MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MJUE WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA -KUZALIWA -KUSOMA -SAFARI ya SIASA - "ALIWAHI KUWA KOCHA wa SIMBA"...
    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, alizaliwa mwaka 1960 katika kijiji cha Nandagara, Kitongoji cha Nanditi (Lideko), wilayani Ruangwa mkoa wa Lindi, kusini mwa Tanzania.
    Ni mtoto wa sita kuzaliwa kutoka kwa marehemu Mzee Hamisi Majaliwa.
    Aliishi maisha ya ukiwa baada ya Mama yake mzazi, Binasa Issa Chikawe kufariki dunia akiwa bado mdogo, Shangazi yake Sharifa ni miongoni mwa walioshiriki malezi yake baada ya kufiwa na mama yake, aliyekuwa mke mdogo wa marehemu Mzee Hamisi majaliwa Hanga, aliyefariki dunia katika miaka ya 1990.
    #PROFILE #KASSIMMAJALIWA
    Https://www.youtube.co.... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website:
    www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho

Комментарии • 150

  • @mohamedkutwambi
    @mohamedkutwambi 2 года назад +13

    Wanaomkubali Kasim Majaliwa kama mimi tugonge like hapa

  • @charlesrwegalulila1069
    @charlesrwegalulila1069 3 года назад +13

    No one can be more than Majaliwa next president 2025. Thank U Jpm Kwa kumkuza Majaliwa now his so fantastic leader. Asante Mungu kwa Tanzania Safi na imara.

  • @Happy-go-lucky637
    @Happy-go-lucky637 5 лет назад +140

    Kama unamkubali majaliwa gonga like

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo5947 5 лет назад +31

    Huyu ndiye Raisi awamu ya sita atakayeendeleza filosofia ya hapa kazi tu. Awamu ya Tano imeweka misingi mizito ya nidhamu ya utendaji uliotukuka na mambo tunayoyaona ni vyema mikoba hiyo ikaendelezwa na Mh. Kassim Majaliwa.

  • @joycejohn102
    @joycejohn102 5 лет назад +5

    Bravo kigonsera secondary and High school locates at Mbinga district in Ruvuma region hakika ni shule bora maana imetoa Waziri mkuu na hata Rais wa awamu ya 3 Hon Benjamin William Mkapa na mkurugenzi wa sasa wa usalama wa Taifa kasoma hapo hapo Kigonsera

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 года назад +5

    Hongera Mheshimiwa Waziri Mkuu.
    Nakuombea kwa Allah kila la kheri katika Maisha na Majukumu yako.
    MIMI EX- DAS Urambo.

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline 3 месяца назад

    Story nzuri sana ila msomaji mmmm

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha9041 5 лет назад +21

    Kumbe hauna wazazi mh dar pore sana jembe letu

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 года назад +2

    Maajaliwaa bila kipingamizi 2025 ndio rais wetu ajaee munguu mbariki majaliwaa. Mpe afya njemaa umjepushe na .achoo ya hasaad rais wetuu hakika uwiongoze tanzania mungu ibariki TANZANIA

  • @lutundujafau6020
    @lutundujafau6020 5 лет назад +8

    Aisee,,,naamini kuna watu wako sehem lkn ndoto zao bado ndoto zao haziko kule kikubwa tuishi na malengo yetu tutatobowaaa,,💪💪💪

  • @jeremialauden5710
    @jeremialauden5710 5 лет назад +12

    Kweli tutakula kwa jasho big up hastle in blood

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 5 лет назад +15

    mungu akuzdishie umri mlefu waziri mkuu majaliwa

  • @fedrickmwikwabe279
    @fedrickmwikwabe279 4 года назад +8

    Mh kassim majaliwa tunakuomba mwaka 2025 ugombee urais maana una uzoefu wakuongoza nchi by Fedrick mwikwabe from tarime Mara Tanzania

    • @hadijajohn7434
      @hadijajohn7434 2 года назад

      Yani tunamkubali sana sana majaliwaa .mungu ampe afyaa njemaa

  • @sadockmhinza699
    @sadockmhinza699 5 лет назад +8

    super intelligent man namkubali sana mwalimu kassim majaliwa

  • @josephmbughi6944
    @josephmbughi6944 3 года назад +5

    Saiv nmepata historia ya mheshmiwa ndugai na majaliwa kwa u-tube! Lengo jema tunatiwa moyo..

