#EXCLUSIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • #EXCLUSIVE: MKALI WENU AFICHUA MAZITO ya NABII GEORDAVIE, KUPELEKWA kwa MGANGA na BABA..| MPAKA HOME
    KWENYE MPAKA HOME ya Global TV, tumemtembela staa wa vichekesho Bongo Mkali Wenu ambaye amefunguka mengi juu ya maisha yake, mke na uigizaji.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 104

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +3

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ

    • @raniafahad2918
      @raniafahad2918 Год назад

      Mama yake mzazi anateseka yeye anaishi sehemu ya kifaali bila mama yako usingekuwepo

  • @Sandra39823
    @Sandra39823 Год назад +16

    Ombewa na wachugaji wote lakini mamako kwa maisha yale huna baraka yoyote hata uombewe na malaika, wacha siku Mwenyezi Mungu ataanza kukushambulia utalia yote

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Год назад

      Baraka zinatoka kwa Mungu

    • @mohammadumarzavallah9719
      @mohammadumarzavallah9719 Год назад +1

      Hao wapo wote freemason na hayo yote yanayofanyika amri inatoka huko

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Год назад

      @@mohammadumarzavallah9719 Wote na Nani?

    • @raniafahad2918
      @raniafahad2918 Год назад

      Laana ya mama yake mzazi iyo na bado kabisa asisingizie analogwa

    • @raniafahad2918
      @raniafahad2918 Год назад

      @@mohammadumarzavallah9719 sahihi usemayo Kwanza mama anaishi nyumba mbaya anashindwa kukaa na mama yake au ndo mashaliti aliyopewa na iluminat

  • @issadassa6668
    @issadassa6668 Год назад +2

    Yaaani we umeombewa ili update gari inalilahi wainailahi rajiun

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Год назад +6

    Huyo ndugu Ana maringo sana 😢

  • @mwana3887
    @mwana3887 Год назад +2

    Nabii Mkuu ni darasa Kwa wengi na Bado wengine wanaendelea kujifunza kutoka kwake Kwa hiyo ni suala la muda tuu mtajifunza na mtaelewa

  • @sifasanga7866
    @sifasanga7866 Год назад +5

    Hata kwa kidogo msaidie Mzazi wako maisha mafupi

  • @aminaamiri7684
    @aminaamiri7684 Год назад +2

    Subhana llah...jumba hilo kod yake ni ngap...mam mzaz umpee elf 10 kwa mwz loooh...halaf et huna kitu n mpuuz huyu

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +2

    Safi sana vijana 👏👏👏

  • @rashidzinu1643
    @rashidzinu1643 Год назад +6

    Mpeleke na mama yako akasaidiwe, kama kweli huyo baba yako anasaidia watu ndegeresss!

  • @revinaraphael5220
    @revinaraphael5220 Год назад +16

    Mama anakula ugali na sukali mdogo wako anasomesha na majilani wasanii Mungu anawaona

    • @Boaz22
      @Boaz22 Год назад

      We mama yako mzazi anakula nini?? Pizza au?? Acha makasiriko, fanya kazi acha kufwatilia yasiokuhusu, kenge wa kike wewe

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Год назад +9

    Hovyo maisha ya mama yake mabovu Choo mabati hawana lolote mastaa yaani kavaa lakini Yuko uchi

  • @aliaden5512
    @aliaden5512 Год назад +8

    usimsahau mama

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Год назад +4

    Mbona pakawaida ata kwangu pazr na niwakawaida tu na mshara wa laki5

  • @patrickkimamba7124
    @patrickkimamba7124 Год назад +2

    rangi zina nini mzee mambo ya qatar ayo...😁😁😁😁 umetisha afu umeniua sana apo mwanangu

  • @revinaraphael5220
    @revinaraphael5220 Год назад +3

    Mama yko choo kimefunikwa na kiti cha prastiki ww kiboko

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Год назад +2

    MUNGU ni mvumilivu sana

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 Год назад +2

    Mnanitia hasira sana mnavyoweke kichwa cha habari cha uongo ili iweje?hivi mnamchukuliaje huyo mtumishi wa Mungu kumchanganyachanganya na upuuzi ina maana mmekosa kichwa cha habari cha kuandika

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Год назад +2

    Unaviatu pea 30 huku mamako anakunya mlango wazi chumba kaa jalalani kaa uoni aibu jinga wew

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 Год назад +8

    Hii nyumba anakaa Ambar Lulu siku aliyoenda Gabriel Mtanzania aliambiwa magari ya Ambar leo Mkali anasema magari yake wasanii mnaweza sifa loh

    • @tusajigwemathias9185
      @tusajigwemathias9185 Год назад +1

      Mbona kama ingine sio ile ya Amber

    • @jacquilinenoah949
      @jacquilinenoah949 Год назад +2

      hii ni nyumba nyingine ile ya amber ina caunta nje

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад +1

      @@jacquilinenoah949 Yah kweli nimeona sijui zitakuwa za mtu mmoja maana zimefanana ramani yake

    • @OfficialA83640
      @OfficialA83640 Год назад +1

      @@tusajigwemathias9185 Ndy nimeona my baada yakuitazama vizuri

    • @janethjohnson3289
      @janethjohnson3289 Год назад

      Amber Lulu hakai hapo bwana umepafananisha

  • @neyamanzi5118
    @neyamanzi5118 Год назад +4

    Na akili zipo kama katuni

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 Год назад +4

    Nyie wasanii wa Bongo kwa njaa hzo hata jicho mnatoa

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 Год назад +1

    Mama nae mnahakika alimtunza mwanae kufa na kupona?. Mbona mnapenda sana kutetea wazee kuliko kutetea watoto?

