JAMBAZI SUGU LAFUNGUKA/ TULIFUNGWA NA TUNDU LISSU/ALINIKATAA/ BABU SEYA NA WANAWE!/ UKATILI GEREZANI
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- --
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
⚫️ Website: www.dar24.com
⚫️ Instagram: @Dar24news
⚫️ Facebook: @dar24
⚫️ Twitter: @Dar24News
#ukonga #jela #mahakamani
kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una mkasa au simulizi wasiliana nasi kupitia simu namba..#0653127761
kaka wakati unafanya kipindi hakikisha sauti inakuwa inayosikika vizuri
I'll l look see ll
@@abdulnasrikhatibu7568❤❤❤❤q
Maongezi mengi sana kupoteza muda mwingi.
Only in Tanzania, Nchi Nyingine Ujigambe Ulipiga M2 Mapanga Ukafanya Nyanganyiwa wa silaha LEO wafuatilie Wakute ni Kweli Hilo tukio lilitokea, Utakamatwa. Na Hiyo itachukuliwa kama Comfession to a Crime
Hatari sana maisha ya ujambazi sio tuishi kwa utaratibu na kumuomba mungu aepushe mambo haya.
Dupa mdupange nikiaza kukusikiliza huwa najipanga mdogo wangu chechemua Salut kwako story mbona kama hunailushalusha bregedia 🇹🇿🇬🇷😁👍🙋♂️✊✊✊✊
Huyo anayejiita mwana kondoo kama hayo ndiyo aliyoyafanya basi atubie sana kwa mungu
Huyu mpuuzi kweli kweli, yaani hajutii aliuowafanyia wengine, ila anajutia aliuofanyiwa. Mpuuziiiiiiii
11:53 miaka ya 90 alikua anakaba wahindi anawachukulia simu na ela. 😂😂😂😂 muda mchache mbele anakwambia simu amna simu amna.
Nimewaza kwa sauti, miaka ya 90 cm hazikuwepo😢
Huyu Mpumbavu labda Ukute stori za Uwongo, Lakini kama Ni Kweli anazungumzia Kumpiga Mtu mapanga Bila hata Kuonyesha Majuitio, He need to Be Arrested!
This is a confession but without strong evidence it's his words against state and that's period
Thanks
Kwani huko mbongo hakuna machine ya X ray. ? Inaonekana bodo tupo ktk karne ya 18
Congratulations bro Dumpa
Brigedia analia
NAWASHAURU TU POLISI LABDA HUYU MJINGA AWE ANATUNGA, KAMA HAYA MATUKIO KWELI YALITOKEA. MKAMATENI HARAKA!
Heri yako mwenye Akili ombea wenzako mema ,maisha ni siri hujui kesho yako
Huyu Jamaa ana siri nzito sana sana.
Ndani ya mbanga mpya
Jamaa sio mzuri kwenye kusimulia... anarukaruka sana na kuchanganya matukio... ila story yake ni nzuri sana... ila baharia balozi alitisha sana ktk kusimulia
Story ya kukata watu mapanga ndio unaiona ni nzuri, hii ni story ya kusikitisha hivi ingekuwa wewe umepigwa mapanga au ndugu yako ungeona hiyo story ni nzuri
Mtangazaji unaongea Sana, una maswali ya kijinga unamkatisha katisha Sana unaboaaaaaaa
Mtangazaji unaongea sana humpi muda wa kutosha kila neno unatia neno lako ulisomea wapi
Wanaiga wicked ya Kenya lakini haibambi ki viile
Kwani huyu alifikiri ataotesha mahindi avune maharage?huo ni mshahara wa maasi yake
Mtangazaji usiongee sana tumsikilize huyu muhusika
Msela wakizamani 😂😂😂Wengi wamekufa keko mwanga na jangwani 😂😂
Mbona humpi nafasi ya kueleza ulimuuliza shule aliyosoma ukarukia ukamwambia alifikaje kwa hiyo hatujui alisoma wapi na ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kama ulivyikuwa umemuuliza awali
Huja fungwa bure bwege we...
Umetesa watu sana ndo umelipa mungu alikuwa amekuwekea time yako ya kulipa ulivo watesa watu na kuiba mali zao pumbavu usilalamike umeonewa
Hujafa ujaumbiika muombee kher tu maan ata ww apo sioo mkamilifu
@@panafricanmawesa2555 kwani ujambazi ni ugonjwa
😂😂😂
Tulikuwa tunawachukulia simu hela kwenye dakika 11 46 mpk 11 47 alafu mbele tena unasema mlikuwa hamchukuwi simu kipindi hicho simu hakuna kwenye dakia 12 35 ss tunashindwa kuelewa hizi story za kutunga au mtuweke sawa hapo tunatumia MB zenye hela ndani
Nafikiri alikuwa anaelezea matukio yote aliyoyafanya kuanzia kabla na hata baada ya Simu kuingia miaka ya 2000 mwanzoni, Mara ya Pili alizungumzia matukio yake Specific kabla ya simu kuingia....Huyu bwana amefanya matukio kabla na baada ya simu kuingia
@@mwaka43 hapo umetafakali vizuri
Sasa nini kama mlifungwa? Upumbavu wenu uliwaponza na utazidi kuwaponza kama hamkujifunza gerezani.!
