BISHOP DR MOSES KULOLA. UJUMBE: KIKOMBE NIKINYWEACHO UTAKINYWEA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 май 2019
  • MKUTANO WA INJILI WA AMANI ULIOFANYIKA MBEYA

Комментарии • 82

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 21 день назад

    Amen mtumishi wa MUNGU. Na MUNGU akubariki sana wewe unaenderea kutuwekea haya mahubiri usiche MUNGU akutie nguvu

  • @promisemwakalikamo8497
    @promisemwakalikamo8497 4 дня назад

    Rehema za Mungu zipite juu yetu kupitia huyu Baba maana kizazi cha sasa tunataka Mungu atutafute badala ya sisi kumtafuta Mungu...tunajifanya eti tuna mambo mengi hata kuhubiri Injili tunaona haya...Yesu tunasaidie Amen

  • @gaspersikapizye275
    @gaspersikapizye275 4 года назад +4

    Neno la ukombozi, Asante Sana mutumishi wa mungu, injili yako itabaki kuwa pale pale, mpaka kuja kwa mwana wa mungu, Amen

  • @donatelasamila
    @donatelasamila 4 месяца назад

    Asante mtumishi ulituachia ujumbe mzuri wa mungu tusaidie tuyaishi mapenzi ya mungu niwezeshe baba nikutumikie Maisha yangu yote

  • @bernadettewamunzira5882
    @bernadettewamunzira5882 4 года назад +3

    Ohoo Yesu Christo nisaidiye niweze kukutumikiya kwa haki na kweli Amen Amen

  • @user-jt4nx1fi9l
    @user-jt4nx1fi9l 4 месяца назад

    Mungu akubariki Sana Mtumishi tunaamini ipo siku tutakuona Amen

  • @alextemael548
    @alextemael548 5 лет назад +7

    Hakika injili nzuri sana hii Mungu nisaidie nilinene neno lako

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 3 месяца назад

    Vile inavotamkwa Hallelujah yaan kimamlaka sanaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 3 месяца назад

    Nmeondoka na point hii Moja kuhusu kuokoka ni kuwa na Yesu ndani yangu kuchukia na kujitenga na uovu haitoshi maan Kuna wasiomjua Yesu na hawakubalini na hayo pia kama ndugu zetu waislam

  • @HappyJohn-kk1pr
    @HappyJohn-kk1pr 8 дней назад

    Mungu akubariki sana

  • @user-ys7qd4yi3r
    @user-ys7qd4yi3r 6 месяцев назад

    Mungu asifiwe baba mozes urikuwa njia mungu aritengeneza ye mwenyewe iri awe ana pitia kwa kuongea n'a binadamu

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 лет назад +5

    Amen baba, hakika uliteuliwa na Mungu, pumzika kwa amani baba. 😭

  • @albertludago7374
    @albertludago7374 5 лет назад +3

    Mungu atakubariki sana kw kuhbr inili hmu kupitia mtumish wake

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Год назад

    Amena ukouliko utuombee nasisi tufike kwababa abarikiwe yeye anaye tumbusha ijili yamzee wetu kabisa ubarikiwe amina

  • @happinessmsuya-io1sw
    @happinessmsuya-io1sw 29 дней назад

    Mungu atusaidie.

  • @lightnessgrace33
    @lightnessgrace33 5 лет назад +3

    Hallelujah hallelujah MUNGU wetu mwanifu

  • @ezekielswillahmnazinguwa1423
    @ezekielswillahmnazinguwa1423 4 года назад +2

    Ahsante kwa mahubiri yako Mzee wang,nimemiss sn mafundisho yako

  • @robertsilington-cu4dz
    @robertsilington-cu4dz 5 месяцев назад +2

    Amen

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 4 года назад +3

    Hadi sasa naskia hii injili tamu...

  • @graceaxweso1480
    @graceaxweso1480 3 года назад +3

    Yaan naangalia vipindi vyake nabarikiwa mnoo lkn moyo unanyong' onyea navyosikia hayupo duniani ila naaamin 100% yupo kwa baba yetu mbinguni

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 4 года назад +6

    Moja kati ya watu wenye injili yenye nguvu sana

  • @BahatEdison-pv6rv
    @BahatEdison-pv6rv 6 месяцев назад

    Amina sana nampenda moses Yesu alimtumia

  • @rehemaideva2928
    @rehemaideva2928 4 года назад +3

    Haleluya hii in injili ya kweli

  • @emanuelihango8515
    @emanuelihango8515 4 года назад +5

    Hii ndio injili ya kweli iletayo uzima wa milele

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Mmmh injili imepenya Sio siku hizi mafuta maji majivu yamedanganya wengi

  • @aychydawson5066
    @aychydawson5066 5 лет назад +2

    God blessed you daddy

  • @mashakamyali6987
    @mashakamyali6987 5 лет назад +9

    INJIRI ILETAYO UZIMA WA MILELE. AMEN

  • @christopherbundalah6908
    @christopherbundalah6908 3 года назад

    Nabarikiwaa... haaaaleellujah..

