amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.
Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi
Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri
Amina mzee wangu MUNGU akufanishie kifo chema ukapumuzike mbinguni salama mzee wangu maana kazi yako ni njema unayo ifanya yakuhubiri kweli sio mchezo kuhiubili kweli mzee wangu MUNGU akubaliki sana mimi binafsi mzee wangu ninakupenda sana mzee wangu
Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏
Mchungaji wa Tanzania Magembe shikamoo. Nilikuwa sijawahi kukufuatilia nimekuelewa sana 🙌🙌🙌🙌🙌🤝
amjambo baba Muchungaji MAGEMBE, asante kwa kunifufua tena kiroho kupitia mahubiri haya, asante saana kwa Neno hili, ni mimi LANDRY Bunyuti napatikana DRCongo mjini Uvira, nahitaji tena musaada wako baba.
Amen Nachingwea kwa Yesu Amen watakatifu tuzidi kukaza mwendo na tuzidi k utia bidii kuyaishi maisha matakatifu
Mungu akubariki sana baba najifunza mengi kwako, Bwana azidi kukutumia Mungu ndani yangu ameweka msukumo mkubwa wa kufanya kazi unayoifanya natamani kukufikia ili nijifunze zaidi
Hiyo ndiyo injili tunayoipenda ya kusisimua maisha yetu ya kiroho.
Nashukuru mungu kwa kuwa mkristo mi huwa nawasikiliza watumishi wote wa mungu bila kubagua mchungji mungu akulinde saana
Amen, nime barikiwa na ujumbe; Mungu Akubariki baba
AMINA Mtumishiiii wa MUNGU.... Binafsi huwa nakuelewa na ninakufuatilia Sana ipo Siku nitakuja kanisani Kwako 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏆🏆🏆❣️❣️
Ameni baba unazungumza vitu vya ukweli kabisa nakupenda sana baba yangu ubarikiwe sana sijawahi kukuona natamani sikumoja nikuone.🙏
Yesu akubariki Baba
Barikiwa mtumishi
Ubarikiwe sana baba mchungaki Magembe kwa kazi yako njema Mungu aendelee kkukutunza.
Aminaa
Sifa kwa Bwana wetu Yesu Kristo. Mungu akubariki kwa ufunuo mkubwa kuusu maisha baaada ya kufa.
Amina nakuelewa
All The way from The UK ...Nabarikiwa sana na Baba Magembe,Natamani siku ahubiri pamoja na Askofu Maboya kabisa liwe na umoja!!
Be blessed pastor
Ubarikiwe sana
Very inspiring message
AMINAAAAA
Barikiwa baba
Following from Paris France 🇫🇷
Jmn huyu baba anankumbusha mzee Moses Kulola ah upo vzr bb
Ubarikiwe sana Baba, mahubiri mazuri sana.
Asante tumebarikiwa na ujumbe wako mzuri mtumishi!
Amina
Mchungaji anahubiri vizuri sana, anatupa neno last uzima❤
Tunaelewna mch🙏
Ubarikiwe mchungaji kiongozi wetu YESU KRISTO azidi kkuinua.
Amina mtumishi. Mungu akubariki sana kwa kufungia akili za watu wengi tulikuwa hatujuwi mambo haya sasa tumepata luelewa mungu akubariki sanaa
Amina. Nimebarikiwa kutoka kenya 🇰🇪
Amen , na muuje apa Moz-Nampula mu iyuubiri injili
Ubarikiwe sana baba hakika tunabarikiwa sana na huduma yako unafundisha kweli
Amen
Ubarikiwe Mteule wa Mungu somo kubwa sana hili
Mungu akubariki Sana, mafundisho yakweli yanatujenga, Asante sana Baba,
Mungu akubariki sana sana Hadija kwa kufuatilia mahubiri haya. Mungu ni mwema sana.
MUNGU azidi kukutunza kuanzia huduma adi kimwili barikiwa sana baba
Tangu Niko sikilize mahubiri sija wai sikia mihuniri kama n'a Huyu, baba Mwenyezi Mungu akubariki saana naendeleetu kukutia nguvu
Amen mubarikiwe Sana ndugu zangu Mimi ni Mchirika wa Haskofu DANIFORD BURUMELA kotoka msumbiji❤❤❤
Amina barikiwa mtumishi wa Mungu .. nakupata vizuri sana kutoka dsm
♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Maisha malefu mtumishi !!?...more greatings from ...Kenya...watamu.
