EXCLUSIVE: MTANZANIA ALIYETEKWA NA MAGAIDI NIGERIA ASIMULIA SIKU 21 ZA MATESO MSITUNI, "NUSU KIFO"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 206

  • @adrianotobias6287
    @adrianotobias6287 Год назад +10

    Nimependa sana kusikia ukuu na ukubwa wa Sala za ukimya i.e meditation prayers. Mungu akulinde utangaze ukuu wake.

  • @irenesalema880
    @irenesalema880 Год назад +3

    Poleni sana kwa changamoto hakika Mungu ni mkuu kwa watumishi wake

  • @Globalpeace123
    @Globalpeace123 Год назад +7

    Tunamshukuru sana Mungu
    Na tunaomba Mungu azidi kuwalinda daima.

  • @rhodalucas5187
    @rhodalucas5187 Год назад +11

    Hongera sana Chambu kwa kurudi salama, sifa na utukufu kwa Mungu 🙏

  • @anatoriakyando3961
    @anatoriakyando3961 Год назад +7

    Mungu ni mwema sana

  • @gddtechnicians2411
    @gddtechnicians2411 Год назад +2

    Mungu ni Mkuu

  • @faustinancheye7595
    @faustinancheye7595 Год назад +3

    Hakika Mungu yu Mwema

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Год назад +3

    Kweli nyinyi mna nadhiri ya utume, ndiyo maana, Mwenyezi Mungu amewaokoa.Mungu ni mwema siku zote ukimtegemea.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Год назад +3

    Mwenyezi Mungu ni mwema sana. Poleni sana

  • @suzypaul4559
    @suzypaul4559 Год назад +3

    Mungu Atabaki kuwa Mungu siku zote🙏

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад +1

    Pole saana Mungu aendelee Kukutumia

  • @eustermayuni5500
    @eustermayuni5500 Год назад +4

    Tunamshukuru mungu kwakuku Linda🙏

  • @lizzy2423
    @lizzy2423 Год назад +4

    Glory to God, Ashukuriwe Mungu Kwa Kuwalinda. Na Mmeachiwa na Mateso ya Watekaji

  • @InnocentWillbald-du9en
    @InnocentWillbald-du9en Год назад +7

    Proud to be a catholic ..always and 4ever

    • @YusuphHugugu
      @YusuphHugugu Год назад +1

      Catholic wote duniani ni mbwaa

    • @InnocentWillbald-du9en
      @InnocentWillbald-du9en Год назад +2

      @@YusuphHugugu karibu kitimoto mzee najua unakula

    • @evanslawrence7764
      @evanslawrence7764 Год назад

      Recant it and get saved lest you die a Siner and wind up in HELL

    • @kasigagervas9491
      @kasigagervas9491 11 месяцев назад

      Catholicism and other denominations are Ant-Christs!
      Study Revelation 17 and 18 chapters

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Год назад +1

    Pole kaka

  • @maresianantibakazi-yh4qd
    @maresianantibakazi-yh4qd Год назад +4

    Pole sana.mungu ni mwema

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Год назад

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @IsraelKisaila
    @IsraelKisaila Год назад +3

    Ashukuriwe Mungu

  • @nicksonrichard1977
    @nicksonrichard1977 Год назад +1

    Amina God is good

  • @leahpeter5813
    @leahpeter5813 Год назад +6

    Glory to God forever

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 Год назад +9

    Hallelujah!!🎉

  • @PriscusiAugustino
    @PriscusiAugustino Год назад +2

    Poleni Sana watumishi wa mungu

  • @innocentcareen818
    @innocentcareen818 Год назад +2

    Tunamshukuru Mungu

  • @annaelimallya4942
    @annaelimallya4942 Год назад +3

    Ashukuriwe Mungu anayewalinda watumishi wake

  • @marthadaffi6171
    @marthadaffi6171 Год назад +3

    Mungu muweza

  • @annamwakibinga527
    @annamwakibinga527 Год назад +4

    Glory to God

  • @officialdaynesskavishe4143
    @officialdaynesskavishe4143 Год назад +2

    Ameeen Mungu ni mwema zaidi ya mwema.akisema ndio hakuna wakupinga.

  • @VenelandaKabura-bc8dk
    @VenelandaKabura-bc8dk Год назад +2

    Mungu ni mwema na huyo ni ukumbusho wa Daniel na najua utaogopeshwa na mtu yeyote mungu yu pamoja nanyi.