  • @melkimgendanyi2562
    @melkimgendanyi2562 3 года назад

    Pumzika baba yetu EAGT NI Machozi yako tunadumu tunashinda zaidi ya kushinda

  • @edwardnia7537
    @edwardnia7537 4 года назад +2

    Mze shikamo

  • @neemajosephati8403
    @neemajosephati8403 4 года назад +2

    Hallelujah

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 Год назад +1

    Ameeeeeeen 🙏

  • @lightness9756
    @lightness9756 2 года назад +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah JESUS I open my heart to receive

  • @japhetdonmathias6839
    @japhetdonmathias6839 5 лет назад +2

    AMINAA

  • @samiacell2061
    @samiacell2061 5 лет назад +2

    Injili hii inagusa sana

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 3 года назад +1

    Mafundisho yanakataza thambi mafundisho ya Leo ni miujiza na mafanikio wahubiri tufuate nyendo za mzee wetu

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Mmmmh Ni shida dhambI hazihuboliwi makanisa MENGI Ila magari majimba na kujiangalia TU na Sio kuambiana juu ya hukumu ya jehanamu milele

  • @sebastianmwinuka2826
    @sebastianmwinuka2826 3 года назад

    Ubarikiwe

  • @joshuamatajiri4110
    @joshuamatajiri4110 3 года назад

    Injili ya kweli na itabaki mioyoni mwetu siku zote

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian7970 4 года назад +2

    Amina

  • @selemani09
    @selemani09 4 месяца назад

    ❤AMEN

  • @johnmumbe1738
    @johnmumbe1738 4 года назад +2

    AMINA

  • @BENARDMWAKAKONGOBE
    @BENARDMWAKAKONGOBE 3 месяца назад

    Ameen

  • @user-mp8tk1gj1w
    @user-mp8tk1gj1w 6 месяцев назад

    Ameen Dady,❤❤❤

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад

    Yes hapa tuanze upya na KUMUTAFUTA MUNGU MAANA HAINA haha ya kucheza na dunia

  • @edwinedward6404
    @edwinedward6404 11 месяцев назад

    Amen 🙏

  • @shukurubihal6531
    @shukurubihal6531 4 года назад +1

    #AMINA#

  • @hamadhussein1026
    @hamadhussein1026 5 лет назад +5

    Kweli kabisa mkuu wa uzima wa milele ni Yesu

    • @sadicktony9725
      @sadicktony9725 4 года назад +1

      Ziko WAP injili hizi tumebaki na mahule

    • @gelshommbele9320
      @gelshommbele9320 4 года назад +2

      Mungu ni mwema najifunza mazuri mengi kwako

    • @mwatebelalugano8531
      @mwatebelalugano8531 3 года назад

      Injili ya Yesu ni Moto

    • @myself4128
      @myself4128 3 года назад

      Kristo ni yote ndani ya yote
      Yeye ndiye Raha yaMilele,bila yeye ni mateso tu hapa duniani na motoni

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Doh alikua na injili yakuto bembeleza wenye dhambi

  • @MunikoWilliam-gw1vw
    @MunikoWilliam-gw1vw 3 месяца назад

    Alikuwa simba

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 года назад

    Nani huyu anaweka dislike

  • @gospelsuppoterstanzania3272
    @gospelsuppoterstanzania3272 2 года назад

    Hii Ni mwaka gani mpendwa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад

    Tunahitaji mahubili Kama haya tumechokaa na maigizo haya NDO maneno ya MUNGU yenye nguvu ya KUACHANA na duniani

  • @ameulmontan6753
    @ameulmontan6753 4 года назад +1

    ULIFANYIKA ARUSHA

  • @lemburismollel2393
    @lemburismollel2393 4 года назад +1

    Hii ilikuwa mwaka gani?

    • @Cado_TV.
      @Cado_TV.  4 года назад +1

      Mwaka hawakukumbuka kuweka kumbukumbu lakini nafatilia nikiipata nitawajuza

  • @gombotv9942
    @gombotv9942 4 года назад +2

    sadcky s boaz bwana asfiwe tafadhali sana tuwasiliane 0714437844

    • @Cado_TV.
      @Cado_TV.  4 года назад +1

      Amina habr ya uzima. Tuwasiliane pia kwa no yangu +255 683 756 333

    • @kelvinlimile7438
      @kelvinlimile7438 3 года назад

      Hakika wewe unapaswa kuigwa katka kuishi hii MUNGU nisaidie

  • @josephenos5301
    @josephenos5301 4 года назад +1

    8:58 nmeilewa

  • @graceaxweso1480
    @graceaxweso1480 3 года назад

    Kwan jaman huyu baba alifariki mwaka gani?

  • @Senga.W
    @Senga.W Месяц назад

    Amen

  • @stanfordchimola6913
    @stanfordchimola6913 9 месяцев назад

    Amina

  • @shukurubihal6531
    @shukurubihal6531 4 года назад +1

    #AMINA#

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 года назад

    Nani huyu anaweka dislike

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 3 года назад

    Amina

  • @livinhillary9804
    @livinhillary9804 Год назад

    Amen

  • @naomimkombwe1761
    @naomimkombwe1761 3 года назад

    Amina