Kaka masoud kipanya ukimsamehe huyu na mm kesho nakutukana kwasabab utanisamehe pia, kumbuka alicho mfanyia dada menina huyu jamaa, bila shaka hii ni dua ya menina mungu kaijibu.
Masoud ni role model na amekuwa aki inspire vijana wa rika zote wachapa kazi na smart wenye kujielewa, ni mtu mwenye hekma na upendo na amekuwa na yeye akiheshim watu wengine
Poke Masoud mwanangu. Mwijaku atapata akili sasa anajifanya mropokaji wa kinataifa leo kaingia cha kike atajifunza adabu, atapata akili na atashika adabu maana hana hata moja anaj8fanya chizi. Si spending Mwinjaku wa hovyo sana.
Kaka masoud husikubali aende mahakamani akajibu tuhuma zake na ikithibitika aukumiwe kwa Sheria zote za nchi na kanuni zake,kaka masoud wewe ni legend kwenye nchi yetu na mjinga mmoja aje kukuchafua kirahisi tu
Pole sana ndugu yeti masoud Mimi binafsi nilijisikia vibaya sana nilipolisikiliza lile li mwijaku zero brain. Nakuomba husikubali ata akuombe msamaha kwa kupitia mashehe wote wa dunia
Aende jera tu mimi binafsi namchukia sana mwaijaku anamtukana daimond na mond anamkalia kimya sasa naombeni masudi usimsamehe mpaka auze na kanyumba kake kanako mpa kiburi
Afungwe ili heshima iendeleee kuliko kupewa ela coz ameshazoea kuwafhafuwa weng na mm namwonaga mwijaku kama mangekimamb afungweeeeee jaman plz serkal naiomba🤔😇
Bora mfikisheni huyo mwijaku awe na adabu kidogo manake kazidi sana sijui anaanza kuchanganyikiwa ?! Manake toomuch kila mtu anamkwaza mtieni adabu kidogo! Mbona baba levo ana adabu yake akifanya utani utacheka tu sio huyo anachefua roho😢
Nimefurahia sana kwa uamuzi aliofanya masoud kipanya kwa mwijaku. Hana adabu hata kidogo yani yeye kila mtu anajifanya kumjua nakutaka kumzoea. Acha sheria ifuate mkondo wake na iwe fundisho kwa kila mwenye kupenda kuropoka ropoka hovyo pasipo kuwa na ushahidi.
Mwijaku mjinga sana yaanialifikria Masoud kipanya nikama Maua Samma maanaakishawahi kumdhalilisha Maua Sama kwakumuita Malaya lakni dada watu aliamua kusamehe
Duuuuh Juzi Juzi hapo kamuonya sn baba levo kama hata kuwa makini atakuja kufungwa kwa Tabia zake hizo haya Sasa kayakanyaga Leo Hilo ndio hatariiii sn masoud eti no kijana wake wakati masoud yupo town 1987 anaiwakilisha jamiii yake kupitia taaluma yake Sasa hapo kayakanyaga 🙌🙌🙌
MWijaku amekuwa na tabia ya kuchafua sana watu ona amemvunjia heshima mwenzake kuanzia taifa mpk kwenye ukoo.BOra achukuliwe hatua kali kabisa ili iwe fundisho na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
Mwijaku afingwe tu maana anajitoa fahamu halafu anadhaliisha sana watu. Mtieni adabu hana adabu, hana akili, mwehu, atowe adabu. Akifungwa huyu akitoka atapata akili jela itamfunza huyu.
@@Amirmgunya-pt2zmhats kama hawana kitu wana haki ya kuzidai hizo au hujui sheikh. Kasome sheria angalau kidogo ikugomboe labda hutaropoka kitu ambacho hukijui na kama haijui kitu basi kakojoe ukalale.
