Hili somo , ni zuri sana , nami nimerudia tena kwa mara ya pili japo nilikuwepo kabisa kanisani, Yesu ameniponya kwa neno hili, Mungu alitaka kusema nami kupitia somo hili Asante Yesu
DALILI HUONGOZWI NA ROHO. 1.mambo yako kuwa magumu (no njia)-yoh14:6) yeyusha milima/weka njia baharini 2.Uhitaji kuwa mwingi(not shughulikia uhitaji wako(zab23:2-3)isaya48:21"hawakuona kiu 3.Hofu nyingi. kilakitu unaogopa (mlango1-ukifunga analeta-7 )fear not at 365(isaya41:10)-adam akasema naliogopa sauti ya Mungu 4.Haupati Msaada (nje ya KUSUDI(1the5:24) Kuongozwa ni haki yako
Amen mushunga neno hili nilango nikweli Mimi nilijion gozawenyewe ndiyonana mamboyango hayendi nashukulu kwasababu yamafundisho yaeniponya yameni funguwa kujiongoza mwenyewe nashukulu kwa neno hili mungu akubaliki nakukuonge zeya maisha marefu amen 😊
God bless you PASTOR. Neno zuri sana lafaa kwa mafundisho bila kujali madhehebu. Linafit kila mahali bilankuja unasali wapi. BARIKIWA SANA NA MUNGU AKUINUE JUJU JUU SANA
May God lift you up, with good teachings, we will be greatly 🙏 blessed
Ahsante sana mtumish wa MUNGU unanipeleka viwango vikubwa.
Nabarikiwa sana
Mungu akubariki mtumishi
Pastor George Mungu akupe maisha marefu mnoo tunakupenda mnoooo❤
Mungu.akubariki.kwaneno.nimekufata.kilasiku..apamujini..congo..lumbu.mbashi..asate
Hili somo , ni zuri sana , nami nimerudia tena kwa mara ya pili japo nilikuwepo kabisa kanisani,
Yesu ameniponya kwa neno hili,
Mungu alitaka kusema nami kupitia somo hili
Asante Yesu
Hongereni mnaopata neema ya kufka katka kanisa lake maana namfutilia kwa muda mrefu na nabarikiwa mno🙏
Mungu naomba uendele kuniponya Na umabariki huyu pastor🎉🎉🎉
Asante Mungu Kwa kunifunza kupitia kw pasta George 🙏🙏🙏
DALILI HUONGOZWI NA ROHO.
1.mambo yako kuwa magumu (no njia)-yoh14:6) yeyusha milima/weka njia baharini
2.Uhitaji kuwa mwingi(not shughulikia uhitaji wako(zab23:2-3)isaya48:21"hawakuona kiu
3.Hofu nyingi.
kilakitu unaogopa (mlango1-ukifunga analeta-7 )fear not at 365(isaya41:10)-adam akasema naliogopa sauti ya Mungu
4.Haupati Msaada
(nje ya KUSUDI(1the5:24)
Kuongozwa ni haki yako
Asante sana kwa mafundisho mazuri
Amen
Mungu akubariki mchungaji na mwalimu
Asante Sana mtumishi wa mungu mafundisho mazuri sana
Huyu paster ananibariki sana amenitoa sehemu moja akanipeleka sehemu nyingine kabisa
Amina mtumishi wa MUNGU.Ubarikiwe sana🙏🙏
Nashukuru sana kwa hilo somo
Kwakweli Mtumish unarikiwe unajifunza kutoka kwako ❤
Roho waBwana naomba uniongoze SIKu zote za maisha yangu ame
Amina, Niko tayari kuongozwa na Roho wa Bwana.
Amen nachukuru kamafundicho
Unaninjengaka sana kwenyimafundicho
Nimebarikiwa sana mtumishi wa mungu.
Amen.Nimebarikiwa sana Mchungaji.
