JAMBAZI SUGU LAFUNGUKA/ TULIFUNGWA NA TUNDU LISSU/ALINIKATAA/ BABU SEYA NA WANAWE!/ UKATILI GEREZANI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali.
    JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786
    ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com
    ⚫️ Website: www.dar24.com
    ⚫️ Instagram: @Dar24news
    ⚫️ Facebook: @dar24
    ⚫️ Twitter: @Dar24News
    #ukonga #jela #mahakamani

Комментарии • 105

  • @dar24media
    @dar24media  Год назад +7

    kipindi hiki kinaruka kila siku ya jumamosi na jumatano saa nne kamili asubuhi, kama una mkasa au simulizi wasiliana nasi kupitia simu namba..#0653127761

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад +4

    Only in Tanzania, Nchi Nyingine Ujigambe Ulipiga M2 Mapanga Ukafanya Nyanganyiwa wa silaha LEO wafuatilie Wakute ni Kweli Hilo tukio lilitokea, Utakamatwa. Na Hiyo itachukuliwa kama Comfession to a Crime

  • @florianmodest6215
    @florianmodest6215 Год назад

    Hatari sana maisha ya ujambazi sio tuishi kwa utaratibu na kumuomba mungu aepushe mambo haya.

  • @kilogreekachananawatuwasio4054

    Dupa mdupange nikiaza kukusikiliza huwa najipanga mdogo wangu chechemua Salut kwako story mbona kama hunailushalusha bregedia 🇹🇿🇬🇷😁👍🙋‍♂️✊✊✊✊

  • @milnertv8079
    @milnertv8079 Год назад +1

    Huyo anayejiita mwana kondoo kama hayo ndiyo aliyoyafanya basi atubie sana kwa mungu

  • @biblicalchristianassemblies
    @biblicalchristianassemblies Год назад +1

    Huyu mpuuzi kweli kweli, yaani hajutii aliuowafanyia wengine, ila anajutia aliuofanyiwa. Mpuuziiiiiiii

  • @christopherrobert1948
    @christopherrobert1948 Год назад +1

    11:53 miaka ya 90 alikua anakaba wahindi anawachukulia simu na ela. 😂😂😂😂 muda mchache mbele anakwambia simu amna simu amna.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад

    Huyu Mpumbavu labda Ukute stori za Uwongo, Lakini kama Ni Kweli anazungumzia Kumpiga Mtu mapanga Bila hata Kuonyesha Majuitio, He need to Be Arrested!

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Год назад

      This is a confession but without strong evidence it's his words against state and that's period

  • @ukhtyzainab7254
    @ukhtyzainab7254 Год назад

    Thanks

  • @SaSa-n2t1w
    @SaSa-n2t1w Год назад +1

    Kwani huko mbongo hakuna machine ya X ray. ? Inaonekana bodo tupo ktk karne ya 18

  • @nikyhassan9394
    @nikyhassan9394 Год назад +1

    Congratulations bro Dumpa

  • @ayoubmwanawima1820
    @ayoubmwanawima1820 Год назад +2

    Brigedia analia

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Год назад

    NAWASHAURU TU POLISI LABDA HUYU MJINGA AWE ANATUNGA, KAMA HAYA MATUKIO KWELI YALITOKEA. MKAMATENI HARAKA!

    • @panafricanmawesa2555
      @panafricanmawesa2555 Год назад

      Heri yako mwenye Akili ombea wenzako mema ,maisha ni siri hujui kesho yako

  • @bensonjohn9633
    @bensonjohn9633 Год назад +1

    Huyu Jamaa ana siri nzito sana sana.

