KIBOKO YA WACHAWI AJA NA NJIA MPYA| AOMBA MAMILIONI YA FEDHA KWA WAUMINI WAKE| KWA NJIA YA SIMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 154

  • @nenenongi66
    @nenenongi66 Месяц назад +3

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,Watanzania wenzangu Mungu katupa akili,shida zako zisikufanye ukawa mjinga.

  • @richardmassawe9719
    @richardmassawe9719 Месяц назад +19

    Anataka aje aishi na familia yake hapa kwani alioa au kaolewa huku Tanzania? Maana kama ameoa aende na family yake kwao

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Месяц назад

      Alioa huku na ana mke na watoto wawili

    • @richardmassawe9719
      @richardmassawe9719 Месяц назад

      @@lilyrose7983 sawa ni vizuri aende na family yake kwake

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Месяц назад

      Hamtumtaki bhana arudi kwao Drc kwenye njaa navita stupid 😡

    • @user-iu4du7ws6s
      @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

      Huna bahati shughuli zako kwishaaaa, tunatangaza shughuli zote za kichawi hazina bahati hapa Tz, giza halitashinda Nuru, mtapiga kelele na uchawi wenu mpaka mrudi kwa Yesu Kristo

  • @Ahmad-yo9pk
    @Ahmad-yo9pk Месяц назад +6

    Hichi kipindi asaa burudanii 😂😂😂 mwendo wa dibwee t

  • @phennymwarabu4214
    @phennymwarabu4214 23 дня назад

    Namshukuru mwenyezi Mungu sana sana, na ni ombi langu arudi haraka upesi. Karama Mungu aloweka ndani ya mtumishi wake, Pastor Dominic, niya kipekee, hamna Kenya, Tanzania, wala POPOTE. Wewe una maneno mengi, Bado HUJA ROGWA SAWA SAWA. ARUDI ARUDI

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 14 дней назад

    Lakini naona Tanzania ina Mazezeta wengi sana.

  • @user-dj4tp7lx3h
    @user-dj4tp7lx3h Месяц назад +1

    Ange. Wasaindia. Wakongo. Vita. Ishe

  • @iddihuruku7029
    @iddihuruku7029 Месяц назад +13

    DIBWE kawatabiria watu weeee lakin kashindwa kujitabiria 😂😂

  • @amaninyoni5645
    @amaninyoni5645 Месяц назад +11

    Ni sahihi familia itamkuta huko huko aliko🎉😅😅

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Месяц назад +3

    Mwamposa nae vipi mbona hamsemi mbona chumv ,maji,mafuta na udongo anauza hamsemi mim naona mamlaka ifanye haki uduma kama izo tz wachungaji kama hawa wafungiwe wote hakuna kupendelea APA,maana Imani imekua ya mtumba sasa

    • @christophermsekena616
      @christophermsekena616 Месяц назад +1

      Mzee wa I'm proud to be ........ achana na mishe za wakristo 😂😂

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 Месяц назад +1

      Kiboko kafungiwa kutokana na maneno yake machafu ,mwamposa kajaje hapo

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      ​@@christophermsekena616kwa sababu ni mtz mwenzio hata kama ni tapeli au vipi?!

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Месяц назад +1

      Uliona wapi hyo chumvi na udongo vinauzwa, acha kuongea ushuzi

    • @adamkamaze9888
      @adamkamaze9888 Месяц назад

      Kweli watu wanauziwa udongo,na mafuta kijiko buku lakini serikali ipo kimya wantanzania wakiibiwa tu.

  • @JescaEmmanuel-i5t
    @JescaEmmanuel-i5t Месяц назад +1

    Kweli ulaaniwe mungu akulaani

  • @daviddouglas9565
    @daviddouglas9565 Месяц назад +3

    Analilia Tz kwa sababu ndiko anapata mafala wengi wasiokua na kazi na pesa zao....

