MASOUD KIPANYA, MWIJAKU KUFIKISHANA MAHAKAMANI, ''AMLIPE BILION SITA'', HAYA NDIO MAKOSA YAKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • MASOUD KIPANYA, MWIJAKU KUFIKISHANA MAHAKAMANI, ''AMLIPE BILION SITA'', HAYA NDIO MAKOSA YAKE

Комментарии • 324

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 3 месяца назад +2

    Huyu mwehu mmekosea sana kumpa masharti , mngempeleka tu kwapilato ili akanyee debe huyu mbweha anakera anakwaza bigtime

  • @mwansaflorence6862
    @mwansaflorence6862 3 месяца назад +20

    Safi sana masoud komesha huyo mwijaku amezidi uchawa unampeleka pabaya,mimi hata matangazo yake huyu mwijaku siangalii ni mshamba sana Mwijaku

  • @binrashid8671
    @binrashid8671 3 месяца назад +1

    Kaka masoud kipanya ukimsamehe huyu na mm kesho nakutukana kwasabab utanisamehe pia, kumbuka alicho mfanyia dada menina huyu jamaa, bila shaka hii ni dua ya menina mungu kaijibu.

  • @darhoodtzhaidar3640
    @darhoodtzhaidar3640 3 месяца назад +1

    Masoud ni role model na amekuwa aki inspire vijana wa rika zote wachapa kazi na smart wenye kujielewa, ni mtu mwenye hekma na upendo na amekuwa na yeye akiheshim watu wengine

  • @salumidrissa8858
    @salumidrissa8858 3 месяца назад

    Credit nyingi sana zimuendee wakili msomi, he's so smart, from how he explains, he's really a professional

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 месяца назад

      True, u said.

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 месяца назад

      Poke Masoud mwanangu. Mwijaku atapata akili sasa anajifanya mropokaji wa kinataifa leo kaingia cha kike atajifunza adabu, atapata akili na atashika adabu maana hana hata moja anaj8fanya chizi. Si spending Mwinjaku wa hovyo sana.

  • @UmmyMaalim
    @UmmyMaalim 3 месяца назад +2

    Safi sana sheria ndio hizi sasa hapa nimefurahi sanaaa uyu mwijaku ana mdomo sana pole sana kaka yetu masoud

  • @saxannjo6173
    @saxannjo6173 3 месяца назад +17

    MJINGA AKIPEWA UMAARUFU, ANAKUA MJINGA ZAIDI (MPUMBAVU).
    Kipanya ni LEGEND Mkubwa sana kwa CHAWA MWIJAKU,,,,

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 3 месяца назад +4

      Hatumujuiiii😂😂😂😂😂 tutasmama na mama kizii mkaziii

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад +2

      Mama kizimkazi anaingiaje hapo! Nyie ndio walewale mashost

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 3 месяца назад

      @@judyngowi391 hutakii CCM

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 3 месяца назад

      @@liberatusjackson5045kwa huyo mama Kizimkazi atamlipia hiyo bilioni 5

  • @sarahkinyashi6213
    @sarahkinyashi6213 3 месяца назад +7

    Daaaa!!hii itakuwa ni fundisho kwa wengine aisee,lazima uweke hakiba ya maneno🙏🙏🙏🙏🙏

  • @jumamabu3650
    @jumamabu3650 3 месяца назад +8

    Masoud kipanya wa Maisha plus , mwamba sana huyu jamaa
    (Umaarufu sio kuvunja heshima za watu, mwijaku ajirekebishe aache ujinga)

    • @happyemanuel2070
      @happyemanuel2070 3 месяца назад +1

      Ndo tatizo la kuoa na wanawake wa mjini hamshauri mumewe vitu vya maana mwijaku mjinga sana

  • @yunusimchala6569
    @yunusimchala6569 3 месяца назад +4

    Masudi imejengwa na mungu kwa mapenzi yake

  • @rehemamejja8342
    @rehemamejja8342 3 месяца назад +7

    Twataka fundishoooo.kwa mwengineee😊

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад +8

    Safi Sana ndio amezidi

  • @abiaslimadyanse1842
    @abiaslimadyanse1842 3 месяца назад +16

    Kipanya ni mtu anaheshimiwa sana serikalini jamani tuwe na mipaka ndugu😢😢😢

    • @ommylax7231
      @ommylax7231 3 месяца назад

      Anaweza akawa hata usalama wa Taifa

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад +32

    Huyu Mwijaku alikuwa anafikiri Kipanya ni kama Dimond kilasiku anamtukana na Dimond kimyaaaaa sasa kapata Mwamba amtoe uzuzu wake

