DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
HTML-код
- Опубликовано: 4 фев 2025
- DENIS MPAGAZE: HISTORIA YA LUMUMBA NA KUYEYUSHWA KWENYE PIPA LA TINDIKALI
Julai 2, 1925 katika ardhi ya Congo alizaliwa mtoto wa kiume katika viuno vya Mzee François Tolenga Otetshima na tumbo la Bi Julienne Wamato Lomendja, akaitwa jina lake Elias Okit’ Asombo yaani Mrithi wa Aliyelaaniwa, Asombo akakua katika kimo na akili, akasoma, akajielewa, akabadili jina lake na kujiita Patrice Lumumba, akafanya kazi sehemu mbalimbali nchini, akaingia kwenye siasa kuikomboa Kongo kutoka kwenye makucha ya Wakoloni wa Ubeligiji, Mabeberu wakamuua na kisha kumkatakata vipande na kumyeyusha kwenye pipa la tindikali, Lumumba akapotea Duniani lakini fikra zake zikabaki zikiwasumbua watu wanaoamini Afrika haiwezi kujilisha bila kuomba nje!
JE,UNATAKA KUTANGAZA NA ANANIAS EDGAR TV?
WASILIANA NASI KUPITIA: +255659982764 /+255629977724
EMAIL: ananiasedgartv@gmail.com
Follow Us On Instagram
/ ananiasedgartz
/ ananiasedgartv
SUBSCRIBE
bit.ly/2ZWGBXo
Copyright Disclaimer: Under Section 107 of the Copyright Act 1976, allowance is made for fair use for purposes such as criticism, comment, news reporting, teaching, scholarship, and research.
______________________________________________________________________________________________
SIMULIZI ZA MATUKIO: bit.ly/2XlNCzg
HISTORIA ZA VIONGOZI: bit.ly/3ezWg2X
ELIMU ZA UKOMBOZI: bit.ly/3eCOK7m
Alikua kiongozi mkubwa aliyepitia mambo mengi magumu, Patrice Lumumba angeongoza nchi vizuri sana,pan Africanist original.
Ananias Edgar pongezi👍
Kazi safi
Mungu akuzidishie uvumbuzi🙏🏽
I admired your memorial music...Lumumba wa Baba👍
"Na kwa Afrika nzimaa muziki wake unabaki siku zotee👊👏👏👏
Kma unamkubal ananiasi Edgar gonga like
Pumuzika salama Patrice Lumumba.Afrika tunajulikana kuangamiza fikira nzuli.
Nimefurahiya historia nikiwa Kenya..🇰🇪
Africa murdered Africa, that is how cheap we are
We've been brainwashed by the system since they brought it in form of edu..., Religion, politics way of life, the white lifestyle, for ages upon ages but we are awaking now we are getting out of the system out of the matrix💪🙏TUKO PAMOJA!!
It's very sad, to hear about people who sacrificed n gave their lives for the sake of us, the freedom that I enjoy this day came about through sacrifice. yet even to this day we don't learn anything from them. Mtu Mweusi Nikama alilaaniwa. Ni kuomba omba na kukopa Kopa toka nje. Kaangalie Congo umaskini umewavaa kama Nguo. Africa tumebarikiwa lakini hatuoni maana mzungu ametupofisha kwa ushenzi wetu.
Napenda sana sauti yako na utafiti wako mpagaze👊👍
Asante sana mwalimu iyi historia wa kokomani hawana faamu
Nashukuru kwakunikumbusha tareki ya 30.06.1960 #listening u from S.A@blood Congolese
Ubarikiwe sana denis yaani nimejawa na furaha kubwa kusikia historia zako
Askari Wanaka kulaniwa kwanini vitu mbaya mbaya ni askari wanahusika wajinga wakutumika
Hakika Mungu akulaze maala pema kwa Mambo uliyotaka kuifanyia Congo ingawa mabeberu na wanyonyaji wakaikatisha kazi yako ila damu yako itanena mema kwa nchi ya Congo
Nafurahia sana usimuliaji wako, Endelea kutukumbusha tumetoka wapi!!