# naomba mwijaku alipe , ili tuone ufahari wa binadam katika dunia hii... mwezi jana katoka saudia kujisafisha kwa iman yake ila bado yuko vile vile, kusoma nako hakujamfunza jins ya kuish na watu. Kuwa na tong pin 📌 kama mwanaume
Unajua kuna watu wakiwa na uwezo kidogo kipato, wanaanza kujisahau na kuanza tabia ya kuongea hivyo bila kujali. So nimuhim sana Sheria apate hukumu yake ili na wengine wenye tabia kama Yakewajirekebishe. So kimsamehe haitosaidia kitu na badae atazidisha zaidi..
Masudi angekaa kimya ningemzarau mana hata mi nilishaanza kumuamini mwijaku lakini kama kachukua maamuzi hayo heshima kwake.... Huyo wakili anaonekana mda mrefu anammaindi mwijaku na leo kaingia kwenye mtego kwa maelezo yake tu inaonekana yuko tayari kuendesha hiyo kesi hata asipolipwa😅😅😅😅 tuko beneti na mwijaku wetu mpaka afungwe.
Masoud, hana shida ila shida ni Hawa ambao wanashindwa kulinda ndimi zao katika kuongea, upambe wa kibiasha utakufilisi ndugu mwijaku, please jaribu kuuwekea ulimi wako mipaka ili usije ukakupotezea uchumi wako na malengo yako.
Mwijaku mpumbavu sana. Yaani anataka kumuharibia mwenzake hivihivi. Yaani ni zaidi ya muuaji kabisa. Masuala aliyoongea ni dangerous kwa Taifa kwa sasa. Brand ya KP inejengwa kwa muda na gharama kubwa leo anamfanyia hivyo kweli? HAPANA HAPANA HAPANA haivumiliki kabisa.
Hivi Cypirian Musiba aliendaga wapi tena, maana yule alikuwa chawa wa Magu, hapa kuna watu wanadai Mwijaku ni Kizimkazi timu, wanashindwa kujiuliza leo hii Musiba yupo wapi? Alitukana watu wa heshima sana nchi hii! Leo hii sijui kajificha kwenye shimo gani
@@chrispinmkanda6097 mali zake zinathaminiwa na kuuzwa ili alipe penalties kama akishindwa kesi. Mtu anafungwa kwa felony cases na siyo defamation ama Liable case
Bila kuni, moto huzimika; bila mchochezi, ugomvi humalizika, Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika, Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma.
Huyu mwehu mmekosea sana kumpa masharti , mngempeleka tu kwapilato ili akanyee debe huyu mbweha anakera anakwaza bigtime
Safi sana masoud komesha huyo mwijaku amezidi uchawa unampeleka pabaya,mimi hata matangazo yake huyu mwijaku siangalii ni mshamba sana Mwijaku
Kaka masoud kipanya ukimsamehe huyu na mm kesho nakutukana kwasabab utanisamehe pia, kumbuka alicho mfanyia dada menina huyu jamaa, bila shaka hii ni dua ya menina mungu kaijibu.
Masoud ni role model na amekuwa aki inspire vijana wa rika zote wachapa kazi na smart wenye kujielewa, ni mtu mwenye hekma na upendo na amekuwa na yeye akiheshim watu wengine
Credit nyingi sana zimuendee wakili msomi, he's so smart, from how he explains, he's really a professional
True, u said.
Poke Masoud mwanangu. Mwijaku atapata akili sasa anajifanya mropokaji wa kinataifa leo kaingia cha kike atajifunza adabu, atapata akili na atashika adabu maana hana hata moja anaj8fanya chizi. Si spending Mwinjaku wa hovyo sana.
Safi sana sheria ndio hizi sasa hapa nimefurahi sanaaa uyu mwijaku ana mdomo sana pole sana kaka yetu masoud
MJINGA AKIPEWA UMAARUFU, ANAKUA MJINGA ZAIDI (MPUMBAVU).