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat 3 месяца назад +4

    Dah pole kaka masudi wajina acha mahakama iamue ..kusema ni kuzuri na kutosema ni kuzuri pia

  • @fredrickallan5437
    @fredrickallan5437 3 месяца назад

    Kaka masoud husikubali aende mahakamani akajibu tuhuma zake na ikithibitika aukumiwe kwa Sheria zote za nchi na kanuni zake,kaka masoud wewe ni legend kwenye nchi yetu na mjinga mmoja aje kukuchafua kirahisi tu

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 3 месяца назад

    safi baba. maelezo yameeeleweka . tunamsubiri uyo mjinga atupe maelezo

  • @rosechuwa9493
    @rosechuwa9493 3 месяца назад +9

    Pole sana ndugu yeti masoud Mimi binafsi nilijisikia vibaya sana nilipolisikiliza lile li mwijaku zero brain. Nakuomba husikubali ata akuombe msamaha kwa kupitia mashehe wote wa dunia

  • @jebajr
    @jebajr 3 месяца назад +4

    Mwijaku ni mpuuzi sana

  • @yousifyousif-p7f
    @yousifyousif-p7f 3 месяца назад +1

    Mwijaku ana sifa sana aende mahakami pia hata jela kazidi sifa shenzi kbs

  • @aubreykasoyaga1665
    @aubreykasoyaga1665 3 месяца назад +11

    MSALA HUO.

  • @zenachristopher5596
    @zenachristopher5596 3 месяца назад +2

    Safi sana, limezidi kuropoka.....kakanyaga pabaya kwisha habari yake..😅😅😅😅

  • @kessyjonastv1803
    @kessyjonastv1803 3 месяца назад +2

    MUNGU ALITUUMBA NA MDOMO MMOJA MASIKIO 2 NA MACHO MAWILI AKIMAANISHA TUWE WASIKIVU SANA WAANGALIAJI SANA NA WENYE MANENO MACHACHE. 🙏🙏🙏🙏

  • @nzitogondwe9976
    @nzitogondwe9976 3 месяца назад +3

    Aende jera tu mimi binafsi namchukia sana mwaijaku anamtukana daimond na mond anamkalia kimya sasa naombeni masudi usimsamehe mpaka auze na kanyumba kake kanako mpa kiburi

  • @masalakulwa7601
    @masalakulwa7601 3 месяца назад +19

    Mwijaku akome...tena akome sana anaropokwa sana sana ....Kp kanyagia hapo hapo

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 3 месяца назад +2

      apo apo asiachie accelerator ni motoo tuu😡😉

    • @erickbulyota9474
      @erickbulyota9474 3 месяца назад

      Yan ni hapohapo

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад

      Yaani KP usirudi nyuma, ukitaka msaada wowote we nambie

    • @fx3.0
      @fx3.0 3 месяца назад

      😂👍​@@judyngowi391

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 3 месяца назад

    Masoud ajengewe sanamu kwa kumfundisha huyu limbukeni

  • @dismasvinono2266
    @dismasvinono2266 2 месяца назад +1

    Mawakili wa aina hii hua mnatokaga wapi yani chuo gani

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 3 месяца назад +2

    Mwijaku mimi ni shabiki yako ila kwa hili umezingua pakubwa SANA umemkosea sana bro masoud na umeishusha brand yake .we nenda tu mahakamani

  • @mudawise
    @mudawise Месяц назад

    ila kiukweli mimi nahisi hili litakuwa funzo kwa watu wote wenye tabia kama hizi za kuropokwa vitu vya ovyo juu ya maisha ya watu kwenye mitandao

  • @HunnyKamama
    @HunnyKamama 3 месяца назад

    Kipindi ulitukana wakenya mwijako i knew your day was coming,hata hio 5b nikidogo angepewa adhabu zaidi

  • @SaleheHamiss
    @SaleheHamiss 3 месяца назад +1

    Kaka masudi mwijaku mwijaku limbukeni ajasoma uyu MTU nimuongo akisema ana digili3 sio kweli tena inabidi achungujwe akil cyo mzima

  • @innocentsimika1937
    @innocentsimika1937 3 месяца назад +1

    Safe sana Masoud

  • @JeniferJunior-qi3le
    @JeniferJunior-qi3le 3 месяца назад +1

    Afungwe ili heshima iendeleee kuliko kupewa ela coz ameshazoea kuwafhafuwa weng na mm namwonaga mwijaku kama mangekimamb afungweeeeee jaman plz serkal naiomba🤔😇

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 3 месяца назад +1

    Msitutoe kwenye mjadala wa Mpina na Waziri wa kilimo na bunge kutaka kumnyamazisha Mpina!