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Год назад +2

    Mungu azidi kuwa nawe

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Год назад

    Pole sana father

  • @Mr5G_Og
    @Mr5G_Og Год назад +1

    Pole sana

  • @jerrybasaya5377
    @jerrybasaya5377 Год назад +1

    Jamaa ana lafudhi heavy kabisa ya Kiha 😅

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад +1

    Jaman mtihan mkubwa uliwakuta,lakin mungu ni mkubwa

  • @aloyceakilumanga2649
    @aloyceakilumanga2649 Год назад +1

    Mungu ni mwema Kila wakati

  • @gundoanimal6750
    @gundoanimal6750 4 месяца назад

    Classmate Rungwe Boys High School..CBG 2015-2017

  • @KabijSaib
    @KabijSaib Год назад

    Pole kwa mtihan

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Год назад +2

    God is good all the time is good

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 Год назад +4

    Asant mungu ni mwem San tumshukul mungu umelud salama

  • @rosemnzava4696
    @rosemnzava4696 Год назад +1

    Pole sana mtoto wa Mungu aliyehai. Awatetea

    • @YusuphHugugu
      @YusuphHugugu Год назад +1

      Mungu hana mtoto kuwa makini na kinywa chako

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Год назад

    Nimekwelewa sana Mzee

  • @fatmaallyabdul1732
    @fatmaallyabdul1732 Год назад +8

    Glory be to God 🙏

  • @frankmganda2424
    @frankmganda2424 Год назад +3

    Mungu ni mkubwa sana

  • @aidanMapunda
    @aidanMapunda Год назад +1

    Mtangazajiii mzuriii mnoooo sautiii inavutaa

  • @Glorydavid248
    @Glorydavid248 11 месяцев назад

    Kweli huyu ananuru ya uso kabisa itakuwa ni mtu wa mungu kabisa

  • @HabibuUrasa
    @HabibuUrasa Год назад +1

    acheni kuficha hakuna maombi hapo mmetoa hela kwa watekaji milioni mia tatu

  • @suzanampanda6242
    @suzanampanda6242 Год назад +4

    Mungu ni mwema kwa Watumishi wake 🙏🙏

  • @ProjestusProsper
    @ProjestusProsper Год назад +1

    God is Good

  • @lilianpuka218
    @lilianpuka218 Год назад +2

    Tumtangulize mungu Kwa kila jambo mangu yote yata pita hakika mungu ni mwema

  • @BahatiMgaza
    @BahatiMgaza Год назад

    Pole baba huo ni mkono was mungu

  • @michaellaurent9986
    @michaellaurent9986 Год назад +1

    Gloly to be to God🙏🙏

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Год назад +4

    Samahan kwa ntakae mkwaza naomba nicheke😂😂😂😂😂😂 kidogo kwaiyo bro akavaa helmet aliviona virungu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад +1

    Kila aliyemkashifu Huyu M2mishi,nakuomba ee Mungu ushughulike nao,Nakuachie Mungu.

  • @danielmlanda2546
    @danielmlanda2546 Год назад

    Religious intelligence

  • @rodasanga1312
    @rodasanga1312 Год назад

    Haleluya

  • @lazaronyondwa1256
    @lazaronyondwa1256 Год назад +2

    RUNGWE BOYS NA UKAWA MTUMISHI KWELI WW ULIKUWA NA WITO

  • @fedaihela759
    @fedaihela759 Год назад +1

    Mungu ni mwema, pole sana.

  • @esromkanubo815
    @esromkanubo815 Год назад +1

    Mungu nimwema awalinde

  • @gilliardgodfriend5745
    @gilliardgodfriend5745 Год назад +1

    Kwanini unasinzia😊😅😅😅 POLENI SANA NDUGU

  • @BahatiMgaza
    @BahatiMgaza Год назад

    Pole baba umeona moon way mungu

  • @HurudumuSamwelimwinamila-uq7qf

    Daah

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 Год назад +2

    Pole sana mtumishi😭🙏🙏🙏

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Год назад

    WAO NIMESOMA KABANGA NURSING AND MIDWIFE

  • @RoseMayige-gn9qb
    @RoseMayige-gn9qb Год назад +6

    Yesu aliwaacha hai ili mmupokee awe Bwana na Mwokozi ktk maisha yenu.