Kipanya ni LEGEND Mkubwa sana kwa CHAWA MWIJAKU,,,,
Hatumujuiiii😂😂😂😂😂 tutasmama na mama kizii mkaziii
Mama kizimkazi anaingiaje hapo! Nyie ndio walewale mashost
@@judyngowi391 hutakii CCM
@@liberatusjackson5045kwa huyo mama Kizimkazi atamlipia hiyo bilioni 5
Daaaa!!hii itakuwa ni fundisho kwa wengine aisee,lazima uweke hakiba ya maneno🙏🙏🙏🙏🙏
Masoud kipanya wa Maisha plus , mwamba sana huyu jamaa
(Umaarufu sio kuvunja heshima za watu, mwijaku ajirekebishe aache ujinga)
Ndo tatizo la kuoa na wanawake wa mjini hamshauri mumewe vitu vya maana mwijaku mjinga sana
Masudi imejengwa na mungu kwa mapenzi yake
Twataka fundishoooo.kwa mwengineee😊
Safi Sana ndio amezidi
Kipanya ni mtu anaheshimiwa sana serikalini jamani tuwe na mipaka ndugu😢😢😢
Anaweza akawa hata usalama wa Taifa
Huyu Mwijaku alikuwa anafikiri Kipanya ni kama Dimond kilasiku anamtukana na Dimond kimyaaaaa sasa kapata Mwamba amtoe uzuzu wake
Dah pole kaka masudi wajina acha mahakama iamue ..kusema ni kuzuri na kutosema ni kuzuri pia
Kutosema Ni vizuri zaidi
Kaka masoud husikubali aende mahakamani akajibu tuhuma zake na ikithibitika aukumiwe kwa Sheria zote za nchi na kanuni zake,kaka masoud wewe ni legend kwenye nchi yetu na mjinga mmoja aje kukuchafua kirahisi tu
safi baba. maelezo yameeeleweka . tunamsubiri uyo mjinga atupe maelezo
Pole sana ndugu yeti masoud Mimi binafsi nilijisikia vibaya sana nilipolisikiliza lile li mwijaku zero brain. Nakuomba husikubali ata akuombe msamaha kwa kupitia mashehe wote wa dunia
Mwijaku ni mpuuzi sana
Mwijaku ana sifa sana aende mahakami pia hata jela kazidi sifa shenzi kbs
MSALA HUO.
Safi sana, limezidi kuropoka.....kakanyaga pabaya kwisha habari yake..😅😅😅😅
MUNGU ALITUUMBA NA MDOMO MMOJA MASIKIO 2 NA MACHO MAWILI AKIMAANISHA TUWE WASIKIVU SANA WAANGALIAJI SANA NA WENYE MANENO MACHACHE. 🙏🙏🙏🙏
Aende jera tu mimi binafsi namchukia sana mwaijaku anamtukana daimond na mond anamkalia kimya sasa naombeni masudi usimsamehe mpaka auze na kanyumba kake kanako mpa kiburi
Mwijaku akome...tena akome sana anaropokwa sana sana ....Kp kanyagia hapo hapo
apo apo asiachie accelerator ni motoo tuu😡😉
Yan ni hapohapo
Yaani KP usirudi nyuma, ukitaka msaada wowote we nambie
😂👍@@judyngowi391
Masoud ajengewe sanamu kwa kumfundisha huyu limbukeni
Mawakili wa aina hii hua mnatokaga wapi yani chuo gani
Mwijaku mimi ni shabiki yako ila kwa hili umezingua pakubwa SANA umemkosea sana bro masoud na umeishusha brand yake .we nenda tu mahakamani
ila kiukweli mimi nahisi hili litakuwa funzo kwa watu wote wenye tabia kama hizi za kuropokwa vitu vya ovyo juu ya maisha ya watu kwenye mitandao
Kipindi ulitukana wakenya mwijako i knew your day was coming,hata hio 5b nikidogo angepewa adhabu zaidi
Kaka masudi mwijaku mwijaku limbukeni ajasoma uyu MTU nimuongo akisema ana digili3 sio kweli tena inabidi achungujwe akil cyo mzima
Safe sana Masoud
Afungwe ili heshima iendeleee kuliko kupewa ela coz ameshazoea kuwafhafuwa weng na mm namwonaga mwijaku kama mangekimamb afungweeeeee jaman plz serkal naiomba🤔😇
Msitutoe kwenye mjadala wa Mpina na Waziri wa kilimo na bunge kutaka kumnyamazisha Mpina!