  • @charlesbwire2010
    @charlesbwire2010 5 лет назад +6

    hongera sana kiongozi wetu

  • @gigotz1755
    @gigotz1755 5 лет назад +18

    Jk inaelekea anamkubali
    Majaliwa

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 5 лет назад +3

    safi cn,namkubali sana mh Majaliwa

  • @amonbwanakunu910
    @amonbwanakunu910 3 года назад +1

    "Mheshimiwa Waziri mkuu,
    Mheshimiwa kassim Majaliwa Ni Kiongozi Mzuri Sana,
    Ni mfatiliaji mzuri Sana,
    Ninamuombea kila la Kheri kutoka kwa Mwenyezi Mungu Katika Majukumu yake.

  • @pradeepgajjar8614
    @pradeepgajjar8614 2 года назад +1

    Kaka you are best god bless you long live and have healthy life🙏

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus568 2 года назад +1

    Kumbe waziri wangu msomi nakupenda sana waziri mkuu wangu

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 года назад +1

    Mungu akupe maish marefu na afya njema inshalaah

  • @JosephMasaba-w1v
    @JosephMasaba-w1v 8 месяцев назад

    Huyo. Namkubari. Astimia100.

  • @WiliamMasalu-gs2ov
    @WiliamMasalu-gs2ov Месяц назад

    Anafaa kuwa Mkuu wa Nchi

  • @seifkhatib4512
    @seifkhatib4512 5 лет назад +3

    I like it congradulation MP majaaliwa

  • @mohamedlacha6515
    @mohamedlacha6515 2 года назад +1

    If mama will contest obvious Majaliwa will support her

  • @JosephNyoni-g5h
    @JosephNyoni-g5h Месяц назад

    🎉

  • @magretmartin6992
    @magretmartin6992 2 года назад

    Mungu akutangulie tunakupeda sana ujekuwa raisi

  • @babylonyNgwembe
    @babylonyNgwembe 3 года назад +5

    THE NEXT PRESIDENT

  • @josephgomalo41
    @josephgomalo41 5 лет назад +9

    HUYU NI WA KIUMENI .. SINA MASWALI BALI MAJIBU TUU.. ANAFAA..! 2025..!

    • @hadijajohn7434
      @hadijajohn7434 2 года назад

      Kabisaa anafaaa kasimu majaaliwaa awe rais wa TANZANIA tunamuombea

  • @rasammudmar5455
    @rasammudmar5455 2 года назад

    Sikudhani. Hongera

  • @mainguburemo5947
    @mainguburemo5947 5 лет назад +8

    Atakuwa Waziri Mkuu wa Pili kuwa Raisi wa Tanzania baada ya Mwalimu J.K Nyerere kuwa Waziri Mkuu wa Kwanza na baadaye kuwa Raisi wa Kwanza wa Tanzania. Tunakutakia kila la Kheri.

