KISHIMBA aendeleza hoja zake konki Bungeni ''anajua sana aise, lazima utamkubali''

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Karibu Gilly Bonny Online Tv Channel ambayo imesajiliwa TCRA kwa ajili ya kukuletea habari kubwa za kisiasa, kijamii, kiuchumi na matukio yote muhimu yanazojiri Tanzania na nje ya Nchi kwa wakati sahihi kila siku:
    Kama bado huja-Subscribe tafadhali hakikisha unafanya hivyo muda huu kisha bofya kengele ya Notification ili kuwa wa kwanza kupata taarifa na habari zote tunazoziweka kila wakati.
    Ku-Subscribe bofya hapa- / @gillybonnytv
    Instagram tunapatikana @ / gillybonny_gilbert
    Facebook page tunapatikana @ Gilly Bonny Online Tv
    Wasiliana nasi kwa email -gillybonny1991@gmail.com
    unaweza pia kutuma habari yako kwa email- gillybonny1991@gmail.com
    Karibu sana Gilly Bonny Online Tv

Комментарии • 53

  • @GillyBonnyTv
    @GillyBonnyTv  2 года назад

    TOA MAONI YAKO HAPA NI MUHIMU SANA

  • @damianoadam1041
    @damianoadam1041 2 года назад +1

    Naomba likes za Professor Kishimba.very smart and real

  • @georgeanthony9075
    @georgeanthony9075 2 года назад +4

    Tunahitaji viongozi wengine wawe mfano kwa huyu MBUNGE. Safi Sana.

  • @shaabanadamu5522
    @shaabanadamu5522 Год назад

    Professor Jumanne Kishimba 👏

  • @robertkagudu9937
    @robertkagudu9937 2 года назад +2

    kishimba wew tegemeo kanda ya ziwa unamaarifa mengi sana ya kusaidia taifa la tz maana hali ya maisha huku kijiji ni nguvu sana bati

  • @imaamgharithauri1059
    @imaamgharithauri1059 2 года назад

    Namshikuru Mungu kwa nafasi aliyonipa nalima na naishi vizuri na nachangia pato kubwa kwa Serikali na naipenda Sana nchi yangu Tanzania

  • @Lo-33
    @Lo-33 2 года назад +2

    Very creativity man DA aah!

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 2 года назад

    Asante mzee nakuelewa Sana

  • @fjafrica62
    @fjafrica62 2 года назад +2

    Pamoja sana mkuu

  • @mgesimarwa702
    @mgesimarwa702 2 года назад +7

    Huyu ndiye mbunge aliyetumwa kusemea wananchi watanzania, siyo wa kahama Tu, binafsi napenda hoja zake mara nyingi ni hoja za msingi

    • @kinondoni4668
      @kinondoni4668 2 года назад +1

      Akikusomesha mwanae.mnaingia mkataba wa deni.ukimalizia masomo ukumbuke kuna deni la mkata . Ni kiboko ananyoosha reli.

    • @dangsonspiter5068
      @dangsonspiter5068 2 года назад

      Mh. KISHIMBA wewe unamawazo na akili zaidi ya ma PROFESA,hongera sana serikali imsikilize mawazo yake mazuri sana.

  • @ayubumoha6313
    @ayubumoha6313 2 года назад +1

    Hamia Kanda ya kati uko vizuri

  • @imaamgharithauri1059
    @imaamgharithauri1059 2 года назад +2

    Ila naamini wapo watu wengi ndoto zao zimekufa kabisa kwasababu ya haki ya elimu hatimaye lazima watakua na mawazo hasi zidi ya Serikali na jamii kwa ujumla inakosa maendeleo kwa wakati
    Muheshiwa Raisi kwa nafasi yako liangalie hili kwa makini Sana na utusaidie tuweze kua raia wenye uzalendo na upendo wa nchi na ujasiri wa kuleta maendeleo

  • @tatutoba9883
    @tatutoba9883 2 года назад +1

    Namkubali Sana huyu mbunge ana hekima kubwa

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +2

    yuko..sawa... ogopa mtu ambaye hajaenda shule kwa kiwango kikubwa lakini ametafuta mali na ameajili wasomi kibao.... hekma...busara...

  • @NgoshaMsukuma-xg8mq
    @NgoshaMsukuma-xg8mq 6 месяцев назад

    Afaa sana kupewa widhara ya elimu.

  • @veronicambilinyi3854
    @veronicambilinyi3854 2 года назад +1

    Duh! Watu wema kama hawa wanamaisha mafupi aisee

  • @imaamgharithauri1059
    @imaamgharithauri1059 2 года назад +2

    Muheshimiwa Mbunge maneno yako na hoja zako ni sahihi mm binafsi nilikua mwanafunzi Bora wa pili Zanzibar katika mitihani ya Fll 2006 lkn Cha kushangaza FlV 2008 tulifutiwa matokea watu 11 na kila tulipojaribu kurudia mitihani hatukupata kitu hatimaye tukaishia kuuza duka na kulima mpaka leo