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Год назад +1

    Katika mijitu mijinga na mipumbavu na ambayo iponyuma kiakili na hata maendeleo hatakama anajiona tajiri mojawapo nihili ,yaani mzee alokuzaa kwashida unahiari afe nashida kweli dunia hadaa na ulimwengu shujaa.

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Год назад +7

    Siku hizi mpaka na mitume wana machawa

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 Год назад +3

    Hii ku fake maisha ndio mnaleta shida kwa wazazi wanaona mnaishi poa mwishowe mnalalamikiwa mnaanza kulia

    • @patsonkyando1732
      @patsonkyando1732 Год назад +1

      Exactly, Wengi hawaishi Manisha yao,watu wanaweza kuona hausaidii familia WAZAZI kutokana na lifestyles ya kujifanya aonekane yupo vizuri Financially lakini kiuhalisia anahitaji msaada au uwezo wake ni wa kujikimu mwenyewe tu

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Год назад +2

    Maisha ya wazazi yako niyao ila kusaidia wazazi nikipo ila kama haujiwezi yani haujitoshelezi so lazima mkali hana kosa wao wazazi so ndo walianza kuishi nahayana maisha waliyaanza kuyaishi yao jamaa anapambana ili aisaidie familia yake

  • @henrytimothy3048
    @henrytimothy3048 Год назад +3

    Mwangalie na mama ako pumb..ww

  • @hayfaswaleh8048
    @hayfaswaleh8048 Год назад

    Jamani nasisi tupeni namba ya baba tutoke kwenye umasikini tuna nja sasa ao twazalauliwa kuwa ni waislamu

  • @Veni584
    @Veni584 Год назад +2

    C ungemchukua na mama uishi nae

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад

    Wallahi naogopa watu kuishi kama pumzi ni zakwao

  • @omarjuma4244
    @omarjuma4244 Год назад

    No coment

  • @martinigabriel702
    @martinigabriel702 Год назад +1

    Hizi comment zinatisha

  • @petermagoye5482
    @petermagoye5482 Год назад +3

    Kwa uelewa wangu mdogo Hawa wote watakua ni waabudu shetani,, hakuna Mungu hapa freemason wako na mkono wao hapo

  • @idrisamngagi284
    @idrisamngagi284 Год назад

    iyo mistari ya upinde choko

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Год назад

    Wewe unamiaka zaidi ya 30 sura imekomaa unatudanganya

  • @suhailaabdul2579
    @suhailaabdul2579 Год назад

    Njaa tu ndio znawasumbua wengi

  • @deomajuva2432
    @deomajuva2432 Год назад

    Yuko swa tu anavoongea na sijaona chuki yeyote juu yake ana sifa kweli lakn ni asili yavkila mtu Kuna mtu anaweza kukuchukua kisa mkimya na mwingine akakupendenda pia

  • @seiflugendo7141
    @seiflugendo7141 Год назад

    Hebu nisaidieni kunikumbusha makabila yanayoongoza Kwa ushamba.

  • @nathaliakenny4369
    @nathaliakenny4369 Год назад

    Eti nakumpa haki ake mkewangu🤣🤣🤣🤣

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 Год назад +2

    Msaidie mama yako kwanza

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 Год назад +3

    waheshimu baba na mama yako upate heri dunian

    • @mohammadumarzavallah9719
      @mohammadumarzavallah9719 Год назад

      Nyie mnashindwa kuelewa pesa za kishetani Zina mashart na wengi wao wanaambiwa hakuna kuwasaidia wazazi wao na ndugu zao

  • @aljalilatiba9873
    @aljalilatiba9873 Год назад +2

    MAISHA YA DUNIA NI PUMBAO TUU NA MAPITO TUU VYOTE TUNAVIACHA TUNATAKIWA TUTENGENEZE AKHERA YETU

  • @balkissmuhammad5090
    @balkissmuhammad5090 Год назад

    Iaanatullah ibilis

  • @justakatto1943
    @justakatto1943 Год назад

    Anaejiinua siku zote anashushwa usipokua makini utashushwa tu.