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 3 месяца назад

    Mnamjua 😂😂😂mama kizimkaziii kipanya akale panya ❤❤❤❤

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад +1

      Huyo mamako ndiye anyemtuma atukane watu, kwendeni kule machawa wahed

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 3 месяца назад +3

    Bora mfikisheni huyo mwijaku awe na adabu kidogo manake kazidi sana sijui anaanza kuchanganyikiwa ?! Manake toomuch kila mtu anamkwaza mtieni adabu kidogo! Mbona baba levo ana adabu yake akifanya utani utacheka tu sio huyo anachefua roho😢

  • @ramadhannibigira7494
    @ramadhannibigira7494 3 месяца назад +2

    Kumbe Simba angekuwa amesha mufunga sana iyi kenge ya mwicaku…kwa kweli Monde ni mutu safi

  • @SabrinaMissay
    @SabrinaMissay 3 месяца назад +2

    Hmmm uwezi juaa Jamani..siri anajua mwijakuu ...uwezi juaa😊

  • @benotayari5970
    @benotayari5970 3 месяца назад +4

    Nimefurahia sana kwa uamuzi aliofanya masoud kipanya kwa mwijaku. Hana adabu hata kidogo yani yeye kila mtu anajifanya kumjua nakutaka kumzoea. Acha sheria ifuate mkondo wake na iwe fundisho kwa kila mwenye kupenda kuropoka ropoka hovyo pasipo kuwa na ushahidi.

    • @SHABANIMALIMA
      @SHABANIMALIMA 3 месяца назад

      Mwijaku mjinga sana yaanialifikria Masoud kipanya nikama Maua Samma maanaakishawahi kumdhalilisha Maua Sama kwakumuita Malaya lakni dada watu aliamua kusamehe

  • @davidmassawe2619
    @davidmassawe2619 3 месяца назад +3

    Dc umeniangusha San omba Mambo yarud home

  • @elisacharleskajembe
    @elisacharleskajembe 3 месяца назад +1

    Waswahili siku zote husema "funzo la mjinga ni taabu "

  • @reginaedward4883
    @reginaedward4883 3 месяца назад

    This must be a lesson kwa huyu mwijaku amezidi sana, shame on him

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc 3 месяца назад +3

    Bora machawa wakome hatuwataki inchii inakufa sababu ya machawa😊

  • @HidayaShabani-q2o
    @HidayaShabani-q2o 3 месяца назад +1

    Fanyeni kwelii kwa mwijaku iwe fundisho maana hii nchii uhuru umepitilizaa sana jitu linaongea km linauhakika najambohilo

  • @SamSamwel-p2z
    @SamSamwel-p2z 2 месяца назад +1

    Mwijaku kayatimba ukuuuu😅

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 3 месяца назад

    Duuuuh Juzi Juzi hapo kamuonya sn baba levo kama hata kuwa makini atakuja kufungwa kwa Tabia zake hizo haya Sasa kayakanyaga Leo Hilo ndio hatariiii sn masoud eti no kijana wake wakati masoud yupo town 1987 anaiwakilisha jamiii yake kupitia taaluma yake Sasa hapo kayakanyaga 🙌🙌🙌

  • @martinchambala9399
    @martinchambala9399 3 месяца назад +1

    Alisha tutukania mondi wetu sana huyo mwijaku

  • @EliackimSimon
    @EliackimSimon 3 месяца назад +1

    Huyu ni jera moja kwa moja

  • @Nehe100Kilindu
    @Nehe100Kilindu 3 месяца назад +2

    Amsamehe mwijaku jaman

    • @romanilyimo
      @romanilyimo 3 месяца назад

      Msamehe ww kama kakukosea ww jinga kweli ww

  • @franciskobelo
    @franciskobelo 3 месяца назад +1

    Mdomo jamani uponza kichwa tujifunze🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 3 месяца назад +1

    MWijaku amekuwa na tabia ya kuchafua sana watu ona amemvunjia heshima mwenzake kuanzia taifa mpk kwenye ukoo.BOra achukuliwe hatua kali kabisa ili iwe fundisho na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.