  • @user-yg6zn5sv8z
    @user-yg6zn5sv8z Месяц назад +8

    Huyo asirudi tena afungue kanisa kwao na kama nimke na famili yake awachukuwe waenende kwao

  • @saxo-mm4me
    @saxo-mm4me Месяц назад +4

    Mpigaji huyo jamaa

  • @PeterSevere
    @PeterSevere Месяц назад

    Nadhani wakristo tunatakiwa kujifunza kutoka kwa waisilamu tuwe na misimamo kwenye ukristo mtu anaweza kujiita nabii.mtume. hadi Mtu mwingine amejiita Yesu mwingine anajiita Mungu na anaachwa ndo maana watu wengi wanafanya ujinga na wataendelea haya mambo yakusema tusihukumu yatafanya ukristo udharaurike

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Месяц назад

    Safi sana wasafi

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 20 дней назад

    MNAONGELEA KIUSHABIKI SANA. ILA MUNGU ATAMREJESHA KAMA ATAKAVYO NA KWA MAJIRA YAKE.

  • @mariaikombe7839
    @mariaikombe7839 Месяц назад +2

    Mmmm si kwa umbea huo 😅😅😅😅

  • @rayisadesigns2646
    @rayisadesigns2646 Месяц назад +3

    DIBWE KAMA YEYE KWELI ANAJUA MATATIZO YA WATU KWANINI YEYE MWENYEWE AMESHINDWA KUJUA MATATIZO YAKE KAMA SERIKALI INAKUJA KUMFUNGIA KANISA LAKE?! WABONGO TUMIENI AKILI KIDOGO MTAPIGWA MPAKA LINI?!

    • @official_mr_bery
      @official_mr_bery Месяц назад +1

      𝗠𝗴𝗮𝗻𝗴𝗮 𝗛𝗮𝗷𝗶𝗴𝗮𝗻𝗴𝗶.

    • @user-iu4du7ws6s
      @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

      Usilolijuwa liache tu wewe ni mshamba

  • @jamiinaafyanjema2966
    @jamiinaafyanjema2966 Месяц назад

    😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉 nawakubali sana

  • @user-vi7ly9zh1q
    @user-vi7ly9zh1q Месяц назад +2

    😂😂iyo dibwe😂😂atutolee ujinga

  • @DoreenDamaris-gq5it
    @DoreenDamaris-gq5it Месяц назад +2

    😂😂😂japo hukumu na visas ni vya Mungu lkn namchukia aende zake mchonganishi mkubwa.

  • @user-el1cf1tg1f
    @user-el1cf1tg1f Месяц назад +1

    Huyo kiboko hata hasomangi bibilia maneno tuu yauchonganishi tuu...

  • @ibrahimunyaruhawa2416
    @ibrahimunyaruhawa2416 Месяц назад +2

    Hahahaha hivi vichwaaa😂😂😂😂😂🙌🙌🙌

    • @lydiadaudi4076
      @lydiadaudi4076 Месяц назад

      Ila jana vilivurunda mkapa😂😂

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Месяц назад

      ​@@lydiadaudi4076how??? Fact????

  • @BarakaNestory-x6d
    @BarakaNestory-x6d 11 дней назад

    Sii arudi kwenu kweni huku kwenu! Hatukutaki Tanzania

  • @MargrethSimama
    @MargrethSimama 15 дней назад

    Someni biblia mtajua maana ya maji chumvi mafuta vitambaa someni biblia

  • @MargrethSimama
    @MargrethSimama 15 дней назад

    Jamani mganga hajigangi

  • @user-zg5hu5jf2j
    @user-zg5hu5jf2j Месяц назад +2

    Asije kabisa ni tapeli mkybwa mimi mwenyewe nimetapeliwa kanisani kwa kiboko ya wachawi bora wamefunga kanisa hilo

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      Kwani ulilazimishwa si ulienda

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      ​@@FahadAbubakari😂😂😂😂😂fahad acha uchokoz walikua huwaambii kitu now ndio wamezinduka

