EXCLUSIVE: MJUE MWIGULU NCHEMBA"WAZIRI wa FEDHA" MAISHA YAKE na UNYONYAJI SEREKARINI" SIIPENDI TZ
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Tumekuandalia Makala YA MWIGULU LAMECK NCHEMBA WAZIRI wa FEDHA Nchini Tanzania
Mambo Yote kuhusu Maisha Yake binafsi KUANZIA utoto mpaka Kuitwa Mheshimiwa vimetajwa Hapo ,Na Kuna Exclusive Kuna video Tumeiweka DKT ; MWIGULU aliwahi kutamka kuwa Hakuwai kuipenda Tanzania
kutokana na video hiyo imeleta taharuki Sana Kwa watu hivyo na ww Itazame Ujue na nini mawazo yako kupitia hicho alichokisema Mheshimiwa MWIGULU NCHEMBA
#alhamdulillah #cloudsmedia #dullysantz #efm #exclusive #history #millardayo #santzmedia #simulizinasauti #wasafimedia
Watoto wa wafugaji Mungu huwa anawabariki sana ktk maswala ya elimu wanapambana sana shuleni wakipata bahat ya kusoma huwa wanasoma kweli
Tuliosomea Ilboru secondary..tujuane hapa.
HUYU MWIGULU ANA ROHO NZURISANA BASITU SASA KUMFIKIA NIKAZI KUBWA ANA MAJUKUMU MENGI SANA!
Huyo ndie mrithi wa Samia wakubali wakatae ndio hivyo wajipange wahima na wapambe wao wanjisumbuwa bure
Ooohh🥺 kumbe!!
Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?
Hakuna anaemtaka Mwigulu Mchemba mwizi sanaaaa
Margarethpolepole Mwigulu amekukosea wapi tena😂
Hafai mjivuni ana dharau mwizi
mtangazaji asante kwa nakala, ila hiizi sentence zako za 'R' na 'L' kwann unapenda ana kubadilisha? hebu tusaidie utupe elimu ya huu mbadiliko na ww ni mtangazaji
Shukrani Tutabadirika Ahsante Kwa Maoni yako 🤝
@@Santzmedia jitaidi sana..maana hata jibu lako "tutabadirika" linaleta shida nying sana..kwann usiseme "Tutabadilika"? mbona hizi R na L na ww ni mtangazaji unazitumia sana? shida ni nn?
Limekaa Kaa kama layman , Kaa halijasoma hatq likitoa hoja Linashindwa na mh. Msukuma , sijui lilisoma PhD ya uchawa?
Jinga jinga hata ukiliangalia sura imekaa kama member jizi la Kijiji Fulani kule kwetu lbungila....
Chawaa
😂😂
Sjawai kumuelewa uyo mwamba
Sababu?
Tapeli huyo
😂😂
Fisadi mkubwa huyu
😂😂
Anafaa ,kila mtu atakula urefu wa kamba yake
😂😂😂
Kwahiyo kamba yake ndio kutuibia Sisi watz?
Tukujue wa nini mshamba wewe
Usiwe na hasira Huyu ndio kiongozi wako
jizi kubwa hilo linafilisi nchi mla punda huyo ameiangamiza Taifa
😂😂😂😂
Nimjue mwogulu inisaidie nini mjue wewe
Kumbe hili ni jambazi muda mrefu ona lilivo na mironjo mirefu😂
😅😅😅😅
Anamiliki mabasi ya Esthter mulizeni kapata wapi?
😂😂😂
Unajuaje atafika 2025
Tungoje tamko Rasmi😊
@@Santzmedia by the way He is such a brave!
Kapambana, mpaka katoboa😂
Maisha n kupambana
Hadi mwaka 2025??? Khaaaaaa
😥
Uyu mla punda katoka maisha magumu sn ndio maana mwizi, nashaur viongoz wawe wanaangaliwa family background hawa waliotoka maisha magum waachwe, ndio maana marekan wanaangalia sn uchumi wamgombea
😂😂😂
Kivipi
One of the feliyer finince minister in Tanzania never happened since only stick on position because of hideni agenda behind curtains
😂
Andika kwa kiswahili, English yako mbovu mno