Siri ya Archbishop, FJ.Katunzi na shule za St.Mathew’s yafichuka

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Endelea kufuatilia vipindi mbalimbali na Mahubiri kutoka kwa Mtumishi wa Mungu Bishop fj katunzi ambae ni Mwalimu wa Neno la Mungu, Mhubiri wa Injili, Mwandishi wa vitabu na mtafiti wa historia ya Kanisa. Pia amekua akiongoza safari za mafunzo katika nchi za ki-Biblia Israel, Misri, Uturuki na Jordani.
    ⚫️ SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ WASILIANA NA MARANATHA ONLINE TV: ( +255 754 367 826 )
    ⚫️ Email: faithtrustees40@gmail.com
    *** OUR PLAYLISTS***
    ⚫️ HABARI MCHANGANYIKO: www.youtube.co....
    ⚫️ BISHOP FJ KATUNZI IBADA: www.youtube.co....
    ⚫️ MAFUNDISHO: www.youtube.co....
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: www.youtube.co....
    ⚫️ UCHUMI: www.youtube.co....
    ⚫️ IJUE ISRAEL NA KANISA: www.youtube.co....
    ⚫️ SIMULIZI ZA KUFUNGULIWA: www.youtube.co....
    ⚫️ IFAHAMU CITY CENTER CHURCH: www.youtube.co... SIKILIZA MARANATHA GOSPEL RADIO: mixlr.com/mara...
    ⚫️ VISIT LIVE IBADA: www.youtube.co....

Комментарии • 11

  • @elizalutiga6287
    @elizalutiga6287 22 часа назад +1

    Mungu akubariki una moyo wa Shukrani

  • @SamwelLaizer-o7l
    @SamwelLaizer-o7l 21 час назад

    Mungu Aendelee kuinua huduma aliyoiweka ndani mwako❤❤❤❤❤❤❤

  • @frbm1729
    @frbm1729 12 часов назад

    Mungu akubariki mtumishi Kwa maono makubwa

  • @NeemaUrasa-u4y
    @NeemaUrasa-u4y 20 часов назад

    Mtumishi wa Mungu akupe maisha marefu

  • @kyaruzifred7562
    @kyaruzifred7562 12 часов назад

    Hallelujah,
    Hongereni sana St Mathew's
    Hongera sana Mutembei
    Hongera sana Mtumishi wa Mungu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 9 часов назад

    Huyu mtembei, ni mtoaji sana na ndiyo maana kabarikiwa, nimefuatilia maisha yake yote kawekeza kwenye upendo wa kusaidia watu na ndiyo maana kabarikiwa sana, watanzania tuige kwa huyu mzee, Barikiwa sana.

  • @dibeazicha-dj5hb
    @dibeazicha-dj5hb 22 часа назад

    Sooo nice

  • @NeemaUrasa-u4y
    @NeemaUrasa-u4y 20 часов назад

    Shule hizi ni za viwango vya juu. Kwa sababu mmeziungmanisha na mtumishi wa Mungu zitakuja kufikia viwango vya Kimataifa kwa jina la Yesu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 9 часов назад

    Naomba mawasiliani ya shule naishi Arusha

  • @kasangagregory5747
    @kasangagregory5747 3 часа назад

    huyu mkurugenzi anaongea kwa umahili sana nimependa