Jamani mi naomba mnipe fungu ambalo Yesu aliomba kwa kupiga kelele hivo
Ukijazwa na ROHO MTAKATIFU huwezi kujizuia soma matendo 2;1...... utaona ilikuwaje ubarikiwe....🙏🙏🙏🙏🙏
Usitawaliwe na udheebu tia akiki kichwani mwako
Mungu akubariki sana baba naomba Unilee Sina baba tangu 2010 nimekuwa hewani TU Mzee wangu.
Mungu Ni mwema Mimi naitwa Frank range Niko pwani kibaha 🙌🙌🙌🙌🤲
Mungu akubariki baba kwa injili ya kweli
Tuko pamoja mchungaji, ubarikiwe sana ndugu.
Mungu azidi kukutumia sana kwa utukufu wake
Yesu akutunze baba ubarikiwe Sana kwa neno lililo hai
Eden Ndunguru kitoka Mbinga Ruvuma; Amini nakuelewa sana Baba Mchungaji Magembe, mahubiri Yako yanahuwisha nafsi yangu ubarikiwe sana na uzidi kuongezewa miaka ya kuishi ktk injiri
Yesu akuongeze miaka ya kuishi
Barikiwa sana baba .Rev.M.Magembe
Nimebarikiwa sana mchungaji, mungu akutie nguvu
AMEN
Amina mzee wangu MUNGU akufanishie kifo chema ukapumuzike mbinguni salama mzee wangu maana kazi yako ni njema unayo ifanya yakuhubiri kweli sio mchezo kuhiubili kweli mzee wangu MUNGU akubaliki sana mimi binafsi mzee wangu ninakupenda sana mzee wangu
MUNGU ampe maisha marefu sana bado tunamuhitaji Baba yetu....,hayo masuala ya kifo sio ya kuongelea sasa hivi.
arurururururur aka rururururu asante baba barikiwa
Amina nimepokeya Kwa jina la Yesu 🇺🇸
Amen × 15
Ubarikiwe baba mungu akubariki sana
Asante kwa ujumla huu mzito baba
Ubarikiwe sana baba Muchungaji
Ubarikiwe sana Mcungaji
Amina mubwa jasusi wa Yesu
Mungu akubariki Mtumishi wa Mungu
Amen Mchungaji tunakufuata.
Mungu aendelee kukutumia baba
Hongera kwa huduma nzuri.
na muogopa Mungu ni Mungu wa vita🔥🔥🔥🔥
Franchement merci SEIGNEUR pour ce serviteur digne.
Bien soit-il, amen
Barikiwa saan mchungaji
Je félicite le RV.moses pour toujour
Tumebarikiwa Sana
Nasikiza nikiwa Kenya nashukuru MUNGU kwa ujube mzuri
Baba mchungaji nakuelewa
Amina MTUMISHI wa mungu
Ubarikiwe baba
Hadi watoto wametiishwa amen
Amena pasta Sisi tuna amini Bada yakufa kama niwazambi ukumu kama niwamatende mema uzima wamilele amena
Amen ubarikiwe mtu wa mungu umekuwa wa baraka
Amina barikiwa
Amen amen amen ubarikiwe sana
Amen 🙏🏽 mtumishi Moses magembe
Mungu akubariki Mtumishi
Amen Baba
Hallelujah 🙌🏾
Safiiiiiiiiiiiiiiii kabisa💪🙏amina
Mungu atusaidie ,🙏
Aaamen
Nachingwea kumepambazuka 🔥
Amina baba
Amen.Mungu ni mwema
Barikiwa sanaaaa
nabarikiwa kutoka kenya
Amina Kwa mungu
Mungu atusaidie maana walio wengi tumefuata uongo wa dunia tunakuja mbele zako tunainamisha macho yetu chini Kwa aibu tumekutenda thambi utuhurumie ee bwana tusamehe😂🙏
Asante baba
❤amina
Nakuhelewa baba
Amina mtume
Barikiwa
Somo nzuri
Nakubali baba