Mr mpagaze, are you able to read through your books and then sell the audio version. I would be faster buying. Otherwise reading is giving me challenges.
Aliuawa kwa ujinga wake, aliua wapinzani na kuwazika kaburi moja, alikuwa na dharau zilizouudhi viongozi wote duniani eg alisafiri na vyakula vyake ,mahema yake eti vya huko anakoenda ni najisi, alimsaidia Idd Amin kwa kumpa zana za kuiangamiza Tanzania kwenye vita ya Kagera, aliwapokea na kuwapongeza vijana watatu wa Libya waliolipua ndege ya Amerika ya Pana Anam Airway na kuua abiria wote kule Lockbie London na hapo ndipo ukawa mwanzo wake kupalilia kifo chake.Gaddaf alikuwa mtu mwema sana kwa raia wake lakini upande wa pili wa shilingi huyu hakuwa na tofauti na shetani na kifo chake alistahili kufa.
MUNGU AENDELEEE KUWAADHIBU WALIBYA KWA KILE WALICHOMFANYIA GADAFI,HATA KAMA ALIKIWA NA MAKOSA LAKINI HAWAKUPASWA KUMSALITI ILI OBAMA AMUUWE KWA FAIDA YA WAMAREKANI.
Natani kuandikamengi yakuumiza kuhusu upumbavu uliotujaa watu wa afirika ila naombatu mungu awekaribu nakuwatianguvu wa afirika wenye akili zakuitete afirika Gadafi tutakuombea upuzikaji mwema 😂
Historia ya Gaddafi inanikumbusha kwa mzalendo wetu JPM Mungu akufanyie wepesi huko uliko Mkuu wetu
Kwa kipi hasa alikuongeza ww mshahara jinga sana ww
@@kisangageorgethomasi2830jinga ni babako
Mbona kama una hasira hivi @@kisangageorgethomasi2830
Mbona unachuki una cheti feki nini? @@kisangageorgethomasi2830
Kaddafi nikama mufalme rwagasore wa Burundi
2024 still I’m listening
HAMUJUI GADAFI ALIVYOKUW A. KAMA MULIJUA MUSINGELIMSIFU
BAADA YA KUTAWALA TU ALIWAUWA MABARBA KIBAO
17:54 🔱ARAFAT NIKO HAPA💪💪 TEGEMEENI MAKUBWA WA AFRICA ❤
Despite everything Gadaffi reaiiy cared for his people. This s more than leadership. Better to have a dictator who helps his people
Afrika itakukumbuka sana walibya wanajuta mpaka kesho❤
Allah Amuraze mahalapema Amupe pepo ya flidaus😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
i think also you people of Tanzania you were so lucky Maghufuli was another Gadafi ,, RIP you Excellency nice for the story
Which country are you from
Jamaa nihatari sana munqu ampumzishe kwaamani
Gadaf tutakuenzi daima
Gaddafi the Africa baba
Shukurani. Africans tukifuata Gaddafi roots tutatokomeza umasikini
C'est vrai nous t'aimons
Apumzike Kwa Amani shujaa wa afrika
Da mtihan kwel
LOUD AND CLEAR Over sir
Yes thank you bro. Good blessed him. Na alale salama rest in peace 🙏
Alikuwa Patriotic leader
Mr mpagaze, are you able to read through your books and then sell the audio version. I would be faster buying. Otherwise reading is giving me challenges.
Tena sana ukimtaja tu magufuri roho inauma sana
😊
P
Still watching 2025 January 🎉 7:26 7:28
Rip Magu wetu😭😭
Pumzika Kwa Amani Gadaffi
Utakumbukwa kwa mema uliwalipa mmbaka mishahara bado wakakuuwa mungu akutuzee
Aliuawa kwa ujinga wake, aliua wapinzani na kuwazika kaburi moja, alikuwa na dharau zilizouudhi viongozi wote duniani eg alisafiri na vyakula vyake ,mahema yake eti vya huko anakoenda ni najisi, alimsaidia Idd Amin kwa kumpa zana za kuiangamiza Tanzania kwenye vita ya Kagera, aliwapokea na kuwapongeza vijana watatu wa Libya waliolipua ndege ya Amerika ya Pana Anam Airway na kuua abiria wote kule Lockbie London na hapo ndipo ukawa mwanzo wake kupalilia kifo chake.Gaddaf alikuwa mtu mwema sana kwa raia wake lakini upande wa pili wa shilingi huyu hakuwa na tofauti na shetani na kifo chake alistahili kufa.
Eager is the key to sucession
Walishiba hawa Libya
Rest in peace gadafi ❤
Mungu awe nawe kqzi ako aina makosa
Mashujaa waafilika
United States of Africa,must unite to succeed
Uyu nikama magufuri miamba ya afirika
The pan African Viva African
Maashaallah
Mpangaze can one get your old Library books on cash
Nitajifungua mtoto wa kiume nimuite edger
Kweli huyu alikuwa kiongozi anaewapenda raia wake
Rip Gaddafi😭😭
Hawa ndiyo wazalendo wa kweli Africa .Mali yetu tule wenyewe siyo iende magharibi na marekani
Kwa kweli huyu ndiye angeiokoa Africa kutokana na utumwa
Cku zote chema hakidum
Kwakweli hii ndo hii Libya
MUNGU AENDELEEE KUWAADHIBU WALIBYA KWA KILE WALICHOMFANYIA GADAFI,HATA KAMA ALIKIWA NA MAKOSA LAKINI HAWAKUPASWA KUMSALITI ILI OBAMA AMUUWE KWA FAIDA YA WAMAREKANI.
NI KWELIII VYAMA VYA SIASA VINALETA UTENGANO ILI KUWANUFAISHA WAZUNGU.
WAZUNGU HAWATAKI WAAFRIKA TUISHI KWA UMOJA
Hivi libiya ndo iraq ya Sasa au
Libya ni nyingine na Iraq ni nyingine si inchi moja Libya bado iko wanasota mbaya wanajuta majuto ya firauni
mwamba wa affrica huo
Sijui wa Afrivca tunarogwa na nini kwanza tunajisaliti, then tukipewa suit tunalamba miguu ya wahuni
Inauma
Africa unity
Kweli waafrika tumelogwa. Watu wa aina hii tunawaua basi TU. Jpm tunakukimbuka
Lala salama usihof tupo tunakuja
Aligoma kujifunza kiingereza wakati sisi kama hujui lugha ya kishetani unaonekana hujasoma hakika bado tunautumwa wa kifikra sana
Sis bado sana😅😅
Good in huh
The white aims never fails
Shuja huooo
Natani kuandikamengi yakuumiza kuhusu upumbavu uliotujaa watu wa afirika ila naombatu mungu awekaribu nakuwatianguvu wa afirika wenye akili zakuitete afirika Gadafi tutakuombea upuzikaji mwema 😂
Tuwakumbuke viongoz mashujaa wa afrika waliotambua madhara ya ukoloni mamboleo!
Nikajua waagize kwa bili yako
Walio muua Gadafi sasa wanamkumbuka kiboko wameisha kipata na hawatamuona kama GADAFI hata wafanye nini
Historia ya Fidel Castro
0
Jamaa nihatari sana munqu ampumzishe kwaamani