  • @kingkendrickk
    @kingkendrickk Год назад +1

    Ndani ya mbanga mpya

  • @abdulswamdenyambuka1902
    @abdulswamdenyambuka1902 Год назад +1

    Jamaa sio mzuri kwenye kusimulia... anarukaruka sana na kuchanganya matukio... ila story yake ni nzuri sana... ila baharia balozi alitisha sana ktk kusimulia

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Год назад

      Story ya kukata watu mapanga ndio unaiona ni nzuri, hii ni story ya kusikitisha hivi ingekuwa wewe umepigwa mapanga au ndugu yako ungeona hiyo story ni nzuri

  • @nururaymond5
    @nururaymond5 Год назад +7

    Mtangazaji unaongea Sana, una maswali ya kijinga unamkatisha katisha Sana unaboaaaaaaa

  • @emmamatemu8225
    @emmamatemu8225 Год назад

    Mtangazaji unaongea sana humpi muda wa kutosha kila neno unatia neno lako ulisomea wapi

  • @saimonjohnsumley9198
    @saimonjohnsumley9198 Год назад

    Wanaiga wicked ya Kenya lakini haibambi ki viile

  • @ManaseJubilate-kk2gz
    @ManaseJubilate-kk2gz Год назад +1

    Kwani huyu alifikiri ataotesha mahindi avune maharage?huo ni mshahara wa maasi yake

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 Год назад

    Mtangazaji usiongee sana tumsikilize huyu muhusika

  • @josephkavindi3666
    @josephkavindi3666 Год назад

    Msela wakizamani 😂😂😂Wengi wamekufa keko mwanga na jangwani 😂😂

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Год назад

    Mbona humpi nafasi ya kueleza ulimuuliza shule aliyosoma ukarukia ukamwambia alifikaje kwa hiyo hatujui alisoma wapi na ni mtoto wa ngapi kuzaliwa kama ulivyikuwa umemuuliza awali

  • @humoudseyd7310
    @humoudseyd7310 Год назад +2

    Huja fungwa bure bwege we...
    Umetesa watu sana ndo umelipa mungu alikuwa amekuwekea time yako ya kulipa ulivo watesa watu na kuiba mali zao pumbavu usilalamike umeonewa

  • @hansmsangi9828
    @hansmsangi9828 Год назад +1

    Tulikuwa tunawachukulia simu hela kwenye dakika 11 46 mpk 11 47 alafu mbele tena unasema mlikuwa hamchukuwi simu kipindi hicho simu hakuna kwenye dakia 12 35 ss tunashindwa kuelewa hizi story za kutunga au mtuweke sawa hapo tunatumia MB zenye hela ndani

    • @mwaka43
      @mwaka43 Год назад

      Nafikiri alikuwa anaelezea matukio yote aliyoyafanya kuanzia kabla na hata baada ya Simu kuingia miaka ya 2000 mwanzoni, Mara ya Pili alizungumzia matukio yake Specific kabla ya simu kuingia....Huyu bwana amefanya matukio kabla na baada ya simu kuingia

    • @martinmuthii1900
      @martinmuthii1900 Год назад

      @@mwaka43 hapo umetafakali vizuri

  • @machaggechacha243
    @machaggechacha243 Год назад

    Sasa nini kama mlifungwa? Upumbavu wenu uliwaponza na utazidi kuwaponza kama hamkujifunza gerezani.!

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Год назад +1

    Mbaga huwezi kuhoji vizuri na story zingine zinarukwa rukwa tu hivyo story hainogi kabisa. Ni kama vile umbea fulani hivi

  • @ibraton4071
    @ibraton4071 Год назад

    yaaan jamaa analalamika kama alikua mtu...halafu ana bahati hajauliwa sabab enzi zake walikua wanaua balaaa

  • @ibnmoses979
    @ibnmoses979 Год назад

    Balozi bado ni msimuliaji bora kwa 2023 labda atokee mwengine

  • @byabatotv3283
    @byabatotv3283 Год назад

    Mkishazeeka nguvu zimeisha ndo mnajifanya watakatifu..

