GEREZA LA SIRI TANZANIA: MFUNGWA ASIMULIA YOTE/ ASKARI WANA ROHO MBAYA/ ILINILAZIMU/ SITARUDIA TENA!
HTML-код
- Опубликовано: 9 июн 2023
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#gerezani #magereza #mbanga
Mdupange …utafika mbali kaka keeping good work…no matter whatt!!contin…on what your doing..the future is yours ..
Jifunze kuwaacha unaowahoji wasimulie story zao unaingilia unaharibu flow
Uo ni wivu ndugu
Wew jamaa kweli msahili wivu tena akati ameongea facts mchizi.@@AmriOmari-tx9kw
Polee
Okeeeeee
Dupadumpange tuekee Show za Wasafiri yaani Mabaharia zinatufunza Mengi sana
Kweli Bongo kikubwa Uzima.
Sauti iko flat sana, rekebisheni
Eti unapiga bakuli la msosi paaah , lkn unaona kama umekula KISHETI vile...msosi hautoshi 🤣🤣🤣
Hao wanapga story sasa anakaaje kmya
Hii nyingine tena mko faya 🔥🔥🔥🔥
Yaani back to back hatar 🔥🔥
Mtangazaji umeharibu simulizi unaongea sana
Uchunguzi wakiafrica tofauti sana na ulaya!! Haki ngumu kutawala!!! Ukiona mtu kakukalia vibaya bora sepa tu
Mtangazj unaongea sana
Uwe unatulia
Ndugu mtangazaji unaharibu kw kuchomekea maneno hebu baada yakumuliza swalii jaribu kukaa kimya mpk uwe na swali jengine
TV yenu nzuri lakini Mtu wa Sauti ajitahidi inasikika Flat mnno.
Duuuuh
Si vyema kukalia makaburi
Wazee wa chechemua
Kwanini mpo makaburini?
Mtafute kabinyau tena dupa,,,hii story ya huyu jamaa haipandishi steam bro
Kabinyau stoliyake iliisha
Yule baharia namkubali
@@Pedeshee01 sana jamaa wa kokoriko
DUPA MAISHA MABOVU NENO LA SISI VIJANA WA MIAKA YA 70 TO 80..NDIO TUNAWEZA KUELEWA KISWAHILI HICHO CHA MAISHA MABOVU...AU LUPANGO..MAZABE..SHULE, JUMBA KUBWA...KULALA BURE KULA BURE...
Kabatini
Mmeamus mtulie makabirini
Du sio poa
Unaongea sana 🤣🤣🤣🤣
Punguza pwaguzi ndg mtangazaji