DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2025
  • DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
    Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
    JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
    WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
    EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
    Follow Us On Instagram
    / ananiasedgartz
    / ananiasedgartv
    SUBSCRIBE
    bit.ly/2ZWGBXo
    Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
    ______________________________________________________________________________________________
    SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
    HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
    ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m

Комментарии • 253

  • @raymondjohn3798
    @raymondjohn3798 Год назад +3

    Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 2 года назад +3

    Ananias Edgar pongezi👍
    Kazi safi
    Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 2 года назад +3

    I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍
    "Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏

  • @tygertz181
    @tygertz181 4 года назад +50

    Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like

  • @vincentmaloba2290
    @vincentmaloba2290 4 года назад +50

    Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli.
    Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪

    • @morangaqatar8963
      @morangaqatar8963 4 года назад +2

      Africa murdered Africa, that is how cheap we are

    • @mamacikuu
      @mamacikuu 4 года назад +1

      We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!

    • @edwinkimani4557
      @edwinkimani4557 4 года назад +3

      It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 2 года назад +2

    Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍

  • @PrémicesMumbere-r9n
    @PrémicesMumbere-r9n 6 месяцев назад +2

    Asante sana mwalimu iyi historia wa kokomani hawana faamu

  • @zigashaneadvice3977
    @zigashaneadvice3977 3 года назад +3

    Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese

  •  4 года назад +7

    Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako

    • @SimonMwita-k8s
      @SimonMwita-k8s 2 месяца назад

      Askari Wanaka kulaniwa kwanini vitu mbaya mbaya ni askari wanahusika wajinga wakutumika

  • @elizabethalphonce1081
    @elizabethalphonce1081 4 года назад +14

    Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo

  • @Elfuego257
    @Elfuego257 2 года назад +12

    Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!

  • @mrbweichum
    @mrbweichum 4 года назад +85

    KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI

    • @daytonlennon9487
      @daytonlennon9487 3 года назад

      not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD

    • @arijohan3511
      @arijohan3511 3 года назад

      @Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)

  • @babugsafari281
    @babugsafari281 4 года назад +31

    Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC

    • @mariekapongo2041
      @mariekapongo2041 4 года назад +1

      Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕

    • @alfayeedbuya603
      @alfayeedbuya603 3 года назад

      Nchi ya vita

    • @geofreysenka7091
      @geofreysenka7091 2 года назад

      Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa

    • @geofreysenka7091
      @geofreysenka7091 2 года назад

      Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu

    • @rashidyally8715
      @rashidyally8715 2 года назад

      @@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu

  • @joaoonesmocumaio2362
    @joaoonesmocumaio2362 Год назад +2

    The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.

  • @enockcheruiyot5919
    @enockcheruiyot5919 3 года назад +10

    Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏

  • @nathanaelshombana645
    @nathanaelshombana645 4 года назад +9

    The Hero never die✊✊

  • @stevek8318
    @stevek8318 4 года назад +6

    Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!

  • @zawadimbusa3472
    @zawadimbusa3472 2 года назад +4

    Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse

  • @bish_daddiyao
    @bish_daddiyao 4 года назад +3

    Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏

  • @nellymwangilwa4288
    @nellymwangilwa4288 4 года назад +27

    Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace

    • @manirihotheigenedelphine6027
      @manirihotheigenedelphine6027 2 года назад

      Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 4 года назад +5

    Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏

    • @OmanOman-nz2bg
      @OmanOman-nz2bg 3 года назад

      👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @musasimba3689
    @musasimba3689 4 года назад +3

    Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar

    • @OmanOman-nz2bg
      @OmanOman-nz2bg 3 года назад

      Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪

  • @situsengadiego3662
    @situsengadiego3662 4 года назад +11

    Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌

  • @abdallahmgotto7474
    @abdallahmgotto7474 4 года назад +17

    Ulipo tupo 😍

  • @zuleyvendor6577
    @zuleyvendor6577 4 года назад +18

    Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 года назад +2

    Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭

  • @LawyerKalikumbi
    @LawyerKalikumbi 6 месяцев назад

    Well done Dennis Mpagaze and Anannias Edgar

  • @lulu8206
    @lulu8206 3 года назад +6

    Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u

  • @byishimoobednday779
    @byishimoobednday779 4 года назад +39

    As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba

  • @danielmacharia9603
    @danielmacharia9603 4 месяца назад

    Kazi safi naitwa Karis Karis kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @tanzanianchiyangu8984
    @tanzanianchiyangu8984 4 года назад +4

    Safi sana mpagaze

  • @themagnet4236
    @themagnet4236 2 года назад +1

    Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!

