DUH! MPINA NA BASHE WARUSHIANA MANENO MAKALI BUNGENI SPIKA AINGILIA KATI NA KU..
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- DUH! MPINA NA BASHE WARUSHIANA MANENO MAKALI BUNGENI SPIKA AINGILIA KATI NA KU..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
#mpina #bashe #mpinavsbashe #luhagampina #husseinbashe
#mwigulu #atajasababuyakutumbuliwa #uwaziri #magufuli #mwiguluvsmagufuli #bungelabajeti
#kinachoendeleasimba #bilioni20 #pesazipowapi
#halimamdee #mwigulu #halimavsmwigulu #wabunge #simbasc #yangasc #simbaleo #yangaleo
#rcmakondaarumeru
#ARUSHAYASIMAMA #MKASAWAKUSIKITISHA #RCMAKONDA #rcmakondamonduli #rcmakondamonduli #MAKONDALIVE #makonda #makondaleo #makondakaratu #karatu - Развлечения
Kanatudanganya na kiingereza chake. Mheshimiwa Mpina hongera sana
Waziri wa kilimo Yuko sawa
Ila wewe ndio haupo sawa
Mpina baba tunakupongeza. Utachukiwa na wachache, lakini utakuwa hero kwa watanzania wengi, na Mungu atakusimamia. Africa ni masikini kwa uongozi mbaya wa watu wenye ubinafsi mkubwa. Nchi yetu ni tajiri, kusingekuwa na watu wanalala na njaa, wala tusinge tangatanga kukopa fedha hovyo kama sio wizi na ubinafsi wa baadhi ya viongozi wetu
Mpina big up Kaka God with you
Wanampigia makofi fisadi mwenzao
Huyu Bashe ni Mwizi hafai hata kuwa hapo Bungeni. Anastahili kuwa kuwa jela saa hii
Unaweza kutupa ushahidi wa wizi wake? angalia usije wewe ndio ukaenda jela chunga kauli zako zisije kukuweka pabaya
Usimtishe
Kwel kabisaa mwizi huyuu
Binafsi Dr.Tulia niseme tu bila kumngunya maneno unajua sheria
Viongozi wa Nchi hii hv hawajui kama yupo MUNGU mwenye Tanzania kabla yao
Yaan wewe ndo baada tukuulize kwann viwanda havizalishi sukuri haya Sasa umeluhusu vibal kwa mjibu wa Nan bunge halijui
Nilijua bashe alete ushahidi kumbe mpina ndiyo alete ushahidi wa kuthibitisha uwongo wa bashe😂😂😂😂😂
Huyu jamaa hamna kitu
Bashe usitumie jina la Mungu vibaya huku munajitajirisha na kuacha watanzania wengine wakiteseka. Tanzania ni nchi tajiri sana, Ila Utajiri wake unatumiwa na watu wachache. Bashe kwa report ya Mpina na ushahidi alioutowa, unaliangusha taifa hili. Maneno matamu, lakini kuna tatizo kubwa. Rais akifumbia macho ushahidi huu, basi watanzania kateni tamaa. Wiązara ya kilimo inahitaji Muzalendo Kama Muheshimiwa POLEPOLE kukuza uchami wa Tanzania na kuwainuwa watanzania masikini. Rais na Bunge lisifumbie macho jambo hili. Watanzania wengi wanaotegemea kilimo.. Kilimo ni tegemeo kubwa kwa watanzania walio wengi. Hapa Rais na bunge lisiwe chura kiziwi. BASHE MUST GO.
Anatumia jina la Mungu vibaya
Mimi nimekuelewa sanna mheshimiwa bashe, mungu akubariki.
Amubaliki kwa ujanja wa kupindisha sheria? Umemuelewa kwa vipi?