    • @anntoo806
      @anntoo806 Год назад +1

      Your faithful saved you 🙏

    • @anntoo806
      @anntoo806 Год назад

      Your faithful saved you 🙏

  • @msowamhokole7714
    @msowamhokole7714 Год назад

    We sio mtanzania

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Год назад

    Vip mlikua mnakula nini kunywa

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 Год назад

    Kweli what wabishi yani unamgomea mpk mtekaji

  • @madinajamada9180
    @madinajamada9180 Год назад

    Myngu muweza

  • @SudiSalum-b2k
    @SudiSalum-b2k Год назад

    Mungu nimwema sana kamnusulu lakini uyu si raiya wa tz na asa ukisikia rafudhi za matamshi yake ni myarwanda na wala si mrundi

  • @mbwanakiting7180
    @mbwanakiting7180 Год назад

    Kuna maswali mengine siyo ya msingi...mwache aongee

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Год назад +1

    KWELI RC WAMEJIPANGA DUUUH

  • @hopesesilius6104
    @hopesesilius6104 Год назад

    Pole sn

  • @mrh2812
    @mrh2812 Год назад +1

    Anaongea kama mwizi kaona polisi😅😅

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Год назад

    Hii😢

  • @titonkwabi7430
    @titonkwabi7430 Год назад +1

    Mungu ni mwema kila wakati

  • @benkassian2187
    @benkassian2187 Год назад +1

    Mungu ni mwema 🙏🙏

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 Год назад +1

    MUNGU MWEMA SIKU ZOTE , ASANTE SANA MUNGU KWA WEMA WAKO SIKU ZOTE KWA WANAO

  • @easternyerembe7271
    @easternyerembe7271 Год назад +7

    Great is God Almighty!

  • @AbuuMtiro-ie6yq
    @AbuuMtiro-ie6yq Год назад

    Daimondi

  • @liverpoolvsrangers2273
    @liverpoolvsrangers2273 Год назад

    Uyuu jamaa nimesoma nae pale Rungwe boys alikuwa mtulivu sana

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Год назад +1

    Unachomuuliza sicho anachokijibuu

    • @likimaro6
      @likimaro6 Год назад

      Ana maana fulani nadhani

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 Год назад

    Rafudhi ya Kigoma hiyo

  • @danielbngosha5104
    @danielbngosha5104 Год назад

    Ati jamaa anasema siraha zao ni nzuri😂😂😂😂

  • @muttavenance1722
    @muttavenance1722 Год назад

    Helmet yako ulirudi nayo?

  • @reginarudovick3401
    @reginarudovick3401 Год назад +1

    Kama hamuelewi fungeni midomo yenu na ambayo haiwahusu piteni left mnamwombea mwenzenu angeuliwa ingekua ni wewe au mtoto wako? Hamisi ni muislam roho zenu tunaziju na hatutakufa Bali tutaishi Kwa jina la yesu.

  • @nickodemsimchimba594
    @nickodemsimchimba594 Год назад +1

    anampenda mungu wake sana ila kujieleza hajui kabisa,

  • @valentinamichael4283
    @valentinamichael4283 Год назад

    Albert sisima wewe ulitakaje

  • @kelvinshoo1828
    @kelvinshoo1828 Год назад

    1st

  • @KainushiMaarufu
    @KainushiMaarufu Год назад

    MUNGU MKUBWA TUZIDI KUMUABUDU 40:45

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Год назад +1

    Anaongea kamq brother k mobimba

  • @Rayflix44
    @Rayflix44 Год назад

    Halooo

  • @maresianantibakazi-yh4qd
    @maresianantibakazi-yh4qd Год назад +2

    Alishasahau kiha

  • @albertsisima9038
    @albertsisima9038 Год назад +3

    MI NA MASHAKA NA URAIA WAKE

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +1

      Hata mie nina mashaka na uraia wako..

    • @SarahMpwehuka
      @SarahMpwehuka Год назад

      Kivip

    • @machakuroger7068
      @machakuroger7068 Год назад

      Sio MTZ huyo,

    • @pembetv122
      @pembetv122 Год назад +1

      Watu wa kigoma wanaongea hivyo... Tembea ujue acha kuropoka kama kuma

    • @kelvinmsangi7677
      @kelvinmsangi7677 Год назад +2

      Mm nimesoma nae Rungwe high school Mbeya combination ya CBG ni mtu wa Kigoma na hiyo ni rafudhi ya Kigoma

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie4019 Год назад

    MUNGU ni mwema

  • @bakarbakarali-cw3gc
    @bakarbakarali-cw3gc Год назад +1

    Macho yaks ni zahiri uongo wa kutunga

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Год назад +1

      Kafie uko na dini yako, povu linakutoka kama taahira kwa udini

    • @Aliceurio
      @Aliceurio Год назад +1

      Ajatunga ni story ya kweli mm mwenyewe nipo Nigeria na hii story watanzania ambao Wapo Nigeria walipewa izi ripoti.

