Kishimba Acheni Utaperi/Unamchukuwa mtoto Anakula Viazi Sahivi Anakula chipusi na hana Kazi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 окт 2024

Комментарии • 57

  • @emilymngongo5173
    @emilymngongo5173 3 года назад +5

    Huyu Mbunge yupo chama hicho kimfumo tu,lakini kifikra ni mtu wa upande wa akili kubwakubwa!😂😂😂

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 3 года назад +4

    noma sana kishimba unaona mbali sana dingi langu big sana mungu akulinde sababu unaskills kubwa sana

    • @willykyando5647
      @willykyando5647 2 года назад

      Kahama wanambunge mwenye maono na nimbunge wakuigwa

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 3 года назад +7

    Mbona kishimba anaiweza wizara flani👌👍
    Elimu ni cheti au ni ujuzi??
    Ndalichako, we need answers 🤣🤣🤣🙋‍♂️💪✅

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 года назад +3

    Kishimba ni jiniasi sana. Hawa ndo maprofesa

  • @ismailmohammed8418
    @ismailmohammed8418 3 года назад +4

    Msh jumanne kishimba ! Ni mkweli sana ninamfahamu sana

  • @fridayjonas9864
    @fridayjonas9864 3 года назад +2

    Naomba kuoji swala laelimu bule sawa hila elimu kwa watoto darasa la kwanza mpaka la nne mashuleni shida watoto wanasoma mwenzi ukifatilia dafutali zake zimeandikwa kulasa 6 au 4 naomba waziri atembelehe kukangua hili watoto wanafundishwa kweli kuliko kuongelea elimu bule mashuleni

  • @jumaharuna9899
    @jumaharuna9899 3 года назад +3

    Jamaa anakuaga na point sana,big up

  • @leahmgunda5055
    @leahmgunda5055 3 года назад +3

    Kumbe tuna makorokoro ndani ya mikataba yetu!!Ee Mungu tuponye .

  • @abdallahmwinyi2106
    @abdallahmwinyi2106 3 года назад +4

    Mbunge anaeongea ila si rahisi kumuelewa mungu akubariki hiyo ni sauti ya wanyonge

  • @adammakame2154
    @adammakame2154 3 года назад +3

    Mh ndalichako tujibu elimu ya Tanzania NI chet au ujuzi dah mtihn yenyewe unapimwa uwezo wa kukumbuka na co wakuelewa

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 3 года назад +2

    KISHIMBA AKISIMAMA WABUNGE HUJIANDAA KUCHEKA🤣🤣

  • @silasmichael602
    @silasmichael602 3 года назад +2

    akili kubwa sana...kiongozi wabunge kama awa ndo wanajua kili howapeleka bungeni

  • @omegageka230
    @omegageka230 3 года назад +1

    Good views and idea honourable

  • @ludobudege1662
    @ludobudege1662 3 года назад +4

    Kishimba ana nondo za kufa mtu

  • @sabunisop1050
    @sabunisop1050 2 года назад

    Kwel kabisa elimu ya tz Haina uhalisia wa maisha tulionayo,

  • @dazk7861
    @dazk7861 3 года назад +1

    Huyu jamaa ni profesa kabisaaa

  • @galasianompinge9254
    @galasianompinge9254 2 года назад

    Ningekuwa na nchi yangu Huyu ningemuweka awe mshauri Mkuu na mtekelezaji wa Mipango ya serikali

  • @bensonjr4879
    @bensonjr4879 3 года назад +2

    Big thinkers 🔥🔥🔥

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 3 года назад

    Ni kweli kabisa..unakuta mtoto wa kike anatakiwa kuvaa viatu vya kiume vyenye kamba bila hivyo anarudishwa nyumbani. watoto wakiwa boarding eti hawaruhusiwi kuongea na wazazi wao hadi siku ya mkutano wa wazazi...ni jela shule? Hio wizara haiko friendly kabisa tutaishia kufanya home schooling.
    Tunaitaji wabunge kama mhe. Kishimba. muda wa kutoa hoja ..hoja zake huwa ametafakari kwa kina..hapotezi mda kumsuta mtu.anawakilisha kweli kweli!

  • @eatlawe
    @eatlawe 3 года назад +2

    Hivi vyuo vikuu viko wapi ili atunukiwa udaktari huyo? Haya kama hilo haliwezekani basi waalikwe vyuoni kutoa lecture na kuulizwa maswali. Mtu mwenyewe tajiri na anajiamini wa;a haoni ameokotwaa jalalani pamoja na kuwa ni darasa la 7? Hazina hizi!