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      @@fathiyahmuzney7367 we tz kutwa watu wanaibiwa Mara Ije upatu, Mara deci saa hivi kwenye dini huko bado atakuja mwengine na watamfata watu wapuuzi mnoo kupenda vitu vya haraka na kudanganywa acha wapigwe tu si wamehiari eti wakati huu kaondoshwa huyo bwana wanampigia simu bado , acha wanyooshwe tu

    • @user-iu4du7ws6s
      @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

      Wachawi ninyi mnachomwa shughuli zenu za kichawi haziendi

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 27 дней назад

      @@user-iu4du7ws6s acha ufala wewe tafuta hela ka umechukia kamfate congo si bado yupo

  • @GhGg-mc4qq
    @GhGg-mc4qq 19 дней назад

    Niliumia sana nilivy sikia kanisa la kibok ya wachawi limefungw mm niko omani ila nilikuwa nafatilia sana vipind vyak

  • @user-dr6sd6bb2f
    @user-dr6sd6bb2f Месяц назад +3

    Ila wasafi wachokoz nyie😂

  • @KeiFerouz-fn9oc
    @KeiFerouz-fn9oc Месяц назад +4

    Sasa Kongo hakuna wachawi

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

    Wooote mnaopenda Kiboko ya wachawi asirudi ni kwamba mlibanwa sana shughuli zenu za kichawi zilishambuliwa, ndo kilakitu mnategemea sangoma hata kazi zenu mliajiririwa baada ya skutoka kwa sangoma, ndo ninyi Mungu anamtumia Kiboko yenu wachawi kusambaratishwa, hamna bahati ninyi wachaw wote popote mnajikita tutawatafuta kwa Damu ya Yesu Kristo wa Nazareti mpaka tuwafagie nchi nzima

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

    Kama hawa watangazaji nawahurumia sana, dhahiri mnaonyesha Sangoma tupu

  • @estermkama
    @estermkama 26 дней назад

    Maandiko matakatifu yanasema usihukumu mwenye kuhukumu ni Mungu peke yake mbona mnachafua hivyo ina maana nyie ni watakatifu sana?

  • @rajah9328
    @rajah9328 Месяц назад

    Si watu wanatuma wenyewe Pesa au wanalazimishwa ila Dini yenu ndgu zngu

  • @user-oy2gp3nq4j
    @user-oy2gp3nq4j Месяц назад +2

    Hayo makanisa wamejaa waislam

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Месяц назад

      Makanisani wamejaa wakiristo na sio waislamu.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      @User, hizo ni cover ili uingie ukapigwe... tambua wengi wametengenzwa sio halisi na tena wanalipwa kwa usanii wanaoufanya.

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      ​@@rayisadesigns2646ni kwel kabisa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Месяц назад

      ​@@rayisadesigns2646unaongea upuuz gani wewe, hv akili zenu zipo matakoni, Kwa hela gani wawalipe hao watu, kama shuhuda n za uongo, watu wangeshaondoka mda, acha kuongea usivovijua, mshamba wewe

  • @PaulShayo-c5k
    @PaulShayo-c5k Месяц назад

    Mbona hao wengine hamuwasemi Kwan pasta yupo mwenyewe

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +1

    Hii media ya wasafi watangazaji wao wanakera hawajui kutangaza, wanapiga makelele sana wanapotangaza

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Месяц назад

      Kasikilize pengine sio lazima wao

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Месяц назад +2

    Asikubaliwe kurudi huyo ni tapeli

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 Месяц назад

    Distance is not a barrier😂

  • @petermwijage9882
    @petermwijage9882 Месяц назад

    kwao kwenyewe kuna wachawi wengi ad magaidi awashugulikie huko

  • @user-zg5hu5jf2j
    @user-zg5hu5jf2j Месяц назад +2

    Ni tapeli mkubwa anaendesha kanisa kwa kutapeli watanzania

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      Mi nafurahi sana anavyowakomesha kwakua wanamfata wenyewe

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      ​@@FahadAbubakari😂😂😂😂😂😂😂😂ila ww