Mbaga huwezi kuhoji vizuri na story zingine zinarukwa rukwa tu hivyo story hainogi kabisa. Ni kama vile umbea fulani hivi
Mfano pale mke alipojifungua,Kule hosipitali
yaaan jamaa analalamika kama alikua mtu...halafu ana bahati hajauliwa sabab enzi zake walikua wanaua balaaa
Balozi bado ni msimuliaji bora kwa 2023 labda atokee mwengine
Mkishazeeka nguvu zimeisha ndo mnajifanya watakatifu..
Mtangazaji fara anataka kuongea linamzuia iri tuje tuangalie 2
Huyu ni kichaa kabisa
Huyu anaonekana na anavyoongea hajatubu...yaani aliokuwa anafanya kwa wengine kwake ni sawa tu,,,,,pumbavu zake,,,angefungwa life
Punguza maelezo kaka unakula mda wa watu kujifunza kipindi ni kizuri ongera
Bado sana huyo jamaa
HAYO NDO MAMBO,,TULISHAMCHOKA YULE MWANENU
We acha bwana Balozi ni next Level
pamoja saana dupa mdupange
huyu mjinga bado analia eti alifungwa bure. ye haoni maisha ya watu alivyoyadhuru.
Mtangazaji unaongea sana, punguza maneno
Huyu,, jamaa mwonekano tu inaonyesha bado hatabiriki,, tundu lisu anaangaliaga haki yako imekaa kwenye mstari vinginevyo Mungu alihusika jamaa apate mafunzo gerezan maana uluonea watu sana.
😂😂😂
Punguzeni basi music basi Daaaahhh
Mwaka 1991 alichukua simu baada ya muda mfupi anasema simu zilikua hamna mwongo
Umekwepesha vitu vingi sana hi story ina ukweli asilimia ndogo mno umekua muongo kwa kifupi.
Katoe story yako ya ukweli
Kuna kitu Anatafuta huyu
Nazima data mtangazaji unaboa
Host jitahidi ufupishe maelezo unakera
Mtangazaji acha mtu aflow too much interuption
1991 SIMU GANI ULIKUA UNAIBA WEEWE,ACHA UONGO
Ndugu mtangaj utangulizi t nusu saa 😅
Anaongea sana aisee.😂
Wanarudiaga hao
Duu hii ya leo kali
Hiiii nilikuwa naisubr kwa hamu dupaaaaah
Maelezo meng
Alitakiwa avuliwe nguo zote hadharani kisha aingizwe kitu mkunduni
We ni mkamilifu sana au sio
@@panafricanmawesa2555 wewe huwajuwi hao, jambazi ninkama nyoka hata ukimtoa meno bado ana madhara, huyo jamaa na shetani tofauti yao shetani haonekani yeye anaonekana.
Anajisifu kukata watu mapanga alafu unaniuliza eti mimi kaka ni mkamilifu au jambazi mwenzio.
Story ya uongo hiyo
Mwaka 1991 simu zilikuwa za aina gani mhhh
@@KatulebeJaphet-jr4br Philips, yalikuwa yanaitwa mche wa sabuni sababu yalikuwa makubwa
@@nantaembanusurupia5674 lakni hyo story ni ya mchongo
@@KatulebeJaphet-jr4br 🤣🤣 acha yapite kama mengine😂
@@KatulebeJaphet-jr4br unauhakika na unalolisem eb leta ushahid wowot ule
😅kaa nae mbari atakupiga ndosi huyo bado fuz imekata
Kaka story hii inaendelea lini tena
Hujatenda kosa mpumbavu ww wakat ulkuwa unakaba watu yani watu wa HV ningekuwa askar ukiletwa kituoni n kpigwa t sindano ya sumu
Usihukum kabla hujahukumiwa 🙏🙏
@@jovintosssi3287 yy mwnyw s kasema alikuwa anakaba watu anawakata mapanga sasa unataka tuseme nn pita HV mzeee
Stor za kiwak
dhuruma haidum
Ww mwandishi unaongea Sana
H!
Mwongo uyo
Mkweli wewe basi
Huyu Jamaa Kama Muongo Hivi🎃🎃
Hata wewe jina tu lako ni uwongo na confused haujui ni mnaija aw mbongo
Mwongo jamaa aeleweki
unajipa jina brigedia ushukuru Mungu wenzako wote wako kaburini
😂😂😂
Bado muhuni tu
Unaongea sana jifunze kumpa mtu muda aseme
Inchiiiii ihiiiii bwanaaa
Mtangazaji hajui kuhoji
Jambazi huyo angefungwa maisha alimpiga babayake mdogo kisu sema kama katubu niborayake a anisjfu kua jambazinamtakia maishayake mapya...
Hakuna Kutubu, Kutubu Kwa Mungu, ANATAKIWA AKAMATWE, WAFUATILIE KAMA KWELI HAYO MATUKIO YALITOKEA, ICHUKULIWE KUWA AMEKIRI UHALIFU. NITAISHANGAA SANA SERIKALI KAMA HUYU MBWA HATAKAMATWA
sasa unadhan angekuwa anaendelea na hayo matukio angejitokeza kushare mapito yake kwetu au angeendelea kujificha?