Hujui chochote
Tunasumbiliwa na wakimbiz mamae zake analeta kingereza Cha kichoko2
@@JamalDaudlulyeho anaona watanzania ni wajinga. Siamini huyu ni mtanzania
Jamani acheni uongo pamoja na sukari kupànda bei ila hakufikia 10000 kwa kg
Kweli
Unajua huyu bashe kumpa uwaziri mmemharibu. Zamani alikua kifaasana ktk kutetea wananchi
Waziri bashe anapija kazi uyo mpina hana lolote roho mbaya inamsubua tu ulipokuwa waziri ww hukufanya lolote kwaiyo tulia acha pwapwaja
Sasa si angesibitisha au
Mimi aona vizuri sukari ikosekane maana sukari huleta mazara
Hahaha..kila kitu kwa kiasi
Bashe siyo mtu wa kumchezea
Pale mtu anapoanza kumshukuru spika halafu mungu baada ya spika da😂
NA KWA NINI UWAPE VIBALI VYA KUINGIZA BADALA YA KUTENGENEZA SUKARI? NA KWA NINI HAMUWAPI WAZUNGU HIVO VIWANDA BADALA YA WAHINDI?.
ngoja nikupe eleimu huwa viwanda vyetu hata vikizalisha huwa kuna gape la karibu tani laki mbili, hivyo kuna vunali vinapewa viwanda ili viagize kupunguza hiyo skasiti..... na kwanini wanapewa wao wenye viwanda kwa sababu ya kuwainda wao na viwanda vyao ukiwapa wafanya biashara peke yao ambao hawana viwanda utaua viwanda vyenyewe
Wazungu si munasema wanaleta ushoga mbona hamueleweki
Nape anafanya mchezo na Bashe
Bashe ni mwizi wa kutupwa!
Mtu mwenye maneno mengi muongo sana
Kuna mda lazima tumpe maua yake uyu waziri kwani anajitoa kwa maslai makubwa ya wananchi maskini awa ma distributor walitaka kuli monopolize hili soko la sukari..na kupanga bei watakavyo wao..sasa tusiongelee ushabiki na ku beza juhudi zote za serikali..
Hauelewi wewe
Mpina muongosana
Mnajipa utukufu
Alete ushaidi haraka
Bunge tukufu????
Haijafika sh 10,000 wewe ni muongo Badhe
Mpina ni mnafiki tu.Akiwa waziri yalimshinda
Kajicheke mwenyewe sasa ukisikiliza ushahid alotoa mpina,, utatamani ukojoe ukalale kuku ww
@@st.alvincollege6184True!
We naye unashwa mkundu siyo mbona unatetea uovu unafurahishwa na anachokifanya huyo mkimbizi huon Kama watanzani masikini anawanyanyasa kwa ajili ya tumbo lake acheni ujinga bana
Vyuma kwa vyuma 😂
Mfikirie kwa makini Huyu Mpina alishashindwa uwaziri anachofanya Sasa ni kuvuruga wanao
fanya vizuri
Kwendraaaa Mpina Jembe
Hakushindwa.. ilikuwa mkakati wa kuondoa vijana wa chuma..
Hakushindwa ilikuwa mikakati ya walaji Kuondoa wa sema kweli
Binafsi naona anawasaidia ili wawe imara
HALAFU ETI WATANZANIA TUNASEMA IFIKAPO 2025 TUMCHAGUE TENA RAIS WAKATI TUNATESEKA NA SERIKALI HII. HIVI SISI WATANZANIA TUMEROGWA AU NINI?. TUJARIBU NA CHAMA KINGINE JAMANI. MIMI NI CCM, LAKINI KWA HALI HII !!.
On my side mpina vary brave politician into this group call themselves palament voice to Tanzania population but not mpina vary brave politician face to face to this Samia sluu Hasan minister Rong doing although there are crush agest mpina but is the vision into ccm Rong doing the are things ccm leadership have to asepty Rong doing
Hawa majambazi,
Washasema bei za sukari ni chini ya 3200. Bado tukaendelea kununua sukari 10,000/=
Huyu Bashe anamiliki propaganda za kutosha
Muulize amechukua hatua gani kwa hao walioshindwa kuleta Sukari.
Mpina kaza buti tunajua una mzigo mzito wa kuisema kweli katkat ya hao wanafiki