Mch Moses Magembe - UTAENDA WAPI BAADA YA KUFA? | KAMPENI YA UAMSHO TANZANIA - LINDI NACHINGWEA 02

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 204

  • @mussatete2618
    @mussatete2618 2 года назад +8

    Mchungaji wa Tanzania Magembe shikamoo. Nilikuwa sijawahi kukufuatilia nimekuelewa sana 🙌🙌🙌🙌🙌🤝

  • @user-qv2fq8gb1g
    @user-qv2fq8gb1g 7 месяцев назад +6

    amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.

  • @user-me3ee4fu8w
    @user-me3ee4fu8w 2 года назад +16

    Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu

  • @samsontv9449
    @samsontv9449 3 месяца назад +3

    Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu3182 7 месяцев назад +4

    Hiyo ndiyo injili tunayoipenda ya kusisimua maisha yetu ya kiroho.

  • @hansondaniel-nb2jn
    @hansondaniel-nb2jn Год назад +5

    Nashukuru mungu kwa kuwa mkristo mi huwa nawasikiliza watumishi wote wa mungu bila kubagua mchungji mungu akulinde saana

  • @LajoiePascaline
    @LajoiePascaline 3 месяца назад +2

    Amen, nime barikiwa na ujumbe; Mungu Akubariki baba

  • @laureanlaurent
    @laureanlaurent 2 года назад +4

    AMINA Mtumishiiii wa MUNGU.... Binafsi huwa nakuelewa na ninakufuatilia Sana ipo Siku nitakuja kanisani Kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆❣️❣️

  • @Kefa649
    @Kefa649 2 месяца назад

    Ameni baba unazungumza vitu vya ukweli kabisa nakupenda sana baba yangu ubarikiwe sana sijawahi kukuona natamani sikumoja nikuone.🙏

  • @AlesMwakabonga
    @AlesMwakabonga Месяц назад

    Yesu akubariki Baba

  • @UpendoFelix-p8t
    @UpendoFelix-p8t Месяц назад

    Barikiwa mtumishi

  • @shealtielkasamalala7941
    @shealtielkasamalala7941 2 года назад +2

    Ubarikiwe sana baba mchungaki Magembe kwa kazi yako njema Mungu aendelee kkukutunza.

  • @amanimabano8856
    @amanimabano8856 2 года назад +1

    Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Mungu akubariki kwa ufunuo mkubwa kuusu maisha baaada ya kufa.

  • @shabanintandu4136
    @shabanintandu4136 28 дней назад

    Amina nakuelewa

  • @myself4128
    @myself4128 2 года назад +1

    All The way from The UK ...Nabarikiwa sana na Baba Magembe,Natamani siku ahubiri pamoja na Askofu Maboya kabisa liwe na umoja!!

  • @retiekadarling992
    @retiekadarling992 2 месяца назад

    Be blessed pastor

  • @kiruhurajeremie5211
    @kiruhurajeremie5211 Месяц назад

    Ubarikiwe sana

  • @georgemngoya1180
    @georgemngoya1180 Месяц назад

    Very inspiring message

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 7 месяцев назад +2

    AMINAAAAA

  • @MwaminiKifyasi
    @MwaminiKifyasi Месяц назад

    Barikiwa baba

  • @nancyisoyi8164
    @nancyisoyi8164 7 месяцев назад +1

    Following from Paris France 🇫🇷

  • @JaneLaizer-tb6zl
    @JaneLaizer-tb6zl 15 дней назад

    Jmn huyu baba anankumbusha mzee Moses Kulola ah upo vzr bb

  • @peteryona3018
    @peteryona3018 2 года назад +3

    Ubarikiwe sana Baba, mahubiri mazuri sana.

  • @joycemnanka1298
    @joycemnanka1298 2 года назад +1

    Asante tumebarikiwa na ujumbe wako mzuri mtumishi!

  • @AmaniNzowa-i5z
    @AmaniNzowa-i5z 16 дней назад

    Amina

  • @Marrystar-33
    @Marrystar-33 Месяц назад

    Mchungaji anahubiri vizuri sana, anatupa neno last uzima❤

  • @jofreychristian1593
    @jofreychristian1593 2 года назад +1

    Tunaelewna mch🙏

  • @user-px7zz3nq2p
    @user-px7zz3nq2p 6 месяцев назад

    Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua.

  • @NeemarichardMarko
    @NeemarichardMarko 10 месяцев назад

    Amina mtumishi. Mungu akubariki sana kwa kufungia akili za watu wengi tulikuwa hatujuwi mambo haya sasa tumepata luelewa mungu akubariki sanaa

  • @tobibkivanda4528
    @tobibkivanda4528 2 года назад +1

    Amina. Nimebarikiwa kutoka kenya 🇰🇪

  • @hatibumakondemakondemakond1479
    @hatibumakondemakondemakond1479 2 года назад

    Amen , na muuje apa Moz-Nampula mu iyuubiri injili

  • @rhoidambajuka5747
    @rhoidambajuka5747 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana baba hakika tunabarikiwa sana na huduma yako unafundisha kweli

  • @EstherChadi-xe7se
    @EstherChadi-xe7se 4 дня назад

    Amen

  • @dinaalfonsi2323
    @dinaalfonsi2323 4 месяца назад

    Ubarikiwe Mteule wa Mungu somo kubwa sana hili

  • @hadijamadebo8566
    @hadijamadebo8566 2 года назад

    Mungu akubariki Sana, mafundisho yakweli yanatujenga, Asante sana Baba,

    • @josephgeorgematiku1064
      @josephgeorgematiku1064 2 года назад

      Mungu akubariki sana sana Hadija kwa kufuatilia mahubiri haya. Mungu ni mwema sana.

