DUH! MPINA NA BASHE WARUSHIANA MANENO MAKALI BUNGENI SPIKA AINGILIA KATI NA KU..

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • DUH! MPINA NA BASHE WARUSHIANA MANENO MAKALI BUNGENI SPIKA AINGILIA KATI NA KU..
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    #mpina #bashe #mpinavsbashe #luhagampina #husseinbashe
    #mwigulu #atajasababuyakutumbuliwa #uwaziri #magufuli #mwiguluvsmagufuli #bungelabajeti
    #kinachoendeleasimba #bilioni20 #pesazipowapi
    #halimamdee #mwigulu #halimavsmwigulu #wabunge #simbasc #yangasc #simbaleo #yangaleo
    #rcmakondaarumeru
    #ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 57

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 3 месяца назад +6

    Kanatudanganya na kiingereza chake. Mheshimiwa Mpina hongera sana

    • @JohnKabuka-o7h
      @JohnKabuka-o7h 3 месяца назад

      Waziri wa kilimo Yuko sawa
      Ila wewe ndio haupo sawa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +3

    Mpina baba tunakupongeza. Utachukiwa na wachache, lakini utakuwa hero kwa watanzania wengi, na Mungu atakusimamia. Africa ni masikini kwa uongozi mbaya wa watu wenye ubinafsi mkubwa. Nchi yetu ni tajiri, kusingekuwa na watu wanalala na njaa, wala tusinge tangatanga kukopa fedha hovyo kama sio wizi na ubinafsi wa baadhi ya viongozi wetu

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 3 месяца назад

    Mpina big up Kaka God with you

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад +2

    Wanampigia makofi fisadi mwenzao

  • @NAFTALIMUNDANGA
    @NAFTALIMUNDANGA 3 месяца назад +2

    Huyu Bashe ni Mwizi hafai hata kuwa hapo Bungeni. Anastahili kuwa kuwa jela saa hii

    • @lilmojr7
      @lilmojr7 3 месяца назад +1

      Unaweza kutupa ushahidi wa wizi wake? angalia usije wewe ndio ukaenda jela chunga kauli zako zisije kukuweka pabaya

    • @jumajoseph9353
      @jumajoseph9353 3 месяца назад

      Usimtishe

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 месяца назад

      Kwel kabisaa mwizi huyuu

  • @dalmasmzalendo727
    @dalmasmzalendo727 3 месяца назад +3

    Binafsi Dr.Tulia niseme tu bila kumngunya maneno unajua sheria

  • @SamweliKazembe-jv3ft
    @SamweliKazembe-jv3ft 3 месяца назад

    Viongozi wa Nchi hii hv hawajui kama yupo MUNGU mwenye Tanzania kabla yao

  • @elikanaernesti8440
    @elikanaernesti8440 3 месяца назад +2

    Yaan wewe ndo baada tukuulize kwann viwanda havizalishi sukuri haya Sasa umeluhusu vibal kwa mjibu wa Nan bunge halijui

  • @AyoubPapiy
    @AyoubPapiy 3 месяца назад

    Nilijua bashe alete ushahidi kumbe mpina ndiyo alete ushahidi wa kuthibitisha uwongo wa bashe😂😂😂😂😂

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 3 месяца назад +2

    Huyu jamaa hamna kitu

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +2

    Bashe usitumie jina la Mungu vibaya huku munajitajirisha na kuacha watanzania wengine wakiteseka. Tanzania ni nchi tajiri sana, Ila Utajiri wake unatumiwa na watu wachache. Bashe kwa report ya Mpina na ushahidi alioutowa, unaliangusha taifa hili. Maneno matamu, lakini kuna tatizo kubwa. Rais akifumbia macho ushahidi huu, basi watanzania kateni tamaa. Wiązara ya kilimo inahitaji Muzalendo Kama Muheshimiwa POLEPOLE kukuza uchami wa Tanzania na kuwainuwa watanzania masikini. Rais na Bunge lisifumbie macho jambo hili. Watanzania wengi wanaotegemea kilimo.. Kilimo ni tegemeo kubwa kwa watanzania walio wengi. Hapa Rais na bunge lisiwe chura kiziwi. BASHE MUST GO.

  • @Lusambosports
    @Lusambosports 3 месяца назад

    Mimi nimekuelewa sanna mheshimiwa bashe, mungu akubariki.

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад +1

      Amubaliki kwa ujanja wa kupindisha sheria? Umemuelewa kwa vipi?