  • @IsakaIsmail-x8e
    @IsakaIsmail-x8e 3 месяца назад

    Mkazie kaka mpuuuz uyo

  • @TitoRufizi-xb2ub
    @TitoRufizi-xb2ub 3 месяца назад

    Mwijaku ni lipumbavu bwege kabisa chawa jinga,Masoud ni mtu poa sana hana mambo ya kibwege kama ya Mwijaku

  • @Odenymexon
    @Odenymexon 3 месяца назад +3

    Ila huyo anaitwa Mwijaku ni mpumbavu fulani hivi sijawahi kumuelewa na sitakuja kumuelewa milele.

  • @azizaali687
    @azizaali687 3 месяца назад +1

    Mwijaku kimekuramba kazidi kuropoka sana acha amshikishe adabu

  • @ZaidAKissinza
    @ZaidAKissinza 3 месяца назад +5

    Mwijaku kwisha khabari yake.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry 2 месяца назад

    Mwijaku afingwe tu maana anajitoa fahamu halafu anadhaliisha sana watu. Mtieni adabu hana adabu, hana akili, mwehu, atowe adabu. Akifungwa huyu akitoka atapata akili jela itamfunza huyu.

  • @papidassalon6606
    @papidassalon6606 3 месяца назад

    Mwijaku akome watu wapo serious , mambo kwa ushahidi

  • @daudisalum9574
    @daudisalum9574 3 месяца назад +25

    Safiii sana wehu umemzidi mpelekeni mahakani iwefundisho Kwa machawa wengine

    • @hilmialiomar1983
      @hilmialiomar1983 3 месяца назад +3

      Hahahahah

    • @Amirmgunya-pt2zm
      @Amirmgunya-pt2zm 3 месяца назад

      Tanzania kuna ujinga mwingi sana Bilioni sita nyie wenyewe mnangapi mpka muone nirahisi mtu mwingine kuwalipa

    • @richardcastromzena5136
      @richardcastromzena5136 3 месяца назад

      Uliza ujue nini maana yake hiyo​@@Amirmgunya-pt2zm

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 месяца назад

      ​@@Amirmgunya-pt2zmhats kama hawana kitu wana haki ya kuzidai hizo au hujui sheikh. Kasome sheria angalau kidogo ikugomboe labda hutaropoka kitu ambacho hukijui na kama haijui kitu basi kakojoe ukalale.

  • @bakarichina9948
    @bakarichina9948 3 месяца назад +1

    Sasa iyo fidia c atauza gorofa lake mtamtia umaskini,oky akishauza ilo gorofa ajemkulanga tumtafutie viwanja vya million moja na laki tano,Daah

    • @dork8749
      @dork8749 3 месяца назад

      😅😅😅😅😅😅

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 месяца назад

    Kwahiyo mwijak anataka kutuaminisha kwamba masood kp wanauza Unga sio au anawafanyia kitu mbaya vijana aisee noma sana😏

  • @mwinyiadadi1604
    @mwinyiadadi1604 3 месяца назад +1

    Kaka masod mm nakuomba muachie m.mungu unacho kifanya watanzania tunakijua cc tunajua kazi zako unazo zifanya kaka umetengeneza katuni tokea mwaka 1988 muijaku haja zaliwa achana nae huyo bro huyo mjinga tuuu

  • @youngzubelyzubely2288
    @youngzubelyzubely2288 3 месяца назад

    # naomba mwijaku alipe , ili tuone ufahari wa binadam katika dunia hii... mwezi jana katoka saudia kujisafisha kwa iman yake ila bado yuko vile vile, kusoma nako hakujamfunza jins ya kuish na watu. Kuwa na tong pin 📌 kama mwanaume

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 3 месяца назад +5

    Kaishusha brand ya masoud kP daaah ameongea maneno mazito sana

  • @deusdeditsimba4452
    @deusdeditsimba4452 3 месяца назад

    Kaka Masoud Tafadhari Sana usimsamehe huyu mpuuzi hakikisha unamfikisha mbele ya SHERIA,ili iwe FUNDISHO KWA CHAWA WENGINE "CHOKO MKUBWA YULE"