  • @smeotindambo3787
    @smeotindambo3787 2 года назад

    MUNGU azidi kukutunza kuanzia huduma adi kimwili barikiwa sana baba

  • @kirizaemmanuel7694
    @kirizaemmanuel7694 5 месяцев назад

    Tangu Niko sikilize mahubiri sija wai sikia mihuniri kama n'a Huyu, baba Mwenyezi Mungu akubariki saana naendeleetu kukutia nguvu

  • @Idmmuedacente
    @Idmmuedacente 5 месяцев назад

    Amen mubarikiwe Sana ndugu zangu Mimi ni Mchirika wa Haskofu DANIFORD BURUMELA kotoka msumbiji❤❤❤

  • @loviehamis2923
    @loviehamis2923 2 года назад

    Amina barikiwa mtumishi wa Mungu .. nakupata vizuri sana kutoka dsm

  • @mbwanatwaha958
    @mbwanatwaha958 Год назад +1

    ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

  • @bilugwemwanzije
    @bilugwemwanzije 11 месяцев назад +1

    Maisha malefu mtumishi !!?...more greatings from ...Kenya...watamu.

  • @kamiliusathanasbuchumi6809
    @kamiliusathanasbuchumi6809 2 года назад +2

    Jamani mi naomba mnipe fungu ambalo Yesu aliomba kwa kupiga kelele hivo

    • @gracendola7195
      @gracendola7195 2 года назад +3

      Ukijazwa na ROHO MTAKATIFU huwezi kujizuia soma matendo 2;1...... utaona ilikuwaje ubarikiwe....🙏🙏🙏🙏🙏

    • @upendomtui6544
      @upendomtui6544 3 месяца назад

      Usitawaliwe na udheebu tia akiki kichwani mwako

  • @amosbenard6657
    @amosbenard6657 2 года назад

    Mungu akubariki sana baba naomba Unilee Sina baba tangu 2010 nimekuwa hewani TU Mzee wangu.

  • @FrankNyandwi-ek8zr
    @FrankNyandwi-ek8zr 4 месяца назад

    Mungu Ni mwema Mimi naitwa Frank range Niko pwani kibaha 🙌🙌🙌🙌🤲

  • @gidionjohn1522
    @gidionjohn1522 2 года назад

    Mungu akubariki baba kwa injili ya kweli

  • @dennismwenda7626
    @dennismwenda7626 5 месяцев назад

    Tuko pamoja mchungaji, ubarikiwe sana ndugu.

  • @davidipatrick175
    @davidipatrick175 2 года назад +1

    Mungu azidi kukutumia sana kwa utukufu wake

  • @neemasemkuyu2999
    @neemasemkuyu2999 2 года назад

    Yesu akutunze baba ubarikiwe Sana kwa neno lililo hai

  • @elianombo9836
    @elianombo9836 2 года назад

    Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri

  • @shilwamsokwa5946
    @shilwamsokwa5946 2 года назад +1

    Yesu akuongeze miaka ya kuishi

  • @ChrisSamson-rr3ns
    @ChrisSamson-rr3ns 2 месяца назад

    Barikiwa sana baba .Rev.M.Magembe

  • @avilajustinian2259
    @avilajustinian2259 8 месяцев назад

    Nimebarikiwa sana mchungaji, mungu akutie nguvu

  • @ElizabethMuia-ro9yh
    @ElizabethMuia-ro9yh Месяц назад

    AMEN

  • @Edson-xo4by
    @Edson-xo4by 2 года назад

    Amina mzee wangu MUNGU akufanishie kifo chema ukapumuzike mbinguni salama mzee wangu maana kazi yako ni njema unayo ifanya yakuhubiri kweli sio mchezo kuhiubili kweli mzee wangu MUNGU akubaliki sana mimi binafsi mzee wangu ninakupenda sana mzee wangu

    • @erickmutungi8792
      @erickmutungi8792 2 года назад +1

      MUNGU ampe maisha marefu sana bado tunamuhitaji Baba yetu....,hayo masuala ya kifo sio ya kuongelea sasa hivi.

