KISHIMBA aendeleza hoja zake konki Bungeni ''anajua sana aise, lazima utamkubali''
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Karibu Gilly Bonny Online Tv Channel ambayo imesajiliwa TCRA kwa ajili ya kukuletea habari kubwa za kisiasa, kijamii, kiuchumi na matukio yote muhimu yanazojiri Tanzania na nje ya Nchi kwa wakati sahihi kila siku:
Kama bado huja-Subscribe tafadhali hakikisha unafanya hivyo muda huu kisha bofya kengele ya Notification ili kuwa wa kwanza kupata taarifa na habari zote tunazoziweka kila wakati.
Ku-Subscribe bofya hapa- / @gillybonnytv
Instagram tunapatikana @ / gillybonny_gilbert
Facebook page tunapatikana @ Gilly Bonny Online Tv
Wasiliana nasi kwa email -gillybonny1991@gmail.com
unaweza pia kutuma habari yako kwa email- gillybonny1991@gmail.com
Karibu sana Gilly Bonny Online Tv
TOA MAONI YAKO HAPA NI MUHIMU SANA
Naomba likes za Professor Kishimba.very smart and real
Tunahitaji viongozi wengine wawe mfano kwa huyu MBUNGE. Safi Sana.
Professor Jumanne Kishimba 👏
kishimba wew tegemeo kanda ya ziwa unamaarifa mengi sana ya kusaidia taifa la tz maana hali ya maisha huku kijiji ni nguvu sana bati
Namshikuru Mungu kwa nafasi aliyonipa nalima na naishi vizuri na nachangia pato kubwa kwa Serikali na naipenda Sana nchi yangu Tanzania
Very creativity man DA aah!
Asante mzee nakuelewa Sana
Pamoja sana mkuu
Huyu ndiye mbunge aliyetumwa kusemea wananchi watanzania, siyo wa kahama Tu, binafsi napenda hoja zake mara nyingi ni hoja za msingi
Akikusomesha mwanae.mnaingia mkataba wa deni.ukimalizia masomo ukumbuke kuna deni la mkata . Ni kiboko ananyoosha reli.
Mh. KISHIMBA wewe unamawazo na akili zaidi ya ma PROFESA,hongera sana serikali imsikilize mawazo yake mazuri sana.
Hamia Kanda ya kati uko vizuri
Ila naamini wapo watu wengi ndoto zao zimekufa kabisa kwasababu ya haki ya elimu hatimaye lazima watakua na mawazo hasi zidi ya Serikali na jamii kwa ujumla inakosa maendeleo kwa wakati
Muheshiwa Raisi kwa nafasi yako liangalie hili kwa makini Sana na utusaidie tuweze kua raia wenye uzalendo na upendo wa nchi na ujasiri wa kuleta maendeleo
Namkubali Sana huyu mbunge ana hekima kubwa
yuko..sawa... ogopa mtu ambaye hajaenda shule kwa kiwango kikubwa lakini ametafuta mali na ameajili wasomi kibao.... hekma...busara...
Afaa sana kupewa widhara ya elimu.
Duh! Watu wema kama hawa wanamaisha mafupi aisee
Muheshimiwa Mbunge maneno yako na hoja zako ni sahihi mm binafsi nilikua mwanafunzi Bora wa pili Zanzibar katika mitihani ya Fll 2006 lkn Cha kushangaza FlV 2008 tulifutiwa matokea watu 11 na kila tulipojaribu kurudia mitihani hatukupata kitu hatimaye tukaishia kuuza duka na kulima mpaka leo
Huyu jamaaa apewe kipindi kwenye radio hata tbc awe anatoa somo Kila cku angalau
Yaan kwa kusema hili tuu.....nmekukubareeeeeee
Huyu professor kishimba anaipambanania sana inshu ya elimu apewe tu uwadhili wa elemu tunaamini atafanya vizuri sana
Wise knowledge
👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Safi sana mbunge Kishimba
Kishimba nikiboko,
Kweli umetumwa nawananchi
Swala la kufuta mtihani umeongea point sana
Akili kubwa
Si sahihi kabisa
Akili kubwa mh kishimba
Huo ndio ukweli anao ongea professor kishimba
Siku yaqiyama Kunamambo mazito sana
Mheshimiwa Rais me naomba mtizame huyu mzee kwa jicho la tatu..anaakili ya ziada
huyu jamaa ana akili Sana, ni utaratibu tu wa hayo mabati
Mh pr kishimba 2025 njoo ugombee ubunge kwetu mkoa wa Mbeya Jimbo la kyela,,
Nimekuelewa
Kishimba kunywa soda ninakuja kulipa popote ulipo
Siku zote kaka yangu hujawahi kosema, pia wewe ni jirani yangu wa jimbo upande wa Kata ya Puni shy dc na Isaka khm msp.
Watu kama hawa ni wachache sana, alafu wana mpuuzia tu huyu mbunge kaongea point sana
Selikali hii yaurithi haiwajui wananchi wanyonge
Kwann lakin mtu Kama huyu asipewa wizara tuone hii akili aki tutakuwa Kama China watu Kama hawa ni zawadi
Huyu mbunge ana mafunuo makubwa
Fact
Mzee uko sawa kabisaa.
Mh, kishimba anastahili zaidi ya ubunge, sema Tu , nchi hii ina longolongo nyingi, kusema ukweli anaongea mambo ya msingi, Sana kwa taifa hili
Sawa mawazo kuntu
Huyu mbunge baada ya kuongelea mafuta na yeye hajui kama mafuta bei iko juu,
Shida hapo selekali wanachukulia kama kichekesho tu wakati kishimba kaongea vitu vysmaana kweli kwahawa wataalam hawawezi kufikilia kubuni njia rahisi kwawananchi wenyekipato chachini
Kishimba hoyeeee yaani kwanini huyu Baba asiwe waziri ana akili za ukweli nampendaga anaongea ukweli mtupu nakupenda Sana ukichangia mada nakauka mbavu Kwa kucheka maana ni kweli
Kwahakika roho iliniuma Sana kwasababu nilisoma kwa bidii Sana ktk mazingira magumu mno lkn Serikali hata haikufiri au kufanya hata uchunguzi kwakweli wizara ya elimu inakazi kubwa ya kuangalia haki za wanafunzi coz nchi inapoteza watu muhimu Sana ktk ujenzi wa taifa hakuna anayejua Nani atakua na wazifa gani baadae
Pole sana kaka yangu ni katika changamoto habari yako ndogo na umeandika kwa ufupi sana ila maudhui yake yamenisisimua sana