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 3 месяца назад

      Hujui chochote

    • @JamalDaudlulyeho
      @JamalDaudlulyeho 3 месяца назад

      Tunasumbiliwa na wakimbiz mamae zake analeta kingereza Cha kichoko2

    • @Mima-cl2im
      @Mima-cl2im 3 месяца назад

      @@JamalDaudlulyeho anaona watanzania ni wajinga. Siamini huyu ni mtanzania

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 3 месяца назад +1

    Jamani acheni uongo pamoja na sukari kupànda bei ila hakufikia 10000 kwa kg

  • @abdulmajidmageja6562
    @abdulmajidmageja6562 3 месяца назад

    Unajua huyu bashe kumpa uwaziri mmemharibu. Zamani alikua kifaasana ktk kutetea wananchi

  • @Muhairy
    @Muhairy 3 месяца назад

    Waziri bashe anapija kazi uyo mpina hana lolote roho mbaya inamsubua tu ulipokuwa waziri ww hukufanya lolote kwaiyo tulia acha pwapwaja

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 3 месяца назад

    Sasa si angesibitisha au

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 3 месяца назад +5

    Mimi aona vizuri sukari ikosekane maana sukari huleta mazara

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад

    Bashe siyo mtu wa kumchezea

  • @KejoZakaria
    @KejoZakaria 3 месяца назад

    Pale mtu anapoanza kumshukuru spika halafu mungu baada ya spika da😂

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад +1

    NA KWA NINI UWAPE VIBALI VYA KUINGIZA BADALA YA KUTENGENEZA SUKARI? NA KWA NINI HAMUWAPI WAZUNGU HIVO VIWANDA BADALA YA WAHINDI?.

    • @othumanlorenzo260
      @othumanlorenzo260 3 месяца назад

      ngoja nikupe eleimu huwa viwanda vyetu hata vikizalisha huwa kuna gape la karibu tani laki mbili, hivyo kuna vunali vinapewa viwanda ili viagize kupunguza hiyo skasiti..... na kwanini wanapewa wao wenye viwanda kwa sababu ya kuwainda wao na viwanda vyao ukiwapa wafanya biashara peke yao ambao hawana viwanda utaua viwanda vyenyewe

    • @mohdkhamis2914
      @mohdkhamis2914 3 месяца назад

      Wazungu si munasema wanaleta ushoga mbona hamueleweki

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 3 месяца назад

    Nape anafanya mchezo na Bashe

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      Bashe ni mwizi wa kutupwa!

  • @ELIAMbise-sy5ue
    @ELIAMbise-sy5ue 3 месяца назад

    Mtu mwenye maneno mengi muongo sana

  • @alexnshushi510
    @alexnshushi510 3 месяца назад

    Kuna mda lazima tumpe maua yake uyu waziri kwani anajitoa kwa maslai makubwa ya wananchi maskini awa ma distributor walitaka kuli monopolize hili soko la sukari..na kupanga bei watakavyo wao..sasa tusiongelee ushabiki na ku beza juhudi zote za serikali..

  • @saidkanji9882
    @saidkanji9882 3 месяца назад

    Mpina muongosana

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina 3 месяца назад

    Mnajipa utukufu

  • @VicentFrancis-yx1dg
    @VicentFrancis-yx1dg 3 месяца назад

    Alete ushaidi haraka

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina 3 месяца назад

    Bunge tukufu????

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 месяца назад

    Haijafika sh 10,000 wewe ni muongo Badhe

  • @joscamwoshezi2986
    @joscamwoshezi2986 3 месяца назад +1

    Mpina ni mnafiki tu.Akiwa waziri yalimshinda

    • @st.alvincollege6184
      @st.alvincollege6184 3 месяца назад +1

      Kajicheke mwenyewe sasa ukisikiliza ushahid alotoa mpina,, utatamani ukojoe ukalale kuku ww

    • @nelsonmgaya1490
      @nelsonmgaya1490 3 месяца назад

      ​@@st.alvincollege6184True!

    • @JamalDaudlulyeho
      @JamalDaudlulyeho 3 месяца назад

      We naye unashwa mkundu siyo mbona unatetea uovu unafurahishwa na anachokifanya huyo mkimbizi huon Kama watanzani masikini anawanyanyasa kwa ajili ya tumbo lake acheni ujinga bana

  • @gikadotv2148
    @gikadotv2148 3 месяца назад

    Vyuma kwa vyuma 😂

  • @aidanmgimwa5459
    @aidanmgimwa5459 3 месяца назад

    Mfikirie kwa makini Huyu Mpina alishashindwa uwaziri anachofanya Sasa ni kuvuruga wanao
    fanya vizuri

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 3 месяца назад +3

    HALAFU ETI WATANZANIA TUNASEMA IFIKAPO 2025 TUMCHAGUE TENA RAIS WAKATI TUNATESEKA NA SERIKALI HII. HIVI SISI WATANZANIA TUMEROGWA AU NINI?. TUJARIBU NA CHAMA KINGINE JAMANI. MIMI NI CCM, LAKINI KWA HALI HII !!.

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад +1

    On my side mpina vary brave politician into this group call themselves palament voice to Tanzania population but not mpina vary brave politician face to face to this Samia sluu Hasan minister Rong doing although there are crush agest mpina but is the vision into ccm Rong doing the are things ccm leadership have to asepty Rong doing

  • @amosdickson6318
    @amosdickson6318 3 месяца назад

    Hawa majambazi,
    Washasema bei za sukari ni chini ya 3200. Bado tukaendelea kununua sukari 10,000/=
    Huyu Bashe anamiliki propaganda za kutosha
    Muulize amechukua hatua gani kwa hao walioshindwa kuleta Sukari.
    Mpina kaza buti tunajua una mzigo mzito wa kuisema kweli katkat ya hao wanafiki