  • @evanstweve7720
    @evanstweve7720 2 года назад

    arurururururur aka rururururu asante baba barikiwa

  • @zenataashura792
    @zenataashura792 2 года назад

    Amina nimepokeya Kwa jina la Yesu 🇺🇸

  • @UwezoBwitonde-dc3nc
    @UwezoBwitonde-dc3nc 2 месяца назад

    Amen × 15

  • @getrudamsyalia8923
    @getrudamsyalia8923 7 месяцев назад

    Ubarikiwe baba mungu akubariki sana

  • @japhetntabala6964
    @japhetntabala6964 Год назад

    Asante kwa ujumla huu mzito baba

  • @kirizaemmanuel7694
    @kirizaemmanuel7694 5 месяцев назад

    Ubarikiwe sana baba Muchungaji

  • @clovisnkurunziza5526
    @clovisnkurunziza5526 7 месяцев назад

    Ubarikiwe sana Mcungaji

  • @user-ob6it9em6i
    @user-ob6it9em6i 8 месяцев назад

    Amina mubwa jasusi wa Yesu

  • @michaelelson1540
    @michaelelson1540 2 года назад

    Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu

  • @user-rx4uo7ls4y
    @user-rx4uo7ls4y 2 месяца назад

    Amen Mchungaji tunakufuata.

  • @erickmethod9812
    @erickmethod9812 2 года назад

    Mungu aendelee kukutumia baba

  • @bonphacekyoma3660
    @bonphacekyoma3660 5 месяцев назад

    Hongera kwa huduma nzuri.

  • @prayerwomen3444
    @prayerwomen3444 2 года назад +1

    na muogopa Mungu ni Mungu wa vita🔥🔥🔥🔥

  • @elieabambwaeca5448
    @elieabambwaeca5448 Год назад

    Franchement merci SEIGNEUR pour ce serviteur digne.

  • @michaelernest4323
    @michaelernest4323 2 года назад

    Barikiwa saan mchungaji

  • @InnoncentInnoncentwilond-yy6sw
    @InnoncentInnoncentwilond-yy6sw 6 месяцев назад +1

    Je félicite le RV.moses pour toujour

  • @davidmembedalamethepsalmis2885
    @davidmembedalamethepsalmis2885 2 года назад +1

    Tumebarikiwa Sana

  • @faithwavinyalucas1835
    @faithwavinyalucas1835 9 месяцев назад

    Nasikiza nikiwa Kenya nashukuru MUNGU kwa ujube mzuri

  • @bethkatunx7677
    @bethkatunx7677 2 года назад

    Baba mchungaji nakuelewa

  • @RahmaRahma-ie6ey
    @RahmaRahma-ie6ey Год назад

    Amina MTUMISHI wa mungu

  • @amissingongo5152
    @amissingongo5152 3 месяца назад

    Ubarikiwe baba

  • @davidmpulumba4039
    @davidmpulumba4039 2 года назад

    Hadi watoto wametiishwa amen

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Год назад

    Amena pasta Sisi tuna amini Bada yakufa kama niwazambi ukumu kama niwamatende mema uzima wamilele amena

  • @gladysfatma4822
    @gladysfatma4822 2 года назад

    Amen ubarikiwe mtu wa mungu umekuwa wa baraka

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o 4 месяца назад

    Amina barikiwa

  • @bernadetteshukuru9154
    @bernadetteshukuru9154 2 года назад

    Amen amen amen ubarikiwe sana

  • @kabangomatete6101
    @kabangomatete6101 Год назад

    Amen 🙏🏽 mtumishi Moses magembe

  • @manenoagrey1519
    @manenoagrey1519 2 года назад

    Mungu akubariki Mtumishi

  • @AminimunguWilfried-fw2eh
    @AminimunguWilfried-fw2eh 4 месяца назад

    Amen Baba

  • @rahelynocha642
    @rahelynocha642 3 месяца назад

    Hallelujah 🙌🏾

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 2 года назад

    Safiiiiiiiiiiiiiiii kabisa💪🙏amina

  • @kalebuwilliam1014
    @kalebuwilliam1014 2 года назад

    Mungu atusaidie ,🙏

  • @rosemaryernest9861
    @rosemaryernest9861 2 года назад

    Aaamen
    Nachingwea kumepambazuka 🔥

  • @user-pt6oj5cv8t
    @user-pt6oj5cv8t 7 месяцев назад

    Amina baba

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 2 года назад

    Amen.Mungu ni mwema

  • @subirajoseph682
    @subirajoseph682 2 года назад

    Barikiwa sanaaaa

  • @danielmbael7424
    @danielmbael7424 2 года назад

    nabarikiwa kutoka kenya

  • @TonyBenedicto
    @TonyBenedicto 3 месяца назад

    Amina Kwa mungu

  • @TonyBenedicto
    @TonyBenedicto 3 месяца назад

    Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏

  • @alexelias8488
    @alexelias8488 2 года назад

    Asante baba

  • @user-ti7pk3ft2c
    @user-ti7pk3ft2c 7 месяцев назад

    ❤amina

  • @bashongomamlelekwa1777
    @bashongomamlelekwa1777 9 месяцев назад

    Nakuhelewa baba

  • @sayunikasimiri509
    @sayunikasimiri509 Год назад

    Amina mtume

  • @bensonmwaikeke5729
    @bensonmwaikeke5729 2 года назад

    Barikiwa

  • @freddykiruhura4295
    @freddykiruhura4295 2 года назад

    Somo nzuri

  • @nicolinaluvinga-sd3cn
    @nicolinaluvinga-sd3cn Год назад

    Nakubali baba