  • @anthonywilliamjohn6696
    @anthonywilliamjohn6696 4 года назад +3

    Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed

  • @malakoasaniasani2249
    @malakoasaniasani2249 4 года назад +2

    Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏

  • @alainonge7752
    @alainonge7752 4 года назад +1

    Big up saana mpagaze na Ananias

  • @kakozialbert2482
    @kakozialbert2482 3 года назад +2

    Thank you for this history

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 4 года назад +2

    Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.

  • @salmasaidi2875
    @salmasaidi2875 4 года назад +2

    Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui.
    Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 4 года назад +13

    I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 3 года назад +1

    Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @farukiabass5020
    @farukiabass5020 3 года назад +5

    Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12

  • @MaganaErasto
    @MaganaErasto 14 дней назад

    Yes nzuri

  • @Unkown30476
    @Unkown30476 Год назад

    Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH

  • @kapondamsita476
    @kapondamsita476 4 года назад

    Asante kwastory zamaana

  • @abcdg1995
    @abcdg1995 4 года назад +11

    I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR

  • @wataifab.7790
    @wataifab.7790 4 года назад +9

    Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele

  • @fahadfaraj1822
    @fahadfaraj1822 4 года назад +8

    Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo

  • @bugumalondonlondon
    @bugumalondonlondon 11 месяцев назад

    Napenda sana iyi

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 4 года назад +11

    Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa

  • @simonIbrahim-hc8vm
    @simonIbrahim-hc8vm Месяц назад

    Daaah 😭😭😭😭⭐⭐🙏🙏🙏

  • @monikasteven3064
    @monikasteven3064 4 года назад +3

    Be blessed bro

  • @tresorsamson9200
    @tresorsamson9200 4 года назад +9

    Notre lidere reste en paix

  • @osm721
    @osm721 4 года назад +6

    Sauti yako bro☆MOTO☆

  • @bernardmukinji3065
    @bernardmukinji3065 4 года назад +7

    Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba

  • @babamarc4325
    @babamarc4325 4 года назад +4

    R.I.P. lumumba,from USA

  • @margaretoyugi7137
    @margaretoyugi7137 2 года назад +1

    "Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍

  • @MustafaMusa-m2h
    @MustafaMusa-m2h 4 месяца назад

    Asante kumuomba alikufa naamini sunja sana

  • @josephatraymond4902
    @josephatraymond4902 4 года назад +2

    Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa

  • @nyotadjuma5172
    @nyotadjuma5172 8 месяцев назад

    god bless you

  • @manirihotheigenedelphine6027
    @manirihotheigenedelphine6027 2 года назад +1

    Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.

  • @toweman6484
    @toweman6484 3 года назад +1

    Nakubal mkuu

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 4 года назад +1

    Mobutu msenge Sana 😥

  • @Nuyama1
    @Nuyama1 4 года назад +8

    ananias edgar & denis mpagaze.

  • @hamzanasry8011
    @hamzanasry8011 4 года назад +17

    Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania

  • @emmanuelbawili2104
    @emmanuelbawili2104 4 года назад +4

    Lumumba R I P Brother

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 4 года назад +3

    Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 2 года назад +1

    Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu

  • @Topnews6148
    @Topnews6148 4 года назад +6

    RIP my leader Patrice

    • @samsonhumbe8220
      @samsonhumbe8220 2 года назад

      Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.

  • @mosesharerimana278
    @mosesharerimana278 4 года назад +4

    Tunakulewa sn
    Kaka much lov

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 2 года назад +2

    Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua

  • @bugumalondonlondon
    @bugumalondonlondon 11 месяцев назад

    Naipenda

  • @hancepopessau2527
    @hancepopessau2527 4 года назад +1

    He was the hero

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 2 года назад +1

    Nakweli malkom
    X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"

  • @fredialfredi202
    @fredialfredi202 4 года назад

    Hongera sana best.

