EXCLUSIVE: MAISHA YA ZITTO KABWE/ELIMU/NDOA/VITA ya SIASA/KUFUNGWA/KUMNG'OA WAZIRI/UGOMVI na MAKONDA
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- #history #alhamdulillah #cloudsmedia #efm #exclusive #simulizinasauti #wasafimedia #dullysantz #millardayo #santzmedia #zittokabwe#ACTWAZALENDO
MASWALI YAKO YOTE TEYALI TUMESHAYAJIBU KWENYE MAKALA HII HAPA UTAFAHAMU MAMBO YOTE YANAYOMUHUSU ZITTO KABWE
Hapo kwenye Ubunge alianzia Kigoma Vijini na CHADEMA na kisha ACT Kigoma Mjini
Someni kiswahili kabla yabkutangaza kwenye hadhira
huna ulijualo
Waandishi wa habari, mjitahidi kutumia Kiswahili safi. Standard Swahili na kutamka vizuri.. Na pia kutafuta kujiongeza ki elmu. Katika general knowldege ya duniya ki jumla.
Uko sahihi @maryamadam5622
Zito Kabwe sio kitanzania Kwabwe ni Kibembe kiluga cha Congo, tafuteni wa bembe Kabwe ni ruga gani?
Kwao na Zito ni Congo
Huyu mwamba ni noma aliifungua kigoma na Tanzania kwa ujumla kwa hoja murua na data zilizokwenda shule
👊
Reo mmm leo acha.kuharibu lugha
Kumbe zito ana PhD dhuu
In politics is the confidence lmotion
🤝🤝
Waislam huwasemi kwa dini Yao kenge kabisa
Halima bulembo mbona huja muweka
Apo umekosea alianza ubunge kigoma kaskazini then akaja kigoma mjini apo umetupiga
😥
Amesahau jamn
Mtotowatabata😂
Jifunze kutamka R na L sehemu sahihi,makara au MAKALA,amezariwa au amezaliwa?
Ahsante kk Naahidi kubadirika makosa hayatojirudia tena🤝
Zipo alianza kuwa mbuge kigoma kazikazin na sio kigoma mjini
Shukrani kwa Maoni yako
Nyota yake imezima ni uchawa tu tulikua naimani na vyama vya upinzani hajafukuzwa ni uchawa
muwe mnafanya research za kutosha kabla ya kutangaza
Nini kilichokosekana @dijohbanks4312 tukuweke Sawa kwenye hilo
Safi thanaaa
Thenks 🤝
Vp
Pumbavu mwandishi kasome kwanza ovyoo
Ok. Ahsante Kwa maoni yako
Hakuanzia Kigoma mjini, alianzia Kigoma kaskazini
Thenks ila ninakuomba uendelee kumfuatillia zaidi Zitto kabwe
Uyu mtangazaji wa mchongo😂
Eti alibatizwa?? mtangazaji waislamu huwa hatubatizwi..
Ohh thanks mr@ibrahimally8073 Tumekusoma
@@Santzmedia kheir
Huyu anatakiwa awe hata waziri kama si kuwa rais kabisa mzalendo muwazi msomi mweny democrasia ya kweli mwamba kwelikwei huyu jamaa
Sahihi 💪
Mmh hafai hata kidogo
Twende kazi matamshi ni lazima tutafautiane..ndo maumbile kwsbb ndimi zetu zimeumbwa kutafautiana..suratul room quran imeweka wazi juu ya hilo
PhD ipi mbona hujaielezea vizuri
Zitto kabwe
Mwanasiasa mashuhuri Sana Huyu🫡
Program sio PLOGLAM
Thenks my brother 🙏🙏
Uwe unafanya research ya kutoshaa kabla ya makala Yako 2005 alikuwa mbunge wa kigoma kasikazin!! Shame to you
Shukrani kwa Maoni yako mkuu
Zitto kabwe huy jamaa anafaa awe Rais kabisa
Rais wa Nchi gani??😀
@@Santzmedia Tanzania
@@aminatanzanya7475umemjibu vyema😅😅😅
Waislamu hawabatizwi acha ujinga wewe😅😅😅
Waislamu hawabatizwi😅😅😅
😂😂😂😂 kubatizwa uliyomaanishwa Hapo ni "KUPEWA au KUSIMIKWA"
Waisillam piya hawasinikwi mwandishi soma Nini maana ya neno
Mnafiki huyo angekuwa malaya
😂😂😂 tumefika huko jamani!!?
Kileno😂ni zito
Yess ilo jina ni lakireno ila Sisi tunalitamka kwakiswahili🤓