BISHOP DR MOSES KULOLA. UJUMBE: KIKOMBE NIKINYWEACHO UTAKINYWEA 2

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 88

  • @JeanneNduwimana-n4s
    @JeanneNduwimana-n4s 11 месяцев назад +1

    Mungu akubariki Sana Mtumishi tunaamini ipo siku tutakuona Amen

  • @promisemwakalikamo8497
    @promisemwakalikamo8497 7 месяцев назад +2

    Rehema za Mungu zipite juu yetu kupitia huyu Baba maana kizazi cha sasa tunataka Mungu atutafute badala ya sisi kumtafuta Mungu...tunajifanya eti tuna mambo mengi hata kuhubiri Injili tunaona haya...Yesu tunasaidie Amen

  • @gaspersikapizye275
    @gaspersikapizye275 5 лет назад +5

    Neno la ukombozi, Asante Sana mutumishi wa mungu, injili yako itabaki kuwa pale pale, mpaka kuja kwa mwana wa mungu, Amen

  • @donatelasamila
    @donatelasamila Год назад

    Asante mtumishi ulituachia ujumbe mzuri wa mungu tusaidie tuyaishi mapenzi ya mungu niwezeshe baba nikutumikie Maisha yangu yote

  • @NtahondereyeSilas
    @NtahondereyeSilas Год назад

    Mungu asifiwe baba mozes urikuwa njia mungu aritengeneza ye mwenyewe iri awe ana pitia kwa kuongea n'a binadamu

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 4 месяца назад

    Mungu anitumie na mimi kama moses kulola

  • @alextemael548
    @alextemael548 5 лет назад +7

    Hakika injili nzuri sana hii Mungu nisaidie nilinene neno lako

  • @bernadettewamunzira5882
    @bernadettewamunzira5882 5 лет назад +3

    Ohoo Yesu Christo nisaidiye niweze kukutumikiya kwa haki na kweli Amen Amen

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 Год назад

    Amena ukouliko utuombee nasisi tufike kwababa abarikiwe yeye anaye tumbusha ijili yamzee wetu kabisa ubarikiwe amina

  • @BahatEdison-pv6rv
    @BahatEdison-pv6rv Год назад

    Amina sana nampenda moses Yesu alimtumia

  • @PrisPeter-f2g
    @PrisPeter-f2g 3 месяца назад

    Naipenda injili hii ,ni adimu sanaa kwa kizaz hiki jmn😢

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 5 лет назад +5

    Amen baba, hakika uliteuliwa na Mungu, pumzika kwa amani baba. 😭

  • @lightnessgrace33
    @lightnessgrace33 5 лет назад +3

    Hallelujah hallelujah MUNGU wetu mwanifu

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 10 месяцев назад

    Vile inavotamkwa Hallelujah yaan kimamlaka sanaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @bokimmwamba2322
    @bokimmwamba2322 10 месяцев назад

    Nmeondoka na point hii Moja kuhusu kuokoka ni kuwa na Yesu ndani yangu kuchukia na kujitenga na uovu haitoshi maan Kuna wasiomjua Yesu na hawakubalini na hayo pia kama ndugu zetu waislam

  • @lightness9756
    @lightness9756 3 года назад +2

    Hallelujah hallelujah hallelujah JESUS I open my heart to receive

  • @HappyJohn-kk1pr
    @HappyJohn-kk1pr 7 месяцев назад

    Mungu akubariki sana

  • @ezekielswillahmnazinguwa1423
    @ezekielswillahmnazinguwa1423 5 лет назад +2

    Ahsante kwa mahubiri yako Mzee wang,nimemiss sn mafundisho yako

  • @happinessmsuya-io1sw
    @happinessmsuya-io1sw 8 месяцев назад

    Mungu atusaidie.

  • @JonesBenadi
    @JonesBenadi 5 месяцев назад +2

    Injili ilio Bora na yenye viwango kweli bado hatujapigana Vita,

  • @albertludago7374
    @albertludago7374 5 лет назад +3

    Mungu atakubariki sana kw kuhbr inili hmu kupitia mtumish wake

  • @rehemaideva2928
    @rehemaideva2928 5 лет назад +3

    Haleluya hii in injili ya kweli

  • @christopherbundalah6908
    @christopherbundalah6908 4 года назад

    Nabarikiwaa... haaaaleellujah..

  • @EnezerMwafrica
    @EnezerMwafrica Год назад

    Ameen Dady,❤❤❤

  • @aychydawson5066
    @aychydawson5066 5 лет назад +2

    God blessed you daddy

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 4 года назад +6

    Moja kati ya watu wenye injili yenye nguvu sana

  • @graceaxweso1480
    @graceaxweso1480 4 года назад +4

    Yaan naangalia vipindi vyake nabarikiwa mnoo lkn moyo unanyong' onyea navyosikia hayupo duniani ila naaamin 100% yupo kwa baba yetu mbinguni

  • @elyhillary2000
    @elyhillary2000 2 года назад +1

    Ameeeeeeen 🙏

  • @joshuatalu9596
    @joshuatalu9596 4 года назад +3

    Hadi sasa naskia hii injili tamu...