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Месяц назад

      @@fathiyahmuzney7367 hawewezi kuwa watu wanajua wanaibiwa tena kwa kuambiwa na viongozi wengine wa dini bado hawaskii afu tuwaonee huruma tena wangemuacha tu awanyooshe mpaka watie akili wauze hadi vijiko kumpelekea hela

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

    Sio kweli acheni uongo wenu

  • @user-iy7xy1np7c
    @user-iy7xy1np7c Месяц назад +2

    Bado mwamposa na hao wapuuzi wengine

  • @lilyg2134
    @lilyg2134 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣🤣☺🤣🤣🤣🤣mnavoitaja hiyo Dibwe🤣 Dibwe mwingne mlevi yupo pale ubungo siku zake zinahesabika!!!

  • @SharifaOctavian
    @SharifaOctavian Месяц назад

    Ndiyo Aende kwao HUKO wanamujitaji MBONA Aende kule

  • @josephphilimon-h7d
    @josephphilimon-h7d Месяц назад

    Nyinyi watangazaji wachonganyish

  • @MasanjaMkama-bd9rc
    @MasanjaMkama-bd9rc Месяц назад +3

    Analilia Tanzania tyu kwa maana watanzania ni marofa kwngne wajanja

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Месяц назад

      Tanzania ninchi nzuri chakura kingi Safii congo imechoka inanjaa masikini ijapo inamadini mengi lakini kunadhiki hatali ivyo lazima alilie nchi ya ahadi 😂

  • @jackloxley2865
    @jackloxley2865 Месяц назад

    Hawa jamaa jau kinoma 😅😅😅

  • @Tikijmlengo
    @Tikijmlengo Месяц назад

    Yesu kabra ua kufa alijua atakufa tena sio kufa tu hadi kufufuka alijua ila dibwe kajua ya wenzake yake haja yajua😂😂😂😂

  • @user-ou9wj4hu3e
    @user-ou9wj4hu3e Месяц назад +2

    Dimbwe ni tapeli sana.Na watanzania wanapenda kutepeliwa sana.Nchi zingine huo ujinga hawataki.Aende akatapeli nchi zingine.Ni tapeli sana.

  • @RonnieBertin
    @RonnieBertin Месяц назад

    Ndio maana watanzania watabaki kuwa. Maskini wasenge. Useless kumekucha amkeni

  • @elizabethkikoti7265
    @elizabethkikoti7265 Месяц назад +8

    😂😂😂dibwe kimekulamba machozi ya pesa uliomdhulumu baba angu amepooza mkono kimekulamba na nilisema hautofika kokote asante serikali alimdhulumu baba angu na hata baba angu hakupona 😂😂😂 nacheka kma mazuri dibwe umeumbuka

    • @magejuliani5293
      @magejuliani5293 Месяц назад +2

      Pole Sana! Mpeleke Baba muhimbili!

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Месяц назад

      Alimtapel sh..ngap, muhuni yule

    • @jamesmasome359
      @jamesmasome359 Месяц назад

      Mnaagamia kwakukosa maarifa...

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 Месяц назад

      @@FreeGod368 milion moja na laki mbili alisema anapona palepale

    • @elizabethkikoti7265
      @elizabethkikoti7265 Месяц назад

      @@FreeGod368 milion moja na laki mbili alisema anapona palepale

  • @josephmaduka-xv8yp
    @josephmaduka-xv8yp Месяц назад

    Mbona wapo wengi sana was namna hii tens maarufu lakini wao hawachukuliwi hatua

  • @credychipungahelo1515
    @credychipungahelo1515 Месяц назад

    Matapeli wameingia ktk mtandao na kila ulimi utasema alichosema
    Na hili mtajua nyakati zikifika

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

    Dibwe kawa Dabwaaa😂😂😂

  • @user-et9je5vw3l
    @user-et9je5vw3l Месяц назад

    Tanzania kuna mengi jamani😂😂😂😂😂

  • @SuleyGodwin-eg1fh
    @SuleyGodwin-eg1fh Месяц назад

    Kweli kabisa ruwanda wako vizuri sana bila degree in theology hakuna kufanya kazi.

