Mch Moses Magembe - VITA KATI YA MWILI NA ROHO | IBADA JUMAPILI MCHANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 фев 2025
  • Somo: VITA KATI YA MWILI NA ROHO
    Andiko: WAGALATIA 5:16-26, WARUMI 7:15-25
    Mnenaji: MCH MOSES MAGEMBE
    Tarehe: 29.09.2024

Комментарии • 50

  • @SaidAliSaid-r1s
    @SaidAliSaid-r1s 4 месяца назад +4

    Asante sana Mungu akupenda mrefu uendelee kutufudisha imani ya kanisa mana mafundisho yana nifungua kiimani

  • @patchomwamba9529
    @patchomwamba9529 4 месяца назад +3

    Nakuelewa sana baba unainjili ya moja Kwa moja sio yakubembeleza nakupenda baba Mungu akupe maisha marefu

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Месяц назад +1

    BABA WEWE HAKIKA SANA SANA ULILETWA DUNIANI KWA MAKUSUDI MAALUMU. KWAMBA UNAHUBIRINWAZI WAZI.

  • @patchomwamba9529
    @patchomwamba9529 4 месяца назад +2

    Asante sana mchungaji wangu Mungu akubariki sana hakika nimefunguliwa🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼 nashukuru Mungu sana

  • @michaeljamesngunda5677
    @michaeljamesngunda5677 3 месяца назад +2

    Good, you are my role model

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista4654 4 месяца назад +1

    Asanteeeee Bwana Yesu Kristo kwa uponyaji,ukamzidishie neema na amani mtumishi wako

  • @SaidAliSaid-r1s
    @SaidAliSaid-r1s 4 месяца назад +9

    Mafundisho yako ya leo yamenifungua mana nilikua nateswa sana natama.ya mwili Mungu nimwema

  • @JeniferMassawe-i4e
    @JeniferMassawe-i4e 3 месяца назад +1

    Ubarikiw san mchungaj nimejifunz vit ving❤

  • @OmbeniKahusa-h7c
    @OmbeniKahusa-h7c Месяц назад

    Mungu wangu akuongeze siku zakufundisha watu wa Mungu

  • @akonkwabisimwa4270
    @akonkwabisimwa4270 4 месяца назад +1

    MUNGU awabariki daima baba Mchungaji tumewafuata mzuri kabisa tukiwa na Biblia mikononi

  • @MaryVicent-p6y
    @MaryVicent-p6y 4 месяца назад +2

    God bless you pastor

  • @PatriciaSidi-c4w
    @PatriciaSidi-c4w Месяц назад

    ❤❤❤❤❤Amina,Amina sana kw neno la Bwana ❤❤❤

  • @feliciansamson15
    @feliciansamson15 3 месяца назад +1

    Mungu wetu ni mkumbwa na akubariki sana kwa neno

  • @SelemanMathias-ol8om
    @SelemanMathias-ol8om 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana baba yangu 🔥🔥

  • @theresiamasawe4792
    @theresiamasawe4792 29 дней назад +1

    Hiki ni chakula kigumu hakika Cha kufikia uzima barikiwa sana baba

  • @eliphaznkurunziza7405
    @eliphaznkurunziza7405 4 месяца назад +3

    Elimu unaotupa ni kweli Mungu atuongoze tupate kushinda mwili

  • @liberathmashuwe
    @liberathmashuwe 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe baba Kilindi tumesikia Neno la Bwana .

  • @patchomwamba9529
    @patchomwamba9529 4 месяца назад +2

    Watu wa majumba sita mkishindwa kuitumia hiyo Neema aliyo wapa Mungu hooooooo Kwa pasta magembe mtajutia

  • @EmmanuelMlingwa
    @EmmanuelMlingwa 29 дней назад

    barikiwa Sana baba kwa fundisho zuri

  • @smartgeoffrey9550
    @smartgeoffrey9550 Месяц назад +1

    Amina mtumishi

  • @LIKIMONMSWIMA-c9o
    @LIKIMONMSWIMA-c9o 4 месяца назад +2

    Ubarikiwe baba.