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Год назад +1

    Mtangazaji fara anataka kuongea linamzuia iri tuje tuangalie 2

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад +1

    Huyu ni kichaa kabisa

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Год назад

    Huyu anaonekana na anavyoongea hajatubu...yaani aliokuwa anafanya kwa wengine kwake ni sawa tu,,,,,pumbavu zake,,,angefungwa life

  • @ramadhanmido3679
    @ramadhanmido3679 Год назад

    Punguza maelezo kaka unakula mda wa watu kujifunza kipindi ni kizuri ongera

  • @eliasrobert6255
    @eliasrobert6255 10 месяцев назад

    Bado sana huyo jamaa

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Год назад +1

    HAYO NDO MAMBO,,TULISHAMCHOKA YULE MWANENU

    • @ibnmoses979
      @ibnmoses979 Год назад

      We acha bwana Balozi ni next Level

  • @innocentrichard9316
    @innocentrichard9316 Год назад +2

    pamoja saana dupa mdupange

  • @muokiones2761
    @muokiones2761 Год назад

    huyu mjinga bado analia eti alifungwa bure. ye haoni maisha ya watu alivyoyadhuru.

  • @hamismahamdu2334
    @hamismahamdu2334 Год назад

    Mtangazaji unaongea sana, punguza maneno

  • @chezariboy
    @chezariboy Год назад

    Huyu,, jamaa mwonekano tu inaonyesha bado hatabiriki,, tundu lisu anaangaliaga haki yako imekaa kwenye mstari vinginevyo Mungu alihusika jamaa apate mafunzo gerezan maana uluonea watu sana.

  • @bensonmwita-vv7pb
    @bensonmwita-vv7pb Год назад

    Punguzeni basi music basi Daaaahhh

  • @MilamboMarco
    @MilamboMarco Год назад

    Mwaka 1991 alichukua simu baada ya muda mfupi anasema simu zilikua hamna mwongo

  • @yusufulimo5737
    @yusufulimo5737 Год назад

    Umekwepesha vitu vingi sana hi story ina ukweli asilimia ndogo mno umekua muongo kwa kifupi.

  • @silvesterrichardhelenya1319
    @silvesterrichardhelenya1319 Год назад

    Nazima data mtangazaji unaboa

  • @jumahalifamkindi2175
    @jumahalifamkindi2175 Год назад

    Host jitahidi ufupishe maelezo unakera

  • @saimonjohnsumley9198
    @saimonjohnsumley9198 Год назад

    Mtangazaji acha mtu aflow too much interuption

  • @LilianKowero-c3p
    @LilianKowero-c3p Год назад

    1991 SIMU GANI ULIKUA UNAIBA WEEWE,ACHA UONGO

  • @hashimrashid6380
    @hashimrashid6380 Год назад +1

    Ndugu mtangaj utangulizi t nusu saa 😅

  • @shamsaelbeity8250
    @shamsaelbeity8250 Год назад

    Wanarudiaga hao

  • @sirajbakari104
    @sirajbakari104 Год назад

    Duu hii ya leo kali

  • @Yussuf1996-ew5gj
    @Yussuf1996-ew5gj Год назад +2

    Hiiii nilikuwa naisubr kwa hamu dupaaaaah

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Год назад

    Maelezo meng

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Год назад

    Alitakiwa avuliwe nguo zote hadharani kisha aingizwe kitu mkunduni

    • @panafricanmawesa2555
      @panafricanmawesa2555 Год назад

      We ni mkamilifu sana au sio

    • @saidsuleiman1753
      @saidsuleiman1753 Год назад

      @@panafricanmawesa2555 wewe huwajuwi hao, jambazi ninkama nyoka hata ukimtoa meno bado ana madhara, huyo jamaa na shetani tofauti yao shetani haonekani yeye anaonekana.
      Anajisifu kukata watu mapanga alafu unaniuliza eti mimi kaka ni mkamilifu au jambazi mwenzio.