Mwijaku
Mnamjua 😂😂😂mama kizimkaziii kipanya akale panya ❤❤❤❤
Huyo mamako ndiye anyemtuma atukane watu, kwendeni kule machawa wahed
Bora mfikisheni huyo mwijaku awe na adabu kidogo manake kazidi sana sijui anaanza kuchanganyikiwa ?! Manake toomuch kila mtu anamkwaza mtieni adabu kidogo! Mbona baba levo ana adabu yake akifanya utani utacheka tu sio huyo anachefua roho😢
Kumbe Simba angekuwa amesha mufunga sana iyi kenge ya mwicaku…kwa kweli Monde ni mutu safi
Hmmm uwezi juaa Jamani..siri anajua mwijakuu ...uwezi juaa😊
Kam anajua atoe ushaid tuone
Nimefurahia sana kwa uamuzi aliofanya masoud kipanya kwa mwijaku. Hana adabu hata kidogo yani yeye kila mtu anajifanya kumjua nakutaka kumzoea. Acha sheria ifuate mkondo wake na iwe fundisho kwa kila mwenye kupenda kuropoka ropoka hovyo pasipo kuwa na ushahidi.
Mwijaku mjinga sana yaanialifikria Masoud kipanya nikama Maua Samma maanaakishawahi kumdhalilisha Maua Sama kwakumuita Malaya lakni dada watu aliamua kusamehe
Dc umeniangusha San omba Mambo yarud home
Waswahili siku zote husema "funzo la mjinga ni taabu "
This must be a lesson kwa huyu mwijaku amezidi sana, shame on him
Bora machawa wakome hatuwataki inchii inakufa sababu ya machawa😊
Fanyeni kwelii kwa mwijaku iwe fundisho maana hii nchii uhuru umepitilizaa sana jitu linaongea km linauhakika najambohilo
Mwijaku kayatimba ukuuuu😅
Duuuuh Juzi Juzi hapo kamuonya sn baba levo kama hata kuwa makini atakuja kufungwa kwa Tabia zake hizo haya Sasa kayakanyaga Leo Hilo ndio hatariiii sn masoud eti no kijana wake wakati masoud yupo town 1987 anaiwakilisha jamiii yake kupitia taaluma yake Sasa hapo kayakanyaga 🙌🙌🙌
Alisha tutukania mondi wetu sana huyo mwijaku
Huyu ni jera moja kwa moja
Amsamehe mwijaku jaman
Msamehe ww kama kakukosea ww jinga kweli ww
Mdomo jamani uponza kichwa tujifunze🏃♂️🏃♂️🏃♂️
MWijaku amekuwa na tabia ya kuchafua sana watu ona amemvunjia heshima mwenzake kuanzia taifa mpk kwenye ukoo.BOra achukuliwe hatua kali kabisa ili iwe fundisho na kwa watu wengine wenye tabia kama hiyo.
Mkazie kaka mpuuuz uyo
Mwijaku ni lipumbavu bwege kabisa chawa jinga,Masoud ni mtu poa sana hana mambo ya kibwege kama ya Mwijaku
Ila huyo anaitwa Mwijaku ni mpumbavu fulani hivi sijawahi kumuelewa na sitakuja kumuelewa milele.
Mwijaku kimekuramba kazidi kuropoka sana acha amshikishe adabu
Mwijaku kwisha khabari yake.
