NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU (Mungu anapoongea na wewe)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 ноя 2019
  • JE! UNAWEZA KUTAMBUA MUNGU ANAPO ONGEA NA WEWE?
    KUPATA KITABU KINACHO ONGELEA NAMNA YA KUISIKIA SAUTI YA MUNGU PIGA SIM NUMBER +255759612430
    MAREKANI NA CANADA PIGA +1515 441 4962

Комментарии • 86

  • @edwardmarro978
    @edwardmarro978 4 года назад +12

    Machozi yananitoka moyoni Pr somo hili ni kama uliandaa kwa ajiri yangu,
    Eehh Mungu neema yako ikawe juu yetu na utupe macho ya kiroho katika pendo la Yesu kristo Amen.

  • @asharamadhan8806
    @asharamadhan8806 4 года назад +2

    Amina Mchungaji ubarikiwe na MUNGU wa MBINGUNI katika JINA LA YESU maana tunabarikiwa sana kwa NENO LA MUNGU unalo tuletea hakika rinatubadirisha maisha yetu MUNGU akupe afia NJEMA kila siku pamoja na familiya YAKO

  • @theresiamwanamkejasiri6510
    @theresiamwanamkejasiri6510 2 месяца назад

    Roho yangu ni toleo la zamani😢😢😢😢😢
    Baada ya miaka minne nabarikiwa na hili hubiri,hadi nimeogopa,Tangu nimemjua Yesu 2007 labda bado sikumjua Mungu wangu😢😢😢😢😢,Barikiwa Pastor

  • @catherinehenryameeen5977
    @catherinehenryameeen5977 2 года назад +1

    Ameeen.Asante Mungu kwa ajiri ya Mchungaji Mbanga.

  • @pauloropian3093
    @pauloropian3093 4 года назад +3

    Thanks Uwepo wa mungu hukaa juu ya sifa " may God bless all "

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 года назад +3

    Amina mchungaji nabarikiwa sana.naomba ubarikiwe Kwanza ndo ni fwatie nami.

  • @graceb2398
    @graceb2398 3 года назад +3

    I’m blessed to hear your massages always 🙏

  • @mn9484
    @mn9484 4 года назад +1

    Ni katika roho!! Kila siku najifunza zaidi kumsikiliza Mungu hatua kwa hatua. Mungu akubariki Mchungaji, hapa USA Grace.

  • @zipporahnyanchoka4291
    @zipporahnyanchoka4291 3 года назад +2

    Wah am blessed with your preaching,thanks pastor also b blessed

  • @franksikombe9860
    @franksikombe9860 4 года назад +1

    Tumebarikiwa sana huduma yenu mungu awape uvumilivu muimbe hadi mbinguni by FRANK SIKOMBE-Katavi

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amina asante mchungaji nimepata kuchua Mungu n nani.naomba uongozo Wa roho mtakatifu aniwezeshe niskie sauti ya Mungu

  • @sdawalokole9489
    @sdawalokole9489 4 года назад +2

    Amen,Mungu ni Roho na sisi ni roho pia

  • @roselele341
    @roselele341 4 года назад +1

    Amina unanifungua kila siku nazidi kuwa na Imani asnt mchungaji mungu akubaliki sana

  • @petromabagala9186
    @petromabagala9186 4 года назад

    Hii kwaya huwa inanivuta karibu sana na Mungu. Mungu akubariki sana Pr Mmbaga

  • @maryosoro5497
    @maryosoro5497 4 года назад +1

    Really mchungaji huwa unanibariki sana sana na mahubiri yako

  • @jaredmayaka2993
    @jaredmayaka2993 2 года назад +1

    Amen 🙏🙏 Thanks for good song

  • @daudnyore4696
    @daudnyore4696 4 года назад +2

    I hope one day I will talk, with you man of. God,may The Peace of God that passes all. Understanding keep you by the grace of God

    • @monniekevin9303
      @monniekevin9303 3 года назад

      Amina Amina kweli mchungaji taji yako mbinguni itang'aa Sana.usife moyo chochea injili kabisa wengi wanainuliwa kiroho kupitia Yale maneno Mungu ameweka kwako.kama Mimi nashangaa nikama ndio naanza kusikia maneno ya Mungu Kwa mara ya Kwanza baada ya miaka mingi tangu kuamini.Mungu akubariki Sana.