    • @davidchesco52
      @davidchesco52 5 лет назад +1

      Maingu Buremo mungu atusaidie maana anasifa kabisa kuwa Rais

    • @abdallaameir3153
      @abdallaameir3153 2 года назад

      Nauliza nyerere alikua wazir mguu wa tanzania ama tanganyika s

  • @jamesnteleva7073
    @jamesnteleva7073 3 года назад +5

    @Given Mashishanga, profile ni nzuri ila, umefanya makosa kadhaa katika uwasilishaji wako, kiasi kwamba yanapotosha na kuharibu uhondo. Nitayaainisha hapa ili ujifunze na kuwa makini next time usomapo taarifa kama hizi.
    1. Stokholm ni mji mkuu wa nchi iitwayo Sweden. Hakuna nchi duniani yenye jina la Sida, kama ulivyotamka kwenye taarifa yako.
    2. Hakuna klabu Tanzania yenye jina la Namuongo, jina sahihi ni "Namungo"
    3. Kwenye taarifa yako umetamka maneno: "...sakata la kabumbu..." halafu wala hukusema ni sakata lipi hilo. Huenda ulitaka kusema "...zaidi ya kusakata kabumbu, Mh. Waziri Mkuu ana fani nyingine..."
    Muandishi wa habari anapaswa kuwa makini katika utoaji wa taarifa, kwa sababu, zaidi ya mambo mengine, kazi hiyo huelimisha jamii pia. Taarifa zinapopotoshwa, kwa kukosa umakini au kutojua au kutofanya uchunguzi kabla ya kutoa taarifa husika, wakati fulani huweza kuleta balaa katika jamii husika. Ni muhimu sana kuwa makini katika taarifa zitolewazo.

    • @mosesmzakwe7774
      @mosesmzakwe7774 2 года назад +1

      Umemuelewesha vizuri.
      Ajifundishe kuwa Makini

    • @whimsymaverick3057
      @whimsymaverick3057 2 года назад

      Rejea pia "POSTIGLADUATE DIPLOMA'

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 2 года назад

      SINGIDA UNAITED

    • @machoguhamery3731
      @machoguhamery3731 Год назад

      Na weww jufunze kiswahili hakuna neno muandishi katika kiswahili bali huandikwa na kutamkwa "mwandishi" siyo muandishi

  • @oberdntalisha9041
    @oberdntalisha9041 5 лет назад +14

    Wewe ni raisi ujae baada ya raisi magufuri kumaliza

    • @joshualeonard8729
      @joshualeonard8729 5 лет назад

      Ni rais anaekuja rais wetu ataamua maana maamzi ya ukweli mheshimiwa pombe magufuri

    • @joshualeonard8729
      @joshualeonard8729 5 лет назад

      Magufuri ndo kila kitu

  • @frankmnale1900
    @frankmnale1900 5 лет назад +6

    Alikuwa na karama ya uongozi toka utotoni......
    Ndo maana mpaka leo ni kiongozi anaependwa na wengi

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 4 года назад +2

    Eee Jina lake linaendana na istoria ya maisha yake MAJALIWA MUNGU AKUJALIE KILA SIKU BABA

  • @hajimakame7554
    @hajimakame7554 5 лет назад +5

    nampendaa Rais wangu wa baadae

  • @mohdkiparah2584
    @mohdkiparah2584 3 года назад +2

    Allah amjaalie ampe nguvu na hekma kufanikisha majukumu yke

  • @drgerwinegosbert2547
    @drgerwinegosbert2547 5 лет назад +7

    Given mashishanga ...baba yako alishawahi kuwa mkuu wa mkoa wa mwanza?

  • @Buhatvonline
    @Buhatvonline 3 месяца назад

    Sida ni nchi gani?

  • @abduldello1555
    @abduldello1555 5 лет назад +2

    Safi sana, ila hujaeleza kuhusu familia yake.

  • @dominickmassawe7720
    @dominickmassawe7720 2 года назад +2

    Huyu ndie raisi wetu

  • @hajiramadhani2699
    @hajiramadhani2699 3 года назад

    Amezaliwa kabla ya uhuru wa Tanzania Kama umemuelewa bado kijana gonga like

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 Год назад +1

    Ana hekima huyu waziri mkuu

  • @nipautago8574
    @nipautago8574 2 года назад

    Next president! 🇹🇿

  • @roseamos2812
    @roseamos2812 5 лет назад +2

    Nakuombea Kwa Mungu Ukawe president kwa miaka ijayo

  • @donatusdaniel3722
    @donatusdaniel3722 Год назад

    Naomba profile ya Msukima - mbunge

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory3425 2 года назад

    Hakika hakuna mwenye haki tazama msalaba yesu aliteseka lakini alifikia kilele chake usiwe na roho wa uwepesi mungu akubariki

  • @stanleymbwana4828
    @stanleymbwana4828 5 лет назад +2

    Kuna WAZIR OMAR ALL JUMA HAKUWA WAZIR MKUU

  • @namirihamisi3899
    @namirihamisi3899 2 года назад +1

    Nandagala nanyumbu nanganga Nachingwea Ruwangwa mpekenyela.

