EXCLUSIVE: MJUE MWIGULU NCHEMBA"WAZIRI wa FEDHA" MAISHA YAKE na UNYONYAJI SEREKARINI" SIIPENDI TZ

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 фев 2024
  • Tumekuandalia Makala YA MWIGULU LAMECK NCHEMBA WAZIRI wa FEDHA Nchini Tanzania
    Mambo Yote kuhusu Maisha Yake binafsi KUANZIA utoto mpaka Kuitwa Mheshimiwa vimetajwa Hapo ,Na Kuna Exclusive Kuna video Tumeiweka DKT ; MWIGULU aliwahi kutamka kuwa Hakuwai kuipenda Tanzania
    kutokana na video hiyo imeleta taharuki Sana Kwa watu hivyo na ww Itazame Ujue na nini mawazo yako kupitia hicho alichokisema Mheshimiwa MWIGULU NCHEMBA
    #alhamdulillah #cloudsmedia #dullysantz #efm #exclusive #history #millardayo #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 40

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 2 месяца назад +2

    HUYU MWIGULU ANA ROHO NZURISANA BASITU SASA KUMFIKIA NIKAZI KUBWA ANA MAJUKUMU MENGI SANA!

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 Месяц назад +2

    Huyo ndie mrithi wa Samia wakubali wakatae ndio hivyo wajipange wahima na wapambe wao wanjisumbuwa bure

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад +2

    Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +1

    Hakuna anaemtaka Mwigulu Mchemba mwizi sanaaaa

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +1

      Margarethpolepole Mwigulu amekukosea wapi tena😂

    • @jdanny497
      @jdanny497 3 месяца назад

      Hafai mjivuni ana dharau mwizi

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Месяц назад +1

    Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?
    Jinga jinga hata ukiliangalia sura imekaa kama member jizi la Kijiji Fulani kule kwetu lbungila....

  • @user-ds2qr6fx6c
    @user-ds2qr6fx6c 2 месяца назад +1

    Sjawai kumuelewa uyo mwamba

  • @user-fr3zl7ot6v
    @user-fr3zl7ot6v 2 месяца назад +1

    Chawaa

  • @lameckbalekere1962
    @lameckbalekere1962 3 месяца назад +2

    Fisadi mkubwa huyu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +2

    Tapeli huyo

  • @florachogo243
    @florachogo243 3 месяца назад +1

    Anafaa ,kila mtu atakula urefu wa kamba yake

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 3 месяца назад +1

    Kumbe hili ni jambazi muda mrefu ona lilivo na mironjo mirefu😂

  • @IGOMBOLA-tm8um
    @IGOMBOLA-tm8um 2 месяца назад +2

    Tukujue wa nini mshamba wewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  2 месяца назад +1

      Usiwe na hasira Huyu ndio kiongozi wako

  • @florachogo243
    @florachogo243 3 месяца назад +1

    Kapambana, mpaka katoboa😂

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  3 месяца назад +1

      Maisha n kupambana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 месяца назад +2

    jizi kubwa hilo linafilisi nchi mla punda huyo ameiangamiza Taifa

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahir Месяц назад

    Hadi mwaka 2025??? Khaaaaaa

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 3 месяца назад +1

    Unajuaje atafika 2025

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l Месяц назад +1

    Anamiliki mabasi ya Esthter mulizeni kapata wapi?

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад +1

    One of the feliyer finince minister in Tanzania never happened since only stick on position because of hideni agenda behind curtains

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 3 месяца назад +2

    Uyu mla punda katoka maisha magumu sn ndio maana mwizi, nashaur viongoz wawe wanaangaliwa family background hawa waliotoka maisha magum waachwe, ndio maana marekan wanaangalia sn uchumi wamgombea