  • @PeggyNgomba
    @PeggyNgomba 3 месяца назад

    Watching from Malawi though communication is a problem but I'm following the preaching

  • @yustinalegembo901
    @yustinalegembo901 4 месяца назад +1

    Amen, Mungu tuokoe

  • @emmanuelrweikiza6117
    @emmanuelrweikiza6117 4 месяца назад +1

    Barikiwa sana mchungaji kwa ujumbe umesema ilio kweli na Mungu akutunze uendelee kutufundisha vijana na kanisa maana hali si nzuri hata kidogo

  • @FlorahMuhonja
    @FlorahMuhonja 4 месяца назад +1

    Mungu akupe nguvu uenderee kuponya mwioyo zilizo Zama kwenye dhambi

  • @patchomwamba9529
    @patchomwamba9529 4 месяца назад +1

    Mchungaji magembe napenda sana mafundisho yake anatufundisha kujitegemea

  • @JofreyMsigwa-ok7hv
    @JofreyMsigwa-ok7hv 2 месяца назад +1

    Ukikaa na huyu Mzee n lazima unyooke we n mkali wa kweli na injili yake n yakweli ya MUNGU 🙏

  • @JohnAsn-f6u
    @JohnAsn-f6u 4 месяца назад +1

    Ubarikiwe baba

  • @AlexEdward-xw4zm
    @AlexEdward-xw4zm 3 месяца назад +1

    Aminaa

  • @wanyemalusao4525
    @wanyemalusao4525 4 месяца назад +1

    Ubarikiwe BABA Mtumishi kwa NENO

  • @giselyamalingo6233
    @giselyamalingo6233 3 месяца назад

    Shalom ,naomba kujua kama AABI imeanza kufanya kazi

  • @coxdenis6866
    @coxdenis6866 2 месяца назад

    Ameeeeen ameeeeen

  • @WalterMwanga-ft8zr
    @WalterMwanga-ft8zr 4 месяца назад +2

    Amen

  • @SelemaniMwilongo
    @SelemaniMwilongo 4 месяца назад +1

    Amina

  • @FrpBypass-cq5br
    @FrpBypass-cq5br 3 месяца назад +2

    Kumbe ulafi nao ni uasherati 🙆🙆

  • @FarijiEdson
    @FarijiEdson 4 месяца назад +1

    Amina sana

  • @jesusnetworkministry
    @jesusnetworkministry 4 месяца назад +1

    hahahaha hata mimi nilifikiria Tanga Babu yangu🎉🎉🎉

  • @peterchristopher5459
    @peterchristopher5459 4 месяца назад +1

    💯🙏

  • @yudaseleman8320
    @yudaseleman8320 4 месяца назад +2

    😂😂et nlikosea tu pumbafu😂😂

  • @smartgeoffrey9550
    @smartgeoffrey9550 Месяц назад +1

    02 January 2025

  • @josephnyamhanga8791
    @josephnyamhanga8791 3 месяца назад

    🎉🎉🎉🎉

  • @Luhumbika
    @Luhumbika 4 месяца назад +1

    Nakula chuma hii

  • @JohnAsn-f6u
    @JohnAsn-f6u 4 месяца назад +1

    Naomba kueleweshwa, kushiriki Arobaini haitakiwi..?

    • @SARAKAMBARAGE
      @SARAKAMBARAGE 2 месяца назад

      Ndiooo hairuhusiwi ukiwa mlokole. Asante

  • @IpyanaAlex-y6y
    @IpyanaAlex-y6y 3 месяца назад

    Nahitaji hio link ili nijifunze

  • @FarijiEdson
    @FarijiEdson 4 месяца назад +1

    Nguo zinaongea kwamba wewe ni mtu wa namna gani
    Mzinzi, mlevi, shoga,mnvutaji n.k

  • @amoss.tz1
    @amoss.tz1 4 месяца назад +2

    Amen

  • @amoss.tz1
    @amoss.tz1 4 месяца назад +2

    Amen

  • @DENYSDIZO
    @DENYSDIZO 4 месяца назад +1

    Amém

  • @JumaKamanija
    @JumaKamanija 2 месяца назад

    Amen