  • @salvatorybuha4328
    @salvatorybuha4328 5 лет назад +5

    dah namkubali huyu jamaa ni hatari ni mchapakazi haswaa na ni mzalendo sana nampenda majaliwa balaa

  • @akothbake3602
    @akothbake3602 3 года назад +1

    Raisi wetu wa awamu ya sita bila kipingamizi🇹🇿

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 5 лет назад +3

    M/kiti CWT Mkoa Singida

  • @agustinolugusi9671
    @agustinolugusi9671 5 лет назад +6

    2025

  • @juliethmpuya9130
    @juliethmpuya9130 3 года назад

    Nic

  • @deusdedithkitaly8337
    @deusdedithkitaly8337 5 лет назад +9

    anafaaa kuwa raisi akigombania nampa kura

  • @paskalinanesphory3425
    @paskalinanesphory3425 2 года назад

    Baba majaliwa piga moyo konde uone 2025 usituache kama muhimili wetu spika wa mbunge mungu atatulea kiongozi mzuri zaidi yake usiwe na ona fupi tazama parefu mbele

  • @barakachawe6241
    @barakachawe6241 4 года назад +3

    Haha ndio najua leo kwamba mzee Warioba aliwahi kuwa waziri

  • @nkunasuitbert7837
    @nkunasuitbert7837 3 года назад +1

    Profile ya mh. Waziri mkuu haikukamilika mbona hukusema alioa lini na mkewe anaitwa nani na mwenyeji wa wapi?

  • @ypg144
    @ypg144 5 лет назад +1

    Kuna kasoro nyingi sana umu mmedanganya

    • @kennedymtweve3187
      @kennedymtweve3187 3 года назад

      Wewe ndiyo raisi ajaye basi maana kuna watu mnapenda kupinga kilakitu.

  • @sonymusa5333
    @sonymusa5333 5 лет назад +4

    Huyu ndo raisi ajae

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 года назад

    Nampenda kama magu

  • @abdallaameir3153
    @abdallaameir3153 2 года назад

    Hapa naomba afafanuzi nyerere alikua waziri mkuu wa tanganyika ama tanzania sababu tunalishwa matango pori tu

  • @nestor384
    @nestor384 5 лет назад +2

    Makonda please!!!

  • @emanuelminja5537
    @emanuelminja5537 4 года назад +1

    Nchini Sweden

  • @emmanuelphabian1980
    @emmanuelphabian1980 2 года назад

    Dah nakusubil majaliwa nikupe kura yangu .

  • @godfreychitanda8098
    @godfreychitanda8098 3 года назад

    Daaa

  • @francismkenda
    @francismkenda 5 лет назад +2

    Mhe. Majaliwa atabaki kuwa juuu atabaki kileleniiiiiii

  • @owenmwatebela4838
    @owenmwatebela4838 3 года назад +2

    mbona walimu atukumbukan

  • @aloycebabene6239
    @aloycebabene6239 2 года назад

    Rais wetu

  • @josephmgongolwa9496
    @josephmgongolwa9496 3 года назад

    Mnisaidie kigosera nimbeya luvuma hapa mbona katudanganya

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 3 года назад

    Hizi zote ni asante zake kikwete kuanzia magufuli na majaliwa hawa ndio wamerejesha ccm yetu tena kweny fom ....magufuli oyeeeeeee majaliwa oyeeeeee .......

  • @sisnatusmnali1655
    @sisnatusmnali1655 3 года назад +1

    Next next president

  • @mbwanakivava461
    @mbwanakivava461 4 года назад +2

    Kama amezaliwa 1960 mbona hana mvi?

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 3 года назад

      Unafikiri ana shida kama wewe?

