#EXCLUSIVE
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- #EXCLUSIVE: MKALI WENU AFICHUA MAZITO ya NABII GEORDAVIE, KUPELEKWA kwa MGANGA na BABA..| MPAKA HOME
KWENYE MPAKA HOME ya Global TV, tumemtembela staa wa vichekesho Bongo Mkali Wenu ambaye amefunguka mengi juu ya maisha yake, mke na uigizaji.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
Mama yake mzazi anateseka yeye anaishi sehemu ya kifaali bila mama yako usingekuwepo
Ombewa na wachugaji wote lakini mamako kwa maisha yale huna baraka yoyote hata uombewe na malaika, wacha siku Mwenyezi Mungu ataanza kukushambulia utalia yote
Baraka zinatoka kwa Mungu
Hao wapo wote freemason na hayo yote yanayofanyika amri inatoka huko
@@mohammadumarzavallah9719 Wote na Nani?
Laana ya mama yake mzazi iyo na bado kabisa asisingizie analogwa
@@mohammadumarzavallah9719 sahihi usemayo Kwanza mama anaishi nyumba mbaya anashindwa kukaa na mama yake au ndo mashaliti aliyopewa na iluminat
Yaaani we umeombewa ili update gari inalilahi wainailahi rajiun
Huyo ndugu Ana maringo sana 😢
Nabii Mkuu ni darasa Kwa wengi na Bado wengine wanaendelea kujifunza kutoka kwake Kwa hiyo ni suala la muda tuu mtajifunza na mtaelewa
Anaongeza dose ya mapepo
Hata kwa kidogo msaidie Mzazi wako maisha mafupi
Subhana llah...jumba hilo kod yake ni ngap...mam mzaz umpee elf 10 kwa mwz loooh...halaf et huna kitu n mpuuz huyu
Safi sana vijana 👏👏👏
Mpeleke na mama yako akasaidiwe, kama kweli huyo baba yako anasaidia watu ndegeresss!
Mama anakula ugali na sukali mdogo wako anasomesha na majilani wasanii Mungu anawaona
We mama yako mzazi anakula nini?? Pizza au?? Acha makasiriko, fanya kazi acha kufwatilia yasiokuhusu, kenge wa kike wewe
Hovyo maisha ya mama yake mabovu Choo mabati hawana lolote mastaa yaani kavaa lakini Yuko uchi
usimsahau mama
Mbona pakawaida ata kwangu pazr na niwakawaida tu na mshara wa laki5
rangi zina nini mzee mambo ya qatar ayo...😁😁😁😁 umetisha afu umeniua sana apo mwanangu
Mama yko choo kimefunikwa na kiti cha prastiki ww kiboko
MUNGU ni mvumilivu sana
Mungu ni m uvumilivu sana ndugu
Mnanitia hasira sana mnavyoweke kichwa cha habari cha uongo ili iweje?hivi mnamchukuliaje huyo mtumishi wa Mungu kumchanganyachanganya na upuuzi ina maana mmekosa kichwa cha habari cha kuandika
Unaviatu pea 30 huku mamako anakunya mlango wazi chumba kaa jalalani kaa uoni aibu jinga wew
Hii nyumba anakaa Ambar Lulu siku aliyoenda Gabriel Mtanzania aliambiwa magari ya Ambar leo Mkali anasema magari yake wasanii mnaweza sifa loh
Mbona kama ingine sio ile ya Amber
hii ni nyumba nyingine ile ya amber ina caunta nje
@@jacquilinenoah949 Yah kweli nimeona sijui zitakuwa za mtu mmoja maana zimefanana ramani yake
@@tusajigwemathias9185 Ndy nimeona my baada yakuitazama vizuri
Amber Lulu hakai hapo bwana umepafananisha
Na akili zipo kama katuni
Nyie wasanii wa Bongo kwa njaa hzo hata jicho mnatoa
Mama nae mnahakika alimtunza mwanae kufa na kupona?. Mbona mnapenda sana kutetea wazee kuliko kutetea watoto?
Katika mijitu mijinga na mipumbavu na ambayo iponyuma kiakili na hata maendeleo hatakama anajiona tajiri mojawapo nihili ,yaani mzee alokuzaa kwashida unahiari afe nashida kweli dunia hadaa na ulimwengu shujaa.
