Naomba kuoji swala laelimu bule sawa hila elimu kwa watoto darasa la kwanza mpaka la nne mashuleni shida watoto wanasoma mwenzi ukifatilia dafutali zake zimeandikwa kulasa 6 au 4 naomba waziri atembelehe kukangua hili watoto wanafundishwa kweli kuliko kuongelea elimu bule mashuleni
Ni kweli kabisa..unakuta mtoto wa kike anatakiwa kuvaa viatu vya kiume vyenye kamba bila hivyo anarudishwa nyumbani. watoto wakiwa boarding eti hawaruhusiwi kuongea na wazazi wao hadi siku ya mkutano wa wazazi...ni jela shule? Hio wizara haiko friendly kabisa tutaishia kufanya home schooling. Tunaitaji wabunge kama mhe. Kishimba. muda wa kutoa hoja ..hoja zake huwa ametafakari kwa kina..hapotezi mda kumsuta mtu.anawakilisha kweli kweli!
Hivi vyuo vikuu viko wapi ili atunukiwa udaktari huyo? Haya kama hilo haliwezekani basi waalikwe vyuoni kutoa lecture na kuulizwa maswali. Mtu mwenyewe tajiri na anajiamini wa;a haoni ameokotwaa jalalani pamoja na kuwa ni darasa la 7? Hazina hizi!
elimu ya tanzania ni ya hajabu sana asante mheshimiwa kwa ukweli uho ingawa najua kufanyiwa kazi ni ngumu ndio maana baada ya kusikiliza na kuelewa wana cheka
*Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba angalia video ya wimbo wangu mpya kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba SUBSCRIBE kwenye channel ili niweze kumonitize channel yangu*
Mh unaongea ukweli ambao Wizara na bodi za shule lazima zijirekebishe . Huyu Mh anspomzungumzia mlala hoi yuko makini. Hata uji hajanywa hadi saa kumi halafu anatembea klm 12 kurudi nyumbani. Elimu ya Tz imefikia wakati taifa liamue iweje baada ya miaka 60.
Huyu Mbunge yupo chama hicho kimfumo tu,lakini kifikra ni mtu wa upande wa akili kubwakubwa!😂😂😂
noma sana kishimba unaona mbali sana dingi langu big sana mungu akulinde sababu unaskills kubwa sana
Kahama wanambunge mwenye maono na nimbunge wakuigwa
Mbona kishimba anaiweza wizara flani👌👍
Elimu ni cheti au ni ujuzi??
Ndalichako, we need answers 🤣🤣🤣🙋♂️💪✅
Kishimba ni jiniasi sana. Hawa ndo maprofesa
Msh jumanne kishimba ! Ni mkweli sana ninamfahamu sana
Naomba kuoji swala laelimu bule sawa hila elimu kwa watoto darasa la kwanza mpaka la nne mashuleni shida watoto wanasoma mwenzi ukifatilia dafutali zake zimeandikwa kulasa 6 au 4 naomba waziri atembelehe kukangua hili watoto wanafundishwa kweli kuliko kuongelea elimu bule mashuleni
Jamaa anakuaga na point sana,big up
Kumbe tuna makorokoro ndani ya mikataba yetu!!Ee Mungu tuponye .
Mbunge anaeongea ila si rahisi kumuelewa mungu akubariki hiyo ni sauti ya wanyonge
Mh ndalichako tujibu elimu ya Tanzania NI chet au ujuzi dah mtihn yenyewe unapimwa uwezo wa kukumbuka na co wakuelewa
KISHIMBA AKISIMAMA WABUNGE HUJIANDAA KUCHEKA🤣🤣
akili kubwa sana...kiongozi wabunge kama awa ndo wanajua kili howapeleka bungeni
Good views and idea honourable
Kishimba ana nondo za kufa mtu
Kwel kabisa elimu ya tz Haina uhalisia wa maisha tulionayo,
Huyu jamaa ni profesa kabisaaa
Ningekuwa na nchi yangu Huyu ningemuweka awe mshauri Mkuu na mtekelezaji wa Mipango ya serikali
Big thinkers 🔥🔥🔥
Ni kweli kabisa..unakuta mtoto wa kike anatakiwa kuvaa viatu vya kiume vyenye kamba bila hivyo anarudishwa nyumbani. watoto wakiwa boarding eti hawaruhusiwi kuongea na wazazi wao hadi siku ya mkutano wa wazazi...ni jela shule? Hio wizara haiko friendly kabisa tutaishia kufanya home schooling.
Tunaitaji wabunge kama mhe. Kishimba. muda wa kutoa hoja ..hoja zake huwa ametafakari kwa kina..hapotezi mda kumsuta mtu.anawakilisha kweli kweli!
Hivi vyuo vikuu viko wapi ili atunukiwa udaktari huyo? Haya kama hilo haliwezekani basi waalikwe vyuoni kutoa lecture na kuulizwa maswali. Mtu mwenyewe tajiri na anajiamini wa;a haoni ameokotwaa jalalani pamoja na kuwa ni darasa la 7? Hazina hizi!
Huyu nimubunge makini na mwenye maono makubwa sana Mungu akubariki baba
Huyu sasa ndo mtetez wawa nyonge bungen
Uyu mze inatakiwa utulize kichwa sana anaongeya vitu vyamana sana
Safi sana wateteni wanyonge
Uyu mbunge mungu amuweke kwakweli
Fact mh kishimba
elimu ya tanzania ni ya hajabu sana asante mheshimiwa kwa ukweli uho ingawa najua kufanyiwa kazi ni ngumu ndio maana baada ya kusikiliza na kuelewa wana cheka
Mzee makini sana
huyu mzee ana akili sana🤣
Kishimba ni akili kubwa sanaaaaaa
Kishimba unaleta utani kwenye Mambo ya msingi, wizara ya Elimu, itafute mbinu ili viwanda vya kutengeneza viatu vipelekwe mashuleni
Mh kishimba uko sahihi kwa mawazo yako
Nakukubali Sana mzee
Nasikia mbunge huyu mnamwita profesa,hamjakosea ni mtu anaepambana na mazingira yake co hao wanaopambana na ulimwengu wa ulaya
Namkubali uyu had napata tabu
hakika mbunge huyu anaongea ukweli nyinyi mnao husika mawaziri na makatibu wa hizo wizara yafanyie kazi
HuyumwambA aje mbogwe labuda tutapona huyujamaa tuliee naee hatumuerew anachofanyahuko
Nimekuelewa
Aisee huyu mbunge nishinda
*Tafadhali kwa heshima na taadhima nakuomba angalia video ya wimbo wangu mpya kwa kugusa picha yangu hapo pembeni lakini pia naomba SUBSCRIBE kwenye channel ili niweze kumonitize channel yangu*
Cheti ni kielelezo kuwa umesoma shule fulani
Mh unaongea ukweli ambao Wizara na bodi za shule lazima zijirekebishe . Huyu Mh anspomzungumzia mlala hoi yuko makini. Hata uji hajanywa hadi saa kumi halafu anatembea klm 12 kurudi nyumbani. Elimu ya Tz imefikia wakati taifa liamue iweje baada ya miaka 60.
Yan kwakwel kz hio inakufaa naunaona mbali
Anafaa kuwa rais
Ongea
Safiii
Nakubali san
R.i.p jpm daaah 😂😂😂😂
R.I.P
Kaka Magufuli alitaka unganisha nguvu na Kishimba ila ndio ovyo
@@mosesthindwa2424 kweli kabisa
Huyu mzee ana akili nyingi sans ambazo zimewazidi wasomi njaa
Vp
Umeonge points
Shikamoooo mbunge wangu
Eq