    • @christonchristian7448
      @christonchristian7448 3 месяца назад

      akimsamehe sisi kama jamhuri tutaingilia kati akiii😢😢😢

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад

      ​@@christonchristian7448kabisaaaaaa

  • @emmanueljudas4522
    @emmanueljudas4522 3 месяца назад +1

    Apelekwe mahakamani uyo mpuuzi mshamba

  • @josephernest155
    @josephernest155 3 месяца назад +1

    Duh Msala kwa DC😢

  • @darhoodtzhaidar3640
    @darhoodtzhaidar3640 3 месяца назад

    Unajua kuna watu wakiwa na uwezo kidogo kipato, wanaanza kujisahau na kuanza tabia ya kuongea hivyo bila kujali. So nimuhim sana Sheria apate hukumu yake ili na wengine wenye tabia kama Yakewajirekebishe. So kimsamehe haitosaidia kitu na badae atazidisha zaidi..

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 3 месяца назад +5

    Masudi angekaa kimya ningemzarau mana hata mi nilishaanza kumuamini mwijaku lakini kama kachukua maamuzi hayo heshima kwake.... Huyo wakili anaonekana mda mrefu anammaindi mwijaku na leo kaingia kwenye mtego kwa maelezo yake tu inaonekana yuko tayari kuendesha hiyo kesi hata asipolipwa😅😅😅😅 tuko beneti na mwijaku wetu mpaka afungwe.

    • @francisraphael3816
      @francisraphael3816 3 месяца назад

      Halaa 😁

    • @edoedwine5913
      @edoedwine5913 3 месяца назад

      me mwenyew nilikua nimeamini jamaa anasukuma Ngada😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 3 месяца назад

      Hata mimi aisee! Afungwe tu jamani,

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 3 месяца назад +1

    Mwinjaku yatamkuta kama ya Cyril alivoshitakiwa na RIP Mwakyembe

  • @YohanaRichard-e6p
    @YohanaRichard-e6p 3 месяца назад

    Masoud, hana shida ila shida ni Hawa ambao wanashindwa kulinda ndimi zao katika kuongea, upambe wa kibiasha utakufilisi ndugu mwijaku, please jaribu kuuwekea ulimi wako mipaka ili usije ukakupotezea uchumi wako na malengo yako.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 3 месяца назад +3

    Mkomosheni akome, si anajifanya ana domo kubwa
    Lifungeni tupunzike makelele yake

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 3 месяца назад +1

    Apelekwe Mahakamani

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад +7

    Mwijaku mpumbavu sana. Yaani anataka kumuharibia mwenzake hivihivi. Yaani ni zaidi ya muuaji kabisa. Masuala aliyoongea ni dangerous kwa Taifa kwa sasa. Brand ya KP inejengwa kwa muda na gharama kubwa leo anamfanyia hivyo kweli? HAPANA HAPANA HAPANA haivumiliki kabisa.

    • @hassankongolilo8408
      @hassankongolilo8408 3 месяца назад

      coment yako ndugu mpaka chozi limenidondoka bila kutarajia

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 3 месяца назад

    Hivi Cypirian Musiba aliendaga wapi tena, maana yule alikuwa chawa wa Magu, hapa kuna watu wanadai Mwijaku ni Kizimkazi timu, wanashindwa kujiuliza leo hii Musiba yupo wapi? Alitukana watu wa heshima sana nchi hii! Leo hii sijui kajificha kwenye shimo gani

  • @juliusmlula1658
    @juliusmlula1658 3 месяца назад +1

    Huyo jamaa Mwaijaku awe fundisho Kwa kiherehere chake

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo9833 3 месяца назад

    Kiukweli sitamani itokee ila natamani kumsikia DC akitupatia experience ya jela kama baba Levo.....😂😂😂😂

  • @LudovickTibakyenda-gs2wh
    @LudovickTibakyenda-gs2wh 3 месяца назад

    Magereza wanamsubiri DC Mwijaku!

