HISTORIA YA MWANA FA:Enzi za Utoto/wazazi/Umaarufu/Mziki mpaka Bungeni, FAHAMU Elimu yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • #santzmedia#dullysantz#mwanafa#millardayo#simulizinasauti#exclusive#wasafi
    Mjue Mwanzo mwisho MwanaFA

Комментарии • 15

  • @RashidMuhunzi-pr5xj
    @RashidMuhunzi-pr5xj 2 месяца назад +1

    The best hiphop legendarian

  • @HamisiHemedi-u8k
    @HamisiHemedi-u8k 9 месяцев назад +1

    Safi sana wajna

  • @reginaldtsaxara9701
    @reginaldtsaxara9701 9 месяцев назад +1

    Hujasema amezaliwa mwaka gan na vp alijiunga na east cost team story za uwongo tu

  • @NickJuma-x4d
    @NickJuma-x4d 7 месяцев назад +1

    Mwandishi ni mpuuzi wa kiwango cha Kokoto! hujui lolote kuhusu historia ya mlengwa! Shame on you!

  • @ridocargo
    @ridocargo 10 месяцев назад +1

    Mimi naona bado hujaielewa vzr historia yake nakushauri nenda kaichek mahojiano aliyofanya na Salama Jabir

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  10 месяцев назад +1

      Ahsante kwa taarifa yako

  • @frankditrick3109
    @frankditrick3109 7 месяцев назад +1

    Ujatenda haki hovyo

  • @mohamedmwinjuma5614
    @mohamedmwinjuma5614 5 месяцев назад +1

    Tena fanya haraka sababu ntakuchukulia hatuta za kisheria na unielezee ulikutana nae wapi akakuelezea utombo wako HUU.

  • @donmvunjambavu3453
    @donmvunjambavu3453 Год назад +1

    Mpambanaji

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  Год назад +2

      Hata wewe pia ni mpambanaji ,ila usikate tamaa tu sawa

  • @NickJuma-x4d
    @NickJuma-x4d 11 месяцев назад +1

    Mtangazaji hujui lolote! eti Mwana FA alizaliwa Tanga hui ni mwaka gani! upuuzi mtupu!

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  11 месяцев назад +1

      Ahsante kwa Maoni yako "SAN TZ MEDIA Na Watazamaji wote wa simulizi hii ,Tungependa kujifunza kupitia wewe Na unachokijua kuhusu Mwana Fa

  • @LabaniAkyoo
    @LabaniAkyoo 9 месяцев назад

    Hujusema hata amezaliwa mwaka gani ,hujui kitu wewe

    • @Santzmedia
      @Santzmedia  9 месяцев назад

      Sawa tufundishe ndugu ,ndiomana kumewekwa uwanja wa Comment ili kama ukiona kitu Akikosawa unakirekebisha hapa .nasi tutajifunza