MH. ASK: MOSES KULOLA... UJUMBE: NAIJULIKANE LEO KUWA WEWE NI MUNGU(2)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 31 янв 2025

Комментарии • 44

  • @JastFinancial02
    @JastFinancial02 4 месяца назад

    Barikiwa sana na neno ili uonapo au usikiapo Amen

  • @NeemaPatrick-l3o
    @NeemaPatrick-l3o Месяц назад

    Amen amen 🙏🙏

  • @salhamkally9609
    @salhamkally9609 2 месяца назад

    Mungu mkuu tuishi maisha ambay mungu anapenda amen

  • @mackynicky8278
    @mackynicky8278 4 года назад +3

    Tumuombe Mungu atusaidie tuyashinde majaribu ya dunia🙏🏾🙏🏾

  • @AnnaShibanda
    @AnnaShibanda 2 месяца назад

    Amen hii ni injili iliyo hai isiyogoshiwa

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 4 года назад +3

    Hii ni injili ya kweli wahubiri wengi wanahubiri mijini je huko vijijini nani atakwenda kama sio sisi jamani Yesu akija tutamwambia nini jamani mwe!!!

  • @HadasaGallant
    @HadasaGallant 5 месяцев назад

    Ameen Ameen

  • @rebecashidika7801
    @rebecashidika7801 2 года назад

    Eéeh Mungu tuhurumie, tunaomba neema yako ya kuokaka mpaka mwisho mwisho wa maisha yetu, yanayotokea Ukraine na Urusi ndo haya yanatukia yalitabiriwa,🇸🇪

  • @mussaemmanuel2767
    @mussaemmanuel2767 5 лет назад +3

    Eee mungu turehemu sisi watenda dhambi mda wowote. ujumbe huu unaudhunisha sana moyoni.

  • @salestianjames464
    @salestianjames464 Год назад

    Nabarikiwa na ijili yako baba

  • @leonardabrahamh6906
    @leonardabrahamh6906 5 лет назад +6

    Nimekupenda sana Mweshimiwa Askofu wangu.

  • @johnbunyan5648
    @johnbunyan5648 5 лет назад +2

    Nabarikiwa Sana na huduma hii

  • @igomagenzistationary9729
    @igomagenzistationary9729 5 лет назад +3

    amen

  • @dorcasarakaza3406
    @dorcasarakaza3406 3 года назад

    Ee Yesu Nisaidie mm mwanao

  • @esaubakuza3287
    @esaubakuza3287 4 года назад +1

    Aiseee tusaidie yesuuu

  • @nguvuyauamshotvtanzania3395
    @nguvuyauamshotvtanzania3395 Год назад

    Kweli kweli baba kweli baba Asante kwa alama umeacha kabisa

  • @AchillesMovieRecaps
    @AchillesMovieRecaps 4 года назад +1

    Amina babu yetu

  • @sarahyvonne4580
    @sarahyvonne4580 4 года назад

    Eee mungu baba utuokoe

  • @nixonferuzi5682
    @nixonferuzi5682 3 года назад

    Mwamini Yesu ili uokoke.

  • @emmynjeri2478
    @emmynjeri2478 4 года назад +1

    Ameen yanagusa moyo

  • @sikujuahassan3983
    @sikujuahassan3983 4 года назад

    Aimeen

  • @nanutuannet5134
    @nanutuannet5134 5 лет назад +2

    Ameen be Blessed so much my Brother for giving us are good News

  • @stanlymaingi1065
    @stanlymaingi1065 4 года назад +1

    Bishop alikuwa na moyo ya upole alikuwa aubiri ukweli ukubali ama ukatae shauri yako

  • @erickmutungi8792
    @erickmutungi8792 5 лет назад +21

    Hivi mtu anaanzaje ku-"dislike" mahubiri kama haya?,lazima atakuwa na mapepo yasiyo hesabika.....

    • @Cado_TV.
      @Cado_TV.  5 лет назад +4

      Yeah hata mm nilishangaaa San but kumbuka kazi ya MUNGU ndio ina maadui wengi kuliko.

    • @ferdinandmganga9129
      @ferdinandmganga9129 5 лет назад +1

      Nimebarikiwa na ujumbe huu kwelikweli,dah

    • @nanutuannet5134
      @nanutuannet5134 5 лет назад +1

      Kweli kabisa ubarikiwe Sana mwana Wa Mungu

    • @witohamis2602
      @witohamis2602 5 лет назад +2

      Huyu ni shujaa wa injili kwel na mahubili yake ni kweli na baraka nimebalikiwa kwel..

    • @brotherisaiahtv
      @brotherisaiahtv 3 года назад

      Labda atakuwa hajui maana ya ku-like na dislike

  • @vickymgeni4777
    @vickymgeni4777 3 года назад +1

    Saut ya mtu alie nyikani, ITENGENEZENI NJIA YA BWANA YANYOOSHENI MAPITO YAKE.

  • @DorcasShani
    @DorcasShani 7 месяцев назад

    Simlizi Veronica furenki

  • @merysebastan2169
    @merysebastan2169 2 года назад

    Ndugu ivi kitabu Cha historia ya maisha yake kinapatikana wapi

  • @paskalihauleministries-int9997
    @paskalihauleministries-int9997 5 лет назад +6

    Hakika huyu baba kama yupo hai. Maana aliyoyanena yanaishi mpaka sasa.

    • @fastakbrave7863
      @fastakbrave7863 4 года назад +1

      Hii ndo injili .....ujana ake alikuwa moto.....EE bwana tusaidie ....kizazi chetu hiki...

  • @mariakamnde8007
    @mariakamnde8007 4 года назад +3

    Najifunza mambo magumu namazito ya mbinguni

  • @boscobosco9600
    @boscobosco9600 2 года назад

    Uishi mile kwani umhubiri ukweli siku zote

  • @erasmobenardsangu-1854
    @erasmobenardsangu-1854 7 месяцев назад

    swarira ngu ss tunaubirinni mbonaatu eriwiki mngu atu reemkwa kwer nikwerkwasasa. arinimbayasana

  • @marcelinamwambanga6640
    @marcelinamwambanga6640 3 года назад

    0p00

  • @lazarosaruni9642
    @lazarosaruni9642 3 года назад

    Frank
    Mbise

  • @foibekasekwa4974
    @foibekasekwa4974 4 года назад +1

    Injili Isiyo chujwa