  • @selfaakinyi7824
    @selfaakinyi7824 4 года назад +2

    Eeeh mungu wangu , nijalie macho ya rohoni. 🙏

  • @hellenratemo2813
    @hellenratemo2813 3 года назад +3

    Nice message keep it up,I have learned many things from ur sermon pastor, God 🙏 bless you

  • @KASICHANANDARO-ud1eh
    @KASICHANANDARO-ud1eh 9 месяцев назад

    Mungu akubariki sana mchungaji

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 года назад

    Kila mara ninapokusikiliza, ninabarikiwa na kufunuliwa ukweli mpya, Mungu akubariki sana pastor

  • @user-ps7fy2oj7i
    @user-ps7fy2oj7i Месяц назад

    Amina

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 года назад +1

    Amen.

  • @teddymagori3779
    @teddymagori3779 2 года назад

    Ubarikiw paster

  • @janehlwjn9982
    @janehlwjn9982 4 года назад

    Asante kwa mahubiri yako nabarikiwa Sana nkiwa Saudi Arabia napenda Sana mafundisho yako pr ubariwe sana

  • @kakajey6867
    @kakajey6867 4 года назад +6

    Pongezi kwangu wa kwanza kukoment

  • @janetfrancis7180
    @janetfrancis7180 4 года назад +1

    Amina tunabarikiwa na somo zuri

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 года назад

    Kwaya nzuri sana mmbarikiwe

  • @anchepto8314
    @anchepto8314 4 года назад

    Amina tunabarikiwa kwa neno

  • @daviddotto327
    @daviddotto327 4 года назад +1

    Mungu awabariki sana waimbaji wa kwaya hii ya sauti ya jangwani kutoka shinyanga ushirika

    • @hondenisonmagufulinyabaro3923
      @hondenisonmagufulinyabaro3923 4 года назад

      Mungu akuzaidie ulipo ufanyapo,,,,,Nimejua Choir hii imenitoa jozi kubwa !! Mungu wangu Nani atakuwa juu yangu!!!

  • @hassanhussein6161
    @hassanhussein6161 Год назад

    amina sana

  • @lightnesslengine7499
    @lightnesslengine7499 3 года назад

    Mungu akubariki pastor

  • @Patience763
    @Patience763 6 месяцев назад

    Amen Amen mchungaji

  • @kbsclips6515
    @kbsclips6515 4 года назад

    Mchungaji nabarikiwa sana,Mkale Uk hapa

  • @keziaranga6329
    @keziaranga6329 3 года назад

    Paster ninabrikiwa sana na masomo yako umenifungua sana macho ya rohini

  • @judithcherono2595
    @judithcherono2595 4 года назад

    Amen Mungu ni Roho👏👏

  • @magdalenamassangwa-qs3ie
    @magdalenamassangwa-qs3ie 7 месяцев назад

    Naomba no zako mtumishi

  • @mathiasfrancis2614
    @mathiasfrancis2614 4 года назад

    Amina barikiwa parsto

  • @akwiliniswai5203
    @akwiliniswai5203 4 года назад

    Amina sana

    • @erastomarco8080
      @erastomarco8080 4 года назад

      akwilini swai ubarikiwe sana mtmsh wa Mungu uwa nabarikiwa na mafundisho yako

    • @akwiliniswai5203
      @akwiliniswai5203 4 года назад

      @@erastomarco8080 amina

  • @monicalaizer7596
    @monicalaizer7596 9 месяцев назад

    Amen

  • @MTUMISHI-254
    @MTUMISHI-254 4 года назад

    Hakika mchungaji masomo yako yananibariki nakunibadilisha Sana nami natumia fursa hii kuwambia watu ile Nuru ninayopata kupitia masomo yako

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 года назад +2

    Aminaaa wimbo mxuri

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 2 года назад

    AMEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEN

  • @samsonngweina5048
    @samsonngweina5048 3 года назад

    😂😂😂 Amina pastor

  • @barakachongera9705
    @barakachongera9705 2 года назад

    Hakika nimejua vitu vya thamani Thana"

  • @dausonmdee4303
    @dausonmdee4303 4 года назад

    somo halijaishaaaaaaa

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 3 года назад

    Vitabu vyako kwa Zanzibar napataje

  • @charleskaselya7744
    @charleskaselya7744 4 года назад +1

    Habari mm sijaelewa hubiri la umiliki, nilikuwa nalisikiliza usiku baadaye nimeikuta inaniambia video hii ni private na naisearch haipo mmeifuta?

