IMANI LAZIMA IWE NA SIFA HIZI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • USIACHE KUANGALIA SOMO HILI.

Комментарии • 79

  • @faustermtavangu8212
    @faustermtavangu8212 4 месяца назад +1

    Amina Mungu amenifanyia makubwa sana kipitia mahubiri Tv Mungu akubariki Mchungaji wetu.

  • @fatemajohn3195
    @fatemajohn3195 Год назад

    Ameen ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU 🙏🏻

  • @user-zf1ve9ml6m
    @user-zf1ve9ml6m Месяц назад

    Ubarikiwe Mtumishi wa Mungu

  • @leilahl7024
    @leilahl7024 7 месяцев назад

    Amen.
    Thank you pastor.
    Faith in the word of God.
    Nimebarikiwa.

  • @vestinajoram1196
    @vestinajoram1196 Год назад

    Nabarikiwa sana na mafundisho mazuri

  • @nelsonsalumu3064
    @nelsonsalumu3064 2 года назад

    Tumesikia mbiu imekuwa kama kengele ndani yangu Kila ninapo fata maubiri TV.naipenda

  • @monniekevin9303
    @monniekevin9303 3 года назад +1

    Amina Amina Amina

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 2 года назад

    Pastor barikiwa zaidi

  • @Agness58
    @Agness58 4 года назад +2

    Amina! Hubiri ili ni zuri sanaaa! Na ombi hili limeponya ndugu zangu , Ubarikiwe, na MU NGU akulinde daima na akutie nguvu ya roho mtakatifu ili uendelee kuhu biri neno lake ubarikiwe sana

  • @tinclassic421
    @tinclassic421 3 года назад

    Barikiwa sana Mbaga

  • @divvanajohnson4895
    @divvanajohnson4895 2 года назад

    Utukufu kwa MUNGU MWENYEZI AISHIE MILELE

  • @maureenjovial6083
    @maureenjovial6083 4 года назад

    Amen asante nimepata kujengeka imani asante mchungaji .imani huu utatenda makuu katika Jina la Yesu niko imani baba yangu amepona kupitia kwa haya maubiri ahsate

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 2 месяца назад

    Amen

  • @nicegisunte5899
    @nicegisunte5899 2 года назад

    Hata mimi ningekuona ningelala na usingizi kabisa kwa hiyo ndege nikuache uendelee kuomba🤣🤣🤣

  • @BeatriceSosipeterWagara
    @BeatriceSosipeterWagara 4 года назад +4

    Asante Pr, somo hili limenigusa sana, nalirudia kila siku

  • @evermartine9220
    @evermartine9220 4 года назад

    Amina mchungaj

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Nasema hayo nimeptia nami moto wa majaribu najua maana ya majaribu Mungu akusaidie pastor, Mungu mwema kwa masomo yako yananibarki

  • @donaldmwahalende4841
    @donaldmwahalende4841 4 года назад +1

    Kwa imani uliyo nayo najua umemwachia mungu maisha na amekupka ktk majarbu na umeshinda Huwez kuwa mhubr hivyo bila majarbu makali. Ubarikiwe Sana

  • @eutropiangido9684
    @eutropiangido9684 4 года назад

    Haleluyaa hili ni somo muhimu saana. Nimelisikiliza mata kadhaa. Umelifundisha kwa namna ambayo kwa kweli limenigusa mno likapelekea kujitafakari sana. Kwa hiyo Pastor unaendelea kuongea nami hata kama imepita miezi kadhaa baada ya wewe kuhubiri live. Timu ya Mahubiri Tv mbarikiwe sana

  • @upendomasasi3218
    @upendomasasi3218 4 года назад +1

    Asante Sana pastor some hili limebadilisha maisha yangu mungu akubariki xana

  • @fednandtoya4678
    @fednandtoya4678 2 года назад

    Good preaching and nice songs

  • @eliakilonzo6220
    @eliakilonzo6220 4 года назад +2

    Mungu aendelee kukutumia na kukulinda daima Pastor

  • @Pendomabula
    @Pendomabula 5 месяцев назад

    Huwa sichoki mahubiri ya huyu mtumishi ,Bwana endelea kumtunza kwa ajiri ya watu wako.