    • @seifhussein9996
      @seifhussein9996 3 месяца назад

      Anaenda kuwa mke wa mtu mwijaku jela

  • @AbuuAnuwar-ip7dr
    @AbuuAnuwar-ip7dr 3 месяца назад

    Yuko mwingine alobakia kwenye tabia hizi nae ni Oscar Oscar, sasahivi akitukana japo nzitu tukamshtaki

  • @camillasiwa6506
    @camillasiwa6506 3 месяца назад +1

    KP… mtie adabu huyu kijana….Please

  • @JofreyZacharia-zz7dy
    @JofreyZacharia-zz7dy 3 месяца назад +12

    Expensive life😂😂😂

  • @KhadijaSelemani-wt8np
    @KhadijaSelemani-wt8np 3 месяца назад

    kaka masoud ukimsamehe huyu mtu basi , kudhalilisha kutaendelea 😢

  • @elinagordon8161
    @elinagordon8161 3 месяца назад

    Anadhani water ni akina mwqmbino wanampuuza na kumuona mwehu sagi Santa masoud yunakushuru Kwa hili

  • @EliackimSimon
    @EliackimSimon 3 месяца назад +4

    Kamuonea wivu rafiki yake Baba levo ya kwenda jera mwaka mmoja ameona nayy aende

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 месяца назад

      Hakuna kifungo kwenye defamation bali pesa inahusika

    • @chrispinmkanda6097
      @chrispinmkanda6097 3 месяца назад

      Sasa km ni kweli itakuwa billion 5 na kama Hana Nini kinafuata!?

    • @fredylucas2484
      @fredylucas2484 3 месяца назад

      @@chrispinmkanda6097 mali zake zinathaminiwa na kuuzwa ili alipe penalties kama akishindwa kesi. Mtu anafungwa kwa felony cases na siyo defamation ama Liable case

    • @dork8749
      @dork8749 3 месяца назад

      Lugha za kisheria wengine hatuelewi Defamation ndo nini??

    • @daudjoseph-ls2he
      @daudjoseph-ls2he 3 месяца назад

      Kwa ufupi ni kutoa taarifa za uongo dhidi ya mtu flan , Kwa kusema au kuandika​@@dork8749

  • @kingnass6410
    @kingnass6410 3 месяца назад

    Hahahahhaa huyo mwijaku hafiki hata laki hakiba yake

  • @AniaSawaki
    @AniaSawaki 3 месяца назад +1

    Wamkomeshe huyu jamaa maana wamezidi jmni

  • @AdamMnete
    @AdamMnete 3 месяца назад

    Kipanya, kunywa soda popote ulipo, kk, nkubaleee sanaa

  • @benny4345
    @benny4345 3 месяца назад +1

    Mwijaku inabidi ashtakiwe; kwanza, aseme bishara haramu ya Masoud ni ipi? Lakini iwe mwisho kwake kuchafua watu

  • @julianamwalongo6047
    @julianamwalongo6047 3 месяца назад +4

    Ningechangia ila sina mwanasheria

  • @yayananajota5838
    @yayananajota5838 3 месяца назад +1

    Ngoma ikivuma sana sana huwa inapasuka😂

  • @lulurubby2235
    @lulurubby2235 3 месяца назад +1

    Peleka mahakamani tena na rushwa toa wamfungie ata wiki kabla hajalipa failing shenzi zake

  • @walterkisaro-9168
    @walterkisaro-9168 3 месяца назад

    Alipee

  • @vaskosamweli3556
    @vaskosamweli3556 3 месяца назад

    wap apo Dotto magari

  • @Cao_ZeKai
    @Cao_ZeKai 3 месяца назад

    Kufikishana ndo nini? Masoud ndo anampeleka Mwijaku mahakamani

  • @injilinjeyakutazakanisa
    @injilinjeyakutazakanisa 3 месяца назад

    Bila kuni, moto huzimika; bila mchochezi, ugomvi humalizika, Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika, Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma.

  • @MsafiriJabu
    @MsafiriJabu 3 месяца назад +1

    Ninauliza ile nyumban yake meijaku anauza Bei gan aje nimununulie na laki 1

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 3 месяца назад

    Uwo unaitwa msako mkali mama mkanye mwanaye kayatimba 😏😏😏

  • @blessmimi
    @blessmimi 3 месяца назад

    Expensive Lawsuit

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад

    Huyu mwijaku ni mropokaji sana pamoja na baba levo

  • @binyahya5205
    @binyahya5205 3 месяца назад +9

    DC kayakanyaga😂😂