MHUBIRI: ASK. MOSES KULOLA UJUMBE;- KIKOMBE NIKINYWEACHO UTAKINYWEA 3

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 22

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 5 лет назад +8

    Nakupenda Baba yangu Moses Kulola kazi uliyo ifanya ni kubwa sana mpaka sasa mahubiri yako yanatugusa sana.

    • @samsonnzisabira768
      @samsonnzisabira768 5 лет назад +2

      Endelea kutuwekea ndugu Yetu "mahubiri ya kweli" .nakufuata nikiwa Burundi

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques523 2 года назад +1

    nimeangalia video hii nimemkumbuka mtu aliyenionyesha yesu kristo

  • @emanuelijacobo5432
    @emanuelijacobo5432 3 года назад +2

    Mungu yupo hadi sasa PUMZIKA KWA AMANI BABU YANGU MOSES KULOLA

  • @ev.isahmwandinde1568
    @ev.isahmwandinde1568 5 лет назад +3

    YESU KRISTO anaweza yote.Shujaa wa Injili amepumzika lakini Injili bado inafanya kazi.

  • @mashakamyali6987
    @mashakamyali6987 5 лет назад +4

    EEMUNGU NUSAIDIE NIISHI MASIHA MATAKATIFU MM

  • @tendatanzania8358
    @tendatanzania8358 Год назад

    Nimepona kwa jina la yesu

  • @linussumary3787
    @linussumary3787 4 года назад +2

    Barikiwa sana Sadocky kwa kuaproad

  • @mileybakhoya8775
    @mileybakhoya8775 5 лет назад +3

    Aemen Amen mungu ni mwema Asante yesu

  • @swahiligamertz8727
    @swahiligamertz8727 4 года назад +2

    Ubarikiwe babu

  • @loreenchezques523
    @loreenchezques523 2 года назад +1

    maombi na karama za mungu ndani ya mtu huyu zinijilie maradufu, kwa jina la yesu

  • @abrahamelias9665
    @abrahamelias9665 4 года назад +1

    Ni wito wa Mungu kamili

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 года назад

    Dadeki kazi kazi
    Glory be to God

  • @joseabednego2951
    @joseabednego2951 5 лет назад +1

    Amen yesu alie kuokoawewe aniokoe na mm amen! kwajinalayesu

    • @abelialsen5383
      @abelialsen5383 5 лет назад

      nabarikiwa sana napomsikiliza mchungaji moses kulola

    • @joshuaibrahim370
      @joshuaibrahim370 5 лет назад

      Nenda tu katika kanisa lilo mtaani kwako la kiroho kwa kuwa unaamini kakiri tu kuwa Yeye ni Bwana utakuwa umeokoka na kuwa kama yeye hata zaidi(Luka 10:9), YESU NEEMA YAKE TAYARI IKO HAPO

    • @abelialsen5383
      @abelialsen5383 5 лет назад

      jina lipitalo majina yote ni jina la yesu
      amen

    • @swahiliandculture6599
      @swahiliandculture6599 5 лет назад +1

      nenda kwenye makanisa ya kipendekoste sio kila kanisa .... tu... mengine ya kipepo... tafuta kanisa la askofu MOSES KULOLA..Ni E.A.G.T... AU T.A.G

    • @ericndayishimiye4137
      @ericndayishimiye4137 5 лет назад

      Jose Abednego imana igarukane umukozi wimana nkuku

  • @swahiliandculture6599
    @swahiliandculture6599 5 лет назад

    YESU YUPO...BADO ANAFANYA MAKUU...... MWAMINI TU..... YOTE YANAWEZEKANA