  • @MaggieG276
    @MaggieG276 2 года назад

    Somo la baraka

  • @mariamngumbao783
    @mariamngumbao783 4 года назад

    Asante ee Mungu wa uhai.....harikiwa mtumishi wa Mungu mimi nakufatilia tu

  • @barakajoseph1816
    @barakajoseph1816 4 года назад +2

    Mungu niongezee Imanii

  • @lamidalonghee7012
    @lamidalonghee7012 4 года назад +1

    Tunashukuru mchungaji tulikua hatujui maana ya Amina.(tanks)

  • @moniquenimbabazi4528
    @moniquenimbabazi4528 4 года назад

    Ubarikiwe sana Imani nikitu kikubwa kweli navichekesho naona viko sawa

  • @laurencendungunganga3120
    @laurencendungunganga3120 4 года назад

    Kweli kabisa ! Kupitia imani makubwa yana tendeka. Barikiwa sana mtumishi

  • @sarahlussingu6029
    @sarahlussingu6029 4 года назад +1

    Barikiwa Sana Pastor..... Unanibariki mnoooo

  • @reganpaul8542
    @reganpaul8542 4 года назад

    Mchungaji ubarikiwe sana mafundisho yako nayaelewa sana

  • @cutestpuppies6632
    @cutestpuppies6632 4 года назад

    Napenda sana mahubiri yako pastor, Mungu akubariki sana kwa kazi yake

  • @nahumukalolomyamba4565
    @nahumukalolomyamba4565 2 года назад

    AMENI

  • @satansusan6878
    @satansusan6878 3 года назад

    Amen ubarikiwe sana

  • @asooraaasooraa4816
    @asooraaasooraa4816 4 года назад

    Somo zuri sana nabarikiwa

  • @sarahwawuda5164
    @sarahwawuda5164 4 года назад

    AMEN...MUNGU akubariki mch leo nimejifunza👏👏👏

  • @erastokahema5626
    @erastokahema5626 4 года назад

    Amina PR ,,,nimebarikiwa na neno Lako ,,,,Mungu akubariki

  • @christfamily-kisiik7782
    @christfamily-kisiik7782 4 года назад +1

    Niombee pastor

  • @kelvingallo8262
    @kelvingallo8262 4 года назад +1

    Hii sijawai kusikia leo nimeiona imenibarki sana

  • @farajaandrew7081
    @farajaandrew7081 4 года назад

    Nabarikiwa sana na mahubiri 🙏

  • @faithmoraa3265
    @faithmoraa3265 4 года назад

    Mjungaji na jina la bwana lizidi kuinuliwa nimetambua yakua malaika kweli utembea nasi na niko na ushuhuda tosha,naomba pia Mimi nizidi kunyenyekea kwake kila wakati ,tuzidi kuombeana hadi kristo arudi,
    Faith mose _marekani

  • @lenahasantemchungajiauko8811
    @lenahasantemchungajiauko8811 4 года назад

    Asante mchungaji mungu akupe ufunuo sanaaaa

  • @kelvingallo8262
    @kelvingallo8262 4 года назад

    Ubarkiwe sana pr

  • @mossesjoseph2202
    @mossesjoseph2202 2 года назад +1

    GLORY TO GOD.

  • @mn9484
    @mn9484 4 года назад

    Aweza kufanya mambo yore!! Amina!!

  • @eddahnyongesa9819
    @eddahnyongesa9819 4 года назад

    God bless you so much pst

  • @vmahenge8
    @vmahenge8 2 года назад

    Amina, pastor naomba msaada wa namba yako

  • @vitalesikagi3475
    @vitalesikagi3475 4 года назад

    ubarikiwe pr

  • @doricewairanga6805
    @doricewairanga6805 2 года назад

    Hiyo sgida uliitoa wp mchungaji

  • @claudinebatamuriza7804
    @claudinebatamuriza7804 4 года назад

    Amen 🙏

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 3 года назад

    Kati ya roho namwili nani anampa mwenzake uzima?