  • @blysonjoseph80
    @blysonjoseph80 2 года назад +3

    Huyu jamaaa apewe kipindi kwenye radio hata tbc awe anatoa somo Kila cku angalau

    • @fadyshaby8320
      @fadyshaby8320 2 года назад

      Yaan kwa kusema hili tuu.....nmekukubareeeeeee

  • @NgoshaMsukuma-xg8mq
    @NgoshaMsukuma-xg8mq 6 месяцев назад

    Huyu professor kishimba anaipambanania sana inshu ya elimu apewe tu uwadhili wa elemu tunaamini atafanya vizuri sana

  • @jeraldkaegele6485
    @jeraldkaegele6485 2 года назад

    Wise knowledge

  • @emanuelsamson-hq2jv
    @emanuelsamson-hq2jv Год назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 2 года назад +2

    Safi sana mbunge Kishimba

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 2 года назад +2

    Kishimba nikiboko,

  • @salminiissa71
    @salminiissa71 2 года назад

    Kweli umetumwa nawananchi

  • @eladiuspeter586
    @eladiuspeter586 2 года назад +1

    Swala la kufuta mtihani umeongea point sana

  • @nardinmohamed226
    @nardinmohamed226 2 года назад +1

    Akili kubwa

  • @mgesimarwa702
    @mgesimarwa702 2 года назад

    Si sahihi kabisa

  • @kudraahmad5670
    @kudraahmad5670 2 года назад +1

    Akili kubwa mh kishimba

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 2 года назад

    Huo ndio ukweli anao ongea professor kishimba

  • @abuubakarihussein2664
    @abuubakarihussein2664 2 года назад +1

    Siku yaqiyama Kunamambo mazito sana

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 года назад +1

    Mheshimiwa Rais me naomba mtizame huyu mzee kwa jicho la tatu..anaakili ya ziada

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339 2 года назад +1

    huyu jamaa ana akili Sana, ni utaratibu tu wa hayo mabati

  • @gidyonmshani5259
    @gidyonmshani5259 2 года назад +1

    Mh pr kishimba 2025 njoo ugombee ubunge kwetu mkoa wa Mbeya Jimbo la kyela,,

  • @ffanklleopord5998
    @ffanklleopord5998 2 года назад

    Nimekuelewa

  • @johnleonard4835
    @johnleonard4835 2 года назад +1

    Kishimba kunywa soda ninakuja kulipa popote ulipo

  • @denismayunga4594
    @denismayunga4594 2 года назад +2

    Siku zote kaka yangu hujawahi kosema, pia wewe ni jirani yangu wa jimbo upande wa Kata ya Puni shy dc na Isaka khm msp.

  • @jamessteven5293
    @jamessteven5293 2 года назад

    Watu kama hawa ni wachache sana, alafu wana mpuuzia tu huyu mbunge kaongea point sana

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph5458 2 года назад

    Selikali hii yaurithi haiwajui wananchi wanyonge

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 года назад

    Kwann lakin mtu Kama huyu asipewa wizara tuone hii akili aki tutakuwa Kama China watu Kama hawa ni zawadi

  • @emmanuelyjohn3555
    @emmanuelyjohn3555 2 года назад +1

    Huyu mbunge ana mafunuo makubwa

  • @priscampagama9939
    @priscampagama9939 2 года назад +1

    Fact

    • @silvesterdamas8469
      @silvesterdamas8469 2 года назад

      Mzee uko sawa kabisaa.

    • @mgesimarwa702
      @mgesimarwa702 2 года назад

      Mh, kishimba anastahili zaidi ya ubunge, sema Tu , nchi hii ina longolongo nyingi, kusema ukweli anaongea mambo ya msingi, Sana kwa taifa hili

  • @richardfocus5859
    @richardfocus5859 2 года назад +1

    Sawa mawazo kuntu

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 года назад

    Huyu mbunge baada ya kuongelea mafuta na yeye hajui kama mafuta bei iko juu,

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 2 года назад

    Shida hapo selekali wanachukulia kama kichekesho tu wakati kishimba kaongea vitu vysmaana kweli kwahawa wataalam hawawezi kufikilia kubuni njia rahisi kwawananchi wenyekipato chachini

    • @asteriambwei3349
      @asteriambwei3349 2 года назад

      Kishimba hoyeeee yaani kwanini huyu Baba asiwe waziri ana akili za ukweli nampendaga anaongea ukweli mtupu nakupenda Sana ukichangia mada nakauka mbavu Kwa kucheka maana ni kweli

  • @imaamgharithauri1059
    @imaamgharithauri1059 2 года назад

    Kwahakika roho iliniuma Sana kwasababu nilisoma kwa bidii Sana ktk mazingira magumu mno lkn Serikali hata haikufiri au kufanya hata uchunguzi kwakweli wizara ya elimu inakazi kubwa ya kuangalia haki za wanafunzi coz nchi inapoteza watu muhimu Sana ktk ujenzi wa taifa hakuna anayejua Nani atakua na wazifa gani baadae

    • @Ahmadasshii-raazy8888
      @Ahmadasshii-raazy8888 2 года назад

      Pole sana kaka yangu ni katika changamoto habari yako ndogo na umeandika kwa ufupi sana ila maudhui yake yamenisisimua sana