Siku hizi mpaka na mitume wana machawa
Nimecheeka kwa sauuuti 🤣
Hii ku fake maisha ndio mnaleta shida kwa wazazi wanaona mnaishi poa mwishowe mnalalamikiwa mnaanza kulia
Exactly, Wengi hawaishi Manisha yao,watu wanaweza kuona hausaidii familia WAZAZI kutokana na lifestyles ya kujifanya aonekane yupo vizuri Financially lakini kiuhalisia anahitaji msaada au uwezo wake ni wa kujikimu mwenyewe tu
Maisha ya wazazi yako niyao ila kusaidia wazazi nikipo ila kama haujiwezi yani haujitoshelezi so lazima mkali hana kosa wao wazazi so ndo walianza kuishi nahayana maisha waliyaanza kuyaishi yao jamaa anapambana ili aisaidie familia yake
Sharifu haujitambui
Mwangalie na mama ako pumb..ww
Jamani nasisi tupeni namba ya baba tutoke kwenye umasikini tuna nja sasa ao twazalauliwa kuwa ni waislamu
C ungemchukua na mama uishi nae
Wallahi naogopa watu kuishi kama pumzi ni zakwao
No coment
Hizi comment zinatisha
Nendeni kwa mama yake mkatuoneshe tuone
Kwa uelewa wangu mdogo Hawa wote watakua ni waabudu shetani,, hakuna Mungu hapa freemason wako na mkono wao hapo
Kabisaa umepatia sawa tu na wale wafuga majini
Kweli kabsaaa
iyo mistari ya upinde choko
Wewe unamiaka zaidi ya 30 sura imekomaa unatudanganya
Njaa tu ndio znawasumbua wengi
Yuko swa tu anavoongea na sijaona chuki yeyote juu yake ana sifa kweli lakn ni asili yavkila mtu Kuna mtu anaweza kukuchukua kisa mkimya na mwingine akakupendenda pia
Hebu nisaidieni kunikumbusha makabila yanayoongoza Kwa ushamba.
Eti nakumpa haki ake mkewangu🤣🤣🤣🤣
Msaidie mama yako kwanza
waheshimu baba na mama yako upate heri dunian
Nyie mnashindwa kuelewa pesa za kishetani Zina mashart na wengi wao wanaambiwa hakuna kuwasaidia wazazi wao na ndugu zao
MAISHA YA DUNIA NI PUMBAO TUU NA MAPITO TUU VYOTE TUNAVIACHA TUNATAKIWA TUTENGENEZE AKHERA YETU
Iaanatullah ibilis
Anaejiinua siku zote anashushwa usipokua makini utashushwa tu.
Ebu keti vizuri kujitanuatanua tu mboro kubwa ivo😂😂😂🤣😂🤣
Mhhh uchawatu nakutumiwa munguwakwanza munguwapili nimama hata upendezi kukashifu wasanii wengine kumbe wewe mwenyewe umo
Acha ushamba ww wakwanza mungu wapili wazazi kapate baraka za wazazi upate utajari harari badae usije kujuta
Mkali bn eti mi naangalia katuni
Sifa za kijinga wakati mama anakula ugali na Sukakari. Wasanii mnatuaribia watoto wakiona hivi wanadhani ni maisha halisi wanadhani usanii unalipa kumbe upuuzi
We mama yako mzazi anakula nini?? Acha makasiriko binti
@@Boaz22 Sio makasiriko wasanii wanausanii mpaka maisha halisi
Yaaan wanaigiza mpka maisha yao, mama kule mambo mabaya
Unamsaidieje sasa wew
Mtangazaji or kibaka uvaaji gani huo swaga zimepitiz unasahau km upo kazin
Huyo akija kunihoji namwambia ave vizuri kwanza uhuni unatuzidi sana vijana tunapenda kuigaiga mno
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wajifakhiri na magari makubwa yagharama lkn mamako Anakufa njaa na kudhalilika huna mwisho mzuri wewe kama hutapata radhi za mamako kaa ukijua hii nidunia TAFAKARI
Kapewa zawadi ilo gari
Sisi hatukupendi kwasababu unawadharau wazee wako,yaani mm napokea laki2 kwa mwezi na nawasaidia wazaziwangu nawewe unafikiria kua billionaire na unashindwa kuwasaidia wazee ,hunalolote domotu.
ZISI IZI MA DADI
Kweli ulimbukeni ni kitu kibaya sana
Ndio maana huna akili unaanglia katuni hem uliza maana ya katuni nyumba umeweka picha ya mkeo mama hausiki hapo hii duniani mh
UHUNI MTUPU!
Cheeeeefuuuuuuuuuuu😏😏😏😏😏😏ukitaka ufanikiwe mjali mzazi wako
Ukijali wazazi wako inatosha, usipangie mtu maisha ngedere wewe
Ukweli unauma we choko sana🖕
Mhhhhhhhhh!!! Eti baba yangu😏!!!!!.wewe usijisifu na baba yako!! Kaa kuwakumbatia wababa wa wenzako kisa umepewa gari!!!! PUMBAVUUUUU
hahahhahah uponyaj wa viat kbx mwixho wa akil yak hy
Ovyooo Mama Anatembeza karanga mchana kutwa jua mvua yake anakula ugali na sukari wewe unatletea ujinga wako hapa !😳 Huna lolote
Umeongea kweli ndugu yangu wa sani wana haribu akili za wa toto sana
Mama anakula chumvi kule na ugali acha hizo kaka
We mama yako mzazi anakula nini kenge wewe, fanya yako,acha maisha ya watu
@@Boaz22 wee ndo mpambe nuksi mwenyewe., amlishe mama yake kule aache ufahari na kujisifu kule wanakula ugali chumvi bwaanaaa
@@Boaz22 wamejawa na wivu tu kenge hao, wanajifanya wanamjua sana mamake na jamaa!! Mama zao huenda wanahali tabani.
Mfalme wa MUNGU ni Mkubwa kuliko akili za wanadamu