Amen Ubarikiwe mchungaji
Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai, nabarikiwa mnooo
Ubarikiwe Mtumishi Safi Sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤Amen
Asante sana ROHo wa Mungu
Very powerful massage my God bless you more pastor
Asante Mtumishi neno lako limenisaidia Sana ubarikiwe
Mungu wetu ni mzuri barikiwa mchungaji
Woow walai Hreat man of God you are my mentor ❤❤❤❤❤❤❤st poelten hire Niederoesterreich oyes
Mungu akubariki saana Mtumishi wa Mungu
Mungu akuzidishie upslope na Baraka zake . Natamani ningekuwa Mwanza . Bwana Mungu aliongeze kundi
Be blessed pst for such wonderful word of God to me
Thanks you Apostle for so much
You hv been a real blessing to me .live long
Amina nipo tayari kuongozwa na bwana
AMEN BABA 🙏 BARIKIWA KATIKA YESU MILELE
Asante ujumbe mzuri baba
Amen, Mungu akubariki mtumishi ujumbe huu umenitoa ktk hatua ingine umenigusa sana Mungu azidi kukuinua kwa ajili ya kz yake
Aminaaa sana babaa, Mungu akubariki sana kwa mafundisho yako
Amina asante mchungaji,kwa neno la mungu linanifumbua macho na akili.barikiwa baba❤
Amen mushunga neno hili nilango nikweli Mimi nilijion gozawenyewe ndiyonana mamboyango hayendi nashukulu kwasababu yamafundisho yaeniponya yameni funguwa kujiongoza mwenyewe nashukulu kwa neno hili mungu akubaliki nakukuonge zeya maisha marefu amen
😊
Hili somo limenifungua sana Mungu akubarik mtumishi
Hongera Mtumishi Ubarikiweee
Amen,nishukuru nimebarikiwa na hii neno
Amina ,nakoma kujiongoza
Niongoze eee ROHo wa Mungu
Amina unanifundisha kujua mambo ya mungu
🙏
Nakuewa sana pasta mungu 😢😢
Mtumishi umenijenga Sana Sana katika kuelewa neno
Kupitia mafundisho iyi naomba Mungu aondowe hofu ndani yangu na aniongoze🙏
God bless you PASTOR. Neno zuri sana lafaa kwa mafundisho bila kujali madhehebu. Linafit kila mahali bilankuja unasali wapi. BARIKIWA SANA NA MUNGU AKUINUE JUJU JUU SANA
Amena
Nabarikiwa sana na mafundisho yenye kibali Mtumishi Mungu akubariki sana. Tunapona sana na kukuwa kiroho
Karibu Roho Mtakatifu 🙏
Asante kwa neno la mungu mtumishi
Good God is everything
Amen SoMo limenijenga sana sana kiroho
Amina
NENO zuri SANA PASTOR ANATUSAIDIA SANA BUSARA ZAKE KUBWA MUNO, WATU WA MITAMBO TUSAIDIA KUONGEZA SAUTI JAMANI.
Man of God ubarikiwe wewe na uzao wako
Mungu aniongoze ktk yote
Amina hili somo ni kwa ajili yangu Mtumishi,Mungu akubariki sana na Mungu anisamehe kwa kujiongoza mwenyewe nimejuwa wapi nimekwama.
Roho wa Bwana akutunze unanisaidia sana masomo yako
AMEEN BABA yangu naomba MUNGU aniongoze
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ameen and Ameen Our God is powerful
Ubarikiwe na bwana
Nainuliwa katika jina la YESU
Mungu naomba kuongezwa na roho wako
Aleluaasifiwe mungumweyezi
Hili somo nilisikiliza Jana live hila naona nilirudie Tena leo maana ni somo lapekee kwangu limenigusa sana❤❤❤❤ Asante Yesu Kwa uponyaji mkubwa 🙏
Hakika nimeelewa mungu kila kitu balikiweni mtumishi
Sitakubali kuongozwa na sauti za ibilisi.
,..bfc)???
Masomo mazuri Mimi Pastor napenda Busara zako zinanisaidia.
Naomba watu wa mitambo watuongezee sauti kidogo jamani.
Barikiwa sana mtumishi wa BWANA
Amen Pastor ubarikiwe sana kwa mafundisho yako
Mungu ni mwema
Roho Wa bwana Na uniongoze.mungi azidi kukumbariki zaidi
Amen 🙏🙏🙏
Amen 🇰🇪🇰🇪
AMINAAA
Blessings
❤❤❤
Amen🙏🙏🙏 kama Mimi Hili SoMo lomenigusa ila natamani ya kumsikia roho mtakatifu
Nahitaji mungu zaindi katika maisha yangu
AMEIN
Amen
🙏🙏
Amen amen amen
Shaloom mwalimu naitwa danieli nipo dodoma nakufatilia kupitia. mtando Mimi sijawi kufika mwanza ili kwaneno unalo fundisha Lita nifanya mifike mwanza
Ameen
Ameen Ameen
1Wakorinto 14:2
Niko tayari kwa neno
28:23 Ayubu
Mungu akubariki pastor kwa mafundisho mazuri nabarikiwa sana kwakweli mungu anakitumia samahani mtumishi sijaziona namba zako za simu
Kumbu kumbu 1:32-33
Mpigie yesu kristo makofi
Sijaona mchungaji anafundisha vizuri kama huyu, nipo tu mbali naye
Pastor niombee nipate kibali juu YA Maisha yangu,naomba niongozwe Na roho wa bwana
Mimi hapa naitaji kuomgozwa na Roho mtakatifu
Mithali 14:12
Asante Kwa mafundisho mazuri ,,Mungu namuhitaji Roho mtakatifu aniongoze
Nip moro naomba namba za pastar😊