KAMA UNAMMPENDA MSIMULIZI ACHIA LIKE YAKO TAFADHARI
not sure if anyone cares but if you are bored like me atm you can stream all of the latest series on instaflixxer. Have been streaming with my brother these days xD
@Dayton Lennon Yea, I have been using instaflixxer for years myself :)
Ndungu Denis leo una nifikisha saana I love my country DRC
Congo 🇨🇩 my beautiful home land ❤ 💕
Nchi ya vita
Wazungu wauuji wachonganishi Hasa hao wamerekani Ni mbwa
Bora Urusi awabuluze tu hao wamerekani washenzi tu
@@geofreysenka7091 Hawa ni mambwa ila sisi tunawakumbatia tu wakina kwetu
The legacy of this man is immensurable, the true pan africanist. He suffered a lot to make Congo free of Begium domain. My his soul rest forever.
Wamarekani ni wahofu sana,haya makala yamenitia machonzi 😢,pumzika kwa amani PL 🙏
The Hero never die✊✊
Yeees, Ananias na Dennis mko wazee wa maana sana. Kutoka hapa marekani, wakenya wawavulia kofia! Edgar the gifted voice. Elimu ya hali ya juu sisi hupata hapa kutokana na kazi na utafiti nzuuri sana!
Vraiment nous sommes contents de vous, que Dieu vous bénisse
Asante kwa Makala....Nzuri hapa Elimu bora aisee,⚡👏
Forever you live long Mr.Patrice Lumumba,may you rest in peace
Jama kazungumuza sana ila maskio kama hatuna hivi wewe comment zakingereza hapa kunazungumuzwa kingereza au wewe nimwingereza?.
Well done once again Mpagaze Denis Ananias Edgar you are the best guys👏👏👏👏👏👏
👏👏👏👏👏👏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Msimuliaji bora kwangu wa simulizi kuwahi tokea hawa wengine wanaiga tu Asante bro Ananias Edgar
Inauma sana kweri iyi story 😪😪😪😪
Vraiment nous sommes heureux de vous que Dieu vous bénisse✌✌✌✌
Ulipo tupo 😍
Lumumba alikuwa mzuri jamaniii handsome wa zamani😋😋😘😘hata ingekuwa mm ni mke wake nisingeolewa tena 😊😊
Hhhh
Hatari sana
Khaaaaaa😆😅
Hata Mimi, nisingeolewa tena
@@belindagiliard8977 umeona eeeehh🤗🤗
Kwa kweli uzarendo ni Imani ngumu Sana inatakiwa kujitoa sadaka Kwa kweli 😭😭😭😭😭
Well done Dennis Mpagaze and Anannias Edgar
Thank you so much ananias u helped me a lot with what to write on my essay we were doing an project about people who helped black people out of the hands of slavery from white people I dint want to write a essay about martin Luther because it is a famous story about slavery so I came here because I know u had this video and ya it helped me so much thank u and God bless u
As a Congolese, I really honor the sacrifice of Emery Patrice Lumumba
Kazi safi naitwa Karis Karis kutoka Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Safi sana mpagaze
Asanteni sana,tutafutiye na Habari za Hayati Gregoire Kayibanda wa Rwanda!!!nitakushukuru sana!!
Yaani unanikoshaga Sana br,,, stay blessed
Mpagaze umeniacha hoiii kwakupachika kibao iile🙏
Big up saana mpagaze na Ananias
Thank you for this history
Asante sana, kwetu Lumumba sio tu hero ila pia ni prophet.
Ahsante sana na kalimanzira alikuwa nani imenikumbusha kuma mwendazimu miaka ya utoto wetu alikuwa akijiita hili jina na maana yake sijui.
Shukran kwa historia Kwa kweli lazima tusome ili tujue.