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 Год назад

    Ebu keti vizuri kujitanuatanua tu mboro kubwa ivo😂😂😂🤣😂🤣

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Год назад +2

    Mhhh uchawatu nakutumiwa munguwakwanza munguwapili nimama hata upendezi kukashifu wasanii wengine kumbe wewe mwenyewe umo

    • @bakariamiri5067
      @bakariamiri5067 Год назад +1

      Acha ushamba ww wakwanza mungu wapili wazazi kapate baraka za wazazi upate utajari harari badae usije kujuta

  • @sharifuamuri4638
    @sharifuamuri4638 Год назад

    Mkali bn eti mi naangalia katuni

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Год назад +8

    Sifa za kijinga wakati mama anakula ugali na Sukakari. Wasanii mnatuaribia watoto wakiona hivi wanadhani ni maisha halisi wanadhani usanii unalipa kumbe upuuzi

    • @Boaz22
      @Boaz22 Год назад +2

      We mama yako mzazi anakula nini?? Acha makasiriko binti

    • @mercypeter162
      @mercypeter162 Год назад +1

      @@Boaz22 Sio makasiriko wasanii wanausanii mpaka maisha halisi

    • @reenyaysher7639
      @reenyaysher7639 Год назад

      Yaaan wanaigiza mpka maisha yao, mama kule mambo mabaya

    • @dominickjohn1128
      @dominickjohn1128 Год назад

      Unamsaidieje sasa wew

  • @deboranicoraus4866
    @deboranicoraus4866 Год назад +4

    Mtangazaji or kibaka uvaaji gani huo swaga zimepitiz unasahau km upo kazin

    • @meshacknyandongo577
      @meshacknyandongo577 Год назад

      Huyo akija kunihoji namwambia ave vizuri kwanza uhuni unatuzidi sana vijana tunapenda kuigaiga mno

    • @lilyrose7983
      @lilyrose7983 Год назад +1

      😂😂😂😂

    • @mwanashagladys4581
      @mwanashagladys4581 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @binyamiinabubakar4325
    @binyamiinabubakar4325 Год назад +1

    Wajifakhiri na magari makubwa yagharama lkn mamako Anakufa njaa na kudhalilika huna mwisho mzuri wewe kama hutapata radhi za mamako kaa ukijua hii nidunia TAFAKARI

  • @jumafundi3133
    @jumafundi3133 Год назад +2

    Sisi hatukupendi kwasababu unawadharau wazee wako,yaani mm napokea laki2 kwa mwezi na nawasaidia wazaziwangu nawewe unafikiria kua billionaire na unashindwa kuwasaidia wazee ,hunalolote domotu.

  • @allandavid870
    @allandavid870 Год назад

    ZISI IZI MA DADI

  • @shabaniduduma8885
    @shabaniduduma8885 Год назад

    Kweli ulimbukeni ni kitu kibaya sana

    • @mwanakhatib5825
      @mwanakhatib5825 Год назад

      Ndio maana huna akili unaanglia katuni hem uliza maana ya katuni nyumba umeweka picha ya mkeo mama hausiki hapo hii duniani mh

  • @linkreuben3108
    @linkreuben3108 Год назад +1

    UHUNI MTUPU!

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Год назад +3

    Cheeeeefuuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏ukitaka ufanikiwe mjali mzazi wako

    • @Boaz22
      @Boaz22 Год назад

      Ukijali wazazi wako inatosha, usipangie mtu maisha ngedere wewe

    • @rithakuyala9951
      @rithakuyala9951 Год назад

      Ukweli unauma we choko sana🖕

  • @einotsolomon9945
    @einotsolomon9945 Год назад

    Mhhhhhhhhh!!! Eti baba yangu😏!!!!!.wewe usijisifu na baba yako!! Kaa kuwakumbatia wababa wa wenzako kisa umepewa gari!!!! PUMBAVUUUUU

  • @rosekuriyo7188
    @rosekuriyo7188 Год назад

    hahahhahah uponyaj wa viat kbx mwixho wa akil yak hy

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Год назад +4

    Ovyooo Mama Anatembeza karanga mchana kutwa jua mvua yake anakula ugali na sukari wewe unatletea ujinga wako hapa !😳 Huna lolote

    • @jolemerci2155
      @jolemerci2155 Год назад

      Umeongea kweli ndugu yangu wa sani wana haribu akili za wa toto sana

  • @reenyaysher7639
    @reenyaysher7639 Год назад +3

    Mama anakula chumvi kule na ugali acha hizo kaka

    • @Boaz22
      @Boaz22 Год назад +1

      We mama yako mzazi anakula nini kenge wewe, fanya yako,acha maisha ya watu

    • @reenyaysher7639
      @reenyaysher7639 Год назад

      @@Boaz22 wee ndo mpambe nuksi mwenyewe., amlishe mama yake kule aache ufahari na kujisifu kule wanakula ugali chumvi bwaanaaa

    • @eliakitungo8642
      @eliakitungo8642 Год назад

      @@Boaz22 wamejawa na wivu tu kenge hao, wanajifanya wanamjua sana mamake na jamaa!! Mama zao huenda wanahali tabani.

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 Год назад

    Mfalme wa MUNGU ni Mkubwa kuliko akili za wanadamu