  • @sebastianmwinuka2826
    @sebastianmwinuka2826 3 года назад

    Ubarikiwe

  • @edwinedward6404
    @edwinedward6404 Год назад

    Amen 🙏

  • @utawalarecordstudiosnairob5929
    @utawalarecordstudiosnairob5929 7 месяцев назад

    Amen mtumishi wa MUNGU. Na MUNGU akubariki sana wewe unaenderea kutuwekea haya mahubiri usiche MUNGU akutie nguvu

  • @neemajosephati8403
    @neemajosephati8403 5 лет назад +2

    Hallelujah

  • @mashakamyali6987
    @mashakamyali6987 5 лет назад +9

    INJIRI ILETAYO UZIMA WA MILELE. AMEN

  • @japhetdonmathias6839
    @japhetdonmathias6839 5 лет назад +2

    AMINAA

  • @BENARDMWAKAKONGOBE
    @BENARDMWAKAKONGOBE 10 месяцев назад

    Ameen

  • @emanuelihango8515
    @emanuelihango8515 4 года назад +5

    Hii ndio injili ya kweli iletayo uzima wa milele

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 2 года назад

      Mmmh injili imepenya Sio siku hizi mafuta maji majivu yamedanganya wengi

  • @drostaflorian7970
    @drostaflorian7970 5 лет назад +2

    Amina

  • @livinhillary9804
    @livinhillary9804 Год назад

    Amen

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 3 года назад +1

    Mafundisho yanakataza thambi mafundisho ya Leo ni miujiza na mafanikio wahubiri tufuate nyendo za mzee wetu

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 2 года назад

      Mmmmh Ni shida dhambI hazihuboliwi makanisa MENGI Ila magari majimba na kujiangalia TU na Sio kuambiana juu ya hukumu ya jehanamu milele

  • @melkimgendanyi2562
    @melkimgendanyi2562 4 года назад

    Pumzika baba yetu EAGT NI Machozi yako tunadumu tunashinda zaidi ya kushinda

  • @joshuamatajiri4110
    @joshuamatajiri4110 3 года назад

    Injili ya kweli na itabaki mioyoni mwetu siku zote

  • @selemani07
    @selemani07 11 месяцев назад

    ❤AMEN

  • @johnmumbe1738
    @johnmumbe1738 5 лет назад +2

    AMINA

  • @shukurubihal6531
    @shukurubihal6531 4 года назад +1

    #AMINA#

  • @AlvanEdwine-ih4vy
    @AlvanEdwine-ih4vy Месяц назад +1

    Injili nii unaweza ipata FGBF kwa kakobe karbu

  • @hamadhussein1026
    @hamadhussein1026 5 лет назад +5

    Kweli kabisa mkuu wa uzima wa milele ni Yesu

    • @sadicktony9725
      @sadicktony9725 5 лет назад +1

      Ziko WAP injili hizi tumebaki na mahule

    • @gelshommbele9320
      @gelshommbele9320 5 лет назад +2

      Mungu ni mwema najifunza mazuri mengi kwako

    • @mwatebelalugano8531
      @mwatebelalugano8531 4 года назад

      Injili ya Yesu ni Moto

    • @myself4128
      @myself4128 4 года назад

      Kristo ni yote ndani ya yote
      Yeye ndiye Raha yaMilele,bila yeye ni mateso tu hapa duniani na motoni

  • @edwardnia7537
    @edwardnia7537 5 лет назад +2

    Mze shikamo

  • @samiacell2061
    @samiacell2061 5 лет назад +2

    Injili hii inagusa sana

  • @gospelsuppoterstanzania3272
    @gospelsuppoterstanzania3272 2 года назад

    Hii Ni mwaka gani mpendwa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад

    Yes hapa tuanze upya na KUMUTAFUTA MUNGU MAANA HAINA haha ya kucheza na dunia

  • @MunikoWilliam-gw1vw
    @MunikoWilliam-gw1vw 10 месяцев назад

    Alikuwa simba

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 года назад

    Nani huyu anaweka dislike

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 2 года назад

    Doh alikua na injili yakuto bembeleza wenye dhambi

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 года назад

    Tunahitaji mahubili Kama haya tumechokaa na maigizo haya NDO maneno ya MUNGU yenye nguvu ya KUACHANA na duniani

  • @ameulmontan6753
    @ameulmontan6753 5 лет назад +1

    ULIFANYIKA ARUSHA

  • @lemburismollel2393
    @lemburismollel2393 5 лет назад +1

    Hii ilikuwa mwaka gani?

    • @Cado_TV.
      @Cado_TV.  4 года назад +1

      Mwaka hawakukumbuka kuweka kumbukumbu lakini nafatilia nikiipata nitawajuza

  • @gombotv9942
    @gombotv9942 4 года назад +2

    sadcky s boaz bwana asfiwe tafadhali sana tuwasiliane 0714437844

    • @Cado_TV.
      @Cado_TV.  4 года назад +1

      Amina habr ya uzima. Tuwasiliane pia kwa no yangu +255 683 756 333

    • @kelvinlimile7438
      @kelvinlimile7438 4 года назад

      Hakika wewe unapaswa kuigwa katka kuishi hii MUNGU nisaidie

  • @graceaxweso1480
    @graceaxweso1480 4 года назад

    Kwan jaman huyu baba alifariki mwaka gani?

  • @josephenos5301
    @josephenos5301 5 лет назад +1

    8:58 nmeilewa

  • @robertsilington-cu4dz
    @robertsilington-cu4dz Год назад +2

    Amen

  • @dawhiteschola8847
    @dawhiteschola8847 4 года назад

    Amina

  • @shukurubihal6531
    @shukurubihal6531 4 года назад +1

    #AMINA#

  • @millicentayangokunting3728
    @millicentayangokunting3728 3 года назад

    Nani huyu anaweka dislike

  • @SengaLukomya
    @SengaLukomya 8 месяцев назад

    Amen

  • @naomimkombwe1761
    @naomimkombwe1761 3 года назад

    Amina

  • @stanfordchimola6913
    @stanfordchimola6913 Год назад

    Amina

  • @mercyjay5595
    @mercyjay5595 Месяц назад

    Amen