  • @asnathabiasaf3274
    @asnathabiasaf3274 4 года назад

    Powerful message

    • @carolineondabu7381
      @carolineondabu7381 4 года назад

      We have to walk by faith asante pastor ninabarikiwa na maubiri yako

  • @saighilunyangusi4986
    @saighilunyangusi4986 4 года назад

    Mchungaji naomba kujua je ile roho iliuota kwa MTU aliyeacha mwili, ndo inarudishwa kuumbwa upya au, maana xielewi vizuri hillo fungu LA zaburi linalosema hivo, niondelee mashaka

  • @christinajackson9711
    @christinajackson9711 4 года назад

    Nakuappreciate sana mwl kwa mafundisho Mungu anayokupa utufundishe nataman km nipate namba yko baba uniombee

    • @thegospel17
      @thegospel17 4 года назад

      Christina Jackson Tuma ujumbe kwenye infomahubiritv@gmail.com

  • @pascalmathias2465
    @pascalmathias2465 4 года назад

    Amina

  • @ahimaazuhmburu536
    @ahimaazuhmburu536 4 года назад

    Muchungaji mmbaga nani niobee hayo maobi machache nakuoba tuu,

    • @davidmmbaga3642
      @davidmmbaga3642 4 года назад +1

      Mungu akupe haja ya moyo wako

    • @lennyahadi9261
      @lennyahadi9261 4 года назад

      Mchungaji, Mungu Akubariki. Ulipokuja Moshi kwenye makambi, wengi tulibarikiwa na kuponywa. Ulitusogeza karibu na Mungu kuliko tulivyokuwa. Karibu kila siku ninafuatilia clips zako na kuwashuhudia wengine. Nina mpango wa kuchangia programs hizi kuanzia January 2020. Tuombee Mchungaji.

    • @davidmmbaga3642
      @davidmmbaga3642 4 года назад

      @@lennyahadi9261 Amen!! Mungu atukuzwe

  • @bensonminja1289
    @bensonminja1289 4 года назад

    Mtumishi naomba kufahamu ikiwa MTU ameuwawa kwa makusudi je ni kweli kwamba dhambi zake zitahesabiwa kwa yule aliyemuua na yeye atakuwa hana dhambi tena?

    • @fredrickgitonga1972
      @fredrickgitonga1972 3 года назад

      Kila mtu atabeba dhambi zake mwuwaji atabeba y kuuwa, n ww utabeba zako

  • @user-zf1ve9ml6m
    @user-zf1ve9ml6m 6 месяцев назад

    Amen

  • @maombijofre2302
    @maombijofre2302 Год назад

    Amen

  • @marcellyimo283
    @marcellyimo283 3 года назад

    Amen

  • @marcellyimo283
    @marcellyimo283 3 года назад

    Amen

  • @leathkahesi2967
    @leathkahesi2967 3 года назад

    Amen

  • @estherwambuies1782
    @estherwambuies1782 3 года назад

    Amen

  • @margueritnyingani8844
    @margueritnyingani8844 4 года назад

    Amen

  • @hellenjack2694
    @hellenjack2694 4 года назад +1

    Amen

  • @irenemasheli1230
    @irenemasheli1230 4 года назад

    Amen

  • @deboramarwa6036
    @deboramarwa6036 4 года назад

    Amen

  • @mwalisnapendayeyesanarispe2636
    @mwalisnapendayeyesanarispe2636 4 года назад

    Amen

  • @fatumachagudadui7369
    @fatumachagudadui7369 4 года назад

    Amen

  • @felysytersonduso8064
    @felysytersonduso8064 4 года назад

    Amen