Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Barikiwa sana na neno ili uonapo au usikiapo Amen
Amen amen 🙏🙏
Mungu mkuu tuishi maisha ambay mungu anapenda amen
Tumuombe Mungu atusaidie tuyashinde majaribu ya dunia🙏🏾🙏🏾
Amen hii ni injili iliyo hai isiyogoshiwa
Hii ni injili ya kweli wahubiri wengi wanahubiri mijini je huko vijijini nani atakwenda kama sio sisi jamani Yesu akija tutamwambia nini jamani mwe!!!
Ameen Ameen
Eéeh Mungu tuhurumie, tunaomba neema yako ya kuokaka mpaka mwisho mwisho wa maisha yetu, yanayotokea Ukraine na Urusi ndo haya yanatukia yalitabiriwa,🇸🇪
Eee mungu turehemu sisi watenda dhambi mda wowote. ujumbe huu unaudhunisha sana moyoni.
Nabarikiwa na ijili yako baba
Nimekupenda sana Mweshimiwa Askofu wangu.
Asante baba WA Eag
Asante Ascofu wangu.by obed mahona
Nabarikiwa Sana na huduma hii
amen
Ee Yesu Nisaidie mm mwanao
Aiseee tusaidie yesuuu
Kweli kweli baba kweli baba Asante kwa alama umeacha kabisa
Amina babu yetu
Eee mungu baba utuokoe
Mwamini Yesu ili uokoke.
Ameen yanagusa moyo
Aimeen
Ameen be Blessed so much my Brother for giving us are good News
Amen
Bishop alikuwa na moyo ya upole alikuwa aubiri ukweli ukubali ama ukatae shauri yako
Hivi mtu anaanzaje ku-"dislike" mahubiri kama haya?,lazima atakuwa na mapepo yasiyo hesabika.....
Yeah hata mm nilishangaaa San but kumbuka kazi ya MUNGU ndio ina maadui wengi kuliko.
Nimebarikiwa na ujumbe huu kwelikweli,dah
Kweli kabisa ubarikiwe Sana mwana Wa Mungu
Huyu ni shujaa wa injili kwel na mahubili yake ni kweli na baraka nimebalikiwa kwel..
Labda atakuwa hajui maana ya ku-like na dislike
Saut ya mtu alie nyikani, ITENGENEZENI NJIA YA BWANA YANYOOSHENI MAPITO YAKE.
Simlizi Veronica furenki
Ndugu ivi kitabu Cha historia ya maisha yake kinapatikana wapi
Hakika huyu baba kama yupo hai. Maana aliyoyanena yanaishi mpaka sasa.
Hii ndo injili .....ujana ake alikuwa moto.....EE bwana tusaidie ....kizazi chetu hiki...
Najifunza mambo magumu namazito ya mbinguni
Uishi mile kwani umhubiri ukweli siku zote
swarira ngu ss tunaubirinni mbonaatu eriwiki mngu atu reemkwa kwer nikwerkwasasa. arinimbayasana
0p00
FrankMbise
Frank mbise
Injili Isiyo chujwa
Barikiwa sana na neno ili uonapo au usikiapo Amen
Amen amen 🙏🙏
Mungu mkuu tuishi maisha ambay mungu anapenda amen
Tumuombe Mungu atusaidie tuyashinde majaribu ya dunia🙏🏾🙏🏾
Amen hii ni injili iliyo hai isiyogoshiwa
Hii ni injili ya kweli wahubiri wengi wanahubiri mijini je huko vijijini nani atakwenda kama sio sisi jamani Yesu akija tutamwambia nini jamani mwe!!!
Ameen Ameen
Eéeh Mungu tuhurumie, tunaomba neema yako ya kuokaka mpaka mwisho mwisho wa maisha yetu, yanayotokea Ukraine na Urusi ndo haya yanatukia yalitabiriwa,🇸🇪
Eee mungu turehemu sisi watenda dhambi mda wowote. ujumbe huu unaudhunisha sana moyoni.
Nabarikiwa na ijili yako baba
Nimekupenda sana Mweshimiwa Askofu wangu.
Asante baba WA Eag
Asante Ascofu wangu.by obed mahona
Nabarikiwa Sana na huduma hii
amen
Ee Yesu Nisaidie mm mwanao
Aiseee tusaidie yesuuu
Kweli kweli baba kweli baba Asante kwa alama umeacha kabisa
Amina babu yetu
Eee mungu baba utuokoe
Mwamini Yesu ili uokoke.
Ameen yanagusa moyo
Aimeen
Ameen be Blessed so much my Brother for giving us are good News
Amen
Bishop alikuwa na moyo ya upole alikuwa aubiri ukweli ukubali ama ukatae shauri yako
Hivi mtu anaanzaje ku-"dislike" mahubiri kama haya?,lazima atakuwa na mapepo yasiyo hesabika.....
Yeah hata mm nilishangaaa San but kumbuka kazi ya MUNGU ndio ina maadui wengi kuliko.
Nimebarikiwa na ujumbe huu kwelikweli,dah
Kweli kabisa ubarikiwe Sana mwana Wa Mungu
Huyu ni shujaa wa injili kwel na mahubili yake ni kweli na baraka nimebalikiwa kwel..
Labda atakuwa hajui maana ya ku-like na dislike
Saut ya mtu alie nyikani, ITENGENEZENI NJIA YA BWANA YANYOOSHENI MAPITO YAKE.
Simlizi Veronica furenki
Ndugu ivi kitabu Cha historia ya maisha yake kinapatikana wapi
Hakika huyu baba kama yupo hai. Maana aliyoyanena yanaishi mpaka sasa.
Hii ndo injili .....ujana ake alikuwa moto.....EE bwana tusaidie ....kizazi chetu hiki...
Najifunza mambo magumu namazito ya mbinguni
Uishi mile kwani umhubiri ukweli siku zote
swarira ngu ss tunaubirinni mbonaatu eriwiki mngu atu reemkwa kwer nikwerkwasasa. arinimbayasana
0p00
Frank
Mbise
Frank mbise
Injili Isiyo chujwa