  • @RamooAli-hr3nv
    @RamooAli-hr3nv Месяц назад

    Wanaotoa ndio mataira

  • @BarakaGaspary-u1t
    @BarakaGaspary-u1t Месяц назад

    We shuuli imefka kwawenyewe hapo

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Месяц назад

    Lwanda uyo musihisifie hizo nikarama

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 24 дня назад

    DAWA YA KUTODANGANYWA NA MANABII WA UONGO HII HAPA👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇
    Kiini cha BIBLIA ni "AMRI 10 ZA MUNGU", zile zilizoandikwa kwa chanda chake mwenyewe KUTOKA 20:1-18, mengine yote katika BIBLIA ni maelezo yake kwamba ukizishika unapata nini na ukizikanyaga unapata nini.
    Ndugu; usiruhusu kumuamini au kulishwa kiroho na mtu yeyote aliyeikanyaga kwa makusudi mojawapo ya amri hizo 10.
    Yakobo 2:10
    [10]Maana mtu awaye yote atakayeishika sheria yote, ila akajikwaa katika neno moja, amekosa juu ya yote.Yohana 16:13
    [13]Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye "KWELI YOTE"; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
    Zingatia neno "KWELI YOTE ", sio kisa umesikia tu anatajwa Mungu basi unaamini ni mtumishi wa Mungu.
    Isaya 8:20
    [20]Na waende kwa sheria na ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asuhi.
    Hao wanaojiita Vyeo vikubwa vya kiutumishi wanaijua vizuri tu BIBLIA ila wanazikanyaga Amri za Mungu (sio kukosea au kuanguka dhambini kama ilivyo na kwasisi wengine, la!) Wanazikataa kwa makusudi kwa maslahi yao binafsi, wamejitoa kwa kiwango chote kutumika na yule adui.
    Pia tuzingatie sana hili; kipaumbele chetu kwa Mungu ni Uzima wa milele.
    Mathayo 6:33
    [33]Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.
    Hao wanaohubiri vice versa si watumishi wa Mungu. Wanahubiri mibaraka ndicho kipaumbele chao, si sawa na mpango wa Mungu bali ni makusudi ya yule adui kutuangamiza.
    Marko 8:36
    [36]Kwa kuwa itamfaidia mtu nini kuupata ulimwengu wote, akipata hasara ya nafsi yake?
    BARIKIWA.

  • @IssaTayari
    @IssaTayari Месяц назад

    Hatar

  • @EdgarLema-g6f
    @EdgarLema-g6f Месяц назад

    😂😂😂dibwe kazua jambo wazee

  • @oscarurio1176
    @oscarurio1176 Месяц назад

    Mbona Kuna watu wameoa nchi nyingine na ikitegemea ni Drc African

  • @user-ry8nx6zm9e
    @user-ry8nx6zm9e Месяц назад

    Hivi kazi ya mwandishi wa habari ni kutangaza tu au pia ni Mchunguzi kwa hapo na nyie mnafeli inatakiwa vitu vingine muwe mnaviona mapema na kuzikemea,kwani nyie mlikua hamuoni ujinga wa uyu jamaa tangu mapema ndo sasa mnashadadia.

  • @user-el1cf1tg1f
    @user-el1cf1tg1f Месяц назад

    Mtapeli mkubwa huyo... Alinitapeli laki moja... Badae nikaitishwa millioni.
    ...... Kwa mwaponza hautishwi pesa yetote... Maji na mafuta ni hiali yako tuu... Haulazimishwi kununua...