  • @prophetosmusa555
    @prophetosmusa555 3 года назад +1

    Huyu nimubunge makini na mwenye maono makubwa sana Mungu akubariki baba

  • @polepolemgentz5784
    @polepolemgentz5784 3 года назад +3

    Huyu sasa ndo mtetez wawa nyonge bungen

  • @maulidkiswaga1906
    @maulidkiswaga1906 2 года назад

    Uyu mze inatakiwa utulize kichwa sana anaongeya vitu vyamana sana

  • @mohamnedsalum2150
    @mohamnedsalum2150 3 года назад +5

    Safi sana wateteni wanyonge

  • @newstanzania7429
    @newstanzania7429 3 года назад +1

    Fact mh kishimba

  • @procesiuprosper4167
    @procesiuprosper4167 3 года назад

    elimu ya tanzania ni ya hajabu sana asante mheshimiwa kwa ukweli uho ingawa najua kufanyiwa kazi ni ngumu ndio maana baada ya kusikiliza na kuelewa wana cheka

  • @swahumukareemu7224
    @swahumukareemu7224 Год назад

    Mzee makini sana

  • @davidnzogera8770
    @davidnzogera8770 3 года назад +1

    huyu mzee ana akili sana🤣

  • @francistsii5135
    @francistsii5135 3 года назад +1

    Kishimba ni akili kubwa sanaaaaaa

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 2 года назад

    Kishimba unaleta utani kwenye Mambo ya msingi, wizara ya Elimu, itafute mbinu ili viwanda vya kutengeneza viatu vipelekwe mashuleni

  • @linusisiyovizurikumkanamza7622
    @linusisiyovizurikumkanamza7622 2 года назад

    Mh kishimba uko sahihi kwa mawazo yako

  • @hatibuahmadi7237
    @hatibuahmadi7237 3 года назад

    Nakukubali Sana mzee

  • @mosesthindwa2424
    @mosesthindwa2424 3 года назад

    Nasikia mbunge huyu mnamwita profesa,hamjakosea ni mtu anaepambana na mazingira yake co hao wanaopambana na ulimwengu wa ulaya

  • @mwalumogomsigwa856
    @mwalumogomsigwa856 2 года назад

    Namkubali uyu had napata tabu

  • @procesiuprosper4167
    @procesiuprosper4167 3 года назад

    hakika mbunge huyu anaongea ukweli nyinyi mnao husika mawaziri na makatibu wa hizo wizara yafanyie kazi

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    HuyumwambA aje mbogwe labuda tutapona huyujamaa tuliee naee hatumuerew anachofanyahuko

  • @shukurukihwelo3084
    @shukurukihwelo3084 3 года назад

    Nimekuelewa

  • @abdulmalikiramadhani8067
    @abdulmalikiramadhani8067 3 года назад

    Aisee huyu mbunge nishinda

  • @Emmamusiccmb
    @Emmamusiccmb 3 года назад

    *Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba angalia video ya wimbo wangu mpya kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba SUBSCRIBE kwenye channel ili niweze kumonitize channel yangu*

  • @stephenkuoko3182
    @stephenkuoko3182 3 года назад

    Cheti ni kielelezo kuwa umesoma shule fulani

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +1

    Mh unaongea ukweli ambao Wizara na bodi za shule lazima zijirekebishe . Huyu Mh anspomzungumzia mlala hoi yuko makini. Hata uji hajanywa hadi saa kumi halafu anatembea klm 12 kurudi nyumbani. Elimu ya Tz imefikia wakati taifa liamue iweje baada ya miaka 60.

    • @lucymbago3645
      @lucymbago3645 3 года назад

      Yan kwakwel kz hio inakufaa naunaona mbali

  • @dominickgeorge2821
    @dominickgeorge2821 3 года назад

    Anafaa kuwa rais

  • @gervasisaya3599
    @gervasisaya3599 3 года назад +1

    Ongea

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 3 года назад

    R.i.p jpm daaah 😂😂😂😂

  • @eliachisongela859
    @eliachisongela859 3 года назад

    Huyu mzee ana akili nyingi sans ambazo zimewazidi wasomi njaa

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 3 года назад +1

    Vp

  • @fatumachagudadui3138
    @fatumachagudadui3138 3 года назад

    Umeonge points

  • @benythogilbert4748
    @benythogilbert4748 3 года назад

    Eq