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Год назад +1

    Story ya uongo hiyo

    • @KatulebeJaphet-jr4br
      @KatulebeJaphet-jr4br Год назад

      Mwaka 1991 simu zilikuwa za aina gani mhhh

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Год назад +1

      ​@@KatulebeJaphet-jr4br Philips, yalikuwa yanaitwa mche wa sabuni sababu yalikuwa makubwa

    • @KatulebeJaphet-jr4br
      @KatulebeJaphet-jr4br Год назад

      @@nantaembanusurupia5674 lakni hyo story ni ya mchongo

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Год назад

      @@KatulebeJaphet-jr4br 🤣🤣 acha yapite kama mengine😂

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Год назад

      ​@@KatulebeJaphet-jr4br unauhakika na unalolisem eb leta ushahid wowot ule

  • @zenanassor7118
    @zenanassor7118 Год назад

    😅kaa nae mbari atakupiga ndosi huyo bado fuz imekata

  • @RashidIbrahim-m4s
    @RashidIbrahim-m4s Год назад +1

    Kaka story hii inaendelea lini tena

  • @allymoshi2053
    @allymoshi2053 Год назад

    Hujatenda kosa mpumbavu ww wakat ulkuwa unakaba watu yani watu wa HV ningekuwa askar ukiletwa kituoni n kpigwa t sindano ya sumu

    • @jovintosssi3287
      @jovintosssi3287 Год назад

      Usihukum kabla hujahukumiwa 🙏🙏

    • @allymoshi2053
      @allymoshi2053 Год назад

      @@jovintosssi3287 yy mwnyw s kasema alikuwa anakaba watu anawakata mapanga sasa unataka tuseme nn pita HV mzeee

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Год назад

    Stor za kiwak

  • @masanjamasaga5498
    @masanjamasaga5498 Год назад

    dhuruma haidum

  • @yusuphkassimu227
    @yusuphkassimu227 Год назад

    Ww mwandishi unaongea Sana

  • @joshuajacksonbatholomeo3408
    @joshuajacksonbatholomeo3408 Год назад

    H!

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala5748 Год назад

    Mwongo uyo

  • @ajantstudios2
    @ajantstudios2 Год назад

    Huyu Jamaa Kama Muongo Hivi🎃🎃

    • @RwachiryoraWema
      @RwachiryoraWema Год назад

      Hata wewe jina tu lako ni uwongo na confused haujui ni mnaija aw mbongo

  • @dennymkumbala5748
    @dennymkumbala5748 Год назад +1

    Mwongo jamaa aeleweki

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 Год назад

    unajipa jina brigedia ushukuru Mungu wenzako wote wako kaburini

  • @SudiKama-ok9eh
    @SudiKama-ok9eh Год назад

    😂😂😂

  • @peterrulagora7403
    @peterrulagora7403 Год назад

    Bado muhuni tu

  • @nobilityofmind4784
    @nobilityofmind4784 Год назад

    Unaongea sana jifunze kumpa mtu muda aseme

  • @justinkihongo-ou1up
    @justinkihongo-ou1up Год назад +2

    Inchiiiii ihiiiii bwanaaa

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 Год назад

    Mtangazaji hajui kuhoji

  • @simbabbq4427
    @simbabbq4427 Год назад

    Jambazi huyo angefungwa maisha alimpiga babayake mdogo kisu sema kama katubu niborayake a anisjfu kua jambazinamtakia maishayake mapya...

    • @ThobiasMarandu
      @ThobiasMarandu Год назад

      Hakuna Kutubu, Kutubu Kwa Mungu, ANATAKIWA AKAMATWE, WAFUATILIE KAMA KWELI HAYO MATUKIO YALITOKEA, ICHUKULIWE KUWA AMEKIRI UHALIFU. NITAISHANGAA SANA SERIKALI KAMA HUYU MBWA HATAKAMATWA

    • @tahirnephessalum3678
      @tahirnephessalum3678 Год назад

      sasa unadhan angekuwa anaendelea na hayo matukio angejitokeza kushare mapito yake kwetu au angeendelea kujificha?