MAAMUZI SAHIHI YA KUINGIA KATIKA NDOA || PASTOR GEORGE MUKABWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025

Комментарии •

  • @UpendoDihenga-o5r
    @UpendoDihenga-o5r 2 месяца назад

    Asante mtumishi wa mungu kwa somo zuri sana balikiwa sana.

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 Год назад +2

    Munguwangu hayamambo ningeyajuwaka mapema singekuwa jinsi nilivyo leo basi isaidiye basi watoto wa ngu

  • @JemaRashidi
    @JemaRashidi 3 месяца назад

    Aminaaa baba mung akutunze siku zotee

  • @mercynafula6905
    @mercynafula6905 6 месяцев назад

    Asante sana mtumishi wa mungu,,hii mafundisho ni ya ukweli mimi nlijiingiza kwa ndoa mapema,sai Sasa mimi ni mama wa watoto wawili na tuliachana sai nko kwetu ,lakini namushukuru mungu kwa kukutuma uje ukatuokoe🙌🙏👏👏

  • @GladysWambura
    @GladysWambura Год назад +1

    Mimi ni mama,I wish ningepata his somo kabla sijaoleka,singefanya uamuzi mbaya but bcoz sikujua ,God help me and rem my marriage.

  • @MarcoPeter-y5n
    @MarcoPeter-y5n Месяц назад

    Glory to JESUS Amen

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi Год назад +1

    Ameni asente kwa somo hili

  • @terrynjuguna5602
    @terrynjuguna5602 Год назад

    I found this church on RUclips. I have been watching all the videos and I've been taught a lot. Thank you for allowing God to use you to teach the word. Much love from Kenya

  • @NduwimanaElie-n3o
    @NduwimanaElie-n3o 7 месяцев назад +1

    Asante sana kwa mafundisho mazuri .God bless u

  • @joyceezidory9276
    @joyceezidory9276 11 месяцев назад +3

    𝙹𝚊𝚖𝚊𝚗 𝚑𝚞𝚢𝚞 𝚙𝚊𝚜𝚝𝚊 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝚠𝚊𝚙𝚒

  • @happyshoo-to5sn
    @happyshoo-to5sn 11 месяцев назад +1

    Barikiwa sana Mtumishi nmejifunza vingi sana hapa kwako

  • @FurahaMwasila
    @FurahaMwasila 6 месяцев назад

    Namshukuru Mungu somo ili nimelipata wakati bado sijaoa na nmejifunza jambo barikiwa sana mchungaji

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 Год назад

    Eee asante umejaa neema ya kufundisha bila kuchoka

  • @estherwilliam5125
    @estherwilliam5125 Год назад

    asante mtumishi, tunaomba sehemu ya pili somo hili

  • @Jenvier-jz2lg
    @Jenvier-jz2lg Год назад

    Baba yangu unanibariki xna ni Léonard tka Drc Congo

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Год назад

    Baba Neema ya kufundisha mafuta iko juuu

  • @beammicrocredit
    @beammicrocredit Год назад

    Ahsante pastor kwa SoMo zuri MUNGU nisaidie nijue kuijenga ndoa ya badae Amen.

  • @annekombo6945
    @annekombo6945 10 месяцев назад

    Pastor asante kwa huu ujumbe,haya ndo makosa nilifanya sahi sina ndoa lakini naamini Mungu atanibariki na ndoa sahihi

  • @veronicanzingula5426
    @veronicanzingula5426 Год назад

    Amina sana pastor, Somo hili limekuja wakat ulio sahihi.

  • @EvelinePastory
    @EvelinePastory Год назад

    Amina,umenifungua baba ubarikiwe sana

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Год назад

    Mafunzo ya baraka sana

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Год назад

    Amina

    • @marianguli7994
      @marianguli7994 Год назад +1

      Asante Pastor unatufundisha vitu vizuri sana na ni mafundisho adimu sana

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Год назад +1

    Hili somo limenipa utulivu kabisa na umakini sana blessed dady

  • @hagailumbwe9146
    @hagailumbwe9146 Год назад

    Ubarikiwe sana Baba

  • @yoshuamwakisopile8212
    @yoshuamwakisopile8212 Год назад

    Asante sana Yesu!

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад

    Baba Asante sana ukweli hayo yapo wazi

    • @IdrissPrecious
      @IdrissPrecious Год назад

      Mungu mwema azidi ku kubariki baba mchungaji umekuwa baraka saana ningelikuwa tz ningelikuwa mushorika wako kabisa

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад

    Ameen

  • @fastprostudioclips4528
    @fastprostudioclips4528 8 месяцев назад

    Amen

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Год назад +1

    Kukosea ndoa nikitu kigumu mno

  • @mildredsakali2243
    @mildredsakali2243 Год назад +2

    Pastor naomba uzungumzie kwa kina jinsi ya kuvunja mahusiano mabaya au kuvunja agano la ujumba mbaya please 🙏

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Год назад

    Jioni leo Nimefatilia Tena Kipindi hiki Kuzuri SANA Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 Год назад +1

    Afadhali kuishi pekee kuliko ndoa rong

  • @upendomollelu7260
    @upendomollelu7260 Год назад

    Kweli poster umenifundisha ukweli mtupu Mungu akutunze.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад +1

    Baba ukweli umenigusa hadi nimejisikia kulia ukweli ni mateso mabaya na magumu Sana kulazimisha ndoa sababu ya kupa mimba ni mateso yasiyoelezeka ni mateso ambayo yanakupa nafasi ya kuogopa hata kuingia kwenye mahusiano na kuogopa hata waliomuhimu maana kila ukikumbuka unakumbuka makosa ya yule aliyekosa

    • @RizikiMarie
      @RizikiMarie Год назад

      Niatari sana ndugu yangu sisi wengi tulihingia tukiwa miaka 15 na nusu nikulia tu kwa hii somo

    • @davidmghanga8502
      @davidmghanga8502 Год назад

      🎤

    • @ChristinaSanga-pl5jm
      @ChristinaSanga-pl5jm Год назад

      Kwa kweli mtumishi hili somo ni muhimu sana ingekuwa ni vyepesi lifundishwe kupitia TBC taifa au ITV

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 Год назад

    Kinywa cha kuhani kitatoa maarifa ya kuendesha ndoa kama maarifa ufahamu na busara

  • @giftmuchai2106
    @giftmuchai2106 7 месяцев назад

    Am so sorry me😢

  • @HezronZacharia-vi4kv
    @HezronZacharia-vi4kv Год назад

    Unapatikana wapa pastor?

  • @JumaNussura
    @JumaNussura Год назад

    Mm ñi màmà nilimtege.meà muñgu kwenye ndoà

  • @fastprostudioclips4528
    @fastprostudioclips4528 8 месяцев назад

    nisaidieni number ya mchungaji

  • @everinemasoka6923
    @everinemasoka6923 7 месяцев назад

    Amen