  • @rehemaisaack1728
    @rehemaisaack1728 Год назад

    Hili somo sehemu ya pili yake inayofata naipata wapi nimetafuta humu nimekosa

  • @messagerkambale5830
    @messagerkambale5830 2 года назад +1

    Nina hitaji hiinyimbo ime ni jenga,

  • @fredmselle2227
    @fredmselle2227 3 года назад

    Naomba kujua km hicho kitabu kipo moshi

  • @suzanaagustinookelo4953
    @suzanaagustinookelo4953 3 года назад

    Lakini picha ya mzungu

  • @waltermakori5855
    @waltermakori5855 4 года назад

    How can i get the song very good song

    • @daviddotto327
      @daviddotto327 4 года назад

      I have ana audio, can we communicate

    • @waltermakori5855
      @waltermakori5855 4 года назад

      @@daviddotto327 yeah i need it but I don't know how to get it

    • @daviddotto327
      @daviddotto327 4 года назад

      @@waltermakori5855 fall me in what's up

    • @waltermakori5855
      @waltermakori5855 4 года назад

      @@daviddotto327 +254701506826 WhatsApp number

  • @elishashillah9776
    @elishashillah9776 4 года назад +1

    Hili somo natamani Sana, Kulipata lote, Jamani, naomba nisaidiwe kulipita! Naomba Kama unaweza nitumia ktk Email ni
    elishashillah139@gmail.com au WhatsApp Number 0767522247
    Nisaidie sana

  • @rosepeter8996
    @rosepeter8996 3 года назад

    AMEN🙏mchugaji mmbaga ninalo swali,sasa nimesikiza mahubiri yaki yakaniguza kweli,hivi ikiwa mimi nim Catholic,na sali kwa rosary,ama kwa kanisa kuna ile picha ya yesu kama amesulubuwa,je nivyema kuviinamia au kuzishududu wakati wakuomba au ni dhambi?.

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад +2

      Kutoka 20:4,5 Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia. Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,

    • @rosepeter8996
      @rosepeter8996 3 года назад +1

      @@MahubiriPrMmbaga asante sana naona nimeanza kufunguka macho sasa.hili somo la mchungaji nalisikiza like kika siku.limenufunia akili sana.mungu na akubariki pastor 🙏🙏🙏

  • @patrickemmanuelemmanuel9354
    @patrickemmanuelemmanuel9354 3 года назад

    ubarikiwe mtumishi wa mungu ninawezaje kupata kitabu chako cha namna ya kusikia sauti ya mungu mm niko sumbawanga namba zangu za simu ni 0757392906 lkn pia ninachangamoto yakufanya maamzi yakuongoka nanilisha muapia mungu kwamba sitarudi tena ktk imani yangu ya zamani yaani imani ya Rc lkn kumekuwa napambano ndani yangu nakati ya watu ambao mmechangia kufungua imani mpya ndani ya roho yangu niww pr mmbanga Lawrence odondi wa kenya mchungaji Emmanuel mwakalinga wa iringa nimewafuatilisana mafundisho yenu

  • @laithvayinga1122
    @laithvayinga1122 4 года назад

    Mchungaji naomba nambaako ninashida ...nashukuru kwa masomo

  • @hondenisonmagufulinyabaro3923
    @hondenisonmagufulinyabaro3923 4 года назад +1

    Hii kwaya gani 👆 please??
    Niambie Naomba tu

  • @erickmahindu9198
    @erickmahindu9198 3 года назад

    Our father in heaven, means? He's a male

    • @MahubiriPrMmbaga
      @MahubiriPrMmbaga  3 года назад

      No! God is Spirit ( John 4:24),Spirit has no gender

  • @roselele341
    @roselele341 4 года назад

    Uku sijayajua makanisa yp ila sijui yapo wapi

  • @aurolanyatambe215
    @aurolanyatambe215 3 года назад

    Amina

  • @esthersimuli9952
    @esthersimuli9952 2 года назад

    Amen

  • @maureenkemei9254
    @maureenkemei9254 3 года назад

    Amen