Asante xana bro mashujaa was Africa
I love your voice vocalist bro Congratulations Excellent content keep them coming brother worth it Greetings from Santa Monica's California USA
Iko poa hyo
Asante 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Afrika yetu Ina paswa kua na watu hao namini katika maisha napia kutekeleza haya anayo ya fanya nami naichukia zarau na ubaguzi katika maisha yangu nanyi mulie itafsiri hii stori munaweza vijana Mimi ni faruok abass haji mtoto ninayo itaka historian ya afrika Nina umri was miaka12
Yes nzuri
Ipo siku MWENYEZI MUNGU MTUKUFU MWENYE HAKI ata iinua AFRICA IN SHAA ALLAH
Asante kwastory zamaana
I found myself speaking in tongues while listening to your story bro Congratulations SIR
fake
Siyo ww tu pamoja na mm apa baba uyo jama lumumba na mwalimu nyerere walikuwa ni zawadi pekehe kabisa kutoka kwa Mungu watu wa haki akika wakumbukwe milele
Ni stori ambayo muda wote nashindwa kuiskiliza, inakuaje mzalendo kama lumumba, wabelgiji na cia katika hili hawastahili msamaha wa wana congo
Napenda sana iyi
Mpagaze tunaomba historia ya laurent nkunda na yuko wapi mpaka sasa
Daaah 😭😭😭😭⭐⭐🙏🙏🙏
Be blessed bro
Notre lidere reste en paix
Merci beaucoup
Sauti yako bro☆MOTO☆
Like nyingi kweny comment hiyi ajili ya Lumumba
R.I.P. lumumba,from USA
Ninyi xi ndo mulimuua
"Emery wa Mama Lumumba wa Babaa"👍
Asante kumuomba alikufa naamini sunja sana
Hapo sawa kbc kuwa mwana harakati lkn usijiingiz kwenye siasa
god bless you
Jama alikua shuja wa Africa kweli, nazikubali fikra zake huu kigogo haswa, japo nimarehemu, Mungu kamupumuzishe kwa amani, shuja wa Africa, Africa tunaria machoji yadamu😭😭😭😭😭, ila chakufurahisha, naye mubutu kafa km ubwa, bwege mtu, Ananias ukatusimulie muzoga wake kama uko wap.
Nakubal mkuu
Mobutu msenge Sana 😥
ananias edgar & denis mpagaze.
Laaaah kunawatu walipigwa mishale kwenye iyi dunia Allah awalipe mashuja wetu kwayote walio pigania
Lumumba R I P Brother
Eti alivunja yai la kiswahili 😂😂😂😂😂😂😂we jamaa nakupenda
🤣🤣🤣🤣🤣
Mabeberu ni mbwa Sana Tena mbwa kweli kweli wanamuua ndugu yetu halafu wanakuleteeni jino mbwa Hawa sisi hapa mabeberu tunaikumbatia tu pumbavu
RIP my leader Patrice
Hongera sana ndugu Denis na Ananies Edger. Mungu awabariki.
Tunakulewa sn
Kaka much lov
Hakika wasio ma unafiki hawaishi maisha marefu.lazima kum.parura parura na kumuua
Naipenda
He was the hero
Nakweli malkom
X!!" Anafanana na Lumumba aiseee!!"
Hongera sana best.
Big up sana
Rest in peace,wazalendo wa Africa, lala salama duguyangu lumumba
Voice of Ananias 🔥🔥
Asante sana
Nilikuwa kazini nikato roka kwa dakika kadhaa ili kuisikiliza hili 💪💪
I'm your new manager na nimesoma hii!!
Big dod nakushtak kwa bos wako😣
Bigup
asante ndugu kwa kutu kumbusha sisi wa congo drc
Big up
Simba wa Afrika🙏🏿🙏🏿
Ulipo tupo ....sauti ya utangazaji yaani mpaka nikiwa nakula roho tuliii umenifanya kujua historia za Africa
Sijaona hata Jamal Mustafa hampati huyu jamaa fundi
@@fasterwalker1464 kaka Jamal ,mtiga wote wanatulia
@@abuusufian6506 nachomkubali anaongelea reality
A hero
Habari ya mkewakehinahumiza sana 😢
Rip lumumba
Maskini lumumba,Allah akurehemu
Atr sana
Salut xana ndugu pamoja xana
Good
Nzuri sanaaa
11:19 Kanyama
Hawa wanakuja ku dislike Wana akili timamu kweli
Safi
Limumba forever
LUMUMBA MAGUFURI😢😢😢R.I.P SHUJAA WA AFRICA😢😢
Dah. Binadamu sio watu believe me.
Dennis humfikii prof aise
Hatushindani na mtu
Ananias Edgar 😂😂😂 when the king 🤴 got his kingdom, all the prince should stay calm and humble
Nyie ndio maana hamfiki mbali kwa kujilinganisha na wengine sometimes inabidi unyamaze tu kama huna cha kucomment
MICHAEL GODLIVING kulinganisha si vibaya sema unalinganisha kwa lengo gani
@@michaelgodliving5427 yaani watu wengine wapumbavu kweli Sasa hapo Edga kasema anashindana na mtu
Dah!hii sauti hii
Nikiskia story kama hizi uwa natamani sana niende ikulu siku moja aice ila tena nikiskiliza mangoma ndo nasaau kbs 🤔🤔🤔
Hahaha