  • @austinfoster4512
    @austinfoster4512 Месяц назад

    😂😂😂😂😂

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 Месяц назад

    Nyie kumbe ndio walewale wakina zuwena huo sio usomani Bali ni umbea

    • @zuwenasalim2794
      @zuwenasalim2794 Месяц назад +1

      😂😂😂😂jmn jina langu imekuwaje

  • @BablayEagle
    @BablayEagle Месяц назад +2

    Wajinga ndo waliwao 😂😂

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Месяц назад

    😂😂😂✔️

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @SalmaMuhammed-u8s
    @SalmaMuhammed-u8s Месяц назад

    NawKubali sana

  • @sabinaboas6760
    @sabinaboas6760 28 дней назад

    Acheni uzushi kiboko ya wachawi ni mtumishi wa Mungu,kasomeni biblia acheni kumsema mtumishi wa Mungu sio sifa acheni rohi mbaya na ubaguzi

  • @AbubakarJohn-bz9dj
    @AbubakarJohn-bz9dj Месяц назад

    Acheni maneno ukabila umerudi unamaana hamjui kuwaameacha familia hapa tz

  • @ignasdonasian
    @ignasdonasian Месяц назад

    Kiukweli mmeupiga mwingi, yaani kama pele

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Месяц назад

    Ila watu mna pesa za kuchezea, mpelekeeni wajinga nyie

  • @OdenialoniNgusi
    @OdenialoniNgusi Месяц назад

    Waang'amia kwa kukosa maalifa man wajinga ndio waliwao

  • @davidtshilumba5098
    @davidtshilumba5098 Месяц назад

    Mnaongea kama watanzania hawako Drc Congo tumieni hekima.

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Месяц назад

      Wameongea kuhusu utapel wa Dibwe elewa kwanza kabla ya kutoa comment

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 Месяц назад

      Watumie hekima kwani wamesema wakongo waondoke au Dibwe ndio aende? Yeye anatumia hekima kudhalilisha watu na kuwatapeli?

  • @user-cx7rh6jt6y
    @user-cx7rh6jt6y Месяц назад

    Kwani kwake hamna waumini? Au anaona tz wajinga na wajinga ndio waliwao😅

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 Месяц назад

      Wajinga wengi sanatz

    • @user-iu4du7ws6s
      @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

      Wachawi ninyi mnaogopa moto wa Mungu hamkwepi lolote mtachomwa tu

    • @user-iu4du7ws6s
      @user-iu4du7ws6s 27 дней назад

      lazima mchukie maana mmetawaliwa na giza tupu

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 27 дней назад

      @@user-iu4du7ws6s hahahaa wewe una nuru akashindwa kuona, poleeeee

  • @charlesomollo-ui1np
    @charlesomollo-ui1np Месяц назад

    Whaaaat????wanaume kumbe wambea?????Journalists should discuss emerging issues of progress,yaani nyinyi mmekaa mbele ya microphone kudiscuss nabii,hongereni wanawake ooh kumbe ni wanaume????🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @abdallahmsham7943
      @abdallahmsham7943 Месяц назад +3

      Akili hauna wewe mpuuzi awo ni wandishi mashuuli kwa wanasheesha kwa uwezo waoo

    • @prince.eric_msemwa9732
      @prince.eric_msemwa9732 Месяц назад +2

      Kwa io watu kuibiwa mamilioni ya pesa sio agenda worth talking about bro?

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Месяц назад

      @@abdallahmsham7943 Abdalla wacha machungu 🤣🤣🤣🤣

    • @charlesomollo-ui1np
      @charlesomollo-ui1np Месяц назад

      @@prince.eric_msemwa9732 prince wacha machungu🤣🤣🤣🤣

    • @richardmassawe9719
      @richardmassawe9719 Месяц назад +4

      We hujielewi mjinga mmoja ww hawa wanasoma magazeti kilichoandikwa kwahyo ulitaka wafanyaje?? Inaezekana na ww ni mmoja kati ya wanaokula pesa zinazoombwa na huyo nabii nenda nae congo huko mjinga mmoja ww

  • @user-rv5kt6ii9t
    @user-rv5kt6ii9t Месяц назад

    😂😂😂😂😂

  • @yunuskizundu4707
    @yunuskizundu4707 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @jamilajamal1584
    @jamilajamal1584 Месяц назад

    😂😂😂😂😂😂

  • @ARAFATVSHOW
    @ARAFATVSHOW Месяц назад

    😂😂😂😂😂