba usilaumu,walimu walikua na nia njema, bahati mbaya imetokea,shirikianeni mtoto apatikane.Mungu atasaidia.Wekeni akiba ya maneno wazazi.
Mimi naamini mtoto yuko Mwenyezi Mungu amtangulie tu huko aliko
MUNGU mlinde huyo mtoto popote alipo,,arudi mikononi mwa wazazi wake inshallah
Amina baba uliekamata chupa, imani yako inakwenda kumrejesha Joel amina
Mama ana element zote za uongoz
Polen sana dada unaelewesha vizur sana mungua awape wepisi apatikane kwa wakati
Eeee mwenyezi mungu ninakuomba kwa unyenyekevu mkubwa nikiwa mbele zako uwasikie haja ya moyo wao wazazi hawa nawe yesu kristo mwenye mamraka yote ulimwenguni nawe kwa uwezo wako unajuwa mahali alipo huyo mtoto ninakuomba bwana umrudishe kwa uwezo wako na utukuzwe daima AAMEN
Mungu asaidie Joel apatikane akiwa hai, maana najua n miaka mingi hiyo shule inapeleka watoto hapo, lakin leo lawama zote zitakuwa kwa shule na walimu lakin hakuna siri chini ya jua, naamini walimu walikuwa hawana nia mbaya kabisa, ila likitokeaga alokutwa na ngozi ndio mwizi wa ngombe
Pia walimu ata wawil wawe na uyo baba inauma sana baba anaona walimu awaw karibu nae awampi ushilikiano na kaul zao waziangalie walimu hao wasijibu kawaida walimu ludin Kwa MUNGU na wazaz walud magotin mtt atakuja naamin kabsa YESU atamlejesha kabsa
Bora wakae mbali huyu Baba anahasira anaweza akadhuru mtu
Dada umeongea kwa unyenyekevu nimependa mungu asaidie mtoto apatikane
Tunamuombea mtt wetu awe mzima mungu amrinde popote alipo amkinge na kila shali
masikini walimu eehe Mungu fanya apatikane
Umeongea vizuri sana dada angu ni kweli cha msingi ni kufocus kumtafuta mtoto,kwa uwezo wa MUNGU atapatikani,tuko pamoja kwenye maombi.
Kila mmoja aliyeguswa Atamke neno kumuombea Mtoto apatikane akiwa salama.Maombi ya pamoja .Mungu anajibu.NATAMKA MTOTO MUNGU AMUWEKEE ULINZI WA MALAIKA .NDANI YA SIKU CHACHE ATAPATIKANA AKUWA MZIMA.ASANTE MUNGU
Akiwa vs. AKUWA
Ya Allah mjaalie mtoto aonekane na wazazi Tuzidi kuomba dua. . Kwa kweli mungu ndie anaejua yote
Tafuteni kwa kutumia kipaza sauti ili uko aliko asikie sauti mtoto yupo sema atakuwa amekosa njia ya kutokea ,Mungu awawezeshe
Kwel inaweza kusaidia pia
Mungu akatende mema huyu mtoto apatikane inshaallah
Eee Mungu wangu naomba umsaidie Joeli apatikane wazazi wanaumia inauma sana Mungu saidia wewe ndio mkuu wakila jambo Mungu nakuomba tujalie fanya wepesi Mola wangu nakupenda
Mungu awatangulie asije akawa amekutana na anakonda yaraby fanya njia pasipo na njia
Mama ana hekima sana,,naimani mtoto atapatikana
Mungu yupo nanyi,dada nimekuelewa,tafuteni mtoto
Mzazi awe mpole tu inawezekana kweli haikuwa lengo baya kuwapeleka huko basi katika kipindi hiki kigumu mungu awe katikati yenu shetani asipate nafasi mtoto bado yupo kwahiyo ataonekana tu
Mungu utusaidieeee, Mungu huyu mtoto unamjua vixur na unajua alipo wape faraja wazazi wao, ndgu jamaa na marafiki
Nikweli mwalimu hata mimi niko sumbawanga picha nimeiyona ikitokea namuona mtoto nitatoa ushirikiano.
Pole sana Baba Joel maskini wa Mungu tayali umeshapungua yani umekonda kweli baba.. Mungu awatie nguvu wazazi wa mtoto Joel 😢
Kwani uliona mwili wake wa awali mpaka useme hivyo dah nimejua kucheka japo tuna majonzi Joel hajapatikana
😅😅nnamasikitiko lkn nimecheka pia wallah@@samtin.
Jamani Maoni yangu serikali ituongeze nguvu na jicho laziada kwakutumia Helcopter, wawakilishi wa serikalini waliopo apo wasaidie kufikisha ujumbe katika kitengo husika helcopeter ipatikane izunguke mlimani na maeneo jirani ata kama niwanyama wamemjeruh basi ataonekana na kama afya ilienda vibaya akadondoka pia anaweza onekana kisha helcopter izunguke maeneo hatarish zaid kubaini kama kuna lolote linaonekana, lakini pia tangazo la serikali zamitaa watangaze mtaa kwa mtaa na kipaza sauti endapo kuna yyt amepata fununu kuusu habar ya mtoto Joel.. asanteni na poleni sn kwayalio wakuta. Inauma sana Mungu awatie nguvu
Mama umaomgeq vzr sana na kwa Hakika BWANA AKUBARIKI
Daaaaah inaniuma meme 😢😢mungu fanya kitu tafadhal Mungu wangu huyu mtoto aonekane
Mungu atajaalia aonekane akiwa salama. Poleni wazazi wa mtoto.
Jamani poleni sana daaaaa