    • @mbwanakivava461
      @mbwanakivava461 3 года назад

      @@jumakapilima5674 mvi haziletwi na shida we choko muulize baba yako aliyeshindwa kukusomesha
      Idiot

  • @salumuledy8682
    @salumuledy8682 2 года назад

    Huyo ndio anayetufahaa kuwa rais wetu

  • @AngelHamad-d6q
    @AngelHamad-d6q 7 месяцев назад

    Unatosha kuwa rais

  • @chawawaally1259
    @chawawaally1259 4 года назад +1

    Ukuu was wilaya alianzia ulambo baadae rufiji

  • @nicolastitus568
    @nicolastitus568 2 года назад

    Bonge la handsome

  • @babusadala5732
    @babusadala5732 2 года назад

    Mwambaa ......🤔🤔🤔

  • @elisantekaaya3444
    @elisantekaaya3444 2 года назад

    Alizaliwa...1960…........ Mamake.. alizaliwa..1990..hivi.... Kuna.mtoto.wa.miaka.10.wa. kulelewa na shangazi???? Taarifa yako inatisha

  • @abellutonja4589
    @abellutonja4589 3 года назад

    Kuna vingine huvijui unariport tuu

  • @ellymaz2187
    @ellymaz2187 4 года назад +1

    Peter Ching'ole???

  • @alfanmussa3041
    @alfanmussa3041 2 года назад

    Umesaau km amewai kua mkuu wa wilaya ya bukoba mjini na kuwapiga walimu viboko

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 4 года назад +3

    Mbn hujazungumza kuwachapa waalimu akiwa DC

  • @suleimanbakar3429
    @suleimanbakar3429 2 года назад

    ajitangaza kuwa mgombea wa uraisi huyo kesha nunua radio hiyo imtangaze

  • @christianosimba6083
    @christianosimba6083 2 года назад

    Uyu ndio rais wngu wa baadae kassimu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 2 года назад

    Jembe Majaliwa tunakupenda sana ,halafu wewe ujali wala nini kazi kazi.Tunakusubili 20..................

  • @marymajula5351
    @marymajula5351 3 года назад

    Sida ndio nini!!!

  • @agiedonath7687
    @agiedonath7687 3 года назад

    Magufuli

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад

    Majaliwa Jembe mchapa kazi anafaa kuvaa viatu vya JPM akimaliza mda wake

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 3 года назад

    NAMUNGO au NAMUONGO

  • @lutenganocharles7194
    @lutenganocharles7194 3 года назад

    Yaan wewe dada umesma miaka ya tisini naa alikua chuo mlimani ghala unarud Tena miaka ya themanini naa aliajiliwa mbona hujui kupangilia ?? Haya mambo waachieni akina Edgar na mpagaze hujui kupangilia

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 5 лет назад +5

    baada ya mzee magufuli rais wetu ni dr hussen mwinyi maarufu ruksa junior.Msisahau utaratibu wa tanzania kwanza miaka kumi rais mkristo na miaka kumi rais mwislam utaratibu uliowekwa na baba wa taifa mwl nyerere.Pili Rais wa kikristo wanakuwa wakali na wakiislam wanakuwa wapole.kwa historia baada mh magufuli rais mkali na baada yake ni dr hussen mwinyi (ruksa mdogo)ni mpole kama baba yake mzee mwinyi

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 4 года назад +1

    Sigfred sio sigifild

  • @jameskyoma3371
    @jameskyoma3371 3 года назад

    RAIS WA 2O25

  • @rapperdx1331
    @rapperdx1331 5 лет назад

    Bob makani, aliyekuwa Gavana wa benki enzi za mwalimu

  • @jiwekichwa2857
    @jiwekichwa2857 2 года назад

    Nina mkubali saaana

  • @Nedjadist
    @Nedjadist 3 года назад

    Nchini Sida! Nchi gani hiyo? Yaani tumefika hapa?!!!!

  • @khamisjuma8501
    @khamisjuma8501 2 года назад

    Dictater

  • @wilbertjosephat1118
    @wilbertjosephat1118 3 года назад

    Ningependa uwe raisi ajae lakini kwabahati mbaya historia ya nchi yetu hairuhusu waziri mkuu kuwa RAISI baada ya ml: nyerere hatuja mshuhudia mwingine na sijui ni kwa nini.

    • @kennedymtweve3187
      @kennedymtweve3187 3 года назад

      Tunafata historia au katiba?.

    • @collyalinani2407
      @collyalinani2407 2 года назад

      ni utaratibu wa CCM, rais, makamu wa rais na waziri mkuu hawapaswi kugombea urais kwa uchaguzi unaofuata baada ya awamu yao