Mwijaku afingwe tu maana anajitoa fahamu halafu anadhaliisha sana watu. Mtieni adabu hana adabu, hana akili, mwehu, atowe adabu. Akifungwa huyu akitoka atapata akili jela itamfunza huyu.
Mwijaku akome watu wapo serious , mambo kwa ushahidi
Safiii sana wehu umemzidi mpelekeni mahakani iwefundisho Kwa machawa wengine
Hahahahah
Tanzania kuna ujinga mwingi sana Bilioni sita nyie wenyewe mnangapi mpka muone nirahisi mtu mwingine kuwalipa
Uliza ujue nini maana yake hiyo@@Amirmgunya-pt2zm
@@Amirmgunya-pt2zmhats kama hawana kitu wana haki ya kuzidai hizo au hujui sheikh. Kasome sheria angalau kidogo ikugomboe labda hutaropoka kitu ambacho hukijui na kama haijui kitu basi kakojoe ukalale.
Sasa iyo fidia c atauza gorofa lake mtamtia umaskini,oky akishauza ilo gorofa ajemkulanga tumtafutie viwanja vya million moja na laki tano,Daah
😅😅😅😅😅😅
Kwahiyo mwijak anataka kutuaminisha kwamba masood kp wanauza Unga sio au anawafanyia kitu mbaya vijana aisee noma sana😏
Kaka masod mm nakuomba muachie m.mungu unacho kifanya watanzania tunakijua cc tunajua kazi zako unazo zifanya kaka umetengeneza katuni tokea mwaka 1988 muijaku haja zaliwa achana nae huyo bro huyo mjinga tuuu
Kwenda kule atiwe adabu
# naomba mwijaku alipe , ili tuone ufahari wa binadam katika dunia hii... mwezi jana katoka saudia kujisafisha kwa iman yake ila bado yuko vile vile, kusoma nako hakujamfunza jins ya kuish na watu. Kuwa na tong pin 📌 kama mwanaume
Kaishusha brand ya masoud kP daaah ameongea maneno mazito sana
Kaka Masoud Tafadhari Sana usimsamehe huyu mpuuzi hakikisha unamfikisha mbele ya SHERIA,ili iwe FUNDISHO KWA CHAWA WENGINE "CHOKO MKUBWA YULE"
akimsamehe sisi kama jamhuri tutaingilia kati akiii😢😢😢
@@christonchristian7448kabisaaaaaa
Apelekwe mahakamani uyo mpuuzi mshamba
Duh Msala kwa DC😢
Unajua kuna watu wakiwa na uwezo kidogo kipato, wanaanza kujisahau na kuanza tabia ya kuongea hivyo bila kujali. So nimuhim sana Sheria apate hukumu yake ili na wengine wenye tabia kama Yakewajirekebishe. So kimsamehe haitosaidia kitu na badae atazidisha zaidi..
Masudi angekaa kimya ningemzarau mana hata mi nilishaanza kumuamini mwijaku lakini kama kachukua maamuzi hayo heshima kwake.... Huyo wakili anaonekana mda mrefu anammaindi mwijaku na leo kaingia kwenye mtego kwa maelezo yake tu inaonekana yuko tayari kuendesha hiyo kesi hata asipolipwa😅😅😅😅 tuko beneti na mwijaku wetu mpaka afungwe.
Halaa 😁
me mwenyew nilikua nimeamini jamaa anasukuma Ngada😂😂
Hata mimi aisee! Afungwe tu jamani,
Mwinjaku yatamkuta kama ya Cyril alivoshitakiwa na RIP Mwakyembe
Masoud, hana shida ila shida ni Hawa ambao wanashindwa kulinda ndimi zao katika kuongea, upambe wa kibiasha utakufilisi ndugu mwijaku, please jaribu kuuwekea ulimi wako mipaka ili usije ukakupotezea uchumi wako na malengo yako.