  • @dicksonmwangi5499
    @dicksonmwangi5499 4 года назад +2

    Big up sana

  • @charo.mukarebugo5778
    @charo.mukarebugo5778 2 года назад +2

    Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba

  • @leylahleylah4599
    @leylahleylah4599 4 года назад +7

    Voice of Ananias 🔥🔥

  • @mbayomaikoakzahi9400
    @mbayomaikoakzahi9400 4 года назад +13

    Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪

    • @stevek8318
      @stevek8318 4 года назад +2

      I'm your new manager na nimesoma hii!!

    • @rhodarichard4366
      @rhodarichard4366 4 года назад +2

      Big dod nakushtak kwa bos wako😣

  • @ZadokAsaph
    @ZadokAsaph 8 месяцев назад +1

    Bigup

  • @mikomomalombi2987
    @mikomomalombi2987 4 года назад +4

    asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc

  • @tryphonet.sagilo-vm1gs
    @tryphonet.sagilo-vm1gs 7 месяцев назад

    Big up

  • @hassanmsuya6692
    @hassanmsuya6692 4 года назад +5

    Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 4 года назад +15

    Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 4 года назад +1

      Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi

    • @abuusufian6506
      @abuusufian6506 4 года назад +1

      @@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 4 года назад +1

      @@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality

  • @marcelin_hd
    @marcelin_hd 4 года назад +2

    A hero

  • @MajaliwaEnyonyi-bz9ss
    @MajaliwaEnyonyi-bz9ss Год назад

    Habari ya mkewakehinahumiza sana 😢

  • @estherawa1885
    @estherawa1885 4 года назад +3

    Rip lumumba

  • @ناديهترتوب
    @ناديهترتوب 3 года назад +4

    Maskini lumumba,Allah akurehemu

  • @mamskiumbe4057
    @mamskiumbe4057 4 года назад +3

    Atr sana

  • @emanuelstanley1710
    @emanuelstanley1710 3 года назад +1

    Salut xana ndugu pamoja xana

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 2 года назад

    Good

  • @erickrichard4292
    @erickrichard4292 4 года назад

    Nzuri sanaaa

  • @ChristophMcThe
    @ChristophMcThe 4 года назад +1

    11:19 Kanyama

  • @juliuskulokhoma8020
    @juliuskulokhoma8020 4 года назад +2

    Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli

  • @bedatv5634
    @bedatv5634 Год назад

    Safi

  • @laurentzacharia1563
    @laurentzacharia1563 4 года назад +4

    Limumba forever

  • @NellyNguzo
    @NellyNguzo Год назад

    LUMUMBA MAGUFURI😢😢😢R.I.P SHUJAA WA AFRICA😢😢

  • @mack_vita_onyango8409
    @mack_vita_onyango8409 4 года назад +2

    Dah. Binadamu sio watu believe me.

  • @hassanmugire1497
    @hassanmugire1497 4 года назад

    Dennis humfikii prof aise

    • @AnaniasEdgarTV
      @AnaniasEdgarTV  4 года назад

      Hatushindani na mtu

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 4 года назад

      Ananias Edgar 😂😂😂 when the king 🤴 got his kingdom, all the prince should stay calm and humble

    • @michaelgodliving5427
      @michaelgodliving5427 4 года назад +2

      Nyie ndio maana hamfiki mbali kwa kujilinganisha na wengine sometimes inabidi unyamaze tu kama huna cha kucomment

    • @hassanmugire1497
      @hassanmugire1497 4 года назад

      MICHAEL GODLIVING kulinganisha si vibaya sema unalinganisha kwa lengo gani

    • @mussaramadhan9842
      @mussaramadhan9842 4 года назад +1

      @@michaelgodliving5427 yaani watu wengine wapumbavu kweli Sasa hapo Edga kasema anashindana na mtu

  • @mkuuhapingwi
    @mkuuhapingwi 4 года назад

    Dah!hii sauti hii

  • @mkobelwaprosper5832
    @mkobelwaprosper5832 4 года назад +5

    Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