    • @marcynhumbi3534
      @marcynhumbi3534 Год назад +1

      Atunge uongo ili iweje kimfano,inaonekana macho yako ya kiongo umeanza kuyafananisha na ya wengine

    • @gtgmediaproduction764
      @gtgmediaproduction764 Год назад

      Umbwa wewe udini unakusumbua yaani maisilam nimamtu mabaya yamejaa roho mbaya ya chuki nandiyo yaliyo wateja Hawa pumbavu zenu kabisa mnaroho mbaya nawachukia saana kwa TABIA zenu

    • @Officalnaph
      @Officalnaph Год назад

      nahisi kuna jambo hapa. sidhani kama kuna kutekwa hapa.

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Год назад

    Rungwe iko tukuyu mkoani mbeya siyo iko jijini mbeya

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Год назад +1

      hujui ata Tanzanian inamajiji mangap pole sio kosa lako sawa nikusaidie siku nyingine usidhalilike sawa tanzania ilikua na majiji matatu magufuli akaongeza jiji la nne mwanzo ilikua dar es salaam arusha na mbeya sasa hivi dodoma pia ni jiji chukua hio sawa

    • @rosemarychisanga6242
      @rosemarychisanga6242 Год назад

      @@sifatiiman Mwanza je???

  • @inongee1141
    @inongee1141 Год назад +1

    Punguza hizo. Eee eee eee eee eeee eeeee zina boa

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Год назад +1

      Maskini ndo ongea yake😂

    • @csato9415
      @csato9415 Год назад +2

      Acha kusikiliza... maana ndio imesharekodiwa hivyo.

    • @bakariamour1024
      @bakariamour1024 Год назад

      Sio apunguze eee uyu si mtanzania kabambikwa ,mtanzania gani anaeongea kama ivi uyu mburundi kwa asilimia 95 ,

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Год назад

      @@bakariamour1024 Ila academic background yake Ni hapa hapa bongo, Ila English na kiswahili chake c Cha kibongo, pia nmeshtuka alivyoijua hiyo lugha nyingine ya Nigerians. Mom kufahamu Wana makabila mengi huko. Nmejiuliza pia. Hats kind anavyojibu, c kibongobongo

    • @Mr5G_Og
      @Mr5G_Og Год назад

      Acha kusikiliza

  • @RastaSuma
    @RastaSuma Год назад +1

    We si mkweli ni muongo na uongo wa kutunga hivyo atawadanganya walio wajinga ambao hawajawahi kusafiri ,pili huyo si raia wa tanzania kuzaliwa.

    • @Maxpaul-oi8pw
      @Maxpaul-oi8pw Год назад

      Acha kuropoka thibitisha kauli yako

    • @godfreychaba9673
      @godfreychaba9673 Год назад

      Acha kuropoka , nyoko zako , huna faida kwanza hapa duniani mpuuzi ww,

    • @YoshuaSeverino
      @YoshuaSeverino Год назад

      Uongo gani? Siku yakikufika ndo utaelewa, ni kitu gani kinasababisha ushukie uraia wake? Nyie mlishatozea watu was Kigoma

    • @dicksonakyoo8222
      @dicksonakyoo8222 Год назад

      Elezea basi wewe unaejua ukweli,mavi ya mama ako

    • @RastaSuma
      @RastaSuma Год назад

      @@dicksonakyoo8222 kiswahili fasaa ukimtukana mama yeyote ni sawa mama yako ,je mama yako anakosa gani? umtukane?

  • @anthony_genge
    @anthony_genge Год назад +1

    Mungu ni mwema

  • @navioma4882
    @navioma4882 Год назад

    Pole sana

  • @lazaronyondwa1256
    @lazaronyondwa1256 Год назад +2

    RUNGWE BOYS NA UKAWA MTUMISHI KWELI WW ULIKUWA NA WITO

    • @dismasmbwilo2258
      @dismasmbwilo2258 10 месяцев назад

      Toka o level alikua na wito tulikuanae shule moja

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Год назад +3

    Pole sana ndugu.. wenye mapenzi mema tulisikitika na tulikuombea