Mkomosheni akome, si anajifanya ana domo kubwa
Lifungeni tupunzike makelele yake
Apelekwe Mahakamani
Mwijaku mpumbavu sana. Yaani anataka kumuharibia mwenzake hivihivi. Yaani ni zaidi ya muuaji kabisa. Masuala aliyoongea ni dangerous kwa Taifa kwa sasa. Brand ya KP inejengwa kwa muda na gharama kubwa leo anamfanyia hivyo kweli? HAPANA HAPANA HAPANA haivumiliki kabisa.
coment yako ndugu mpaka chozi limenidondoka bila kutarajia
Hivi Cypirian Musiba aliendaga wapi tena, maana yule alikuwa chawa wa Magu, hapa kuna watu wanadai Mwijaku ni Kizimkazi timu, wanashindwa kujiuliza leo hii Musiba yupo wapi? Alitukana watu wa heshima sana nchi hii! Leo hii sijui kajificha kwenye shimo gani
Huyo jamaa Mwaijaku awe fundisho Kwa kiherehere chake
Kiukweli sitamani itokee ila natamani kumsikia DC akitupatia experience ya jela kama baba Levo.....😂😂😂😂
Magereza wanamsubiri DC Mwijaku!
Anaenda kuwa mke wa mtu mwijaku jela
Yuko mwingine alobakia kwenye tabia hizi nae ni Oscar Oscar, sasahivi akitukana japo nzitu tukamshtaki
KP… mtie adabu huyu kijana….Please
Expensive life😂😂😂
halaaa 😂
Ameyakanyaga .😂😂😂
😂😂😂
Halaaaaaaaa😂
Expensive life itakuwaje sasa
kaka masoud ukimsamehe huyu mtu basi , kudhalilisha kutaendelea 😢
Anadhani water ni akina mwqmbino wanampuuza na kumuona mwehu sagi Santa masoud yunakushuru Kwa hili
Kamuonea wivu rafiki yake Baba levo ya kwenda jera mwaka mmoja ameona nayy aende
Hakuna kifungo kwenye defamation bali pesa inahusika
Sasa km ni kweli itakuwa billion 5 na kama Hana Nini kinafuata!?
@@chrispinmkanda6097 mali zake zinathaminiwa na kuuzwa ili alipe penalties kama akishindwa kesi. Mtu anafungwa kwa felony cases na siyo defamation ama Liable case
Lugha za kisheria wengine hatuelewi Defamation ndo nini??
Kwa ufupi ni kutoa taarifa za uongo dhidi ya mtu flan , Kwa kusema au kuandika@@dork8749
Hahahahhaa huyo mwijaku hafiki hata laki hakiba yake
Wamkomeshe huyu jamaa maana wamezidi jmni
Kipanya, kunywa soda popote ulipo, kk, nkubaleee sanaa
Mwijaku inabidi ashtakiwe; kwanza, aseme bishara haramu ya Masoud ni ipi? Lakini iwe mwisho kwake kuchafua watu
Ningechangia ila sina mwanasheria
Ngoma ikivuma sana sana huwa inapasuka😂
Peleka mahakamani tena na rushwa toa wamfungie ata wiki kabla hajalipa failing shenzi zake
Alipee
wap apo Dotto magari
Kufikishana ndo nini? Masoud ndo anampeleka Mwijaku mahakamani
Bila kuni, moto huzimika; bila mchochezi, ugomvi humalizika, Bila kuni moto huzimika; pasipo uchongezi ugomvi humalizika, Moto hufa kwa kukosa kuni; Na bila mchongezi fitina hukoma.
Ninauliza ile nyumban yake meijaku anauza Bei gan aje nimununulie na laki 1
Uwo unaitwa msako mkali mama mkanye mwanaye kayatimba 😏😏😏
Expensive Lawsuit
Huyu mwijaku ni mropokaji sana pamoja na baba levo
DC kayakanyaga😂😂